MFAHAMU MWANAHARAKATI ANAYESEMA UKWELI MBELE YA WATAWALA (SEMA NASI)

  Рет қаралды 21,722

AL FATAH TV ONLINE

AL FATAH TV ONLINE

Күн бұрын

Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
#AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
#ZANZIBAR​​

Пікірлер: 99
@mohammedmbarouk1129
@mohammedmbarouk1129 2 ай бұрын
Mashallah 🥰 🥰 huyu nakumbuka n8po skuli darasa la tatu anakuja skuli kutupa mawaidha.. Mashallah.. Allah ampe umri mrefu azidi kulingania ktk dini yetu ya kiislam amiin 🤲
@hilalrashidmohamed8528
@hilalrashidmohamed8528 2 ай бұрын
Ulisoma mwanakwerekwe nini?
@kombojuma2807
@kombojuma2807 2 ай бұрын
Mashallah miaka ya 1990 alikuja kutupa dawa school 100+ Allah amlipe their pamoja na ss.
@alimau7939
@alimau7939 2 ай бұрын
Huyo anafanya kazi ngumu Allah amlipe kheri za dunia na akhera
@AliSaid-zh8oi
@AliSaid-zh8oi 2 ай бұрын
MashaAllah nmefarijika sna kumwoona babu moyo Allah ibariq inshaAllah tangu mdogo namwoona kwenye hizi harakat alhamdulillah Allah amlipe pepo kila hatua yake
@Alimohd-w5s
@Alimohd-w5s 2 ай бұрын
Ooohhh Masha Allaah Babrooh Allah akulipe kheri na akupe huurun ghiin wengi hukuona mpumbavu lakini Allah anajua kaziyako
@suleimannassor3276
@suleimannassor3276 2 ай бұрын
Sheikh mau allah amlipe kheir mzee wa pandani
@sheikhanasser4714
@sheikhanasser4714 2 ай бұрын
Ndugu Suleyma "Allah" Andika kwa herufi kubwa Shukran
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 2 ай бұрын
Amiiin shukran sana
@sheikhanasser4714
@sheikhanasser4714 2 ай бұрын
TABARAKA ALLAH MA SHA ALLAH ALHAMDELILAH BLESSED 🤲🤲
@AlkafaaMarket
@AlkafaaMarket 2 ай бұрын
Asalam aleykum nimefurahi sana kumuona babu roho niliamza kumuona shuleni mitiulaya pemba wete pia kwenye ijitimai na Mambo yakheri mungu akuzidishie umri mrefu wenye kheri inshallah shukran sana alfatah tunawapata vyema oman shukran
@alikidungura9419
@alikidungura9419 2 ай бұрын
Huyu mzee mungu ampe umri mrefu afanye ibada
@MohdMohd-fv1my
@MohdMohd-fv1my 2 ай бұрын
Mashallah Allah amlipe kheri zaidi na atupe sote mwisho mwema...Mzee toka 96namkumbuka
@jumamohamed4808
@jumamohamed4808 2 ай бұрын
Huyu mze Allah Ampe Afya njema na maisha maref na malipo makubwa hapa duniyani piy kesho akhera Nakumbuka wakati akija shuleni kwetu na mashaAllah walimu alikua wanampa nafasi hta kama nimuda wamasomo inapigwa kengele tunakuja Ana anza kutoa mawaidha
@handhalhandhal4608
@handhalhandhal4608 2 ай бұрын
Mashallah, mzee wangu huyo. Miaka ile nipo Skuli ya Msingi alikuwa anakuja mara kwa mara kutulingania. Mwenyezi Mungu amlipe kheri inshallah.
@nasraalismailiy5188
@nasraalismailiy5188 2 ай бұрын
mashaAllah mjomba wangu allah akuzidishie ilmu😊
@BakarKhamis-cr8ug
@BakarKhamis-cr8ug 2 ай бұрын
Sheikh mau mashaallah
@AbuuMuawiyya
@AbuuMuawiyya 2 ай бұрын
Ameena inshaallah kwa sote kila mwenye kujitoleya katika kheir allah amlipe kheir ya duniya na kheir ya akhera
@bishweko
@bishweko 2 ай бұрын
Masha'allah huyu Babu bado yuhai❤❤❤❤nakumbuka nimekutana nae mwaka 2011 Pemba chake chake❤❤❤❤❤
@SalumSafkim
@SalumSafkim 2 ай бұрын
Mashallah mzee Allah akupe umri mrefu mzee wetu nakumbuka unakuja nyumbani kwetu pemba maeneo ya konde hadi nyumbani mwetu ndani
@salumkhamis7818
@salumkhamis7818 2 ай бұрын
ALLAH ana nguvu zote uwezo wote ni wake ,sifa zote ni zake anaemtaja ALLAH Mi nampenda sana
@masoudhamad1592
@masoudhamad1592 2 ай бұрын
Guys, huyu mzee hii kazi ameanza zamani kiasi, Allah amlipe kheri Insha-Allah
@BimHamdi
@BimHamdi 2 ай бұрын
Mashallah nimejifunza kitu ALLAH azidi kumuweka amzidishie afya njema ameen
@Samsungjprime-ww9ve
@Samsungjprime-ww9ve 2 ай бұрын
Mashaallah nimefurah sana kumuona Babu yng jirani yetu kipenzi chetu Sheikhe mau au babu roho
@abkhamsalshamte429
@abkhamsalshamte429 2 ай бұрын
Barrakaallah me namkumbuka tangia nasoma kwerekwe B darasa la 1 😢 Lkn mambo bado magum jamani wazee ndo awo ss vijana tufikirie zaid juu ya daawa inshaallah. ❤
@alitwaqwa739
@alitwaqwa739 2 ай бұрын
MashaAllh huyu shehe anaweza kutukutanisha na wale marafiki tulio poteana toka tulioo maliza skuli 😊
@MAPETEE
@MAPETEE 2 ай бұрын
Mashallah bamkwe wangu Ndugu na bamkwe wangu Al miskiri
@suleim505
@suleim505 2 ай бұрын
BABU NENO ,, kitambo sana markazi kianga miaka karibia kumi na tano na zaidi namkumbuka: kwa hakika sioni tofauti ya umri wake miaka ile na sasa ambapo naangalia record hii😳,, madai wanatunukiwa kupewa umri mrefu na miili imara.
@Sidik-d7e
@Sidik-d7e 2 ай бұрын
MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@muddybreezy4595
@muddybreezy4595 2 ай бұрын
Mm nimesoma wawi pemba mwamba amefika Mashaallah
@HusseinMbuguni
@HusseinMbuguni 2 ай бұрын
Ma shallah uyoo mzee watu wanamchukulia poa lakini ni hazina kubwa
@SalumMmaka-o6w
@SalumMmaka-o6w 2 ай бұрын
Ashazeeka daah wakitambo Sanaa mie nilikua namuona chakechake pba
@AbdallahHemed-j7k
@AbdallahHemed-j7k 2 ай бұрын
Inshaallah Allah akulinde na fitnah Babu yetu na akupe umrimrefu uwe alama Ana elimu ya ukumbusho kwa zanzibar na wazanzibar na watawala wakufahamu uyasemayo Inshaallah
@khatibabass3106
@khatibabass3106 2 ай бұрын
Kwa wazanzibar au waislam?
@yahyasabil921
@yahyasabil921 2 ай бұрын
Shukran babu roho
@Hshajak2021
@Hshajak2021 2 ай бұрын
Ma shaa llah Allah akulipe kheir kubwa
@bentybenty2343
@bentybenty2343 2 ай бұрын
Masha ALLAH ❤ ❤ ❤ 🎉🎉🎉🎉🎉. LAILLAHA ILLA ALLAH.
@huseinshedrack6180
@huseinshedrack6180 2 ай бұрын
Maasha Allah❤❤❤❤
@MohammedAmeir-c4v
@MohammedAmeir-c4v 2 ай бұрын
Alla akulipe lila la heri
@bintsalimalbimany287
@bintsalimalbimany287 2 ай бұрын
Mashallah namkumbuka Babu roho Akipitia maeneo mbali mbali sana sachool bado yupo Hai Mashallah maskin akil zakitoto ilikua nikimuona namkimbia,😢Et namuogopa😅Allah ampe umr mrefu wenye kher maskin bado hajafikiria kuoa, na si mchanga tena Kadarallah wamaashaa faala
@salehsuleiman1218
@salehsuleiman1218 2 ай бұрын
Namkumbuka sana mzee masha allah
@Aishaalmindhir
@Aishaalmindhir 2 ай бұрын
kitambo kweli ilikua akipita tunamuita babu roho moyoni allah kifuani allah allah akuhifadh
@edyboyChamilion
@edyboyChamilion 2 ай бұрын
Kesho apite dukani kwangu inshallah mombasa sokoni nimpe box ya Betry kwa ajili ya spika
@fahadbabuy
@fahadbabuy 2 ай бұрын
Apite au umfuate😂😂😂
@لبيد-ك7ل
@لبيد-ك7ل 2 ай бұрын
Izo betri tia kwenye icho kichwa chako kilichokua hakina akili na kejeli zako izo
@Muba-rf1eb
@Muba-rf1eb 2 ай бұрын
Mashallah miaka ya zaman nipo primary school konde pemba alikua anakuja najina ndo Hilo Babu roho
@SalumSafkim
@SalumSafkim 2 ай бұрын
Hhh pia mm namkumbka anakuja kwetu upembani konde hahah😮😅
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 2 ай бұрын
Fidel Castro napo akipita sana siku hizo Allah amlipe na kumhifadhi niko USA ila nlipo muona nmefurahi Wallah.
@mhrmahir3756
@mhrmahir3756 2 ай бұрын
​@@fahadfaraj6474 fahad gan wee upo american
@Whitegold7555
@Whitegold7555 2 ай бұрын
Allah awajaze kila la kheri
@WahidaAlharthi
@WahidaAlharthi 2 ай бұрын
Hongereni ❤
@ZuenaSharifu
@ZuenaSharifu 2 ай бұрын
Mashallah ❤
@tahyiatahyia792
@tahyiatahyia792 2 ай бұрын
Allah atakulipa kheir nilitamani kila safar yangu nnayoenda nikutane na yeye
@Nabiilkhamis
@Nabiilkhamis 2 ай бұрын
Una mpa chochote au unataman kumuona tu
@MohammedAmeir-c4v
@MohammedAmeir-c4v 2 ай бұрын
Mashallahu
@IlyasaJuma-cc3ee
@IlyasaJuma-cc3ee 2 ай бұрын
Rohoni Allah moyoni Allah❤❤❤❤
@yasser_yosa255
@yasser_yosa255 2 ай бұрын
Mashallah🎉🎉🎉
@ibnusleyyum9743
@ibnusleyyum9743 2 ай бұрын
MashaaAllahu.....Babu roho
@ismailbakkali2680
@ismailbakkali2680 2 ай бұрын
MashAllah hazina
@djafarsangara9465
@djafarsangara9465 2 ай бұрын
Masha Allah
@timetravellor5367
@timetravellor5367 2 ай бұрын
Allah amlipe Janna , huyu mm namkumbuka Toka mdogo mpaka Sasa yeye anapigania daawa
@SaidAlawi-sv1op
@SaidAlawi-sv1op 2 ай бұрын
Nakumbuka kipindi hiko nipo darasa la tatu skuli ya Ziwani Pemba, ni zamani sana mwaka 94 huyu mzee alikuwa anakuja skuli kutupa mawaiza. Sasa hivi nakaribia miaka 40. huyu mzee Allah amuhifadhi.
@saidsuleiman9018
@saidsuleiman9018 2 ай бұрын
Asalam alaikum shekhe rashid naomba no yko nataka nionane na mzee
@AminaOthman-b4f
@AminaOthman-b4f 2 ай бұрын
Mashallah
@Asha-jt8zf
@Asha-jt8zf 2 ай бұрын
Haifai
@Kakh-c9r
@Kakh-c9r 2 ай бұрын
Kutoka Oman
@jailanmwazini9849
@jailanmwazini9849 2 ай бұрын
Huyu mzee toka sisi tunasoma kwerekwe, hua navaa bango kifuan Allah amlipe her
@ally2540
@ally2540 2 ай бұрын
Babu roho endelea na allah yupo nawe mpaka mwisho wa maisha yako toa dawa alie jaaliwa atakuelewa
@SAtt-lz1wl
@SAtt-lz1wl 2 ай бұрын
Mashaallah Babu vbao ❤❤❤
@ALIALI-s3k8o
@ALIALI-s3k8o 2 ай бұрын
Allah amlipe pepo huyu Inshalla
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 2 ай бұрын
Amiiin shukran sana
@UlfaRashid
@UlfaRashid 2 ай бұрын
Mm nakujua ulikuwa unakuja shuli ya ziwani unatoa mawaidha ila masikini mara nyingi unazushiwa kifo cjui kwa nn
@mfaumemkigoma4370
@mfaumemkigoma4370 2 ай бұрын
Mzee anafuraha yakudumu japo hana pesa,hiiyo ndio dini yahaki
@Asha-jt8zf
@Asha-jt8zf 2 ай бұрын
We mtangazaji utakuwa ulishajua kama hajawahi kuowa ulitaka uwape watu faida tu.kwanini kuanza tu ukamuuliza suala la mahusiano ya ndoa. Hafai
@hamidakhalfan7832
@hamidakhalfan7832 13 күн бұрын
Babu rohooo kumbe upooo
@OmarMohamed-zf8dp
@OmarMohamed-zf8dp 2 ай бұрын
Huyu mzee za Mani alikuwa ana vibao anajiandika zeni ana chora ni miaka 35 Yuma na mkumbika
@khamcfaki6781
@khamcfaki6781 2 ай бұрын
maustadh wa kimadhehebu wanakitu Cha kujifunza sana kwa huyu ustadh,lengo lake ni daa'wa tu Hana mambo ya fitna na kusema mashekhe wengn.Allah amjaalie aondoke na Shahada pmj na cc kwa pmj
@Kakh-c9r
@Kakh-c9r 2 ай бұрын
Nakuomba muwalike Tena huyu Mzee wetu
@mohdsaad2736
@mohdsaad2736 2 ай бұрын
❤❤❤❤😊😊😊😊
@edishaa3108
@edishaa3108 2 ай бұрын
Kifuani Allah...
@Najdi358
@Najdi358 2 ай бұрын
Mie namkubali hana mambo ya kurushiana vijembe mitandaoni yy na neno la Allah Basi, penda sana
@yasser_yosa255
@yasser_yosa255 2 ай бұрын
🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@Happy-be8hh
@Happy-be8hh 2 ай бұрын
Huyu namjua vizuri ilikua akija msikiti wa al-khalili pemba, ilikua tunacheka sana
@BASUPA01
@BASUPA01 2 ай бұрын
Allah umpe heri
@shadrackkhamis7439
@shadrackkhamis7439 2 ай бұрын
Nnimekaa naye pujini sana
@ALIALI-s3k8o
@ALIALI-s3k8o 2 ай бұрын
Mimi namkumbuka niko darasa la sita nipo kwerekwe D
@hafia.056
@hafia.056 2 ай бұрын
Wazee wetu tupeni dawar eeeee
@MAPETEE
@MAPETEE 2 ай бұрын
Nakuomba Shekh Suleiman umwite mkewak Malim seif Aje Atoe historia ya kipenz chetu Al marhuum Malim seif
@sharfumbarouk6168
@sharfumbarouk6168 2 ай бұрын
Acha siasa hapa tunazungumzia Dini huyu mzee kipenzi chetu Allah ampe khatma nje kwa juhudi yake ya dawa takriban Pemba mzima na Unguja
@nassornassir-ho3iw
@nassornassir-ho3iw 2 ай бұрын
Neno
@SALIMTV-vo7es
@SALIMTV-vo7es 2 ай бұрын
Shehia ya pandani kilmni kaskazini pemba wilya ya wete
@BASUPA01
@BASUPA01 2 ай бұрын
Nyumbani kabisa
@karzaihaji2765
@karzaihaji2765 2 ай бұрын
Nimemkumbuka San.amefanyakazhiyo tangia sisi tupowadogsan shule na Leo tumeshazeeka na yeye amezeeka pia.hakun shule ambayo hajapita huyu Mzee kwa upande Wa Pemba.amenikumbusha mbali San kipindi cha mapumziko skuli ya Jadida WETE watotowote walikuwa wanamkimbilia.ninachompendea zaid hana kashfa.
@jumajuma3679
@jumajuma3679 2 ай бұрын
Anaanza tuu, kwa kujitambulisha na kabila na nasabu yake. Yeye anatokana na waarab wa oman kabila Almiskry. MUMEMUELEWA?
@salimkhamis3638
@salimkhamis3638 2 ай бұрын
Iwe tumemuelewa au hatujamuelewa, hii itasaidia nini?
@abuuuyaynah8801
@abuuuyaynah8801 2 ай бұрын
Anaongea nini kwani
@Samsungjprime-ww9ve
@Samsungjprime-ww9ve 2 ай бұрын
Mashaallah
@moddy8744
@moddy8744 2 ай бұрын
Mashallah
@HashimKhamis-q3p
@HashimKhamis-q3p 2 ай бұрын
Mashallah
ZANZIBAR NI YA MWANZO NA YA MWISHO | FEB 05/2025 (SEMA NASI)
33:58
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 5 М.
Quilt Challenge, No Skills, Just Luck#Funnyfamily #Partygames #Funny
00:32
Family Games Media
Рет қаралды 55 МЛН
Мен атып көрмегенмін ! | Qalam | 5 серия
25:41
Что-что Мурсдей говорит? 💭 #симбочка #симба #мурсдей
00:19
Мясо вегана? 🧐 @Whatthefshow
01:01
История одного вокалиста
Рет қаралды 7 МЛН
SIRI YA RAIS MWINYI KWENDA NGOME YA ACT WAZALENDO YAFICHUKA
36:37
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 11 М.
LIMBWATA ZA WAZEE WA ZAMANI ZILIDUMISHA NDOA | FEB 02/2025 (HUBBUL HALAL)
28:21
HII NDIO SIKU NZITO ILIYOTOWEKA LULU YA KISIWA CHA PEMBA (SEMA NASI)
28:49
Quilt Challenge, No Skills, Just Luck#Funnyfamily #Partygames #Funny
00:32
Family Games Media
Рет қаралды 55 МЛН