Oh Mungu baba leta amani inchini Congo. natamanisana kuiona inchi yangu. Nimekuwa mugeni katika inchi zaugenini tangu utotoni ivisasa naelekeya utuuzima lakini sijawahi kanyaga inchini kwangu Congo. Nakiri amani inchini Congo Kwa jina la Yesu. Please Lord let this be a dream come true in my precious country 🙏🙏
@petersakariwakube82155 жыл бұрын
We truthfully pray and wish him well, especially and particularly for the PEOPLE of DRC, who have suffered the rigors and atrocities of dictatorial military rule for more than 50 years. We however have to caution him.There are wicked bloodthirsty warmonger bent on perpetuating bloodshed and turmoil to continue reaping the vast mineral and other natural resources that this beautiful country is richly endowered with. There is hard work ahead of him.He MUST train to be a VERY HARD MAN.
@dayanaamini88085 жыл бұрын
MUNGU akuongoze Etienne Tchisekedi Felix, ongera Sana.
@amaninaupendo.35395 жыл бұрын
Amen amen. Rais mpya drc unganisha watu wa Congo kwa amani na upendo bila kubagua watu.tafuta Amani kwa watu wote Na Mungu akusaidie. Amen.
@andasonkusupa85655 жыл бұрын
hongera sana raid mteure mungu atakutanguria baba
@clementjoseph72685 жыл бұрын
Anaweza kuingoza Congo apewe ushirikiano
@andrewmsuya28065 жыл бұрын
Tanzania nasisi lini 2020 au
@elizabethgiven83635 жыл бұрын
sasa Congo iko kwenya mikono salama ongera Felix
@demungamsenga22505 жыл бұрын
D r c kisekedi Felix nomber 1
@abdulazizharthy56275 жыл бұрын
Important nini atawafanyia wazairwa na nchi yao kwani viongozi wa waafrika hubadilika baada ya kushika madaraka
@michaelabrshamsaidimu3675 жыл бұрын
Sifahamu habari zake kwa muda mrefu lkn nimuanavyo ataiongoza nchi vizuri bila shaka
@erasmusshauritanga44445 жыл бұрын
Acheni fikra duni yaani kwakuwa Felix ameshinda ndio chadema wapewe madaraka? Hamna chama Cha upinzani chenye sifa ya kuongoza Tanzania.
@erasmusshauritanga44445 жыл бұрын
@The White Sijamaanisha kwamba ni maadui bali kuwapa hatamu kwenye kuongoza Dola bado hii sio kazi ndogo.
@allan4real7755 жыл бұрын
kwl kk
@crasher64685 жыл бұрын
Hasbunalla Waneemal Wakeel
@crasher64685 жыл бұрын
@@erasmusshauritanga4444 Wapeni muwaone huwezi tu kusema hivvo
@franciscowilliam25755 жыл бұрын
Duh wewe kaka mawazo yako sio kabisa, una ushahidi gani kwamba hawawezi? Tangu mfumo huu uanze 1992, wapinzani hawajawahi kushika dola. Kuna vijana wengi wasomi wana mawazo mapya wapo na vipaji vya kila Aina . Huwezi kusema mtu kama Zitto Kabwe, Tundu Lissu, Matiko , Easther Bulaya na wengine wengi hawawezi kua na sifa za uongozi. Watanzania wengi sana wana mawazo mgando wanafikiri inside the box tu, na ndio maana katika nchi nyingi sana za Afika Tanzania pekee ndio imeng'ang'ana na ccm , vyama kama Kanu, Undp ya kaunda na vinginevyo vingi vilivyoleta uhuru vimetokomea. Umesahau kua upinzani ni jina tu hata wakishinda ccm ndio wataitwa wapinzani. Tubadilishe mfumo na watu tuone kama haifai basi turudi kwenye ccm , mtu yoyote ambae ni mtanzania anaweza kuongoza Tanzania sio mali ya ccm, hata baba wa taifa aliwahi kutamka endapo ccm itakiuka maadili basi yeye ataiacha kwa kua sio baba yake au mama yake. Tuwe na mawazo mapana Ya kuaminiana kama Watanzania.
@masoudzanzibarali99945 жыл бұрын
Cha kwanza asikubali kuwa kibaraka wa Wazungu akawaachia kukumba Almasi na Zahabu, aweke Maslai ya Taifa mbele na Raia wake Allah Blessing Congo 🙏🏾🙏🏾
@ibrahimndungu23015 жыл бұрын
Masoud Ali Ali Akikataa kuwa kibaraka atauwawa
@musakiboya5875 жыл бұрын
Felix hongera sana kwa hatua nzuri mungu akutangulie
@makamevuai61325 жыл бұрын
HONGERA FELIX
@amonisimfukwe95765 жыл бұрын
hongera kwa ushindi drc
@ramadhanmanko46145 жыл бұрын
Atawezaaaaaaa
@demungamsenga22505 жыл бұрын
Wewe muache rais makufuli atawale milele ataigeuza t z t kuwa Kama ulaya
@hechechacha40325 жыл бұрын
Kwangu mimi martin fayulu ni mpinzani wa kweli kabisa
@stephanokiluka74135 жыл бұрын
Moise katumbi MPE uwaziri mkuu inchi itaenda
@cloudjest52685 жыл бұрын
Tume ya uchaguzi kuwa huru ndio mwisho wa vyama tawala. Tanzanians u need to learn from the people of DRC.
@pirminmatumizi54645 жыл бұрын
Tanzanians to learn from DRC? You must be joking! Hivi unaijua DRC wewe. Bwana Yesu Kristo apishie hilo mbali ati tuige Congo. Ile Nchi ni ya kuendelea kuiombea. Subiri utashuhudia yatakayotokea. Si wameanza kubishana? Wao hawana utamaduni wa kubishana na kupingana kwa nguvu ya hoja kama Tz. Ni "uanaume" tu! Chezea Congolese wewe!
@corrolesscps5 жыл бұрын
@@pirminmatumizi5464. Mwambie hugo juu. Hapo. Tatizo hawapendi kusoma na kufwatilia Ducumentary nyingi wanapayuka tu. Ashukuru amezaliwa Tz. Kuliko huko Congo
@johnmugishokatindi46395 жыл бұрын
tanzania nasisi tubadirike
@mangofish90795 жыл бұрын
ndugu ata iwe hatutaki kubadilika iko siku mabadiliko yatakua tu tutake tusitake lini au vipi yatakuja mabadiliko ya kiutawala hakuna anaejuwa.
@SengaLukomya5 жыл бұрын
That’s not true, Martin Fayulu is the one won the election of DRC