Mfalme Zumaridi apewa onyo kuhusu kuonana na Mungu apewa somo zito na Mch Hananja

  Рет қаралды 26,001

Bongo Touch

Bongo Touch

Жыл бұрын

Пікірлер: 23
@humoudseyd7310
@humoudseyd7310 Жыл бұрын
I'm Muslim.. I really admire you, Hnnanja, really talk well done
@nadinemiruho4530
@nadinemiruho4530 Жыл бұрын
Unaongeya ukweli mtupu baba Mungu akubariki sana muchungaji
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 Жыл бұрын
HAHAHA ukosahihisana mzee wapumbavu ndohawakuelewa hongera sana
@AnneSampegete
@AnneSampegete Жыл бұрын
msema kweli mungu akubariki sana
@yohanamorisi1802
@yohanamorisi1802 Жыл бұрын
Usiogope kusema ukweli, hakumuona Yesu Mzee wa Arusha.
@mohamedally-nx8mk
@mohamedally-nx8mk Жыл бұрын
Msema kweli hananja
@FrolabathoromeoBinanyehe
@FrolabathoromeoBinanyehe Жыл бұрын
Sema Mtumishi asikar wa yesu
@mohamedally-nx8mk
@mohamedally-nx8mk Жыл бұрын
Kila mwezi fanya interview hananja
@joykachwele2638
@joykachwele2638 Жыл бұрын
Mi naenda kuosha vyombo
@ramadhanisalum8702
@ramadhanisalum8702 Жыл бұрын
Hakika ananja nihazina kwa taifa.... nivema wanahabari Mtengeneze utalatibu hata malatatu kwa mwezi kumuona Huyu ananja kulingana na wakati tulio nao kwa sasa ndani ya jamii tukumbuke kwa sasa taifa limebaki na wazee wachache wenyekusema Ukweli ili wanadam watambue wakati tulio nao nahuko tuendako
@luizerndayanse6214
@luizerndayanse6214 Жыл бұрын
😂😂😂 amesema ndoto saa zingine ni shughuli za mchana, kuota nikuota tu siyo kila ndoto ni ukweli, hatuwez kumuona Mungu kwa nyama na chipsi
@user-cq5rs5in2y
@user-cq5rs5in2y Жыл бұрын
Veronica unawazimu kidogo nafikiri
@siwemamohamedi2119
@siwemamohamedi2119 Жыл бұрын
Kwahiyo iyo uliowwka picha yake ni Mungu huyo ni muigizaji robat pooo
@roselyimo3676
@roselyimo3676 Жыл бұрын
Wewe Mzee ndio hujaonana na Mungu aliyetumwa kazi ameonana nae tofauti ni hiyo
@user-ue1wz3yx5k
@user-ue1wz3yx5k
Amin nawaambia mimi ni alfa na omega mwanzo na mwisho mtu haji kwa baba ila kwa njia ya kiroho,, nakuombea kwa baba uishi paka utakavyo nibadlisha mimi kwa injili hii alafu hubiri ukijua waliokaribu nawe hawakupatii vema kama sisi tulio mbali na nimekana mwili wa uwasherati, ulevi,na unafiki,tamaa,hasira sarau kwa wakubwa kwa wadgo mpka nitakapopokea maji ya uzima
@nabiimgongolwa8728
@nabiimgongolwa8728 Жыл бұрын
WAJINGA NDIO WALIWAO ........MTAAMINISHWA KILA AINA YA COMEDY
@Veni584
@Veni584 Жыл бұрын
ZUMARIDI amethubutu jaribu na wewe tuone kama utawakusanya hivyo
@roselyimo3676
@roselyimo3676 Жыл бұрын
Sasa wakati Yohana anaona.maono.aliona akiwa duniani kiroho au mbinguni? Tufafanulie hananja
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,5 МЛН
Watu Walinielewa Vibaya Kuhusu Mtume Mwamposa Richard Hananja
19:13