Video na Audio hizi zinahusu Matukio, Mafundisho na Mahubiri Yaliyotolewa Katika Ibada zinazofanyika UDSM CCT Chaplaincy (CCKD)
Пікірлер: 137
@YustaAlfonsi Жыл бұрын
Mchungaji bw,asifiwe .nimeipenda mahubiri yako anayedikiliza kwamakini ataelewa neno ambaye hanaumakini kwa hayo mahubiri ataona ni mzaha amen
@priscakitambi86395 ай бұрын
Uko vizuri Hananja! Hasa kuwa na mistari kichwani
@tumainimwakyaka27752 жыл бұрын
Huyu mch nabarikiwa nae sana sana sana jaman anahubir neno vzr biblia yote ipo kichwan kwake ameeen
@violethrobson23322 жыл бұрын
Amen amen tunaomba no tutoe sadaka…mr billionaire Kumcha Mungu ni utajiri na zaidi ya Ulokole🙏🏽Amina baba🥰🙏🏽🙏🏽🙏🏽usharika wap tuje jpil jmn
@jayeventstv3132 жыл бұрын
Nimebarikiwa hakika mchungaji 🙏🏿😀😀😀. Mungu akupe maisha marefu baba. Wosia maalumu kwa wakati maalum kwa kizazi maalum 💪💪💪❤️
@geraldmariki10982 жыл бұрын
Mchungaji maandishi yanaishi. Naomba utunge kitabu cha mahubiri yako au mtaalamu wa uandishi aandike historian 'autobiography' yako. Dunia itajifunza mengi kutoka maisha yako. MAISHA YAKO NI DARASA.
@judymasunzu75172 жыл бұрын
Hongera Baba Mchungaji kwa Neno zuri Kwa Vijana. Nimependa Style yako ya Mahubiri ni Furaha tupu.
@JulitaAndrea-nu6pz Жыл бұрын
Mungu akuongezee hekima na maarifa ya KIMUNGU
@donatilangari54262 жыл бұрын
Mchungaji Mungu akubariki sana kwa maneno mazuri sana uliosema na Vijana, Mungu wa Mbinguni akubariki sana Baba
@arthurmaleke82452 жыл бұрын
Yesu kristo ndio njia ya kweli na uzima
@rozimeriemiliemili21 күн бұрын
Bb upo vizuri na neno mungu akupe umri mrefu
@jeanmusamba3253 Жыл бұрын
huyu mch ni genius sana aisee.Bwana asifiwe sana
@Zakayonzala5 күн бұрын
Wewe mungu amekupa hicho kipawa cha kuhubiri na kufundisha
@saccomachapta58122 жыл бұрын
Amen mtumish tumeongezekeza kiroho &kimwil
@martinomwayi61235 ай бұрын
You are a teacher and you preach through teachings its so fullfilling
@shukuruelendela4478 Жыл бұрын
Watching always from usa 👌💯
@francisongubo2914 Жыл бұрын
Hapa kimeumana. Mchungaji Biblia yote umeimeza. Ah! Nimeshangaa. Mzee uishi miaka mingi kwa kazi nzuri uifanyayo.
@rashidkihunga29382 жыл бұрын
Mch.mungu akubariki make unaenda na mandiko nabalikiwa sana
@mrugamhono94512 жыл бұрын
Hongera Sana mch kwa somo zuri Sana kwa vijana , Mungu akubariki Sana
@sengondomzava77462 жыл бұрын
6y66yyyyyyyyy
@northerntanzaniatv4033 Жыл бұрын
Huyu mchungaji ni genius kwa watu wenye gamy yamafanikio watatoka na kitu
@solomonchemeitoi83152 жыл бұрын
Kongole sana mch.mahubiri mazuri Mungu akubariki
@davidkawesa359414 күн бұрын
Mungu atubariki sana Rich
@Davidmwakipesile-tq7oh Жыл бұрын
Barikiwa kuhani wa bwana utalipwa na yeye alipaye kwa haki
@gracedonald3852 жыл бұрын
Huwa unanibariki sana mchungaji
@user-ve8bg9lb4i Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa bwana
@godfreypatrick14502 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri
@davidkawesa359414 күн бұрын
Nimebarikiwa asanteni mitandao
@user-uo7wu6of1l Жыл бұрын
Kwa kweli Haya mahubiri yanatia nguvu❤❤
@peter46502 жыл бұрын
Duuh mchungaji umemeza bibilia yote hahahahah heshima kubwa sana kwako
@patrickkavenuke8522 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na mahubiri yako Mch. Richard. I like the way you connect the word of God with our day to day lives.
@bessiemunisi686 Жыл бұрын
Asante sana kwa mahubiri mazuri Mungu akubariki sama
@fuhiaelimrema3786 Жыл бұрын
@@bessiemunisi686
@athumanimachupa667 Жыл бұрын
Mchungaji nitumie namba yako kwanza maana mchungaji wewe hatal
@albinimichael13422 жыл бұрын
Excellent man of god
@ShidaKazungu-tp8ld2 ай бұрын
Ameni pastor jamani na barikiwa sana mm
@peter46502 жыл бұрын
Ubarikiwe mchungaji
@waterswai90732 жыл бұрын
Ubarkiwe. Mchungaj
@naikekangele7117 Жыл бұрын
😂fanya kazi mch Mungu akubariki
@linnerram89592 жыл бұрын
Mchungaji karibu Ebenezer Mwanza
@EdithMhehe3 ай бұрын
Mahubiri kwa styli hii inafaa sana kutia mutual kwa vijana kwani unaweza kumwongoza kuanza mapema kupangili maisha