🛑FRIJI BOVU AMVULIA KOFIA AHOUA , SIKU SI NYINGI WATU WATAMSAHAU CHAMA MSIMBAZI, SIMBA HII TEMA MATE

  Рет қаралды 41,283

MFALME WA SOKA

MFALME WA SOKA

Күн бұрын

Пікірлер: 72
@OmbeniMkumbwa-yg1vg
@OmbeniMkumbwa-yg1vg 2 ай бұрын
Unaakili sanaaa❤❤❤❤❤🌺🌺🌺🌺🌺🌺
@JamesSweetbart
@JamesSweetbart 2 ай бұрын
Safi kabisa mzee kazi hukosei kwenye kufafanua
@JolotaErastoJuma
@JolotaErastoJuma 2 ай бұрын
Huyu mwamba mi sina mashaka nae namkubali sana 🎉🎉🎉❤❤❤
@JolotaErastoJuma
@JolotaErastoJuma 2 ай бұрын
Tanzania tunge pata wachambunzi kama kumi tu kama hawa mpila wetu unge fika mbali Big up sana bro 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@sulejmandj7582
@sulejmandj7582 2 ай бұрын
Kak unajua sana ✌🏽
@KasioClassic
@KasioClassic 2 ай бұрын
Hii simba yangu ipeni mudaaaaa tuu natusubi muda ndounaongeaa
@SarahKisepe
@SarahKisepe 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@AletasMbawala-si5kj
@AletasMbawala-si5kj 2 ай бұрын
Point brother kam mm tu naixh leo bro 🙏🙏🙏
@onesphorymgedzi995
@onesphorymgedzi995 2 ай бұрын
Kaka kwenye kulinda wachezaji kaka umeongea sana maana mmmh kunamijitu inafanya mambo ya jabu sana
@dismasmusoma9478
@dismasmusoma9478 2 ай бұрын
Uko vizuri sana bro. Ushauri wangu siku moja moja uchambue kwa English brother kwa faida ya hawa wachezaji wa kigeni pamoja na kocha. Nina imani kuna faida kubwa sana kwenye uchambuzi wako.
@mfalmewasoka949
@mfalmewasoka949 2 ай бұрын
Limeisha hilo Kaka Ung'eng'e
@gerowadamwandika669
@gerowadamwandika669 2 ай бұрын
Friji bovu uko vizuri sana, Chama akikutana na timu mbovu ndipo anaonekana, akikutana na wanaojua boli na kasi ya SGR haonekani anapotea kabisa.
@henelckneatunga2720
@henelckneatunga2720 2 ай бұрын
HUYO MVP WENU HILO GOLI ALILOFUNGA MABEKI NDIO WAMEZINGUA WANAMKABA KWA MACHO.KHS CHAMA WEWE TULIA, CHAMA ANAUWEZO WA KUCHEZA MATCH YOYOTE BILA SHAKA.
@HalimaAlly-j3t
@HalimaAlly-j3t 2 ай бұрын
tena na tena
@RevocatusKambimbaya
@RevocatusKambimbaya 2 ай бұрын
Uko vizur isipokua uchambuz wako wakati mwingine unaegemea upande mmoja
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 2 ай бұрын
Yaani tumepata furaha sana simba wameshaanza kupata moto, naamini yale tuliosema kuwa washabiki tutulie hata yerusalem haikujengwa siku moja.Tuwatie moyo watafanya makubwa.
@EliyaOnnesphory
@EliyaOnnesphory 2 ай бұрын
Friji bovu bhana hauna unafiki, palipo ukweli unasema! Alafu haijalishi ni timu gani unaipa maua yake🎉🎉🎉.
@issaomari5297
@issaomari5297 2 ай бұрын
Bila kukusikiliza MWAMBA Huwa naona sija enjoy uchambuzi uko vzur sana broo
@mfalmewasoka949
@mfalmewasoka949 2 ай бұрын
🔥 🔥
@SifaKayaya-z3b
@SifaKayaya-z3b 2 ай бұрын
Pamoja sana kakaa
@barakamusapolekidoti957
@barakamusapolekidoti957 2 ай бұрын
FRIJI BOVU upo vzr
@JoseHaule-tx7lu
@JoseHaule-tx7lu 2 ай бұрын
Awesu yupo safi sana ila aache urembo mwingi anapoteza muda
@ChristopherMisungwi
@ChristopherMisungwi 2 ай бұрын
Kaka wape bwana maaana duuu jezi kidogo tuogope kutembea nazo msimu uliopita kaka duuu maumivu sasa wengi watahama sana msim huuu
@DaudiMsukuma
@DaudiMsukuma 2 ай бұрын
Sasa huyu mwandishi anauyanga ndani huyu Kila wakati anataka kuongelea yanga
@MasudiNambole
@MasudiNambole 2 ай бұрын
Ukiacha Hans na ambangile huyu jamaa namuelewa sana
@stanleyngonyani204
@stanleyngonyani204 Ай бұрын
Hla chamou ipo sku atakuja itajka hamza ajakutana na heavy so sidhan moja kwa moja ni bora
@DadeSaide-qr7ti
@DadeSaide-qr7ti 2 ай бұрын
Naitua Dade nipo nsumbiji kuanza niwachukuru azam kua kutpatia buludani mechi yaleoo speni wapenzani wajipange Simba nguvu moja Mozambique🇲🇿 🇲🇿 🇹🇿 🇹🇿 🎉🎉🎉😂
@sulemanmagesa2181
@sulemanmagesa2181 2 ай бұрын
Mnarekodi ndefu Sana. Fupisheni.
@AshelyAbel-kg4kx
@AshelyAbel-kg4kx 2 ай бұрын
Awesu asicheze mpira wa urembo kwasasa tunataka matokeo awe anatoa mpira haraka kwenye njia, barua nae nimchoyo hatoi pasi wengene wafunge
@VascoKasambala
@VascoKasambala 2 ай бұрын
HAWEZI KUENDA UJERUMANI KWA NAMNA YOYOTE ILE WEWEKENI KUMBUKUMBU YANGU
@MohamedHango-r5k
@MohamedHango-r5k 2 ай бұрын
Kiukweli kaka unachambua mpila ila kuna wengine wanachambua matembele
@mfalmewasoka949
@mfalmewasoka949 2 ай бұрын
🔥 🔥
@JoseHaule-tx7lu
@JoseHaule-tx7lu 2 ай бұрын
6:18 6:35 6:36
@AbisinaRashidi-c8d
@AbisinaRashidi-c8d 2 ай бұрын
Kamsifia Kwakua ni mtanzania mbona juzi pia kamsifia fei kasema fei ni mtanzania kwaio kama alikua anajua atamhonga pesa kama Chama na manula viongozi wako makini
@israelmunuo7938
@israelmunuo7938 2 ай бұрын
Nakumbuka maneno Yako broo Abdurazack ulimtaja mwanzo
@DanielChaula
@DanielChaula 2 ай бұрын
Balua ana uchura chura
@israelmunuo7938
@israelmunuo7938 2 ай бұрын
Biringita sarakasi na jezi Yako ya heshima kaka JVC ! Nimeipenda hiyo friji
@mfalmewasoka949
@mfalmewasoka949 2 ай бұрын
😂😂😂
@JoseHaule-tx7lu
@JoseHaule-tx7lu 2 ай бұрын
Mzamiru anazingua, na kwanini okejepha anaazia bench
@GloryPallangyo-o4g
@GloryPallangyo-o4g 2 ай бұрын
Asante kaka wambie
@promiseann4836
@promiseann4836 2 ай бұрын
Jembe liko sawa
@jofreymwampamba1236
@jofreymwampamba1236 2 ай бұрын
😂😂😂😂
@Bishopdavidndaki7184
@Bishopdavidndaki7184 2 ай бұрын
Barikiwa sana firiji bovu siku zote wewe huwa haupindishi
@mfalmewasoka949
@mfalmewasoka949 2 ай бұрын
🎉🎉
@ABDULKARLMMWANGELA
@ABDULKARLMMWANGELA 2 ай бұрын
🎉gud-gud wamba uchambuzi wa ovyo Sana kwakuwa ndio Ameajiriwa huyu kaka
@theonasmkoba6121
@theonasmkoba6121 2 ай бұрын
Usijaribu Sarakasi Friji Bovu, tunakupenda na kukuhitaji😅
@mfalmewasoka949
@mfalmewasoka949 2 ай бұрын
😂
@Farida-vg5ry
@Farida-vg5ry 2 ай бұрын
Ndomana tunasema matapishi ya Simba chakula kwa wengine
@buberwamujungu6987
@buberwamujungu6987 2 ай бұрын
Uko vzr man nakukubali uchambuzi murwaa kabisa
@LindaMbilinyi-n3n
@LindaMbilinyi-n3n 2 ай бұрын
Chama team ngumu hana uwezo wowote huo ndo ukwel,,yaan team red card mbili bas anasifiwa mtu jmn nchi ngumu hii😂😂😂😂
@AshirunaNdali-mh7cp
@AshirunaNdali-mh7cp 2 ай бұрын
hongela bwana friji bovu ukovizuli 😂😂😂
@mfalmewasoka949
@mfalmewasoka949 2 ай бұрын
🔥
@JustinJames-zx4zh
@JustinJames-zx4zh 2 ай бұрын
Mbona tumekaa kinyonge mjengoni wakuu
@mfalmewasoka949
@mfalmewasoka949 2 ай бұрын
🎉
@israelmunuo7938
@israelmunuo7938 2 ай бұрын
Huyo kamera man nampa🎉🎉🎉 yake broo , anajua kutega
@mfalmewasoka949
@mfalmewasoka949 2 ай бұрын
🎉
@official_mr_bery
@official_mr_bery 2 ай бұрын
Huyu 𝗝𝗮𝗺𝗮𝗮 𝗮𝗻𝗮𝗷𝘂𝗮
@mfalmewasoka949
@mfalmewasoka949 2 ай бұрын
🔥
@GodfreyJames-zt6ig
@GodfreyJames-zt6ig 2 ай бұрын
Utopolo akuna kitu kabsa Yan mwaka wetu huu
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 2 ай бұрын
NA WEWE.MWANDISHI UNAMBISHIA FRIJI BOVU. YUPO SAHIHI SANA NA MUNGU NI MWEMA HAYO YATATIMIA KWA UWEZO WA.MOLA
@mfalmewasoka949
@mfalmewasoka949 2 ай бұрын
🔥
@JoseHaule-tx7lu
@JoseHaule-tx7lu 2 ай бұрын
😂
@MalikiKavindi
@MalikiKavindi 2 ай бұрын
Ubaya ubwela
@neemaraphael8732
@neemaraphael8732 2 ай бұрын
Mukwala gari limewaka usipowe tena
@JustinJames-zx4zh
@JustinJames-zx4zh 2 ай бұрын
Kaka hivi ni ukweli kwamba Simba tuna maingizo mapya upande wa safu ya ushambuliaji au ni tetesi tu 😢
@mfalmewasoka949
@mfalmewasoka949 2 ай бұрын
Ni tetesi tu Kaka
@JuliasOnai
@JuliasOnai 2 ай бұрын
ateba yupo
@YusuphAlly-y9o
@YusuphAlly-y9o 2 ай бұрын
Hiii nisimba ww achauwiga
@TwahiliJabu
@TwahiliJabu 2 ай бұрын
Oya akuna unyonge apa wakologwa apa fraha tu
@mfalmewasoka949
@mfalmewasoka949 2 ай бұрын
🔥
@PharmacistGoodluckMdugi
@PharmacistGoodluckMdugi 2 ай бұрын
Waongo sana maana walisema wamealikwa kwenye ufunguzi wa caf champions league kitu ambacho hakipo ha ha ha haaaaa
НАШЛА ДЕНЬГИ🙀@VERONIKAborsch
00:38
МишАня
Рет қаралды 3,2 МЛН
ЛУЧШИЙ ФОКУС + секрет! #shorts
00:12
Роман Magic
Рет қаралды 7 МЛН
Friends make memories together part 2  | Trà Đặng #short #bestfriend #bff #tiktok
00:18
小丑家的感情危机!#小丑#天使#家庭
00:15
家庭搞笑日记
Рет қаралды 38 МЛН
MSIKILIZE GB 64 AWASANUA WANASIMBA JUU YA MANARA KUTAKA KURUDI TENA SIMBA
16:53
ALLY KAMWE AWATUKANA WAZEE WA SIMBA #football
3:45
MayungaOnline
Рет қаралды 2,6 М.
WALIMDHARAU KWASABABU YA KINYAGO KUMBE NI MTOTO WA MFALME | MOVIE KWA KISWAHILI
28:46
GB 64 KWA HASIRA AMVAA MCHOME, ANASEMA SINA AKILI?
20:24
Ngwale Sports HD
Рет қаралды 74 М.
НАШЛА ДЕНЬГИ🙀@VERONIKAborsch
00:38
МишАня
Рет қаралды 3,2 МЛН