Рет қаралды 12,271
Ukuhani wa Kifalme ni Ofisi Kuu mbili ambazo BWANA wetu YESU KRISTO ametuweka sisi waumini wake, katika Ulimwengu wa roho, kwa kutununua kwa dame cake takatifu, pale msalabani, ili tuweze KUMILIKI na KUTAWALA dunia, na tuweze kustawi, ili tube vyombo vizor via ibada. Ufunuo 5:8-9.
Ikiwa unaishi maisha yasiyo na ushindi, basi inawezekana ni kwasababu, hujatumia Ofisi hızı mbili za Ukuhani na Ufalme, ipasavyo. Basi ujumbe huu umekujia kwa wakati sahihi, sikiliza kwa makini na utendee kazi point hizi, nami utafanikiwa na kuona ushindi wa Mungu maishani mwako. Usisahau kuwashirikisha watu wengine link hii, ili na wao wanufaike kwa mafundisho haya. Na Mungu akubariki sana.