No video

FAIDA ZA KUPOKEA UPAKO WA MFALME NA KUHANI MKUU MELKIZEKI WAKATI WA KUSHIRIKI MEZA YA BWANA

  Рет қаралды 157,733

CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL

CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL

Күн бұрын

KONGAMANO LA 12

Пікірлер: 88
@user-ky5vh7uu8i
@user-ky5vh7uu8i 11 ай бұрын
Asante MUNGU kwa Mtumishi wako amekuwa baraka Sana katika maisha yetu hakika tunapata nguvu Sana ya kuwa karibu na MUNGU wetu AMINA
@yukundamushi7048
@yukundamushi7048 3 жыл бұрын
We baba was Mbinguni tunashukuru kwa kutupa huyu Mwl anayetulisha Neno LA Maarifa na kujua namna yakukuishi na kujua kanuni za kuishi Ameen
@PsilaoKamwana
@PsilaoKamwana 3 жыл бұрын
Asante MUNGU kwa kutupa zawadi ya mtumishi
@GODisable7573
@GODisable7573 3 жыл бұрын
Amen 🙏🏾 zidi kubarikiwa Mwalimu na huduma nzima ya Mana Ministry
@johannesemmanuel843
@johannesemmanuel843 2 жыл бұрын
Namshukuru mungu anaekuwezesha kuinenena siri ya ufalme wa mungu zidi kubarikiwa sana baba
@irynaedward649
@irynaedward649 3 жыл бұрын
Nampenda Sana huyu Mtumishi Wa Mungu aliye hai,Mungu akutunze mpaka mwisho wa uhai wako baba( wewe na familia yako
@sinyoritasamwel6392
@sinyoritasamwel6392 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi unanipa nguvu pale nipoyasikia mafundisho yako mungu akupe maisha marefu amen
@agripinarajab6994
@agripinarajab6994 3 жыл бұрын
Amina mwl,Mungu akubariki akuongezee mafuta ya ualimu,
@leilaomary3574
@leilaomary3574 2 жыл бұрын
Yesu wewe ni mwema our hearts are filled with endless praise.
@jescarwegoshola7231
@jescarwegoshola7231 3 жыл бұрын
Eeeee Mungu mwenyezi naomba uzidi kumpa nguvu na Afya Mwl huyu na hekima yake nabusara na maarifa vizidi,Pamoja na Familia yake na Watenda kazi pamoja na yeye🙏
@winnermariah
@winnermariah 3 жыл бұрын
Ameeen
@ElizaNywage-zx9wx
@ElizaNywage-zx9wx Жыл бұрын
Ubalikiwe sna mtumish mungu akulind na aendelee kukup mafunuo mapy
@yahayatemu1003
@yahayatemu1003 3 жыл бұрын
Ameniii, ubarikiwe mtumishi wa Mungu, asante kwa kutuelimisha.
@nururaphael9913
@nururaphael9913 3 жыл бұрын
Najiungamanisha na madhabahu hii amen
@mesereswai3927
@mesereswai3927 3 жыл бұрын
Mesere,swai
@anselemvangishauri9338
@anselemvangishauri9338 2 жыл бұрын
Amen
@monicambetwa2620
@monicambetwa2620 3 жыл бұрын
Barikiwa sana sana mtumishi Wa Baba
@clemensiameshack7480
@clemensiameshack7480 3 жыл бұрын
Umefanyika baraka kwangu,Mungu akubariki kwa huduma yako nzuri
@williamjoram9775
@williamjoram9775 2 жыл бұрын
Ninashukuru kwa mafundisho
@shabanmohamed1545
@shabanmohamed1545 3 жыл бұрын
Mungu akupe uzima milele baba .
@happinessakim2679
@happinessakim2679 2 жыл бұрын
Be Blessed Daddy 🙏🙏🙏
@elizabethjuma2837
@elizabethjuma2837 3 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana kwa haya mafundisho. Ubarikiwe sana Mwalimu 🙏🙏
@mujwahuzikyabwishukuru2917
@mujwahuzikyabwishukuru2917 2 жыл бұрын
Mwalimu (Teacher)
@mujwahuzikyabwishukuru2917
@mujwahuzikyabwishukuru2917 2 жыл бұрын
MWALIMU (TEACHER)
@lucyodiwa5331
@lucyodiwa5331 3 жыл бұрын
Tangu nianze kufuatilia Masomo yako mwalimu maisha yangu yamebadilika kabisa. Nilianza na somo la uponyaji kwa moyo uliopondeka na nikapona kabisa roho, mwili, na mifupa. Lol! Mwanzoni sikutakaga kabisa kusikia masomo yako na sikuwahi kufika kwenye seminar zako. Lakini sasa ni mfuatiliaji makini kwasababu nimedhihirisha kuwa Wewe hakika ni mtumishi wa Mungu aliyehai
@happykizito4916
@happykizito4916 3 жыл бұрын
Ninakushukuru MUNGU kwa ajili ya mwalimu upako wa kifalme ufurike azidi ndani yako na family Amen
@samwelmwaijumba6018
@samwelmwaijumba6018 3 жыл бұрын
Amen Glory to God....
@magdalenamsuta7336
@magdalenamsuta7336 2 жыл бұрын
Asante sana
@raphaelkiza
@raphaelkiza 3 жыл бұрын
Sifa kwa Mungu kwa mafuta mabichi juu ya mtumishi wako Mwakasege👏👏👏💪
@happydorcasmollelmollel6114
@happydorcasmollelmollel6114 3 жыл бұрын
Kweli ww ni mwalimu, barikiwa sana.
@victoriskiwango6770
@victoriskiwango6770 2 жыл бұрын
Glory to God
@lynelee5846
@lynelee5846 3 жыл бұрын
Huu ulikuwa upako wa kipekee.. nilipokea ujazo mpya hapa Qatar 🥰
@neemasaidisaid1791
@neemasaidisaid1791 3 жыл бұрын
Amen amen.tumepokea nasi tulioko saudi.mubarkiwe
@emedasanga8288
@emedasanga8288 3 жыл бұрын
@@neemasaidisaid1791 vvdgggdsaaddgvvvdfsofovvqq qaa
@emedasanga8288
@emedasanga8288 3 жыл бұрын
@@neemasaidisaid1791 goooghoohhohoohohoohhoh
@emedasanga8288
@emedasanga8288 3 жыл бұрын
@@neemasaidisaid1791 phphpñnnnhhh
@emedasanga8288
@emedasanga8288 3 жыл бұрын
G GG
@justinamanimushengezi9492
@justinamanimushengezi9492 3 жыл бұрын
BWANA akubariki Babaya'ngu 🙏
@jeandelmasaby1982
@jeandelmasaby1982 3 жыл бұрын
29 Mnapoambiwa kuwa, "Ikiwa shule ya uchungaji ni ya shetani, basi mtu anawezaje kuwa mchungaji, mtume, na kadhalika ...?" " Mtasema kuwa ni nabii mjumbe tu anaye teuwa na kuweka wakfu huduma za wakati wake. Kuhani hajawahi teuwa kuhani mwingine. Na makuhani hawawezi kuwekwa wakfu na kuhani mwingine kwa kuwekewa mikono kama inavyoonekana makanisani. Ni nabii mjumbe ambaye huteua watumishi wa Mungu wa wakati wake. Hii ndiyo njia ambayo Mungu ameweka. Ni Musa ndiye aliye teuwa ukuhani kulingana na Mambo ya Walawi 8 bila shule ya uchungaji. Na ikiwa wewe ni mtumishi wa kweli wa Mungu, utakuja kwa Musa kama Yethro, kuhani wa Midiani. Ilikuwa ni Yohana mbatizaji aliye teuwa Apolo bila shule ya uchungaji. Ilikuwa Paul ambaye aliye teuwa Tito, Timotheo ... bila shule ya kichungaji na leo, ni Kacou Philippe ambaye aliye ni teuwa bila shule ya uchungaji kwa sababu kama nabii, aliona zawadi hiyo ndani yangu. [Ndr: Kusanyiko linasema: "Amina! »]. Nanyi enyi Wakatoliki, Waprotestanti, Wainjili na Wabranhamisti, mkilipa zaka kwa mtume, mwinjilisti au mchungaji na yeye hajalipa zaka ya zaka kwa kuhani mkuu ambaye ni nabii mjumbe wa wakati wake, kuna kiunga kilichokosekana, kwa hivyo ni mbaya, ni kashfa. Kwa sababu kupitia nabii mjumbe gani Mungu alikufanya uwe mtume, mwinjilisti au mchungaji? [Ndr: linasema: "Amina! »]. 30 Wanadamu lazima wajue kwamba, kulingana na Yohana 9: 5 na Yohana 6: 28-29, wakati unamkataa nabii aliye hai wa wakati wako, Yesu Kristo unayemwabudu siyo mwingine ila shetani. Makanisa ya Kikatoliki, ya Kiprotestanti, ya Kiinjili na ya Kibranhamisti pamoja na misioni na huduma zinamwabudu shetani kwa jina la Bwana Yesu Kristo. Ulimwengu lazima ujue kuwa funguo za Ufalme huwa duniani daima na mtu ambaye ni taa iwakoyo na nuru ya ulimwengu. Humuwezi kufanya kazi ya Mungu isipokuwa mnaamini na kuwa mnenaji wa yule aliyetumwa na Mungu. Hata kama unyofu wako unazidi ule wa Kornelio, Mungu hatakufanya chochote isipokuwa kukuongoza kwa yule ambaye ana funguo za Ufalme duniani kwa wakati wako. Funguo za Ufalme zimepita kutoka kwa Yohana Mbatizaji kwenda kwa Yesu Kristo, kutoka kwa Yesu Kristo kwenda kwa Petro, kutoka kwa Petro kwenda kwa Paulo na kisha kwa Ireneo, mtakatifu Martin wa Tours, Colomban, Martin Luther, John Wesley, William Branham , kwa Kacou Philippe leo na zitakuwa na mtu mwingine siku moja wakati Kacou Philippe hatakuwepo duniani tena! [Ndr: Kusanyiko linasema: "Amina! »]. Wakati Israeli iliomba mfalme kwa Mungu, Mungu aliwapa mfalme, lakini funguo za ufalme zilibaki kwa Samweli nabii aliye hai. Funguo za Ufalme wa Mbingu huwa na nabii aliye hai duniani. Na itakuwa hivyo daima hadi mwisho wa wakati. [Ndr: Kusanyiko linasema: "Amina! »]. #Prophetkacouphilippe
@janekajuna9611
@janekajuna9611 3 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumish wa Mungu
@UpendoLusamba
@UpendoLusamba Жыл бұрын
Mungu akutunzee mwl!!
@rosemosses7155
@rosemosses7155 3 жыл бұрын
Ameeeeen and Ameeeeen
@beyondscapes7847
@beyondscapes7847 11 ай бұрын
Shalom. Hiyo Heading inabidi isomeke kuhani mkuu *MELKIZEDEKI* kwa ufasaha zaidi. Ahsante.🙏🙏
@sarahfaida4122
@sarahfaida4122 3 жыл бұрын
Glory to God, Mungu na azidi kukuvika ujasiri na nguvu na mafuta mapya kila siku!
@elizabethjuma2837
@elizabethjuma2837 3 жыл бұрын
Nai enjoy mafundisho yako sana nikiwa apa Saudi Arabia
@shigongorevocatus8574
@shigongorevocatus8574 3 жыл бұрын
Barikiwa
@nelliemuganda4113
@nelliemuganda4113 3 жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe sana
@ngoromaernest8514
@ngoromaernest8514 3 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumixh
@stephanokanyika6321
@stephanokanyika6321 3 жыл бұрын
Amen napokea kwa jina la yes kiristo
@asifiwegodfreymunisi4573
@asifiwegodfreymunisi4573 3 жыл бұрын
Napokea kutoka kwa ROHO MTAKATIFU KUPITIA CHRISTOPHER MWAKASEGE
@bilugwemwanzije
@bilugwemwanzije Жыл бұрын
Nuru ya mungu ikuongoze mtumishi !!?
@tinielmnzava9665
@tinielmnzava9665 3 жыл бұрын
Ameen
@amanikutuba2555
@amanikutuba2555 3 жыл бұрын
Napokea kwa jina kuu la yesu
@pendojemsy1532
@pendojemsy1532 3 жыл бұрын
Asante.
@mwalimunanabiinelsonmwakik5542
@mwalimunanabiinelsonmwakik5542 3 жыл бұрын
Barikiwa mnomno baba yetu
@rostertweve9437
@rostertweve9437 3 жыл бұрын
Mungu akutunze kwa utumishi huu tunabarikiwa na kupata ufahamu juu ya elimu ya ki Mungu.
@peninahnyabonyi9331
@peninahnyabonyi9331 3 жыл бұрын
Ameeen
@nashonmwazarubi9895
@nashonmwazarubi9895 3 жыл бұрын
Amina sana
@davisfungo4481
@davisfungo4481 3 жыл бұрын
AMEN
@SERGESENGI-me2iq
@SERGESENGI-me2iq 9 ай бұрын
Tumeshukuru kwa mafundisho
@samops1074
@samops1074 3 жыл бұрын
Injili Ya Kweli
@yukundamushi7048
@yukundamushi7048 3 жыл бұрын
Endelea kumpa MAISHA marefu,na kumwongezea HEKIMA NA BUSARA TOKA KWAKO EE BABA WA MBINGUNI
@user-ti8ti7lf7p
@user-ti8ti7lf7p 11 ай бұрын
😊
@theresialubida161
@theresialubida161 Жыл бұрын
Glory to God 🙏🙏🙏🙏
@tuzompwaga9947
@tuzompwaga9947 3 жыл бұрын
Dady
@josephmolle
@josephmolle 3 жыл бұрын
A men
@marthamwangonda2268
@marthamwangonda2268 3 жыл бұрын
Ameen mtumishi
@veronikamtaita6532
@veronikamtaita6532 3 жыл бұрын
Ameeen
@bilugwemwanzije
@bilugwemwanzije Жыл бұрын
Hekima na maarifa zikuzunguke mtumishi !!?
@yukundamushi7048
@yukundamushi7048 3 жыл бұрын
We baba was Mbinguni tunashukuru kwa kutupa huyu Mwl anayetulisha Neno LA Maarifa na kujua namna yakukuishi na kujua kanuni za kuishi Ameen
@christinesavai884
@christinesavai884 2 жыл бұрын
Amen
@frankmtei3017
@frankmtei3017 3 жыл бұрын
Ameen
@yukundamushi7048
@yukundamushi7048 3 жыл бұрын
Endelea kumpa MAISHA marefu,na kumwongezea HEKIMA NA BUSARA TOKA KWAKO EE BABA WA MBINGUNI
@yukundamushi7048
@yukundamushi7048 3 жыл бұрын
We baba was Mbinguni tunashukuru kwa kutupa huyu Mwl anayetulisha Neno LA Maarifa na kujua namna yakukuishi na kujua kanuni za kuishi Ameen
@johndenis8768
@johndenis8768 3 жыл бұрын
Amen
@priscajonas1978
@priscajonas1978 3 жыл бұрын
Aminaa
@athumangervas865
@athumangervas865 3 жыл бұрын
Ameeeen saaaana
@athumangervas865
@athumangervas865 3 жыл бұрын
Tunabarikiwaaaa sana
@catherinegewe4183
@catherinegewe4183 3 жыл бұрын
Amen
@sweetsalia548
@sweetsalia548 3 жыл бұрын
Amen
@upendoeliudi5196
@upendoeliudi5196 3 жыл бұрын
Amen
@elizabethjuma2837
@elizabethjuma2837 3 жыл бұрын
Amen
@annawambura2889
@annawambura2889 3 жыл бұрын
Amen
@helenkimaro8251
@helenkimaro8251 3 жыл бұрын
Amen
MAMBO YA KUTOKUSAHAU UNAPOINGIA MSIMU MPYA WA  MAISHA
47:16
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 63 М.
КТО ЛЮБИТ ГРИБЫ?? #shorts
00:24
Паша Осадчий
Рет қаралды 1,2 МЛН
❌Разве такое возможно? #story
01:00
Кэри Найс
Рет қаралды 1,5 МЛН
MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:  KUSHUKURU KAMA ISHARA YA KUIMARISHA UHUSIANO WAKO BINAFSI NA MUNGU.
1:16:59
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 127 М.
MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
54:54
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 122 М.
MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE: UMUHIMU WA MAOMBI
1:27:33
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 30 М.
SADAKA NA FUNGU LA KUMI
48:56
RGC-TOANGOMA
Рет қаралды 20 М.
#2. CHAKULA CHA BWANA KAMA MAHAKAMA INAYOMPA MUNGU UHALALI WA KUHUKUMU MIUNGU
1:02:29
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 67 М.
MWL.CHRISTOPHER MWAKASEGE - JINSI YA KUITUMIA MALANGO YA FURSA KATIKA MAISHA YAKO.
1:21:35
FAIDA ZA IMANI UNAYOITUMIA KATIKA KUTOA SADAKA
1:00:32
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 147 М.
MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE : MAOMBI ENDELEVU UFUNGUA MALANGO YA FURSA KWA MUOMBAJI.
1:21:14
#1. CHAKULA CHA BWANA KAMA MAHAKAMA INAYOMPA MUNGU UHALALI WA KUHUKUMU MIUNGU
1:02:29
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 59 М.