Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri MH.KIKWETE AWAPA MAKAVU KAMATI ZA UFUNDI "MAFANIKIO YAPO KWENYE KUWEKEZA WACHEZAJI WAZURI NA KOCHA" #Bonatv #mkutanomkuuwayanga #kikwete
Пікірлер: 52
@thomasbutingo173 жыл бұрын
Mzee wetu Rais mstaafu tunakupend sana Mwenyez Mungu akulinde akuangazie kila ufanyalo
@cathbertmitoga97133 жыл бұрын
Kikwete utampenda tu.....mtu wa watu yaan kumsikiliza raha sana
@thomasbutingo173 жыл бұрын
Yes Mzee wetu Hana makuu
@henrystanley40773 жыл бұрын
Hahahahahaha... Rais wangu mstaafu ujue wewe ni muhuni sana...yani nmefurahi sana hotuba yako...nmecheka sana sbb unaongea ukweli huku unachekesha sana Sana yani...unafaa kuigiza..kazi nzur kbs inafuata sasa ktk kuokoa jahazi😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣yani sijachoka na sichoki kbs kuirudia hii...hahahahaha
@mchandsometz26443 жыл бұрын
Wa pili kucomment apa naomba like zenyu🔥🔥🔥
@evarensiabamala18643 жыл бұрын
Upo sahihi.....
@stn48733 жыл бұрын
Mzee Mpili huyo
@sanityonline45123 жыл бұрын
Huyu mwamba anaongea kwa motisha snaa hata huchoki kumskiliza
@yusuphabsaid81513 жыл бұрын
Wape salaaam
@scolakayanda71713 жыл бұрын
Kaongea point sn kuwalipa muhim sn kiukweli
@elisantewawa58243 жыл бұрын
Na kikwete akiedelea kuizamin yanga haitakaa ifanikiwe kamwe
@basilisamsaka84693 жыл бұрын
Jamani watu Wana rahaaa hata waliokunja nyuso miaka kadhaa,hv kwann?Mungu utusaidiie duniani.
@khalidballeth59573 жыл бұрын
Ndiomaana walikimbia uwanjani🙄 Kwa imani Ya Kamati Ya Ufundi🤣🤣
@salimramadhani52373 жыл бұрын
Unasema nn ww???? Mauyaaaa
@josephatmathayo23553 жыл бұрын
Wambieeeee
@hassankajembe88053 жыл бұрын
Hiki kichwa nakikubal sana
@khamissalim21323 жыл бұрын
Washirikina wakubwa nyieee
@ramsikhamis70833 жыл бұрын
😀😀😀Mzee umeongea fact saana na icho ndo kilichowafanya wakimbiyee iyoo tar. 8 na ilee bus yao inayochomokaga eksel shaft...
@FRANSKALITUSI49373 жыл бұрын
Mzee kasema kweli
@sawakilulu74253 жыл бұрын
Safi sana
@jamilamwenguvu85673 жыл бұрын
Manji ake,,,
@hermanmzule82713 жыл бұрын
Uto bwana,,,,,uchawi mwingi saaaana
@paskalinadaniel27533 жыл бұрын
I'm hmm hmm
@jumamnyambwa34903 жыл бұрын
B
@ameniameni6173 жыл бұрын
Magufuli Enzi za uhai wake akuwai kucheka kama .Kikwete
@hildantandu59093 жыл бұрын
We nawe,ujinga wako una PhD
@salamasaidi66203 жыл бұрын
@@hildantandu5909 😆😆😆😆
@bahatijoseph87633 жыл бұрын
Alikuwaa anacheka kwa step huyo
@mendradfabiani91173 жыл бұрын
Mmmh utafufua makabuli
@ilynpayne74913 жыл бұрын
Story ya ng'ombe nime cheka hatari
@amirlehao89453 жыл бұрын
Ganga hongo fc😂😂😂😂😂
@uwesusinde99763 жыл бұрын
Waambie hao utopolo wenzako tukiwaambia sisi wanaona tunawatania na kuwadharau sisi c kama hatutaki yanga iwepo ila ifike mahala mpir pesa iwekwe mezani.
@karoliwilliam88773 жыл бұрын
Na Mapaka je?
@kalaluwakisaka32113 жыл бұрын
Wambie wale Wa utopolo
@yusufufikiri50053 жыл бұрын
Mpili msikie jakaya anachokuambia.
@henrystanley40773 жыл бұрын
Kama usikia kicheko cha Rais wa watu piga like za kutosha hapa kuonyesha unamkubali Sana...hahahaaa