mulijificha Wapi Nyie watu karibuni tena maana tuliwamis Sana kama ww uliwamisi kama gonga like hapa
@chazylben77115 жыл бұрын
Ok
@michaelkapilimba31025 жыл бұрын
Asanten sana kwa simulinz nzur juuu ya cleopatra malikia mwenye akiri nyng sana
@justinebitariho11295 жыл бұрын
Thanks 4 this educative story.
@babymarrycharlesjames55016 жыл бұрын
my daughter Cleopatra 😍😍😍😍
@kinglance63655 жыл бұрын
Yani walioana Kaka na dada. Yote kwa ajilo ya madaraka daah kumbe uroho wa madaraka haujaanza Leo
@mezani7825 жыл бұрын
Big up kwa video nzuri. Misri ina visa na mikasa mingi sana.
@daudisimwinga13246 жыл бұрын
We missed sns so much
@vivianrobert71366 жыл бұрын
Niliwamiss Jamni... 😘😍
@kelvinwilliam51456 жыл бұрын
No 1
@shaibumandova61085 жыл бұрын
Dunia ya zamani ilitawaliwa na vita sana na usaliti wa hali ya juu. No kuaminiana
@sinyoritaqueen74356 жыл бұрын
Hasante sana kwa story nzuri 💝💝💝💝💝💟💗💕
@selector7285 жыл бұрын
sio hasante sema asante
@juliusishengoma97385 жыл бұрын
hongera umeeleza vzr, kuna kitu nmekipata juu ya maswala ya utawala na uongozi.
@Mariam-ez4qw6 жыл бұрын
Niliwamic sana SNS karb tena
@saudamanyongo57666 жыл бұрын
Asante sana
@josephmateru88926 жыл бұрын
Safi sana Mama Usingizi Wa Ndugu Yetu Kaka Yetu Kipnzi Cha Wengi Sauti Ya Dhahabu Fredrck
@johnmngoya29375 жыл бұрын
Hii sasa ndo simalizi na sauti big up
@rahimajuma6886 жыл бұрын
jaman mlienda wapi sns maana si kwakuwamis huku nilikuwa naona hata uvivu kuingia huku mana machanel mengine hayaeleweki kabisa karibu sn
@aishamattar63816 жыл бұрын
Mungu awabarikie
@godfreynyansira82274 жыл бұрын
Asante sana shemeji yangu baby sky, ,mke wa sky walker, najifunza mengi kupitia sns
@sammabula73596 жыл бұрын
omg kumbe mrembo huyu mrembo alijiua, nimeumia sana jamani
@evelynmon64916 жыл бұрын
Tuliwamiss sana sns welcome back 😍😍😍
@SimuliziNaSauti6 жыл бұрын
Thank u
@marymtui27086 жыл бұрын
karibuni tena
@mauwaukweli15645 жыл бұрын
What a nice history
@allthings13026 жыл бұрын
Jana niliangalia post ya mwisho sns ilikuwa 2 weeks back. Karibu tena
@mohamedidd73856 жыл бұрын
finally #Sns is back ,,,, thanks for coming again
@zainabualtz14556 жыл бұрын
Welcome back Sns 😍😍
@faithmwika76105 жыл бұрын
Mm
@thomasmakala20825 жыл бұрын
Msimulizi uko vizuri.
@elishafanuel6 жыл бұрын
Tuliwamisi Sana wana SNS
@isaacsitta19825 жыл бұрын
hi,wapendwa hamujambo,tukutane 2019topfriend what'sup kwa mambo mazuri zaidi
@dogguyful2 жыл бұрын
good documentary 👌👌👍👍
@francischiko37526 жыл бұрын
Egypt inahistoria kubwa sana kwnye hii dunia.
@semanasitv83035 жыл бұрын
inakuja kutawala dunia tena
@jeremiahevodius9257 ай бұрын
@@semanasitv8303sahau kama ulivyo sahau kunyonya ziwa la mama yako
@johnnzao64605 жыл бұрын
wkt wa Cleopatra misri ilikuwa haina nguvu tena, ilikuwa tawaliwa na Greece na muda huo ilikuwa inatawaliwa na Rome. Cleopatra alitumia nguvu zake kujilinda na maadui zake. kwa sababu alihofia kuuwawa kama ndugu zake
@batulajama41716 жыл бұрын
Nice
@ramahassanramahassan97155 жыл бұрын
nzuri sana
@princessshantel95396 жыл бұрын
Mumerudi kwa bidii #sns 💖💖💖
@angelbenward42446 жыл бұрын
niliwamiss 💛💛💜
@princessshantel95396 жыл бұрын
Angel Benward nimewamiss poa 💖
@mudyramadhani30206 жыл бұрын
mmlikua wapi nyie
@sammabula73596 жыл бұрын
nice
@mariamfritsi97615 жыл бұрын
Story nzuri sana.02.02.19.
@joycerichard50426 жыл бұрын
We missed you guys
@lukangongi64715 жыл бұрын
Pamoja
@AliBaba-zb3tg5 жыл бұрын
Duuh story zuri sana Sasa aya ndiwo maswali yakueka kwa mitihani
@jeremiahevodius9257 ай бұрын
Wewe huna akili
@enockyohana68565 жыл бұрын
Ila wagiriki walikua wababe Sana zamani....
@princekijay54506 жыл бұрын
Karibuni tena sns
@rockyvlogs22146 жыл бұрын
We are back
@johnsonenockmwasuluka64705 жыл бұрын
Cleopatra hakuwahi kuwa mzuri , Bali alikua Ana akili nyingi sana na mjanja, alikua Ana ushawishi mkubwa sana, ndio maana aliweza kuwatongoza Caesar na mark Anthony coz alikua na akili kupita kiasi Ila sio kwa uzuri
@emmanuelmatogoro93485 жыл бұрын
Alikuwa mgawa PAPA zaidi
@zamizozamy55285 жыл бұрын
The power of pussy not beauty
@ireneramadhani29755 жыл бұрын
simulizi nzuri aise, nimeipenda ,lakini ni kweli hizo historia mwezi na mwaka BC ni kweli au wanasema tu maana BC ni miaka mingi sana,
Hy nilaana mtu kuolewa n kakaake ...ndio imesababisha vita vilivyoowaandama
@cleopatrarobert81335 жыл бұрын
Woiii hili jina dah,historia yake siipendi ingawa ndo sina la kufanya Mungu aniepushe na hayo maroho khaa
@nickalreadyknows5 жыл бұрын
Cleopatra Robert 😂😂😂😂😂
@sakhamkhan35685 жыл бұрын
Hhjh ndo mmbo
@jemakhalifa68074 жыл бұрын
Leo ndio nimejua historia ya Cleopatra. nasikiaga tu
@dmgtza53653 жыл бұрын
Kaiser ndo Julius cezar
@angelanyauringo88826 жыл бұрын
ni hadith au kwer jmn uyu mdada naskiaga tu alikuwa mzr kuliko wanawake wote
@shabanmlekwa95135 жыл бұрын
Yeah, Cleopatra ndie mwanamke mzuri sana kuwahi kuwepo.
@johnnzao64605 жыл бұрын
Angela Nyauringo hakuwa mzuri kuliko wanawake wote, ila alikuwa na uwezo mkubwa wa kuseduce wanaume. alitumia clothing psychology.
@gracemsigwa59775 жыл бұрын
Nice story
@tegeisudastar45874 жыл бұрын
Mwanamke mzuri kuliko wote anaitwa rabia tafuta vitabu ndugu
@abdulrahmanhassan38255 жыл бұрын
Hii history wameicheza movie yake nieiyona nzuri sanaa
@mihambokitambo4215 жыл бұрын
inaitwaje
@gonjadunus80005 жыл бұрын
MIHAMBO KITAMBO porus
@najytv22945 жыл бұрын
Bofya link hii kzbin.info/door/0qI9ju78TVEAjz156RLTPQ kutazama video nzuri za ndoa, Usisahau ku-Subscribe na Kuacha comment
@humphreymorise5 жыл бұрын
black khemet GOD
@lupakisyomsese82105 жыл бұрын
Zahil Ally Zolo alimuimba huyu mtu.inasemekana alivaa nguo za halili mikufu ya zahabu uzuri wake ilikua ajabu miongoni mwa wanaume.
@joleenmasha6 жыл бұрын
eeeh yani aliolewa na kakake du hiyo kali
@ramadhanmsaghaa96395 жыл бұрын
Sio kaka yake mdogo wake akiwa na umri 14
@bulayaconfidential72125 жыл бұрын
aiseee!!
@mandyfitnesstv67386 жыл бұрын
Cleopatra
@sibiromallya58945 жыл бұрын
tamuùuuuuuu
@King_Of_Everything Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️
@seifmohamedseif93845 жыл бұрын
cleoptra alikua mapepe naona
@WASAFITVSTORYBOOM6 жыл бұрын
Subscribe channeli yangu ili usipitwe na mpira
@umojaafrika24474 жыл бұрын
Cleopatra alikuwa mweusi
@adamhashimu44625 жыл бұрын
story nzur,unisimulimulia vzur sns
@nanajoseph85155 жыл бұрын
Jaman zaman walikuw wanavaa vilemba cjui vya chuma duh
@thehost98095 жыл бұрын
Vililembwa kwa dhahabu na hariri
@sarkodieobidima28985 жыл бұрын
saaaaaafi elimu aina mwisho
@hangayamalongo17725 жыл бұрын
sarkodie obidima yase
@hawaynatimam9824 жыл бұрын
Inamaana wameona kaka na dada
@nkubankuba14895 жыл бұрын
Roma sio dini ni dola inaotawala kwa nguvu na mabavu.
@FromMzansi5 жыл бұрын
Ceopatra ni baadhi ya viongozi wapumbavu walioiua Misri na kuipa laana kuu
@platnumtanya28805 жыл бұрын
From South Africa kwann??
@fredymwaya64185 жыл бұрын
Hawa akina Kleopatra wapo hata sasa wakitaka kutawala mahali wana mlainisha yule mwenye nguvu kwa Mapenzi. haya Mimi ilinitokea wakati nimepata cheo flani
@butondodavid21055 жыл бұрын
Hebu tupe story mkuu ilikuaje
@elizabendera13935 жыл бұрын
😂😂😂
@AKaline125 жыл бұрын
Hahaha
@zamizozamy55285 жыл бұрын
Kwasababu ulikuwa Bwege
@abdullherry30725 жыл бұрын
Kwer wanawake kugawa gawa papuchi yao haikuanza leo
@selector7285 жыл бұрын
siy kwer sema kwel
@awalimunishi5 жыл бұрын
wanawake wa kimisri wajanja mnooo
@abuibra5 жыл бұрын
😂😂😂UNASEMA WAZEE WAKE CLEOPATRA WALIKUWA WAJINGA NA DHAIFU?!!!!MPUUZI SANA WEWE.
@alijuma47475 жыл бұрын
Abuu unajua maana ya ujinga???
@adamkaita30095 жыл бұрын
sasa hii story mbona inachanganya wengine wanadai cleopatra kifo chake kilitokana na kuumwa na nyoka mwenye sumu kali cobra hii story inasema aliuawa na Anthony.
@jojo_linkissabiny52385 жыл бұрын
😄
@mapenzimatamu52896 жыл бұрын
Mnapotosha history, warabu hawana majina ya kizungu
@absonmhema42875 жыл бұрын
Mhhhh! Umekurupuka na history yako!.
@amosrweyemamu32825 жыл бұрын
Acha kukariri wewe
@alimatari94025 жыл бұрын
Ulikuwa wasikiza wapi kwani?!!!! FAMILIA YA KIFALME WALIKUWA WAGIRIKI NA SIO WAALISIA WA MISRI
@tonyelshabbaz5 жыл бұрын
Umekurupuka , walikuwa wagiriki
@johnnzao64605 жыл бұрын
uislam umeingia msiri miaka ya 1000+ AD. kabla ya hapo hawakuwa waislam
@samsondecoman9835 жыл бұрын
kwaiyo dola yarumi ninini? aundokama Euro yasasa ivi?
@tenatanz5 жыл бұрын
mmelud
@maryammarym44376 жыл бұрын
Mmepotea tuliwamis
@mudyramadhani30205 жыл бұрын
kwhy kumbe mov ya porus ni histoly ya kwel!!
@mnyampaamnyampaa57805 жыл бұрын
Huyu msimuliaji anatumia kigezo gani kumuita mfalme mjinga?