I have been following you Hon Jerry S, am impressed 👍, good job may God bless you
@shariffsagaf23055 ай бұрын
Napenda sana waziri anavyofafanua na anavyo ongea naamini mheshimiwa ni msomii wa hali ya juu sana.naomba mungu ampe kila la kheri
@RodriguezOdhiambo5 ай бұрын
PhD ya sheria imetulia kichwan
@زيتونتنزانيا5 ай бұрын
@@RodriguezOdhiambosana
@JulianaSanga-h1f3 ай бұрын
katika mawaziri wa ni waziri mtenda kazi kwelikweli pia una hofu na Mungu na unahujumu kwa haki Mungu akuogoze na mabaya roho za hussda bwana yesu akipigania sana damu ya yesu ikifunikeyesu atembee na wewe itokayo uingiapo viongozi kama huyu silaha ndiyo wanatakiwa sio kiogozi anachaguliwa anakaa tu na viti vya kuzunguka ofisini hatari wananchi anataka kufuatwa baba hongera sana kwa hekima busara Mungu akulinde sana nasi tunakuomba kila siku
@saidsuleiman17533 ай бұрын
Sidhani kama ana hofu ya Mungu, ninachokiona yeye hufuata sheria za nchi na katiba hivyo kama aliyekudhulumu kafata sheria atampa haki, tofauti na Makonda ndio mwenye hofu ya Mungu
@alexkabeho56093 ай бұрын
Pole mama, waziri anaenda na official paper, ata hivo ni zamani na maisha umeendelea nayo, watoto wamekua watatafuta tu
@adelatusiadolph89115 ай бұрын
Sema wazir mvumilivu sana
@rashidnassor56085 ай бұрын
Pole mama yangu
@idrisadalluc44985 ай бұрын
Nakukubali sana waziliwangu huna haraka huna hasira
@abubakarsuleman19835 ай бұрын
Katika waziri mwenye kazi ngumu ni huyu kuliko wote, mungu amsaidie avuke salama, amjaze hekima na busara zaidi, ampe nguvu za kuwashinda maadui wanaomzunguka na wanaomsogelea Amin.
@jedidahbintidaudi82413 ай бұрын
haswaa kaka yangu mwema. shukran kwa dua zako. alafu mtu wa watu kajaliwa elimu na Hekima ya Mungu kutatua kwa haki..ushanskia
@alfabesh5 ай бұрын
ninampongeza huyu waziri anazungumza kwa kwa adabu za hali yajuu sana wala aenuwi sauti ya juu kabisa
@mohamedfogo88204 ай бұрын
Sasa viwanja vikipimwa wamiliki wa asili kwa nn wasipewe kipaumbele?
@NzingulaSonda-lo1qc5 ай бұрын
Hii tanzania masikini hana chake
@kyannickk2be4 ай бұрын
Kuna vy kujifunza vingi sana katika utaratibu wa kununua viwanja na kuweka rekodi sahihi za documents, ni bora kufuata na kukamilisha aratibu ambazo ni salama kwako kwa njia iliyonyooka
@modestmmass77025 ай бұрын
pole jamaniii😂😂😂😂
@soamesphares3 ай бұрын
Hizi video za Waziri wa Ardhi zinaonyesha mpasuko kwenye utoaji elimu...video kama hizi zionyeshwe mashuleni. Watoto wajifunze sheria na haki zao za msingi kwenye umiliki wa ardhi. Hiki kilio hakitakwisha leo wala kesho tusipoweka msukumo kwenye elimu.
@patriciamakoye15462 ай бұрын
Huyu mama anaukweli ndani yake,ila ndohivyo
@mzalendomzalendo25675 ай бұрын
Tatizo wenyeviti wa mitaa darasa la saba felia, na ndio wanao shirikiana na madalali kuuza viwanja hawana wanacho poteza hapo wao, ila serikali iwasaidie hawa maskini wanao chukuliwa mashamba yao na kuuzwa
@israelkisaila84015 ай бұрын
Yani walimu kila mahali wananyanyasika tu😢
@jasonwatz74575 ай бұрын
Hawajitambui
@Fhfhfhfhf785 ай бұрын
Wala hawataki kuelewa 🙆♀️
@israelkisaila84015 ай бұрын
@@jasonwatz7457 oooooo jamani,kweli hawajitambui?
@tabuomary10164 ай бұрын
Ukiibiwa ndipo utajua Ni kweli au si kweli.
@AnethMushi-c3e2 ай бұрын
Wanajinyanyasa wenyewe!
@AllySalum-j9y5 ай бұрын
Mboniii kamaaa mama tabuuu ikooo kiwanjaa chakeee wazirii katerezaaa
@onesmokway5 ай бұрын
Kama umemsikiliza Waziri vizuri kuwa Shamba lilichukuliwa na Halimashauri 1992 na likapimwa likagawanywa sasa mama tabu kakabidhiwa kwa kamishna wa Aridhi aende ofisin wakaangalie utaratibu uliotumika kuchukuliwa kwa shamba hilo kama kuna haki anapaswa kupata atapata kutoka Alimashauri Waziri kamaliza mgodoro kati ya Mama tabu na Huyoo mzee Mmasi na Mama tabu sasa yeye anapaswa kwenda kwenye ofisi ya aridhi kuangalia halimashauri ilitumia utaratibu kuchu
@abuahmed57345 ай бұрын
Mama ana haki hapo
@abuahmed57345 ай бұрын
😂
@emanuelpetro95915 ай бұрын
Kwahiyo kwa kusema hivi mauzo ya watu waliouziwa na watu kwa usimamizi wa mwekiti hayatambuliki na mtu kafukuzwa kwa maana hii unamaanisha waliouza kwa usimamizi wa mwenyekiti,hata wakiuza mara mbili kwa kufuata utaratibu unaopaswani sawa tu? na aliyeuza akawa na haki tu! Hauoni kuwa hii Inachochea migogoro? Maana waliouziwa kwa usimamizi wa hawa wenyeviti ni wengi sana?
@harunachungu27425 ай бұрын
Ni hivi viwanja vilivyo pimwa tuu unauziwa na mwenyekiti then unaenda ardh kuomba ofa .ukikuta kinaofa ujue umepigwa ukikuta hakina ofa bas unaweza kupewa
@aishakimaro27954 ай бұрын
Mmh kwakweli hapa nahisi huyu mama pia anahaki
@SaidMohamed-k9h5 ай бұрын
Yaani zanzibar tungepata waziri kama huyu matapeli wangenyooka
@FlorenceOttaru-jv4fi5 ай бұрын
Mwaka 1992 hata hao makamishna wa ardhi hawakuwa kazini
@MwanaishaShattry5 ай бұрын
Waziristan njoo Mafia
@merinacosmassakaya41685 ай бұрын
Katika waziri mkweli na mvumilivu ni huyu! Huyu tabu hata aibu haoni anataka kuchukua eneo letu bila aibu! Mungu akulinde mr waziri nimeamua viongozi wa kweli wapo
@MullarCmk5 ай бұрын
As family we are happy ...Ila tabu anapata tabu kweli
@bakarially2535 ай бұрын
Kila mtu anahaki Ya kutetea mali yake
@tabuomary10165 ай бұрын
Mwalimu Tabu yake yupo sahihi. Mama yake alizaliwa hapo walikuwa na Mifugo , Sasa iweje leo Mmasi awe na hati tena 15 , sasa je ni sawa. Mwalimu awe na Moja ? Mama yake hakuwa na uwezo , umasikini ni shida. Mtu ananyimwa haki yake. Mh Waziri jitahidi Rudi Tena kwa utulivu. Kamishna amedanganyanywa . Na bahati mbaya mama alikufa . Je tutafika ?
@jedidahbintidaudi82413 ай бұрын
@@tabuomary1016 oh jmni mama wa watu
@kibwanasimba64315 ай бұрын
Mm muishimiwa na kukubali sana ila hao watendaji wako kwamaelezo ya mama amesha wafuta mara 4 Leo wewe ulitakiwa uumalize huo mzozo tofauti na hapo huyo mama anadhulumiwa na kupenda sana waziri wangu lakini hapo nahisi haipo sawa
@RAMADHANSIKWA-r5o2 ай бұрын
Duh,,,, aise huyu nimtu Hana upendeleo mungu akubarik
@karamamomo54345 ай бұрын
Waziri upo sw kwa mujibu wa sheriya lkn makamishina wako hamna kitu hawakufanya haki kwa huyu mama na family yk wamezaliwa hapo tangu miaka/mwaka 1960 leo wanakuja kuambiwa hawana haki ktk eneo lao na kushinda kesi wtt walio zaliwa wakiwaona na kuwafundisha mwenyewe darasan kweli inaingia akilin umewapa ushindi usiyo wa haki ……⚖️
@modestmmass77025 ай бұрын
hujui kinacho endelea wewe
@tabuomary10164 ай бұрын
Mungu atatenda kwa mwalimu, Dhuluma kubwa Sana imefanyika kwa Mwalimu.
@evancykashaga65764 ай бұрын
Kweli namimi sijui sheriya ila hapa kiukweli naona kama haki ipo kwa uyo mama
Mwalimu sheria imechukuwa mkondo wake Acha kujiliza liza. Silaha kuu yenu wanawake ni kujiliza lakini haki leo imebainika. Waziristan Salaam aisee nakupenda bure tu kwa haki unavyoipeleka. Mungu azidi kukubariki
@betricemainoya41763 ай бұрын
Wachakuongea hivyo ni vile tuu halijakupata, watu wanadhulumiwa kwa kukosa elimi na maarifa
@kesterkanyala77185 ай бұрын
Hapa Kuna kujifunza Mengi SANA.... -Watendaji wa Kata,hawahusiki
@silvanusremmy95754 ай бұрын
Silaa ya maangamizi ni KULIA na kusema MIMI NIMASIKINI,, uonewe huruma.
@JescaMwagama-oc9yt5 ай бұрын
yan mpaka naogopa kununua kiwanja hekaheka
@tztanzania22625 ай бұрын
We ni Mimi kabisa yaan naogopa mnooo
@tariqmaduga80515 ай бұрын
Mimi nimeshapigwa nimetulia tu apa na mapumbu yangu.
@gts50075 ай бұрын
Usiogope, kaanzie Ardhi
@marianmartin74835 ай бұрын
Chapa kazi waziri, unatenda haki kabisa. Mwenyezi MUNGU akusimamie mh. Kulia kwake hakusaidii, sheria imefuata mkondo wake.
@hajjiomary23834 ай бұрын
Usinipeleke ivyo me ndo nimewaita hapa nimeipenda iyo
@faustinombilinyi98093 ай бұрын
Hana documents zozote kazi kujiliza tuuu utasaidiwaje waxiri mwenyew gawez kukusadia huna taarifa zozote kazi kujikiza mwenzio anataarifa za mwaka 1992 2010 ww huna unaongea kwa mdomo tuuu hii shida sn
@mswakisaid23204 ай бұрын
Bila shaka hilo eneo lilikuwa zururaji. Sasa hivi zama za mawe zimepita hazipo tena mwl. Muda mrefu upo umeshindwa kulichukulia sheria eneo la mama yako. Sasa anzia hapo. Bila shaka hapo umejifunza kitu cha kisheria kitakusaidia kwa yajayo.
@evancykashaga65764 ай бұрын
Daa Mungu akusadie sana asee inaitaji ujasiri mwingi sana na moyo mkuu
@athumanimhina18693 ай бұрын
Huyu mama anadhulumiwa,hawa makamishna wa ardhi kww nini waziri hawachukulii hatua?leo unaambiwa kange ni eneo la viwanda lakini nyumba zimejengwa,umeme upo maji yapo na wasambazaji ni haohao serikali inamaana hawajui kama ni eneo la viwanda?mwasubiri watu wajenge ndio mje na sera za ardhi,kuhusu suala lakusema mwenyekiti wa kijiji hahusiki na suala la ardhi je vijijini kuna maafisa ardhi?wangekuwepo watu wasingehangaika na wenyeviti na watendaji wa vijiji
@EmanuelKini5 ай бұрын
Fukuza makamishina unawatetea wanini
@israelkisaila84015 ай бұрын
Maswala haya ya ardhi nadhani kuna siku nitakujaga kulala nje,nimejenga kwenye kiwanja cha baba na wala sijui kama huwa ana hati na hata sijui hati inafananaje aise😂😂😢
@Fhfhfhfhf785 ай бұрын
🙆♀️🙆♀️
@israelkisaila84015 ай бұрын
@@Fhfhfhfhf78 kweli, yani nije nimuulizie mzee wangu anipe kabisa
@fettyrashid90425 ай бұрын
😂😂😂umeacha nimecheka
@IsraelKisaila-vm6vj5 ай бұрын
@@fettyrashid9042 Yani hata Leo skijitokeza MTU na makaratasi yake akasema,hapa NI pangu,wala sina kipingamizi chochote MAANA mimi SINA karatasi yeyote inayohusiana na ardhi kiukweli.
@fettyrashid90425 ай бұрын
@@IsraelKisaila-vm6vj Jitahidi uanze kufuatilia my friend lasivyo litakupata lakukupata,tunatakiwa tujifunze tuache kuishi kimazoea hata mjomba akikupa ardhi tujitahidi kwenda ofisi za ardhi
@FatumaLali-k7z3 ай бұрын
Waziri hukumpa nafasi huyo mama na hata hukutaka kusoma nyaraka commissioner kakudanganya. Mmasi kafanyiwa demacation kwenye shamba la nani??
@RamadhaniAlphani-j6g5 ай бұрын
Inamana muda wote wenyeviti wanauza viwanja hamufamu? Mulitoa elimu gani kwa wananchi
@YusuphJuma-x7k3 ай бұрын
Kweli katika wizara yenye dhulima ni ardhi kwa stayli hii tutapigwa sana Sasa kwanini hawa viongozi wa serikali za mitaa wanauza viwanja Hali yakua sheria haiwatambui?
@evancykashaga65764 ай бұрын
Kwakweli apa waziri naona maji yamezidi unga kabisa ila bado unaweza kufanya vyema zaidi kaza
@manfredkibona31265 ай бұрын
Unalilia haki ya umiliki ardhi wa asili , yaani unawahi kusema hapa pangu 😅
@EdnaMuro-tx8os3 ай бұрын
Et we mama unanizungusha 😂😂 uc choke mkuu ,n mtu mzima anaitaji kueleweshwa mno
@inocentlema55745 ай бұрын
Nilitaman sn wazir aombe documents zinazoonyesha kuhamisha eneo kutoka kwa mama yake mwalimu kwenda kwa jiji
@saidalhinai11315 ай бұрын
Watu wa ardhi hao ndio wsabaya wamewapa ardhi wa tu ambao hawastahiki na mwenye haki anadhulumiwa na waziri hana makosa
@RamadhaniAlphani-j6g5 ай бұрын
Hapana hii ni dhuma munabadilishijaje umiliki bila kumpa huyo mama tarifa
@MullarCmk5 ай бұрын
I can see my father and my brother .....DISMAS COSMAS IS TYPING........😂😂😂
@muaminiadamu23615 ай бұрын
Wazinguaji ni watumish wa Ardh. Bila kujua chanzo hicho hizo ni siasa tu
@LovenessFedrick-cy9fh5 ай бұрын
Hizi ardhi jamani ni kilio 😢
@satyalarm22144 ай бұрын
JAMANI mimi mbona naanza kulia mapema, maana nimenunua nimepewa mkataba wa kiwanja sio ati ya kiwanja
@Zenny895 ай бұрын
Mama Tabu ni tabu Kweli 🤣🤣 Huyu mama ni Mwalimu asiye elimika.
@rexgodwill73535 ай бұрын
Sasa anafundisha watoto shule wanakuwa wabishi 🤣🤣
@AminaAmine-v4m5 ай бұрын
😊😊😊😊😅
@maryamabdallah31405 ай бұрын
Anawafundisha UBISHI😊@@rexgodwill7353
@JosephatJohn-vb6zc4 ай бұрын
Tunao nunuwa viwanja kutumia mweyekiti wa mtaa tujuwane😂😂😂😂
@Bashitetako5 ай бұрын
Tabu hakudhulumiwa sema anataka ahodhi eneo lote
@PapaMobimba-xr4gs5 ай бұрын
Upo sahihi
@tabuomary10165 ай бұрын
Mwalimu na familia yake wamedhulumiwa. Hii issue irudiwe , ichunguzwe, ili haki itendeke . Mungu anawaona . Iko siku.
@Bashitetako5 ай бұрын
Duh tunalilia ardhi inayo tumeza kila siku
@zariadunia63285 ай бұрын
Watu wa Tanga mjini ni wajuwaji bila maarifa kichwani
@FatumaMohamedi-t6t5 ай бұрын
Mi mwenyew niliuziwa km huy mam namwekit na mwenye eneo niliporud ten nikakuta kimemegwa kauziwa mwengne nilichofanya nilimwambia huyo mwenzangu nipe pesa nikuachie palipoba niondoke sitak kelele bas nikajiondokea zangu.
@issakisalu92375 ай бұрын
Huyu mama hajauziwa na mwenyekiti, huyu hili ni eneo la mama yao la asili kwa miaka yote na wao (yeye na dada zake) wamezaliwa hapo inakuwaje serikali inakuja kupima inawapa watu wengine na sio wao waliokuwa hapo je serikal ililichukua hilo eneo kutoka kwa nani? Hapo ni uonevu wa waziwazi angekuwa mh makonda kwa stahil yake ya uulizaji jibu lingepatikana, haiwezekani eneo kutoka umiliki wa asili lipo kwao alafu linavyopimwa linakuwa kapewa mwingine, HAPO MAMA ATAIPATA KWA MUNGU HAKI YAKE.
@japhetgeofrey20635 ай бұрын
Daaah roho imeniuma
@khamisali99075 ай бұрын
Inasikitisha sana
@israelkisaila84015 ай бұрын
Tafuta uchawi tu mwalimu Tabu😂😂
@uzimameditv81485 ай бұрын
Huyo mama anaongozwa na kweli ya roho yake
@jeanmusamba84485 ай бұрын
wizara hii mama nafanya vizuri sana au aliwahi dhurumiwa kiwanja eti?mbona wizara nyingine kero ziko nyingi hamna haya
@KhamisHaji-pw4jo5 ай бұрын
Waziri toeni elimu kwa wananchi kuhusu sheria,,,,,tatizo mnaficha kutoa elimu
@rosemarykipesha38985 ай бұрын
Me kama vwanja havijapimwa nani anahusika kama Sheria haimtambui mwenyekiti wamtaa?
@issakisalu92375 ай бұрын
Wazir kama mgeni na mambo ya nchi hii, kuhusu kujisifia na kutishana ni mambo ya kawaida sana, wala usishangae hilo
@kaimukhamis78985 ай бұрын
Sema mama mbishi kikao kizima kasikilizwa yeye to
@vickyadrian15035 ай бұрын
Kaka yangu nikinunua kiwanja this day nakutumia in box maana haya ni magumu na mapito pole sana
@daudpius1305 ай бұрын
Huyo mama inavyo onaonekana anahaki kabisa
@hildagabriel10035 ай бұрын
Pengine Hana haki lkn upatikanaji wa pesa ni mgumu ndugu inauma umejinyima umepambana umepata million zako 2 hata miaka mitano umejibana tena baada ya hapo hata miaka 10 umejenga Leo unaambiwa huna haki ukiangalia una watoto ukiangalia hujui uanzie wap
@LangoimiagieLangoi5 ай бұрын
Kwa elimu ninayo pata kwa waziri slaa nitaheshimu taratibu za ardhi
@StanleyMhagama-k4v5 ай бұрын
Huyu mama yuko sahihi sema sasa Nchi hii ina uhuni mwingi sana
@bakarially2535 ай бұрын
Shida ya hapa ni Elimu juu ya umiriki Ya Ardhi Pia hizo dimecation ndio shida. Watu wnapaswa kuelimishwa Kuwa kuna tofauti Ya kumiliki na kupangishwa ardhi kutokana na sheria Ya Tanzania kila mtu yupo kwenye Ardhi kama mpangaji. Mfano serikali leo ikiamua kuvunja mkoa mzima wa Dar watu wote watahamishwa kwa kupewa gharama ya ujenzi tu na sio wa ardhi. Sasa hii elimu serikali inapaswa kuitoa kwa wanainchi kupita wakuu wa wilaya
@eshymushi34955 ай бұрын
Kabisa kuna kamchemzo ambako waziri haujui
@djumakonki19645 ай бұрын
usilie kuhusu hicho kiwanja
@emmanueltamilamakene84955 ай бұрын
Mungu akubariki Waziri wa Ardhi Mhe Jerry Silaa
@kunsah25 ай бұрын
Amen.
@saidsuleiman17533 ай бұрын
Mwalimu shukuru Mungu hakuna atakaeondoka na Ardhi najua inauma sana kudhulumiwa ila haki ya mtu haipotei kama ni ya kwako itarudi tu hata kwa namna nyingine
@kaaakwakutuliaa51795 ай бұрын
uyu waziri ata felii sana eneo la mtu na ni mali ya mzazi wa mtu sio fair
@gipsonbamuhaga29763 ай бұрын
Mweshimiwa waziri plse hapo kuwa na macho ya mbali msaidie huyo mama Nimejifunza kitu hapo ushirikishwaji haukuwa mzuri. Angalieni namna ya kuwafidia hiyo familia vinginevyo hata mm nimeumia sana. Mungu yupo haki haipotei hata siku moja
@MullarCmk5 ай бұрын
Tabu anapata tabu kweli...kumbe kaka yake kadhulumu kingine....majirani wengine miyayusho
@AnethMushi-c3e2 ай бұрын
Huo mjina wenyewe
@faustinombilinyi98093 ай бұрын
Mama mbishi hana documents daaah waziri unamoyo sana kiukweli shida sn hivi huyu mwalimu gani anazungushwa hajui kusoma
@romanamassawe8145 ай бұрын
Mmemzulumu huyo Mama, Jerry silaha MUNGU anakuona
@tabuomary10165 ай бұрын
Tena wamemzulumu waziwazi , Hapo wamekuzunguka na wanakuhoji tena kwa ukali. Wanakupa amri zisizo sahihi. Mwenye Eneo anapewaje kiwanja kimoja, mchaga anapewa 15, anawauzia watu wengine ,je hii ni sawa?
@romanamassawe8145 ай бұрын
@@tabuomary1016 huyo Jerry silaha kampachaga 15 kwasababu wote wa kabila Moja , Jerry mpare na huyo aliyepewa 15 ni mchaga,
@ernestmununge3485 ай бұрын
Inaumiza sana kutojua Sheria tunaomba wizara ya aridhi waelimishe watanzania juu ya umiliki wa aridhi Hadi machozi yamenitoka kwa mama huyo kutotambua Sheria ya umiliki wa aridhi. " Haki haipotei inacheleweshwa"
@kaimukhamis78985 ай бұрын
Wazili wangu samahani kidogo Apo kwenye kuona ofsa naomba unia una weza maliza miaka yako yote ya kuishi duniani nausimuone arafu wote tungekua tuna nunua viwanja mpaka juje huko hii Tanzania ss tusinge miliki nyumba maana ss waviwanja vya raki 8 singe skilizwa
@monalisaally43875 ай бұрын
Huyo mama hana adabu maan kinacho mfanya asimame kitu gani
@harounramadhan97715 ай бұрын
Ina wezekana were ndo Huna adabu ungejua anapitia magumu kwakuona ana.nyimwa hakiyake Sikulikikukuta ndo utajua
@MullarCmk5 ай бұрын
Mama tapeli
@monalisaally43875 ай бұрын
@@harounramadhan9771 wewe ndo huna adabu sijui ni mama yako yule .Mbona waziri ni mtoa haki sana kwanini yeye hakose haki?
@tabuomary10164 ай бұрын
Wewe ndio huna adabu, na siku mama yako akidhulumiwa ndio utakapojua. Kwahili nikuambie ukweli Waziri amedanganywa na makamisha , na iko siku haki itapatikana.
@saidsuleiman17533 ай бұрын
Ukimsikiliza kwa makini huyu Mwalimu unaona anayoyasema yana mantiki ila Waziri hataki kumpa nafasi
@AbubakariKisuju5 ай бұрын
Waziri anatenda haki hayupo kumuonea mtu
@christinewomanoffaith54793 ай бұрын
Okay Kuna mdau kaelezea vzr sn Nimeelewa, kumbe wengi hawaelewi wanafikiri waziri kakosea
@LangoimiagieLangoi5 ай бұрын
Mpaka apo nishapigwa ekar 40 Mungu anamwona hyo alienitapeli😂😂
@AminaRamadhan-mg9lj3 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅poleee
@AminaRamadhan-mg9lj3 ай бұрын
Mamboo yenyew ndohayaaa Bora nilee helaa yang kwanziaaa leoo😅😅😅😅😅😅
@aliabdallah84565 ай бұрын
Mimi naona maafisa wa ardhi wliochini ya waziri ndiyo wenye shida ya kutengeneza migogoro yatakiwa mahakama iwachukulie hatua za kisheria kugonganisha watu na serikali yao
HUYU MWALIMU HANA ADABU ANASIMAMA MBELE YA WAZIRI?
@DerickNgowi-mf5pe5 ай бұрын
Wazri ndo nini kwani mungu huyo si ni mtu tuu au 😏
@bagalucha5 ай бұрын
Nimemfuatilia waziri Slaa,kwa kweli anastahili kupongezwa,amefit kabisa,na yupo juu ya haki,pongezi Dr Slaa
@abdullayahya87173 ай бұрын
Tatizo watendaji na makamishna wa ardhi ndio chanzo cha migogoro
@tabuomary10165 ай бұрын
Sasa huyo HONEST COSMAS MMASSI anaongea Kama Nani ! Mmasi haongei kwanini ? Mmasi achunguzwe. Waziri amepigwa changa la macho. Kuna umuhimu wa kipekee turudi kwakaheza. Pia maamuzi ya mahakama hayafuatwi . Nikiiangalia hii Clip napata picha na elimu ya kutosha. Mwalimu ameonewa. Yaani inauma Sana.Mmassi achunguzwe. Haki itendeke.
@AnethMushi-c3e2 ай бұрын
Mmas ni mchaga na wachaga Kwa ardhi!!
@rahema9075 ай бұрын
Masikini hana haki siku zote
@theresiajames75743 ай бұрын
waziri mpaka umalize mvi zitakuwa kama za hayati baba wa taifa
@KhamisHaji-pw4jo5 ай бұрын
Maskini miaka yote hana haki
@idrisadalluc44985 ай бұрын
Nikifuatilia mamboyako kwangu nidarasa tooosha kabisa wazili wangu
@khalsasalim79305 ай бұрын
Wizara yako inamagumashi huyu kapewa zamani huyu kapewa sasa yani mtihani
@alphoncembasa5925 ай бұрын
Swali la mama kuwa kabla hawajapanga eneo hilo lilikuwa la nani na kama walichukua je kwa utaratibu gani
@zaytunhijja67715 ай бұрын
Ww kichwa chako km huyo mwalim hebu skiliza vizur
@ZahoroHamisi-l2d5 ай бұрын
Kaka wapo wengi sana wanaweza kusikiliza lkn wasielewe kwaufupi waziri amikiri eneo lilikuwa la mama yake almashauri wakalichukuwa nakupima viwanja vyamakzi kuzia mwaka 1992.kuzia mwaka uo kuja na elfumbili halitambuliki kama shamba tena nimakzi yawatu wakapewa viwanja pamoja nawao wanafamilia Sheria ya nchi pia ujue Aridhi yote nimali ya serekari wakitaji Aridhi sehemu yoyote kwajili ya matumizi ya uma wabachukuwa na kulipa fidia kwahyo alichoambiwa mama afutilie kipindi shambalao linachukuliwa 1992 walilipwa fidia km awajalipwa atalipwa sio kudai kiwanja au eneo lile lile Liwe lao
@kitomondo5 ай бұрын
@@ZahoroHamisi-l2d Kama walilipa fidia, lazima rekodi zionyeshe. Kuna utaratibu wa kutwaa maeneo na hilo eneo limetwaliwa kinyume Cha utaratibu, hivyo hati zote hapo zipo kinyume Cha utaratibu.
@joyce557275 ай бұрын
@@ZahoroHamisi-l2dasante kwa ufafanuz pia mm sikua nimeelewa hivyo ndio inatakiwa sio km wengine ni kutukana tu
@vifarangakuku90985 ай бұрын
Asante kwa kutuelekeza kwa ufasaha nisingelewa chochote barikiwa