MHE.JERRY SILAA AMCHARUKIA MWALIMU || WEWE SURVEYOR WA MKOA || MWALIMU ATOA MACHOZI ( Part 2 )

  Рет қаралды 50,101

RAI TV

RAI TV

Күн бұрын

Пікірлер: 222
@lukemelyemwenga2910
@lukemelyemwenga2910 2 ай бұрын
I have been following you Hon Jerry S, am impressed 👍, good job may God bless you
@shariffsagaf2305
@shariffsagaf2305 5 ай бұрын
Napenda sana waziri anavyofafanua na anavyo ongea naamini mheshimiwa ni msomii wa hali ya juu sana.naomba mungu ampe kila la kheri
@RodriguezOdhiambo
@RodriguezOdhiambo 5 ай бұрын
PhD ya sheria imetulia kichwan
@زيتونتنزانيا
@زيتونتنزانيا 5 ай бұрын
​@@RodriguezOdhiambosana
@JulianaSanga-h1f
@JulianaSanga-h1f 3 ай бұрын
katika mawaziri wa ni waziri mtenda kazi kwelikweli pia una hofu na Mungu na unahujumu kwa haki Mungu akuogoze na mabaya roho za hussda bwana yesu akipigania sana damu ya yesu ikifunikeyesu atembee na wewe itokayo uingiapo viongozi kama huyu silaha ndiyo wanatakiwa sio kiogozi anachaguliwa anakaa tu na viti vya kuzunguka ofisini hatari wananchi anataka kufuatwa baba hongera sana kwa hekima busara Mungu akulinde sana nasi tunakuomba kila siku
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 3 ай бұрын
Sidhani kama ana hofu ya Mungu, ninachokiona yeye hufuata sheria za nchi na katiba hivyo kama aliyekudhulumu kafata sheria atampa haki, tofauti na Makonda ndio mwenye hofu ya Mungu
@alexkabeho5609
@alexkabeho5609 3 ай бұрын
Pole mama, waziri anaenda na official paper, ata hivo ni zamani na maisha umeendelea nayo, watoto wamekua watatafuta tu
@adelatusiadolph8911
@adelatusiadolph8911 5 ай бұрын
Sema wazir mvumilivu sana
@rashidnassor5608
@rashidnassor5608 5 ай бұрын
Pole mama yangu
@idrisadalluc4498
@idrisadalluc4498 5 ай бұрын
Nakukubali sana waziliwangu huna haraka huna hasira
@abubakarsuleman1983
@abubakarsuleman1983 5 ай бұрын
Katika waziri mwenye kazi ngumu ni huyu kuliko wote, mungu amsaidie avuke salama, amjaze hekima na busara zaidi, ampe nguvu za kuwashinda maadui wanaomzunguka na wanaomsogelea Amin.
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 ай бұрын
haswaa kaka yangu mwema. shukran kwa dua zako. alafu mtu wa watu kajaliwa elimu na Hekima ya Mungu kutatua kwa haki..ushanskia
@alfabesh
@alfabesh 5 ай бұрын
ninampongeza huyu waziri anazungumza kwa kwa adabu za hali yajuu sana wala aenuwi sauti ya juu kabisa
@mohamedfogo8820
@mohamedfogo8820 4 ай бұрын
Sasa viwanja vikipimwa wamiliki wa asili kwa nn wasipewe kipaumbele?
@NzingulaSonda-lo1qc
@NzingulaSonda-lo1qc 5 ай бұрын
Hii tanzania masikini hana chake
@kyannickk2be
@kyannickk2be 4 ай бұрын
Kuna vy kujifunza vingi sana katika utaratibu wa kununua viwanja na kuweka rekodi sahihi za documents, ni bora kufuata na kukamilisha aratibu ambazo ni salama kwako kwa njia iliyonyooka
@modestmmass7702
@modestmmass7702 5 ай бұрын
pole jamaniii😂😂😂😂
@soamesphares
@soamesphares 3 ай бұрын
Hizi video za Waziri wa Ardhi zinaonyesha mpasuko kwenye utoaji elimu...video kama hizi zionyeshwe mashuleni. Watoto wajifunze sheria na haki zao za msingi kwenye umiliki wa ardhi. Hiki kilio hakitakwisha leo wala kesho tusipoweka msukumo kwenye elimu.
@patriciamakoye1546
@patriciamakoye1546 2 ай бұрын
Huyu mama anaukweli ndani yake,ila ndohivyo
@mzalendomzalendo2567
@mzalendomzalendo2567 5 ай бұрын
Tatizo wenyeviti wa mitaa darasa la saba felia, na ndio wanao shirikiana na madalali kuuza viwanja hawana wanacho poteza hapo wao, ila serikali iwasaidie hawa maskini wanao chukuliwa mashamba yao na kuuzwa
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 5 ай бұрын
Yani walimu kila mahali wananyanyasika tu😢
@jasonwatz7457
@jasonwatz7457 5 ай бұрын
Hawajitambui
@Fhfhfhfhf78
@Fhfhfhfhf78 5 ай бұрын
Wala hawataki kuelewa 🙆‍♀️
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 5 ай бұрын
@@jasonwatz7457 oooooo jamani,kweli hawajitambui?
@tabuomary1016
@tabuomary1016 4 ай бұрын
Ukiibiwa ndipo utajua Ni kweli au si kweli.
@AnethMushi-c3e
@AnethMushi-c3e 2 ай бұрын
Wanajinyanyasa wenyewe!
@AllySalum-j9y
@AllySalum-j9y 5 ай бұрын
Mboniii kamaaa mama tabuuu ikooo kiwanjaa chakeee wazirii katerezaaa
@onesmokway
@onesmokway 5 ай бұрын
Kama umemsikiliza Waziri vizuri kuwa Shamba lilichukuliwa na Halimashauri 1992 na likapimwa likagawanywa sasa mama tabu kakabidhiwa kwa kamishna wa Aridhi aende ofisin wakaangalie utaratibu uliotumika kuchukuliwa kwa shamba hilo kama kuna haki anapaswa kupata atapata kutoka Alimashauri Waziri kamaliza mgodoro kati ya Mama tabu na Huyoo mzee Mmasi na Mama tabu sasa yeye anapaswa kwenda kwenye ofisi ya aridhi kuangalia halimashauri ilitumia utaratibu kuchu
@abuahmed5734
@abuahmed5734 5 ай бұрын
Mama ana haki hapo
@abuahmed5734
@abuahmed5734 5 ай бұрын
😂
@emanuelpetro9591
@emanuelpetro9591 5 ай бұрын
Kwahiyo kwa kusema hivi mauzo ya watu waliouziwa na watu kwa usimamizi wa mwekiti hayatambuliki na mtu kafukuzwa kwa maana hii unamaanisha waliouza kwa usimamizi wa mwenyekiti,hata wakiuza mara mbili kwa kufuata utaratibu unaopaswani sawa tu? na aliyeuza akawa na haki tu! Hauoni kuwa hii Inachochea migogoro? Maana waliouziwa kwa usimamizi wa hawa wenyeviti ni wengi sana?
@harunachungu2742
@harunachungu2742 5 ай бұрын
Ni hivi viwanja vilivyo pimwa tuu unauziwa na mwenyekiti then unaenda ardh kuomba ofa .ukikuta kinaofa ujue umepigwa ukikuta hakina ofa bas unaweza kupewa
@aishakimaro2795
@aishakimaro2795 4 ай бұрын
Mmh kwakweli hapa nahisi huyu mama pia anahaki
@SaidMohamed-k9h
@SaidMohamed-k9h 5 ай бұрын
Yaani zanzibar tungepata waziri kama huyu matapeli wangenyooka
@FlorenceOttaru-jv4fi
@FlorenceOttaru-jv4fi 5 ай бұрын
Mwaka 1992 hata hao makamishna wa ardhi hawakuwa kazini
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 5 ай бұрын
Waziristan njoo Mafia
@merinacosmassakaya4168
@merinacosmassakaya4168 5 ай бұрын
Katika waziri mkweli na mvumilivu ni huyu! Huyu tabu hata aibu haoni anataka kuchukua eneo letu bila aibu! Mungu akulinde mr waziri nimeamua viongozi wa kweli wapo
@MullarCmk
@MullarCmk 5 ай бұрын
As family we are happy ...Ila tabu anapata tabu kweli
@bakarially253
@bakarially253 5 ай бұрын
Kila mtu anahaki Ya kutetea mali yake
@tabuomary1016
@tabuomary1016 5 ай бұрын
Mwalimu Tabu yake yupo sahihi. Mama yake alizaliwa hapo walikuwa na Mifugo , Sasa iweje leo Mmasi awe na hati tena 15 , sasa je ni sawa. Mwalimu awe na Moja ? Mama yake hakuwa na uwezo , umasikini ni shida. Mtu ananyimwa haki yake. Mh Waziri jitahidi Rudi Tena kwa utulivu. Kamishna amedanganyanywa . Na bahati mbaya mama alikufa . Je tutafika ?
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 ай бұрын
@@tabuomary1016 oh jmni mama wa watu
@kibwanasimba6431
@kibwanasimba6431 5 ай бұрын
Mm muishimiwa na kukubali sana ila hao watendaji wako kwamaelezo ya mama amesha wafuta mara 4 Leo wewe ulitakiwa uumalize huo mzozo tofauti na hapo huyo mama anadhulumiwa na kupenda sana waziri wangu lakini hapo nahisi haipo sawa
@RAMADHANSIKWA-r5o
@RAMADHANSIKWA-r5o 2 ай бұрын
Duh,,,, aise huyu nimtu Hana upendeleo mungu akubarik
@karamamomo5434
@karamamomo5434 5 ай бұрын
Waziri upo sw kwa mujibu wa sheriya lkn makamishina wako hamna kitu hawakufanya haki kwa huyu mama na family yk wamezaliwa hapo tangu miaka/mwaka 1960 leo wanakuja kuambiwa hawana haki ktk eneo lao na kushinda kesi wtt walio zaliwa wakiwaona na kuwafundisha mwenyewe darasan kweli inaingia akilin umewapa ushindi usiyo wa haki ……⚖️
@modestmmass7702
@modestmmass7702 5 ай бұрын
hujui kinacho endelea wewe
@tabuomary1016
@tabuomary1016 4 ай бұрын
Mungu atatenda kwa mwalimu, Dhuluma kubwa Sana imefanyika kwa Mwalimu.
@evancykashaga6576
@evancykashaga6576 4 ай бұрын
Kweli namimi sijui sheriya ila hapa kiukweli naona kama haki ipo kwa uyo mama
@FatumaLali-k7z
@FatumaLali-k7z 4 ай бұрын
Waziri umedanganywa waziri commissioner kakudanganya. Rudi upate ukweli.
@MajidKarama-f7c
@MajidKarama-f7c 5 ай бұрын
Mwalimu sheria imechukuwa mkondo wake Acha kujiliza liza. Silaha kuu yenu wanawake ni kujiliza lakini haki leo imebainika. Waziristan Salaam aisee nakupenda bure tu kwa haki unavyoipeleka. Mungu azidi kukubariki
@betricemainoya4176
@betricemainoya4176 3 ай бұрын
Wachakuongea hivyo ni vile tuu halijakupata, watu wanadhulumiwa kwa kukosa elimi na maarifa
@kesterkanyala7718
@kesterkanyala7718 5 ай бұрын
Hapa Kuna kujifunza Mengi SANA.... -Watendaji wa Kata,hawahusiki
@silvanusremmy9575
@silvanusremmy9575 4 ай бұрын
Silaa ya maangamizi ni KULIA na kusema MIMI NIMASIKINI,, uonewe huruma.
@JescaMwagama-oc9yt
@JescaMwagama-oc9yt 5 ай бұрын
yan mpaka naogopa kununua kiwanja hekaheka
@tztanzania2262
@tztanzania2262 5 ай бұрын
We ni Mimi kabisa yaan naogopa mnooo
@tariqmaduga8051
@tariqmaduga8051 5 ай бұрын
Mimi nimeshapigwa nimetulia tu apa na mapumbu yangu.
@gts5007
@gts5007 5 ай бұрын
Usiogope, kaanzie Ardhi
@marianmartin7483
@marianmartin7483 5 ай бұрын
Chapa kazi waziri, unatenda haki kabisa. Mwenyezi MUNGU akusimamie mh. Kulia kwake hakusaidii, sheria imefuata mkondo wake.
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 4 ай бұрын
Usinipeleke ivyo me ndo nimewaita hapa nimeipenda iyo
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 3 ай бұрын
Hana documents zozote kazi kujiliza tuuu utasaidiwaje waxiri mwenyew gawez kukusadia huna taarifa zozote kazi kujikiza mwenzio anataarifa za mwaka 1992 2010 ww huna unaongea kwa mdomo tuuu hii shida sn
@mswakisaid2320
@mswakisaid2320 4 ай бұрын
Bila shaka hilo eneo lilikuwa zururaji. Sasa hivi zama za mawe zimepita hazipo tena mwl. Muda mrefu upo umeshindwa kulichukulia sheria eneo la mama yako. Sasa anzia hapo. Bila shaka hapo umejifunza kitu cha kisheria kitakusaidia kwa yajayo.
@evancykashaga6576
@evancykashaga6576 4 ай бұрын
Daa Mungu akusadie sana asee inaitaji ujasiri mwingi sana na moyo mkuu
@athumanimhina1869
@athumanimhina1869 3 ай бұрын
Huyu mama anadhulumiwa,hawa makamishna wa ardhi kww nini waziri hawachukulii hatua?leo unaambiwa kange ni eneo la viwanda lakini nyumba zimejengwa,umeme upo maji yapo na wasambazaji ni haohao serikali inamaana hawajui kama ni eneo la viwanda?mwasubiri watu wajenge ndio mje na sera za ardhi,kuhusu suala lakusema mwenyekiti wa kijiji hahusiki na suala la ardhi je vijijini kuna maafisa ardhi?wangekuwepo watu wasingehangaika na wenyeviti na watendaji wa vijiji
@EmanuelKini
@EmanuelKini 5 ай бұрын
Fukuza makamishina unawatetea wanini
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 5 ай бұрын
Maswala haya ya ardhi nadhani kuna siku nitakujaga kulala nje,nimejenga kwenye kiwanja cha baba na wala sijui kama huwa ana hati na hata sijui hati inafananaje aise😂😂😢
@Fhfhfhfhf78
@Fhfhfhfhf78 5 ай бұрын
🙆‍♀️🙆‍♀️
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 5 ай бұрын
@@Fhfhfhfhf78 kweli, yani nije nimuulizie mzee wangu anipe kabisa
@fettyrashid9042
@fettyrashid9042 5 ай бұрын
😂😂😂umeacha nimecheka
@IsraelKisaila-vm6vj
@IsraelKisaila-vm6vj 5 ай бұрын
@@fettyrashid9042 Yani hata Leo skijitokeza MTU na makaratasi yake akasema,hapa NI pangu,wala sina kipingamizi chochote MAANA mimi SINA karatasi yeyote inayohusiana na ardhi kiukweli.
@fettyrashid9042
@fettyrashid9042 5 ай бұрын
@@IsraelKisaila-vm6vj Jitahidi uanze kufuatilia my friend lasivyo litakupata lakukupata,tunatakiwa tujifunze tuache kuishi kimazoea hata mjomba akikupa ardhi tujitahidi kwenda ofisi za ardhi
@FatumaLali-k7z
@FatumaLali-k7z 3 ай бұрын
Waziri hukumpa nafasi huyo mama na hata hukutaka kusoma nyaraka commissioner kakudanganya. Mmasi kafanyiwa demacation kwenye shamba la nani??
@RamadhaniAlphani-j6g
@RamadhaniAlphani-j6g 5 ай бұрын
Inamana muda wote wenyeviti wanauza viwanja hamufamu? Mulitoa elimu gani kwa wananchi
@YusuphJuma-x7k
@YusuphJuma-x7k 3 ай бұрын
Kweli katika wizara yenye dhulima ni ardhi kwa stayli hii tutapigwa sana Sasa kwanini hawa viongozi wa serikali za mitaa wanauza viwanja Hali yakua sheria haiwatambui?
@evancykashaga6576
@evancykashaga6576 4 ай бұрын
Kwakweli apa waziri naona maji yamezidi unga kabisa ila bado unaweza kufanya vyema zaidi kaza
@manfredkibona3126
@manfredkibona3126 5 ай бұрын
Unalilia haki ya umiliki ardhi wa asili , yaani unawahi kusema hapa pangu 😅
@EdnaMuro-tx8os
@EdnaMuro-tx8os 3 ай бұрын
Et we mama unanizungusha 😂😂 uc choke mkuu ,n mtu mzima anaitaji kueleweshwa mno
@inocentlema5574
@inocentlema5574 5 ай бұрын
Nilitaman sn wazir aombe documents zinazoonyesha kuhamisha eneo kutoka kwa mama yake mwalimu kwenda kwa jiji
@saidalhinai1131
@saidalhinai1131 5 ай бұрын
Watu wa ardhi hao ndio wsabaya wamewapa ardhi wa tu ambao hawastahiki na mwenye haki anadhulumiwa na waziri hana makosa
@RamadhaniAlphani-j6g
@RamadhaniAlphani-j6g 5 ай бұрын
Hapana hii ni dhuma munabadilishijaje umiliki bila kumpa huyo mama tarifa
@MullarCmk
@MullarCmk 5 ай бұрын
I can see my father and my brother .....DISMAS COSMAS IS TYPING........😂😂😂
@muaminiadamu2361
@muaminiadamu2361 5 ай бұрын
Wazinguaji ni watumish wa Ardh. Bila kujua chanzo hicho hizo ni siasa tu
@LovenessFedrick-cy9fh
@LovenessFedrick-cy9fh 5 ай бұрын
Hizi ardhi jamani ni kilio 😢
@satyalarm2214
@satyalarm2214 4 ай бұрын
JAMANI mimi mbona naanza kulia mapema, maana nimenunua nimepewa mkataba wa kiwanja sio ati ya kiwanja
@Zenny89
@Zenny89 5 ай бұрын
Mama Tabu ni tabu Kweli 🤣🤣 Huyu mama ni Mwalimu asiye elimika.
@rexgodwill7353
@rexgodwill7353 5 ай бұрын
Sasa anafundisha watoto shule wanakuwa wabishi 🤣🤣
@AminaAmine-v4m
@AminaAmine-v4m 5 ай бұрын
😊😊😊😊😅
@maryamabdallah3140
@maryamabdallah3140 5 ай бұрын
Anawafundisha UBISHI😊​@@rexgodwill7353
@JosephatJohn-vb6zc
@JosephatJohn-vb6zc 4 ай бұрын
Tunao nunuwa viwanja kutumia mweyekiti wa mtaa tujuwane😂😂😂😂
@Bashitetako
@Bashitetako 5 ай бұрын
Tabu hakudhulumiwa sema anataka ahodhi eneo lote
@PapaMobimba-xr4gs
@PapaMobimba-xr4gs 5 ай бұрын
Upo sahihi
@tabuomary1016
@tabuomary1016 5 ай бұрын
Mwalimu na familia yake wamedhulumiwa. Hii issue irudiwe , ichunguzwe, ili haki itendeke . Mungu anawaona . Iko siku.
@Bashitetako
@Bashitetako 5 ай бұрын
Duh tunalilia ardhi inayo tumeza kila siku
@zariadunia6328
@zariadunia6328 5 ай бұрын
Watu wa Tanga mjini ni wajuwaji bila maarifa kichwani
@FatumaMohamedi-t6t
@FatumaMohamedi-t6t 5 ай бұрын
Mi mwenyew niliuziwa km huy mam namwekit na mwenye eneo niliporud ten nikakuta kimemegwa kauziwa mwengne nilichofanya nilimwambia huyo mwenzangu nipe pesa nikuachie palipoba niondoke sitak kelele bas nikajiondokea zangu.
@issakisalu9237
@issakisalu9237 5 ай бұрын
Huyu mama hajauziwa na mwenyekiti, huyu hili ni eneo la mama yao la asili kwa miaka yote na wao (yeye na dada zake) wamezaliwa hapo inakuwaje serikali inakuja kupima inawapa watu wengine na sio wao waliokuwa hapo je serikal ililichukua hilo eneo kutoka kwa nani? Hapo ni uonevu wa waziwazi angekuwa mh makonda kwa stahil yake ya uulizaji jibu lingepatikana, haiwezekani eneo kutoka umiliki wa asili lipo kwao alafu linavyopimwa linakuwa kapewa mwingine, HAPO MAMA ATAIPATA KWA MUNGU HAKI YAKE.
@japhetgeofrey2063
@japhetgeofrey2063 5 ай бұрын
Daaah roho imeniuma
@khamisali9907
@khamisali9907 5 ай бұрын
Inasikitisha sana
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 5 ай бұрын
Tafuta uchawi tu mwalimu Tabu😂😂
@uzimameditv8148
@uzimameditv8148 5 ай бұрын
Huyo mama anaongozwa na kweli ya roho yake
@jeanmusamba8448
@jeanmusamba8448 5 ай бұрын
wizara hii mama nafanya vizuri sana au aliwahi dhurumiwa kiwanja eti?mbona wizara nyingine kero ziko nyingi hamna haya
@KhamisHaji-pw4jo
@KhamisHaji-pw4jo 5 ай бұрын
Waziri toeni elimu kwa wananchi kuhusu sheria,,,,,tatizo mnaficha kutoa elimu
@rosemarykipesha3898
@rosemarykipesha3898 5 ай бұрын
Me kama vwanja havijapimwa nani anahusika kama Sheria haimtambui mwenyekiti wamtaa?
@issakisalu9237
@issakisalu9237 5 ай бұрын
Wazir kama mgeni na mambo ya nchi hii, kuhusu kujisifia na kutishana ni mambo ya kawaida sana, wala usishangae hilo
@kaimukhamis7898
@kaimukhamis7898 5 ай бұрын
Sema mama mbishi kikao kizima kasikilizwa yeye to
@vickyadrian1503
@vickyadrian1503 5 ай бұрын
Kaka yangu nikinunua kiwanja this day nakutumia in box maana haya ni magumu na mapito pole sana
@daudpius130
@daudpius130 5 ай бұрын
Huyo mama inavyo onaonekana anahaki kabisa
@hildagabriel1003
@hildagabriel1003 5 ай бұрын
Pengine Hana haki lkn upatikanaji wa pesa ni mgumu ndugu inauma umejinyima umepambana umepata million zako 2 hata miaka mitano umejibana tena baada ya hapo hata miaka 10 umejenga Leo unaambiwa huna haki ukiangalia una watoto ukiangalia hujui uanzie wap
@LangoimiagieLangoi
@LangoimiagieLangoi 5 ай бұрын
Kwa elimu ninayo pata kwa waziri slaa nitaheshimu taratibu za ardhi
@StanleyMhagama-k4v
@StanleyMhagama-k4v 5 ай бұрын
Huyu mama yuko sahihi sema sasa Nchi hii ina uhuni mwingi sana
@bakarially253
@bakarially253 5 ай бұрын
Shida ya hapa ni Elimu juu ya umiriki Ya Ardhi Pia hizo dimecation ndio shida. Watu wnapaswa kuelimishwa Kuwa kuna tofauti Ya kumiliki na kupangishwa ardhi kutokana na sheria Ya Tanzania kila mtu yupo kwenye Ardhi kama mpangaji. Mfano serikali leo ikiamua kuvunja mkoa mzima wa Dar watu wote watahamishwa kwa kupewa gharama ya ujenzi tu na sio wa ardhi. Sasa hii elimu serikali inapaswa kuitoa kwa wanainchi kupita wakuu wa wilaya
@eshymushi3495
@eshymushi3495 5 ай бұрын
Kabisa kuna kamchemzo ambako waziri haujui
@djumakonki1964
@djumakonki1964 5 ай бұрын
usilie kuhusu hicho kiwanja
@emmanueltamilamakene8495
@emmanueltamilamakene8495 5 ай бұрын
Mungu akubariki Waziri wa Ardhi Mhe Jerry Silaa
@kunsah2
@kunsah2 5 ай бұрын
Amen.
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 3 ай бұрын
Mwalimu shukuru Mungu hakuna atakaeondoka na Ardhi najua inauma sana kudhulumiwa ila haki ya mtu haipotei kama ni ya kwako itarudi tu hata kwa namna nyingine
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 5 ай бұрын
uyu waziri ata felii sana eneo la mtu na ni mali ya mzazi wa mtu sio fair
@gipsonbamuhaga2976
@gipsonbamuhaga2976 3 ай бұрын
Mweshimiwa waziri plse hapo kuwa na macho ya mbali msaidie huyo mama Nimejifunza kitu hapo ushirikishwaji haukuwa mzuri. Angalieni namna ya kuwafidia hiyo familia vinginevyo hata mm nimeumia sana. Mungu yupo haki haipotei hata siku moja
@MullarCmk
@MullarCmk 5 ай бұрын
Tabu anapata tabu kweli...kumbe kaka yake kadhulumu kingine....majirani wengine miyayusho
@AnethMushi-c3e
@AnethMushi-c3e 2 ай бұрын
Huo mjina wenyewe
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 3 ай бұрын
Mama mbishi hana documents daaah waziri unamoyo sana kiukweli shida sn hivi huyu mwalimu gani anazungushwa hajui kusoma
@romanamassawe814
@romanamassawe814 5 ай бұрын
Mmemzulumu huyo Mama, Jerry silaha MUNGU anakuona
@tabuomary1016
@tabuomary1016 5 ай бұрын
Tena wamemzulumu waziwazi , Hapo wamekuzunguka na wanakuhoji tena kwa ukali. Wanakupa amri zisizo sahihi. Mwenye Eneo anapewaje kiwanja kimoja, mchaga anapewa 15, anawauzia watu wengine ,je hii ni sawa?
@romanamassawe814
@romanamassawe814 5 ай бұрын
@@tabuomary1016 huyo Jerry silaha kampachaga 15 kwasababu wote wa kabila Moja , Jerry mpare na huyo aliyepewa 15 ni mchaga,
@ernestmununge348
@ernestmununge348 5 ай бұрын
Inaumiza sana kutojua Sheria tunaomba wizara ya aridhi waelimishe watanzania juu ya umiliki wa aridhi Hadi machozi yamenitoka kwa mama huyo kutotambua Sheria ya umiliki wa aridhi. " Haki haipotei inacheleweshwa"
@kaimukhamis7898
@kaimukhamis7898 5 ай бұрын
Wazili wangu samahani kidogo Apo kwenye kuona ofsa naomba unia una weza maliza miaka yako yote ya kuishi duniani nausimuone arafu wote tungekua tuna nunua viwanja mpaka juje huko hii Tanzania ss tusinge miliki nyumba maana ss waviwanja vya raki 8 singe skilizwa
@monalisaally4387
@monalisaally4387 5 ай бұрын
Huyo mama hana adabu maan kinacho mfanya asimame kitu gani
@harounramadhan9771
@harounramadhan9771 5 ай бұрын
Ina wezekana were ndo Huna adabu ungejua anapitia magumu kwakuona ana.nyimwa hakiyake Sikulikikukuta ndo utajua
@MullarCmk
@MullarCmk 5 ай бұрын
Mama tapeli
@monalisaally4387
@monalisaally4387 5 ай бұрын
@@harounramadhan9771 wewe ndo huna adabu sijui ni mama yako yule .Mbona waziri ni mtoa haki sana kwanini yeye hakose haki?
@tabuomary1016
@tabuomary1016 4 ай бұрын
Wewe ndio huna adabu, na siku mama yako akidhulumiwa ndio utakapojua. Kwahili nikuambie ukweli Waziri amedanganywa na makamisha , na iko siku haki itapatikana.
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 3 ай бұрын
Ukimsikiliza kwa makini huyu Mwalimu unaona anayoyasema yana mantiki ila Waziri hataki kumpa nafasi
@AbubakariKisuju
@AbubakariKisuju 5 ай бұрын
Waziri anatenda haki hayupo kumuonea mtu
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 3 ай бұрын
Okay Kuna mdau kaelezea vzr sn Nimeelewa, kumbe wengi hawaelewi wanafikiri waziri kakosea
@LangoimiagieLangoi
@LangoimiagieLangoi 5 ай бұрын
Mpaka apo nishapigwa ekar 40 Mungu anamwona hyo alienitapeli😂😂
@AminaRamadhan-mg9lj
@AminaRamadhan-mg9lj 3 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅poleee
@AminaRamadhan-mg9lj
@AminaRamadhan-mg9lj 3 ай бұрын
Mamboo yenyew ndohayaaa Bora nilee helaa yang kwanziaaa leoo😅😅😅😅😅😅
@aliabdallah8456
@aliabdallah8456 5 ай бұрын
Mimi naona maafisa wa ardhi wliochini ya waziri ndiyo wenye shida ya kutengeneza migogoro yatakiwa mahakama iwachukulie hatua za kisheria kugonganisha watu na serikali yao
@FatumaLali-k7z
@FatumaLali-k7z 4 ай бұрын
Mh. Umedanganywa hapo. Hati/offer ulizoonyeshw zimetengenezwa.
@msafirimfilinge8222
@msafirimfilinge8222 5 ай бұрын
Karoge tu tabu😂😂😂😂😂
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 5 ай бұрын
Tuliouziwa na wenye viti wa mitaa maeneo uwiiii😢
@AminaRamadhan-mg9lj
@AminaRamadhan-mg9lj 3 ай бұрын
Imeekulaaa kwetuuu kamaa mamboo yenyew ndohayoo😅😅😅😅😅😅
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 5 ай бұрын
HUYU MWALIMU HANA ADABU ANASIMAMA MBELE YA WAZIRI?
@DerickNgowi-mf5pe
@DerickNgowi-mf5pe 5 ай бұрын
Wazri ndo nini kwani mungu huyo si ni mtu tuu au 😏
@bagalucha
@bagalucha 5 ай бұрын
Nimemfuatilia waziri Slaa,kwa kweli anastahili kupongezwa,amefit kabisa,na yupo juu ya haki,pongezi Dr Slaa
@abdullayahya8717
@abdullayahya8717 3 ай бұрын
Tatizo watendaji na makamishna wa ardhi ndio chanzo cha migogoro
@tabuomary1016
@tabuomary1016 5 ай бұрын
Sasa huyo HONEST COSMAS MMASSI anaongea Kama Nani ! Mmasi haongei kwanini ? Mmasi achunguzwe. Waziri amepigwa changa la macho. Kuna umuhimu wa kipekee turudi kwakaheza. Pia maamuzi ya mahakama hayafuatwi . Nikiiangalia hii Clip napata picha na elimu ya kutosha. Mwalimu ameonewa. Yaani inauma Sana.Mmassi achunguzwe. Haki itendeke.
@AnethMushi-c3e
@AnethMushi-c3e 2 ай бұрын
Mmas ni mchaga na wachaga Kwa ardhi!!
@rahema907
@rahema907 5 ай бұрын
Masikini hana haki siku zote
@theresiajames7574
@theresiajames7574 3 ай бұрын
waziri mpaka umalize mvi zitakuwa kama za hayati baba wa taifa
@KhamisHaji-pw4jo
@KhamisHaji-pw4jo 5 ай бұрын
Maskini miaka yote hana haki
@idrisadalluc4498
@idrisadalluc4498 5 ай бұрын
Nikifuatilia mamboyako kwangu nidarasa tooosha kabisa wazili wangu
@khalsasalim7930
@khalsasalim7930 5 ай бұрын
Wizara yako inamagumashi huyu kapewa zamani huyu kapewa sasa yani mtihani
@alphoncembasa592
@alphoncembasa592 5 ай бұрын
Swali la mama kuwa kabla hawajapanga eneo hilo lilikuwa la nani na kama walichukua je kwa utaratibu gani
@zaytunhijja6771
@zaytunhijja6771 5 ай бұрын
Ww kichwa chako km huyo mwalim hebu skiliza vizur
@ZahoroHamisi-l2d
@ZahoroHamisi-l2d 5 ай бұрын
Kaka wapo wengi sana wanaweza kusikiliza lkn wasielewe kwaufupi waziri amikiri eneo lilikuwa la mama yake almashauri wakalichukuwa nakupima viwanja vyamakzi kuzia mwaka 1992.kuzia mwaka uo kuja na elfumbili halitambuliki kama shamba tena nimakzi yawatu wakapewa viwanja pamoja nawao wanafamilia Sheria ya nchi pia ujue Aridhi yote nimali ya serekari wakitaji Aridhi sehemu yoyote kwajili ya matumizi ya uma wabachukuwa na kulipa fidia kwahyo alichoambiwa mama afutilie kipindi shambalao linachukuliwa 1992 walilipwa fidia km awajalipwa atalipwa sio kudai kiwanja au eneo lile lile Liwe lao
@kitomondo
@kitomondo 5 ай бұрын
@@ZahoroHamisi-l2d Kama walilipa fidia, lazima rekodi zionyeshe. Kuna utaratibu wa kutwaa maeneo na hilo eneo limetwaliwa kinyume Cha utaratibu, hivyo hati zote hapo zipo kinyume Cha utaratibu.
@joyce55727
@joyce55727 5 ай бұрын
​@@ZahoroHamisi-l2dasante kwa ufafanuz pia mm sikua nimeelewa hivyo ndio inatakiwa sio km wengine ni kutukana tu
@vifarangakuku9098
@vifarangakuku9098 5 ай бұрын
Asante kwa kutuelekeza kwa ufasaha nisingelewa chochote barikiwa
escape in roblox in real life
00:13
Kan Andrey
Рет қаралды 91 МЛН
Офицер, я всё объясню
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 3,9 МЛН
MZEE AMWAGA MACHOZI KUDHULUMIWA NYUMBA KARIAKOO
14:16
Wasafi Media
Рет қаралды 7 М.