WAZIRI SILAA AMTIMUA MZEE MASS ALIYEVAMIA NYUMBA SIO YAKE | AMKABIDHI MWENYE HAKI | MHE.NINA NJAA...

  Рет қаралды 17,556

RAI TV

RAI TV

17 күн бұрын

Пікірлер: 101
@user-sl1ko9me7u
@user-sl1ko9me7u 4 күн бұрын
MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AKUBARIKI MH. WAZIRI SILAA.
@edlumala9428
@edlumala9428 15 күн бұрын
Dua zetu kwa wingi kwa Mh Jerry! Simamia haki Mungu anatosha kuwa na nawe
@irenebarakelimnene4895
@irenebarakelimnene4895 15 күн бұрын
Mhe.Jerry mwenyezi Mungu Akubariki kwa kutenda haki
@salumally663
@salumally663 15 күн бұрын
Waziri hongera sana kuwatetea wanyonge kazii hii unayoifanya ni ngumu sana. Kwanza kukesha mpaka usiku kutatua matatizo ya watu inaonyesha una moyo special...
@user-wt7vf4uf3x
@user-wt7vf4uf3x 15 күн бұрын
Mh waziri hongera sana kwa kazi nzuri ambayo kila mmoja kwa macho yake anaiona kwa kwali usichoke endelea kupamabna kazi hiyo ni ngumu sana.
@OdasiBuchumi
@OdasiBuchumi 15 күн бұрын
Matapeli wote wanakimbilia mahakamani kwa sababu ya kwenda kuhonga vipesa
@uzimameditv8148
@uzimameditv8148 15 күн бұрын
Ubarikiwe saana waziri huo sio uongozi wa kisiasa bali bali ndio namna ya kumtumikia Mungu kwanjia ya uongozi, njoo kasulu Kigoma tupone.
@user-id7lc7tk4d
@user-id7lc7tk4d 15 күн бұрын
Mzee anaonekana mjanjamjanja huyu, ila hakuna kitu kibaya kama kuzulumi ardhi
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 13 күн бұрын
Kudhulumu chochote
@user-ex9sd8wm4l
@user-ex9sd8wm4l 15 күн бұрын
Waziri silahaa niwakuigwa yuko vizuri apewe maua yake🎉🎉🎉🎉🎉
@beatricembunda6168
@beatricembunda6168 13 күн бұрын
Mungu akubariki Mh.Waziri kwa kutetea haki za wanyonge.
@mr.yahzadochuno7914
@mr.yahzadochuno7914 15 күн бұрын
Dk sillah mungu akulinde akupe afya njema na maisha Marefu dk silah for president
@romanamassawe814
@romanamassawe814 13 күн бұрын
Ee, Jerry silaha amekuwa Dr lini ?
@ThomasfrancisMvella
@ThomasfrancisMvella 14 күн бұрын
Namfurahia mr waziri slaa ,,,,,pga kaz bro
@rashidomar2771
@rashidomar2771 13 күн бұрын
Mh hapa kwa huyu mzee hukufanya haki ,,ungeli muombea kwa mwenyewe angalau siku 3 iwe ameondoka,,ungelikua umekamilisha uungwana hasa
@user-iw4vc3yj1y
@user-iw4vc3yj1y 9 күн бұрын
Pongezi kwa mh Slaa, kwakweli upele umepata mkunaji, mahakamani hakuna haki ni rushwa mtindo mmoja
@zwinaalhabsi664
@zwinaalhabsi664 15 күн бұрын
Chaa kazi waziri
@user-pc3zj6eg4f
@user-pc3zj6eg4f 14 күн бұрын
Mkuu Mungu atakulipa Kwa kusaidia watu Kuna watu wanapata shida na wapo na haki ya kumiliki
@MrKiwanjaupdates
@MrKiwanjaupdates 7 күн бұрын
Wazili umetisha saana, wajanja wajanja sikuiz wanajifichia mahakamani huku muda ukixidi kwenda
@raurentkorosso2014
@raurentkorosso2014 3 күн бұрын
Hii wizara umeimudu Mkuu mama akupe muda utatue shida hizi mkuu
@saidinaweka9425
@saidinaweka9425 15 күн бұрын
Polesana wazili kipenza changu unaweza sana mungu akubaliki kiongozii mpenda hakiii
@yusuphalinani5432
@yusuphalinani5432 11 күн бұрын
Mungu akukumbuke mh waziri katika kazi zako
@NancyMatuli-fb5jp
@NancyMatuli-fb5jp 4 күн бұрын
Mbona inaonekana kabila hiii nimatapeli
@mwanaidikhamis5430
@mwanaidikhamis5430 10 күн бұрын
Nampenda sana huyu kiongozi
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 15 күн бұрын
Lkn jmn silaha utumie utu kidpgo insi sawa ht kmnunaitaji mtu atokebso kiivi jmn mm cjapenda
@froma3732
@froma3732 14 күн бұрын
Waziri upo Sawa 110%
@FreeGod368
@FreeGod368 12 күн бұрын
Nkiona hivi najua kama lukuvi alikua anacheza singeli kwenye serikali tu
@abibumussa8808
@abibumussa8808 15 күн бұрын
Mahakamani Kama huna hela huwz pata haki kunawale wa le waliowazurumu wanch mwanzange kwa hat ya duga halafu wanajifanya waislam waislam gan nyie zurma jifunz en kwa taasisi ya answal hawajawah kumzurumu mtu hata tofari moja
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 15 күн бұрын
jamani tangazo tangazooooo kama unajua ww unakaa kwenye nyumba ya zuluma hama mwenyewe ile zama ya uonevu kwenye alizi imekwisha mimi wala simuonei huruma kwasababu yeye nimshenzi zaid hiii ndio daw yao siwana lingia mahakama kwa sababu wana pesa sasa izo pesa watafute viwanja wajenge wakae kwa utulivu shenz wazili apewe mauwa yake mana hii kazi inahitaji uso wambuzi ningumu kurogwa nnje nnje
@ErickMdemu-xe3cd
@ErickMdemu-xe3cd 15 күн бұрын
God be with you honorable
@DerickNgowi-mf5pe
@DerickNgowi-mf5pe 12 күн бұрын
Huyu mzee ana haki hawa wasaidiz wajanja wanakula hongo nje ya kazi kabla ya makutano wa
@ahmadseaman3487
@ahmadseaman3487 14 күн бұрын
masha Allah thanks so much
@DavinaDavid-cp5ke
@DavinaDavid-cp5ke 10 күн бұрын
Mungu akubalii waziri wetu
@FelicianMasheyo
@FelicianMasheyo 9 күн бұрын
Eleweni sio mnacoment bila kuelewa kijana anasema baba take aliifadhi hati benk mzee mmasi akafanya mipango benki hati ikatoka baadae mzee mmasi akaekti kua nyumba kauziwa na marrhem baba yao vijana wamaungutuma kesi mwezi wa name mwaka Jana wakashinda kwahiy mmas alitakiwa akabiz nyumba mwaka Jana akawa anawayumbisha ndyo
@yasinimalya4001
@yasinimalya4001 14 күн бұрын
Hii inatia moyo sana, mungu akulinde mheshimiwa Slaa kwa kuisimamia haki, hakika wewe ni kiongozi wa mfano wa kuigwa. Safi kabisa mtetezi wa wanyonge
@salumally663
@salumally663 15 күн бұрын
Mm ntakuomba ukiwa ubaendelea na kazi ukipata mda Upate MAOMBI DUAa nzitoo sana ili wasije kukudhuru hawa halafu uendele na kazi..
@fauzishabani2622
@fauzishabani2622 15 күн бұрын
Duniani kuna vitu vya Ajabu zaidi ya Ajabu
@juliusnassari4468
@juliusnassari4468 13 күн бұрын
Mh, Silaa nina hakika mwenyenzi mungu atakupigania!! mahakama zetu hazina huruma na wanyonge,watu kama mmasi wapo wengi nchi hii,wanatumia pesa kufanya unyang'anyi!!!
@user-iw4vc3yj1y
@user-iw4vc3yj1y 9 күн бұрын
Namfuatilia huyu waziri kuliko kiongozi yeyote wa nchi yetu, he is at high level hakika profile yake inang'aa mno
@zedyabdulrwabilingo9042
@zedyabdulrwabilingo9042 15 күн бұрын
Safi sana mh Silaa.
@user-ex9sd8wm4l
@user-ex9sd8wm4l 15 күн бұрын
Dah!!! Chamtu ni chamtu
@msafiriomary893
@msafiriomary893 15 күн бұрын
Mnataka kumtapeli mzee WA watui duu inchi hii
@rajaburajabu3963
@rajaburajabu3963 10 күн бұрын
Hii inazihilisha kuwa mahakama zetu zimejaa rushwa Yan mahakama zinanuka rushwaaa...sasa silaa anawanyoosha
@aliabdallah8456
@aliabdallah8456 11 күн бұрын
Hawa jamaa mwezi wa Desemba lazima waende kwao kuhiji na wakaeleze kipi walichodhulumu kwa mwaka huo je wameua watu wangapi ili wapate pesa je wamefanya ujambazi wapi na umepata sh ngapi
@yassinitupa5819
@yassinitupa5819 12 күн бұрын
Hongela slaa nimekufuatiria kwa muda sasa tamgia uteuliwe na mheshimiwa yani hii nafasi inakufaa
@shukurually8769
@shukurually8769 15 күн бұрын
Kati ya mawazili bora walioiweza kazi kwenye sekta ya uwazili wa ardhi slaa hongera sn unapambania haki kiukweli
@SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct
@SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct 6 күн бұрын
Mchukue mpeleke nondo.😅😅
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 13 күн бұрын
Kwa nini muwahamishe usiku?😢
@sophsoph4740
@sophsoph4740 4 күн бұрын
Kwann hazurumu kwa md mrefub😢😢hawa wanakuwa wanazarau sana wengine ni maskini wanateseka kumbe kunawatu wanalala bure kwenye nyumba za waty
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 4 күн бұрын
@@sophsoph4740 hahaha
@MrKiwanjaupdates
@MrKiwanjaupdates 7 күн бұрын
Huyu mzee anaonekana mjanja mjanja saaana
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm 15 күн бұрын
Mawaziri igeni mfano w a slaa nchi yetu ingekuwa free from graft or corruption
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 13 күн бұрын
Hapo polisi wamefurahi,maana wanaenda kumtoa pesa hatari ili atoke😮
@nicksonmremi3412
@nicksonmremi3412 14 күн бұрын
Jembe letu hili mam huyu jamaa usimtoe kabisaa hii wizara mpaka umalize Urais wako na unaemkabidhi madaraka umuelekeze asije akamtoa aendelee kumpa hiyo kazi
@jacquelinesangu1521
@jacquelinesangu1521 15 күн бұрын
Mae mzee alitaka kudondoka do huruma
@aliabdallah8456
@aliabdallah8456 11 күн бұрын
Matepeli wengi wanapenda mahakamani ili haki wapewe wao kwa sababu ya pesa zao zinapindisha haki Mungu atawchoma sana mkifa
@FredMwamgogwa-td6ni
@FredMwamgogwa-td6ni 15 күн бұрын
Msani huyo wanazulumu maskini
@ghulamhaji7856
@ghulamhaji7856 15 күн бұрын
Hongera waziri
@Shafikimanga7
@Shafikimanga7 15 күн бұрын
Anataka atendewe haki wakati yeye kavunja haki za wengine.
@IgerekeRamson
@IgerekeRamson 15 күн бұрын
Malaika aliyemsimamia mama Samia na kumshauri amchague dk slaa kuwa wazir wa ardh hakika hakukosea
@fredrickipembe8188
@fredrickipembe8188 15 күн бұрын
Utapeli nikitu kibaya sana matokeo yake ndio kama haya sasa zuluma mbaya
@mr.yahzadochuno7914
@mr.yahzadochuno7914 15 күн бұрын
Hatar sana
@farhannahomary5505
@farhannahomary5505 6 күн бұрын
Ila watu wa ardhi jmn kwanini hati xuwe 2 /3
@fatumasaidimmependezamjeng8994
@fatumasaidimmependezamjeng8994 14 күн бұрын
Big up
@hassaniabdi3991
@hassaniabdi3991 15 күн бұрын
Matapeli wa tanga awooo
@edwinaugustine5388
@edwinaugustine5388 15 күн бұрын
Weka ndani
@beatricembunda6168
@beatricembunda6168 13 күн бұрын
Mh.ameshunguza na kupata majibu ndo Mana ameamua hivyo,hajakurupuka amepita kote kinakohusika.
@rajabmsinzia1715
@rajabmsinzia1715 13 күн бұрын
Watu wenye pesa zao Tanganyika wakiambiwa waondoka na police fasta tu wala hawana shida maana wanajua hawatofanywa chochote watahonga pesa na watatoka tu hahha Tanganyika bhana kwa maigizo wamepasi
@MasoudSultan-ks6kc
@MasoudSultan-ks6kc 15 күн бұрын
ALIPE KODI ULE MUDA ALIKAAA
@saidabdillahi8107
@saidabdillahi8107 14 күн бұрын
Jambazi zee la kichaga
@yusuphsanga7194
@yusuphsanga7194 15 күн бұрын
MM BADO SIJAELEWA VIZUR MZEE ANASEMA HII NYUMBA AMEJENGA YY SASA YY AMEZULUM NN
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 13 күн бұрын
Mimi ndo maana,mjini kitu kinaitwa ardhi,nyumba siwezi kununuwa wala kupewa nikapokea,siwezi hata iweje
@denisnjaila2182
@denisnjaila2182 12 күн бұрын
Ivi ardhi ina nini?
@iddihamisi6320
@iddihamisi6320 12 күн бұрын
Siku zote haki itachelewa ila utapata tu hawa wachaga huwa ni wajanja wajanja sana
@MusaJuma-jr7wb
@MusaJuma-jr7wb 15 күн бұрын
Matapeli hao
@henrysadam7406
@henrysadam7406 15 күн бұрын
akuna aki kamaiyo nakwann iwe bek
@hulukasefu
@hulukasefu 15 күн бұрын
babayako arikopa benk ndiomana hati yake ikawa benk nahuyo mzee wa watu ariuziwa kweri swari je?ari ipataje hio hati na benk warimpaje hio hati muriwauriza benk kuhusu hiohati naje? irifikaje benk tuache zuruma .zuruma nimbaya nduguzagu.
@nelsonnevlin2919
@nelsonnevlin2919 14 күн бұрын
Kwanza hujui kuandika Fala ww ina maana Kilichoelezwa hapo huelewi pimbi ww
@josephndunguru6290
@josephndunguru6290 8 күн бұрын
Yaniii huyuuu nae nyumbuu kwelii, huelew nn hapoo, dhuruma nanii hapoo,
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 13 күн бұрын
Bye bye mzee Mmasi mwisho wa dhuluma ndio huo
@adamsimba4886
@adamsimba4886 12 күн бұрын
Mze wa kikibosho mchaga😅
@hanifhassan183
@hanifhassan183 15 күн бұрын
Tunamuomba aje na huku Zanzibar dhulma ya Ardhi imekithiri
@princewambura9202
@princewambura9202 12 күн бұрын
Zanzibar kuna waziri wa makazi pia...serekali haziwezi kuingiliana katika majukumu zanzibar ina serekali pia
@shabaniramadhani7632
@shabaniramadhani7632 7 күн бұрын
Hongera waziri kwa kazi nzuri hao wazurumaji ndio dawa yao haki sawa taperi mkubwa huyo
@official_Nanga
@official_Nanga 13 күн бұрын
Waukae humu humu tuuuuuu
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 13 күн бұрын
Huyu ameshirikiana na watu wa ardhi kuzulumu. Atapambana nao matapeli wenziwe
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 13 күн бұрын
Bila shaka
@davidole8257
@davidole8257 15 күн бұрын
Yeye alieshinda kesi mwenzi wa 9 alikuepo wapi mbaka sasa uwonevu tu angeruhusiwa ahame kesho yake sio ungwana
@sosteneskawishe8180
@sosteneskawishe8180 15 күн бұрын
Huyo katili sio wa kuonewa huruma, usiombe yakukute mzee
@sambulugu9988
@sambulugu9988 15 күн бұрын
Wewe mjinga ficha upumbavu wako!
@RaymondNjengo-bq1zc
@RaymondNjengo-bq1zc 15 күн бұрын
Umesikia historia ya kupata hiyo nyumba toka 2005,kwa kutumia nyaraka za udanganyifu kuwa wasimamizi wa mirathi ya marehemu mmiliki ambae walichukua Hati NMB na kisha kujiuzia sasa huruma ya nini?
@stephanokanyika6321
@stephanokanyika6321 15 күн бұрын
Angalia ungekuwa wewe umedhulumiwa ingekuweje kuwa na ubinadamu sasa waziri yuko sahii sana waziri piga kazi
@Ba63828
@Ba63828 15 күн бұрын
Mbona utaratibu wa kukaza hukumu upo wazi waziri anaingiaje hapo?
@MerickyMangula-yi6ow
@MerickyMangula-yi6ow 15 күн бұрын
Kukazia hukumu kwa mtu mwenye hela hutoweza anahonga
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm 15 күн бұрын
Why waste time with corrupt people get rid of them bastard
@Ba63828
@Ba63828 14 күн бұрын
@MerickyMangula-yi6ow Unao ushahidi? Sheria hairuhusu waziri au mtu mwingine kuingilia jambo lililopo kortini ni vyombo vya kimahakama tu ndo hutumika. Anachofanya waziri ni ubabe.
@romanamassawe814
@romanamassawe814 15 күн бұрын
Jerry silaha unaonea, kesi ipo mahakamani unaingilia, acha kutumia nguvu na madaraka vibaya , unaonea wanyonge, huyo mzee umemuonea
@AllyMaya-yj3xd
@AllyMaya-yj3xd 14 күн бұрын
Yaan wewe ukishinda kesi ukaachiwa huru sio kwamba ukikatiwa rufaaa ndio unakamaatwa tena unarudishwa magereza haoana rufaa inasikilizwa simple logic ni mpaka rufaa imalizike kusikilizwa kama una hatia ndio unakamatwa. Au ukikutwa na hatia ukawa magereza ni tayari unahatia ukikata rufaa unaendelea kusikilizwa rufaa yako ukiwa magereza yaan mfungwa utakuja kuachiwa huru na kutolewa magereza siku utakayoshinda rufaa yako. NIKUKUMBUSHE JAMBO JERRY NI MWANASHERIA MBOBEZI TU HAKURUPUKI VERY SMART PERSON
@user-pv2ez1nd3h
@user-pv2ez1nd3h 13 күн бұрын
Hanee kitu watu wengi hukosa haki zao kwa kisingizio cha Maha Kama nikiwemo na mm kesi miaka 15 haikwisha mpaka sigustilitena
@iddihamisi6320
@iddihamisi6320 12 күн бұрын
Inatakiwa serikali iweke njia rahisi ili tuwe tunapima aridhi maana migogoro kama hii iwe rahisi
1 класс vs 11 класс (рисунок)
00:37
БЕРТ
Рет қаралды 4,6 МЛН
ВИРУСНЫЕ ВИДЕО / Мусорка 😂
00:34
Светлый Voice
Рет қаралды 10 МЛН
Taki Taki Tutorial💃 Where’re you from?🔥
00:14
Diana Belitskay
Рет қаралды 5 МЛН
SPIKA NDUGAI ALIVYOMTOA NJE MBUNGE CONDESTER - "NENDA KAVAE VIZURI"..
4:50
القطة المسكينة 😭😭🐱 #shorts
0:30
7amoda Gaming
Рет қаралды 15 МЛН
YouTube's Biggest Mistake..
0:34
Stokes Twins
Рет қаралды 29 МЛН
🤫
0:15
Nhamnoys
Рет қаралды 10 МЛН
КЕПКА (смешное видео, юмор, приколы, поржать)
0:59
Натурал Альбертович
Рет қаралды 2,6 МЛН
🎀@Nastyaloony vs 🦠REZO HULK! #rezo #rezohulk
0:39
RezoHulk
Рет қаралды 19 МЛН