MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AKUBARIKI MH. WAZIRI SILAA.
@edlumala942815 күн бұрын
Dua zetu kwa wingi kwa Mh Jerry! Simamia haki Mungu anatosha kuwa na nawe
@irenebarakelimnene489515 күн бұрын
Mhe.Jerry mwenyezi Mungu Akubariki kwa kutenda haki
@salumally66315 күн бұрын
Waziri hongera sana kuwatetea wanyonge kazii hii unayoifanya ni ngumu sana. Kwanza kukesha mpaka usiku kutatua matatizo ya watu inaonyesha una moyo special...
@user-wt7vf4uf3x15 күн бұрын
Mh waziri hongera sana kwa kazi nzuri ambayo kila mmoja kwa macho yake anaiona kwa kwali usichoke endelea kupamabna kazi hiyo ni ngumu sana.
@OdasiBuchumi15 күн бұрын
Matapeli wote wanakimbilia mahakamani kwa sababu ya kwenda kuhonga vipesa
@uzimameditv814815 күн бұрын
Ubarikiwe saana waziri huo sio uongozi wa kisiasa bali bali ndio namna ya kumtumikia Mungu kwanjia ya uongozi, njoo kasulu Kigoma tupone.
@user-id7lc7tk4d15 күн бұрын
Mzee anaonekana mjanjamjanja huyu, ila hakuna kitu kibaya kama kuzulumi ardhi
Mungu akubariki Mh.Waziri kwa kutetea haki za wanyonge.
@mr.yahzadochuno791415 күн бұрын
Dk sillah mungu akulinde akupe afya njema na maisha Marefu dk silah for president
@romanamassawe81413 күн бұрын
Ee, Jerry silaha amekuwa Dr lini ?
@ThomasfrancisMvella14 күн бұрын
Namfurahia mr waziri slaa ,,,,,pga kaz bro
@rashidomar277113 күн бұрын
Mh hapa kwa huyu mzee hukufanya haki ,,ungeli muombea kwa mwenyewe angalau siku 3 iwe ameondoka,,ungelikua umekamilisha uungwana hasa
@user-iw4vc3yj1y9 күн бұрын
Pongezi kwa mh Slaa, kwakweli upele umepata mkunaji, mahakamani hakuna haki ni rushwa mtindo mmoja
@zwinaalhabsi66415 күн бұрын
Chaa kazi waziri
@user-pc3zj6eg4f14 күн бұрын
Mkuu Mungu atakulipa Kwa kusaidia watu Kuna watu wanapata shida na wapo na haki ya kumiliki
@MrKiwanjaupdates7 күн бұрын
Wazili umetisha saana, wajanja wajanja sikuiz wanajifichia mahakamani huku muda ukixidi kwenda
@raurentkorosso20143 күн бұрын
Hii wizara umeimudu Mkuu mama akupe muda utatue shida hizi mkuu
@saidinaweka942515 күн бұрын
Polesana wazili kipenza changu unaweza sana mungu akubaliki kiongozii mpenda hakiii
@yusuphalinani543211 күн бұрын
Mungu akukumbuke mh waziri katika kazi zako
@NancyMatuli-fb5jp4 күн бұрын
Mbona inaonekana kabila hiii nimatapeli
@mwanaidikhamis543010 күн бұрын
Nampenda sana huyu kiongozi
@nishaabdula501515 күн бұрын
Lkn jmn silaha utumie utu kidpgo insi sawa ht kmnunaitaji mtu atokebso kiivi jmn mm cjapenda
@froma373214 күн бұрын
Waziri upo Sawa 110%
@FreeGod36812 күн бұрын
Nkiona hivi najua kama lukuvi alikua anacheza singeli kwenye serikali tu
@abibumussa880815 күн бұрын
Mahakamani Kama huna hela huwz pata haki kunawale wa le waliowazurumu wanch mwanzange kwa hat ya duga halafu wanajifanya waislam waislam gan nyie zurma jifunz en kwa taasisi ya answal hawajawah kumzurumu mtu hata tofari moja
@ScopionScopion-zj9cd15 күн бұрын
jamani tangazo tangazooooo kama unajua ww unakaa kwenye nyumba ya zuluma hama mwenyewe ile zama ya uonevu kwenye alizi imekwisha mimi wala simuonei huruma kwasababu yeye nimshenzi zaid hiii ndio daw yao siwana lingia mahakama kwa sababu wana pesa sasa izo pesa watafute viwanja wajenge wakae kwa utulivu shenz wazili apewe mauwa yake mana hii kazi inahitaji uso wambuzi ningumu kurogwa nnje nnje
@ErickMdemu-xe3cd15 күн бұрын
God be with you honorable
@DerickNgowi-mf5pe12 күн бұрын
Huyu mzee ana haki hawa wasaidiz wajanja wanakula hongo nje ya kazi kabla ya makutano wa
@ahmadseaman348714 күн бұрын
masha Allah thanks so much
@DavinaDavid-cp5ke10 күн бұрын
Mungu akubalii waziri wetu
@FelicianMasheyo9 күн бұрын
Eleweni sio mnacoment bila kuelewa kijana anasema baba take aliifadhi hati benk mzee mmasi akafanya mipango benki hati ikatoka baadae mzee mmasi akaekti kua nyumba kauziwa na marrhem baba yao vijana wamaungutuma kesi mwezi wa name mwaka Jana wakashinda kwahiy mmas alitakiwa akabiz nyumba mwaka Jana akawa anawayumbisha ndyo
@yasinimalya400114 күн бұрын
Hii inatia moyo sana, mungu akulinde mheshimiwa Slaa kwa kuisimamia haki, hakika wewe ni kiongozi wa mfano wa kuigwa. Safi kabisa mtetezi wa wanyonge
@salumally66315 күн бұрын
Mm ntakuomba ukiwa ubaendelea na kazi ukipata mda Upate MAOMBI DUAa nzitoo sana ili wasije kukudhuru hawa halafu uendele na kazi..
@fauzishabani262215 күн бұрын
Duniani kuna vitu vya Ajabu zaidi ya Ajabu
@juliusnassari446813 күн бұрын
Mh, Silaa nina hakika mwenyenzi mungu atakupigania!! mahakama zetu hazina huruma na wanyonge,watu kama mmasi wapo wengi nchi hii,wanatumia pesa kufanya unyang'anyi!!!
@user-iw4vc3yj1y9 күн бұрын
Namfuatilia huyu waziri kuliko kiongozi yeyote wa nchi yetu, he is at high level hakika profile yake inang'aa mno
@zedyabdulrwabilingo904215 күн бұрын
Safi sana mh Silaa.
@user-ex9sd8wm4l15 күн бұрын
Dah!!! Chamtu ni chamtu
@msafiriomary89315 күн бұрын
Mnataka kumtapeli mzee WA watui duu inchi hii
@rajaburajabu396310 күн бұрын
Hii inazihilisha kuwa mahakama zetu zimejaa rushwa Yan mahakama zinanuka rushwaaa...sasa silaa anawanyoosha
@aliabdallah845611 күн бұрын
Hawa jamaa mwezi wa Desemba lazima waende kwao kuhiji na wakaeleze kipi walichodhulumu kwa mwaka huo je wameua watu wangapi ili wapate pesa je wamefanya ujambazi wapi na umepata sh ngapi
@yassinitupa581912 күн бұрын
Hongela slaa nimekufuatiria kwa muda sasa tamgia uteuliwe na mheshimiwa yani hii nafasi inakufaa
@shukurually876915 күн бұрын
Kati ya mawazili bora walioiweza kazi kwenye sekta ya uwazili wa ardhi slaa hongera sn unapambania haki kiukweli
@SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct6 күн бұрын
Mchukue mpeleke nondo.😅😅
@israelkisaila840113 күн бұрын
Kwa nini muwahamishe usiku?😢
@sophsoph47404 күн бұрын
Kwann hazurumu kwa md mrefub😢😢hawa wanakuwa wanazarau sana wengine ni maskini wanateseka kumbe kunawatu wanalala bure kwenye nyumba za waty
@israelkisaila84014 күн бұрын
@@sophsoph4740 hahaha
@MrKiwanjaupdates7 күн бұрын
Huyu mzee anaonekana mjanja mjanja saaana
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm15 күн бұрын
Mawaziri igeni mfano w a slaa nchi yetu ingekuwa free from graft or corruption
@israelkisaila840113 күн бұрын
Hapo polisi wamefurahi,maana wanaenda kumtoa pesa hatari ili atoke😮
@nicksonmremi341214 күн бұрын
Jembe letu hili mam huyu jamaa usimtoe kabisaa hii wizara mpaka umalize Urais wako na unaemkabidhi madaraka umuelekeze asije akamtoa aendelee kumpa hiyo kazi
@jacquelinesangu152115 күн бұрын
Mae mzee alitaka kudondoka do huruma
@aliabdallah845611 күн бұрын
Matepeli wengi wanapenda mahakamani ili haki wapewe wao kwa sababu ya pesa zao zinapindisha haki Mungu atawchoma sana mkifa
@FredMwamgogwa-td6ni15 күн бұрын
Msani huyo wanazulumu maskini
@ghulamhaji785615 күн бұрын
Hongera waziri
@Shafikimanga715 күн бұрын
Anataka atendewe haki wakati yeye kavunja haki za wengine.
@IgerekeRamson15 күн бұрын
Malaika aliyemsimamia mama Samia na kumshauri amchague dk slaa kuwa wazir wa ardh hakika hakukosea
@fredrickipembe818815 күн бұрын
Utapeli nikitu kibaya sana matokeo yake ndio kama haya sasa zuluma mbaya
@mr.yahzadochuno791415 күн бұрын
Hatar sana
@farhannahomary55056 күн бұрын
Ila watu wa ardhi jmn kwanini hati xuwe 2 /3
@fatumasaidimmependezamjeng899414 күн бұрын
Big up
@hassaniabdi399115 күн бұрын
Matapeli wa tanga awooo
@edwinaugustine538815 күн бұрын
Weka ndani
@beatricembunda616813 күн бұрын
Mh.ameshunguza na kupata majibu ndo Mana ameamua hivyo,hajakurupuka amepita kote kinakohusika.
@rajabmsinzia171513 күн бұрын
Watu wenye pesa zao Tanganyika wakiambiwa waondoka na police fasta tu wala hawana shida maana wanajua hawatofanywa chochote watahonga pesa na watatoka tu hahha Tanganyika bhana kwa maigizo wamepasi
@MasoudSultan-ks6kc15 күн бұрын
ALIPE KODI ULE MUDA ALIKAAA
@saidabdillahi810714 күн бұрын
Jambazi zee la kichaga
@yusuphsanga719415 күн бұрын
MM BADO SIJAELEWA VIZUR MZEE ANASEMA HII NYUMBA AMEJENGA YY SASA YY AMEZULUM NN
@israelkisaila840113 күн бұрын
Mimi ndo maana,mjini kitu kinaitwa ardhi,nyumba siwezi kununuwa wala kupewa nikapokea,siwezi hata iweje
@denisnjaila218212 күн бұрын
Ivi ardhi ina nini?
@iddihamisi632012 күн бұрын
Siku zote haki itachelewa ila utapata tu hawa wachaga huwa ni wajanja wajanja sana
@MusaJuma-jr7wb15 күн бұрын
Matapeli hao
@henrysadam740615 күн бұрын
akuna aki kamaiyo nakwann iwe bek
@hulukasefu15 күн бұрын
babayako arikopa benk ndiomana hati yake ikawa benk nahuyo mzee wa watu ariuziwa kweri swari je?ari ipataje hio hati na benk warimpaje hio hati muriwauriza benk kuhusu hiohati naje? irifikaje benk tuache zuruma .zuruma nimbaya nduguzagu.
@nelsonnevlin291914 күн бұрын
Kwanza hujui kuandika Fala ww ina maana Kilichoelezwa hapo huelewi pimbi ww
Tunamuomba aje na huku Zanzibar dhulma ya Ardhi imekithiri
@princewambura920212 күн бұрын
Zanzibar kuna waziri wa makazi pia...serekali haziwezi kuingiliana katika majukumu zanzibar ina serekali pia
@shabaniramadhani76327 күн бұрын
Hongera waziri kwa kazi nzuri hao wazurumaji ndio dawa yao haki sawa taperi mkubwa huyo
@official_Nanga13 күн бұрын
Waukae humu humu tuuuuuu
@MwanaishaShattry13 күн бұрын
Huyu ameshirikiana na watu wa ardhi kuzulumu. Atapambana nao matapeli wenziwe
@MwanaishaShattry13 күн бұрын
Bila shaka
@davidole825715 күн бұрын
Yeye alieshinda kesi mwenzi wa 9 alikuepo wapi mbaka sasa uwonevu tu angeruhusiwa ahame kesho yake sio ungwana
@sosteneskawishe818015 күн бұрын
Huyo katili sio wa kuonewa huruma, usiombe yakukute mzee
@sambulugu998815 күн бұрын
Wewe mjinga ficha upumbavu wako!
@RaymondNjengo-bq1zc15 күн бұрын
Umesikia historia ya kupata hiyo nyumba toka 2005,kwa kutumia nyaraka za udanganyifu kuwa wasimamizi wa mirathi ya marehemu mmiliki ambae walichukua Hati NMB na kisha kujiuzia sasa huruma ya nini?
@stephanokanyika632115 күн бұрын
Angalia ungekuwa wewe umedhulumiwa ingekuweje kuwa na ubinadamu sasa waziri yuko sahii sana waziri piga kazi
@Ba6382815 күн бұрын
Mbona utaratibu wa kukaza hukumu upo wazi waziri anaingiaje hapo?
@MerickyMangula-yi6ow15 күн бұрын
Kukazia hukumu kwa mtu mwenye hela hutoweza anahonga
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm15 күн бұрын
Why waste time with corrupt people get rid of them bastard
@Ba6382814 күн бұрын
@MerickyMangula-yi6ow Unao ushahidi? Sheria hairuhusu waziri au mtu mwingine kuingilia jambo lililopo kortini ni vyombo vya kimahakama tu ndo hutumika. Anachofanya waziri ni ubabe.
@romanamassawe81415 күн бұрын
Jerry silaha unaonea, kesi ipo mahakamani unaingilia, acha kutumia nguvu na madaraka vibaya , unaonea wanyonge, huyo mzee umemuonea
@AllyMaya-yj3xd14 күн бұрын
Yaan wewe ukishinda kesi ukaachiwa huru sio kwamba ukikatiwa rufaaa ndio unakamaatwa tena unarudishwa magereza haoana rufaa inasikilizwa simple logic ni mpaka rufaa imalizike kusikilizwa kama una hatia ndio unakamatwa. Au ukikutwa na hatia ukawa magereza ni tayari unahatia ukikata rufaa unaendelea kusikilizwa rufaa yako ukiwa magereza yaan mfungwa utakuja kuachiwa huru na kutolewa magereza siku utakayoshinda rufaa yako. NIKUKUMBUSHE JAMBO JERRY NI MWANASHERIA MBOBEZI TU HAKURUPUKI VERY SMART PERSON
@user-pv2ez1nd3h13 күн бұрын
Hanee kitu watu wengi hukosa haki zao kwa kisingizio cha Maha Kama nikiwemo na mm kesi miaka 15 haikwisha mpaka sigustilitena
@iddihamisi632012 күн бұрын
Inatakiwa serikali iweke njia rahisi ili tuwe tunapima aridhi maana migogoro kama hii iwe rahisi