Рет қаралды 1,250
Wazazi wa wanafunzi waliofariki katika mkasa wa moto katika shule ya msingi ya Hillside Academy wako katika mchakato wa utambuzi wa maiti kati hifadhi ya hospitali ya Naromuru. Uchunguzi wa chembechembe za urathi yaani dna unaendelea wakati huu. tunaungana na mwanahabari wetu margaret kimathi utoka nyeri atupe maelezo zaidi
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya