DC MAGOTI AANZA NA MOTO “SIPENDI UONGO, MIMI NI ZAIDI YA X RAY NINAONA HUNIDANGANYI KWENYE MRADI"

  Рет қаралды 66,766

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 90
@veronicalaiser7869
@veronicalaiser7869 3 ай бұрын
Hongera sana Mkuu wa Wilaya. Mwenyezi Mungu aendelee kukutunza na kukupa hekima zaidi na zaidi.
@Ahmedikiringamoyo
@Ahmedikiringamoyo 2 ай бұрын
Raisi samia hongerasana kwakumpa UDC MAGOTI MUNGU AKUJAALIE
@SongoloMgallah
@SongoloMgallah 3 ай бұрын
Bonge Moja la kiongozi hongera sana mhe magoti
@mnelahMussa
@mnelahMussa 2 ай бұрын
Hongera sana kwa msimamo wa uwongozi mzee mwenzangu magoti Huo ndio mwanzo wa mafanikio ya kufika mbali ya uwongozi. Vitha ni viitha mura. Yaani amang'ana kasarikire.
@Banzok700
@Banzok700 3 ай бұрын
Bila shaka mheshimiwa Rais hajakose kukuteua Mheshimiwa Magoti. Congratulations. Unaongea vzr na busara unayo . Mwenyeezimung akusimamie
@Enjoy-ge5cy
@Enjoy-ge5cy 3 ай бұрын
Najivunia Tanzania yangu huu ndio usawa sasa piga kazi mh magoti
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 ай бұрын
safi sana Tanzania Imekuwa Marekani
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 3 ай бұрын
mchechi huyu hamaaa mungu amjalie pamoja Na jinsi alivo lakini mchangamfu mno
@ShadrackNkulangwa
@ShadrackNkulangwa 3 ай бұрын
Magoti hizi ndizo akili kubwa za akiba zilizo achwa na jembe jpm leo mama anaviendeleza
@salomewandya7257
@salomewandya7257 3 ай бұрын
Piga kazi Magoti❤❤❤
@ainessfoya4463
@ainessfoya4463 3 ай бұрын
Hongera mnooo..you deserve..kwa roho safi..mungu akutunze..
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 3 ай бұрын
Asante mheshimiwa, Mungu azidi kukuinua... Namuona Makonda mwingine😂👏👏👏
@AbdulmalikFredrick
@AbdulmalikFredrick 3 ай бұрын
Mueshimiwa laisi wangu nashukulu Kwa upendo wako auna ubaguzi Kila mtanzania mwenye uwezo una Mteua , Alha atakulipa kilalaeli inshallah
@adkajisi4536
@adkajisi4536 3 ай бұрын
Huu uandishi duh
@isaacktweve3773
@isaacktweve3773 3 ай бұрын
Barikiwa,na kazi iendelee...
@Keyjop
@Keyjop 3 ай бұрын
Mh...Magoti ❤❤❤🔥
@luqmaneme9105
@luqmaneme9105 3 ай бұрын
Piga kaz kiongozi
@boscoafikile4737
@boscoafikile4737 3 ай бұрын
Nampongeza mheshimiwa Rais kwa kukuchagua mheshimiwa Magoti, nimefurahi sana.
@Kanyawela
@Kanyawela 3 ай бұрын
Yuko anaongea ya maana ila wanaangalia kama hawaelewi ndo ivi anapiga kazi
@johnmtumishi8554
@johnmtumishi8554 3 ай бұрын
4:02 Hongera mheshimiwa DC Dr Magoti nakuelewa good speech be blessed My God protect you in the name of Jesus christ amen
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 3 ай бұрын
Fika KIJIJI CHA VIISEGESE KUNA HUJUMA. VISEGESE NI ENEO.LA MKAKATI KUNA ENEO LA VIWANDA. WAWEKEZAJI WAMESHINDWA KUJA SABABU HAKUNA MAJI
@salmaramadhan2725
@salmaramadhan2725 Ай бұрын
Dc Mungu akulinde baba yaaani tunakupenda kiongozi una challenge kubwa sana,kwanza maneno yako kuntuuuu aiseee ninafurahi uongee asubuhi mpaka jioni
@johnluis35
@johnluis35 3 ай бұрын
Jembe chapa kazi Dr magoti, kazi kazi
@frankngoloka5416
@frankngoloka5416 3 ай бұрын
Kuwa makini wabongo noma,unaweza tunzwa na milion 700 utatulia
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kwakwer awa mjui toka enzi za magufuli awa jui tu apo ana cheka tuu ngoja muone kazi yake talia mbona 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@masungajp1
@masungajp1 3 ай бұрын
Mimi Nina umoja na huyu
@HUSSEINALLY-b7f
@HUSSEINALLY-b7f 3 ай бұрын
Safi sana
@MussaMakukulu
@MussaMakukulu 3 ай бұрын
Hongera sana mh.Dc.
@Martina-y5y
@Martina-y5y 17 күн бұрын
Shukran kwa Mama Samia kutupatia majembe wilaya ya Kisarawe
@paulsibu5770
@paulsibu5770 3 ай бұрын
Hongera Kaka Mungu akuinue zaidi katika utumishi huo
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 3 ай бұрын
BONGE MOJA LA KIONGOZI❤❤❤
@salimanathan1073
@salimanathan1073 3 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@Lundege_Hips
@Lundege_Hips 3 ай бұрын
Huyu jamaa ananyayo za makonda
@youngsachafurniture5482
@youngsachafurniture5482 3 ай бұрын
Viongozi wanasifia rais tuu 😢😢
@cngeze
@cngeze 3 ай бұрын
Angalia migogoro ya ardhi kaa na watendaji na viongozi wengine watatatue migogoro ni mingi mno
@doiabel3793
@doiabel3793 3 ай бұрын
Nimekuelewa zaidi tena sanaaaa
@salmaramadhan2725
@salmaramadhan2725 Ай бұрын
Wewe sio mlemavu baba una akili IQ
@boscokikoti
@boscokikoti 3 ай бұрын
Mungu akubariki
@onlythestrong8659
@onlythestrong8659 3 ай бұрын
Ongea yake kama Magu vile.
@deokibona2835
@deokibona2835 3 ай бұрын
Ukishindwa kuweka lami ktk barabara ya kiluvya madukani - kisarawe. Utakuwa huna jipya.
@miryamkissawike3946
@miryamkissawike3946 3 ай бұрын
kwani yeye hela ni zake ama muundo wa budget wananchi mnatakiwa muelewe muundo wa bugdet na vipaumbele vya kamati ya maendeleo yenu ndio kwanza
@KelvinConorard
@KelvinConorard 3 ай бұрын
Yeye kama yeye au
@AmaniManase-x1i
@AmaniManase-x1i 3 ай бұрын
Na ujaribu kuelewa huyu ni mkuu wa usalama ktk wilaya na sio mfatiliaji bajeti kuhusu miradi kuna watendaji,madiwani na wabunge na yy ndo mfatiliaji endapo kama miradi imepitishiwa sjui umeelewa kwa hapa
@deokibona2835
@deokibona2835 3 ай бұрын
​@@AmaniManase-x1i nimeelewa, ila yeye ndio kajitwisha mzigo. Maneno mengi Sana. Yeye ndio kajiita rais wa wilaya.
@rweumbizalugaimukamu4905
@rweumbizalugaimukamu4905 3 ай бұрын
Upo vizuri sana Magoti
@LamarOmary
@LamarOmary 3 ай бұрын
Barikiwasana mkuu
@patrickongele196
@patrickongele196 3 ай бұрын
Ndugu yangu Dc Magoti kwa mwendo huo huo bila kupokea za pembeni imani yako itakufikisha ndoto njema za wanakisarawe pazuri ongeraaaaaaaa muno mwana wetu
@bakarikayugwa3295
@bakarikayugwa3295 3 ай бұрын
Aroo unajuwa Mimi ni muhaya au nimsukuma piga kazi kaka tusione maneno
@DudddyWhyCant
@DudddyWhyCant 3 ай бұрын
Magoti ni Mara, sio Kagera.
@maryswaibu2218
@maryswaibu2218 3 ай бұрын
Musoma huyo
@Dominic-hh2nf
@Dominic-hh2nf 2 ай бұрын
Nakubali Mkuu
@molenicharles9107
@molenicharles9107 3 ай бұрын
MWAMBA umetiisha...very smart dc
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 3 ай бұрын
Hamumjui huyo, ohooo mnoko huyo, nyie mchukulieni poa
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 3 ай бұрын
Unoko wake katika haki au ubaya kama kwenye haki awe tu mnoko
@isaacktweve3773
@isaacktweve3773 3 ай бұрын
Mpenda haki siku zote hilo jina ni la kawaida tu,wewe usie mnoko tunasubiri taarifa zako umelitendea nini hili taifa?
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 3 ай бұрын
@@isaacktweve3773 tz watu wavivu na kupenda vya haraka akitokea mkweli anakua adui
@gabrielmushi2813
@gabrielmushi2813 3 ай бұрын
😂😂😂😂 Nyie Mnavituko
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 3 ай бұрын
@@FahadAbubakari ..kwenye kazi na ufuatiliaji , ni mtendaji hasa
@amosedward8523
@amosedward8523 3 ай бұрын
ase Mh.Dc magoti maneno yako inabidi uendele
@edwinlyimo5611
@edwinlyimo5611 2 ай бұрын
ongera sana Mama samia Ongera kaka Dc Kaka Magoti
@ejtjr2647
@ejtjr2647 3 ай бұрын
Kwamba ana WACHOMBEZI wanaitika EEBANAEEE.....Senge hili, unalipwa na Raisi, hela zote ni zake? Kumanina zako.
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 nimecheka sana
@salmahalfani6307
@salmahalfani6307 3 ай бұрын
Mmmmh
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 3 ай бұрын
Anauza Nchi
@nathanaelmkumbwa1770
@nathanaelmkumbwa1770 3 ай бұрын
Asante sana DC wa kisarawe Mungu andelee kutunza na kukuinua mkuu.
@KundaelGeorge-tv8mz
@KundaelGeorge-tv8mz 3 ай бұрын
Upo vzr sana magoti. Mungu akusaidie
@aimborannko4048
@aimborannko4048 3 ай бұрын
❤❤❤
@2003hintay
@2003hintay 2 ай бұрын
Big up Sana mkuu uko vizuri Sana
@evelynebwire7684
@evelynebwire7684 2 ай бұрын
Big up my brother
@kissysimbaa2350
@kissysimbaa2350 3 ай бұрын
Tis uyo yaaan Sio Mtu wa upinde upinde
@DevotaIjumba
@DevotaIjumba 3 ай бұрын
Ongera sana kiongozi Magoti.big up
@dilludillu2747
@dilludillu2747 3 ай бұрын
🔥
@KassimJabu
@KassimJabu 3 ай бұрын
Uwe,mkweli,lakini wanapiga nchi
@RichardKilepo-xj1sy
@RichardKilepo-xj1sy 2 ай бұрын
Wape ukweli
@barakachibwana3708
@barakachibwana3708 2 ай бұрын
Nice
@collinndabi1914
@collinndabi1914 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@patrickmfundiri8669
@patrickmfundiri8669 3 ай бұрын
Safi mh magoti
@stn4873
@stn4873 3 ай бұрын
FILIDI KAMA FILIDI
@AthanasGabriel-j9p
@AthanasGabriel-j9p 2 ай бұрын
Huuu ndo usawa sasa, piga kaz mh.
@hamudshabani7801
@hamudshabani7801 3 ай бұрын
Maneno yako yakaishi
@MaryShayo-tg4vq
@MaryShayo-tg4vq 3 ай бұрын
🎉
@StAr-yu3vz
@StAr-yu3vz 3 ай бұрын
Tunakuombea dua ira kisarawe ujitahidi maana mie nipo kijiji cha kisangile nimehama nchi yangu nipo Oman miaka mie mwanamke tunataka hajira ya wanawake ira umeme tokea rais kufa mpaka reo umeme hakuna ajira kukata mkaa miti imeisha ira ira ipo siku tunataka makonda aje kijijini kwetu
@rogersdavis3058
@rogersdavis3058 3 ай бұрын
Mbona sehem nyingi umeme upo
Running With Bigger And Bigger Lunchlys
00:18
MrBeast
Рет қаралды 120 МЛН
Spongebob ate Michael Jackson 😱 #meme #spongebob #gmod
00:14
Mr. LoLo
Рет қаралды 10 МЛН
Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:20
Leisi Crazy
Рет қаралды 60 МЛН
KUSTAAFU ANZA MAPEMA USISUBIRI MUDA UFIKE
5:01
Wasafi Media
Рет қаралды 3,1 М.
VIDEO: TAZAMA MELI ILIVYOZAMA IKIWA NA MAMIA YA WATU CONGO
2:38
Millard Ayo
Рет қаралды 4,7 М.
MTOTO WA MRISHO MPOTO AWALIZA VIONGOZI KWA UCHUNGU
17:36
MrishoMpoto
Рет қаралды 196 М.
Running With Bigger And Bigger Lunchlys
00:18
MrBeast
Рет қаралды 120 МЛН