MAMA UMEONGEA VIZURI SANAA. NA NIMEKUPENDA KWA UJASIRI WAKO. MUNGU AENDELEE KUKUTIA NGUVU.❤❤❤
@naomienock34755 ай бұрын
😊
@MosesNyirenda-k8o7 ай бұрын
Unauwa mwanaume mwenzio kwa sababu ya umalaya wa mkeo?utauwa wangapi?
@Sheba46517 ай бұрын
Lazima nicheke 😂😂😂 Acha kutoa roho ya mwanaume mwezio, akileta umalaya fukuza weka mwengine, ila tatizo litakuja ule mgao wenu 50 kwa 50, utajenga na kugawa nyumba ngapi 😂😂😂 Ahh!! Kwa hivyo bora uwa tu.
@goldmansun58597 ай бұрын
@@Sheba4651andika mali zote jina la mama ako, weka safe Mali zote za kwako, kisha ishi, mwanamk akizingua tupa nje, mpe kidogo akajikidhi kimaisha, usikubal akukware kila kitu au hata robo ya nguvu zako unless una uwakika kaweka robo ya hivyo vitu, usiue mwanaume mwenzio, tupa nje hyo kahaba
@roggoyacny6 ай бұрын
Hatar sana 😭
@KwizeLee6 ай бұрын
thank you
@laurentraphael54706 ай бұрын
Hatari sana. Damu ya mtu ni issue
@summanelson55237 ай бұрын
Mama jasiri alienda bila kuogopa kuwa na yeye angeuawawa!!! Mama ana hekima sana sana!!!! Mwingine akiambia tu maneno angemvaa huyo mwanamke. Yeye kamuuliza tu kama ni kweli anatembea na mume wake!!! Mungu akutie nguvu mama na akuwezeshe kukabili haya maisha peke yako.
@fhugghi41097 ай бұрын
Duuuh mama unaujasiri wa hali ya juu zaidi . Pole sana 😢
@mwanaidimussa7 ай бұрын
Ameshachoka natabia za mume wake, kashakuwa sugu 😢😢
@paulmafuru72836 ай бұрын
Inakatosha tamaa ukioa kuwa na heshima kwa mke ,Kama alishaonywa lkn akusikia basi Mungu amejibu maombi ya mama huyu
@Kabwela7767 ай бұрын
Mama ni jasiri sana ndio wanawake wanatakiwa wawe hivi na ni ana akili sana yuko smart angepiga yowe na kuanza kulia angeuwawa labda Na huyo muuwaji,
@neema_mollel7 ай бұрын
Pole mama ,umeshuhudia kifo kichungu cha mumeo😢😢😢
@smallscaleminingsupplies96707 ай бұрын
Nyie wabongo mnadhani kila kijiji Tz hii kuna polisi, kuna maeneo police wapo mbali sana tembeeni hii nchi kubwa sana
@yama_virginhairthequeen10656 ай бұрын
Indeed
@upendotarimo29655 ай бұрын
Kweli
@neema_mollel7 ай бұрын
Ila mama ana ujasiri😢😢😢😢wooiiyeee .mama pole tena
@anithiajohn92097 ай бұрын
Wanawake pia wanachoka matukio ya kwenye ndoa uyo mam mme wake angekuwa na mapenzi ya dhat leo asingepata ata nguvu za kuongea tujitaid kuwa waamnifu
@halimasuddy92947 ай бұрын
Innallillah wainnalillah rajiun 😢 MUNGU TUPE MWISHO MWEMA
@LizzyAdrianadriana7 ай бұрын
Mungu nilindie mume wangu
@Bmsecret7 ай бұрын
Mruhusu aoe mke mwingine akihatija usiwe na shida asije akatoka nje ya ndoa
@bintiwayesu22267 ай бұрын
@@Bmsecretsio kweli wapo wameoa wengi na bado vimada kibao nje, Mungu tu aturehemu basi
@Bmsecret7 ай бұрын
@@bintiwayesu2226 mruhusu mume aoe bila hivo Anna nusura utakuwa na mwenza tu
@bintiwayesu22267 ай бұрын
@@Bmsecret sio mm wa kumruhusu au kutomruhusu kiapo chake anakijua mwenyewe hiari yake kukiishi au kukivunja
@Bmsecret7 ай бұрын
@@bintiwayesu2226 uislam hauna Kiapo lazima ana nafasi tatu
@ManaseMoleli7 ай бұрын
Mama una ujasiri Mungu akusaidie tuweni waaminifu kwenye ndoa zetu
@zuenajohn83257 ай бұрын
Mama alichoka Sana na tabia za mume.
@danieljoseph16107 ай бұрын
Huyo marehemu kifo alichokutana nacho ni halali yake! Mke wa mtu kutembea naye sio habari njema hata kwa mungu! Hata kama ulimpenda vipi mme wake akigundua akakufuata nakukuonya! Achana na mke wake na umwombe msamaha!
@husseinkonz51927 ай бұрын
Mke wa mtu sumu ndio hii sasa
@bahatielias64436 ай бұрын
Kabisa mwanangu, mke wa mtu mheshimu sana
@patrickrueben55856 ай бұрын
Tatizo ni kujifanya weye ni mtombaji mzuri kuliko mwnye mke, faide ndo hyo alioipata akati alishakuonya......
@neema_mollel7 ай бұрын
Hii kalii na kuna anaewatch hapa na bado anakaa na mke wa mtu😂😂😂😂
@paskalinamassawe52837 ай бұрын
Jaman nawafahamu mbona aibu omg rip sadiki
@hopesefue90687 ай бұрын
Yaani uwii nitembee na wauaji fimbo ,panga ,nilidhani huko mbele angekimbia maana kama si nae kuuwawa basi angebakwa ,huu ni ujasiri mkubwa aisee
@angellomarcel56777 ай бұрын
Mama Pole sana..But Mama mbona kama anaona Sawa kwa kilichotokea..hii ni kutokana na Kuchoshwa na Tabia za Mume
@alexvenas26996 ай бұрын
Huyo ni mama wa kiiraki huwa wanaujasiri sana
@jessicamwasandube9447 ай бұрын
Daah 😭😭amekufa Kwa maumivu makali mno,pole sana dada,mwisho wa dunia umefika jamani
@aminaabdalla99497 ай бұрын
wee mungu wanguu mama pole unaujasiri sana wewe superhuman wewendioukonauchungu kuliko yule anaeliakwakelele wewe unalia ndaniyamoyo polesana
@khasianussamson62277 ай бұрын
Mama Mungu ampe nguvu katika kipindi iki kigumu
@JohnMahu-f1g4 ай бұрын
Mama pole sna mungu akulinde na akupe faraja
@AkwiliniQawoga6 ай бұрын
Mama anabusara za kutosha.pole mama
@sanoureyaliwadoakaroyo16967 ай бұрын
Watu Wengi Wanamuona Uyuu Maama Kma Ana Roho Ngumu Ila Watu Wanashindwa Kuelewa Kuwa Uyuu Mama Amepokea Kesi Ngapi Za Mumewe Kutokuwa Mwaminivu Kwenye Ndoa Yake Uwenda Uyuu Mama Alichoka KUchitiwa Ndio Maana Unamuona Kma Hana Majuto Kwenye Msiba Huu Wa Mumewe Kwa Kesi Ya Kijinga Kma Hiii Hili Hali Alisha Mkanya Mume Wake Juu Ya Mke wa Mtu Ila Mume Alijifanya Mwamba Mnataka Uyuu Mama Atoe Machozi Ama Alie Mbele Ya Camera Sasa Ata Akilia Mbele Ya Camera Machozi Yake Yatabadilisha Nn Ili hali Tayari Mumewe Ameuwawa
@ireneshao79507 ай бұрын
Point na moyo wa mwanamke ukichoka acha kabisa
@sixmundleonard21357 ай бұрын
Iyo ndyo dawa unajikuta mwamba kwa mke wa m2
@SefrozaMafuru7 ай бұрын
Kweli kabisa
@bintiwayesu22267 ай бұрын
kabisa huyu mama anampenda sana mume we ila anaonekana alivumilia sana kuchitiwa mpaka akasema bora liende too bad, dhambi ikikomaa huzaa mauti
@bahatishabani13927 ай бұрын
Hana roho ngumu ni jasiri tu
@ariphkimani37907 ай бұрын
Watu wa manyara na singinda wanajua sana pande za Dunia,mashariki,magharibi,kaskazini,kusini
@mohamedhamad23747 ай бұрын
😂😂😂
@humphreymwihambi43306 ай бұрын
Na wagogo pia. Ni hatari kwa kujua directions
@Commentsplus7 ай бұрын
Wenyeviti walio wengi wanakula wake za watu. Kuua sio sawa ila maumivu ya kuchukuliwa mke sikia kwa magazeti tu........ Tupinge ukatili wa aina zote wakuana na kuchukuliana wake.. Pande zote Story zimeniumaaa
@MwanahamisiBwanga27 күн бұрын
Rohooo inanimate jamanii uwiiiiii pole mama anguu daaaa
@AgnessMsacky6 ай бұрын
Mimi naona tunako elekea watu wataheshimu mahusiano y wtu mimi nimeshuhudia mahusiano ukiambiwa acha mahusiano y mke wangu hebu wacha usiendelee kutembea na mke wa mtu jamani musikiage mtu akikuonyA acha kama umefanya kweli watu hawaogopi
@hasaniabdalah61487 ай бұрын
Da!! Mama mungu akuongoze na akupe faraja kwa kuwa wewe ni mama shujaa . Maisha yana mitihani mingi tunapaswa kujifunza mengi kutoka kwa maelezo ya mama huyu .😢 Ila nikirudi kwa walengwa wakuu wanaume hawa 2 . Muuliwa na na muuaji tukianza na muuliwa hayupo ila wawakilishi wake sikieni hili unapo tembea na mke wa mwenzio tambua maumivu mwenzio anayo pitia kwa kuonekana fala asie na lolote mbele ya jamii yake sishabikii jinai ila jiulize ingekuwa ni mkeo ungejisikiaje moyoni ?. 2 na huyu alie ua binafsi
@hasaniabdalah61487 ай бұрын
Na huyu Alie ua binafsi namhurumia kwa tendo ovu la kutokana hasira japo mke auma moyoni na utadhalaulika lakini heri maumivu ya kudhalilishwa usubirie hukumu ya Mungu kwa hyo mbaya wako kuliko kumhukumu wewe maana asaivi japo umeona umemalixa hasira yako lakini utaishi kwa majuto kuliko hata ungemwacha mke au ukamwachia Mungu akuhukumie jambo lako
@stanleymhozi75907 ай бұрын
Pole my dunia inatisha sana sk hizi
@rossemaryeliya61136 ай бұрын
MUNGU tuepushe na muepushe mume wangu na vifo kama hivi kama atateleza ,na mnusuru na tamaa ya nje ya ndoa
@mwitajoseph83156 ай бұрын
Duhhhhh kiuno kiuno kiuno
@ritapiusnicolaus70687 ай бұрын
Pole sana mama
@ShakiraAthumani6 ай бұрын
Pole,sana
@judithminja63866 ай бұрын
Aiseeeee😊
@jenipherjackson38267 ай бұрын
sk zingine ndugu zangu watanzania ujasiri wa hivi tusije tukarudia kuufanya tena ujue ata uyu mama tungekua tunaomboleza misiba miwili sasa wangemuua je😮😳😳😳😳so sud
@Sharefa-v6n7 ай бұрын
Ni kweli yaan alvyomuuliza una nifaham angesema tu ndio wangemuua ila yey alimjib hapana skufaham, daaa maskin
@jenipherjackson38267 ай бұрын
@@Sharefa-v6n Hana uzalendo wa kitz uyu mumama🙄🥺🙌
@muddywatown7 ай бұрын
Yani huyu nae alikua anauwawa
@ubongosahihi6 ай бұрын
Ni kwa Neema tu za Mungu 😢😢
@jovanafidelis28026 ай бұрын
Alipaswa afatwe na watu nyuma yake
@GoodluckAmos7 ай бұрын
Mama amehojiwa hadi akajichanganya jmn et nina miaka 20 kwenye ndoa, mtoto wetu wa kwanza ana miaka 25.. Wewe mama ni jasiri, leo inatakiwa iwe siku yako special. Maneno ya hekima mno dah Ubarikiwe sana
@steveanthon55236 ай бұрын
Walizaa nje ya ndoa baadae wakafunga ndoa, hakujichanganya amesema ukweli wake
@jescajulius80236 ай бұрын
Cha ajabu kipi,alimzaa kabla ya ndoa yao
@loner_wolf7 ай бұрын
Wewe mwandishi kiswahili shida , mama anasema tukio la kwanza lilikuwa linaonekana la kweli lkn serikali yakijiji hawakulitatuwa kwa haki , ndio maana likatokea hili la pili . according to nilivyomuelewa. Usikimbilie tu swali jingine ksbla haujaelewa jibu ulilopewa juu ya lakwanza.
@furahasmart15167 ай бұрын
hv wanaume mnaumiga sanaaa mkifumania?mbona nyie mnachirt sanaa
@fidelismwakanyamale67877 ай бұрын
Mama anaongea kwa ujasiri alicho nifuraisha ni kauli yake ya kuwa kilicho mpata yuko tayari kwa jambo lolote litakalo mpata mbele
@awadhrajabu14037 ай бұрын
Ujasiri Wake Umemuokoa Uyu Mama
@aminathaabubakarmasoud5657 ай бұрын
Sana
@yama_virginhairthequeen10656 ай бұрын
Duh mama jasiri
@LizzyAdrianadriana7 ай бұрын
Mama ana ujasiri huyu duh jaman na alkuwa anampenda mme wake
@mwanaidimussa7 ай бұрын
Ampende nn , msaliti
@twiseghekisilu88457 ай бұрын
@@mwanaidimussamwanamke lakini huna akili Sasa usaliti ndo auawe!wewe umekamilika??
@FatmaHalfan-w3l7 ай бұрын
Ila uyu mama anahatari je wangemzuru alafu kumbe ilikua usiku daah hao watu wa manyara noma sana
@mjukuuhotelitv77367 ай бұрын
Mke wa mtu sumu hivi hamuelewagi nini
@ScolaMasanja-fg7hi7 ай бұрын
mama mujasli sanaa n zaid yajeshi upewe ulinzi
@bintiwayesu22267 ай бұрын
sidhani km ni ujasiri tu ni pamoja na usugu wa machungu mengi, pamoja na yote haikufaa kumuua baba wa watu kakosa ndio lkn kuuawa ni ukatili mkubwa
@carolinemariki40296 ай бұрын
Mhh huyu mama ni kasoro sana Kwa kweli
@josephjohn21147 ай бұрын
Daa boda na na huyo mama hawakutumia mbinu za kivita kwenda eneo la tukio na wahalifu .....walienda bila tahadhari hata wao wangeweza kudhurika.
@trophywilson72117 ай бұрын
Imagjne na Mungu tu moyoni
@mwanaidimussa7 ай бұрын
Yaaan , mungu anawapenda
@aminathaabubakarmasoud5657 ай бұрын
Sana
@frenkfarm11397 ай бұрын
huyuuu mama duuu inaonyesha anaroho ya kisasi ndani duuuuu huo ujasili unatoka wapi
@swalehesaidi56007 ай бұрын
Mama jasir Mashaallah ❤
@najmasalim-rg6ow7 ай бұрын
Nanusuu!
@trophywilson72117 ай бұрын
mie ningeita polisi mapema
@nurdinsalum70417 ай бұрын
Mke wa mtu sumu ila hii imezidi 😢 pole sana.
@ChristinaWallasch7 ай бұрын
Hiyo ni wivu ya maendeleo, mpaka pikipiki,amemuonea baba wa watu, Kuna watu wako hivyo, Sasa ataishi Tena na huyo nwanamke, ni kwamba watafia jela,
@Rachelnsanzu7 ай бұрын
Manyara napo jamani
@lukomanomaliki54426 ай бұрын
Binadamu tuna mioyo ya ajabu sana.Kuna haja gani ya kumuua mwanaume mwenzako kwa sababu ya mwanamke aliyekubali kuvua chupi mwenyewe kwa hiari yake? Ukijua kuwa mtu anakuchapia bora kumuachia tu huyo mwanamke,ubaki na amani yako.
@paulmafuru72836 ай бұрын
Shida inakujaga mtu anakuchukulia mke alafu anakuonyeshea na dharau tena akiwa ana ka kitengo ndo kabisaaaa so watu tujifunze
Yani huyu mama anavyosimulia mm uku nasisimkwaa, haki me nisingeenda uo usiku anichinje na mm weeeh huku mama ni malaika sio binadam 😢
@yukundapeter82007 ай бұрын
Rombo kijana mmoja alimwambia mke wake,mpigie hawara yako mwambie aje mimi cpo.Mke skafanya hivyo hawara akaja akaingia ndani akijua atajivinjari na mke wa mtu,hawara akashambuliwa na mapanga akafia palepale tena mbele ndani.Mnaitwa tu mnaenda km kuku.
@Sheba46517 ай бұрын
Kafanya vizuri shenz
@festusmakanja36457 ай бұрын
Lakin ukiwakuta makanisan,utafikili watakatifu wa Mungu,kumbe......????
@aminatanzanya74757 ай бұрын
Yaan umegong penyew Festusmakanja
@jamilamfumike6 ай бұрын
Wanawake tutulie kwenye ndoa zetu jamani mwanaume bora umuibie pesa kuliko kuiba tamu yake uwiiiii tusifanye ivo jamani
@ntiliyothomas2255 ай бұрын
😂😂😂
@sergebaleke6957 ай бұрын
Sasa mwenye kiti tena kutongoza wake wa wutu? Rest in Peace mwenye kiti
@Boniphaceshayo57 ай бұрын
Uyu mama alijiamini nini kwenda mwenye na niusiku itakua aliwatuma ndo wakamwita akatoe malipo itakua uyo mama anajua kila kitu mwanzo mwisho eti mzoga 😢
@ZubedaHussein-it7nf7 ай бұрын
Ata mm nmewaza km weww ushujaa wakwenda mwenyew Tena usiku ata asishirikishe jeshi la police uyu mama apana
@Boniphaceshayo57 ай бұрын
@@ZubedaHussein-it7nf kuna kitu ndani yake usikute na yeye aliusika kikamilifu
@habisnasalum-nz4zo7 ай бұрын
Limwanaume lilikua halisikii likiulizwa linamuambia huyu mama ndio
@hadijauledi69957 ай бұрын
Ila ww mama unaroho ngumu daaah sasa huyo muuwaji angekugeukia na ww mmmmm😭😭
@aboudijaaboudija7 ай бұрын
😭😭aisee una roho ngum jamani uwii wew mama
@ElizabethWamcha7 ай бұрын
Simlaumu wanaume wanatutesa sana ndani ya ndoa so inapofika imetokea kama hili unaona kawaida tu
@sharkiiy2367 ай бұрын
Hiyo ni manyara watu ni wagumu
@judithminja63866 ай бұрын
Baba alikufa kwa maumivu makali sanaaa
@dignakanje45087 ай бұрын
Jamani hio Tanzania imekidhiri mauaji yasiyonalazima.Yte hya nimapenzi uko tayari ukose amani ukose kuishi nawtoto wako yte ujinga nakujifanya hmjali Sheria hmjali kuwa Kuna Kuna maisha baada yhpo.Nivi nikitu Gani kikubwa kitakachokufanya umfanye binadamu mwenzio kma nyama.Embu uchukulie kwako.Unamuua binadu mwenzio kikatili hivyo.
@tumainichanya32687 ай бұрын
Itoshe kusema uzinzi ni zambi yenye raana ,iwe ni mume wa mtu au mtu yoyote ,asilimia nyingi binadam anaeitumia hii starehe ya uzinzi usalama wake ni mdogo Sana,shetani asitujaze ujasili wa kuiishi zambi hii, jamani uzinzi ni kizuizi Cha amani na usalama Kwa yeyote mwenye kuitenda zambi hii
@Mohaa43096 ай бұрын
Mke wa mtu sumu😢😢😢
@sadikingitu7 ай бұрын
Wajina mapenzi yamemuua 😢
@natafutamatatizo43827 ай бұрын
POLISI WA MAMA SAMIA OYEEE👀👀👀!
@Commentsplus7 ай бұрын
Mama haliii mumewe kafa kwa sababu inaonekana alikua alishamchoka mumewe hata mission usikute na yeye yumo ................................................... . Hakupiga simu hata Police #Wazee wa #Cuba
@Happy-ef9kf7 күн бұрын
Yani mtu kama ww ndo nilikuwa nakutafuta apo nimekuelewa
@Godbless-o6c7 ай бұрын
Huyu mama kuna kitu anajua
@Sumaiyafisoo7 ай бұрын
Inalilah wainaillah rajion 😭😭😭anaroho ngumu mme wake hata chozi
@anastaziamathias88617 ай бұрын
Aliye Kwa kipi? Mtu mzinifu kauwawa uzinzi na alimuombea mpaka msamaha na amemshuhudia hajafa mpaka amefariki kamfunika mwenyewe ulitaka aangue kilio mda huu? Hebu muacheni
@Mary-fs4mc7 ай бұрын
Yaani kuna watu kazi yenu kujaji watu, mtu akifiwa asipolia basi inakuwa shida, kuna wengine wanalia lakini sio kama wanauchugu na huo msiba wanalia nayao wanayopitia au walishayapitia na wengine hulia kwakuigiza tu ili waonekane wamelia. Ila huyu mama anachpoitia yeye ndiye anayejua na Mungu pekee usimuone hivyo ndugu.
@ukhutfatumah11546 ай бұрын
Daaaa mama unaujasiri sana unaenda seem ya tuko usiku wa saa tatu na vijijin uko sasa na wewe ungekuuwa ingekuwaje jmn mhhh kuna la kujifunza hapa aise
@danielpeter80857 ай бұрын
Uyu mama mshamba sana!! Asa kwann kabla ya kwenda angepiga yowe aende na vijana!!! Amezingua uyuuuu
@josephlorri4317 ай бұрын
Mshamba ni wewe, hivi angejuaje kwamba angekuta mazingira hayo? Hayajakukuta, hiyo hali ni ngumu mnoo. Huyo mama bado hajaelewa kilichotokea,maumivu atayapata baadaye
@bahatielias64436 ай бұрын
Usizin wewe harafu alaumiwe mkeo jinga kabisa, mjiepushe na wake za watu
@SGVBnewsSAMWEL7 ай бұрын
Huyu mama ni over smart sana abanwe vizuri
@DominicaMushi-z2n7 ай бұрын
Tsjiri wimbo
@josenyambeo35877 ай бұрын
Mm nina mashaka na huyu mama sana
@kobelotv7 ай бұрын
Mama achunguzwe
@bahatielias64436 ай бұрын
Achunguzwe Nini Sasa hapo
@AminaLibisa7 ай бұрын
Me namwangalia KZbin tu namuogopa uyu mama wallah maana mkavu aisee kweli uyo baba marehemu alikua anakaa na jarisi wa moyo wa mwanaume 😢😢😢
@trophywilson72117 ай бұрын
Alishamuumiza moyo baadaye ukafa ganzi
@AminaLibisa7 ай бұрын
@@trophywilson7211 so kweli Kwa uyo kama ayo mambo yalisha muumiza angesema hana subra kabisa ujasiri tu amejaghaliwa me siwezi ata kama iweje ni Bora niondoke kama ni ivyo ata kuua anaweza
@eggysulle79887 ай бұрын
@@trophywilson7211upo saii maana uyu aandka iv kama s mwanamke na mgen wa waune
Jamani waliyofanya hivyo cha moto mtakiona sii nimeona wanazoa mchanga hapo
@Leylah-pz5sc7 ай бұрын
Huyu mama alichoka sana na tabia chafu za mume wake
@amanimanase87987 ай бұрын
Duuh Mungu tusaidie na tuepushie majaribu kama haya
@lukomanomaliki54426 ай бұрын
Huyu mama kwanini hakwenda hata na Maaskari au hata Wagambo?
@roswitaexavery33787 ай бұрын
Yaani namimi mwenyewe nashangaa unaongozanaje namauwaji halafu hustuki Mimi nahisi hata huyo mwanamke alifurahi mumwe kufanyia hivo au walishauriana yaani huyu mwanamke alishirikishwa katika haya matukio yote
@ShukuruHassani-mw3uo7 ай бұрын
Kweli kama aliweza kuja na boda alishindwaje kwenda kuchukua police
@mwanaidimussa7 ай бұрын
Siooo kweli, sema Hana elimu yakutoshaaa ndo maan hakuwa na hofu anaenda enda tu
@benjaminchakwe98156 ай бұрын
MUWAGE MNAACHA UMALAYA NA TAMAA
@elbaricktv16327 ай бұрын
Watu wa kanda ya kaskazin akiri hawana kabisa wanawake kuwen makin kuolewa na makabila ya manyara.😢arusha na Mara
@theresiachacha51807 ай бұрын
Eeh Mara Tena?😢
@tinaminja55007 ай бұрын
My dear dunia imeharibika Ni kumuomba tu mungu....
@elbaricktv16327 ай бұрын
@@theresiachacha5180 ndiyo Yan uko mara ni mapanga TU bira huruma hamna tofaut na Arusha na manyara
@musicheals15457 ай бұрын
kwa nn ukule wake za watu babuuuuuu
@SefrozaMafuru7 ай бұрын
Sasa Mara imekujaje hapa na wewe..hii ni mtu kabila lolote inaweza kumpata,kikubwa kaeni mbali na wake za watu..simple hamna kanda katika hili
@mropetv70347 ай бұрын
mama jasili ila aisee mke anauma weweee
@MiriumWajey-lr1tq7 ай бұрын
Jaman si angepiga simu polisi😭
@mmarycalvin63956 ай бұрын
Maswali mengine hayana maana. Mtu Ana machungu una muuliza ataishije kweliiii hata msiba haujaishaaa ? Au ulikuwa umeishaaa ??? Mboreshe kidogo kuhoji.
@annatemu44887 ай бұрын
Duuh ila mama kwanini uende mwenyewe jamani ? Au ndio kupagawa? Je ulimtaarifu hata jirani au ndugu yake yeyote?
@zuhurasaid7 ай бұрын
Atakuwa alishapokea kesi sana, huoni muuaji alimwambia njoo umuone mtu wako kama atakufaa umchukue? Kuna kitu kabla ya mauaji
@fejohjizzle7 ай бұрын
Mmmmh Mama ana roho ngumu sana
@taseleli91817 ай бұрын
Sio roho ngumu anafanyaje Sasa wakati jambo limeshatokea
@fejohjizzle7 ай бұрын
@@taseleli9181 yaani namaanisha sio muoga usiku umeenda usiku kwenye hilo tukio bia uwoga
@ubongosahihi6 ай бұрын
Na huenda alisha zoea hizo tabia za Marehemu mume wake mmh pole dada kwa yote Mwenyezi Mungu Atuhurumie na atuweke mbali na Uzinzi 😢😢
@darajalakidatukilomgi23627 ай бұрын
Muuaji ni mtu katili ndio maana hata Mke wake alikua anachepuka, ukafie jela na roho Lako la ukatili, na Mke wako ataolewa na mwanaume mwingine
@JamesSichimata-w1u7 ай бұрын
MUNGU tulinde Babayetu
@BabyMadoshi6 ай бұрын
Kwanza huna roho ngumu sana ww mama kumbe taarifa ulikuwa nayo kwann usitoi taarifa kituo cha police kabla ujaenda uko daaaaah😢
@godlovemwakalinga6 ай бұрын
Wambulu ama wairaq wanaakili na ujasiri nyie msiwadharau wala kuwaita makaya ama kuwafanya chombo cha starehe mjini Mama hongera Kwa ujasiri na kauli zenye mashiko.
@olivernyange23497 ай бұрын
Eeh mama by professional we ni nesi au doctor?
@IshipalemyPasko6 ай бұрын
Ila usimuite mzoga mume wako so pw mamang
@linnetmbotto72126 ай бұрын
Alikuwa ashamchoka, mwanaume asiyemuaminifu moyoni hayupo hata kumuonea huruma.