"MUME WAKO NILIMUONYA HAKUSIKIA, ANATEMBEA NA MKE WANGU, ILITUMIKA SIMU YAKE" MKE WA MWENYEKITI

  Рет қаралды 111,302

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 384
@valenakomba7686
@valenakomba7686 7 ай бұрын
MAMA UMEONGEA VIZURI SANAA. NA NIMEKUPENDA KWA UJASIRI WAKO. MUNGU AENDELEE KUKUTIA NGUVU.❤❤❤
@naomienock3475
@naomienock3475 5 ай бұрын
😊
@MosesNyirenda-k8o
@MosesNyirenda-k8o 7 ай бұрын
Unauwa mwanaume mwenzio kwa sababu ya umalaya wa mkeo?utauwa wangapi?
@Sheba4651
@Sheba4651 7 ай бұрын
Lazima nicheke 😂😂😂 Acha kutoa roho ya mwanaume mwezio, akileta umalaya fukuza weka mwengine, ila tatizo litakuja ule mgao wenu 50 kwa 50, utajenga na kugawa nyumba ngapi 😂😂😂 Ahh!! Kwa hivyo bora uwa tu.
@goldmansun5859
@goldmansun5859 7 ай бұрын
​@@Sheba4651andika mali zote jina la mama ako, weka safe Mali zote za kwako, kisha ishi, mwanamk akizingua tupa nje, mpe kidogo akajikidhi kimaisha, usikubal akukware kila kitu au hata robo ya nguvu zako unless una uwakika kaweka robo ya hivyo vitu, usiue mwanaume mwenzio, tupa nje hyo kahaba
@roggoyacny
@roggoyacny 6 ай бұрын
Hatar sana 😭
@KwizeLee
@KwizeLee 6 ай бұрын
thank you
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 6 ай бұрын
Hatari sana. Damu ya mtu ni issue
@summanelson5523
@summanelson5523 7 ай бұрын
Mama jasiri alienda bila kuogopa kuwa na yeye angeuawawa!!! Mama ana hekima sana sana!!!! Mwingine akiambia tu maneno angemvaa huyo mwanamke. Yeye kamuuliza tu kama ni kweli anatembea na mume wake!!! Mungu akutie nguvu mama na akuwezeshe kukabili haya maisha peke yako.
@fhugghi4109
@fhugghi4109 7 ай бұрын
Duuuh mama unaujasiri wa hali ya juu zaidi . Pole sana 😢
@mwanaidimussa
@mwanaidimussa 7 ай бұрын
Ameshachoka natabia za mume wake, kashakuwa sugu 😢😢
@paulmafuru7283
@paulmafuru7283 6 ай бұрын
Inakatosha tamaa ukioa kuwa na heshima kwa mke ,Kama alishaonywa lkn akusikia basi Mungu amejibu maombi ya mama huyu
@Kabwela776
@Kabwela776 7 ай бұрын
Mama ni jasiri sana ndio wanawake wanatakiwa wawe hivi na ni ana akili sana yuko smart angepiga yowe na kuanza kulia angeuwawa labda Na huyo muuwaji,
@neema_mollel
@neema_mollel 7 ай бұрын
Pole mama ,umeshuhudia kifo kichungu cha mumeo😢😢😢
@smallscaleminingsupplies9670
@smallscaleminingsupplies9670 7 ай бұрын
Nyie wabongo mnadhani kila kijiji Tz hii kuna polisi, kuna maeneo police wapo mbali sana tembeeni hii nchi kubwa sana
@yama_virginhairthequeen1065
@yama_virginhairthequeen1065 6 ай бұрын
Indeed
@upendotarimo2965
@upendotarimo2965 5 ай бұрын
Kweli
@neema_mollel
@neema_mollel 7 ай бұрын
Ila mama ana ujasiri😢😢😢😢wooiiyeee .mama pole tena
@anithiajohn9209
@anithiajohn9209 7 ай бұрын
Wanawake pia wanachoka matukio ya kwenye ndoa uyo mam mme wake angekuwa na mapenzi ya dhat leo asingepata ata nguvu za kuongea tujitaid kuwa waamnifu
@halimasuddy9294
@halimasuddy9294 7 ай бұрын
Innallillah wainnalillah rajiun 😢 MUNGU TUPE MWISHO MWEMA
@LizzyAdrianadriana
@LizzyAdrianadriana 7 ай бұрын
Mungu nilindie mume wangu
@Bmsecret
@Bmsecret 7 ай бұрын
Mruhusu aoe mke mwingine akihatija usiwe na shida asije akatoka nje ya ndoa
@bintiwayesu2226
@bintiwayesu2226 7 ай бұрын
​@@Bmsecretsio kweli wapo wameoa wengi na bado vimada kibao nje, Mungu tu aturehemu basi
@Bmsecret
@Bmsecret 7 ай бұрын
@@bintiwayesu2226 mruhusu mume aoe bila hivo Anna nusura utakuwa na mwenza tu
@bintiwayesu2226
@bintiwayesu2226 7 ай бұрын
@@Bmsecret sio mm wa kumruhusu au kutomruhusu kiapo chake anakijua mwenyewe hiari yake kukiishi au kukivunja
@Bmsecret
@Bmsecret 7 ай бұрын
@@bintiwayesu2226 uislam hauna Kiapo lazima ana nafasi tatu
@ManaseMoleli
@ManaseMoleli 7 ай бұрын
Mama una ujasiri Mungu akusaidie tuweni waaminifu kwenye ndoa zetu
@zuenajohn8325
@zuenajohn8325 7 ай бұрын
Mama alichoka Sana na tabia za mume.
@danieljoseph1610
@danieljoseph1610 7 ай бұрын
Huyo marehemu kifo alichokutana nacho ni halali yake! Mke wa mtu kutembea naye sio habari njema hata kwa mungu! Hata kama ulimpenda vipi mme wake akigundua akakufuata nakukuonya! Achana na mke wake na umwombe msamaha!
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 7 ай бұрын
Mke wa mtu sumu ndio hii sasa
@bahatielias6443
@bahatielias6443 6 ай бұрын
Kabisa mwanangu, mke wa mtu mheshimu sana
@patrickrueben5585
@patrickrueben5585 6 ай бұрын
Tatizo ni kujifanya weye ni mtombaji mzuri kuliko mwnye mke, faide ndo hyo alioipata akati alishakuonya......
@neema_mollel
@neema_mollel 7 ай бұрын
Hii kalii na kuna anaewatch hapa na bado anakaa na mke wa mtu😂😂😂😂
@paskalinamassawe5283
@paskalinamassawe5283 7 ай бұрын
Jaman nawafahamu mbona aibu omg rip sadiki
@hopesefue9068
@hopesefue9068 7 ай бұрын
Yaani uwii nitembee na wauaji fimbo ,panga ,nilidhani huko mbele angekimbia maana kama si nae kuuwawa basi angebakwa ,huu ni ujasiri mkubwa aisee
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 7 ай бұрын
Mama Pole sana..But Mama mbona kama anaona Sawa kwa kilichotokea..hii ni kutokana na Kuchoshwa na Tabia za Mume
@alexvenas2699
@alexvenas2699 6 ай бұрын
Huyo ni mama wa kiiraki huwa wanaujasiri sana
@jessicamwasandube944
@jessicamwasandube944 7 ай бұрын
Daah 😭😭amekufa Kwa maumivu makali mno,pole sana dada,mwisho wa dunia umefika jamani
@aminaabdalla9949
@aminaabdalla9949 7 ай бұрын
wee mungu wanguu mama pole unaujasiri sana wewe superhuman wewendioukonauchungu kuliko yule anaeliakwakelele wewe unalia ndaniyamoyo polesana
@khasianussamson6227
@khasianussamson6227 7 ай бұрын
Mama Mungu ampe nguvu katika kipindi iki kigumu
@JohnMahu-f1g
@JohnMahu-f1g 4 ай бұрын
Mama pole sna mungu akulinde na akupe faraja
@AkwiliniQawoga
@AkwiliniQawoga 6 ай бұрын
Mama anabusara za kutosha.pole mama
@sanoureyaliwadoakaroyo1696
@sanoureyaliwadoakaroyo1696 7 ай бұрын
Watu Wengi Wanamuona Uyuu Maama Kma Ana Roho Ngumu Ila Watu Wanashindwa Kuelewa Kuwa Uyuu Mama Amepokea Kesi Ngapi Za Mumewe Kutokuwa Mwaminivu Kwenye Ndoa Yake Uwenda Uyuu Mama Alichoka KUchitiwa Ndio Maana Unamuona Kma Hana Majuto Kwenye Msiba Huu Wa Mumewe Kwa Kesi Ya Kijinga Kma Hiii Hili Hali Alisha Mkanya Mume Wake Juu Ya Mke wa Mtu Ila Mume Alijifanya Mwamba Mnataka Uyuu Mama Atoe Machozi Ama Alie Mbele Ya Camera Sasa Ata Akilia Mbele Ya Camera Machozi Yake Yatabadilisha Nn Ili hali Tayari Mumewe Ameuwawa
@ireneshao7950
@ireneshao7950 7 ай бұрын
Point na moyo wa mwanamke ukichoka acha kabisa
@sixmundleonard2135
@sixmundleonard2135 7 ай бұрын
Iyo ndyo dawa unajikuta mwamba kwa mke wa m2
@SefrozaMafuru
@SefrozaMafuru 7 ай бұрын
Kweli kabisa
@bintiwayesu2226
@bintiwayesu2226 7 ай бұрын
kabisa huyu mama anampenda sana mume we ila anaonekana alivumilia sana kuchitiwa mpaka akasema bora liende too bad, dhambi ikikomaa huzaa mauti
@bahatishabani1392
@bahatishabani1392 7 ай бұрын
Hana roho ngumu ni jasiri tu
@ariphkimani3790
@ariphkimani3790 7 ай бұрын
Watu wa manyara na singinda wanajua sana pande za Dunia,mashariki,magharibi,kaskazini,kusini
@mohamedhamad2374
@mohamedhamad2374 7 ай бұрын
😂😂😂
@humphreymwihambi4330
@humphreymwihambi4330 6 ай бұрын
Na wagogo pia. Ni hatari kwa kujua directions
@Commentsplus
@Commentsplus 7 ай бұрын
Wenyeviti walio wengi wanakula wake za watu. Kuua sio sawa ila maumivu ya kuchukuliwa mke sikia kwa magazeti tu........ Tupinge ukatili wa aina zote wakuana na kuchukuliana wake.. Pande zote Story zimeniumaaa
@MwanahamisiBwanga
@MwanahamisiBwanga 27 күн бұрын
Rohooo inanimate jamanii uwiiiiii pole mama anguu daaaa
@AgnessMsacky
@AgnessMsacky 6 ай бұрын
Mimi naona tunako elekea watu wataheshimu mahusiano y wtu mimi nimeshuhudia mahusiano ukiambiwa acha mahusiano y mke wangu hebu wacha usiendelee kutembea na mke wa mtu jamani musikiage mtu akikuonyA acha kama umefanya kweli watu hawaogopi
@hasaniabdalah6148
@hasaniabdalah6148 7 ай бұрын
Da!! Mama mungu akuongoze na akupe faraja kwa kuwa wewe ni mama shujaa . Maisha yana mitihani mingi tunapaswa kujifunza mengi kutoka kwa maelezo ya mama huyu .😢 Ila nikirudi kwa walengwa wakuu wanaume hawa 2 . Muuliwa na na muuaji tukianza na muuliwa hayupo ila wawakilishi wake sikieni hili unapo tembea na mke wa mwenzio tambua maumivu mwenzio anayo pitia kwa kuonekana fala asie na lolote mbele ya jamii yake sishabikii jinai ila jiulize ingekuwa ni mkeo ungejisikiaje moyoni ?. 2 na huyu alie ua binafsi
@hasaniabdalah6148
@hasaniabdalah6148 7 ай бұрын
Na huyu Alie ua binafsi namhurumia kwa tendo ovu la kutokana hasira japo mke auma moyoni na utadhalaulika lakini heri maumivu ya kudhalilishwa usubirie hukumu ya Mungu kwa hyo mbaya wako kuliko kumhukumu wewe maana asaivi japo umeona umemalixa hasira yako lakini utaishi kwa majuto kuliko hata ungemwacha mke au ukamwachia Mungu akuhukumie jambo lako
@stanleymhozi7590
@stanleymhozi7590 7 ай бұрын
Pole my dunia inatisha sana sk hizi
@rossemaryeliya6113
@rossemaryeliya6113 6 ай бұрын
MUNGU tuepushe na muepushe mume wangu na vifo kama hivi kama atateleza ,na mnusuru na tamaa ya nje ya ndoa
@mwitajoseph8315
@mwitajoseph8315 6 ай бұрын
Duhhhhh kiuno kiuno kiuno
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 7 ай бұрын
Pole sana mama
@ShakiraAthumani
@ShakiraAthumani 6 ай бұрын
Pole,sana
@judithminja6386
@judithminja6386 6 ай бұрын
Aiseeeee😊
@jenipherjackson3826
@jenipherjackson3826 7 ай бұрын
sk zingine ndugu zangu watanzania ujasiri wa hivi tusije tukarudia kuufanya tena ujue ata uyu mama tungekua tunaomboleza misiba miwili sasa wangemuua je😮😳😳😳😳so sud
@Sharefa-v6n
@Sharefa-v6n 7 ай бұрын
Ni kweli yaan alvyomuuliza una nifaham angesema tu ndio wangemuua ila yey alimjib hapana skufaham, daaa maskin
@jenipherjackson3826
@jenipherjackson3826 7 ай бұрын
@@Sharefa-v6n Hana uzalendo wa kitz uyu mumama🙄🥺🙌
@muddywatown
@muddywatown 7 ай бұрын
Yani huyu nae alikua anauwawa
@ubongosahihi
@ubongosahihi 6 ай бұрын
Ni kwa Neema tu za Mungu 😢😢
@jovanafidelis2802
@jovanafidelis2802 6 ай бұрын
Alipaswa afatwe na watu nyuma yake
@GoodluckAmos
@GoodluckAmos 7 ай бұрын
Mama amehojiwa hadi akajichanganya jmn et nina miaka 20 kwenye ndoa, mtoto wetu wa kwanza ana miaka 25.. Wewe mama ni jasiri, leo inatakiwa iwe siku yako special. Maneno ya hekima mno dah Ubarikiwe sana
@steveanthon5523
@steveanthon5523 6 ай бұрын
Walizaa nje ya ndoa baadae wakafunga ndoa, hakujichanganya amesema ukweli wake
@jescajulius8023
@jescajulius8023 6 ай бұрын
Cha ajabu kipi,alimzaa kabla ya ndoa yao
@loner_wolf
@loner_wolf 7 ай бұрын
Wewe mwandishi kiswahili shida , mama anasema tukio la kwanza lilikuwa linaonekana la kweli lkn serikali yakijiji hawakulitatuwa kwa haki , ndio maana likatokea hili la pili . according to nilivyomuelewa. Usikimbilie tu swali jingine ksbla haujaelewa jibu ulilopewa juu ya lakwanza.
@furahasmart1516
@furahasmart1516 7 ай бұрын
hv wanaume mnaumiga sanaaa mkifumania?mbona nyie mnachirt sanaa
@fidelismwakanyamale6787
@fidelismwakanyamale6787 7 ай бұрын
Mama anaongea kwa ujasiri alicho nifuraisha ni kauli yake ya kuwa kilicho mpata yuko tayari kwa jambo lolote litakalo mpata mbele
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 7 ай бұрын
Ujasiri Wake Umemuokoa Uyu Mama
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 7 ай бұрын
Sana
@yama_virginhairthequeen1065
@yama_virginhairthequeen1065 6 ай бұрын
Duh mama jasiri
@LizzyAdrianadriana
@LizzyAdrianadriana 7 ай бұрын
Mama ana ujasiri huyu duh jaman na alkuwa anampenda mme wake
@mwanaidimussa
@mwanaidimussa 7 ай бұрын
Ampende nn , msaliti
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 7 ай бұрын
​@@mwanaidimussamwanamke lakini huna akili Sasa usaliti ndo auawe!wewe umekamilika??
@FatmaHalfan-w3l
@FatmaHalfan-w3l 7 ай бұрын
Ila uyu mama anahatari je wangemzuru alafu kumbe ilikua usiku daah hao watu wa manyara noma sana
@mjukuuhotelitv7736
@mjukuuhotelitv7736 7 ай бұрын
Mke wa mtu sumu hivi hamuelewagi nini
@ScolaMasanja-fg7hi
@ScolaMasanja-fg7hi 7 ай бұрын
mama mujasli sanaa n zaid yajeshi upewe ulinzi
@bintiwayesu2226
@bintiwayesu2226 7 ай бұрын
sidhani km ni ujasiri tu ni pamoja na usugu wa machungu mengi, pamoja na yote haikufaa kumuua baba wa watu kakosa ndio lkn kuuawa ni ukatili mkubwa
@carolinemariki4029
@carolinemariki4029 6 ай бұрын
Mhh huyu mama ni kasoro sana Kwa kweli
@josephjohn2114
@josephjohn2114 7 ай бұрын
Daa boda na na huyo mama hawakutumia mbinu za kivita kwenda eneo la tukio na wahalifu .....walienda bila tahadhari hata wao wangeweza kudhurika.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 7 ай бұрын
Imagjne na Mungu tu moyoni
@mwanaidimussa
@mwanaidimussa 7 ай бұрын
Yaaan , mungu anawapenda
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 7 ай бұрын
Sana
@frenkfarm1139
@frenkfarm1139 7 ай бұрын
huyuuu mama duuu inaonyesha anaroho ya kisasi ndani duuuuu huo ujasili unatoka wapi
@swalehesaidi5600
@swalehesaidi5600 7 ай бұрын
Mama jasir Mashaallah ❤
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow 7 ай бұрын
Nanusuu!
@trophywilson7211
@trophywilson7211 7 ай бұрын
mie ningeita polisi mapema
@nurdinsalum7041
@nurdinsalum7041 7 ай бұрын
Mke wa mtu sumu ila hii imezidi 😢 pole sana.
@ChristinaWallasch
@ChristinaWallasch 7 ай бұрын
Hiyo ni wivu ya maendeleo, mpaka pikipiki,amemuonea baba wa watu, Kuna watu wako hivyo, Sasa ataishi Tena na huyo nwanamke, ni kwamba watafia jela,
@Rachelnsanzu
@Rachelnsanzu 7 ай бұрын
Manyara napo jamani
@lukomanomaliki5442
@lukomanomaliki5442 6 ай бұрын
Binadamu tuna mioyo ya ajabu sana.Kuna haja gani ya kumuua mwanaume mwenzako kwa sababu ya mwanamke aliyekubali kuvua chupi mwenyewe kwa hiari yake? Ukijua kuwa mtu anakuchapia bora kumuachia tu huyo mwanamke,ubaki na amani yako.
@paulmafuru7283
@paulmafuru7283 6 ай бұрын
Shida inakujaga mtu anakuchukulia mke alafu anakuonyeshea na dharau tena akiwa ana ka kitengo ndo kabisaaaa so watu tujifunze
@modestarMwaluswaswa
@modestarMwaluswaswa 7 ай бұрын
Jmn😢😢mama moyo ulishafunga kabisa.wanaumeeeeee
@musicheals1545
@musicheals1545 7 ай бұрын
oyeeeee
@RachelBahahazo
@RachelBahahazo 6 ай бұрын
Janaume litakua lilikua malaya mno ndomana anaujasiri
@shukranitv2971
@shukranitv2971 5 ай бұрын
Pole sna mama ww mhmm
@EddahBure-te7ft
@EddahBure-te7ft 6 ай бұрын
Yani huyu mama anavyosimulia mm uku nasisimkwaa, haki me nisingeenda uo usiku anichinje na mm weeeh huku mama ni malaika sio binadam 😢
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 7 ай бұрын
Rombo kijana mmoja alimwambia mke wake,mpigie hawara yako mwambie aje mimi cpo.Mke skafanya hivyo hawara akaja akaingia ndani akijua atajivinjari na mke wa mtu,hawara akashambuliwa na mapanga akafia palepale tena mbele ndani.Mnaitwa tu mnaenda km kuku.
@Sheba4651
@Sheba4651 7 ай бұрын
Kafanya vizuri shenz
@festusmakanja3645
@festusmakanja3645 7 ай бұрын
Lakin ukiwakuta makanisan,utafikili watakatifu wa Mungu,kumbe......????
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 7 ай бұрын
Yaan umegong penyew Festusmakanja
@jamilamfumike
@jamilamfumike 6 ай бұрын
Wanawake tutulie kwenye ndoa zetu jamani mwanaume bora umuibie pesa kuliko kuiba tamu yake uwiiiii tusifanye ivo jamani
@ntiliyothomas225
@ntiliyothomas225 5 ай бұрын
😂😂😂
@sergebaleke695
@sergebaleke695 7 ай бұрын
Sasa mwenye kiti tena kutongoza wake wa wutu? Rest in Peace mwenye kiti
@Boniphaceshayo5
@Boniphaceshayo5 7 ай бұрын
Uyu mama alijiamini nini kwenda mwenye na niusiku itakua aliwatuma ndo wakamwita akatoe malipo itakua uyo mama anajua kila kitu mwanzo mwisho eti mzoga 😢
@ZubedaHussein-it7nf
@ZubedaHussein-it7nf 7 ай бұрын
Ata mm nmewaza km weww ushujaa wakwenda mwenyew Tena usiku ata asishirikishe jeshi la police uyu mama apana
@Boniphaceshayo5
@Boniphaceshayo5 7 ай бұрын
@@ZubedaHussein-it7nf kuna kitu ndani yake usikute na yeye aliusika kikamilifu
@habisnasalum-nz4zo
@habisnasalum-nz4zo 7 ай бұрын
Limwanaume lilikua halisikii likiulizwa linamuambia huyu mama ndio
@hadijauledi6995
@hadijauledi6995 7 ай бұрын
Ila ww mama unaroho ngumu daaah sasa huyo muuwaji angekugeukia na ww mmmmm😭😭
@aboudijaaboudija
@aboudijaaboudija 7 ай бұрын
😭😭aisee una roho ngum jamani uwii wew mama
@ElizabethWamcha
@ElizabethWamcha 7 ай бұрын
Simlaumu wanaume wanatutesa sana ndani ya ndoa so inapofika imetokea kama hili unaona kawaida tu
@sharkiiy236
@sharkiiy236 7 ай бұрын
Hiyo ni manyara watu ni wagumu
@judithminja6386
@judithminja6386 6 ай бұрын
Baba alikufa kwa maumivu makali sanaaa
@dignakanje4508
@dignakanje4508 7 ай бұрын
Jamani hio Tanzania imekidhiri mauaji yasiyonalazima.Yte hya nimapenzi uko tayari ukose amani ukose kuishi nawtoto wako yte ujinga nakujifanya hmjali Sheria hmjali kuwa Kuna Kuna maisha baada yhpo.Nivi nikitu Gani kikubwa kitakachokufanya umfanye binadamu mwenzio kma nyama.Embu uchukulie kwako.Unamuua binadu mwenzio kikatili hivyo.
@tumainichanya3268
@tumainichanya3268 7 ай бұрын
Itoshe kusema uzinzi ni zambi yenye raana ,iwe ni mume wa mtu au mtu yoyote ,asilimia nyingi binadam anaeitumia hii starehe ya uzinzi usalama wake ni mdogo Sana,shetani asitujaze ujasili wa kuiishi zambi hii, jamani uzinzi ni kizuizi Cha amani na usalama Kwa yeyote mwenye kuitenda zambi hii
@Mohaa4309
@Mohaa4309 6 ай бұрын
Mke wa mtu sumu😢😢😢
@sadikingitu
@sadikingitu 7 ай бұрын
Wajina mapenzi yamemuua 😢
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 7 ай бұрын
POLISI WA MAMA SAMIA OYEEE👀👀👀!
@Commentsplus
@Commentsplus 7 ай бұрын
Mama haliii mumewe kafa kwa sababu inaonekana alikua alishamchoka mumewe hata mission usikute na yeye yumo ................................................... . Hakupiga simu hata Police #Wazee wa #Cuba
@Happy-ef9kf
@Happy-ef9kf 7 күн бұрын
Yani mtu kama ww ndo nilikuwa nakutafuta apo nimekuelewa
@Godbless-o6c
@Godbless-o6c 7 ай бұрын
Huyu mama kuna kitu anajua
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 7 ай бұрын
Inalilah wainaillah rajion 😭😭😭anaroho ngumu mme wake hata chozi
@anastaziamathias8861
@anastaziamathias8861 7 ай бұрын
Aliye Kwa kipi? Mtu mzinifu kauwawa uzinzi na alimuombea mpaka msamaha na amemshuhudia hajafa mpaka amefariki kamfunika mwenyewe ulitaka aangue kilio mda huu? Hebu muacheni
@Mary-fs4mc
@Mary-fs4mc 7 ай бұрын
Yaani kuna watu kazi yenu kujaji watu, mtu akifiwa asipolia basi inakuwa shida, kuna wengine wanalia lakini sio kama wanauchugu na huo msiba wanalia nayao wanayopitia au walishayapitia na wengine hulia kwakuigiza tu ili waonekane wamelia. Ila huyu mama anachpoitia yeye ndiye anayejua na Mungu pekee usimuone hivyo ndugu.
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 6 ай бұрын
Daaaa mama unaujasiri sana unaenda seem ya tuko usiku wa saa tatu na vijijin uko sasa na wewe ungekuuwa ingekuwaje jmn mhhh kuna la kujifunza hapa aise
@danielpeter8085
@danielpeter8085 7 ай бұрын
Uyu mama mshamba sana!! Asa kwann kabla ya kwenda angepiga yowe aende na vijana!!! Amezingua uyuuuu
@josephlorri431
@josephlorri431 7 ай бұрын
Mshamba ni wewe, hivi angejuaje kwamba angekuta mazingira hayo? Hayajakukuta, hiyo hali ni ngumu mnoo. Huyo mama bado hajaelewa kilichotokea,maumivu atayapata baadaye
@bahatielias6443
@bahatielias6443 6 ай бұрын
Usizin wewe harafu alaumiwe mkeo jinga kabisa, mjiepushe na wake za watu
@SGVBnewsSAMWEL
@SGVBnewsSAMWEL 7 ай бұрын
Huyu mama ni over smart sana abanwe vizuri
@DominicaMushi-z2n
@DominicaMushi-z2n 7 ай бұрын
Tsjiri wimbo
@josenyambeo3587
@josenyambeo3587 7 ай бұрын
Mm nina mashaka na huyu mama sana
@kobelotv
@kobelotv 7 ай бұрын
Mama achunguzwe
@bahatielias6443
@bahatielias6443 6 ай бұрын
Achunguzwe Nini Sasa hapo
@AminaLibisa
@AminaLibisa 7 ай бұрын
Me namwangalia KZbin tu namuogopa uyu mama wallah maana mkavu aisee kweli uyo baba marehemu alikua anakaa na jarisi wa moyo wa mwanaume 😢😢😢
@trophywilson7211
@trophywilson7211 7 ай бұрын
Alishamuumiza moyo baadaye ukafa ganzi
@AminaLibisa
@AminaLibisa 7 ай бұрын
@@trophywilson7211 so kweli Kwa uyo kama ayo mambo yalisha muumiza angesema hana subra kabisa ujasiri tu amejaghaliwa me siwezi ata kama iweje ni Bora niondoke kama ni ivyo ata kuua anaweza
@eggysulle7988
@eggysulle7988 7 ай бұрын
​@@trophywilson7211upo saii maana uyu aandka iv kama s mwanamke na mgen wa waune
@mwanaidimussa
@mwanaidimussa 7 ай бұрын
@@trophywilson7211 umenene vyema, mwanaume anakpig matukio mpk unakuwa komando
@jacklinemyala8194
@jacklinemyala8194 7 ай бұрын
Sasa ulitaka afanyaje?!
@Fatima-v9k6f
@Fatima-v9k6f 16 күн бұрын
Ila wa Tanzania kila sku maneno
@joyceatupele8848
@joyceatupele8848 7 күн бұрын
Jamani waliyofanya hivyo cha moto mtakiona sii nimeona wanazoa mchanga hapo
@Leylah-pz5sc
@Leylah-pz5sc 7 ай бұрын
Huyu mama alichoka sana na tabia chafu za mume wake
@amanimanase8798
@amanimanase8798 7 ай бұрын
Duuh Mungu tusaidie na tuepushie majaribu kama haya
@lukomanomaliki5442
@lukomanomaliki5442 6 ай бұрын
Huyu mama kwanini hakwenda hata na Maaskari au hata Wagambo?
@roswitaexavery3378
@roswitaexavery3378 7 ай бұрын
Yaani namimi mwenyewe nashangaa unaongozanaje namauwaji halafu hustuki Mimi nahisi hata huyo mwanamke alifurahi mumwe kufanyia hivo au walishauriana yaani huyu mwanamke alishirikishwa katika haya matukio yote
@ShukuruHassani-mw3uo
@ShukuruHassani-mw3uo 7 ай бұрын
Kweli kama aliweza kuja na boda alishindwaje kwenda kuchukua police
@mwanaidimussa
@mwanaidimussa 7 ай бұрын
Siooo kweli, sema Hana elimu yakutoshaaa ndo maan hakuwa na hofu anaenda enda tu
@benjaminchakwe9815
@benjaminchakwe9815 6 ай бұрын
MUWAGE MNAACHA UMALAYA NA TAMAA
@elbaricktv1632
@elbaricktv1632 7 ай бұрын
Watu wa kanda ya kaskazin akiri hawana kabisa wanawake kuwen makin kuolewa na makabila ya manyara.😢arusha na Mara
@theresiachacha5180
@theresiachacha5180 7 ай бұрын
Eeh Mara Tena?😢
@tinaminja5500
@tinaminja5500 7 ай бұрын
My dear dunia imeharibika Ni kumuomba tu mungu....
@elbaricktv1632
@elbaricktv1632 7 ай бұрын
@@theresiachacha5180 ndiyo Yan uko mara ni mapanga TU bira huruma hamna tofaut na Arusha na manyara
@musicheals1545
@musicheals1545 7 ай бұрын
kwa nn ukule wake za watu babuuuuuu
@SefrozaMafuru
@SefrozaMafuru 7 ай бұрын
Sasa Mara imekujaje hapa na wewe..hii ni mtu kabila lolote inaweza kumpata,kikubwa kaeni mbali na wake za watu..simple hamna kanda katika hili
@mropetv7034
@mropetv7034 7 ай бұрын
mama jasili ila aisee mke anauma weweee
@MiriumWajey-lr1tq
@MiriumWajey-lr1tq 7 ай бұрын
Jaman si angepiga simu polisi😭
@mmarycalvin6395
@mmarycalvin6395 6 ай бұрын
Maswali mengine hayana maana. Mtu Ana machungu una muuliza ataishije kweliiii hata msiba haujaishaaa ? Au ulikuwa umeishaaa ??? Mboreshe kidogo kuhoji.
@annatemu4488
@annatemu4488 7 ай бұрын
Duuh ila mama kwanini uende mwenyewe jamani ? Au ndio kupagawa? Je ulimtaarifu hata jirani au ndugu yake yeyote?
@zuhurasaid
@zuhurasaid 7 ай бұрын
Atakuwa alishapokea kesi sana, huoni muuaji alimwambia njoo umuone mtu wako kama atakufaa umchukue? Kuna kitu kabla ya mauaji
@fejohjizzle
@fejohjizzle 7 ай бұрын
Mmmmh Mama ana roho ngumu sana
@taseleli9181
@taseleli9181 7 ай бұрын
Sio roho ngumu anafanyaje Sasa wakati jambo limeshatokea
@fejohjizzle
@fejohjizzle 7 ай бұрын
@@taseleli9181 yaani namaanisha sio muoga usiku umeenda usiku kwenye hilo tukio bia uwoga
@ubongosahihi
@ubongosahihi 6 ай бұрын
Na huenda alisha zoea hizo tabia za Marehemu mume wake mmh pole dada kwa yote Mwenyezi Mungu Atuhurumie na atuweke mbali na Uzinzi 😢😢
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 7 ай бұрын
Muuaji ni mtu katili ndio maana hata Mke wake alikua anachepuka, ukafie jela na roho Lako la ukatili, na Mke wako ataolewa na mwanaume mwingine
@JamesSichimata-w1u
@JamesSichimata-w1u 7 ай бұрын
MUNGU tulinde Babayetu
@BabyMadoshi
@BabyMadoshi 6 ай бұрын
Kwanza huna roho ngumu sana ww mama kumbe taarifa ulikuwa nayo kwann usitoi taarifa kituo cha police kabla ujaenda uko daaaaah😢
@godlovemwakalinga
@godlovemwakalinga 6 ай бұрын
Wambulu ama wairaq wanaakili na ujasiri nyie msiwadharau wala kuwaita makaya ama kuwafanya chombo cha starehe mjini Mama hongera Kwa ujasiri na kauli zenye mashiko.
@olivernyange2349
@olivernyange2349 7 ай бұрын
Eeh mama by professional we ni nesi au doctor?
@IshipalemyPasko
@IshipalemyPasko 6 ай бұрын
Ila usimuite mzoga mume wako so pw mamang
@linnetmbotto7212
@linnetmbotto7212 6 ай бұрын
Alikuwa ashamchoka, mwanaume asiyemuaminifu moyoni hayupo hata kumuonea huruma.
@jescajulius8023
@jescajulius8023 6 ай бұрын
Ujasiri
Don't look down on anyone#devil  #lilith  #funny  #shorts
00:12
Devil Lilith
Рет қаралды 13 МЛН
SHAPALAQ 6 серия / 3 часть #aminkavitaminka #aminak #aminokka #расулшоу
00:59
Аминка Витаминка
Рет қаралды 2,3 МЛН
Worst flight ever
00:55
Adam W
Рет қаралды 34 МЛН
Mkasi - SO6E03 With Millard Ayo
27:23
MkasiTV
Рет қаралды 482 М.
How Meloni (Sort of) Solved Italy’s Migration Crisis
9:02
TLDR News EU
Рет қаралды 108 М.
Don't look down on anyone#devil  #lilith  #funny  #shorts
00:12
Devil Lilith
Рет қаралды 13 МЛН