Mungu yuko mbele yko, sio nyuma, Mungu akai nyuma.Hongera.
@QWARIDAMassay2 ай бұрын
Ameen..nafikiri yuko pa b de zote yaan mbele halafu nyuma
@harrychuwa31802 ай бұрын
Very clever young man!!! Keep going. Risk taking is part of the equation. Obviously, 99% of investors are not risk takers. He’s a risk taker!!! The higher the risk, the higher the return.
@ndukulusudikucho_2 ай бұрын
hivi ndio vipindi vinavyoleta tija kwa vijana , Mwenyezi Mungu azid kumbark ndugu yetu, afanikiwe zaid na zaid , na Mwenyezi Mungu naomba unijalie na mimi niwe na uwezo na moyo wa kuelekeza watu fursa kama huyu kijana
@SummymaddyMaddy2 ай бұрын
Last born mwenzetu ktka ubora wake Allah azid kutubariki Inshallah
@tinomangi64872 ай бұрын
Anatupanga huyu yaani anapangisha nyumba ya mtu ambae nae kapanga so Ile Kodi lazima ugawanyike 80% Kwa mwenye nyumba na 20% kwake
@EllyLupagalo2 ай бұрын
Hongera sana mshukuru Mungu umelelewa kwa maadili mazuri na ukayafata hukuifata dunia utafika mbali Mungu akutunze
@christinabuchuma67082 ай бұрын
Hongera sana kijana, very impressive
@erickherman82242 ай бұрын
Hongera @basil.mswahili , wewe ni kioo chetuu 🙏🙏
@imaf3st3362 ай бұрын
Akili kubwa God Bless
@bilid41282 ай бұрын
Mmh boss umpe Milioni 10 akupe nyumba ya milioni 370 ...ngoja nifikrie vizuri huenda uwezo wangu kufikri upo chini sana
@pendosailo19892 ай бұрын
😂😂
@faidamwacha2 ай бұрын
😂😂😂 fanya kuthubutu Usije ukawa unatembea na fursa zetu bhana
@abdallahmmary85912 ай бұрын
Ukiwa muanifu ma udhubutu utatoka napia uaminifu ni mtaji
@MM-pb7fw2 ай бұрын
acha mawazo mgando...kila kitu kinawezekana tu,kama jengo linauzwa M370 lakini amempa kwa riba ya 15M kwanini asipewe?...inategemeana aneyeuza anauza kwasababu gani,kama hana haraka anatoa tu kwa riba zaidi
@GervasLyimo-f7p2 ай бұрын
Hiyo ndio tofauti kati ya wewe na yeye.
@tinomangi64872 ай бұрын
Huyu kuna watu wanambeba aache kutupanga hakuna maisha rahisi kihivyo. Hata wenye nyumba hawawezi kupokea Kodi wakanunua nyumba 4 Kwa mwaka mmoja aseme Tu kuna ndugu yake ni mwizi serekalini anajificha kwenye mgongo wake
@utopolo5432 ай бұрын
take things positive. mtafute uongee naye physically.
@mboyipaul2 ай бұрын
Ni kweli au pengine aliuza Mali za nyumbani kwao...Kwa mwanafunzi sio rahisi hata kidogo kwanza Bado ni dogo san
@melanialeonard40312 ай бұрын
Mmmh MUNGU humuinua amtakae hongera sana umeweza kujiongeza
@Thekidsknowledger2 ай бұрын
🎉 all the best more ahead BO$$
@WillySonny-u1k2 ай бұрын
Ni kichaaa pekee2 anaeweza kuamini maneno ya uyu jamaa, mil 370 uanze na mil10 ,na anaemhoji nibwege kwelikweli
@TheOnetztz2 ай бұрын
Inafikilisha sn yn.
@jafarinauma67982 ай бұрын
Hawa ndio baadae unakuja kusikia story nyingine tofauti kama yule influencer wa vijana na aliyekuwa anatukana vijana kumbe pesa zake ni vibao
@aminarajabu57952 ай бұрын
Inawezekana. Mfanyabiashara pekee ndo anaelewa hili. Ila kama huumizi kichwa utasema haiwezekani. Kaanza na mil 10 anakodisha wateja kwa vyumba 13 kila chumba miezi 6x13 kila mwezi, kwaivyo biashara hiyo inajilipa yenyewe, mtu kupokea mil 10 inawezekana maana shida zimetuzunguka na pesa haimpati kila mtu kwaiyo aliyeipata milion 10 ndo uyo dogo aliyetanguliza hiyo milion 10. INAWEZEKANA. Bado kariakoo anaingiza pesa inawezekana hata kutoa milion 10 kila mwezi.
@joycehaule97172 ай бұрын
Usimsahau Mungu mdogo wangu
@MagdalenaMakungu2 ай бұрын
Hongera sana kaka nimependa sana na mm niwe kama wewe
@GabreilLukumay-bu4sx2 ай бұрын
Hongera sana 🎉 kijana mwenzangu 🎉🎉
@RahmaAbuubakar2 ай бұрын
Mwanangu M-MUNGU azidi kukujaalia. Nitumie no zako inshaallah naona na mm utaweza kunisaidia au kunishauri.
@gabrieljafu2 ай бұрын
hongera sana brother
@pceodhc2 ай бұрын
Hongera sana 👏🏾👏🏾
@NnalaNsangalufuMwangati2 ай бұрын
Hongera sana na Mungu azidi kukuinua zaidi
@rizikimtui89922 ай бұрын
Content bora sana
@YINDIMAKUCHICHANEL-DOM2 ай бұрын
Kama kwel hongera
@margarethshirima56542 ай бұрын
Mungu hakika yuko mbele yako. Amekupa Néema ya uthubutu na utenda kazi bora
@SinemaZaChina2 ай бұрын
hongera sana damu yangu
@joyceKingu2 ай бұрын
Hii biashara ya kawaida kabisa. Kwenye nchi za wenzetu wanaita "Rent to own. "
@blackothman73322 ай бұрын
Ikoje huyo biashara
@evampuya-mp9vf2 ай бұрын
Naomba ajira ya kufanya usafi nipo Dodoma nisaide kaka yangu
@andrewemmanuel18612 ай бұрын
Bravo 🎉 IQ kubwa kibiashara
@Mariam-w9s3b2 ай бұрын
Sio kweli uyo kuna mtu nyuma yake ila yy anatangaza
@abdallahmmary85912 ай бұрын
Hy ni skili yakupewa unao ushahidi tumia akil
@Alkaburu2 ай бұрын
Akili fupi jiamini wewe
@gigoyrn43942 ай бұрын
😂😂😂 wanachuo kweli mna lewa na kubet mbona mwenzenu ana majengo
@adkajisi45362 ай бұрын
Tulia ww anatupanga huyu dogo
@gspofficial79772 ай бұрын
Jamaaa awe raisi tu yupo vizuri
@rukiyamohammed29452 ай бұрын
Hongera sana kijana
@dr.peterofficial63902 ай бұрын
Big up sana kijana
@abuukamanda.s.mkenga66872 ай бұрын
Kwenye .afanikio Kuna ukurasa ambako huaga hakasomwi
@winnesakara69572 ай бұрын
Mungu akubaliki
@dottomabula72532 ай бұрын
People should understand crystals clear Look Kwa nini ujishikize kwa mtu? Kwa nini usifanye usizalishe product Yako? Kwa nini u invest 50M Hadi mwaka unapata 70M ? Mawazo Yako ni manzuri ila yamechanganyikana na Uvivu fulani
@salluhimuhammed8622 ай бұрын
Maelezo yko na vtu ulivo navo ni tofaut sna bro bdo hujaelez ukwel, wenye akili zao awawez kubali ili
@mjumbemwanda96662 ай бұрын
💥💥💥
@sarahminja7255Ай бұрын
Huyu boya asitudanganye kabisaaa kuna mtu nyuma yake mwenye pesa akamuwezesha
@dignachami73822 ай бұрын
Acha uongo ww ,unapaswa kushtakiwa kwa udanganyifu ,Wala hainiingii akilin
@abdallahmmary85912 ай бұрын
Nenda polisi kamshtaki huna akili na maono
@FekiHappy2 ай бұрын
Sasa anasoma nini maisha.ndio hayo
@erickherman82242 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥❤️
@PrivatusHururu2 ай бұрын
Nimefurahi kusikia namna unavyo pambana ,ntakutafuta na mimi unaweza kunisaidia mawazo nikatokea hapo.
@JohnAthanaz2 ай бұрын
Karibu mwanza
@kendricgeorge6032 ай бұрын
Huyu mtu Ana pesa za ajabu ila sio kwamba ni freemason hapana, ni akili tu make katika safari ya mafanikio akili inahitajika 95% na pesa ni 5%, so huyu mtu wanamiliki kiwango kikubwa cha akili lakini pia Ana take risks. Katika umri wa 20 - 30 ni umri ambao mtu Ana zingatia kula na kuwa na afya njema. Pesa inayobaki yote ni kurisk tu katika maeneo tofauti tofauti since hana familia wala watu wanaomtegemea nyuma yake. So I wish nimpate namba yake to be honest. I can learn anything from him. BIG UP BRO
@joycehaule97172 ай бұрын
Mungu akutunze sanaaa
@stellatemu24582 ай бұрын
.uko vzur k jana
@geja87082 ай бұрын
Acheni kuzingua !
@Officialboysafi2 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@jizzotheking92382 ай бұрын
Nyie ndo mnatufany tuonekane sisi wengin ni wajinga, watu wanafany vitu wakiwa na watu nyuma yao ila nyie mnalat habar za uthubutu
@mochemba2 ай бұрын
Umeona ee, ndo yale mtu anakuja anakuambia alianza na elfu tano leo namiliki kampuni kubwa
@jizzotheking92382 ай бұрын
@@mochemba yaan ni upuuzi mtupu, how mwanachuo apate pesa za kukod ghorofa kariakoo, ok tuseme anategemea kodi za wanaopanga hlo jengo, je pesa ya kuanzia aliipata wapi???
@neemakerefu48762 ай бұрын
Aangaliwe vizuri isije akawa anauza vifaa vya maabara YA chuo Kwa siri
@adkajisi45362 ай бұрын
@@neemakerefu4876 😂😂store keeper
@pascal24152 ай бұрын
Ndio atembelee Alphard? Tapeli huyu
@bilid41282 ай бұрын
Mmhhh
@JonaaJonaa-q6e2 ай бұрын
Uyu n maskin mwenzetu msiogope
@Avith-lj2sp2 ай бұрын
goooooood
@Onge-shabani19942 ай бұрын
Uyo dogo jina lake nani ? Instagram anaitwa kwa jina ngani Uyu dogo , naijati ku mawasiliano naye
@amajattoys93092 ай бұрын
Mwisho wa mazungumzo kataja namba zake
@thomasponera60182 ай бұрын
Professional liar 😢
@kmotivation11302 ай бұрын
Mh
@margarethshirima56542 ай бұрын
Mimi naomba kuwasiliana na wewe.
@amajattoys93092 ай бұрын
Mwisho wa mazungumzo kataja namba zake
@SirajiAbdalah2 ай бұрын
Mbona umeajiri watu wachache sana,na mtaji ni mkubwa
@JAPHETJOSEPH-b6e2 ай бұрын
Freemason huyo
@LordJesusChristlife2 ай бұрын
Ubongo wako wasema hivyo
@jacklinembawala2 ай бұрын
Tafuta Hela wew uache kuita wenzio freemason 😅
@hellendaniel38092 ай бұрын
Kijana tafuta hela utakufa maskini
@joycehaule97172 ай бұрын
Mshamba sana Wewe 370 nihela sasa kama unajituma?? Mshambaaaaa wewe kabisaaaa inawezekana hata laki 3 hujawahi kushika freemason alipe kidogo kidogo hovyo kabisaa
@joycehaule97172 ай бұрын
Kajinga wewe...
@PhenixSwahiliGaming121122 ай бұрын
Ni hatariiii tazama na huyu jamaa kzbin.info/www/bejne/hmPNaaF5pLGcaacsi=VtvU4DnvYDP4COmU
@boscoafikile47372 ай бұрын
Hongera sana kijana
@kendricgeorge6032 ай бұрын
Huyu mtu Ana pesa za ajabu ila sio kwamba ni freemason hapana, ni akili tu make katika safari ya mafanikio akili inahitajika 95% na pesa ni 5%, so huyu mtu wanamiliki kiwango kikubwa cha akili lakini pia Ana take risks. Katika umri wa 20 - 30 ni umri ambao mtu Ana zingatia kula na kuwa na afya njema. Pesa inayobaki yote ni kurisk tu katika maeneo tofauti tofauti since hana familia wala watu wanaomtegemea nyuma yake. So I wish nimpate namba yake to be honest. I can learn anything from him. BIG UP BRO