Tusimsahau mtangazaji jamani anaiweza kazi yake vizuri Sanaa
@ashurajengela39262 жыл бұрын
UPENDO, HESHIMA,UELEWA, UTII NA UAMINIFU vinahitajika KATIKA NDOA MUNGU TUSAIDIE 🙏🏻🥰
@Awatee2 жыл бұрын
Amiin Yarabby 🤲
@khadijahali48372 жыл бұрын
Ameen
@alphamulokozi352 жыл бұрын
Ashura Tunamtaka Diwani Wetu
@Awatee2 жыл бұрын
@@alphamulokozi35 hahah diwani uyo kwio si kajipeleka mwenyewe 🤣
@neemazee18642 жыл бұрын
@@alphamulokozi35 😂😂😂😂😂
@omaryjuma80022 жыл бұрын
Bibi wnazungumza Safi Sana
@bakariomari87582 жыл бұрын
Upuuzi mtu unahangaikia maisha umefaulu baadae unajiua kisa mwanamke
@chockmaumba4712 жыл бұрын
Bibi umeongea vzr sana. Nimempenda sana
@ramsikhamis70832 жыл бұрын
Ata mm kiukwelii bib yuko Safi saanaa ✊🏾
@chockmaumba4712 жыл бұрын
Umeona eeh rams
@peter46502 жыл бұрын
Kweli mapenzi sio pesa.....jumba kubwa zuri hivyo na bado amani hakuna
@omanmobile57462 жыл бұрын
Huyo marehemu anaonekana alikuwa mtu ambae hana shoo mbovu.yaaan hajatuli😘😘😘bibi umeongea vizuri sana
@jumakapilima72952 жыл бұрын
Hata kama alikuwa hatulii hiyo si sababu ya kumuua
@omanmobile57462 жыл бұрын
@@jumakapilima7295 ndugu yangu mke anauma asikwambie mtu labda hujampenda utaona kawaida.kingine utaendaje sehemu tena hotel hata kama unaenda kupiga picha tu bila idhini ya mme wako??!! Yani huyo.kaka kiufupi alivumilia mengi ndani ya hiyo miezi 5 kwa sabubh gani huyo dada anainekana alikuwa wa kishua sana yanj mtoto wa mijjni mpaka amepitiluza maana ukiangalia hiyo family ya huyo dada kuna wadogo zake 2 alikuwa akiishi nao hapo nyumbani.family yenye maadili mema haiwezi ruhusu watoto wakaishi kwa dada yao haga kama kaolewa na mwanaume mwenye uwezo kimaisha kwa hali ya sasa siyo vyema kabisa hata kwa muislamu pia
@jumakapilima72952 жыл бұрын
@@omanmobile5746 Kaka nakubaliana na wewe, lakini Kwa Hali yoyote ile haihalalishi kuua kaka
@omanmobile57462 жыл бұрын
@@jumakapilima7295 nimtihani kwa kweli ALLAH awapunguzie azabu ya kaburi🙏🙏
@starshor24342 жыл бұрын
Yani bibi amejibu vizuri sana
@agapepalangyo43162 жыл бұрын
Wanaume poleni kwa kweli. 1. Petro 3:7. Wanaume mmeambiwa ishini na wake zenu kwa akili. Someni maandiko mpate kupona.
@shabansalee49242 жыл бұрын
Sasa ss tunakosa gani
@yusuphkidoto37282 жыл бұрын
Akili zipi izo tuelekeze bac
@sarahmsangi72432 жыл бұрын
Sawa dada agape!!!!lakini kumbuka kuna shetani na kuna akili na kuna Mungu lakini efeso 4_27 biblia inasema wala msimpe ibilisi nafasi,kama ibilisi akipata nafasi akili inakuwa haina kazi tena maana anakuwa anacontrol
@mamadangote22282 жыл бұрын
Amina mpendwa ubarikiwe
@rssymeh70872 жыл бұрын
Na ukija hapa kucomment useme kitu unauhakika nacho...msiongee kufurahisha umati maana hakuna amjuae mwanaume au mwanamke kwa undani...ni heri mnyamaze kuliko kuhukumu na kuwaongelea vibaya😏
@yassintaibrahim242 жыл бұрын
Kwa Kweli Maana Kunawatu Wanarosoka Utadhani Walikua Mabodgurd Wa Marehemu Swalha
@user-fs7xc2bb5d2 жыл бұрын
Nikweli wengine wanakomment tu
@eliaskahory71162 жыл бұрын
Huyu Bibi aise yupo vzur
@danielmkama242 жыл бұрын
Millard ayo unafatilia taarifa mpk mwisho hadi raha! 💥💥💥
@abednego38762 жыл бұрын
Inaonekana Uyo kk alivumilia vijimambo flan ivi yakamshinda.. muhoji na ndugu wa marehemu mume wake waandishi kuweni fair 😀. Izi media zetu zinaumwa sana.
@mereyamhomesmariamhomes34642 жыл бұрын
Ndoa inamiezi 5 tuu
@simonmasunga73982 жыл бұрын
huyu mwandishi ni nazi, bibi kasema ni mgeni halafu anauliza je matukio hayo ni ya mara kwa mara mahali hapo jinga sana , uliza kwa hekima
@nishaabdula50152 жыл бұрын
@@mereyamhomesmariamhomes3464 uwezi juw wenda walianza kuw n mhusiano muda mrefu mana uyu alikuwa Mke mdogo
@nishaabdula50152 жыл бұрын
Itakuwa ivyo ivyo maana uyo Dada ane naonekana yumo. Nae ila uyo kaka nae kasha jiripuwa Nayy kf
@aminamwaba35452 жыл бұрын
Umeona eee upande wa mume vip
@suleamberforreal74012 жыл бұрын
Mwanzah 🙌🙌 ni pazur haswaah ntakuj hko sku1
@peaceisrael81582 жыл бұрын
Haya makasiriko sio mazuri kabisa ni matumizi mabaya ya uhai sasa amepoteza vyote..namsihi asirudie tena ..RIP na MALISASI SIO MAZULI BIBI KASEMA APO!
@venasbengway34052 жыл бұрын
Yeye pia amejiua...sasa kapata faida gani. Vitabu vyote vya dini vinasema moto unamsubiri kwa kujiua mwenyewe na kumuua mtu mwingine. Hatupaswi kuhukumu au kutoa maisha ya mtu mwingine. Ni mwenyezi Mungu pekee mwenye mamlaka ya kuchukua uhai wa mtu.
@cattymoganah70642 жыл бұрын
😂😂😂😂
@peaceisrael81582 жыл бұрын
@@cattymoganah7064 unacheka😁😁😁
@sharonayuma32452 жыл бұрын
Huyo bibi anazungumza safii sana ,,😕
@princessoprah70282 жыл бұрын
🤣
@navongelysrlynsozsye84942 жыл бұрын
TIBA PEKEE YA MAMBO KAMA HAYA NI YESU KRISTO PEKEE
@ramadhankatoto72142 жыл бұрын
Huyo uliemtaja huwa anazidaka risasi, wazee wa opportunist bana
@mussamussa94462 жыл бұрын
@@ramadhankatoto7214 au anageuza risasi kuwa maji? vichwa maji bana
@hamzaswaibu94702 жыл бұрын
Ww unaongea punba
@aaSs-yf8oq2 жыл бұрын
Yes anao uwezo wa kuzuia ukimuami na kumtumikia
@saramairajohn91162 жыл бұрын
@@aaSs-yf8oq uko sahihi kwa mwenye akili timamu🙏💕
@muhammadkipangatv26742 жыл бұрын
Jifunze qura kwa hukmu gusa maandishi ya bluu kzbin.info/door/iIyK3R72QZNvRlzWezWIKw
@hawashamasi91152 жыл бұрын
Mtangazaji umefanya disrespect kwa ......mama usinge mvuta sawaaaah
@veronicakitalika44342 жыл бұрын
Tena inabidi waanze kujitambulisha maana hizo camera wengine hasa wazee zinawashitua
@hassanrashid94362 жыл бұрын
nikwel aliteleza hapo
@agnestemba73722 жыл бұрын
Ukimwambia bibi sogea hapa , unatakiwa umwambie naomba bibi usogee hapa , kijana kuwa na nidhamu
@geofreyniyonkuru57242 жыл бұрын
Hata mi nimeshangaa
@selemanihussein78732 жыл бұрын
Hata mimi sijapenda alivyomkokota mkono utafikiri ni rika yake.
@agnestemba73722 жыл бұрын
Kwa kweli
@hajiabdalla57722 жыл бұрын
Tatizo umalaya na ujeuri mana mtu anahangaika maisha halafu mke anakufanya kama mwehu hakujali hakusukilizi na ujeuri na umalaya uvivu .kiasi umwage damu mtihani kweli
@estherpeninah78422 жыл бұрын
Wewe pia utaua yaonekana
@hajiabdalla57722 жыл бұрын
@@estherpeninah7842 nikiwa naishi na wewe mwenye tamaa kila unaemuona unamtamani nakumwaga mavi
@hafidhabdallah31292 жыл бұрын
INNALILLAHI WAINA RAJIUN
@T.B.JOSHUALEGACYLIVESON30yrs2 жыл бұрын
Afu bonge la mjengo❤️🙌
@floraladislaus11422 жыл бұрын
Bibi nimemuelewa anajibu kisomi,maana maswli had yanachosha wa2 wana huzun
@godfreysamson30692 жыл бұрын
Hahaha dah nomaa sana noma sanaaaaaa.
@chikujoshua55362 жыл бұрын
Jirani yetu pumzika kwa amani
@mwanajumamohammed63272 жыл бұрын
Bb kackia puuuh tena kackia phuuu bb kackia noma sana
@khadijahali48372 жыл бұрын
Kwa kweli tukasema tumevamia
@neemazee18642 жыл бұрын
@@khadijahali4837 tukasema tena tumevamiwa
@khadijahali48372 жыл бұрын
@@neemazee1864 😁😁😁
@joharichuri54292 жыл бұрын
😁😁😆😆
@annaherman51452 жыл бұрын
Ngoja tupambane nawanaume wetu walio panga ata chumba kimoja
@aminamussahmsumuka65582 жыл бұрын
Mara alienda Kuangalia mpira akachelewa kurudi mambo yanakuwa mengi sana
@bakarihamdouny19562 жыл бұрын
nikweli mapenzi ya nauma ila hadi kufikia kuuwa au kujiuwa huo niulimbukeni wa ma mapenzi...
@rosejoseph98112 жыл бұрын
Safi sana bibi.umejibu vizuri mno
@marcansayo71102 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😀🙈Yan wewe rose
@aminahahlubayt73992 жыл бұрын
Hvyo mtu unaishi vizur hv unafeli wapi kutulia na mumeo?dah
@sadockchengula55422 жыл бұрын
Hili suala la mahusiano halina formula wa syllabus rasmi. Na kanuni za ndoa yako mimi haziwezi nisaidia. Unaishi na mtu aliyezaliwa na wazazi wengine, kabila lingine na utamaduni tofauti inahitaji kuchuja madhaifu ya kila mmoja wetu ili tukae sawa.
@mariyammariyam65842 жыл бұрын
Tamaa nyingi Hakuna jingine
@sarahmsangi72432 жыл бұрын
" wadada wengi huwa wanapenda wanaume wenye pesa ,lakini unakuta wanapenda pesa na hawajampenda
@yasintakahamba13202 жыл бұрын
Waliozoea kudanga na wanaume wengi hawawezi kutulia na mwanaume mmoja matokeo yake mwanaume asie ongea ana kujibu na risasi Kama huyu alivyo fanya
@christercheru83282 жыл бұрын
Tafuteni mama ya mtoto alikimbia jumba lote hilo kuokoa maisha yake
@jellynesssemu94062 жыл бұрын
Acha nitafute maisha yangu aisee wanaumme 🙌🙌🙌
@samiraabdimahamed44492 жыл бұрын
Nimesikia Pia mke wa kwanza alimuuwa pia
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
@@samiraabdimahamed4449 Subuhanallah kweri au stolituza watu kikitokeakitu
@Zainab-sq1tc2 жыл бұрын
@@samiraabdimahamed4449 heeeh jomon kaua na bado yuko anakula bata
@juliussilvestar89882 жыл бұрын
Jelly Ness wanawake badilikeni vitabu vya dini vyenyewe vimewapa onyo wanawake mtaongoza kwenda motoni na jehanamu si mimi vitabu vya Mungu hivyoooo.Wanawake ni chanzo cha kuharibika amani kabisa.Tulia na ndoa.Mwenzio anahangaika mpate maisha timiza wajibu wako mwanamke acha Tamaa na midomo ya ovyooo.
@mwanatz59802 жыл бұрын
Majirani munasikia risasi kila siku hamuripoti atakwa mjumbe mtihani kwakweli.
@magretkijanga60382 жыл бұрын
Nyamaza risasi,unawezaje kuwahiii...
@mariyammariyam65842 жыл бұрын
🤣🤣heti wamezoea khaaa hongera zao
@deusdedit7892 жыл бұрын
TUZIDISHE IBADA WATU WENGI HAWAPENDI UFANIKIWE. TUZIDISHE IBADA..UPENDO..HESHIMA UELEWA NA UTII KWENYE NYUMBA ZETU. PIA KABLA HUJAINGIA KWENYE NDOA NAOMBA TUCHUNGUZANE NA KUPEANA MDA WAKUJUANA VYEMA MAANA YAZAMANI SI YA SASA MAMBO YAMEBADILIKA.
@lucylucy36782 жыл бұрын
Bibi shikamoo upo juuu san bibi yng.
@esthermoses32322 жыл бұрын
Muwahoji na ndugu wa mwanaume tusikie
@MisosimitamuC2 жыл бұрын
Hâta akihojiwa ndugu wa Mme. Kitendo alichofanya huyo kaka ni ukatili. Akikukwaza muache hâta kama kafanya kitu chochote kibaya
@peterkatumaini95082 жыл бұрын
Jamani swala la mausiano ni gumu sana tukio limetokea pia Imani na ofu ya mungu itawale ila msijadili zambi ya mtuhumiwa tumwachie mungu na atuepushe hatua Kama za mtuumiwa
@lucasmhagama81662 жыл бұрын
Kitendo Cha kuua unataka wahojiwe iweje? Hata ufanyie nini huwezi kutoa uhai wa mwenzio
@mwanduelizabeth22822 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Bibi umeongea vizuri sana hakika nimekuelewa.Bora ukosee kujenga nyumba utaibomoa ujenge nyingine kuliko kukosea kuoa au kuolewa .R.I.P
@rosemarykipesha42422 жыл бұрын
Ukichagua mwenye pesa kuliko mcha mungu. Mwanaume ametumia nguvu kuliko akili ameharibu maisha yake mwenzie na watoto wake pia
@jimmykimotuo80652 жыл бұрын
Kweli kabisa, inasikitisha sana, si bora angejiua yeye mwenyewe akamwacha Dada wa watu😭😭😭
@khadijahali48372 жыл бұрын
Bibi umejb vzr hapo huwezi kumjua mtu ya moyoni mwake kwa kumuona tuu usoni
@ramsikhamis70832 жыл бұрын
Apoo mm nimemwelewaa Sanaa kiukwelii 🍾✊🏾
@khadijahali48372 жыл бұрын
@@ramsikhamis7083 🙂
@georgedaniel49622 жыл бұрын
We mtangazaji mjinga sana kwanza huna nidhaku unavuta bibi wa watu eti sogea basi!we vipi umekuta wasukuma wastaarabu na wenyenidhamu wengne ungeikimbia a maik
@lilyrose79832 жыл бұрын
Hata mi nimeona yaani kamvuta kama katoto
@ashurahamis71632 жыл бұрын
Mhu jamani hatuwez juwa ya ndan mke wa kwanza bona alikimbia kwann aiache mujengo huo
@husseinashura85362 жыл бұрын
Masha Allah jumba jumba kweli
@nadyasalim79562 жыл бұрын
jumba si la kitoto haikuwa hata na haja yeye ya kuhangaika kupamba alikuwa atulie ndani
@CHITUS2 жыл бұрын
Mke wa mtu usupa6 wa nn ukikubali kuolewa ulale bila nguo, maana yake acha manjonjo yko yote lea familia. Hili ni funzo kwa wanawake wa ulimwengu huu wa sasa. Wajue ndoa ni agizo la Mungu mwenyewe na c ngonjera na madrama, Enyi wake watiin waume zenu, lakn Leo mmebadili Ss mnataka mwanaume amtii mwanamke haki sawa zmewapa vbur sna wanawake wa Leo utii hakuna kila kitu 2ko sawa solution yake ni haya tunayoyaona leo.
@kabwelasutiviraka47652 жыл бұрын
Bibi ana upeo mkubwa na IQ zake inaonekana iko juu kuliko mtu anayemuoji
@ipiscooking68142 жыл бұрын
Kha!😅🤣😂
@catherinemuhagama73382 жыл бұрын
😂😂
@mzeewakibegi51052 жыл бұрын
🤣🤣🤣kwakweli
@lilyrose79832 жыл бұрын
😂😂😂😂
@catherinemzurikwao32652 жыл бұрын
Ni kweli
@rukiaiddyyahaya95062 жыл бұрын
Utajir una sir nyingi sana unaona nje mtu kapendeza shida za ndani mungu anajua bora uwe masikini lakini una amani
@adrophinakamugisha50142 жыл бұрын
Me niliishia kuwaza wewe bora umeliweka wazi,maana nimeangalia iyo nyumba nikakumbuka na yakuchomana moto Kigambon
@nereaigogo44422 жыл бұрын
Lakini kwenye hili swala umaskini na utajiri vimesingiziwa tu
@rukiaiddyyahaya95062 жыл бұрын
@@nereaigogo4442 katizame mdogo wa mwanamke kasema shemeji yake kaleta waganga nyumban wanini waganga?
@rukiaiddyyahaya95062 жыл бұрын
@@adrophinakamugisha5014 kabisa tamaa ukiiendekeza ndio mwisho unaroga upate mali mali zenyewe za moto haziliki kwa raha tuweke imani kwa mungu tunapita dunia isitudanganye
@user-po8hz7xw9j2 жыл бұрын
Mhhh hilo jumba ndomn yule dada alikuwa akipiga lakini hatoki
@rithakuyala99512 жыл бұрын
Mungu atuondolee roho za kishetani
@festinamwakipale39192 жыл бұрын
Ila.kubadilisha.badilisha.wanawake wengine wanakuwa wachawi watanzania.tumheshimu Mungu tutapona
@fauzishabani26222 жыл бұрын
Heshima ipo juu Mwanza . Ukileta zako unatulizwa
@upendosaid74432 жыл бұрын
Wanawake wengine atujaturia kwenye ndoa
@aminaomary64532 жыл бұрын
Wwww ujui ata kazi yako
@florencebudoya38142 жыл бұрын
Kuta hizi zinaficha mengi.
@michaelkapaya59962 жыл бұрын
Hapo kwa Mwanaume(saidi) sio kwa swalha bhana!!
@esterderiki65052 жыл бұрын
Mwanamke ukisha olewa inatakiwa mambo mengine tuyaache mitandao hainafaida kwetu
@nadyasalim79562 жыл бұрын
kweli uko sawa
@sabraabdilnasir88262 жыл бұрын
Nikweli mpenzi ila ilikuwa hana haki ya kumzulumu bora alikuwa amuwache tu
@nadyasalim79562 жыл бұрын
@@sabraabdilnasir8826 upo sawa kabisa alikuwa aachane nae tuu sio kumuuwa
@queenandchill912 жыл бұрын
Umenena, wanawake wa mjini wanataka ndoa, kuslay, mitandao, pesa, maisha mazuri, wanaume wa nje, yaani huwezi kutaka vyote, "Mtaka yote kwa pupa, hukosa yote" Ndoa ziheshimiwe.
@nadyasalim79562 жыл бұрын
@@queenandchill91 uko sawa kipenzi
@kabwelasutiviraka47652 жыл бұрын
Hivi mnaowahoji hao mnawalipa maana nyie Ayo tv mnatengeza hela kupitia watu kuangalia taarifa zenu
@mligosandrah78512 жыл бұрын
Dah bro kavuruga system yote ya watoto wake mtu ukiona humuelewi mpe talaka haya umeua na wewe umejiua jamani umeacha mali zako watoto wako na wazazi kwasababu ya wivu tu
@leokamil62842 жыл бұрын
Kawatia hasara wazazi wa Binti .Umenena vyema kabisa
@marthageorge75382 жыл бұрын
Kumbe na yeye amejiua
@khadijahali48372 жыл бұрын
@@marthageorge7538 kajia tyr
@huguetteigiraneza47602 жыл бұрын
Kwaule wakat huwez kuji control
@agapepalangyo43162 жыл бұрын
Hii ya mwanaume kujiuwa sijaelewa vizuri. No kweli wamekufa wote?!
@eliaskahory71162 жыл бұрын
Duuuu Maamuz bwana atar saaana. Sasa kaacha huo mjumba Kamuachia Nan aasa
@rizikiabdalla25012 жыл бұрын
Kamuachia mtt wake si anae mmoja
@annakisiga8892 жыл бұрын
Mwanddishj unakela bibi kakwambia yeye ni mgeni lakin inazidi kuuliza hamsikiagi Rosas zinalia
@labanakyoo41772 жыл бұрын
Labda alidhani mkewe anamsaliti akaamua kumuua
@joycemakungwa13072 жыл бұрын
Kwa kweli ucha wi upo uyu jamaa kalogwa Mambo ya uke wenza hayo
@amanpieli94222 жыл бұрын
Ww inawezekana eeeh?
@mwanahamisbwanga11842 жыл бұрын
Umeonaee joy ukewwnza mama hapo n ndumba umefanya kazii
@Maalim_Samatta2 жыл бұрын
Acha ujinga na majungu, na yule mwengine alijipigaga risasi huku dar nae ni ukewenza?
@jescajulius80232 жыл бұрын
Poleni na ndoa zenu akaa!!
@melisacake56402 жыл бұрын
Bibi anajibu maswalii vizuri sana
@dinnocelestin18942 жыл бұрын
Ubora wa hii interview umesababishwa na waliohojiwa. Lakini mtangazaji ni sifuri kabisa
@nasreenmeshack43432 жыл бұрын
Mtu kashasema mm mgeni anarudia tena mshawai kusikia mlio km uo siku za nyuma🌝
@mariamgodfrey532 жыл бұрын
Jumba zuri limebaki halina mtu. Halafu wanaume ukiona mwanamke ameanza heka heka zake zisizoeleweka mambo mengi ni bora umuache aende zake na umuombe MUNGU akupe ambaye atakuwa ni wa kwako yawezekana ulivamia ndoa ambayo sio ya kwako
@tajilimtoto50092 жыл бұрын
Maninti wa vivu muenderehe kupenda wanaume wenye pesa
@safiayussuf93082 жыл бұрын
Hata km alikukosea mke wako. C umrudishe kwao? Inahaja gani kumdhulumu roho yke? Utakwenda kujibu kwa Allah
@RandB_Channel2 жыл бұрын
Jamani kuna watu hawajipendaki kweli. Ona hilo jumba
@kasukukasuku38962 жыл бұрын
Kamanda alisema Kama mumechokana achana kuepusha Shari wanawake ni wengi
@merryemmanuel42222 жыл бұрын
Pole familia
@ahadibuzingo95022 жыл бұрын
Dada uyo kaka atalaaniwa nenda kwa amani rip
@medsongaddaf92902 жыл бұрын
Mh kiukwel ni bora angechukua uamuzi mwingine kuliko na siyo kumuua kikatili ivo dah wanau Me
@aishaaziza56572 жыл бұрын
Mungu atakufanyia wepesi
@bayujaphary.90862 жыл бұрын
"Inalilahi wainailayhi rajighuwn "
@smoothcriminal62692 жыл бұрын
Nyumba yakishamba mno..eti wanamuita bilionea...kweli bongo watu wengi wanaishi maisha duni
Alikua sawa unafkili wewe kumgaramia mwanamke harafu alete usenge unafanya nn
@hashimchaoga95662 жыл бұрын
@@paschalemmanuellutandula8640 Sasa ndio kapata faida gani.? Kama hajajiua ataozea jela. Nyumba hiyo nzuri hewa safi na mihela kibao aliyonayo keshaharibu. Yaani hakuna uamuzi was ovyo kama huo saaa hivi kama yuko hai lazima atakua anajuta sana. Kama amekufa pahali pake ni motoni tu.
@shamilamaulidy5452 жыл бұрын
Yote hupagwa na mungu kwayo labd nisababu ya vifo vyao
@georgemassebu20832 жыл бұрын
@@hashimchaoga9566 hivi unajua maana ya gadhabu? Hawa wanawake waone tu labda kama hayajakukuta, ogopa sana hawa wanawake waliokimbia mapema Kwa wazazi wakaenda kupanga nyumba na kujitegemea, wanajilemba kupita kiasi, Wana mambo makubwa hao ukimuoa labda MUNGU akusaidie kukuepusha na majanga yao, hujawahi kuona mke wa mtu anarejea nyumbani na manundu kapigwa na mpenzi wake wa nje!!! Kaa hivyo hivyo ila huyo bwana lazima aligadhabishwa Kwa matendo ya huyo binti
@hashimchaoga95662 жыл бұрын
@@georgemassebu2083 Hasira hasara. Ni shetani tu lakini alichofanya si sahihi hata kidogo. Maudhi yapo sana na mengi mno katika ndoa lakini watu hawauani. Wenye busara wanasema afadhali tu utoe talaka. Kuua ni roho na hulka ya MTU kama maudhi ndani ya ndoa yako mengi mno . Sasa kaua nae kama amejiua tu. Why?!?! Tumsikitikie na wala sioni cha kumtetea. Yeye si wa kwanza kutendwa hayo yapo kila siku na nyumba nyingi tu.
@rehemaaweso90052 жыл бұрын
Nyumba kalii ila mke hayupo mpka saa sita usiku dahha😔
@welcometoeat1652 жыл бұрын
Aisee bonge jumba kudadek 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@saraphinajoely70472 жыл бұрын
Hujui kapataje ndugu yangu
@pendomariki65622 жыл бұрын
Yaani
@chockmaumba4712 жыл бұрын
Nasikia nae kajiuwa, mait imekutwa baharin yazaniwa kuwa ndiye
@mcstanb77592 жыл бұрын
Ziwani ndugu mwanza hakuna bahari
@asumaathuman60942 жыл бұрын
Ziwan
@nicholausmanyanda97042 жыл бұрын
Baharini Mwanza 🙄
@chockmaumba4712 жыл бұрын
Ok Stan pamoja
@madamsossi74112 жыл бұрын
Beautiful home is empty now
@zuweinaalhabsya87732 жыл бұрын
😢😢😭
@nadyasalim79562 жыл бұрын
Inasikitisha sanaa
@chihungotisho16422 жыл бұрын
Bibi Safi Sana hyu.
@conasmalale10732 жыл бұрын
Bibi anaongea vzr kweli
@jamesponeca89122 жыл бұрын
Hapo ni Kwamwanaume,SIO KWA MWANAMKE,HIYO NYUMBA IMEJENGWA KWA MIEZI MITANO,
@lilyrose79832 жыл бұрын
Sasa nini maana ya ndoa?Kama walikuwa wanaishi wote Ina maana ni nyumba yao wote
@jacklinejacklinejonh65302 жыл бұрын
Unawajuwa
@lilyrose79832 жыл бұрын
@@jacklinejacklinejonh6530 Yaani hata simwelewi huyu ndugu?
@Abdalakangile12 жыл бұрын
Endeleeni kusema mwanaume ambaye hana hela wanini muendelee kuuwawa matukio mengi ya wana wake kuuwawa na waumezao unakuta mzee ana miliki kimango ndefu na chuma juu kaeni chonjo
@hallin95612 жыл бұрын
mwanamke ata awe na bwana mwenye fedha kiasi gan lakin awa viumbe uwa hawatosheki. wanawake punguzeni ujinga mtapungua.. jamaa amejiua ameacha mali zote lol
Bibi kanichekesha eti yeye ni mgeni kahamia juzi 😂kila siku nakuona
@thelmandika7452 жыл бұрын
English please!!!
@salmars56562 жыл бұрын
Tuwaombeen wa mwenyez mungu jaman
@nashonyothamu11992 жыл бұрын
Jamani polen sana hasila ni hasala
@ameedamilja79922 жыл бұрын
Wanaume wenye pesa ndio huwa Ego zao hawajiamini, kila siku wanawaza kubiwa tuu.
@amii24362 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/opKlanuXZb-Ia68
@ramak.95872 жыл бұрын
Kwa hili tukio kuna mengi chini ya pazia. Huezi ingia garama kuoa mtu umpendae alafu ndani ya miezi 5 unamuua. Kulingana na maelezo ya mama wa marehem kuna mambo mengi sana ikiwemo mke kutomtii na kumshulikia ipasavyo mmewe
@damarismasi51742 жыл бұрын
Kwani wote wainne niwabaya alaaaah
@iddiustadhi5702 жыл бұрын
Jamani dunia twaipeleka wapi
@happinessnyambita81392 жыл бұрын
jumba zur lkn hajuna amani
@mersianantibakazi84742 жыл бұрын
Jamani wenye wame wafuga ndevu muishi nao kwa akili.amina hamza bado wapo
@neemazee18642 жыл бұрын
Daaaaaah wanaume ebu njooni kwanza hapa niwaambie k2! Ukimuona mwanamke umuelewi yani halaka muache kabra ujafanya maamuzi magumu!!!! Wanaume mna roho mbaya sana nyinyi😭😭😭😭😭
@jumakhamisi34542 жыл бұрын
Shida na nyie wanawake mkisha juwa kujipodoa na kupendwa na hawo michepuko mnajisau kama mpo kwenye ndoa zenu hicho ndo kinacho stahili ukipendwa tulia
@wardw30222 жыл бұрын
Sauti dada iongoze waume wengine hawajakusikia vizuri
@ahmadbadawi96642 жыл бұрын
Miss call zaid ya 40 mchana kutwa mpaka usiku pia,na bado usiku anamwambia nimechoka tutaongea kesho duh,siku moja mumeo akufanyie hivyo afu utuambie maumivu yake
@mosimba4672 жыл бұрын
Mkiolewa mtulie mtafyatuliwa sana
@Maalim_Samatta2 жыл бұрын
Wanawake silaha zenu ni midomo yetu yenye majibu ya kunya na kutukera, wanaume silaha zetu no hayo MASASI
@omanquine37702 жыл бұрын
Majibu mumejiandaa nayo au mnachukua maamuzi tu bila kujua kuna hukumu huko muendako