NYUMBANI LILIPOTOKEA TUKIO LA MUME KUMUUA MKEWE KWA RISASI MWANZA, MAJIRANI WASIMULIA

  Рет қаралды 398,462

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 475
@janethmanene1446
@janethmanene1446 2 жыл бұрын
Tusimsahau mtangazaji jamani anaiweza kazi yake vizuri Sanaa
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 2 жыл бұрын
UPENDO, HESHIMA,UELEWA, UTII NA UAMINIFU vinahitajika KATIKA NDOA MUNGU TUSAIDIE 🙏🏻🥰
@Awatee
@Awatee 2 жыл бұрын
Amiin Yarabby 🤲
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
Ameen
@alphamulokozi35
@alphamulokozi35 2 жыл бұрын
Ashura Tunamtaka Diwani Wetu
@Awatee
@Awatee 2 жыл бұрын
@@alphamulokozi35 hahah diwani uyo kwio si kajipeleka mwenyewe 🤣
@neemazee1864
@neemazee1864 2 жыл бұрын
@@alphamulokozi35 😂😂😂😂😂
@omaryjuma8002
@omaryjuma8002 2 жыл бұрын
Bibi wnazungumza Safi Sana
@bakariomari8758
@bakariomari8758 2 жыл бұрын
Upuuzi mtu unahangaikia maisha umefaulu baadae unajiua kisa mwanamke
@chockmaumba471
@chockmaumba471 2 жыл бұрын
Bibi umeongea vzr sana. Nimempenda sana
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 2 жыл бұрын
Ata mm kiukwelii bib yuko Safi saanaa ✊🏾
@chockmaumba471
@chockmaumba471 2 жыл бұрын
Umeona eeh rams
@peter4650
@peter4650 2 жыл бұрын
Kweli mapenzi sio pesa.....jumba kubwa zuri hivyo na bado amani hakuna
@omanmobile5746
@omanmobile5746 2 жыл бұрын
Huyo marehemu anaonekana alikuwa mtu ambae hana shoo mbovu.yaaan hajatuli😘😘😘bibi umeongea vizuri sana
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 жыл бұрын
Hata kama alikuwa hatulii hiyo si sababu ya kumuua
@omanmobile5746
@omanmobile5746 2 жыл бұрын
@@jumakapilima7295 ndugu yangu mke anauma asikwambie mtu labda hujampenda utaona kawaida.kingine utaendaje sehemu tena hotel hata kama unaenda kupiga picha tu bila idhini ya mme wako??!! Yani huyo.kaka kiufupi alivumilia mengi ndani ya hiyo miezi 5 kwa sabubh gani huyo dada anainekana alikuwa wa kishua sana yanj mtoto wa mijjni mpaka amepitiluza maana ukiangalia hiyo family ya huyo dada kuna wadogo zake 2 alikuwa akiishi nao hapo nyumbani.family yenye maadili mema haiwezi ruhusu watoto wakaishi kwa dada yao haga kama kaolewa na mwanaume mwenye uwezo kimaisha kwa hali ya sasa siyo vyema kabisa hata kwa muislamu pia
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 жыл бұрын
@@omanmobile5746 Kaka nakubaliana na wewe, lakini Kwa Hali yoyote ile haihalalishi kuua kaka
@omanmobile5746
@omanmobile5746 2 жыл бұрын
@@jumakapilima7295 nimtihani kwa kweli ALLAH awapunguzie azabu ya kaburi🙏🙏
@starshor2434
@starshor2434 2 жыл бұрын
Yani bibi amejibu vizuri sana
@agapepalangyo4316
@agapepalangyo4316 2 жыл бұрын
Wanaume poleni kwa kweli. 1. Petro 3:7. Wanaume mmeambiwa ishini na wake zenu kwa akili. Someni maandiko mpate kupona.
@shabansalee4924
@shabansalee4924 2 жыл бұрын
Sasa ss tunakosa gani
@yusuphkidoto3728
@yusuphkidoto3728 2 жыл бұрын
Akili zipi izo tuelekeze bac
@sarahmsangi7243
@sarahmsangi7243 2 жыл бұрын
Sawa dada agape!!!!lakini kumbuka kuna shetani na kuna akili na kuna Mungu lakini efeso 4_27 biblia inasema wala msimpe ibilisi nafasi,kama ibilisi akipata nafasi akili inakuwa haina kazi tena maana anakuwa anacontrol
@mamadangote2228
@mamadangote2228 2 жыл бұрын
Amina mpendwa ubarikiwe
@rssymeh7087
@rssymeh7087 2 жыл бұрын
Na ukija hapa kucomment useme kitu unauhakika nacho...msiongee kufurahisha umati maana hakuna amjuae mwanaume au mwanamke kwa undani...ni heri mnyamaze kuliko kuhukumu na kuwaongelea vibaya😏
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 жыл бұрын
Kwa Kweli Maana Kunawatu Wanarosoka Utadhani Walikua Mabodgurd Wa Marehemu Swalha
@user-fs7xc2bb5d
@user-fs7xc2bb5d 2 жыл бұрын
Nikweli wengine wanakomment tu
@eliaskahory7116
@eliaskahory7116 2 жыл бұрын
Huyu Bibi aise yupo vzur
@danielmkama24
@danielmkama24 2 жыл бұрын
Millard ayo unafatilia taarifa mpk mwisho hadi raha! 💥💥💥
@abednego3876
@abednego3876 2 жыл бұрын
Inaonekana Uyo kk alivumilia vijimambo flan ivi yakamshinda.. muhoji na ndugu wa marehemu mume wake waandishi kuweni fair 😀. Izi media zetu zinaumwa sana.
@mereyamhomesmariamhomes3464
@mereyamhomesmariamhomes3464 2 жыл бұрын
Ndoa inamiezi 5 tuu
@simonmasunga7398
@simonmasunga7398 2 жыл бұрын
huyu mwandishi ni nazi, bibi kasema ni mgeni halafu anauliza je matukio hayo ni ya mara kwa mara mahali hapo jinga sana , uliza kwa hekima
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 2 жыл бұрын
@@mereyamhomesmariamhomes3464 uwezi juw wenda walianza kuw n mhusiano muda mrefu mana uyu alikuwa Mke mdogo
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 2 жыл бұрын
Itakuwa ivyo ivyo maana uyo Dada ane naonekana yumo. Nae ila uyo kaka nae kasha jiripuwa Nayy kf
@aminamwaba3545
@aminamwaba3545 2 жыл бұрын
Umeona eee upande wa mume vip
@suleamberforreal7401
@suleamberforreal7401 2 жыл бұрын
Mwanzah 🙌🙌 ni pazur haswaah ntakuj hko sku1
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 2 жыл бұрын
Haya makasiriko sio mazuri kabisa ni matumizi mabaya ya uhai sasa amepoteza vyote..namsihi asirudie tena ..RIP na MALISASI SIO MAZULI BIBI KASEMA APO!
@venasbengway3405
@venasbengway3405 2 жыл бұрын
Yeye pia amejiua...sasa kapata faida gani. Vitabu vyote vya dini vinasema moto unamsubiri kwa kujiua mwenyewe na kumuua mtu mwingine. Hatupaswi kuhukumu au kutoa maisha ya mtu mwingine. Ni mwenyezi Mungu pekee mwenye mamlaka ya kuchukua uhai wa mtu.
@cattymoganah7064
@cattymoganah7064 2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 2 жыл бұрын
@@cattymoganah7064 unacheka😁😁😁
@sharonayuma3245
@sharonayuma3245 2 жыл бұрын
Huyo bibi anazungumza safii sana ,,😕
@princessoprah7028
@princessoprah7028 2 жыл бұрын
🤣
@navongelysrlynsozsye8494
@navongelysrlynsozsye8494 2 жыл бұрын
TIBA PEKEE YA MAMBO KAMA HAYA NI YESU KRISTO PEKEE
@ramadhankatoto7214
@ramadhankatoto7214 2 жыл бұрын
Huyo uliemtaja huwa anazidaka risasi, wazee wa opportunist bana
@mussamussa9446
@mussamussa9446 2 жыл бұрын
@@ramadhankatoto7214 au anageuza risasi kuwa maji? vichwa maji bana
@hamzaswaibu9470
@hamzaswaibu9470 2 жыл бұрын
Ww unaongea punba
@aaSs-yf8oq
@aaSs-yf8oq 2 жыл бұрын
Yes anao uwezo wa kuzuia ukimuami na kumtumikia
@saramairajohn9116
@saramairajohn9116 2 жыл бұрын
@@aaSs-yf8oq uko sahihi kwa mwenye akili timamu🙏💕
@muhammadkipangatv2674
@muhammadkipangatv2674 2 жыл бұрын
Jifunze qura kwa hukmu gusa maandishi ya bluu kzbin.info/door/iIyK3R72QZNvRlzWezWIKw
@hawashamasi9115
@hawashamasi9115 2 жыл бұрын
Mtangazaji umefanya disrespect kwa ......mama usinge mvuta sawaaaah
@veronicakitalika4434
@veronicakitalika4434 2 жыл бұрын
Tena inabidi waanze kujitambulisha maana hizo camera wengine hasa wazee zinawashitua
@hassanrashid9436
@hassanrashid9436 2 жыл бұрын
nikwel aliteleza hapo
@agnestemba7372
@agnestemba7372 2 жыл бұрын
Ukimwambia bibi sogea hapa , unatakiwa umwambie naomba bibi usogee hapa , kijana kuwa na nidhamu
@geofreyniyonkuru5724
@geofreyniyonkuru5724 2 жыл бұрын
Hata mi nimeshangaa
@selemanihussein7873
@selemanihussein7873 2 жыл бұрын
Hata mimi sijapenda alivyomkokota mkono utafikiri ni rika yake.
@agnestemba7372
@agnestemba7372 2 жыл бұрын
Kwa kweli
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 2 жыл бұрын
Tatizo umalaya na ujeuri mana mtu anahangaika maisha halafu mke anakufanya kama mwehu hakujali hakusukilizi na ujeuri na umalaya uvivu .kiasi umwage damu mtihani kweli
@estherpeninah7842
@estherpeninah7842 2 жыл бұрын
Wewe pia utaua yaonekana
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 2 жыл бұрын
@@estherpeninah7842 nikiwa naishi na wewe mwenye tamaa kila unaemuona unamtamani nakumwaga mavi
@hafidhabdallah3129
@hafidhabdallah3129 2 жыл бұрын
INNALILLAHI WAINA RAJIUN
@T.B.JOSHUALEGACYLIVESON30yrs
@T.B.JOSHUALEGACYLIVESON30yrs 2 жыл бұрын
Afu bonge la mjengo❤️🙌
@floraladislaus1142
@floraladislaus1142 2 жыл бұрын
Bibi nimemuelewa anajibu kisomi,maana maswli had yanachosha wa2 wana huzun
@godfreysamson3069
@godfreysamson3069 2 жыл бұрын
Hahaha dah nomaa sana noma sanaaaaaa.
@chikujoshua5536
@chikujoshua5536 2 жыл бұрын
Jirani yetu pumzika kwa amani
@mwanajumamohammed6327
@mwanajumamohammed6327 2 жыл бұрын
Bb kackia puuuh tena kackia phuuu bb kackia noma sana
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
Kwa kweli tukasema tumevamia
@neemazee1864
@neemazee1864 2 жыл бұрын
​@@khadijahali4837 tukasema tena tumevamiwa
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
@@neemazee1864 😁😁😁
@joharichuri5429
@joharichuri5429 2 жыл бұрын
😁😁😆😆
@annaherman5145
@annaherman5145 2 жыл бұрын
Ngoja tupambane nawanaume wetu walio panga ata chumba kimoja
@aminamussahmsumuka6558
@aminamussahmsumuka6558 2 жыл бұрын
Mara alienda Kuangalia mpira akachelewa kurudi mambo yanakuwa mengi sana
@bakarihamdouny1956
@bakarihamdouny1956 2 жыл бұрын
nikweli mapenzi ya nauma ila hadi kufikia kuuwa au kujiuwa huo niulimbukeni wa ma mapenzi...
@rosejoseph9811
@rosejoseph9811 2 жыл бұрын
Safi sana bibi.umejibu vizuri mno
@marcansayo7110
@marcansayo7110 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😀🙈Yan wewe rose
@aminahahlubayt7399
@aminahahlubayt7399 2 жыл бұрын
Hvyo mtu unaishi vizur hv unafeli wapi kutulia na mumeo?dah
@sadockchengula5542
@sadockchengula5542 2 жыл бұрын
Hili suala la mahusiano halina formula wa syllabus rasmi. Na kanuni za ndoa yako mimi haziwezi nisaidia. Unaishi na mtu aliyezaliwa na wazazi wengine, kabila lingine na utamaduni tofauti inahitaji kuchuja madhaifu ya kila mmoja wetu ili tukae sawa.
@mariyammariyam6584
@mariyammariyam6584 2 жыл бұрын
Tamaa nyingi Hakuna jingine
@sarahmsangi7243
@sarahmsangi7243 2 жыл бұрын
" wadada wengi huwa wanapenda wanaume wenye pesa ,lakini unakuta wanapenda pesa na hawajampenda
@yasintakahamba1320
@yasintakahamba1320 2 жыл бұрын
Waliozoea kudanga na wanaume wengi hawawezi kutulia na mwanaume mmoja matokeo yake mwanaume asie ongea ana kujibu na risasi Kama huyu alivyo fanya
@christercheru8328
@christercheru8328 2 жыл бұрын
Tafuteni mama ya mtoto alikimbia jumba lote hilo kuokoa maisha yake
@jellynesssemu9406
@jellynesssemu9406 2 жыл бұрын
Acha nitafute maisha yangu aisee wanaumme 🙌🙌🙌
@samiraabdimahamed4449
@samiraabdimahamed4449 2 жыл бұрын
Nimesikia Pia mke wa kwanza alimuuwa pia
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
@@samiraabdimahamed4449 Subuhanallah kweri au stolituza watu kikitokeakitu
@Zainab-sq1tc
@Zainab-sq1tc 2 жыл бұрын
@@samiraabdimahamed4449 heeeh jomon kaua na bado yuko anakula bata
@juliussilvestar8988
@juliussilvestar8988 2 жыл бұрын
Jelly Ness wanawake badilikeni vitabu vya dini vyenyewe vimewapa onyo wanawake mtaongoza kwenda motoni na jehanamu si mimi vitabu vya Mungu hivyoooo.Wanawake ni chanzo cha kuharibika amani kabisa.Tulia na ndoa.Mwenzio anahangaika mpate maisha timiza wajibu wako mwanamke acha Tamaa na midomo ya ovyooo.
@mwanatz5980
@mwanatz5980 2 жыл бұрын
Majirani munasikia risasi kila siku hamuripoti atakwa mjumbe mtihani kwakweli.
@magretkijanga6038
@magretkijanga6038 2 жыл бұрын
Nyamaza risasi,unawezaje kuwahiii...
@mariyammariyam6584
@mariyammariyam6584 2 жыл бұрын
🤣🤣heti wamezoea khaaa hongera zao
@deusdedit789
@deusdedit789 2 жыл бұрын
TUZIDISHE IBADA WATU WENGI HAWAPENDI UFANIKIWE. TUZIDISHE IBADA..UPENDO..HESHIMA UELEWA NA UTII KWENYE NYUMBA ZETU. PIA KABLA HUJAINGIA KWENYE NDOA NAOMBA TUCHUNGUZANE NA KUPEANA MDA WAKUJUANA VYEMA MAANA YAZAMANI SI YA SASA MAMBO YAMEBADILIKA.
@lucylucy3678
@lucylucy3678 2 жыл бұрын
Bibi shikamoo upo juuu san bibi yng.
@esthermoses3232
@esthermoses3232 2 жыл бұрын
Muwahoji na ndugu wa mwanaume tusikie
@MisosimitamuC
@MisosimitamuC 2 жыл бұрын
Hâta akihojiwa ndugu wa Mme. Kitendo alichofanya huyo kaka ni ukatili. Akikukwaza muache hâta kama kafanya kitu chochote kibaya
@peterkatumaini9508
@peterkatumaini9508 2 жыл бұрын
Jamani swala la mausiano ni gumu sana tukio limetokea pia Imani na ofu ya mungu itawale ila msijadili zambi ya mtuhumiwa tumwachie mungu na atuepushe hatua Kama za mtuumiwa
@lucasmhagama8166
@lucasmhagama8166 2 жыл бұрын
Kitendo Cha kuua unataka wahojiwe iweje? Hata ufanyie nini huwezi kutoa uhai wa mwenzio
@mwanduelizabeth2282
@mwanduelizabeth2282 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Bibi umeongea vizuri sana hakika nimekuelewa.Bora ukosee kujenga nyumba utaibomoa ujenge nyingine kuliko kukosea kuoa au kuolewa .R.I.P
@rosemarykipesha4242
@rosemarykipesha4242 2 жыл бұрын
Ukichagua mwenye pesa kuliko mcha mungu. Mwanaume ametumia nguvu kuliko akili ameharibu maisha yake mwenzie na watoto wake pia
@jimmykimotuo8065
@jimmykimotuo8065 2 жыл бұрын
Kweli kabisa, inasikitisha sana, si bora angejiua yeye mwenyewe akamwacha Dada wa watu😭😭😭
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
Bibi umejb vzr hapo huwezi kumjua mtu ya moyoni mwake kwa kumuona tuu usoni
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 2 жыл бұрын
Apoo mm nimemwelewaa Sanaa kiukwelii 🍾✊🏾
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
@@ramsikhamis7083 🙂
@georgedaniel4962
@georgedaniel4962 2 жыл бұрын
We mtangazaji mjinga sana kwanza huna nidhaku unavuta bibi wa watu eti sogea basi!we vipi umekuta wasukuma wastaarabu na wenyenidhamu wengne ungeikimbia a maik
@lilyrose7983
@lilyrose7983 2 жыл бұрын
Hata mi nimeona yaani kamvuta kama katoto
@ashurahamis7163
@ashurahamis7163 2 жыл бұрын
Mhu jamani hatuwez juwa ya ndan mke wa kwanza bona alikimbia kwann aiache mujengo huo
@husseinashura8536
@husseinashura8536 2 жыл бұрын
Masha Allah jumba jumba kweli
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 2 жыл бұрын
jumba si la kitoto haikuwa hata na haja yeye ya kuhangaika kupamba alikuwa atulie ndani
@CHITUS
@CHITUS 2 жыл бұрын
Mke wa mtu usupa6 wa nn ukikubali kuolewa ulale bila nguo, maana yake acha manjonjo yko yote lea familia. Hili ni funzo kwa wanawake wa ulimwengu huu wa sasa. Wajue ndoa ni agizo la Mungu mwenyewe na c ngonjera na madrama, Enyi wake watiin waume zenu, lakn Leo mmebadili Ss mnataka mwanaume amtii mwanamke haki sawa zmewapa vbur sna wanawake wa Leo utii hakuna kila kitu 2ko sawa solution yake ni haya tunayoyaona leo.
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 2 жыл бұрын
Bibi ana upeo mkubwa na IQ zake inaonekana iko juu kuliko mtu anayemuoji
@ipiscooking6814
@ipiscooking6814 2 жыл бұрын
Kha!😅🤣😂
@catherinemuhagama7338
@catherinemuhagama7338 2 жыл бұрын
😂😂
@mzeewakibegi5105
@mzeewakibegi5105 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣kwakweli
@lilyrose7983
@lilyrose7983 2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@catherinemzurikwao3265
@catherinemzurikwao3265 2 жыл бұрын
Ni kweli
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 2 жыл бұрын
Utajir una sir nyingi sana unaona nje mtu kapendeza shida za ndani mungu anajua bora uwe masikini lakini una amani
@adrophinakamugisha5014
@adrophinakamugisha5014 2 жыл бұрын
Me niliishia kuwaza wewe bora umeliweka wazi,maana nimeangalia iyo nyumba nikakumbuka na yakuchomana moto Kigambon
@nereaigogo4442
@nereaigogo4442 2 жыл бұрын
Lakini kwenye hili swala umaskini na utajiri vimesingiziwa tu
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 2 жыл бұрын
@@nereaigogo4442 katizame mdogo wa mwanamke kasema shemeji yake kaleta waganga nyumban wanini waganga?
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 2 жыл бұрын
@@adrophinakamugisha5014 kabisa tamaa ukiiendekeza ndio mwisho unaroga upate mali mali zenyewe za moto haziliki kwa raha tuweke imani kwa mungu tunapita dunia isitudanganye
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j 2 жыл бұрын
Mhhh hilo jumba ndomn yule dada alikuwa akipiga lakini hatoki
@rithakuyala9951
@rithakuyala9951 2 жыл бұрын
Mungu atuondolee roho za kishetani
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 2 жыл бұрын
Ila.kubadilisha.badilisha.wanawake wengine wanakuwa wachawi watanzania.tumheshimu Mungu tutapona
@fauzishabani2622
@fauzishabani2622 2 жыл бұрын
Heshima ipo juu Mwanza . Ukileta zako unatulizwa
@upendosaid7443
@upendosaid7443 2 жыл бұрын
Wanawake wengine atujaturia kwenye ndoa
@aminaomary6453
@aminaomary6453 2 жыл бұрын
Wwww ujui ata kazi yako
@florencebudoya3814
@florencebudoya3814 2 жыл бұрын
Kuta hizi zinaficha mengi.
@michaelkapaya5996
@michaelkapaya5996 2 жыл бұрын
Hapo kwa Mwanaume(saidi) sio kwa swalha bhana!!
@esterderiki6505
@esterderiki6505 2 жыл бұрын
Mwanamke ukisha olewa inatakiwa mambo mengine tuyaache mitandao hainafaida kwetu
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 2 жыл бұрын
kweli uko sawa
@sabraabdilnasir8826
@sabraabdilnasir8826 2 жыл бұрын
Nikweli mpenzi ila ilikuwa hana haki ya kumzulumu bora alikuwa amuwache tu
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 2 жыл бұрын
@@sabraabdilnasir8826 upo sawa kabisa alikuwa aachane nae tuu sio kumuuwa
@queenandchill91
@queenandchill91 2 жыл бұрын
Umenena, wanawake wa mjini wanataka ndoa, kuslay, mitandao, pesa, maisha mazuri, wanaume wa nje, yaani huwezi kutaka vyote, "Mtaka yote kwa pupa, hukosa yote" Ndoa ziheshimiwe.
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 2 жыл бұрын
@@queenandchill91 uko sawa kipenzi
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 2 жыл бұрын
Hivi mnaowahoji hao mnawalipa maana nyie Ayo tv mnatengeza hela kupitia watu kuangalia taarifa zenu
@mligosandrah7851
@mligosandrah7851 2 жыл бұрын
Dah bro kavuruga system yote ya watoto wake mtu ukiona humuelewi mpe talaka haya umeua na wewe umejiua jamani umeacha mali zako watoto wako na wazazi kwasababu ya wivu tu
@leokamil6284
@leokamil6284 2 жыл бұрын
Kawatia hasara wazazi wa Binti .Umenena vyema kabisa
@marthageorge7538
@marthageorge7538 2 жыл бұрын
Kumbe na yeye amejiua
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
@@marthageorge7538 kajia tyr
@huguetteigiraneza4760
@huguetteigiraneza4760 2 жыл бұрын
Kwaule wakat huwez kuji control
@agapepalangyo4316
@agapepalangyo4316 2 жыл бұрын
Hii ya mwanaume kujiuwa sijaelewa vizuri. No kweli wamekufa wote?!
@eliaskahory7116
@eliaskahory7116 2 жыл бұрын
Duuuu Maamuz bwana atar saaana. Sasa kaacha huo mjumba Kamuachia Nan aasa
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 2 жыл бұрын
Kamuachia mtt wake si anae mmoja
@annakisiga889
@annakisiga889 2 жыл бұрын
Mwanddishj unakela bibi kakwambia yeye ni mgeni lakin inazidi kuuliza hamsikiagi Rosas zinalia
@labanakyoo4177
@labanakyoo4177 2 жыл бұрын
Labda alidhani mkewe anamsaliti akaamua kumuua
@joycemakungwa1307
@joycemakungwa1307 2 жыл бұрын
Kwa kweli ucha wi upo uyu jamaa kalogwa Mambo ya uke wenza hayo
@amanpieli9422
@amanpieli9422 2 жыл бұрын
Ww inawezekana eeeh?
@mwanahamisbwanga1184
@mwanahamisbwanga1184 2 жыл бұрын
Umeonaee joy ukewwnza mama hapo n ndumba umefanya kazii
@Maalim_Samatta
@Maalim_Samatta 2 жыл бұрын
Acha ujinga na majungu, na yule mwengine alijipigaga risasi huku dar nae ni ukewenza?
@jescajulius8023
@jescajulius8023 2 жыл бұрын
Poleni na ndoa zenu akaa!!
@melisacake5640
@melisacake5640 2 жыл бұрын
Bibi anajibu maswalii vizuri sana
@dinnocelestin1894
@dinnocelestin1894 2 жыл бұрын
Ubora wa hii interview umesababishwa na waliohojiwa. Lakini mtangazaji ni sifuri kabisa
@nasreenmeshack4343
@nasreenmeshack4343 2 жыл бұрын
Mtu kashasema mm mgeni anarudia tena mshawai kusikia mlio km uo siku za nyuma🌝
@mariamgodfrey53
@mariamgodfrey53 2 жыл бұрын
Jumba zuri limebaki halina mtu. Halafu wanaume ukiona mwanamke ameanza heka heka zake zisizoeleweka mambo mengi ni bora umuache aende zake na umuombe MUNGU akupe ambaye atakuwa ni wa kwako yawezekana ulivamia ndoa ambayo sio ya kwako
@tajilimtoto5009
@tajilimtoto5009 2 жыл бұрын
Maninti wa vivu muenderehe kupenda wanaume wenye pesa
@safiayussuf9308
@safiayussuf9308 2 жыл бұрын
Hata km alikukosea mke wako. C umrudishe kwao? Inahaja gani kumdhulumu roho yke? Utakwenda kujibu kwa Allah
@RandB_Channel
@RandB_Channel 2 жыл бұрын
Jamani kuna watu hawajipendaki kweli. Ona hilo jumba
@kasukukasuku3896
@kasukukasuku3896 2 жыл бұрын
Kamanda alisema Kama mumechokana achana kuepusha Shari wanawake ni wengi
@merryemmanuel4222
@merryemmanuel4222 2 жыл бұрын
Pole familia
@ahadibuzingo9502
@ahadibuzingo9502 2 жыл бұрын
Dada uyo kaka atalaaniwa nenda kwa amani rip
@medsongaddaf9290
@medsongaddaf9290 2 жыл бұрын
Mh kiukwel ni bora angechukua uamuzi mwingine kuliko na siyo kumuua kikatili ivo dah wanau Me
@aishaaziza5657
@aishaaziza5657 2 жыл бұрын
Mungu atakufanyia wepesi
@bayujaphary.9086
@bayujaphary.9086 2 жыл бұрын
"Inalilahi wainailayhi rajighuwn "
@smoothcriminal6269
@smoothcriminal6269 2 жыл бұрын
Nyumba yakishamba mno..eti wanamuita bilionea...kweli bongo watu wengi wanaishi maisha duni
@gundajr2883
@gundajr2883 2 жыл бұрын
Bibi kasem ni mgen lkn ndoa anajua ina miez 5
@israeleliah7163
@israeleliah7163 2 жыл бұрын
Bibi ana hana dogo
@afiamsangi3717
@afiamsangi3717 2 жыл бұрын
mvuta bangi huyo sio bure mijanume mingine jamani ...
@paschalemmanuellutandula8640
@paschalemmanuellutandula8640 2 жыл бұрын
Alikua sawa unafkili wewe kumgaramia mwanamke harafu alete usenge unafanya nn
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 2 жыл бұрын
@@paschalemmanuellutandula8640 Sasa ndio kapata faida gani.? Kama hajajiua ataozea jela. Nyumba hiyo nzuri hewa safi na mihela kibao aliyonayo keshaharibu. Yaani hakuna uamuzi was ovyo kama huo saaa hivi kama yuko hai lazima atakua anajuta sana. Kama amekufa pahali pake ni motoni tu.
@shamilamaulidy545
@shamilamaulidy545 2 жыл бұрын
Yote hupagwa na mungu kwayo labd nisababu ya vifo vyao
@georgemassebu2083
@georgemassebu2083 2 жыл бұрын
@@hashimchaoga9566 hivi unajua maana ya gadhabu? Hawa wanawake waone tu labda kama hayajakukuta, ogopa sana hawa wanawake waliokimbia mapema Kwa wazazi wakaenda kupanga nyumba na kujitegemea, wanajilemba kupita kiasi, Wana mambo makubwa hao ukimuoa labda MUNGU akusaidie kukuepusha na majanga yao, hujawahi kuona mke wa mtu anarejea nyumbani na manundu kapigwa na mpenzi wake wa nje!!! Kaa hivyo hivyo ila huyo bwana lazima aligadhabishwa Kwa matendo ya huyo binti
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 2 жыл бұрын
@@georgemassebu2083 Hasira hasara. Ni shetani tu lakini alichofanya si sahihi hata kidogo. Maudhi yapo sana na mengi mno katika ndoa lakini watu hawauani. Wenye busara wanasema afadhali tu utoe talaka. Kuua ni roho na hulka ya MTU kama maudhi ndani ya ndoa yako mengi mno . Sasa kaua nae kama amejiua tu. Why?!?! Tumsikitikie na wala sioni cha kumtetea. Yeye si wa kwanza kutendwa hayo yapo kila siku na nyumba nyingi tu.
@rehemaaweso9005
@rehemaaweso9005 2 жыл бұрын
Nyumba kalii ila mke hayupo mpka saa sita usiku dahha😔
@welcometoeat165
@welcometoeat165 2 жыл бұрын
Aisee bonge jumba kudadek 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@saraphinajoely7047
@saraphinajoely7047 2 жыл бұрын
Hujui kapataje ndugu yangu
@pendomariki6562
@pendomariki6562 2 жыл бұрын
Yaani
@chockmaumba471
@chockmaumba471 2 жыл бұрын
Nasikia nae kajiuwa, mait imekutwa baharin yazaniwa kuwa ndiye
@mcstanb7759
@mcstanb7759 2 жыл бұрын
Ziwani ndugu mwanza hakuna bahari
@asumaathuman6094
@asumaathuman6094 2 жыл бұрын
Ziwan
@nicholausmanyanda9704
@nicholausmanyanda9704 2 жыл бұрын
Baharini Mwanza 🙄
@chockmaumba471
@chockmaumba471 2 жыл бұрын
Ok Stan pamoja
@madamsossi7411
@madamsossi7411 2 жыл бұрын
Beautiful home is empty now
@zuweinaalhabsya8773
@zuweinaalhabsya8773 2 жыл бұрын
😢😢😭
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 2 жыл бұрын
Inasikitisha sanaa
@chihungotisho1642
@chihungotisho1642 2 жыл бұрын
Bibi Safi Sana hyu.
@conasmalale1073
@conasmalale1073 2 жыл бұрын
Bibi anaongea vzr kweli
@jamesponeca8912
@jamesponeca8912 2 жыл бұрын
Hapo ni Kwamwanaume,SIO KWA MWANAMKE,HIYO NYUMBA IMEJENGWA KWA MIEZI MITANO,
@lilyrose7983
@lilyrose7983 2 жыл бұрын
Sasa nini maana ya ndoa?Kama walikuwa wanaishi wote Ina maana ni nyumba yao wote
@jacklinejacklinejonh6530
@jacklinejacklinejonh6530 2 жыл бұрын
Unawajuwa
@lilyrose7983
@lilyrose7983 2 жыл бұрын
@@jacklinejacklinejonh6530 Yaani hata simwelewi huyu ndugu?
@Abdalakangile1
@Abdalakangile1 2 жыл бұрын
Endeleeni kusema mwanaume ambaye hana hela wanini muendelee kuuwawa matukio mengi ya wana wake kuuwawa na waumezao unakuta mzee ana miliki kimango ndefu na chuma juu kaeni chonjo
@hallin9561
@hallin9561 2 жыл бұрын
mwanamke ata awe na bwana mwenye fedha kiasi gan lakin awa viumbe uwa hawatosheki. wanawake punguzeni ujinga mtapungua.. jamaa amejiua ameacha mali zote lol
@sky-wz5zi
@sky-wz5zi 2 жыл бұрын
Bibi aliskia "pu, halafu tena pu 😀
@edwingwesso6818
@edwingwesso6818 2 жыл бұрын
Ni nyumba
@nyororotherock5567
@nyororotherock5567 2 жыл бұрын
Mahakama imechaniwa mkeka kweli kweli dah........no judgement
@itNeza
@itNeza 2 жыл бұрын
Tuwe Waaminifu LasivyoDhuuu. 😶
@eunicefalex4403
@eunicefalex4403 Жыл бұрын
Bibi kanichekesha eti yeye ni mgeni kahamia juzi 😂kila siku nakuona
@thelmandika745
@thelmandika745 2 жыл бұрын
English please!!!
@salmars5656
@salmars5656 2 жыл бұрын
Tuwaombeen wa mwenyez mungu jaman
@nashonyothamu1199
@nashonyothamu1199 2 жыл бұрын
Jamani polen sana hasila ni hasala
@ameedamilja7992
@ameedamilja7992 2 жыл бұрын
Wanaume wenye pesa ndio huwa Ego zao hawajiamini, kila siku wanawaza kubiwa tuu.
@amii2436
@amii2436 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/opKlanuXZb-Ia68
@ramak.9587
@ramak.9587 2 жыл бұрын
Kwa hili tukio kuna mengi chini ya pazia. Huezi ingia garama kuoa mtu umpendae alafu ndani ya miezi 5 unamuua. Kulingana na maelezo ya mama wa marehem kuna mambo mengi sana ikiwemo mke kutomtii na kumshulikia ipasavyo mmewe
@damarismasi5174
@damarismasi5174 2 жыл бұрын
Kwani wote wainne niwabaya alaaaah
@iddiustadhi570
@iddiustadhi570 2 жыл бұрын
Jamani dunia twaipeleka wapi
@happinessnyambita8139
@happinessnyambita8139 2 жыл бұрын
jumba zur lkn hajuna amani
@mersianantibakazi8474
@mersianantibakazi8474 2 жыл бұрын
Jamani wenye wame wafuga ndevu muishi nao kwa akili.amina hamza bado wapo
@neemazee1864
@neemazee1864 2 жыл бұрын
Daaaaaah wanaume ebu njooni kwanza hapa niwaambie k2! Ukimuona mwanamke umuelewi yani halaka muache kabra ujafanya maamuzi magumu!!!! Wanaume mna roho mbaya sana nyinyi😭😭😭😭😭
@jumakhamisi3454
@jumakhamisi3454 2 жыл бұрын
Shida na nyie wanawake mkisha juwa kujipodoa na kupendwa na hawo michepuko mnajisau kama mpo kwenye ndoa zenu hicho ndo kinacho stahili ukipendwa tulia
@wardw3022
@wardw3022 2 жыл бұрын
Sauti dada iongoze waume wengine hawajakusikia vizuri
@ahmadbadawi9664
@ahmadbadawi9664 2 жыл бұрын
Miss call zaid ya 40 mchana kutwa mpaka usiku pia,na bado usiku anamwambia nimechoka tutaongea kesho duh,siku moja mumeo akufanyie hivyo afu utuambie maumivu yake
@mosimba467
@mosimba467 2 жыл бұрын
Mkiolewa mtulie mtafyatuliwa sana
@Maalim_Samatta
@Maalim_Samatta 2 жыл бұрын
Wanawake silaha zenu ni midomo yetu yenye majibu ya kunya na kutukera, wanaume silaha zetu no hayo MASASI
@omanquine3770
@omanquine3770 2 жыл бұрын
Majibu mumejiandaa nayo au mnachukua maamuzi tu bila kujua kuna hukumu huko muendako
ALIYEWAHI KUWA MKE WA SAID APATIKANA ASIMULIA ALICHOWAHI KUFANYIWA
5:27
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 1 Серия
40:47
Inter Production
Рет қаралды 1,2 МЛН
The CUTEST flower girl on YouTube (2019-2024)
00:10
Hungry FAM
Рет қаралды 40 МЛН
这三姐弟太会藏了!#小丑#天使#路飞#家庭#搞笑
00:24
家庭搞笑日记
Рет қаралды 119 МЛН
Blue Food VS Red Food Emoji Mukbang
00:33
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 33 МЛН
UTACHEKA BALAA LA EBITOKE UGENINI
9:07
EBITOKE COMEDY
Рет қаралды 2,1 МЛН
MBOWE AELEZA MAZITO KIFO CHA MOHAMEDI ALLY KIBAO
11:55
JAMBO TV
Рет қаралды 4,5 М.
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 1 Серия
40:47
Inter Production
Рет қаралды 1,2 МЛН