Mimi naona walimuuwa kwa sababu aliwatambuwa hao watu wenye walio mufanyia hicho kitendo mungu wapatie hukumu ya uchungu
@faithkageya5282 Жыл бұрын
Inauma sana mungu yupo Alie fanya lilikeagiza iposiku atapatikana mchana peupe poleni familia namarafiki mungu awapenguvu
@kingmhondela2 жыл бұрын
Poleni sana, Mungu yupo hata muacha mtu alietenda tikio hilo lazima amuazibu yeye na kizazi chake chote maana,Mungu hadhihakiwi pumzi kuizima pumzi ya mtu, biblia inazungumza,(wagalatia6:7-9) apandacho mtu ndicho atakachokivuna asubili mavuno yake Anambipu Mungu ngoja ampigie,imeniuma sana Mimi kama mtumishi wa Mungu,na pia kama mzazi,nakemea kwa jina la Yesu kristo kwa watu wenye Tabia kama hiyo washindwe na walegee kabsa,Mungu awatie nguvu wafiwa wote
@elizabethmajingwa8072 Жыл бұрын
Mnakosea kulaani kizazi kizazi kimekosea nn jamani alaaniwe yeye mja laana kuna watu wanateseka kwa makosa ya wazazi wao ingawa wao hawajakosea lolote sio sawa jamani!
@edinahmaganga27222 жыл бұрын
Jamani inauma sana mtoto huyo aliwakosea nini? Kwa maoni yangu nahisi waliingia kutaka kumbaka sasa katika kukataa labda akawatambuwa ndo wakaamua kukatisha ndoto zake” Mungu Baba ni wewe usiye lala unawajuwa wote waliofanya unyama huo shugulika nao mwenye visasi na malipizi ni wewe BWANA” Pumzika kwa amani mtoto wetu Mungu akupokee 😭😭😭
Huyo mama akiwa na akili aache pombe maisha yake yote maana ndio chanzo cha mwanae kupoteza uhai. Mola akulaze pema malaika wake😭😭
@rayaalhabsi17252 жыл бұрын
Jamani Tanzania tuna kwenda pabaya, yaani hata sijui tuna elekea wapi. Mwenye Enzi Mungu atustiri yaarab na hawa majangili, Mwenye Enzi Mungu awa tokomeze
@fumbukashangwe31732 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu ampe pumziko la Amani
@odiliamathias5424 Жыл бұрын
Muuaji, uliyeusika na uaji uwo kazi unayo, na Mungu anakusubili kwa amu utamjibu Nini sijui
@chomasongidion6047 Жыл бұрын
Nimesikia uchungu Sana,mwanangu aliuwawa hivyohivyo nikuwa safari,mtoto anauma sikia tu,ila mungu atalipa kisasi hiki wa yoyote aliyeweka mkono wake,basi adhalilike na kuangamia kwa mateso makubwa.
@maureenaketch3242 Жыл бұрын
Pole sana
@zuhuramhando8527 Жыл бұрын
Jamani Pole Sana
@malandojames51512 жыл бұрын
Tz yetu inahitaji maombi Sana. Nahisi Kuna sehemu tumemkosea Mungu. Hii si hali ya kawaida Kuna laana si bure Kuna mahali tumemkosea muumba wetu. Watumishi wa Mungu tuombee taifa letu.
@victoriaremmy37722 жыл бұрын
Ni kwel ni maombi tu siyo hal ya kawada hii
@lucykapinga369 Жыл бұрын
Eeh Hakikaa
@marrynaftali7969 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa Mungu aturehemu aiponye nchi Yetu
@venicahkwamboka38232 жыл бұрын
So sad😭😭may the killers not have peace in their lifetime
@sallygrace14952 жыл бұрын
Agree 💯
@trophywilson72112 жыл бұрын
Indeed
@aishadaba7045 Жыл бұрын
Ameen
@rebecadeonatus48042 жыл бұрын
*kikulacho kinguoni mwako wahenga walisema wagen utawasingizia tuuu Mungu ampunguzie adhabu kali amen*
@JumaMagona-x3v14 күн бұрын
Mtoto hana adhabu ya kabuli dada angu.
@jakee2041 Жыл бұрын
Pole sanaaa. Mungu awafariji familia yote. Sasa msichana mdogo kawafanya nini majambazi? Damu yake itawafuata daimaaaa
@saladaniel92742 жыл бұрын
Mungu naamini ww.hulali Wala husinziii 😭😭😭
@ChristinaNsega10 күн бұрын
Hiv kwel walio fanya hivyo kwel Wana watoto nkama hawana hata ndugu hawana da! Naomba mungu awahukum kwa mkono wake mwnyewe
@mercykoech14872 жыл бұрын
Mungu yupo aki..Kwa jina la Yesu haki itatendeka
@fatmaomar84972 жыл бұрын
Mungu yupo.... poleni sana kwamcba....
@issaalfani1030 Жыл бұрын
Wakati mwingine tunamsingizia Mungu kweli wazazi wote tunamuacha mtoto tunaenda kupata pombe
@salomeomashibo1971 Жыл бұрын
pole sana jameni niuchungu maoni yangu mwenye amemua nimtu anajua vizuri mzingira ya hapo anajua mama ayuko pengine amechunguza vizuri akajua ulewa apatikani nyumban Uwenda alitaka amrep au alimrep akawa ana mujua akamua amutoe ndio apoteze ushaidi .Iyo damu ya mtoto isimuache salama Akose Amani kabisaAta yeye akufe kifo ya uchungu ivio
@joleenmasha Жыл бұрын
Mungu aende akawalani wote walio tenda hichi kitendo cha unyama hawatakuwa na maisha pia nao wakafe kifo cha uchungu 😭😭😭 its really painful
@christinachazy86442 жыл бұрын
Unyama wa Hali ya juu Pumzika kwa Amani mdogo wangu,Damu ya mtu haipotei bure ulie Fanya tukio Mungu atakulipia sawasawa na matendo Yako binadamu tuwe na huruma
@ahuriladaniel9849 Жыл бұрын
Kabisa
@amanchatila7607 Жыл бұрын
kabisa
@festochibupa9503 Жыл бұрын
Pumzika kwa amni
@naomisaidi4697 Жыл бұрын
Kabsa
@ShabanFarida-t4hАй бұрын
😊😅p
@martinakessy54132 жыл бұрын
Poleni sana wapendwa . Tumempoteza mtu ambaye baadaye alikuwa aje kuwa kiongozi wa Taifa letu. Hakuna cha wageni, binadamu tumekuwa kama mashetani,kumtoa mtu roho bila yeye kuwa na hatia. Tunaishi na watu tukijua ni wema kumbe ni maadui.
@zainabumohamedi90152 жыл бұрын
Daah!inauma sana wamekatisha ndoto za mtoto huyu,,Rest in peace bint mdogo 😭😭😭
@ummufatma8292 Жыл бұрын
Jamani ni uktatli mkubwa sana
@rukiaabdi6042 Жыл бұрын
S
@lucyjeremia13812 жыл бұрын
Mtoto kama huyu kawakosea nin jmn hiv haya mauaji mbona imekuwa to much jmn😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@machakapascal6500 Жыл бұрын
Uyo mtu naombea awe na maisha marefu yenye majuto na tabu ndani yake
@mwanduelizabeth22822 жыл бұрын
Mungu awalaani wote walioshiriki kutoa uhai wa binti huyu.R.I.P
@mariasixmund79642 жыл бұрын
Muuwaji utajificha mbele za binadamu lakn mbele za Mungu wako utajuta damu ya mtu haipotei bure Rest in peace bby
@davidcurtis1752 жыл бұрын
Ipo siku alieua atajitaja mwenyewe kama hanywi pombe atakuwa anakunywa na akilewa atamja kwa jina na kumuomba msamaha marehemu ndio watu watamjua.
@Fitz368 Жыл бұрын
@@davidcurtis175 Duh?! Kumbe ndo inavokuwaga🙌🏼
@nsumburoote2486 Жыл бұрын
Mkoa gani huu
@fatumaibrahim89732 жыл бұрын
Pole sana ndugu kwa msiba inauma sana 😭😭😭 mwenyez mungu ampunguzie adhabu ya kaburi bint
@jameskalugo4583 Жыл бұрын
Poleni ndugu zanguni jirani na marafiki vita ni vya Mungu atalipa tu
@jkomedikaduli14 күн бұрын
Mwenyezi mungu tusamehe pale tulipokosa maana matukio yamezidi tanzania yetu
@donnihope17682 жыл бұрын
Wazazi wengi wapo careless sana wanahatarisha ndoto za watoto wao mapema..mfumo wa maisha wa aina hiyo si rahisi mtoto kuwa salama hata ukuaji wake
@fediskalume4712 Жыл бұрын
Pole sana wafiwa. Pia wao hawajuwi watendalo. Ila mungu awatie nguvu 😭😭 juu inauma
@micahnyauma1243 Жыл бұрын
Yahuzunisha Sana. Pole Sana na Mwenyezi Mungu awafariji
@IrineAwoya-q9wКүн бұрын
Ww uliye husika na tukio Hilo mungu anakusubili kw hamu sana
@jacklinenoel58412 жыл бұрын
Dah inaumiza Sana sijui hii Dunia inaelekea wapi jamani MUNGU atusaidie Sana mwanafunzi anakosa gani 😭😭
@shukranjazzakhaallahukheir1897 Жыл бұрын
innalillahi wainnaillahi rajiuni.pole Sana wafia.bilashaka nihao wenzake huko kilabuni Allah-aalam
@janetthomas32182 жыл бұрын
It's so sad to see people killing a young girl ,oh my God may her soul rest in peace 🙏 🪦 😌 ☹️
@fatmahjuma1945 Жыл бұрын
Innalilah wain illah rajiun 😢ALLAH amrehemu🙏
@setiseti52814 күн бұрын
Inauma sana
@sophiaalexandersophia86102 жыл бұрын
Jamani jamani ndo maana uchawi hauishi kwasitahili hii kama unaimani ndogo unaweza kwenda. Kuloga ili kulipa kisasi
@AishaGorАй бұрын
Duh jaman Mwenyezmungu amlazemahalipem pepon
@shakilamasoud29832 жыл бұрын
Subhanna Allah, watu hawana huruma hata jamani.😭😭😭
@batulialex2744 Жыл бұрын
Jaman, mungu shugulika nao hawa watu waadhibu vikari maskin mtoto alikalibia kufanya mtian wa necta jaman
@مريمم-غ3س2 жыл бұрын
Inauma sana haki amekosea nini mtoto haki 😭😭😭😭😭😭 pumuzika kwa imani
@gamgangweesechota35892 жыл бұрын
Kisasi Cha Mungu ni kikali Sana atalipa, pumzika kwa amani malaika mzuri,enyi binadam mnaojivika roho za Simba muogopeni muumba wenu ,Machozi ya huyu mama hayataenda bure kabisa Mungu atayapa ufumbuzi tu 🙏
@hamickelemojimoxxo4955 Жыл бұрын
Mungu akulinde mdogo wangu pumuzika kwa amani
@syombuairenembula4747 Жыл бұрын
poleni sana
@nestorymathias3151 Жыл бұрын
Mungu akuangazie mwanga wa milele
@annastevensteven95152 жыл бұрын
Hif mbon mauwaji yamezidi mungu tunaomb utup ulinzi jama maan binadamu wamekuw wanyam uwo mtot.amewakosey nini jamani
@AnginesJosephАй бұрын
Jamani mungu amlaze mmahalii pema
@lightnessseifu59832 жыл бұрын
Duuuuu mungu wangu 😭😭😭😭😭😭 hawa binadamu wenye roho za unyama, roho za ukatili hawana huruma kwa maraika huyu . Mungu wazalilishe maibilisi hawa
@aminaali69962 жыл бұрын
Daaah inauma sana mungu muangamize uyo muuaji mtoto anamakosa Gani amemkatli kiasi Iko laki pia naiyomba jamii maeneo tunayoishi tuwe naumoja inapotokea tunasikia mayoe basituungane kwaumoja kuamgalia Kuna Nini tunaposema nilsiki yoe hatmai tapoteza huenda angekimbiliwa angepatiwa msaanda mtoto
@IrineAwoya-q9wКүн бұрын
Daaaaa: poleni sana jaman
@scollantandu6278 Жыл бұрын
Poleni sana apumzike Kwa amani 😭
@sarahkinyashi6213Ай бұрын
Machafuko nchini😭😭😭😭binadamu wamekuwa wanyamaa,tufunge na kuomba wapendwa, wazazi tuombee sana kizazi chetu kinaangamia peke yetu hatuwezi bila msaada wa Mungu,tumrudie Mungu wapendwa 😭😭😭😭😭😭tulinde watoto wetu jamanii,hali cnzuri, Mungu mpumzishe kwa amani,jicho lako linaona kote Mungu wetu,hukumu yao Iko mikononi mwako😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
@sabinashabani1165 Жыл бұрын
Poleni sana na mungu amulaze pema peponi😢
@alujessy210 Жыл бұрын
Mimi naiona hi video leo jamani poleni roho yake ikae mahali pema peponi lakini Mimi nawambieni hili amini MSI amini huyo aliyetenda hayo ni mtu yuamjua vizuri huyo mtoto na Mimi Kama mzazi naomba sana Mwenyezi Mungu amuanike adharani huyo mtenda dhambi hiyo kwani mtoto alimkosea nini ewe Mwenyezi Mungu damu ya mtoto huyo ilimwagika kwa siyo kupenda kwake ila sababu ya adui asiye mtambua ewe Mwenyezi Mungu nakuomba kwa nguvu zako ma ewezo wako mtoe adui adharani ajulikane na umpe adhabu ya milele
@luqmaandaud31442 жыл бұрын
Kaka anaumia sana masikini😢😢
@aminakassim74862 жыл бұрын
Mnooo inaumiza sana
@sadockchengula55422 жыл бұрын
Wazazi wote wahojiwe. Kwani wanaweza wakawa msaada kwa tukio hilo. Mtoto alikuwa bright kama mjomba asemavyo. Kuna wakati fulani wazazi walikuwa wanawatuma watoto kuandika kinyume au kujibu mtihani hovyo ili kukwepa majukumu ya kusomesha. Ila Mungu ni mwaminifu damu ya malaika huyu itasema juu yao. Mungu tenda muujiza. Amen
@nsumburoote2486 Жыл бұрын
Ni mkoa gani na nikijiji GAni ndugu
@cecyjames3880 Жыл бұрын
Eemungu sijui tunaelekea wapi kwa Sasa MTU kumtoa uhai anaona kawaida jaman inauma sana polen woto wafiwa
@elen89982 жыл бұрын
😭😭😭😭 mungu wahukumu milele👏
@marijaniomary36 Жыл бұрын
Dooh atali
@suleimanbadru819 Жыл бұрын
Nashukuru mambo hayo kwetu Zbar si aghlabu kutokea .
@fettymohd47082 жыл бұрын
Kila siku Tanzania kuuana kila siku bac yule kanyongwa yule kachinjwa alimradi tupo kwenye vita ha ukifika asubuhi mshukru mungu ikifika asubuhi kufika ucku mtihani haa! Nchi ynguu
@kulwakigwile74232 жыл бұрын
Mtoto mdogo ana hatia gani jamani tunakwenda wapi mbona unyama umezidi sana
@Sadaaa0maryАй бұрын
Eeeh mwenyezi mungu mwengi wa rehema tunakuomba baba toa hukumu yako kwaalie tenda mauaji hayo ,
@Cj29_himself7 күн бұрын
Na tujifuze kina mama ote kuacha watoto peke yao usiku kucha wenyewe tunaenda kufurahisha wanaume uko majumbani m/mungu amuweke pema peponi 🙏
@annapeter7401 Жыл бұрын
Pole sana
@estherhamis Жыл бұрын
Poleni sana, inaumiza mno
@yusrahasnuu26732 жыл бұрын
Jaman binadamu kwa nin hatuonelea huruma tuna roho za kishetan wkt wote sisi ni wamoja hatuna tofauti yoyote baina yetu kwa nin tunakosa ht huruma mpk kwa watoto wasio na hatia .mungu amlipe hapa hapa dunian aliyefanya hivi kuua binadamu mwenzako ni kaz sana mpk uwe katili kwel mungu akuulan alofanya hivi
@zuenajohn8325 Жыл бұрын
Poleni familia
@lilianmoyo3162 жыл бұрын
Poleni nduguzangu mungu awatie nguvu
@pahesalmakai6005 Жыл бұрын
Poleni sana familia
@SalumMzee-cw8doАй бұрын
Mitihan mikubwa Allah atujaliye khatima njema vizazi vyema ila Dalili za kiama zote hizi Iman imepotea daaah
@claralyimo4887 Жыл бұрын
Jaman imeniuma sana eeh mungu naomba tutetee
@yasintajosephkija3113 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu ailaze pema roho ya binti huyo
@mkwajumfupidalo6512 Жыл бұрын
Hapa wakosa ni wazazi. Hasa huyo mama tabia ya kulewa na kuja usiku mkuu nyumbani hilo tyri ndilo chanzo kufikia mpka kumruhusu mtoto kulala mlango wazi ili uje time utakayo. Lala salama mama Allah atakulipia ila malezi mengine sio mema huyu mama ndicho chanzo
@agnesslucas47442 жыл бұрын
duhuu inauma Sanaa ila mwenyezi mungu uwahalari anawajua atawalipa ukatili gani huo
@ireneamosi2037 Жыл бұрын
Poleni jamanii pumzikaa kwa amanii 🙏
@veronicaboke9691 Жыл бұрын
jameni mungu mlaze binti yako peponi poa utuepue na majanga ka haya
@89_Media Жыл бұрын
Mungu ingilia kati ktk hao watuhumiwa woote waliohusika
@zainabramadhan6025 Жыл бұрын
Inauma sana jamani poleni sana kwa familia na wanafunzi wenzake. Wazazi jamani tukueni macho
@مكتومالدرعي Жыл бұрын
Da mkowa gani huu jamani maskin allah amlaze pahala pema na aliye muua basi na yeye atakufa tu tena kwa kifo kibaya kuliko hicho maana ma lipo ni hapahapa
@isabelamalogo5892 жыл бұрын
Mungu ampumzishe kwa amani mdogo wetu
@ruthisaka3391 Жыл бұрын
Huu niukatili wakijinsia kabisa kwa watoto
@danielmnozya49942 жыл бұрын
Pole sana mungu ailize loho ya malemu
@mosesmzakwe7774 Жыл бұрын
Apumzike kwa Amani mjomba wangu. Ila wagogo tuelimike,pombe imekatiza uhai wa mtu. Wagogo Tunajirudisha sana, kiukweli nimeumia sana. Pombe pombe ndiyo chanzo. Mtoto alikuwa anafanya vizuri sana huenda ngiyoo Tatizo
@elishaworkout6116 Жыл бұрын
Apa ni wap
@mosesmzakwe7774 Жыл бұрын
@@elishaworkout6116 Kijiji cha MTUMBA Ulipo Mji wa Kiserikali
@MarlinMar-n8vАй бұрын
Naumia sana Mungu atamlipia😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@ladyr.hamsini23112 жыл бұрын
Jamani 😭😭😭huyo siyo mtu mmoja wa llahi 😭 wamemfanyia kitendo cha kinyama sana
@evelyn5260 Жыл бұрын
May the gal not rest in peace until wenye walfanya kitendo wajitokeze...na roho ya mtoto ikaweze kuwasumbuà
@jumapiliissa48352 жыл бұрын
M/Mungu ilaze roho yamarehem mahalipema peponi pole kwa familia dam yamtu haiendi bule watajuta waliofanya hivyo
@harodphilipo82282 жыл бұрын
Wasipate aman kamwe katika maisha yao walio shiliki kuondoa uhai wake huyu bint mwenyezi mungu awachape fimbo
@hajially4527 Жыл бұрын
Duh mungu atalipa
@lsacklsackАй бұрын
Polen sana wana familiya inalilah wa inalilah rajuun
@AaAa-nu1wg Жыл бұрын
Poleni
@marylutumo3638 Жыл бұрын
Jaman jaman mungu ampunguzie adhabu ya kabur
@Kauthahamad-t7q29 күн бұрын
Polen san Mola amlaze mahal pema
@lucykapinga369 Жыл бұрын
Polen Jamanii
@noelmbise91572 жыл бұрын
Da imeniuma sana hii nini ni na hawa nashetani wametoka wapi wanaua malaika na hawa wazazi ni wapumbafu sana unaenda kwenye pombe
@christaoman88902 жыл бұрын
Mungu ampe pimziko la milele amina
@valeriaally6584 Жыл бұрын
nchi za wenzetu mtoto hazikwi haraka hvyo. lazma uchunguz ufanyike na waharifu n watu wa hapohapo. kwetu technolojia bado sana
@zaitunjuma8702 жыл бұрын
hii ni nn jaman unamuaje mtt asiekuwa na hatia mungu amrehemu na kumpokea wazazi kwann tunawacha wtt ndani usiku pekeak ww muwaji juwa damu haipotei bure mungu akulani popote ulipo
@jenyyusuph49732 жыл бұрын
Masikini mtoto mzuri mdogo khaa tutalia hadi link sisi?