Nabii anatania na chidi anamtania vile vile #wanataniana
@sheehamadnganzi83179 ай бұрын
Njaa nimbaya sana,Allah atujalie mwisho mwema in shaa Allah
@sein.2089 ай бұрын
Amiiiiiiiiiiin 🤲
@kanaanrajab11029 ай бұрын
Allahuma Amiin ❤ 🤲
@abdulkarimmavuo6459 ай бұрын
Yaani jama kasimama juu anakuangalia kizarau,unajaribu kamsalimia anakataa,unapewa shilingi mbili kizarau alafu unaondolewa ...duh nimemdharau sana chidi
@Shavuniempire9 ай бұрын
Shida mbaya san
@jacksonjacob68015 ай бұрын
Kwann mchungaji kakataa kumpa mkono chidi? Hadi security anazuia
@abuumkumbalu91239 ай бұрын
Nabii analindwa na mabaunsa
@badmanno.16509 ай бұрын
Inna lillahi wainna ileyhi raji3un.
@chazimunishi33399 ай бұрын
We unatomba
@IqramKhalfan-w5b8 ай бұрын
Mimi ni muislamu lkn naitaji maombi ya baraka maana nna vipaji lkn ndoto yngu jhaitimii mna kila ninacho fanya hakitimii
@Yolanda-n3x9 ай бұрын
Mimi naona tu mkono wa bodygud 😅😅😅
@JacquilineNoah9 ай бұрын
Hyo hela aliyopewa chid naitafakari sanaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
African prophets have bodyguards....af wanasem tunalindwa na mungu
@Princerobian9 ай бұрын
Sad😢
@lonsman9 ай бұрын
Inasikitisha sana
@elizajohn80669 ай бұрын
Amen
@lybuboyka19869 ай бұрын
Mnashangilia hiphop kanisani inasikitisha sanaaa hakika mtume wa mwisho ni muhamad s.a.w acheni kuibiwa kwa kuectiwa miujiza
@NgengeMkeni-uo5hq9 ай бұрын
Chidi kaenda zake kuchukua maokoto ya January kasepaaa😂
@LucyMakoa8 ай бұрын
Keli maokoto😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Dymitri-Babushka.9 ай бұрын
Huyo bausan ni mkundu tu,kumanina zake,hampi mtu nafasi kabisa
@EspiSimai9 ай бұрын
Huyo ambae munamuita nabii mnafikiri kama ndo Muungu Au sio 🤔sasa subiri Allah achukuwe kuimba chake akaone jinsi mungu alivyo na Adhabu kali na si yakutaniwa kama mnavyofnya hivyo kukufuru kufuru tu kila siku ndo mwisho wa siku utaenda kujuwa
@thescop10039 ай бұрын
Hongera nabiii geo
@lybuboyka19869 ай бұрын
Inasikitisha sanaaaa hyo jamaa anajiita nabii wakati kila jumapili jamaa anapiga pesa ya maana acheni kubadilisha maneno ya mungu kwa pesa isiyo na thamani dunia tunapita tu jamani muogopeni aliewaumba kwani hakika yesu ni muislamu na alikuja kuwaambia watu wamsujudie Allah. Mrejeeni Allahu akbar.
@giningionlineTv8 ай бұрын
abii analindwa na Mabaunsa kama Shetani Diamond na hata uombe kupeana mkono nae hakuna ruhusa mpaka atake mwenyewe, hii ni ishara kuwa hawa watu ni wahuni tu kama wahuni wengine wa mjini hakuna cha Unabii wala Utumishi wa Mungu ni wasaka tonge tu, Mtumishi wa Mungu ni viongozi wa dini ya haki katika uislamu hawana mabounsa kama hao na wala hawadhuriwi na yeyote coz hawaja mdhulumu mtu yeyote na wanaishi maisha ya kawaida na ya huru kabisa ila kulindwa hivyo mpaka kwenye hayo majumba yao ya kihuni inatokana na dhambi nyingi walizonazo na dhulma dhidi ya watu wengine,Rashid ametumia ubishi wake tu kutoa huo mkono🤣🤣🤣🤣
Wasanii wazamani wananjaa sana wajua Mzee anamawe😂😂
@aishamohamedi3629 ай бұрын
Matato yako AYANA malinda
@mitsumilton9 ай бұрын
Mungu anapotaka kukuinua hutumia njia nyingi sana ambazo kwa mwanadamu was kawaida huenda zikawa hazifanani na uhalisia ,huezi jua mini kilichomfanya aende kwa nabii mkuu ila yeye mwenyewe na mungu aliyemuongoza huko ndo wanaojua,tuache Ku over think na tuamini kama nabii alivyomtamkia baraka basis mungu atimize na itakuwa vizuri mambo yake yatakapo funguka jamani
@lonsman9 ай бұрын
Je, huyo aliyekuja kanisani kaambiwa aache dhambi na kufanya mapenzi ya Mungu ama kapewa baraka aendelee kuimba muziki wa kidunia?? Acheni unafiki na kupotosha Kama mnamtumia Yesu kama mfano mtumieni kwa usahihi kumbariki mtu aendelee kuimba nyimbo za kidunia si kumsaidia mwenye dhambi kumjua Kristo, angemwombea na kumwambia mwanangu acha dhambi hali ya yako ya mwisho isije kuwa mbaya
@mitsumilton9 ай бұрын
@@lonsman inachukua muda kumshawishi MTU aokoke haswa kwa MTU kama chid ambaye tayari Ames haji hang any a sana so pesa nadhani alipewe ili imshawishi kwamba hata kanisani Luna msaada kuliko huko aliko maana hats yesu aliwatengenezea pombe wakanywa ili wapate kujua kwamba uwezo was mungu ni mkuu
@frowinmgimba85139 ай бұрын
Bodigadi anamlinda mchungaji mchungaji Si analindwa na roho mtakatifu mbaka anazuia mkono wa chidbenzi asisalimiane na nabiii
@AliDiamond689 ай бұрын
Hata yesu alikuwa na wanafunz 12 ilikuwa huwezi kumfikia kizembe mpaka peter na wenzie wakubali
@cheiknamouna20589 ай бұрын
Waislam ndugu yenu kafuata maokoto tu jaman msihofu January ngumu mjue😂😂😂😂
@ramadhanisalum38989 ай бұрын
Bora aende uko maana uku mnamzalau
@ramadhankakai73039 ай бұрын
Sasa huyo baunsa na ushamba wake alikuwa anazuia mkono wa chid benz ili iweje
@desolz38099 ай бұрын
Asipofanya hivyo atakosa mshahara😂😂😂
@hanspop69619 ай бұрын
🤣🤣🤣
@husseinmassawa71869 ай бұрын
Kweli Tutafute sana maokoto, yaani aliyefiwa ndo anatoa rambirambi😅
@fettyrashid90429 ай бұрын
Hussein🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@consgmail9 ай бұрын
😂😂😂😂 yaan umenivunja mbavu.. binadam tuna mengi
@SidBrand9 ай бұрын
😂😂😂 world isn't fair
@daudimichael73389 ай бұрын
Yesu alikuja kwa ajili ya wenye dhambi ili wawe na uzima, mgonjwa ndiye anahitaji tabibu, mzima hana haja na tabibu. Chid benz abadilike kwa jina la yesu na kwa damu ya yesu aache yote yaliyoharibu maisha yake.
@lonsman9 ай бұрын
Je, huyo aliyekuja kanisani kaambiwa aache dhambi na kufanya mapenzi ya Mungu ama kapewa baraka aendelee kuimba muziki wa kidunia?? Acheni unafiki na kupotosha Kama mnamtumia Yesu kama mfano mtumieni kwa usahihi kumbariki mtu aendelee kuimba nyimbo za kidunia si kumsaidia mwenye dhambi kumjua Kristo, angemwombea na kumwambia mwanangu acha dhambi hali ya yako ya mwisho isije kuwa mbaya kuliko ya kwanza.
@lonsman9 ай бұрын
Je, huyo aliyekuja kanisani kaambiwa aache dhambi na kufanya mapenzi ya Mungu ama kapewa baraka aendelee kuimba muziki wa kidunia?? Acheni unafiki na kupotosha Kama mnamtumia Yesu kama mfano mtumieni kwa usahihi kumbariki mtu aendelee kuimba nyimbo za kidunia si kumsaidia mwenye dhambi kumjua Kristo, angemwombea na kumwambia mwanangu acha dhambi hali ya yako ya mwisho isije kuwa mbaya kuliko ya kwanza. Jambo lingine la pili ni kwamba huyo anayemwombea mwingine anaomba kama yeye ndiye mwenye mamlaka maana hajataja jina la Yesu wakati anaombea and yet watu mnashangilia without knowing the god that the man is praying to, Is he the God? Ama yeye ni Yesu kwamba ana mamlaka kama Mungu?? Someni maandiko acheni kushabikia watu badala ya kumtafuta Mungu na kuisimamia kweli yake
Hiyo ndio shida yake na Qchief wanajiona wanajua sana ,uliyoongea ni sahihi kabisa
@dismasjerome16589 ай бұрын
Na kwa vipaji vipo siyo kwamba wanabahatisha wa kuwasaidia ni wao wenyewe wakubali kwamba wanahitaji msaada
@shenjamamzingi79509 ай бұрын
NYIE MNAOFIKIRI HUYU NI NABII HAMUONI ALIVYOOKATAA KUSALIMIWA KWA KUSHIKWA MKONO MWANZONI,JE MNAJUA KWANINI BAADAE ALIMSALIMIA KWA KUMPA MKONO NASI PALE MWANZONI HUKU WALINZI WAKIMKATA ASITOE MKONO,SASA NJOONI INBOX NIWAPE MAANA MKOME KUAMINI KILAKITU.
@eliymanueljesus3769 ай бұрын
maana yake nini kama unayojua?
@muharamiesther59089 ай бұрын
Mwenyezi Mungu Bado Ana kusudi na CHID BENZ Mwenyezi Mungu mfanyie wepesi, Amina!!!
@samwelgerald47679 ай бұрын
Nabii anaogopa Mkono wa Chid Benz 😅😅😅😅😅😅😅
@zmclassictv9 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/nWjNqqGuoraFZrcsi=Wq7oTKaPIgGdu19G Ona maajabu ya profesa
@gazzomaster94629 ай бұрын
Sasa uyo chidi apo ameenda Kwa mgaga lakin ana feeling kama kaenda kanisan bila kujua mchungaji NI wa mchongo
@bagumandongwe85669 ай бұрын
Anaye jiita nabii nae, analindwa na bodyguard nadhani kanisani ni pahali patakatifu
@LameckZakaria-m2b9 ай бұрын
Adi police cyo bodyguard tu
@bagumandongwe85669 ай бұрын
Manabii wa uongo wengi sana sikuhizi, ni hivo tu huchukua muda sana mpaka kuja kuumbuka
@nancyg86649 ай бұрын
Uyo bodyguard jamani kama anataka kupigana na chid🤣🤣🤣🤣🤣
@saimonwantango95699 ай бұрын
Aaah kwenda kanisani ni njaa aah wabongo bna hapo ulipo unawezakuta babako alikuwa na hela ila kafulia Hana chochote kwa sababu hatumjui aaah sawa,acheni atafute njia iliyo sahihi labda ataludi kweñye gem Tena
@vitalischarles27149 ай бұрын
GOD IS ONE GOOD STEP BENZINOO..
@mwanzacarpenter9 ай бұрын
Watu hawajamsoma Chidi, alienda ku pay respect kwa ajili ya niffer, sema huyo dingi mchungaji miyeyusho mtu anakupa pole kwa ajili ya mwanao mnamzuia mkono, ushamba huo kuchoreshana, huyu mzee mimi sijamsoma kwa kweli, yaani kamuona chidi kababaika mara ametoa hela, chidi hajaenda kuomba hela ameenda kutoa pole ya msiba, maisha haya
@AjiaMohamed-rt5pb9 ай бұрын
Sio wa kwanza chid kupewa pesa na uyo mzee acha upumabavu
@-vu2cs9 ай бұрын
Amshike mkono then ajishike kinywani, au ashike bacteria aisee ndo maana magonjwa hayatakwisha sababu yakuendekeza utamaduni wa kijinga.. we unajua kapita wapi au kashika nn huyo chidi JITAMBUE BASI
@mwanzacarpenter9 ай бұрын
@@AjiaMohamed-rt5pb sawa heri yako wewe mwerevu kila mtu anaona na ana judge kutokana na jinsi alivyotafakari baada ya kuipokea ile picha, mpumbavu na mwerevu wote wanahitajika huwezi kuitwa mwerevu wakati mpumbavu hayupo. Kwangu mimi siogopi kuitwa mpumbavu ila something is not right about huyo nabii wenu
@mwanzacarpenter9 ай бұрын
@@-vu2cs anawashika mkono wangapi master cheki hiyo clip vizuri kisha tafakari, acha kushabikia shabikia sometime tumia macho yako vizuri kisha changanya na ubongo wako kutafakari kuwa chid alienda kufanya nini kwa yule mzee? Kwangu mimi niliona ameenda kumpa pole ila mzee akadata kaongea nonsense kampa mpaka hela wakati jamaa hakumuomba Kila kitu nilichokiona pale kwa yule mzee ni no sense
@-vu2cs9 ай бұрын
@@mwanzacarpenter tatizo unajurge kwa hisia Broo tumia ubongo wako vzuri kupambanua mambo ktk uhalisia wake,,, Kwan lazima amshike mkono.?.. au Kuna uhusiano gan kumshika Chid mkono na Huduma ya Mzee?? afu kingine una mhukumu Mzee hali yakuwa ahukumiaye ni MUNGU.
@elizabethswai77779 ай бұрын
Huyu babu anasafilia nyota za watu no matter waaaa😂
@lonsman9 ай бұрын
Fact
@itanzaniaAS9 ай бұрын
Mwache aende maana kapigika kiafya, na kiuchumi. Pia aache madawa. Mungu atamsaidia
@absm80849 ай бұрын
Chid kila nikikuangalia najiuliza nini 😢😢😢😢😢😢 Chuma namkubali balaaa
@bimumaulid11719 ай бұрын
WAMPE TUU HAYO MAMILIONI AONDOKE
@iddikibwana91859 ай бұрын
Najivunia kuwa muislaam. Kwenye uislaam huwezi kusikia upuuzii huu
@selemankishema57809 ай бұрын
Wahuni woote hawa na matapeli huyu nabii wa uwongo na huyo vuta bangi
@joejackson92829 ай бұрын
Bodyguard kakaza anajifanya hamjui chidy benzinoo
@mohamedmanga83919 ай бұрын
Chidi ana mkwaju mpya na geo davis angalia behind the scene ya ngoma yao iitwayo "bouncer tumbiri"
@EmanuelMhando-ch4qi9 ай бұрын
Akili kichwani,pesa mfukoni , Yesu moyoni
@consgmail9 ай бұрын
😂😂😂😂😂 jaman msinivunje mbavu
@stephenmtambo2299 ай бұрын
sasa hawa bodyguardy mbn wanazingua kwahyo chidi akimshika mkono nabii atamdhuru ?
@HusseinKalamba9 ай бұрын
Uchidi mjinga sana jamani
@greysonkisinda73909 ай бұрын
Kosa lake nini
@kijakazinyalinga70039 ай бұрын
Njaa mbaya jamani😢😢
@aishamohamedi3629 ай бұрын
Et njaa kaomba pesa au ugali au ww ndo unasema wangap wameenda pale ivi unajuwa nn maana ya urafik yy kaenda kwa nihaba ya rafik yake mbona amsemi kama kaenda kutowa pole kwa baba ya rafik yake unawaza 🤔 njaa tu bas ww ndo upo na njaaa ulijuwaje chid yupo na njaa ww ndo mpishi wake au mke wake au mama yake au dada yake acha umama apa ndan kama una Cha kusema kausha komweeeee lako ww 😊
@mubuyafrancis39799 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂❤ Mchane 2 ukwer na komwe lake
@saimonwantango95699 ай бұрын
Babako mbona kafilisika husemi?
@aishamohamedi3629 ай бұрын
@@mubuyafrancis3979 tatizo anajifanya anamjuwa mtu wakati uwenda ata ajawah kutana nae au kuishi nae
@irenematari62189 ай бұрын
Yaani mchungaji si ana dharau huyu eti tupige tu mkono paa yaani kumpa mwenzake mkono hakutaka kumbe 😮
@DonMooSTUDIO_Express9 ай бұрын
Na kanisani watu wanashangilia 😭😭 Mwenyezi Mungu nakuomba sana uniepushe na ufakiri. Nipe maisha mazuri na uniepushe na maradhi. Mwenyezi Mungu niongozi mimi, familia yangu na watu wote wanaoamini uwepo wako. Njaa mbaya sana, inaweza kuyumbisha imani ya mtu anayekuamini..... 😭
@vincentcharles43859 ай бұрын
Ulitaka washangalie babaako anavyoshikwa pumbu,maku wewe,shoga mmoja
@Oldskulgemini99919 ай бұрын
Ila watu wengine mnamatatizo Sana aisee😂 we fikiria mtu mzima kama wewe unakuja kuomba Dua zako na za familia Yako kwenye post ya Millard ayo Tena public we mwenyewe fikiria kama uko sahihi dah😂
@omytifa64039 ай бұрын
Ameen❤
@DonMooSTUDIO_Express9 ай бұрын
@@vincentcharles4385 Mwenyezi Mungu akulipe malipo yanayokustahiki kulingana na kosa ulilolitenda. Hauwezi kumtukana mzazi wangu nikakusamehe kirahisi. Mwenyezi Mungu namuomba akuoneshe madhara ya kuingilia mambo yasiyokuhusu. Hapa ni youtube sio kijiweni ulikozowea kutukanana na wahuni wenzio.
@DonMooSTUDIO_Express9 ай бұрын
@@Oldskulgemini9991 ungekuwa na maarifa kidogo tu! Ungewakataza hata viongozi wa dini wasipost video za kuntaja Mungu mtandaoni maana kumejaa matangazo ya hovyo na video zinazomkashfu Mungu. Kwakuwa halali ni halali na haramu ni haramu mwenye maarifa anatambua nini ni nini!?.
@mgayamgaya9 ай бұрын
Hako kabaunsa kakushoto kanaweza kuua hata kuku kweli???😃
We unajua Chid kapita wapi na kashika nn mpaka kufika hapo ndo maana wanazuia sana utamaduni wa kushikana Mikono mara kwa mara Ili kunusuru hata magonjwa yasiyo ya lazima( bacteria) ndugu ... Me naona mzee Yuko sawa tuu.
@MohammedMohammed-uo5sk9 ай бұрын
Çhidi Benzi Nyota yako ingaeee
@swahilitherapytv38469 ай бұрын
Hajitambui kama yeye ni muislamu
@massuseif37869 ай бұрын
Nyota ya Shidi imenunuliwa
@SaidiYahya-t1c9 ай бұрын
Sijaona baya hapo hata ww unaweza ukawa siyo wa Imani hiyo Ila maisha ya kikuvuruga unaweza jikuta umeenda
@kobylwaho31919 ай бұрын
😢😢😢😢😢mpaka nimejisikia machozi,chidi benzi angekuw mbali sana nahsi kuna namna 😢
@giningionlineTv8 ай бұрын
Angekuwa Kibondo Kigoma ama🤣🤣🤣🤣🤣 hata uwe mbali kiasi gani hakuna mwisho mwema kwenye maisha yasiyo na baraza za Muumba wako, wewe unaingiza hela unakula bata na familia yako unajaza upuuzi kwenye vichwa vya wanadamu wenzako kazi gani hiyo kama sio ushetani😂😂😂😂 mimi hata msanii aseme amefanikiwa kiasi gani namuona mpuuzi tu kama wapuuzi wengine maana mwisho maisha haya ya duniani anaenda kusaga meno milele kwenye jehannam, kama ww ni muumini utakubaliana na mm kama ni KAFIRI utaniona ni mtu wa ajabu sana😂
@sadaalsheibani71069 ай бұрын
Eti nabii au mtume mungu tusamehe muko kwenye gizaaa hakuna tena nabii wa mtume baada ya washaopita unaenda kutegemea binadamu mwenzako akuombee mwenye kutatua matatizo na maradhi na kila kitu ni mungu tu alhamdulilh yarab kunijalia kua muislam na unifishe nao kwa ndio nuru
@greysonkisinda73909 ай бұрын
Kanisani na misikitini huwa mnaenda kumsikiliza nani kule? Kuna mungu anaehubiri kule? Si ni binadam aliepewa kipawa cha kuhubiri? Acheni kukariri ujinga
@kalfanabasi47039 ай бұрын
Njaa mbaya sana
@febroniamsoma1789 ай бұрын
Kila mwanzo wa kuamini hua unaanza na tabia zako za asili, naamini hii ni hatua ya awali ya huyu chid kuanza kumtafuta Mungu, hakuna aliyeumbwa anamjua Mungu ila sote tulipokea injili tukiwa ni vituko kabisa vya watu, Sitaki kumuhukumu nabii maana sijamueka mimi aliko Na zaidi namuachia Mungu ndiye anajua ni kwanini kuna mtu kama yule wakati huu
@ambokileasheengai11409 ай бұрын
Hiyo pesa aende kujitibia mguu au ni kumsaidia pia,,anauburuza siku nyingi,,,,,usije kuoza tu na kukatwa,,wengi wanampa pesa je havuti tena?muhimu ni matibabu kwanza
@hamishalidy56969 ай бұрын
Rashid ndo kafikia uku 😢😢
@NdongaKichwa-hz7jf9 ай бұрын
Uisllam so jina ni kuamini na kufata mamrisho yote na makatazo
@khalfanFarisy9 ай бұрын
Jina tu hana UISLAMU huyo
@slom1ghabshi2489 ай бұрын
Njaa simchezo 😂😂😂
@ankaldally27349 ай бұрын
Unakaribia ufakiri kuwa ukafiri
@issarashid77079 ай бұрын
😂Mbona Inaonekana Chidi anakuzwa nyota yake Kifrimason...Ila cc tunaangalia tu michezo ya watu na kazi zao
@gadyetheboss87389 ай бұрын
Ahaaa! Na ndomana hii ngoma yake na roma ina trend sana mbaka najiuliza kwanin? Haikuag hiv kwa chidbenz ku trend no1 youtube na platform zingine why imekua ghafla hiv kw 3:44 a hii ngoma mpya???
@ilynpayne74919 ай бұрын
Daah asee 😢😢 NJaa mbaya sana
@desolz38099 ай бұрын
Watu bhana msaidieni basi makasiriko ya nn?
@aluthajoseph28419 ай бұрын
Mungu amekukumbuka Chidi beanz
@sanoureyaliwadoakaroyo16969 ай бұрын
Njaaa Mbaya Sana Unasalit Iman Yko Kisa Njaa Siwezi Kuisalit Iman Yngu Kwa MAKAFIRI Kuingia Kanisani
@vincegelas9 ай бұрын
Jaman kaenda kutoa pole ya msiba
@giztony20099 ай бұрын
Dini ni akili alivyotaka kumtamkia chidy akasita ndo mtumishi akaona isiwe tabu ngoja nitoe kibunda kwanza baada ya hapo chidy akasanda na kuwa mpole na kukubali kutamkiwa
@shabbyofficial_9 ай бұрын
Mabaunsa wameuma ndimu rashidi ata haelewi lol
@chidi_don9 ай бұрын
Dahh sio poa kabisa yani 💯💯
@esterlaitetei52079 ай бұрын
Nilipanda nae abudy kumbe alikuwa anakuja kwa nabii😂😂😂
@vincentcharles43859 ай бұрын
Chid the King 👑
@abbaskitambazi57829 ай бұрын
Kama dini zote zinaamin mziki n haramu kulikon mtumishi anamuombea chid arud kwenye kaz yake ya haramu🤔
@greysonkisinda73909 ай бұрын
Nyie ni wanafiki mnasema mziki haramu hapohapo ukipigwa mziki unatikisa kichwa mnalewa mnazini hivyo siyo haramu? Au mnaongea muonekane mumeongea
@فاطمهفاطمه-ش2ز9ج9 ай бұрын
Bodyguard kisiran Uyo dooohhh😂 Ila child Benz 😅😅😅hamuelew kang'ang'ana anataka mkono WA nabiii
@hafidhyakoub83699 ай бұрын
Chidi mwenyewe anacheka
@djchiccotzofficialdjorigin12809 ай бұрын
DAR STAND UP
@mohdmohd84289 ай бұрын
Eti Rashidi😢
@shaqdizo76789 ай бұрын
Sasa huyo Mzee kuma huyo Bodyguard anataka kumzuia Chidi asimsalimie pastor ndio maana yake nini
Sio amemkatalia amemwambia wagonge ili kuongeza swaga tu
@Chitte_Wa_Ukae9 ай бұрын
@@hafidhali4336 hapana kama utaona vizuri hata reaction ya body guards utathibitisha hilo
@Official_Evara9 ай бұрын
Angemalizia tu...attitude Nisher alitoa kwa babake💔
@josephlucas57989 ай бұрын
Nabii analindwa 🤔
@oscarricko9 ай бұрын
Mziki hauna mipaka... love is love
@esmailesmail43199 ай бұрын
Bodyguard ana njaa
@mariamemadoshi55409 ай бұрын
Yesu alikuja kuokoa walio potea .bona mnamsema sana kwani nyie mmekamilika jamani mimi namwona yuko sawa kukimbilia kanisani haijalishi yuko vip mnao mwona hafai kwamungu anafaa kwasababu haibi cha mtu nyie ambao hamna njaa ishini na utajiri wenu hata matajiri kwa yesu waligawa mali zao wakawapa maskini mungu .muokoe mtoto wa mwenzio usimsemee mabaya hujui keshoyako itakuwaje namuombea abadilike kwakweli mungu atatenda
@HasaniOmar-m3u9 ай бұрын
nabii anaona mzki halali mungu atusadie njaa kubwa
@clouartmichael72969 ай бұрын
Manabii wa uongo utawajua kwa matendo yao ,Mwimbaji wa kidunia ameenda kanisani kupokea wokovu lakini Nabii anambariki ili aendelee kumtumikia shetani ktik hizo nyimbo na anatamka kumrudishia nyota,Neno la Mungu linaonya kuwaendea wasoma nyota..pia huyo ni muislamu ,Neno linasisitiza Toba ,angemuongoza Toba ili amkiri Kristo na kuachana na miziki ya Dunia Warumia 10:9 ,pia Nabii analipiza kisasi kwa waliomfanyia ubaya ,Kristo alikuja anatuagiza mpende adui yako kwa kumuombea Toba ....hapo utawajua manabii wa uongo kwa matendo yao Mathayo 24:11 Baba wa Mbinguni hapendi hata nafsi ya mtu mmoja ipotee 2 Petro 3:9 ila huyu anawapoteza wengi watu maarufu wanaenda kanisani kwake kufata less sio wokovu wakristo ,anajipa ukuu kuliko Baba wa Mbinguni ,wakati Mungu alisema agawani utukufu na mtu yoyote wala kitu Chochote ... Mathayo 24:24 Tupo nyakati za mwisho sio Kila kanisa ni kanisa la Mungu aliyeumba mbingu na nchi na vyote ...Bali ipo miungu mingi duniani na mabwana wengi na makristo wengi 1 Wakorintho 8:5 ...zichunguzeni hizo roho kwamba zatokana na Mungu au la 1 Yohane 4:1 .....Mungu awabariki.
@Mina.159 ай бұрын
Stories za jaba😂😂😂
@alvin18659 ай бұрын
Hata yesu hakuja tafuta walio wakamilifu bali waliopotea so unaejaji wewe nani unambingu yakuwapeleka watu au unajiona umekamklika sana hakuna aijuaye kesho
@natupe1239 ай бұрын
Hapo YESU ni yupi? Au huyo mwenye body guards?
@KIPUDA20219 ай бұрын
Huu ni ushetani
@aishahazary40979 ай бұрын
Iseee kweli njaa mbaya.
@mamasswtkichuna89699 ай бұрын
hata ningekuwa mimi ndo chidy kwanini nife na njaaa😂😂😂kashabeba kibunda chakee anasepaa zakee
@MathayoMulumbi9 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@NeyoBreezy-ie1by9 ай бұрын
Wallah anaomba mkono anapigwa ka kangum ivii
@barrynzeyimana62709 ай бұрын
Ndo maana nimewahi kusema kua mtu akiwaambia kua Mungu anarinda viumbe, ujue huyo mtu ni masikini. Pata pesa, kua na vitu ataanza kujua maana ya maadui. Utatafuta kila mlinzi