Kikubwa zingatieni baada ya shughuli za mwenge kumalizika watoto wa watu waliohusika kwenye halaiki wafikishwe makwao na kila kilicho cha kwao wapewe. Kusiwe na malalamiko kama shughuli nyingine kwa hao watoto, ikiwemo kulala stendi na kukosa chakula na nauli.
@hemedrashid29216 сағат бұрын
hiviii ufikiriaaa wakati unaandakaa maneno ya kichocheziii hayaa tena hayana nafasii tenaa kwa tanzania hiiii labda ingekuaa wakati wa vipofuuuu😂😂😂😊
@martinemaganga52535 сағат бұрын
Mimi sina mwanasheria ningekujibu
@husseinomary-dg1wx5 сағат бұрын
MH SIJUI MIMI NDOO BADO MTOTO SASA MABILIONI MNAYO TUMIA SIBOLA MNGE INGIZA KWENYE BAJETI JAPO ATA TUPATE UNAFUU WAKUGOMBOA MAITI ZA WATANZANIA MASKINI MAANA MFANYE MAMBO HAYO TAYALI TUNA JIWEZA KIUCHUMI NYINYI HAMNA SHIDA JEE MNATUANGALIA VIPI SISI
@jacksportman51814 сағат бұрын
Kila jamii Ina wajibu wa kuendeleza historia ya Taifa lao kwahyo hata hili Lina umuhimu mkubwa ila hata Hilo la kujali Afya na maisha ya jamii pia ni wajibu wa serikali ✍️