Very good kamanda umefanya kazi ubarikiwe kama kichaa akatibiwe
@frbm17296 жыл бұрын
Kazi nzuri sana Kamanda wetu.Bwana Mungu wa Majeshi awabariki.
@gracethomas6836 жыл бұрын
nimemkubali kamanda ni yupo kikazi.....sanaaaaa daaah big up Kamanda👏👏👏 sheria ni msumeno
@katharinaandrew15146 жыл бұрын
safi sana kamanda . ubarikiwe. wapumbavu kama hao weka ndani. nimekupenda baba
@samuelemmanuel34006 жыл бұрын
Safi sana, selekali yetu ya fanya kazi nzuri. Nice work
@Felix-lo1cx10 ай бұрын
Hongera sana
@NorahMichael-e4kАй бұрын
❤
@zutrykhan1538Ай бұрын
2024 upo😂
@danielmsangi72716 жыл бұрын
Asanteni jeshi la polis kwa kazi nzury maana ametudhalilisha wakristo mimi nilibakiza kumsaka na kumchoma motk
@godfreyamen11356 жыл бұрын
Hongera jeshi la police,sheria ifuate mkondo, hata hao waumini wake wakamatwe,na hao makahaba wenzake wakamatwe
@elibarickandrew28706 жыл бұрын
Asanteni kwa kweli kwa kumkamata..kazi nzuri..
@kelvinkelvin_tz39836 жыл бұрын
ahsanteni jeshi la polisi , asanteni sanaaaaaa
@ulricamakalla55656 жыл бұрын
Daaah imeniuma mm naheshimu ukristo wangu...mungu pekee amsamehe hajui alitendalo
@lauralaurent59946 жыл бұрын
ahsante jeshi la polisi........alikuw ananichefua sann huyu mtu
@rowdyrondarouseyfire94766 жыл бұрын
Laura Laurent Yaan my dear Laura hunishindi mm alinichefua cku moja kupitia video zake.
@sharifukiserekela38516 жыл бұрын
mpokeeni nabiii wenu wengine mnapeleka sadaka Kwa tito mnagoma
@lauralaurent59946 жыл бұрын
+Sharifu Kiserekela hakuna nabii wa namnaa hii,umeshaambiwa ni kichaa ........
@lauralaurent59946 жыл бұрын
+Miskia Ayallah afungwee kabisaa..?..
@dorahisaya29086 жыл бұрын
hongereni polc kwa kazi njema na ngum mungu awape wepesi
@exezodacimyingaexezodac13046 жыл бұрын
JESHI LA NA POLC KWA UJUMLA MUNGU AWABALIKI SANA NA AZIDI KUWATUMIA KWA KIWANGO KIKUBWA SANA MAANA KAZI MNAZO ZIFANYA NIKAZI NGUMU SANA SISI TULIO WENGI TUNAJUA MNAMAPITO MAGUMU LAKINI MUNGU ATAWALIPA TUU WALA MSUTISHIKE NA MTU ANAYE JIITA YEYE NDIYE KWANI MTAWATAMBUA KWA MATENDO NA MUNGU ATAKUWA NANYI KAZi #KAZI NJEMA WATUMISHI WA MUNGU
@capitanofindus73126 жыл бұрын
Exezodaci myinga Exezodac wwcheni ujinga kila mtu ako free kwa kitu anacho kiongea watz ni wajinga
@capitanofindus73126 жыл бұрын
Ujinga wa watza ndio huo kwwni kama ww unaamini dini yako utamskiliza huyo chizi polisi wa kibongo nyote mnafirwa
@jumaedward71106 жыл бұрын
mselemabdull kuma la mamako unafirwa mwenyew na baba yako,
@capitanofindus73126 жыл бұрын
Exezodaci myinga Exezodac unajitia una matusi ila akili hamna ndio mkawa muko vijiweni munaiba tu tutawaua mwaka huu
@jumaedward71106 жыл бұрын
mselemabdull unaongea pumba mkundu wew
@bettydackman14426 жыл бұрын
Asante sana Serikali, Kamanda Mwenyezi Mungu akupemaisha Marefu ,Umenena Vema kabisa
@mesozimkombozi4326 жыл бұрын
Safi sana kamanda. nimeumia sana juu ya huyu mtu.
@daudimkumbo61826 жыл бұрын
Mesozi Mkombozi Ndo ivo tena
@titomwaisoba16295 жыл бұрын
wa2 msiojulikana Kwann? msimteke uyo
@jofreyjafety1386 жыл бұрын
ahsante sana serikali yangu mungu awabalik sana uyo alikua ana nikela kiasi kwamba nilitaman ata sijui nimfanyeje
@rayrayroblox56636 жыл бұрын
Huyu mtu nishetani mmefanya vizuri sana yani inabidi hizo kanisa za kishetani muzipige vita
@denickillanga86146 жыл бұрын
Hongera polisi na nakwona ndugu yangu Ema muha upo na mkuu bless jembelangu
@richardkobero69886 жыл бұрын
"YOU HAVE FREEDOM BUT NOT TO THAT EXTENT"-JPM
@kenethmanyesela49406 жыл бұрын
mbarikiwe sn, Mungu wetu sio wa maigizo kabisa.
@fatumafashiondesigner14616 жыл бұрын
Ahsanta boss wangu
@yohanashedrack31095 жыл бұрын
Mbalikiwa sana jeshi la polince
@richardmuyango61066 жыл бұрын
Kamanda hyo sio wakawaida hyo kma nikichaaa kweri cd hzo pamja na vitabu nani anamchapia ss kuna watu nyuma yake
@ابنعثمن5 жыл бұрын
Hatumiki, historia inasema anaumwa
@aminasanga70966 жыл бұрын
baba angu kaka angu mroto wewe ni mlezi Wa kaka angu ni mchapa kazi tk maturubai mbagala ukiwa mkuu Wa kituo big up sana
@blacknature76376 жыл бұрын
Sura yake tu inaonesha chizi 😂😂😂 msameheni tu Ni Bora hakutukana uislam manayake waislamu wangemmeza mzima mzima
@maryamdounga22906 жыл бұрын
Black Nature 😂😂😂😂😂jaman umenichekesha
@tatut38896 жыл бұрын
Black Nature 😂😂😂😂😂😂😂😂tena tusinge mchelewesha
@maryamdounga22906 жыл бұрын
Tatu T 😂😂😂😂bahati yake cc hatuna unafiki nadin yetu
@sisisisilia48986 жыл бұрын
Hahaaa hatari kwa kweli
@tatut38896 жыл бұрын
Maryam Dounga 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂dunia angeona chungu
@dadychaps75276 жыл бұрын
Eti kichaa na anajielewa na vtu anavyofanya..... Kifungo miaka adhaa ndio atajuwa ni kosa. Ahsante kamanda. Kenya tunaitaji makamanda kama wewe. Kazi nzuri
@susanmmbaga37136 жыл бұрын
Kichäa anafanya vitu km mtu mwenye akili zake sheria ifate mkondo wake
@davoo25556 жыл бұрын
Hongera kwa kazi Nzuri Afande.
@youngboyjustin11416 жыл бұрын
Poa sana👍👍👍
@nyombetv33706 жыл бұрын
da kwa hapa jeshi la polisi mbarikiwe sana jamn
@judydebawsepaul9056 жыл бұрын
duuh maongez yake enyew htr... unaulizwa n kosa... unajib vingn... duhh
@chaziotv98456 жыл бұрын
good kamanda
@japhetalbano12276 жыл бұрын
Kamanda mpeleken milembe akabaki huko kwan hiyo dini yake ni matangazo ya biashara ya pombe
@jacksonmsigwa1350Ай бұрын
Safi sana afande mulatto.. huyo mshenzi alikuwa ana weka picture ya mama kwenye ushenzi wake. Hongela sana jeshi la police. Miladi ayo,
@aintnamed68396 жыл бұрын
Ukristo ni ukichaa..Mtu mwenye akili timamu hawezi amini eti Nabii Isa ni Mungu au mwana wa Mungu kama wanavyodai.
@frank01tz6 жыл бұрын
Pole. Yesu ndiyo Mungu wako pia, hata ubishe mpaka ufe!
@francisnicholaus55906 жыл бұрын
Aint Named ww ni nani
@francisnicholaus55906 жыл бұрын
Aint Named asant jesh muendelee hivohivo
@gracesangaboloko54146 жыл бұрын
Aint Named ulaaniwe wewe pamoja nakizaz chako kwa jinala Yesu kristo aliye hai na damu yako iwe juu yako nauzao wako
@aintnamed68396 жыл бұрын
Grace....maadam we ni mkristo basi tambua we ni kafiri ukubali ukatae....Fanya hima uzinduke usingizini uingie uislam kabla mauti yakupate.
@kasubywilliam35656 жыл бұрын
Hongereni sana jeshi la polis. ila inasemekana zpo dini wanaabudu uchi km zipo fuatilien jaman
@abuuayoub89586 жыл бұрын
Nilijua tuu Hana akili hahahahahha sema wamtie ndani hvyo hvyo Na ukichaa wake akili itakaa sawa tuu...hahahha halafu amepiga kimkorogo hahahahahha Habittth
@nancycosmas20836 жыл бұрын
AB Ayoub katia na dawa eti 😂😂😂😂
@abuuayoub89586 жыл бұрын
Nancy Cosmas hahahaha eeeh kitaulo kidogo Wallah Tena lazima Nuru kidogo
@sifasanga78666 жыл бұрын
Safi sana Kamanda........Safi sana. mpuuzi pia
@kanisakatolikinabiblia52206 жыл бұрын
Duh! Pole sana Dunia
@jacksonjey19886 жыл бұрын
anyonge huyooh
@salumjuma16256 жыл бұрын
Kanisa Katoliki na Biblia sal um u
@kanisakatolikinabiblia52206 жыл бұрын
Jackson Jey report inasema hata akili sawa sawa
@hussenadam1294 Жыл бұрын
Asante yesu
@umranim58546 жыл бұрын
Mpotovu sana sio kidogo achukuliwe hatua ana fundisha nini watoto mshenzi nimefurahi sana vitu vilivo katanzwa na mwenyezi mungu ndio ana vihalalisha mpotovu sana
@michaelkasebele71686 жыл бұрын
safi sana jeshi la polisi,lazima misingi ya iman za watu zilindwe.KAZI NJEMA MAKAMANDA....🙋🙋
@nazmaabdul9496 жыл бұрын
nikichaa kweli maana sio kawaida
@rubenprince89906 жыл бұрын
California love
@husseinmajid7216 жыл бұрын
Nazma Abdul bora nabii tito alikuwa anafanya hadharan sio viongoz wengne wa dini wanaofanya mambo ya ajabu kwenye giza
@nazmaabdul9496 жыл бұрын
+Hussein Majid nakweli kesho kwa mungu wataenda kujibu
@demetrykisiya13966 жыл бұрын
Nazma Abdul nishida nazma
@daudiasafu32356 жыл бұрын
Tunaomba mumuache mirembe huko huko asiletwe tena Katika jamii, safi sana jeshi letu la polisi, mshikilieni aache kabisa upuuzi huu. Abaki milembe huko.
@seifmohamedseif93846 жыл бұрын
pigeni marufuku watu kuzuka na kujita manabii haya yataisha tambueni uzito wa manabii na kaz zao hapa kila kukicha manabii nani kawatuma
@nyombetv33706 жыл бұрын
kweli kaka
@goldmansun58596 жыл бұрын
yesu
@seifmohamedseif93846 жыл бұрын
mana bii walisha hakuna nabii mpya tena na manabii Mungu ndio anae watuma sasa hawa manabii wa bongo wakujituma nani kawatuma wamekuja na ujumbe upi ? na watazame upande upi uzuka hawa manabii na kwa nn ? jibu swala la manabii linachukuliwa simple tu mtu akijisikia anakua nabii hz akili au matope
@ElizabethHassan-y6oАй бұрын
Mungu wetu ni mungu wa kuheshimiwa achukuliwe hatua
@filimonmboya96156 жыл бұрын
Ongereni San jeshi la police kwa kazi kubwa ya kufanya nchi hii kuwa na Amani mbarikiwe San jeshi latanzania kibinadam tunaona nikazi ndgo lakini mnafanya kazi kubwa San yakulinda misingi ya kisheria nchini Mungu bariki Africa Mungu ibariki tanzania
@fredmathubejr35476 жыл бұрын
Aliona Dr shika ametoboa akaona na yeye atoke kwa njia hiyo...sasa wacha apambane na mkono wa magu, kisha God himself anamsubiri
@bongoyetu89386 жыл бұрын
Fred Mathube jr Alikuwepo kabla ya Dr Shika,kuna video nyingine ni za miaka zaidi ya 3.
@amarachimoney68806 жыл бұрын
Fred Mathube jr 😂😂😂😂😂😂😂
@nacyluizer37346 жыл бұрын
Fred...hahahaahahahah
@emanuelyngatungs10006 жыл бұрын
Pereka mirembe huyo nishetani
@georgemakany73816 жыл бұрын
duu noma sana
@elrachum38666 жыл бұрын
Asante sana.
@judydebawsepaul9056 жыл бұрын
duuh na mbn ht haonyesh km n nabii?? yupo rough kwl
@hamadihamadi79106 жыл бұрын
Dah shukran jeshi la polisi yaan alikua anachefua aswaaa. Na pia huyo hakufanya kwa uchaaa bali amefanya kusudi
@exezodacimyingaexezodac13046 жыл бұрын
Kichaa hawezi kuwa na hakili ya kubana sidii na kufanya ujinga kama huo
@daimavlog6 жыл бұрын
Exezodaci myinga Exezodac anaweza mpendwa
@newvisiontv49326 жыл бұрын
Kuna level za ukichaa na magonjwa ya akili yapo mengi sana
@josej98886 жыл бұрын
Huyu kweli, siyo kichaa, polisi wamesema hivo kutafta sababu tu, maana wameshindwa kupata jibu kamili.
@emanueladamayubu99406 жыл бұрын
inawezekana huyu Raia sio kichaa bali ana kitu kingine
@ashminaabdullah56266 жыл бұрын
Kweli kichaa gani uongo tu
@KassimAli-l8kАй бұрын
Aiseeee boraaa uyoo ni. Nguruweeee ey nabbi
@worshipertv99686 жыл бұрын
bora asanteni kwa kutusaidia tunaomba mfute na video zake zote
Hakuna mtu alikua ananichefua kama huyu jamaa asee. Pitieni na kwenye Channel yangu takua napost Habari nzuri kilasiku...pia *SUBSCRIBE.*
@zachaamaster5378Ай бұрын
#safii san jeshi la police
@jumachabai28746 жыл бұрын
Tito kavu sana hataki kukubali kosa anakwambia wewe ndio unasema ila mm nimetoa kwenye biblia hahhah halafu kamanda mwana kasema hana kanisa yeye kanisa lake nipopote pale penye baa sasa atasajili baa ngapi😅😅😅
@TwahaMaziku4 ай бұрын
😂😂
@stewartmillanzi39186 жыл бұрын
Kumbe ni kichaa kama nilivyohisi. Asante serikali. Asante polisi.
@ernestsinje26066 жыл бұрын
Tulisema Dini ni sawa na ulevi tu...kumjuwa MUNGU sio lazima use ma dini,,kwani kabla ya Waarabu kutufanya watumwa na wakoloni ,hapo nyuma hatukuwa tunamjuwa MUNGU?
@ابنعثمن5 жыл бұрын
Hata mimi huwa najiulizaama swali hilo, Kumbe Wahindi wangetutawala nahisi sote tungekuwa Mabaniani, no kula nyama!
@josephkiwale3744 ай бұрын
Na tumezikamata kuliko hata hao waliozileta
@farajajairos57413 жыл бұрын
Mungu anamuona
@omarymsira18486 жыл бұрын
Ata Kama ni kichaa afungwe tuuu
@mariyammariyam86496 жыл бұрын
mm mwenyewe nilikua namshangaa sana mpaka simuelewi kbs anaakili zake uyo akumiwe tuu
@Maliyatabutv6 жыл бұрын
HAHA HA HA HA HA UYO JAMAA NOMA NAYE ATA VITABU VIMEANDIKA WATAIBUKA MANABII WA HUONGO ILITABILIWA
@hdmtanzania26176 жыл бұрын
Asante vyombo vya usalama. Mwenyezi Mungu hadhihakiwi
@yusuphbalali90376 жыл бұрын
Daudi FM Dunia ndy inaenda mlama.
@gideonimathew64916 жыл бұрын
Kwa kweli nimewapongeza sana Jeshi langu la police. Jina la Yesu si la mchezo mchezo
@mctidohondoa16526 жыл бұрын
Afadhali alikua ananichafua roho sana hbu nisaidie pitieni na kwangu kuna hbr nzuri mnisaidie kusubscribe bonyeza picha kushoto
@sheilajuma23326 жыл бұрын
Mc Tidoh Ondoa tuna subscribe wap
@edgarachile31196 жыл бұрын
Yaani eti Nabii.ujue anakufu sana.
@sheilajuma23326 жыл бұрын
Mc Tidoh Ondoa afungwe kabisa aisee alikuwa ananichefua balaa video zake
@johnikovoko74726 жыл бұрын
Mc Tidoh Ondoa Afungwe Tuuu
@eliudmanase53976 жыл бұрын
Iwe fundisho na kwa watu wengne
@CatherineMbatta2 ай бұрын
Safi sana hii imekaa vizur
@Nadineshimirimana6 жыл бұрын
Afungwe mushenzi sana
@jumannewata48566 жыл бұрын
tatizo nini mwacheni apige kazi tuu
@RehemaFilipatli2 ай бұрын
Shukrani,serikali ya Tanzania
@vanessavanedssa80686 жыл бұрын
Wamucukuliy cheria amezid
@annakays49014 жыл бұрын
Asante mumupeleke
@gracejohn49256 жыл бұрын
Afungwe kbsa
@samusonibalazingiza36896 жыл бұрын
Kamanda hongera kwakumkamata huyo mpuuz sana
@thelovetv29765 жыл бұрын
Kabisaa kweli jeshi la police linafanya kazi yake ipasavyo mheshimiwa magufuli hongera baba hapa kazi tu.
@severinimatonya13545 жыл бұрын
Safi sana
@queenyahaya31476 жыл бұрын
Kwani na wale wanawake wakamatwe nao afazalia kabisa
@officialjamhurizachariagos27976 жыл бұрын
Brother mirrad ayo ongera sana kwa habari makini
@halimamohamedy35716 жыл бұрын
amepoa kama vile cyo yeye aliyekuwa akikata maunoo
LORD HAVE MERCY HATA KANYARI WA KENYA NI TEAM MOJA NA HUYU TU
@mbwanarajab72386 жыл бұрын
Haaa askar wanachambua vifungu vya dini,mm ningependa viongoz wa dini husika ndio wangetakiwa walalamike
@TwahaMaziku4 ай бұрын
Hapo imeguswa dini ya serikali povu linawatoka dini nyingine hua zinadhalilishwa tuu wala hakuna shida ila daaah poah tuu
@rithalaizer11516 жыл бұрын
Asanteeeee Sana bora amekamatwa
@kuwamilionea89836 жыл бұрын
*Avande, Huyo Ni Wakupuna Viboko Mpaka Akili Zirudi*
@mkopmkop87506 жыл бұрын
😂😂😂
@onesmompwaga66556 жыл бұрын
😂😂😂😂Afande afande.
@onesmompwaga66556 жыл бұрын
Mbavu zangu mie
@doreenmazigo98956 жыл бұрын
Mwanachuo UDSM
@teddylaida35233 жыл бұрын
Sawa kabisa
@tuombesunzuesperance51966 жыл бұрын
Weka dani ya njela
@andrewmdachi92216 жыл бұрын
Chapeni viboko huyo jamaa
@wahidawahida66755 жыл бұрын
Nimeishia kucheka tu dahhh
@kigambontv97486 жыл бұрын
Polis hapo hamkufanya happy kabisa Nchi yetu kila raia anahaki ya kuabudu dini na imani anayo itaka mdaa wowote pahala popote ilimradi tu asivunje Sharia ya nchi . Na nchi yetu hakuna Sharia inayokataza kunywa pombe wala mtu kuzaa na mfanya kazi wake hapo nyny mmeleta udini tu hamna lolote
@jamalshaha45125 жыл бұрын
Ni kweli kabisa hapo police wamechemsha
@andrewegiberth86305 жыл бұрын
Acha ushetan
@ashminaabdullah56266 жыл бұрын
Mmmmh Dunia inakoelekea hatari tupu Milembee,😃😃😃😃😃😃sidhani km mgonjwa kweli ooooooh makubwa Allah atupe salama
@abdallahmtale40606 жыл бұрын
kwani yeye ni dini gani?
@lukasmaige55756 жыл бұрын
da kweli nabii hakubaliki kwal
@zachaamaster5378Ай бұрын
Ww uoni kama alikua anafanya usenge
@wilsonkaseha20346 жыл бұрын
anzeni viboko kwanza kisha mengine yafuate. halafu kuna mwingine aliwahi kujitojeza na hiyo kauli ya kutafuna housgirl alikuwa na midevu sijui aliisjia wapi?
@mamafranjovlog726 жыл бұрын
Wilson Kaseha 🤣😂😂😂😂😂kabisa kaka mana ukichaa wengine utatoka kwa viboko lol
@abdallahnurdin86856 жыл бұрын
Wilson Kaseha we nae kichaaa kumbe machiz wengi selikali aina DIN saa inakuwaje..... FucknTz
@wilsonkaseha20346 жыл бұрын
+Mama Franjo VLOGS hahaaaaaa
@lucyleganga6301 Жыл бұрын
Na ni nani anamchapishia mabango, vitabu hadi CD .Mmmh upo vizur sana Afande lifatiliwe saana.
@peacesmart5346 жыл бұрын
Huyu mtu anazo akili kabisaa,,, Hata kama aliwahi kua chizi fresh....kutakua kitu nyuma ya hii biashara ya beer..