WANACHUO WAKULIMA "TUPO WATANO, NILITUMIWA NAULI NIKAGOMA KURUDI NYUMBANI"

  Рет қаралды 12,759

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 65
@goddamwakimi5889
@goddamwakimi5889 3 жыл бұрын
Daaah mungu awasimamie ndugu ZANGU tuko pamoja
@siriyangu4724
@siriyangu4724 3 жыл бұрын
Mashaallah yani tusome tuondowe ujinga cyo kila anaye soma ana ajiriwa utaona mtu anamaliza umri wke kuzunguuka tu na vyeti ongereni kwa kujiongeza mungu atazindi kuwapambania amen
@samsungj7pro64gb5
@samsungj7pro64gb5 3 жыл бұрын
Emeona eeh
@siriyangu4724
@siriyangu4724 3 жыл бұрын
@@samsungj7pro64gb5 bila chenga😀
@samsungj7pro64gb5
@samsungj7pro64gb5 3 жыл бұрын
@@siriyangu4724 tuondowe ujinga 2 school mwaya maaana unaona mda mwingi umeutupa mafanikio amna kwakweri inauma
@rwandaafrika6173
@rwandaafrika6173 3 жыл бұрын
Hongereni vijana Kwakweli nimefurai sana kwa hii Kazi Mzuri kwakweli 👌💪🍾
@saidhuma9171
@saidhuma9171 3 жыл бұрын
Harmonize apeleke msaada huko, na sio kugawa magari dar
@wamoroboy8963
@wamoroboy8963 3 жыл бұрын
Sio harmonize tuy ata diamond ni msenqe san yan
@anoldjose7793
@anoldjose7793 3 жыл бұрын
@@wamoroboy8963 😂😂😂
@wamoroboy8963
@wamoroboy8963 3 жыл бұрын
@@anoldjose7793 😂👐
@jumaallymningoallymningo3563
@jumaallymningoallymningo3563 3 жыл бұрын
Mungu atari huko ndiko kujiongeza sio kulalamika na kulaumu
@antoinekatembo8520
@antoinekatembo8520 3 жыл бұрын
Kabisa!
@allyjumakukulo4972
@allyjumakukulo4972 2 ай бұрын
Hongereni san vijana wenzangu
@georgeisdory9998
@georgeisdory9998 3 жыл бұрын
Dhaaa mbaka nawatamania hongera sanaa wapendwa Mungu awabariki Mashujaaq
@musagesedoto9967
@musagesedoto9967 3 жыл бұрын
Fightings pay, hongera kwao, wadau husika waone kitu Apo.
@joasitz9559
@joasitz9559 3 жыл бұрын
Mwe hongereni sana vijana kwa kujituma.
@othumanlorenzo260
@othumanlorenzo260 3 жыл бұрын
Safi sana sana dc,rc ,na staff waofcn ya mkoa waangalie hata kwa ushauri
@feimohach
@feimohach 3 жыл бұрын
Hongera kwa mandugu hawa! Msife moyo Mwenyewezi Mungu atafungua, nawaombea kila la kheri na mafanikio, ayo TV asanteni kwa juhudi zenu kama hizi, zidisheni video kama hizi shukran!
@user-tb3du8fz7e
@user-tb3du8fz7e 4 күн бұрын
Najifunza kwenye Nia Kuna njia na hakuna mafanikio rahisi yaani no sweat no sweet
@mohamedkikale7241
@mohamedkikale7241 3 жыл бұрын
Wenye akir ndio Wenye kuzingatia!
@robertnicodemas5853
@robertnicodemas5853 3 жыл бұрын
Asante Millard Ayo kwa habari zako nzuri
@lydiathomas2905
@lydiathomas2905 3 жыл бұрын
Hongereni sana. Mungu mwema lazima mtafanikiwa
@lufeferanana8913
@lufeferanana8913 3 жыл бұрын
ayo mungu akulipe kwa uwezo ulio nao .hao jamaa wanajituma sana wausika hitabidi wafatilie hilo wameonyesha kua niwajasilimiamali .pia kutokana na kujalibu kujikwamua kwao basi selikali iwasaidie kwa mkopo wa bey nafuu maana walimaliza chuo na awa................
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 3 жыл бұрын
Salaam za pongezi kwa vijana watanzania wote wanao jitambua.
@rahmaramadhan9773
@rahmaramadhan9773 3 жыл бұрын
Mashallah kweli wapambanaji jamanii
@khadijahali4837
@khadijahali4837 3 жыл бұрын
Hongereni
@emmanuedamas2952
@emmanuedamas2952 Жыл бұрын
Hongera Sana jack my sister
@suleimanismail5569
@suleimanismail5569 Жыл бұрын
Safi sana msife moyo endeleeni kupambana
@jumakitandu5438
@jumakitandu5438 3 жыл бұрын
Hao ndugu wanapambana sana ila kilimo kinahitaji kucheza na misimu
@allyjumakukulo4972
@allyjumakukulo4972 2 ай бұрын
Ila badilisheni mazingira mkiona Kuna changamoto ya maji na ardhi
@rumb9691
@rumb9691 3 жыл бұрын
Msikate tamaa kilimo cha mbogamboga kina lipa ipo siku mtatoboa .
@hassanlubola414
@hassanlubola414 3 жыл бұрын
Wapo vizuri sana
@ombensamwel2626
@ombensamwel2626 3 жыл бұрын
Big up san vjana
@ziadamaulid9089
@ziadamaulid9089 3 жыл бұрын
Safi sana
@edwardmsongelwa5455
@edwardmsongelwa5455 3 жыл бұрын
Kwa Nini hamku lions Hilo kuona Na ma afisa kilimo WA wilaya ili Wawa onyeshe nzima fungueni macho Sasa mengi yame funguka kuweni wepesi ili mfaidike Mungu YUPO nanyi msikate tamaa ushindi uko mtaa wapili
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula Жыл бұрын
BASHE anasemaje
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula Жыл бұрын
Mwl. Atswaacha solemba ajira atapata
@emilyibraimo5032
@emilyibraimo5032 3 жыл бұрын
Ila ndugi zangu komaeni kwani kilimo kinalipa kinoma noma kazeni na Allah yupo pamoja na waja wake kila siku
@salimalaquimane2640
@salimalaquimane2640 3 жыл бұрын
Kikubwa serikar izid kutoa mikopo zaid kwa wajasilimali
@davidmbaga2998
@davidmbaga2998 3 жыл бұрын
Nendeni kitere (Mtwara)mkanunue au mkakodi shamba kule kuna ardhi mzuri kwa ajiri ya kilimo na maji yapo mengi sana ya chem chem
@vickyadrian1503
@vickyadrian1503 3 жыл бұрын
HAWA NDIYO AINA YA VIJANA TAIFA LINA WAHITAJI RAIS MAGUFULI WAANGALIE HAWA VIJANA KWA JICHO LA KIUCHUMI ZAIDI
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 3 жыл бұрын
@vicky Adrian Rais Magufuli anatakiwa atoe ajira ilo ndio swala la muhimu
@emariohjohn3743
@emariohjohn3743 3 жыл бұрын
Nikweli....
@martinemaganga2546
@martinemaganga2546 3 жыл бұрын
@@nakundwamkubwe7823 ajira siyo lazima ,fanya unachoweza ajira ni utumwa
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 3 жыл бұрын
@@martinemaganga2546 kama ajira ni utumwa mbona hao viongozi wameajiriwa? Unafikiri ni kazi rahisi kujiajiri mwenyewe? Vijana wa 5 hao wana vyeti na hawana kazi wakati wazazi waliwasomesha wakitegemea wapate ajira serikali leo mzazi atapata wapi pesa Za kumpa mwanae Za mtaji? Nasio hao tu vijana wengi wanahangaika! Cha muhimu serikali iongeze ajira na ifufuwe viwanda vilivyo kufa . Enzi mimi nakuwa kwetu tanga kulikuwa na viwanda kama 15 ivi ! Kila mtu alikuwa anakwenda kazini hata wasio soma walipata ajira kutokana na elimu yao ndogo . Viwanda vyote vimekufa na kubinafsishwa !
@salimalaquimane2640
@salimalaquimane2640 3 жыл бұрын
@@nakundwamkubwe7823 huko ulaya tu ajira ngumu sembuse bongo
@georgedamas7097
@georgedamas7097 3 жыл бұрын
Vijana bado wanamoyo sana wa kufanya kazi, lkn sasa wanakosa "connection "
@bjzee1981
@bjzee1981 3 жыл бұрын
Huyo pharmacist kweli wasimpe kazi na vile wako wachache
@waluohopaulo2116
@waluohopaulo2116 3 жыл бұрын
Hawa ni kama walisikia mafundisho ya Mweshimiwa Gwama alipokua akiongelelea mambo haya ya kilimo hiki.
@binsultan6981
@binsultan6981 3 жыл бұрын
Ndo maana mwenzenu nlijiongeza tangu darasa la 3 kusoma na kundika tu ilitosha nikaacha wenye jamaazao serikalin wasome....heeee si ndo kuna siku nimpta sheli naweka gar mafuta si akapita jama anauza karanga kumchek kumbe side aliekua anatokea wa kwanz darasn
@lydiathomas2905
@lydiathomas2905 3 жыл бұрын
Milad endelea kutafuta vijana waohitaji msaada wadau wanaoweza wawachangie. Tujitahidi kupunguza vijana tegemezi mitaani
@agathathobias8690
@agathathobias8690 3 жыл бұрын
Alafu cku wamekuwa matajir utackia wananzengo wanasema freemason
@emilyibraimo5032
@emilyibraimo5032 3 жыл бұрын
Walio soma wengi ndo walikua hawana ajira walokua hawajasoma ndo wamejazano ukokwenye maofisi kwasabubu wanajamaa zao Tanzania watu hawatizami vyeti kinacho angaliwa jee ww ni mtoto wa nani
@zainabwage4658
@zainabwage4658 3 жыл бұрын
Jibu konk ili💪
@kiblahmchengule129
@kiblahmchengule129 3 жыл бұрын
Et maji mjini ni shida dah inaniuma sana tunashindwa maji kuwa ya uhakika wk yanatoka mara mbili dah
@fogotv7632
@fogotv7632 3 жыл бұрын
Mimi nataka kujiunga nao nibonyeze ngapi
@augustinomwamasinga2200
@augustinomwamasinga2200 3 жыл бұрын
Tafuta wa4 muwe wa5 nanyi mwanzishe
@hanskidd2290
@hanskidd2290 3 жыл бұрын
Kam vip na ss tuanzishe ya kwetu me nakuwa wa pili
@antoinekatembo8520
@antoinekatembo8520 3 жыл бұрын
@@hanskidd2290 niunganisheni na mimi maana kilimo nakipenda sana!
@kacherosimba5762
@kacherosimba5762 3 жыл бұрын
@@antoinekatembo8520 namimi jamani japo kua nipo kenya lakini kama mpo tayali nipo tayali kurudi nyumbani napenda sana kurima
@jumaramadhani1486
@jumaramadhani1486 3 жыл бұрын
Hapo hapo ulipo anza kaka mtaani unapoishi ongea na wenzio watano hata kumi mnajiwekea malengo tu nakujichanga changa mtafanya kitu kaka, hapa kwangu wife na mashoga zake walianzisha kikundi cha kuweka na kukopa na malengo ya kufunguliana biashara aisee mwanzo niliona wananijazia tu watu kwangu kila jmoc na makelele now mwenyew nikitingwa namuomba wife anikopee kwenye kikundi chao wamefunguliana biashara kila mmoja ht na umbea umepungua mtaani wapo biz na biashara zao na sasa wameanza kununuliana viwanja kwa wale wenye uhitaji ambae hana anapewa hela na lengo wajengeane walio nyumba za kupanga watoke huko niliona mwanzo wanaigiza lkn sasa mwenyw namuongezea wife hela ya kupanda ht kama hajaomba
@bintiiddy7043
@bintiiddy7043 3 жыл бұрын
Uzur Kuna maji
@sankofaman4112
@sankofaman4112 3 жыл бұрын
Millard Ayo washauri wafungue account ya GO FUND ME tuwachangie pesa
@chigasontv12
@chigasontv12 3 жыл бұрын
Hao wanavyeti vyao na wamejiongeza wewe zaidi ya chadaktari ukienda kupima huna kingine bado unachaguaa cha kufanyaa...uuuuumbwaaa wewe...utakula ushuzi....
KUTANA NA BEATRICE, MUUZA KEKI MWENYE MASTERS MBILI
5:16
Millard Ayo
Рет қаралды 84 М.
Cool Items! New Gadgets, Smart Appliances 🌟 By 123 GO! House
00:18
123 GO! HOUSE
Рет қаралды 17 МЛН
Женская драка в Кызылорде
00:53
AIRAN
Рет қаралды 468 М.
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 9 МЛН
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 40 МЛН
BABA YANGU KIPOFU Full episode /21/ #love
25:05
BabaJoan
Рет қаралды 26 М.
Msichana Mjasiriamali Tanzania kupitia kilimo
2:30
DW Kiswahili
Рет қаралды 151 М.
MBOLEA ZA RUZUKU ZAWAVUTIA VIJANA KUINGIA KWENYE KILIMO
8:40
MBOLEA TV
Рет қаралды 1,6 М.
Cool Items! New Gadgets, Smart Appliances 🌟 By 123 GO! House
00:18
123 GO! HOUSE
Рет қаралды 17 МЛН