Huyu mtoto ni zaidi ya genius ,mfundisheni na kushika dini atasaidia wengi .., nimempenda
@thehamsterjourneycooler17923 жыл бұрын
Wow!
@عباسعباس-ش9ه4ت3 жыл бұрын
Mashaalah
@عباسعباس-ش9ه4ت3 жыл бұрын
Mungu amjaalie sana
@daviddotto35293 жыл бұрын
@@lampadshigonko3006 umeona nimetaja dini gani hapo uelewa wako ni mdogo? Halafu Mimi ni maoni yangu huwezi kuanza kushughulika na mawazo yangu, nawe toa ya kwako na kila mmoja aheshimu mawazo ya mwenzake...naheshimu sana MTU anayemheshimu mwenzake na mawazo yake lakini si kunishambulia tafadhari kaka hunijui sikuji heahima iwepo...
@wamoroboy89633 жыл бұрын
@@daviddotto3529 genius inamuhusu nn ap mbona v2 viwili tofauti usifananishe wa2 ha2fanani
@ukhutymamuu74703 жыл бұрын
Nimejikuta nalia kwa furaha Allah akukuze vyema mtoto mzuri🙏🥰
@benardituragire99155 ай бұрын
Hata mimi
@dutchsafari75623 жыл бұрын
Kazi nzuri wazazi Kuna kitu mnakitengeneza na kitawalipa inshallah
@lenaosore67103 жыл бұрын
Mimi ata raisi wangu cmjui 🇰🇪 naomba serikali ya tanzania 🇹🇿 wamtunze huyu mtoto hii ni faida kwa tanzania na Africa mzima may God keep you safe and protect from the evil eyes somebody say ameen
@flaviankato16973 жыл бұрын
Hahahha
@yusuphaman34493 жыл бұрын
Hahahahahaha Lena umenichekesha
@dripgokujayden36773 жыл бұрын
Ila unasema kweli ame tufunika sisi apa
@esthermoraa66483 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@bnussrahlimsantah37303 жыл бұрын
Uso umenishuka kwakweli
@otiliahaule51803 жыл бұрын
Hongera sana mama kwakumzaa huyu mtoto tunatumaini sikumoja atakuwa kiongozi Tunakuombea mtoto wetu baraka Mungu akulinde daima From oman
@nyabukitundu29293 жыл бұрын
Indigo child Mzazi yupo busy na mwanawe ktk habari za dunia wengi sisi watz watoto bora asikilize music na kuiba nyimbo za kidunia Allah azidi kuwapa maisha marefu wazazi na wafadhiri
@abdulrahmanis-hakka33473 жыл бұрын
Ameen
@dr.njipaysophon32093 жыл бұрын
Tanzania tumejaliwa vipaji sana tatizo tu linakuja kwenye matumizi ya vipaji. Juzi tu tumetoka kumsikia mtoto genius wa hesabu leo hii tena mtoto mwingine genius Mashallah!. Mungu awabariki kwakweli. Ningeomba serikali izidi kuweka mazingira mazuri ya kukuza vipaji hivyo kwa mustakabali wa taifa letu. Pia niwashukuru waandishi wa habari specifically Millard Ayo kwa kuendelea kufichua vipawa hivi adhimu na adimu. God bless Tanzania
@RichardMgalla6 ай бұрын
❤😂the the 😂
@annaemmannuel21013 жыл бұрын
Mama nae yuko vizuri, hongera sana mtoto mzuri, Huyu mtoto ni wa pekee sana Mungu amtunze
@oliverben80103 жыл бұрын
Wale wenzangu mnaosoma comments , , afu na kati ya hao marais amewataja huyu mtoto hata kumi haufikishi . tujaane jaman
@gudlamedad74923 жыл бұрын
Wakwanzaa
@zuchuu66593 жыл бұрын
Tupo tupo atujui hata wa5🤣🤣🤣
@bikogwagacha78023 жыл бұрын
14
@fatemaligalawa19183 жыл бұрын
Yani mm ngetokanduki 🤣🤣🤣maana izonchi sizajuihatakwakuzisikia
@omarsharifa56063 жыл бұрын
Najua wangu na wajirani
@winifridathomas50813 жыл бұрын
Kawashida wengi maan mm najuwa malais wangu tu😄😄💝mungu akulinde baraka kutoka kwake km jina lako love you everything day Baraka 🤩🤩🤩👩💻
@devotawaitara23333 жыл бұрын
Hata mm
@teresiamwende86063 жыл бұрын
Yaani huyu mtoto n baraka kama jina lake. Hongera mama na mwanao🙏🙏🙏
@zou74703 жыл бұрын
Mansh'allah 💕💕mtoto uyu hadi amenitowa macozi ety alitamani akutane na magifuli angoe nae jamani 😭😭😭
@cosmassetumbi76933 жыл бұрын
Mimi zee zima hata ukiniuliza rais wa kenya Nani sijui
@hildantandu59093 жыл бұрын
@@cosmassetumbi7693 umeona ee ,Mimi namfahamu wa Kenya,Uganda ,Africa kusini,na Rwanda,wengine watajijua,maswali mengine ndio kabisa.
@paulkiokolechipai42282 жыл бұрын
Waow nice smrt MUNGU AKUBARIKI SANA MTOTO wetu mungu akusishie NEEMA
@najma32683 жыл бұрын
Hongera mama , umepata mtoto wa kipekee Na tofauti , hii ni baraka kwa mungu , mungu ampe umri mrefu aweze kutimize ndogo zake
@rezegerezege6913 жыл бұрын
Serikali ina kila sababu za kuwatunza watoto hawa wafikilie tu hilo jambo. Mwanangu ubarikiwe sana . MUNGU WA MBINGUNI AKULINDE DAIMA. AMINA.
@shifaaal-baity45033 жыл бұрын
Mtangazaji sema mungu bariki. Au sema masha Allah..sio duh
@burundishallsmile1day1093 жыл бұрын
😊😊😊 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾 Angekuwa Nchi kubwa, angefuatiliwa na kusimamiw kwa karibu kwa sabab ni special kid!
@treestem90813 жыл бұрын
Hongera kwa mtoto huyu mwenye kipaji cha pekee. Ana uweso wa kiliiongoza bara letu. Mola amjaliye yote yaliyo ndotoni mwake.
@niranikichaka30273 жыл бұрын
Masha Allah Allah amuongoze ampe elimu yenye manufaa Na ampe afya njema Na umri mrf azingatie heshima
@mitchelljohnson52183 жыл бұрын
Good work congratulation small boy keep it up nimekupenda sana😍
@omarisarai76993 жыл бұрын
IQ ya huyo mtoto iko juu sana,pamoja na kufundishwa bt kwa umri huo,kukariri vitu kama hivyo my friend inahitaji bongo kubwa,Kijana yupo juu zaidi ya sana,Mungu amlinde na mahasidi na vijicho vya watu
@jovinajovin96173 жыл бұрын
Ya iq yake so ya kawaida watu wanasema eti anafundishwa 😂😂 Ana iq na kipaji bhana
@magrethmrangarwe9043 жыл бұрын
Pamoja nakufundishwa anakipaji kikubwa mm mwenyewe kwa umri huu siwezi kuyajibu
@rehemambuguni24263 жыл бұрын
Huyo mtoto yupo vzr licha ya umakini wa mama yake,mungu amsimamie atimize ndoto zake Amina🇹🇿🙏🙏🙏
@kennedytito4013 жыл бұрын
Maigizo au
@amanmbwambo29753 жыл бұрын
@@kennedytito401 simba
@samiramahmud4063 жыл бұрын
MashaAllah Allah Amkuze Amjaze Baraka Amlinde na Husda za watu Allah Amzidishie Kipaji chake hadi Ukubwani Afanikishe Maleno yake, Amin 🤲❤
@salmaabdillah34533 жыл бұрын
Amen 🤲🤲🤲
@michiramagadaline10333 жыл бұрын
Wow wow amazing baby boy Mungu amupe hiyo kipaji, aendelee hivyo hivyo, na amupe nguvu, mama take care of him be blessed all
@jamesmwinula30053 жыл бұрын
Amina hakaka kjna nmakn xan mungu awenawe akuzdxhie barka zte juu yko
@mimitijara48063 жыл бұрын
Mungu mjalue na amzidishie kipanji chake na urmi na maisha mungu mkubwa haki ange mwambie jpm matatizo ya moyo
@nurusaidy75522 жыл бұрын
Mashallah 🤲🏾 ukasome KAKA mungu akuongoze
@GrolyIsackАй бұрын
Mungu akupe afyaa njema na teleee mtoto baraka💚💚
@leahparasino90613 жыл бұрын
Mungu wangu sasa kayajuaje jamoon Duuh mungu amlinde huyu mtoto ❤❤
@fatumachagudadui31383 жыл бұрын
Nilichojifunza mama pia yuko samrt anamfundisha Mtoto hakuna Mtoto asokuwa na akili ni ss wazaz tu tunatakiwa kuwawezesha
@scholarmawala14033 жыл бұрын
Kweli jmn
@trophywilson72113 жыл бұрын
Na mtoto awe na juhudi
@mpandamohamedmsoke97223 жыл бұрын
Haya mfundishe wako alafu mlete atueleze kama hivyo
@elizaboster94793 жыл бұрын
Kweli kabisa mama ana akili SEMA kakosa usimamizi wa awal angekuwa mbali sana
@chainbre2753 жыл бұрын
True
@ruthiekimsy3 жыл бұрын
Jamani mtoto mdogo huyo na kipaji.mungu akuongoze.miaka ijayo utakuwa kiongozi..♥️♥️
@yammyfaith121 Жыл бұрын
this boy infact he as challeged me,,congracturations...you are the upcoming king
@salumbujjo23203 жыл бұрын
Hongera sana ayo TV kwa kazi nzuri ya kuvumbua vipaji. Mtoto ana uwezo mkubwa zaidi ya mnavyofikilia.🇹🇿🇸🇪
@godfreykagoza35343 жыл бұрын
He's very brilliant so wonderful mungu ambariki atimize ndoto zake
@halaphaologi83013 жыл бұрын
Maashallah Maashallah Allah amjalie siha njema Amina Nyota njema
@robertstephano97442 жыл бұрын
Mungu ambariki Yuko vizuri kwakweli
@lameckmalima66913 жыл бұрын
Hakika Tanzania tuna ma genius wengi sana
@ainembabaziapophia76393 жыл бұрын
Yes
@leiratykisura67183 жыл бұрын
Ma sha Allah Allah akurinde na kila shari mtto wang mzr jmn 🤲
@nasraabdallah8503 жыл бұрын
Dah 🙆♂️🙆♂️🙆♂️uyu mtt kikichwa sana mashaallah Allah akuongoze vyema👏👏👏
@godfreyjames85823 жыл бұрын
Eti mama samia apige moyo konde aisee nakuombea ufanikiwe mwanangu
@trophywilson72113 жыл бұрын
Kweli apige moyo konde
@paulomaguhwa82293 жыл бұрын
Mtoto yuko safi sana na mama pia anapambana kuhakikisha mtoto kipaji hakipotei mungu amsaidie sana
@tinanyange80003 жыл бұрын
Nimependa kauli yake ni kweli yametokea mama samia apige moyo konde maisha yaendelee watanzania tupo nyuma yake
@roshichocolatee80843 жыл бұрын
😭😭😭❤❤mie jmn nahisi kulia kwa furaha tuu mtoto mpaka anatia raha kumskiza😍
@shikokings3 жыл бұрын
Child Prodigy. should be in high school by now. He will be the next Dr. Magufuri of Tanzania in the next 30years or so to come. His Excellency Hon. Dr. Baraka. I may not be a prophet but In the Mighty name of Jesus, I decree and declare it shall come to pass. Mtoto Baraka, God loves you so much . Nasi hapa Kenya twasema Hongera.
@gracensenga382 жыл бұрын
Ahsante Mungu Kwa uumbaji wako,heshima na utukufu ni vyako Baba kupitia mtoto huyu, sisi wazazi tunaomba hekima Yako ili tuwe karibu na watoto wetu,tuwasikirize,na tuwalee katika njia ipasay
@jlove52383 жыл бұрын
Mungu wangu 🙌🙌hayo majina ya maraisi wa nchi hizo zote ndio kanishangaza anaakili sana huyu mtoto na itakuwa kalisi kwa mama yake.. ❤
@chaulamsemo87783 жыл бұрын
huyu mam yake naye arudi shuleni kwani ni kipaj kilichozikwa!!
@CharlesLutandula-y3c8 ай бұрын
Hongera sana babu Mungu aendelee kukutunza hizi nihazinaya taifa
@hadijamwanana24713 жыл бұрын
Nimewapenda wote mama namtoto wote mpo vzr kazi ipo huku nyuma kutwa kuwapost watoto zao wajicheza kisingeli wenyewe wanafurahi nakuona chamaana kwa mtoto hongera dada kwakumnoa mwanao mapema apate kujua vyamuimu
@alexanderbalars3 жыл бұрын
Tanzania has got good talents and brains.waleteni uku Kenya tucheze kama sisi
@kurayoaikoterrison77543 жыл бұрын
Mungu akubariki na akupe maicha marefu umeguza wengi na kuachaa kwa mishangao❣️
@rithakuyala99513 жыл бұрын
Mungu ambariki mtoto mzuri mana umeniacha mdomo wazi hongera mzazi Mungu akikuze kipaji chake
@fumboog32853 жыл бұрын
Daaaa kweli nime amini kuna kizazi chenye malengo na kuna vizazi vya simat phon
@HalimaJuma-hz4qe5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 tumbo langou
@carolineajiambo29613 жыл бұрын
wacha mungu aitwe mungu Tazania.walibarikiwa na vipawa
@mahmoudeladen11897 ай бұрын
Mashaallah Mungu akupe umri mrefu wenye kheri na ww ajalie afya kwnye akili yako 😊sor proud ✌🏾
@annamwefu86663 жыл бұрын
Woooooow i don't even know all the president around the world in my head but this boy is woooooow 😮
@samuelkateo25932 жыл бұрын
très intelligent cet enfant suis en Rd Congo Kinshasa
@Ruth.n.o3 жыл бұрын
Waaaah kweli ako very talented en wise kiongozi wa kesho Majaliwa na hongera mwanangu pia mama hongera kwa kumfunza ila nakuomba mfundishe zaidi kuhusu neno la Mungu ili amjue zaidi jinsi amempa ufahamu upitao akili za wanadamu amuelekeze ktk kila jambo chochea hicho kipaji🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🏻🙏🏻
@habibamanyanda98683 жыл бұрын
Am so proud with this child, may the almighty God protect you. Nothing to say more.
@ashuramashaka15322 жыл бұрын
Safi
@magembesagin32503 жыл бұрын
Mwenyezi mungu ampe nguvu akipaji saidi yahapo dogo yohana
@samwelhechei85373 жыл бұрын
Du! Mungu akujalie zaidi
@gloriajwkamate38542 жыл бұрын
Thanks to teach children from Tanzania
@aishtan27453 жыл бұрын
Maashaa Allah mungu akujaalie mtoto mzuri ukue na kipaji chako inshaallah
@Kenyan_Duke3 жыл бұрын
Nakwambia Humu Tz mko na vipaji kweli,,,Mungu ampe tamanio lake,,,🇰🇪🇰🇪
@judithmelvinealuchio89683 жыл бұрын
tuamie tz bro😂😂😂
@anahna67883 жыл бұрын
HUYU NI JPM WETU WA KESHO KUTWA MABEBERU WA JIPANGE KWELI KWELI NILICHOKIOA KWA HUYU DOGO NI KUNASA MANENO YOTE ANAYOFUNDISWA
@mwanakherimaalim31653 жыл бұрын
Mashallah Allah akusimamiye kwa Kila hatuwa
@neemasalema15463 жыл бұрын
Kweli kabisa na wajipange haswaaaa
@charlescoin5363 жыл бұрын
Acha kufananisha watu na ujinga wako
@geoffreycheruiyot2 жыл бұрын
Wow! What a great man to be?????? God bless you my youngest bro!!!! Wah!!!!!
@bintybaba34863 жыл бұрын
Nimecheka tuu jamani mwanahabari ungepiga tu simu mama akafanya hiyo kazi kkkk
@nestor3843 жыл бұрын
Wow! Hatare asee🙏🏻 Huyu atakuja kutukomboa wanaume kuwa 'wakalimani'
@mwanaidimunga90993 жыл бұрын
Ndio marais wa baadae hao Allah ampe afya njema innsha'allah
@agnesskalinga99153 жыл бұрын
Hongera Sana kwa kweli huyu mtoto ni guinius walah Mungu amjalie maisha marefu, Maghufuli wa baadae Mashaallah. 🤔🤔🤔🤔
@abdallamasoud77343 жыл бұрын
Masha Allah Allah akuzidishie kipaji chako mtoto baraka..
@dismasichukilizo44333 жыл бұрын
Nimejifunza kwamba Mungu yupo kupitia mtoto huyu Mungu amlinde siku moja aje kuwa vile anavyo tamani awe moyoni!
@edinesterkijanga64373 жыл бұрын
Aseee mtoto huyu Mungu amlinde Sanaa maana hatari sio kidogo maana anajua mpaka sayari
@pilikhamis29243 жыл бұрын
Maashaallaah mtoto huyu duuh mungu azidi kukupa maisha marefu
@shakirajaffari12273 жыл бұрын
Wallah mtoto unakipaji mola akufanyie wepesi mdogo wangu ufike mbali
Duuu kwenyeiyo yasayari umenishinda we mwanangu💕💕💕
@teresiawachira10343 жыл бұрын
Wao, God has gifted us differently. This is awesome.
@zainababdullsadik12473 жыл бұрын
Mashallah allah amlindee
@hillarykimaru49153 жыл бұрын
Thanks mother for teaching your kid . hongera . hapa Kenya watoto ufunzwa na mama zao kupenda baba mkate.Hatari.
@kakawamashariki89783 жыл бұрын
Moyo wa Furahaaa pamoja nami.
@anamgesi26343 жыл бұрын
Mungu akubaliki sana mtoto mzuri
@mufidabdallajuma82473 жыл бұрын
Allah akuline na kl bya amiin
@maryayuma9003 жыл бұрын
Hongera mtoto Mungu akuzidishie neema
@glorykalunga48492 жыл бұрын
Uyo mtoto apelekwe cekondari jamni Mungu wambinguni amfunike kwa damu ya yayesu Amen
@victoriaowino28243 жыл бұрын
Mtoto anaakili sana lakini fahamu ya kwamba watoto huchoka mama you are un fair to that boy those questions are too much for that age in short BRAVO
@zuhuraynakhamis93153 жыл бұрын
Yukoooo....vzuriiiii.jooooooooomn..nimempenda
@Directorjax553 жыл бұрын
Wazaz tuwen bze na watt wetu ili kuwapa saport kuelewa vtu vng Bora mtg akuchukie kwa kuwa na mda kidogo wa kucheza ili apate elim ya nyumban na shulen Amina mtt
@aishatarimo67803 жыл бұрын
Mungu ambariki jaman huyu mtto
@faudhiatmasoud40253 жыл бұрын
Eeh Mwenyez Mungu bariki matumbo yetu..so sweety😍
@saudangalleni3883 жыл бұрын
Hongera mama kwa kuzaa genius serikal imuaangalie huyu mtt kipaj kisipotee
@blessinghope65953 жыл бұрын
Mm nlifanya histo but cjui maji maji rebelion ilifanyika lini but mtoi wa wenyewe anajua ,be blessed baby boy .
@jumavuai13943 жыл бұрын
Mashaallah mungu akulinde na hasadi
@angwlinahmwabili61273 жыл бұрын
Mungu akuzidishie mtoto maana hata. Mimi na ukubwa wangu hata siwezi jibu hayo maswali yote.
@magrethkawa48413 жыл бұрын
Huyu mtoto aina ya Watu wenye uwezo mkubwa wa kiakili .. yaani Genius kama hayati JPM maana yeye hakuwa na kona kona!!... serikali huyu mtoto ni hazina ya Taifa mlindeni na kumtunza!!!... hongera mama!!!.. hongera na Wazazi wotee mnaolea watoto wenu wotee kwa staili hii na siyo kumpiga mabao na makelele ya matusi... Nani kama mama????????💖💖💖💖 Nakupenda 🇹🇿💖
@peninamwangi92605 ай бұрын
That's wonderful , very clever hatari kabisa
@magdalenaemmanuel28613 жыл бұрын
Hongera sana mtoto mzuri ila uginius mwingine unakuwa juu kuliko umri husika tumshirikishe sana Mungu isije ikawa aongei yeye
@mtngaallymtngaally1133 жыл бұрын
Mashaalah mtoto anahitaj msaada WA kuendeleza kipaji aisee🙏🙏❤️
@mududumapaine1382 Жыл бұрын
Mungu akujalie akuondolee mabaya yote ukue na imani yamungu kunamengi kakuandalia duniani mpaka aela
@rhoidakalinga30433 жыл бұрын
Mungu akutangulie
@halimagoodgoodsimbahalimag29403 жыл бұрын
Nimekupnd wew mtoto jmn mpk nimejiskia raha jaman mungu akukuze ufike mbali jmn