Huyu mama anaonekana alikuwa hayuko karibu na mtoto wake ndiyo maana alikuwa anaogopa kumwambia ukweli. Hili ni tatizo kubwa la watanzania wengi. Wazazi wanakuwa wakali kwa watoto kiasi cha watoto kuogopa kusema wanapopata matatizo. Pili ni mama mzembe sana. Muda wote mtoto anatoa damu puani na mdomoni lakini hachukui hatua za dhararu. Serikali inabidi ikataze matumizi ya viboko shuleni. Hivi mtoto wa miaka 7 anapigwa kwa sababu gani? Kweli ujinga ni mama wa maovu yote. Mtoto amefariki kwa uzembe wa hali ya juu. Uzembe wa kuanzia kwa mama mtu, mwalimu, madaktari na serikali.
@annamussa1853 ай бұрын
Kabisa,me pia ni muhanga yani mama ni mkali hata kama unashida unabaki kimya tu yani wazazi punguzeni ukali imefika sehemu hata hamu na mama sina Yani Daaah!
@WinnieIkwisa-ts6bz3 ай бұрын
@@annamussa185 pole saaana
@florenciajacob54633 ай бұрын
Kabisa mzembee kabisa 😢😢😢
@user-br4tl7jv9j3 ай бұрын
Msilaumu upumbavu kisenge
@user-dn8rm7er1z3 ай бұрын
@@user-br4tl7jv9j wanadam wanakosa huruma jaman... mwenzao kafiwa na mtoto mnamhukumu kwa kiwango hivyo kweli??
@dennishyera54483 ай бұрын
Walimu wa field, wasiruhusiwe kuazibu wanafunzi. Pole ni wazazi. Inauma sana .
@basharanasser15413 ай бұрын
Q
@DianaMacha-jf8gw3 ай бұрын
Viatu vya huyu mama havinitoshiiii😢😢😢
@umiy19713 ай бұрын
Mwalimu amefanya uhasidi wake ila hana uwezo wa kuumba wala kuondoa uhai wa Mtu , sio kila lengo la mwanaadamu Mungu analiitikia , tungekuwa sote tumeshakufa .
@PaulinaSemindu-ob3de3 ай бұрын
Pole Sana mama na apumzike kwa aman mwanangu 😭🙏
@kimarobeatus3 ай бұрын
Kwakweli
@user-hj4sy9fy4g3 ай бұрын
Bora tuwahukumu wenyewe fasta! Huko mbele hakuna msaada!! Pole sana mzazi!
@vascombembela36323 ай бұрын
Poleni sana mtoto alicheleweshwa sana kufika hospitali! Ila walezi na walimu ni vizuri kuwa makini na watoto kwani wengine Wana changamoto kubwa za kiafya hivyo ukimgusa vibaya tu unasababisha matatizo.Inaumiza sana Mungu awe faraja kwa familia hii. Lakini funzo ni kwamba tuwe tunachukua hatua mapema kwa viashiria kama hivyo ambavyo ni hatari.
@user-eb4nq5du2q3 ай бұрын
Yan hiii kitu ilishamtokea mdogo wangu ila tulimbana sana aise mpaka kusema ukwel ilichukua muda sana naisi na walimu uwa wanawatishiagaa pia sheria imchukuliee hatua uyo mwalimu😢😢
@carolynendossi15943 ай бұрын
Kwanza waalimu wapimwe afya ya akili kabla ya kuajiriwa. Unamkuta mtu yupo na uchungu umekaa huko ndani yake miaka na miaka ana stress mia kidogo. Mtoto anafanya kosa dogo tu anapigwa kwa kiwango ambacho siyo sahihi. Bwana Yesu awe mfariji mkuu kwa huyu mama🙌🏻🙌🏻
@user-fl3yl4or3e3 ай бұрын
Pole sana lakini mbona hukujiuliza baada yakuona mtoto anatoka damu mdomoni puani kwanini hujachukua hatua mapema dah walimu wengine
@user-ui4oh8gf8n3 ай бұрын
Mama Huna woga.damu zinatoka bila ya kumpeleka hospital. Wazazi wezangu tuwe na hofu.
@user-zm2zm7wy1t3 ай бұрын
Kama wew ni mzaz huwez kusema hivy cyo kwamba kila kitu utafany kama inavyostahil cyo kama hana woga kutoka damu kwenye viz ni hali ya kawaid ambayo mtu huwez kufkir kwa harakaharak kuw ni tatizo kubwa.
@shosemanjira90152 ай бұрын
Inauma machoz yamenitoka, hizo damui kwann wamuongezee nyingi ivyoo
@user-cd8ge8mx7p3 ай бұрын
Duuu pole sanaaaaa....pamoja uzembe wa Mama, nimelia sanaaa huyo mwalimu duuuu bac Mungu ndio atakujibu tuuuu
@user-dn8rm7er1z3 ай бұрын
Pole sana Janet jaman... Mungu akutie nguvu kipenzi, kumbe nilipokuona kcmc ndio ulikua na jambo kubwa hivyo
@StevenMremy3 ай бұрын
Mama mwenyewe nimzembe kwa maelezo yako ulikua umjali uyo mtoto siku tatu mtoto anatokwa damu usimpeleke hospitali kama vile ukumzaa 😢😢😢😢dah😢😢 RIP
@sueddelft90693 ай бұрын
Ni Kwli mama ni mpuuzi siku 3 unamuangalia tyuu
@rehemaomary34933 ай бұрын
Eti mtoto siku 3 damu zinamtoka yeye ana mwangalia tu. Mama nae kachangia kifo Cha mtoto wake Angempeleka mtoto hospital halafu mambo mengine yafuate
@fatumamakoye57113 ай бұрын
@@rehemaomary3493msiongee tu kiurahis nyie hv vitu vinaumiza amjui watu wanaishije mtu utakuta hana ata mia hospital zenyew ckuiz km huna ela unaonekan km mbwa tu
@user-cb3vw5fp8y3 ай бұрын
Na siku ya tatu ndo anaona mtoto majeraha siku zote hizo alikua hamuogeshi mtoto??
@ambroceharouna16123 ай бұрын
Fala San ilo Mama
@happinesslema72643 ай бұрын
La msingi ni kumtanguliza Mungu ktka kila jambo shetani ana mbinu nyingi sana !!!!! Shetani huwa anatafuta chanzo tu aweze kutimiza lengo lake !!!!Mungu ndiye ajuaye yaliyosirini!!!!!
@hellenjulius77903 ай бұрын
Hakika ni kumtanguliza mungu maana shetani yupo kazini
@jenipheraron35663 ай бұрын
Mama pia mzembe dah ila hawa waalimu sheria zichukuliwe
@user-df9vn1tc5o3 ай бұрын
Mama ana uzembe gani
@user-dx2zl1vo5s3 ай бұрын
Kwel hakua karbu na mtoto
@bennamush46163 ай бұрын
Siku tatu mtoto hayupo sawa anamwangalia tuu bila kumpeleka hospital
Eeeehe angekuwa mwanangu....huyo mwalimu serikali ingepata majibu ningemuuwa kwa mikono yangu
@user-df9vn1tc5o3 ай бұрын
Weeeeeee
@bonita3293 ай бұрын
Inauma sana 💔ila huyu dada ni mzembe sana kwakweli 😢huyu angepeleka hospital siku hiyohiyo ... Mtoto katoka damu mdomoni na puani na sio kawaida yake bado tu ushutuki jamani😫😩na hii sheria ya kupiga watoto ipigwe marufuku Tanzania kote... Ni kheli kumpa mtoto adhabu lakini sio kumchapa mtoto wa watu ujui anamatatizo gani🤦🏽♀️
@shakilamasoud29833 ай бұрын
Daa mtoto Kapotea bila hatia 😭😭💔💔
@ailenyanthony15503 ай бұрын
Alikuwa na tatizo la kiafya, fimbo tumepigwa sana tena zaidi ya 50, poleni ndg jamaa na marafiki roho ya marehemu ipumzike kwa amani
@sophyodago50623 ай бұрын
Acha ujinga wewe,, fimbo uuua watoto kichapo kikizidi au akipigwa pabaya
@Kabwela7763 ай бұрын
Kuma ya mama yako mbwa wewe wakapige fimbo mama zao ingekuwa Mimi ningemuua huyo mwalimu ningelipa watu wamchinje shetani huyo
@sophiakimaro51743 ай бұрын
Acha ujinga kuna sehemu hazitakiwi kupigwa.walimu wetu kuna maeneo walioyokuwa hawagusi kabisaa.
@victorhabonimana90553 ай бұрын
@@Kabwela776mbona na ww unafaa kupigwa unatukanaje ivo
@Kabwela7763 ай бұрын
@@victorhabonimana9055 unaongea hivyo sababu sio mtoto wako ndio kuuwawa siku akiuwawa mtoto wako au ndugu yako ndio utaelewa uchungu wake, huyo mwalimu Ningekuwa Karibu ningeshawishi watu kumvamia na kumpiga Hadi kumuuwa au ndugu ni kumvizia na kumkupiga risasi ya kichwa mbwa huyo
@AishaHaji-jn7sg3 ай бұрын
Sasa muda wote kwanini asimpeleke hospital jamani huyu mama….!!😢😢Yaan mimi nikimuona wangu anamafua tu mbiooo hospital mtoto ana bleed toka katoka shule kweli jaman….sijaribu kulaumu Ila nasikitishwa tu Poleni sana familia kwa kumpoteza mtoto…Mungu akutie nguvu mpenzi wangu 😢
@Yusudav3 ай бұрын
Nilitaka kusema ivoivo..Asante kwa kuniwakilisha..Yaan huyu mama hakujiongeza kabisa
@beatricehenry67763 ай бұрын
Do maana Ni Mambo ya rohoni huyu mama alifungwa kote asijue la kufanya mzigo wa mwenzio Ni Kanda la Sufi pole dear wangu lisikie kwa mwenzio
@AishaHaji-jn7sg3 ай бұрын
@@beatricehenry6776 alifungwa na nani…?unataka kusema ni nguvu za giza….?
@stellashame75453 ай бұрын
Yani 😥
@claudiajames20033 ай бұрын
Yani we Mwalimu unakuja shule na stress zako za vikoba na mikopo,unakuja kunipigia mtoto wangu kama hivi mpk unamjua,Wallahi hata polisi hufiki tutamalizana!
@neemareuben3113 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢aiseeeee hii kitu skia kwa mtu km hiviii Pole sn mama😢😢
@paulpastory11933 ай бұрын
Bwana ametoa Bwana ametwaa jina lake Libarikiwe Ameen
@user-ej9sn1qq1p3 ай бұрын
Pole sana mama .wazazi tuendelee kujifunza tatizo linapotokea kufatilia kw karibu .
@christinefuraha15133 ай бұрын
Sio rahisi kupokea kama mzazi Hakika mtoto huyu alikuwa anachangamoto ambayo mama hakutambua mapema... saratani ya damu huweza mchukua mtu ghafla... Mwalimu alisimama katika nafasi ya kutoa adhabu ya fimbo kwa nia ya kujenga. Imekuwa tuu bahati mbaya kuambatana nyakati za hali ya ugonjwa... fimbo hizo angeweza kuwa amemchapa mzazi... Tuheshimu na kuwa na imani na wataaluma tulio nao... yapo mengi kujifunza tusitie chachu pasipo kuwa na uhalisia. Wanahabari mpate nafasi pia kuzungumza na wataaluma husika kwa ajili ya kuelimisha jamii na sio kujenga uchochezi usio na tija.
@shosemanjira90152 ай бұрын
Ile fimbo iligusa mships wa uti wa mgongo
@elizabethmassi73273 ай бұрын
leukemia damu inaisha haikai wanapewa hiyo damu iliyochuja ili isaidie kwenye huo upungufu wa damu na kuongeza plateletes kansa ya damu ina hivyo vyote anavyoelezewa na wataalam,kama alichapwa ni adhabu wengine walipitia ila bahati mbaya alikuwa na hiyo changamoto ya kansa ya damu kwa vyovyote huyo mtoto alikuwa anapata homa za hapa na pale ni vile mama mzembe
@sabamdekago3 ай бұрын
Mwalimu mkuu na mwalimu komo pamoja na DR wote walio simamia vipomo vya huyo mtoto wachunguzwe wawekwe chini ya ulinzi. Pls Waziri Wa Afya naomba ulifuatilie hili jambo hapo kuna janja janja zimetumika huyo mwalimu wa field ajulikane
@aishaalbalushaishabalush82912 ай бұрын
kwa serkal gani hiyo hadi wazir wa afya afatilie??😂😂😂😂
@kekiplus1andonly3 ай бұрын
Baadhi ya walimu wa field wanakuaga na viherehere sana,tumewaona wengi. ni sheria ichukue mkondo wake ili kufundisha wengine
@fatihiyadossa3753 ай бұрын
Nikwel sikuna yule mwingine mwaka juzi nazani alimuuwa mwanafunzi mwanza alikuwa ni mwalimu wa field wamezidi sasa jmn
@AishaMohamed-wh9bs3 ай бұрын
Jamani walimuuuu me mwanangu amepigwa Kofi na mwalimu jichoni kidogo jicho litoke
@ashurajengela39263 ай бұрын
Dah pamoja na uzembe wa mama ila hawa walimu hawa haki ya Mungu aniepushe tu ila nitakufa na mtu nitaenda jela kwa niaba ya uyo mwalimu 😢😢😢
@elizabethmassi73273 ай бұрын
Kcmc wanasema mtoto alipimwa alikuwa na leukemia na hizo damu hadi fizi puani hizo uvimbe ni dalili za leukemia mume wangu alizipata zote hizo, huyu mama ni mzembe alikuwa hafuatilii mtoto wake
@berthajacob34332 ай бұрын
si uzembe bwana yaan n kutojua na isitoshe mtu akiugua at kichw imezoeleka anapew Pcm maisha yanasonga that's why akamwambia aweke maji kinywan na kutema..... kwenda hospital mpaka awee amezdiwa wabongo bwanaa weee ni atar!! but inategemea na uchumi piaa elimu.🤒🤒
@anithiajohn92093 ай бұрын
Jmni mtot mdog wamekatil ndoto zake jamni wazazi na walezi tujitaid sana kutokupuuzia jambo tafadhar
@selemanisalum76853 ай бұрын
Mtasumbuka sana huyo mtto kuna nguvu za jiza ila mwalimu ikikuwa chazo tu huyo katolewa kafara km sio baba yke mzazi alioko iringa au babu mana sasa ni hatari maisha ya sasa watu hawana uruma 😊
@clintonmsafi263 ай бұрын
Na wewe kama huna cha kuandika ukae kimya saw sas baba ake amuue ili iweje labla mwezetu ndo umemuua mtoto wetu umemtoa kafala et baba ake au babu yake hzo ndo akili zako ulizonazo
@fatihiyadossa3753 ай бұрын
@@clintonmsafi26kwakwel uyu aliesema katolewa kafara ameongea utopolo ambao Ata hauusiani na hichi inamaan Yuko Dunia ipi uyu ajui walimu wa field wanavouwa wanafunzi kila sku
@emmanuelmashauri3 ай бұрын
Kuanzia hao madoctor mpaka mwalimu mpumbavu huyo wakamatweee.. Inauma sana aisee 😢😢 huo ni uzembe kwa madactari hawako vzr wanatuua tu jmn daah😭😭😭
@hamidkololeki50093 ай бұрын
Usikurupuke madaktari wanafanya kaz kwa matakwa ya kitabibu na c kwa jnc unavyotaka ww
@luciacosmas-nq8lv3 ай бұрын
Wazazi musiwe na ukali na watoto wekeni urafiki na watoto ili vitu vibaya vinavyo wapata waseme aisee nimeumia Rest in paradise Jonathan😢
@user-op8tz6vj3g3 ай бұрын
Pole sana mm jaman uyo mwalim achukuliwe atuwa za kisheria.
@hildakimaro-we6mb3 ай бұрын
Pamoja na hali ngumu ya maisha mama mzembe unaiyona damu unatulia kweliii😢😢😢poleni jamani
@Kabwela7763 ай бұрын
Mngemsaka huyo mwalimu na kumshushia kichapo Hadi kumuuwa au mama tafuta mtu mwenye bastola amvizie na ampigie risasi ya kichwa Na kumuuwa!
@FlorenceMuthon3 ай бұрын
Pole mama,wazazi tusiwe wakali sana qw watoto dio watuabie ukwel na walimu wasilete tress qw watoto wetu
@user-xp6xw8fy8o3 ай бұрын
Yaaani Hawa walim wana bahati ninge zaa na yeye Adharani uni pigie mtoto wangu af uko hai mpka saivi wewe mwalimu oooh kama ungeishaji chimbia kaburi kwetu mbya nzuri aniii
@hawaabdi62093 ай бұрын
Mama ana uzembe ila madaktar ndio wazembe zaid hyo ilikua n emergency kwa maelezo ya huyo mtoto tumbo kujaa mojakwamoja tumbon kulikua na shida kwahyo mtoto alitakiwa angizwe kwenye upasuaji yan hao madaktar nao wamechangia kifo cha mtoto pumbavu sana mxuuuu
@user-vn6so3on7z3 ай бұрын
😮😊😊jamani mtoto mdogo kwakweli dunia imekwisha
@nsiamasawe45783 ай бұрын
Hicho ni kifo cha mashaka madaktari walete udhibitisho. Kwa nini mtoto achapwe shule na atishwe kiasi cha kushindwa kumwambia mzazi?
@jacklinakinabo64793 ай бұрын
Poleni,,,pumzika salama mtoto mzuri,.Nashindwa kuelewa ni fimbo tu jmn?? Au kuna jambo jingine nyuma ya pazia? Na kwann huyo mtoto alimwaga babu jmn, kuna nn na huyo babu au ndo mtoto alikua kamzoea sana
@user-df9vn1tc5o3 ай бұрын
Nguvu za Giza naiyoo!! Mwalimu ni kama daraja tuu
@achenikigava2 ай бұрын
Ila duniani kina mapito jamani. Jambo likiwa kwa mtu mwingine ni rahisi sana kusema ningekuwa mimi ningefanya hivi, kumbe lingekukuta huenda usingejua cha kufanya kwa haraka japo inaonekana mama alikuwa mzito kuchukua hatua za kwenda hospital saa nyingine kipato na madaktari nao siku hizi hawatibu mgonjwa bila hujalipa kiasi kilichotajwa yaani ni Mungu tu amebqki wa kutusaidia.
Omba Mungu yasikukute maana hata kugombana hutawez
@judithminja63863 ай бұрын
IYO nguvu Sasa utakua nayo😊
@pendomushi63513 ай бұрын
Huyo mwalimu Mungu anamuona kakatisha maisha na ndoto za mtoto mdogo jamani inauma Sana sijui alimkosea Nini kikubwa hvyo kiasi Cha kumpiga mpaka kumpelekea umauti 😢😢😢😢😢
@halimamusaamiri41873 ай бұрын
We mzazi mkali sanaa ndiyo maana ata mtoto ameshindwa kukueleza mzazi inabidi mtoto umkague mtoto kila anapurudi nyumba laki pole
@user-yv7xg4em4s3 ай бұрын
Ila mama wewe mzembe damu zilimtoka hivo hata hospital usimpleke
@florenciajacob54633 ай бұрын
Kabisa my dear😢😢
@user-tt1nm9xs4n3 ай бұрын
Uon maisha yake magumu
@Carolina-sm5zt3 ай бұрын
Hospitalini ni hela tena utakuta hata bima ya Afya huna na ndani pesa hamna
@toptopress49093 ай бұрын
Hatakama hospitalini ni hela, mpeleke tu.
@frankchuwa49623 ай бұрын
Wewe hujui mazingira ya huyo mama,yeye hali yake ni duni sana elewa hata pesa ya kumpeleka hospital hakuwa nao. Tatizo ni huyo mwalimu kwa nn hajachukuliwa hatua na wanajaribu kumlinda huyo mtuhumiwa.Pia kwa nn Madoctor walimfanyia postmortem wakati ndugu wa huyo mtoto hawakuwepo? Kwa nn mnalichukulia kwa wepesi sana hili jambo au kwa vile ni mtoto wa maskini?
@user-mw5xs2wx8n3 ай бұрын
Walimu Walimu Walimu jmn munashida gani walimu wasikuizi si mlisomea wenyewe hiyo fani lakini
@levinaedrmf2 ай бұрын
Pole sana mam ,ila jaman inatkiwa tukae karibu na watoto wetu
@najmasalim-rg6ow3 ай бұрын
Daaah! Hivi hawa walim walio ajiriwa hawaon ukatil unaofanywa jamn
@RachelMethod-rt1qx3 ай бұрын
Pamoja na huyu mwalimu kupiga huyu mtoto, lakini pia kulikuwa na roho ya mauti unamuwinda huyu mtoto hyo imekuwa nisababu ya kifo chake, Mungu Awalinde watoto wetu
@brunobalama60463 ай бұрын
jaman wazaz mjifunze kutokana na uzembe wa mzaz mwenzenu huyu ...hata kaama huna hela omba msaada kwa watu mungu atakusaidia kupitia ukarimu wa watu ..... nimejisikia vibaya sana mama umefanya uzembe mkubwa sana ....but all in all mungu amlaze mahala pema peponi huyu mtoto 🙏
@user-gs6dy8uc2r3 ай бұрын
Jamani Walimu wakumbuke wao ni walezi.kumchapa mwanafunzi kiasi kwa kumrekebish na cyoo kupiga km wanauwa heee.
@carolynemokono87823 ай бұрын
Pole sana mum.Mungu akushikilie na neema yake
@didimeandrewngowi3 ай бұрын
Mwalimu wa field?? Ni mwalimu gani huyo?? Ni mzazi kweli anauwa mtoto wa watu kwa ushenzi wake, serikali vyombo vya haki za binadamu analieni uonevu huu, sisi wananchi tunataka kujua hatma ya huyu mwalimu asiyejua maana ya taaluma anayojifunza achukuliwe hatua stahiki. HAYA NI MAONI YANGU BINAFSI TU.LAKINI SHERIA ICHUKUWE MKONDO WAKE.
@pendomkumbo82623 ай бұрын
Mwanamke mwenzangu wewe ni mzembe kabisa na hauko karibu na wanao
@maureenmuhenje9163 ай бұрын
ukweli kabisa hii mda yote no big noo
@pendomkumbo82623 ай бұрын
@@maureenmuhenje916 yaaan watoto wanakueleza hali ya mwenzao we unaendelea na shughuli zako ,Mara panadol Mara kuloweka kichwa kwenye maji wakati unajua iyo hali haijawahi mtokea mwanao? aiseeeeeeee ! Binafsi hunambii kitu kwa wanangu .....wao ni kipaumbele kuliko chochote kile haswa kwenye usalama Wa afya zao....hata siwezi lala fofofo bila kwenda kuwatizama mara mbili mbili vyumbani mwao,Sijui nawazaje aisee kwa huyu mwanamke mwenzangu.....ngoja nibaki nayo moyoni
@andrewmallya17043 ай бұрын
We unajiongelesha tu....mtoto mwenyewe alikua anaogopa kusema kwa hiyo mama wala hana kosa ata kama ingekua siku 3..inaonekana alitishwa asiseme
@maureenmuhenje9163 ай бұрын
@@andrewmallya1704 no hakuna kitu kama hiyo huyo mama n mzembe kwa kitu inaitwa damu hiyo n direct kwa daktari ama call ur neighbour akuangalie please kuna vitu zengine c zakunyamazia
@GodJakobTash-mu9zf3 ай бұрын
Dah kwa syle hii lazima nijeniue mtu akiamungu, pole mama.
@Carolina-sm5zt3 ай бұрын
Mungu ailaze Roho yake mahali pema
@onyaluoma8483 ай бұрын
Pole Sana mama Jon ila usikubali kuzika mtoto hadi ukweli ujulikane, Yule mwalimu asshikwe mwanzo
@tuikezeezra13153 ай бұрын
Hivi Walimu walioko Field huwa Wana mashetani au shida nini!! Sasa huyo mtoto mdogo kakosea nini mpaka kupigwa hivo!!!🤔🤔🤔
@petermanala61383 ай бұрын
Na kama anamfundisha haelew angemuacha Kwan wake
@mariakalama30143 ай бұрын
I feel bad about the story but praying to god almighty and protect you and give you strength 🙏
@emmymgana53713 ай бұрын
Mungu wangu jamaaaani 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 najaribu kuvaa viatu vyako dada havinitoshi cjui ni maumivu yaaina gani unayo pitia. Had nmelia wallah pole mama jonathani pole sana dada 😭😭😭
@merabubirakashekwa3503 ай бұрын
😨 sijui kama naweza kuandika chochote cha maana kwa Sasa 😭😭😭💔💔💔. Kweli Hii ni issue ya kushughulikia kwa wepesi hivi? Kweli? I’m hurt to the maximum. Wananchi wakichafukwa wakajichukulia sheria mkononi wanaonekana wavunjifu wa sheria. Katika hali kama hii na miyeyusho hii , unategemea mtu afanyeje?
@HanifaOman-oo4pl3 ай бұрын
Inalillahi wainailahi rajuun. ..pole mama Allah.akupe subra
@paulntalima69983 ай бұрын
Haya ndio matokea ya serikali ya CCM na sera mbaya ya elimu watanzania tuamke
@rehemaomary34933 ай бұрын
ACHA ujinga wewe Sasa Ccm Imeingiaje hapo. Ka senge na wewe.
@edvesterdamas30613 ай бұрын
Mama na wewe ulikuwa mzembe sana, ulishindwa kumuwahisha mtoto hospitali kweli 😢😢 Yani siku hiyo hiyo usingelala na huyo mtoto ndani. Wazazi wengine bana
@tumainimgonja28263 ай бұрын
Waziri wa afya Tuma timu ya uchunguzi madaktari wamechangia kifo cha huyu mtoto naomba Tafadhali wote walio mhudumia wawekwe kwenye uchunguzi tunaomba hii haukubaliki madaktari wamechangi hili
@toptopress49093 ай бұрын
Mtoto ametokwa na damu siku zote izo anapelekwa dakika za mwisho, alafu unalaumu madaktari??
@user-is4xo4pp8v3 ай бұрын
Pole sana Mama jamani, hawa waalimu jamani. Nataman hadi mtu asome ualimu wachunguzwe. Na huyo mwalimu akamatwe
@robertmsukwa84663 ай бұрын
Binafisi mtoto wangu kupigwa na mwalimu kiasi cha kupoteza maisha hiyo nailipa kwa gharama yoyote na kwa njia yoyote ile siwezi lizika na upuuzi wa mwalimu mmoja asiyejua nini maana ya kuzaa lazima afe anajiona hiiiiiii😢 labda sio mimi
@ednagodson75403 ай бұрын
Siku ikifika wallah uzito unakuwepooo mama unakaa n mtoto unalala nae na dam zinatokaa au alikuwa ana kawaida ya kutoka dam Walim msichapee watotooo wengi waanaumwaaa ukute alishaaanza kuumwa zaman jaman uwiii😢😢
@honestandakidemi23323 ай бұрын
Mungu akupe NGUVU mama,da nmelia sana
@uwezawamungumkuu.amaniafrika3 ай бұрын
Shinda nini jamani?. Kwanini tuue watoto wetu?. Uyo mwalimu anataka nini?. Pole sana mama.
@elizabethdamas-zp9xl3 ай бұрын
jamni mi naona kwa sas maji yameshamwagika tusimlaumu uyu mama sababu maumivu aliyo nayo kwa sasa sidhan kama kuna mtu anaweza akavaa kiatu chake ,Mungu tu amtie nguvu na cha msingi tusiache kwaombea watoto wetu Mungu awalinde popote wanapokua shetan halalagi tukumbuke ilo anaweza kumtumia kiumbe chcht kile kufnya tukio na kikubwa zaid naona fimbo in zikatazwe kwa sas mashuleni aiseh maana aiseh swala la mtt kufa ni jambo jingne duh 😢😢😢😢😢😢
@user-nb6cd7rx6v3 ай бұрын
Pole Sana mama😊
@user-br4tl7jv9j3 ай бұрын
Yan mama alikuwa anamlaza tu mtoto na dam zinatoka hashtuki? Mm mtaa mzima ungejua aiseh 😢😢
@florafaustine46373 ай бұрын
Yaani hata Mimi nilikuwa nawaza hivo hivo😢
@frankmoshi52943 ай бұрын
Mtaa ndo unatibia
@andrewjuma24853 ай бұрын
Inauma sana
@user-dl1ju4ge3x3 ай бұрын
Mungu ailaze roho ya mtt huyo Mahali pema pepon😭😭😭😭inauma sana
@NicksonMganyizi2 ай бұрын
Jaman jaman.😢😢😢 Mungu ailaze roho mahali pema peponi inauma
@esterabonga79473 ай бұрын
Wazazi waki Afrika tuwe na bidii zakuwafatia watoto sana nakuwaoji kwa undani pale tatizo linapo tokea na unapo muona mwanaona ayupo kwenye hali yake ya kawaida. Ila pole sana kwa familia
@hellenmassawe72843 ай бұрын
Yaniii wewe dada kwe kweli sijui
@MaryNikodem2 ай бұрын
Pole sana dad's angu mungu hakutangurie
@umiy19713 ай бұрын
Unamchapa mtoto hadi anatumbuka damu kwa ndani ? Huyu hakuwa mwalimu alikuwa ni jambazi na Muuwaji
@fatumamakoye57113 ай бұрын
mim mungu anijalie busara nikianza kusomesha maaan naenda na panga uko shule yani kumlea mtoto mpk afike umri huo afu mtu anakuja kumuua
@user-zv9td4ni4n3 ай бұрын
Jaman jmnn,kama mtu hana wito asivamie Kazi,huu ni ukatili Jmn😭😭😭😭😭
@stevennenelwa31923 ай бұрын
Binafc sielew hapa kuna shida gn mtt alikua na shida gan shida ni fimbo za mwalim au kulikua na shida nygne kwa mtt
@paulabelleghe4513 ай бұрын
Oh mtoto alikua na tatizo la kiafya,sema ndo siku ya balaa imemfika huyo mwl,Walimu acheni kuchapa watoto wengi wanamatatizo ya kiafya dah pole Sana mama Johna
@bennamush46163 ай бұрын
Hata mie nimeliwaza hilo
@user-yv7xg4em4s3 ай бұрын
Ila sidhani kama anamepigwa atoke damu hivo kweli.mwal hawezi kupiga hivo.wewe mama mzembe
@ziggertv31853 ай бұрын
Kumbeka kagusa uti wa mgongo na watoto wengine wanamatatizo na piah kuna sehemu za kuchap
@toptopress49093 ай бұрын
Mlimchelewesha sana kumpeleka hospitali, dah??
@Kabwela7763 ай бұрын
Daah roho imeniuma sana yaani nchi haina serikali naona watu waanze kuchukua sheria mkononi yaani huyo shetani amedhulumu maisha ya mtoto , Na viongozi wako kimya 💔💔💔💔💔💔💔💔
@neemarabani3 ай бұрын
Mungu naomba uwalinde watoto wetu. Nyumbani mabiti wanawatesa pasipo wazazi kujua mashuleni ndio Kama hivyo mtaani wanajisiwa na kulawitiwa EeMungu wetu wasaidie watoto wetu
@user-df9vn1tc5o3 ай бұрын
Okoka haya yataisha
@rehemadaudi43903 ай бұрын
Maisha yanatufanya tunashindwa kuwa na. Makini na watoto wamama tijitahidi na Mungu atisaindie
@HamisMghuna-fj3vz3 ай бұрын
Walimu kila mwaka wanaua watoto x bukoba x Lindi moshi n x2 sasa, serkali, Iko wp,hilo bunge lina kaz gan Dodoma,
@hidayaswai31193 ай бұрын
Mama pole. Mungu atalipa hili tunamuomba
@user-br4tl7jv9j3 ай бұрын
Walimu walimu walimu walimu nmewaita kwa msisitizo 😢😢😢mtakuja kukutana na wazaz waliovurugwa hamtoamin mashuleni 🙌🙌🙌🙌🙌
@nixonjohnson49083 ай бұрын
Nakwambia mimi mtoto wangu apigwe tu atoke damu kwanza shule ataacha na hiyo shule siyachagua mwalimu wa kuazibu .. ni mmoja baads ya mwingine sitahitaji hata 10ml nata dogo mpya sio story...
@elsonmachaobed6450Ай бұрын
Hawa walimu kila siku wanaona haya matukio au kuyasikia kupitia vyombo vya habari kwa nini hawajifunzi tu.
@steramwanakira71833 ай бұрын
Pole sanaaa
@AnnaSangamungunimwematunabarik3 ай бұрын
Hiv walimu mna shida gan
@MellanieKay3 ай бұрын
Poleni sana
@hassankongolilo84083 ай бұрын
fimbo ziwe marufuku shuleni. mbona wenzetu nchi zilizoendelea hawachapani. huu utumwa wa kuhalalisha kuchapana mpka lini jamani. sisi ni wanadamu sio ng'ombe. afrika kweli hatujitambui pumbaff
@user-df9vn1tc5o3 ай бұрын
Madokta wa KCMC wengi ni chipukizi,watu wanakuja Kwa uzembe,Mungu atusaidie mnoo