Hongera dada kwa ujasiri ulionao, unyanyapaa ni ujinga pia ni imani potofu, ingawa watu bado ni wagumu kuelewa hasa watanzania, wamejaa kukejeli tu na dharau
@AsteriaMontgomery16 күн бұрын
Hongera dada kwa kuelimisha
@najatramadhani63005 ай бұрын
Hongera dada mungu azidi kukupingania😊
@zainab82515 ай бұрын
Nakupenda sana dada MUNGU akujalie maisha marefu uendelee kuelimisha jamani ❤❤❤
@JenifaJohn-k5d5 ай бұрын
Watu wana view tu hamana hata like.....anyway hongerah dada ww ninshujaaa
@JacqDaniels-hu5xj5 ай бұрын
@@NeemaSamson-ti8pcnaona hunajamuelewa mwenzio soma Tena coment yake
@NeemaSamson-ti8pc5 ай бұрын
Sorry mwaya kwa hiyo coment nimekosea stres nyingi
@NeemaSamson-ti8pc5 ай бұрын
@@JacqDaniels-hu5xj daaah aiseee kweli bwana cijui ni haraka
@MajaliwaMhungati2 ай бұрын
Pole saana pia hongera saana...wewe ni shujaa
@zaituniendaloveyoutanasha.12585 ай бұрын
Nakupenda sana cherry wangu mungu akutunze ❤
@asteriashios18525 ай бұрын
Hongera ni kweli kabisa ni mfano wa kuigwa watu km unavyo tumia Arv tii mashart jitambue jitunze utaishi muda mrefu sana
@ibrahimkasim9225 ай бұрын
Hongera dada
@JeanneManirakiza-tg4kr2 ай бұрын
🇧🇮🇧🇮 nakupenda dada
@Babygirl7585 ай бұрын
ana ngozi nyororo hana hata doa, allahuma Barik
@lilianwaflotina12885 ай бұрын
Kuugua siyo kufa mungu atskusaidia
@Lulucut5 ай бұрын
Wewe mzima😂😂😂
@gracemil97145 ай бұрын
Nakupenda
@ezronhussen54015 ай бұрын
❤❤❤nakupenda sana da cherry 😊
@neycoleclassic44265 ай бұрын
Cherry ❤
@matrida.lunyilija51965 ай бұрын
Hongera sana ,tuwekee no sasa tuwasiliane na wewe
@gracebuhatwa63592 ай бұрын
DEO good person niliwahi kufanya naye kazi
@darajalakidatukilomgi23625 ай бұрын
Dada wewe ni shujaa, hongera sana, kwenye Elimu ungeongeza na kipengele cha ubakaji umekua mwingi mavyuoni, mashuleni, majumbani, wanaume wabadilishe tabia kubaka kunazidisha maambukizo
@MwanadiRajabu5 ай бұрын
mm nilikuwa naitaji kuonana nae
@NeemaKwingwa5 ай бұрын
Ayo huwa anatoa taarif zamaana nazakwel hatafut kik
@shafiismaily92235 ай бұрын
Ugonjwa siyo kifo!! Kila mtu atakufa kwa wakati wake!! Ni wangapi wamekufa bila kuumwa!? Tambua hilo?
@MrMr-fr9dx5 ай бұрын
Mm nataka namba zako dada
@vickysimon54594 ай бұрын
Ofisi zenu za nakopha kwa hapa dar ziko wapi
@AmAl-x9j5 ай бұрын
Kwani kua na ukimwi ni ajabuuuu
@kajalamaganga19135 ай бұрын
❤❤
@angelrichard8995 ай бұрын
Nakupenda xana cherry MUNGU AKUBARIKII XANA.....
@elizabethdanford5 ай бұрын
Naomba namba zako
@ZephaniaChomola-du5vj5 ай бұрын
Ubarikiwe
@ReginaErnest-cf6ji5 ай бұрын
Congratulations ❤❤❤❤
@boscokikoti5 ай бұрын
Ww ni shujaa...nakupa maua yako
@Onlyforfun1992tube5 ай бұрын
Naomba namba nijaribu nahisi sitopata ngoma
@NeemaSamson-ti8pc5 ай бұрын
Acha kumdhihaki dada wa watu pia acha dharau
@Asiamohammed13175 ай бұрын
Uzuzu sio lazima kuokota makopo boya wewe uliambiwa yupo kwenye majaribio kubwa zima ovyooo
@Lodrickmwambene5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@Asiamohammed13175 ай бұрын
@@Lodrickmwambene analeta ungese kwenye maisha ya watu sijui lina heartbreaking 😳😳
@philibertphilipo95695 ай бұрын
Nyie bila kupewa hela mnafanyia mtu Interview acheni uboya
@husseiniddy54013 ай бұрын
ukiangalia tu kwenye mtandao unaweka bando nikama unawalipa
@2116-n2 ай бұрын
Jamaa Hawa ukiwaona wanafanya interview unaweza kudhani ni bure, hizo wanaofanyiwa interview WANAKUWA wamelipia, KUPATA interview ya Bure labda uwe umekutwa na tukio ambalo wao watauza habari km ajali, kuibiwa n.k
@2116-n2 ай бұрын
Hivi huyu si ndio yule alimpiga chini yule jamaa yetu aliyekubali kumuoa licha ya kwamba anamaambukizi, au namfananisha
@IsmailMajani5 ай бұрын
Daa kama alibakwa na watu je walichukuliwa hatua Gani?
@ramlahaji8302 ай бұрын
Hatua gani ?? Na watu walikimbia + Hawakupatikna
@gasparlubaga58665 ай бұрын
Huyu dada ni wamfano wa kuigwa
@hallin95615 ай бұрын
Ukimwi unadawa majameni kazi kuziendekeza ARV Tu
@openglo5 ай бұрын
Wazikudanganye matapeli akuna dawa ya ukimwi.
@ramlahaji8302 ай бұрын
ARV ndio tiba sahihi ww- Jielimishe- Na usiwe Mjinga
@bienvenukichambaomar50675 ай бұрын
Ukimwi una dawa kwa sasa
@NeemaSamson-ti8pc5 ай бұрын
Ndio dawa ipo ila tatizo tumeshikiwa akili na wazungu
@fatmazullu49335 ай бұрын
@@NeemaSamson-ti8pchawataki kusikia kabisa hizo zingine
@NeemaSamson-ti8pc5 ай бұрын
@@fatmazullu4933 ndio hapo sasa figo zinazidi kuharibika na ini
@openglo5 ай бұрын
@@NeemaSamson-ti8pcusidanganywe wewe akuna dawa muombe Mungu yasikukute.
@NeemaSamson-ti8pc5 ай бұрын
@@openglo sio kwamba nadanganya hakuna ugonjwa usiokuwa na dawa sema tumeshakaririshwa hivyo na wazungu kuwa hakuna dawa, ila suluhishi lipo, mi naamini hakuna tatizo lisilo na utatuzi hapa duniani ni sisi wenyewe waafrica tunaamua kushikiwa akili na wazungu wakati kuna miti ya kila aina na mimea ya kila aina we unadhani mungu aliumba ya nini? Miti hiyo au dawa za asili ni muhimu sana kuliko hizo dawa za kunywa kila siku ambazo zinaua figo na ini, upo?
@rashowshine78495 ай бұрын
Shida siyo ukimwi shida ni kumeza hizo ARVs kila siku tena bila kupitishanisha masaa 😢 kama hizi za mafua yakipungua kidogo unasahau kama kunakumeza dawa
@NeemaSamson-ti8pc5 ай бұрын
Hapo ndipo adhabu mtu anatumikia kibaya zaidi hizo dawa zinaenda kuua figo na ini taratibu
@khadijabakari29325 ай бұрын
Hauwezi kusahau kama mtu unaumwa aiseee unaweza ukala dawa hata kabla ya mda😊😊😊
@Brawgirl2 ай бұрын
@@NeemaSamson-ti8pcmmmh acha kupotosha watu ety zinauwa figo wapi
@NeemaSamson-ti8pc2 ай бұрын
@@Brawgirl ni ukweli sio kwamba napotoaha watu
@SalmaMoris-d5rАй бұрын
Haziuwi figo wala ini usitishe watumiaji ,maana hakuna anaetaka yamfike ila ni mipango ya mungu tu likukute @@NeemaSamson-ti8pc
@franktangeki93425 ай бұрын
kafikia stage Virusi vya ukimwi Vimelala anaweza kufanya mapenzi na mtu mwingine.Jameni ebu nitumieni picha ya virusi vya ukimwi vikiwa vimelala ndio ntaamini si tuna wataalamu muhimbili wakuweza kutueleza kama virusi viko macho au vimelala ?
@lickymaker58575 ай бұрын
😂
@vickysteven11725 ай бұрын
😂😂
@HamidaMwenje5 ай бұрын
😂😂😂
@dorcassalvatory15185 ай бұрын
Ukitumia vzr dawa zako Kuna stage ikifika hauwez kumuambukiza mtu yyt yule