Kama na wewe unatamani sana hekima ya Mh, Rais Dr Samia Suluhu Hasain impendeze zaidi amrudishe Mh Jerry-Slaa katika wizara ya Ardhi naomba like nyingi ili tuandike barua kwa Mh Rais wetu.❤
@abuusaid3297Ай бұрын
Safi sn dc, pia bora silaa arudishwe wzr ya ardhi,kwanini ametolewa kulikoni? wakati nijembe kwelikweli😢😢😢
@kafitiwilliam8358Ай бұрын
Safiii sanaaa
@JumaRamadhaninjamaАй бұрын
Honger mh mkuu wa wilaya
@richardnganya2311Ай бұрын
Sasa Mh. J. Slaa ametolewa kwenye wizara.. Hapo angekwenda kufanya ziara eneo la tukio na kutoa majibu yenye ufumbuzi.
@GibsonNtamamiloАй бұрын
Kwakweli Mimi binafsi kuondolewa kwa Jerry Slaaa ni mapema mno angemuacha Hadi uchaguzi 2025
@ourearthmatters5206Ай бұрын
Mkuu wa wilaya yuko very disorganized
@DeoKimbe-gt4opАй бұрын
Namuomba mh raisi kama itakupendeza umludishe jeri sila ardhi
@aboudasilver6541Ай бұрын
Anajitaidi huyu kiongozi mainshaallah
@EshaMichael-zw7ziАй бұрын
Jaman magoti kana nawe
@wamadenzatv4174Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 ila dc aise anavituko uyo
@ramadhanimtetu3656Ай бұрын
Safi sana Ayo TV kwa kusaport kazi za DC wa kimataifa
@sofiamsuya2254Ай бұрын
Hahaha askofu kanisa gani inabid utaje maana 😂😂
@BeniJohn-xd3cnАй бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@josepherjosephpaul1138Ай бұрын
Nenda taratibu km ni askofu wa kweli na km hana kosa. Neno la Mungu linasema msiwaguse wapakwa mafuta wangu. Wakikunenea baya km umewaaibisha na kuwashushua bila sababu ni balaa mpaka kizazi cha nne
@SonofJacol-t6hАй бұрын
Muendelezo wa hicho kikao kzbin.info/www/bejne/j6acZ6OqgtFrqbcsi=9aK5FWnHMKb9Eiki Usisahau kuwa hata Yesu aliwaumbua hadharani Mafarisayo na Masadukayo (waandishi) na walikuwa viongozi wa kiroho wenye heshima kubwa wakati ule.
@andreapesambili7981Ай бұрын
Dc,kuwa makini na maneno yako,kasi yako siyo nzuri,uongozi,ni busara hasa kwa unao waongoza lazima uwe makini sana kwenye matamshi ya lugha,fuatilia jambo kwa kina usihukumu kwa mihemko na acha kuchezea viongozi wa dini kuongoza halaiki ni kazi ngumu unafikiri ni vikao vya ndani,vinginevyo hicho cheo ni wazi hakikutoshi huo ndo ukweli
@SonofJacol-t6hАй бұрын
Muendelezo wa hicho kikao kzbin.info/www/bejne/j6acZ6OqgtFrqbcsi=9aK5FWnHMKb9Eiki Usisahau kuwa hata Yesu aliwaumbua hadharani Mafarisayo na Masadukayo (waandishi) na walikuwa viongozi wa kiroho wenye heshima kubwa wakati ule.
@athanaskitime1484Ай бұрын
Kumkemea na kumkalipia huyo askofu mbele ya halaiki ya watu kama si kweli DC inaweza kuja kukuponza, what if kesho ukaja kugundua alikuwa sahihi na umesha mzalilisha? Kiongozi unapaswa kuwa msikivu fatilia kabla ya kufanya maamuzi kwenye public.
@SonofJacol-t6hАй бұрын
Muendelezo wa hicho kikao kzbin.info/www/bejne/j6acZ6OqgtFrqbcsi=9aK5FWnHMKb9Eiki Usisahau kuwa hata Yesu aliwaumbua hadharani Mafarisayo na Masadukayo (waandishi) na walikuwa viongozi wa kiroho wenye heshima kubwa wakati ule.