Bonyeza apaa #djsonjo# kisha like comment $subscribe Ntakusaidia kuongeza subscribers 10 na like40 thank YOU for supporting
@fadhilirajabu79254 жыл бұрын
Mh rais ana saut mzur akiwa anaimba
@TheSalama25254 жыл бұрын
Happy birthday Mr Jakaya
@dance_with_conso74564 жыл бұрын
😂😂😂😂😂this man haishiwi vituko jamani
@eyumededu29484 жыл бұрын
Raha kumskiliza asee
@ismailyusuf36294 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@Mpakauseme4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@rehemakulwa16934 жыл бұрын
Happy birthday to you 🎂🎂🍼🎂🍼🎂
@tabusalum13184 жыл бұрын
Hongera mkuu
@rosedaniel19814 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣so funny jmn tunakupenda raisi wetu
@ibratanzania13284 жыл бұрын
Mwimbaji Jamaniiiiiiiiiii😀😀😀
@juliethhouseofdesigns1474 жыл бұрын
Happy birthday mzee Kikwete, Mwimbishaji sasa🤣🤣
@tanzaniatouristsattraction16224 жыл бұрын
Jaman lafudhi mtihani
@lavianaalbert90384 жыл бұрын
Shida nini?
@joshuamkunda19814 жыл бұрын
Tatizo ngel
@maryodrwebandiza20564 жыл бұрын
Ni kusema haujaelewa au???
@juliethhouseofdesigns1474 жыл бұрын
@@joshuamkunda1981 anajua sana ngeli mbona, ata hivyo ngeli ni lugha kama kinyakyusa
@bentakinya79434 жыл бұрын
Happy birthday 🎂
@bjzee19814 жыл бұрын
Mange Kimambi njoo huku. Happy birthday ina imbwa ila maneno yametukatikia njiani
@kimwerionlinetv55744 жыл бұрын
Happy birthday mzee jakaya
@daslamonline46654 жыл бұрын
Happy birthday mheshimiwa jk.
@jeremiahzacharia76554 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 mke anajua tarehe ya jamaa kuzaliwa
@ashooraashoora11804 жыл бұрын
Hahaaaaha nimeipenda mmmmmno 🎈🎈🎈🎈🎈🎂🎂🎂🎂
@ramadhaniabdi95304 жыл бұрын
Hongera Kwa Kuongeza Namba Nyengne Mzee Wa Msoga
@eliudijastini6454 жыл бұрын
😂😂😂😂😂mzee anatakakujua mke nakikwete kunanini
@HARIFHODARI4 жыл бұрын
Hapi bethdey
@kasimujumannekipemba37324 жыл бұрын
Hbd
@najmasaleh92314 жыл бұрын
Safi sana imependeza kwa wimbo hongereni sana
@MZEEWABUSARA.2354 жыл бұрын
Bonyeza apaa #djsonjo# kisha like comment $subscribe Ntakusaidia nawewe kuongeza subscribers 10 na like40 kwenye channel yako thank YOU for supporting
@bongo255tv74 жыл бұрын
Epi bedhideyi tuyu au hodi Yuna 🤣🤣🤣
@adrofgwahula72944 жыл бұрын
Kwa raha et wapinzan waingie ikulu mamaee
@amanisuleiman17324 жыл бұрын
Kata cake Ccm, Ccm oyeeee.
@toongames76784 жыл бұрын
Nimefarajika sana tulioshallow tuko wengi😁😁😂
@nunuuali53164 жыл бұрын
Hepi besidei to uuuu, hepi besidei to uuuu, daaah kinge jaman kinge
@mossymtwana64224 жыл бұрын
Lafidhi ya kisukuma ni sawa na wanigeria bora hata Magu hata kiswahili pia kinamshinda Raha anasemaga Laha kufurahi anasemaga kufulai Kwake yeye R haipo ana L tu basi
@haido.994 жыл бұрын
Mbona nimeona sura km ya mzee mkapa ivi ni macho yangu tuuh au 😢😢😢
@aminamgaya75114 жыл бұрын
Waoooo fantastic
@d.a.t33834 жыл бұрын
KWA mini WASINGEMUIMBIA KIKWERE AU KISWAHILI LAKINIII
@@lavianaalbert9038 wewe hapo au unaona wivu na wewe
@neemachitema89304 жыл бұрын
@@julianamasunga700 ahaaa kumbeee sikulijua hilo🤷
@queeneva37094 жыл бұрын
Abaaah......Baba Magufuli vipi baba yangu mbona unamuachia maswali Kikwete. She is secretly admiring him 🤣🤣🤣🤣 okay kama rafiki naomba twende sawa.
@congoboymbeyas24404 жыл бұрын
How old diyu now 😂😂😂 magufuli mwimbishaji
@mcibralipuli6404 жыл бұрын
Happy birthday to you Jk
@MZEEWABUSARA.2354 жыл бұрын
Bonyeza apaa #djsonjo# kisha like comment $subscribe Ntakusaidia nawewe kuongeza subscribers 10 na like40 kwenye channel yako thank YOU for supporting
@eliamwankenja70874 жыл бұрын
Mungu Mkuuuuu
@naylamohamed5174 жыл бұрын
Aawww cuteeee 💋
@imsimk.khamis5744 жыл бұрын
Tumuimbie Hapi Bithiday to you
@khalidballeth59574 жыл бұрын
Duh😳tumepishana siku 1 mi na Jk😀ye tar 7 mi tar8😀
@kheirmbarouk83734 жыл бұрын
imeisha iyo
@denisimaliyaweni91834 жыл бұрын
Mzeee hajui kuimba
@Mc_Kibonge_Mwepesi4 жыл бұрын
Kwani Lissu angeweza kufanya hivyo🤣🤣🤣
@sesiliaumbela39844 жыл бұрын
Acha ushakunaku lisu anatokea wapi huku kirakodi wewe
@samsontimotheo26114 жыл бұрын
Unafurahisha kweli
@saleheabdalah65354 жыл бұрын
Wanajuana hao
@danielutou86944 жыл бұрын
kuitamka kaz mh Tanzania Tuna kaz kubwa sana na huyu jamaa
@eliamwankenja70874 жыл бұрын
Mungu mkuuu
@leilatsangali39454 жыл бұрын
Nimecheka kwa sauti🤣
@pascalnewstv54394 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/eqW3e2asa9KHiJI.
@izrajoseph14064 жыл бұрын
Tufahamiane tuliosikia mzee akipata shida kutamka old
@sundyjohn63354 жыл бұрын
Huo ndio utanzania jpm
@bjzee19814 жыл бұрын
Sasa hiyo hepi bethiday mbona isi imbwe kwa kiswahili
@mohamedbinfadhil13964 жыл бұрын
Huyo ndio magufuli anaechukia akatafute kitanzi tu.
@jayjay43134 жыл бұрын
Lo, Jk kapewa dongo mpaka kapiga ile style yake ya butwaa🤣, eti ah! aha! 🤣🤣🤣🤣🤣. JPM anamatani ya ngumi ujue. 🤣🤣🤣, alafu akasisitizia tena mwishoni. Kumbe hata ukilindwa na taifa zima, swala la uaminifu bado halijatuliaga eeh. Lo🤣🤣🤣
@nasraabdallah8504 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣dah jmn sio mbaya saingine mnalifresh akin bana
@muddyaforeal11454 жыл бұрын
Watani hawa haya sawa
@kingkiwango14354 жыл бұрын
Nzur
@MZEEWABUSARA.2354 жыл бұрын
Bonyeza apaa #djsonjo# kisha like comment $subscribe Ntakusaidia nawewe kuongeza subscribers 10 na like40 kwenye channel yako thank YOU for supporting
@Yegella14 жыл бұрын
Kupatwa kwa Tanzania..
@abigailsichi644 жыл бұрын
😍😍😍🎂🍼
@saliitz54304 жыл бұрын
Kuimba kaziiiii hahahahaaa
@tz79764 жыл бұрын
Rais wetu kipenzi haishiwi na matani duu! eti mke wng kajuaje birthday ya mzee wa msoga🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@wilfredelimeleki45434 жыл бұрын
wanawake hawapitwagwi na ubuyu,ndio maana akakupatia na ww mzee baba uumumunye
@aishasmoni58814 жыл бұрын
Masha Allah
@anordkingstar66044 жыл бұрын
Kalio 🤣🤣🤣
@gilbertvicent42294 жыл бұрын
INGEPENDEZA KAMA UNGEKUA NA ROHO YA UPENDO KWA WANANCHI WAKO WOTE.
@eyumededu29484 жыл бұрын
Rais wetu anatupenda achaneni ni propaganda za siasa