TAMKO la Rais Jakaya Kikwete Kuhusu Vurugu Za MTWARA, MEI 22, 2013

  Рет қаралды 79,486

Ikulu Tanzania

Ikulu Tanzania

Күн бұрын

Пікірлер: 30
@magesamatiku7364
@magesamatiku7364 4 жыл бұрын
Mzee wa Msoga tutakukumbuka kwa mengi ila umeondoka madarakani umeacha jembe JPM
@geofreymhando3702
@geofreymhando3702 4 жыл бұрын
Nakiona Kichwa Mzee Magu Enzi Zake.
@alexiganja7938
@alexiganja7938 4 жыл бұрын
Kwel kabsa mzee
@abunwasihuruma3207
@abunwasihuruma3207 4 жыл бұрын
Mzee pumzika uliko mungu akuongezee siku
@kelvinjohn6851
@kelvinjohn6851 4 жыл бұрын
Nimekiona Chuma kipo pembeni hapo. 😁
@jumamadili3035
@jumamadili3035 4 жыл бұрын
Hahahahahahaaaaaaaa
@ndundahr.6367
@ndundahr.6367 4 жыл бұрын
Mzee wa ukiambiwa changanya za kwako, mawazo hayapigwi rungu, tumezimis busara zako
@adammillanzi6087
@adammillanzi6087 4 жыл бұрын
Tanzania ni wamoja, tusibaguane jamani. Kikwete tutakukumbuka kwa maneno yako ya busara.
@SinaniMvita-m7t
@SinaniMvita-m7t Ай бұрын
Mwizi mkubwa ww.
@ELLYSTVONLINE
@ELLYSTVONLINE 4 жыл бұрын
Akili kubwa
@mahupaabdul1455
@mahupaabdul1455 3 жыл бұрын
Napatwa majonzi sana nikiickia kauli hii. Wawakilishi hawakuelewa dhamira ya wana Mtwara. Wana Mtwara walikua wanataka gesi ichakatwe Mtwara ili viwanda vinavyotumia makapi yatokanayo na gesi kutengeneza plastic na vinginevyo vijengwe Mtwara. Sangara wa Mwanza wanasindikwa mwanza, Zabibu ya Dodoma inatengenezwa vinywaji Dodoma, Madima yaliko uchenjuaji unafanyika huko huko, na nakadhalika. Shida ilikua kwa nn gesi isichakatwe Mtwara?.
@stevenrobert6584
@stevenrobert6584 4 жыл бұрын
Mhhh wa ukweli
@adammillanzi6087
@adammillanzi6087 4 жыл бұрын
Tanzania ni moja, watuwao ni wamoja, tusianze kubaguana jamani.
@leonardbundala
@leonardbundala Жыл бұрын
Tatizo mikataba ya hovyo
@abdallahyasin6829
@abdallahyasin6829 4 жыл бұрын
Nimekumic Sana
@husseinkatuga414
@husseinkatuga414 4 жыл бұрын
Good mzee
@dastansimpanzye5558
@dastansimpanzye5558 4 жыл бұрын
Hoja haipigwi rungu
@kiharamjema2393
@kiharamjema2393 4 жыл бұрын
Millardayo nitumieni namba zenu za mawasiliano.
@eliasmitoga3831
@eliasmitoga3831 4 жыл бұрын
iyi nch naishangaa reo mzuri wakati yupo madarakani mnamponda
@fulgencejoachimpamojababa6612
@fulgencejoachimpamojababa6612 4 жыл бұрын
Hizi hotoba tumezimis cana
@patrickmadiwa3845
@patrickmadiwa3845 4 жыл бұрын
Duuh mzee
@jacklinegabriel8093
@jacklinegabriel8093 2 жыл бұрын
Huyu hakua Rais Bali alikua mpiga madili
@emmaboka959
@emmaboka959 11 күн бұрын
Jpm
@abbyadams8691
@abbyadams8691 4 жыл бұрын
Waandamane na sasa waone,😳😲😳😲😳
@SinaniMvita-m7t
@SinaniMvita-m7t Ай бұрын
Njoo uone
@abdallahyasin6829
@abdallahyasin6829 4 жыл бұрын
Sasa ni ubabe tu
@bashiraally6459
@bashiraally6459 4 жыл бұрын
Ulikula batasa sana mzeee ,MAGUFULI JEMBE LAKAZI.
@waynealex2491
@waynealex2491 4 жыл бұрын
@@bashiraally6459 si akalime huko chato kama jembe
@mariammussa2540
@mariammussa2540 4 жыл бұрын
@@@waynealex2491 Akili huna na wewe lol
@abunwasihuruma3207
@abunwasihuruma3207 4 жыл бұрын
Mzee pumzika uliko mungu akuongezee siku
HUYU NI MHE JOHN POMBE MAGUFULI 14 Nov 2013
13:38
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 291 М.
President Jakaya Kikwete's full speech at Nelson Mandela's funeral
18:08
World‘s Strongest Man VS Apple
01:00
Browney
Рет қаралды 66 МЛН
REAL 3D brush can draw grass Life Hack #shorts #lifehacks
00:42
MrMaximus
Рет қаралды 11 МЛН
didn't manage to catch the ball #tiktok
00:19
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 33 МЛН
Osman Kalyoncu Sonu Üzücü Saddest Videos Dream Engine 262 #shorts
00:20
HOTUBA YA MHE DKT.JAKAYA  MRISHO  KIKWETE KWA WANANCHI, 31 JULY 2014
44:09
KUMBUKUMBU YA MZEE MKAPA ALIVYOAPISHWA KUWA RAIS MWAKA 2000
40:29
Hotuba Ya Mwl  Julius K  Nyerere   Mkutano Mkuu Wa CCM Dodoma Mwaka 1995
14:17
SPIKA TULIA AFOKEA WAZUNGU ULAYA “NIHESHIMUNI MIMI SIYO MUNGU”
8:51
Salama Na JK Ep48 | MSOGA UNO PART 2
29:35
YahStoneTown
Рет қаралды 293 М.
President Jakaya Kikwete addresses the 66th UN General Assembly
20:09
MUHIDIN MICHUZI
Рет қаралды 58 М.
World‘s Strongest Man VS Apple
01:00
Browney
Рет қаралды 66 МЛН