Mzee wa Msoga tutakukumbuka kwa mengi ila umeondoka madarakani umeacha jembe JPM
@geofreymhando37024 жыл бұрын
Nakiona Kichwa Mzee Magu Enzi Zake.
@alexiganja79384 жыл бұрын
Kwel kabsa mzee
@abunwasihuruma32074 жыл бұрын
Mzee pumzika uliko mungu akuongezee siku
@kelvinjohn68514 жыл бұрын
Nimekiona Chuma kipo pembeni hapo. 😁
@jumamadili30354 жыл бұрын
Hahahahahahaaaaaaaa
@ndundahr.63674 жыл бұрын
Mzee wa ukiambiwa changanya za kwako, mawazo hayapigwi rungu, tumezimis busara zako
@adammillanzi60874 жыл бұрын
Tanzania ni wamoja, tusibaguane jamani. Kikwete tutakukumbuka kwa maneno yako ya busara.
@SinaniMvita-m7tАй бұрын
Mwizi mkubwa ww.
@ELLYSTVONLINE4 жыл бұрын
Akili kubwa
@mahupaabdul14553 жыл бұрын
Napatwa majonzi sana nikiickia kauli hii. Wawakilishi hawakuelewa dhamira ya wana Mtwara. Wana Mtwara walikua wanataka gesi ichakatwe Mtwara ili viwanda vinavyotumia makapi yatokanayo na gesi kutengeneza plastic na vinginevyo vijengwe Mtwara. Sangara wa Mwanza wanasindikwa mwanza, Zabibu ya Dodoma inatengenezwa vinywaji Dodoma, Madima yaliko uchenjuaji unafanyika huko huko, na nakadhalika. Shida ilikua kwa nn gesi isichakatwe Mtwara?.
@stevenrobert65844 жыл бұрын
Mhhh wa ukweli
@adammillanzi60874 жыл бұрын
Tanzania ni moja, watuwao ni wamoja, tusianze kubaguana jamani.
@leonardbundala Жыл бұрын
Tatizo mikataba ya hovyo
@abdallahyasin68294 жыл бұрын
Nimekumic Sana
@husseinkatuga4144 жыл бұрын
Good mzee
@dastansimpanzye55584 жыл бұрын
Hoja haipigwi rungu
@kiharamjema23934 жыл бұрын
Millardayo nitumieni namba zenu za mawasiliano.
@eliasmitoga38314 жыл бұрын
iyi nch naishangaa reo mzuri wakati yupo madarakani mnamponda
@fulgencejoachimpamojababa66124 жыл бұрын
Hizi hotoba tumezimis cana
@patrickmadiwa38454 жыл бұрын
Duuh mzee
@jacklinegabriel80932 жыл бұрын
Huyu hakua Rais Bali alikua mpiga madili
@emmaboka95911 күн бұрын
Jpm
@abbyadams86914 жыл бұрын
Waandamane na sasa waone,😳😲😳😲😳
@SinaniMvita-m7tАй бұрын
Njoo uone
@abdallahyasin68294 жыл бұрын
Sasa ni ubabe tu
@bashiraally64594 жыл бұрын
Ulikula batasa sana mzeee ,MAGUFULI JEMBE LAKAZI.
@waynealex24914 жыл бұрын
@@bashiraally6459 si akalime huko chato kama jembe