No video

KIVUMBI WALIOMTISHIA DC, RC CHALAMILA AAGIZA WASAKWE "NITAWAFYATUA, HAKUNA WAKUPANDA KIPARA HIKI"

  Рет қаралды 94,427

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 266
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Жыл бұрын
Kwenye jamhuri yetu ya Ze kabwelas republic nitakupa u waziri mkuu. Yuko vizuri sana Komrade Chalamila kijana wa JPM Watanzania ndio wanataka kuendeshwa hivyo
@daudedson4520
@daudedson4520 Жыл бұрын
Haya mamb ndo tunataka Sasa au awe rais au bc 🤣🤣
@m.m.tvmbebamaono
@m.m.tvmbebamaono Жыл бұрын
Mwehu huyoo kalewa
@onesmomwakasege5215
@onesmomwakasege5215 Жыл бұрын
Huyo ndio kiongozi anae itajika kwa maslahi ya taifa chukua maua yako baba 💐💐💐💐
@user-wp8yk6ow8h
@user-wp8yk6ow8h Жыл бұрын
Mhe Rais Samia hongera kwa chaguo😢😢😢lako la mkuu wa mkoa wa Da es salaam
@ebenezermachange-zp4es
@ebenezermachange-zp4es Жыл бұрын
Safi sana Mkuu wa Mkoa uko vizuri.
@husseinally3015
@husseinally3015 Жыл бұрын
Muheshimiwa chala hongera sana hii tz inatakiwa wa2 makauzu ukijitia mnyonge wanakufata mpk nyumbani bro chala nimekuelewa sana
@fathiliamakuka4858
@fathiliamakuka4858 Жыл бұрын
Vizuri sana unajua kuna watu wanata ,kupelekwa namna hii , wanajiangalia wao tuu bilakujua wengine wapo, nenda nao hivohivo bila kuogopa.
@RamadhanOmar-ow1ki
@RamadhanOmar-ow1ki Жыл бұрын
Safi sana mkuu wa mkoa kwa kweli inauma sana hiyo tabia kwa kweli serikali nyie ndo mnailea hapo mkuu ushasema kuwa hao watu unawajua wanao kula nao .Hivi kwanni wasichukuliwe hatua hao watu wakawekwa hadharani na mwisho wa siku wataifishwe Mali zao wakionekana wameiba .Ila serikali yetu kila siku kwenye madudu hamchukui hatua kabisa kuanzia juu ya serikali mpaka huko chini .Watu wamgekuwa wanafungwa na kutaifishwa mali zao hao walioiba hayo mambo yasingekuwepo kabisa .Kwa kweli inasikitisha kila siku habari ni hizo watu wanaiba hawachukuliwi hatua .Waliotajwa na Cag mpaka Leo kimya hivi tunawqfundisha wengine ni kuendelea kuiba na wanajua hawafanywi kitu chochote.Washahili walisema ".Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo"
@user-ln5zv9to6e
@user-ln5zv9to6e Жыл бұрын
Safi sana mheshimiwa, haiwezekani masokoni ushuru unakusanywe kila siku mabadiliko hayaonekani.TUMBUA TU MHESHIMIWA CHALAMILA.
@user-rk5jf2lq3h
@user-rk5jf2lq3h Жыл бұрын
Umetishaaa wa mbeya tunakukumbuka piga kaziiiu
@user-dz1lo1nx1w
@user-dz1lo1nx1w Жыл бұрын
Pigia kazi RC narudia piga kaziiii Dar inahitaji maamuzi ya aina hiii.
@kitejamayunga7645
@kitejamayunga7645 Жыл бұрын
Hapa Mama yangu Samia aliupiga mwingi Kwa chaguo Hili Hapa Dar
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 11 ай бұрын
Chalamila ni kiboko.hongera sana❤
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 Жыл бұрын
FANYA KAZIII BABA MUNGU AKUSIMAMIEEE❤
@AmidaKomba
@AmidaKomba 11 ай бұрын
Safi sana kazi nzuri,
@edwinmachange6607
@edwinmachange6607 Жыл бұрын
Hongera sana Mkuu wetu wa Mkoa kwa kazi nzuri mnoo. Zidi kubarikiwa kiongozi
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 4 ай бұрын
Wende jela au mahakamani mboma umepotoliza kiongozi😂😂3
@joycefrances4516
@joycefrances4516 Жыл бұрын
Ni Bora kaingilia kati,kwasababu watu wakishakuwa na ku control eneo la biashara wanaonea wenzao Bora watimuliwe waweke wanaojali bila kunyanyasa wenzao,
@elispiuselias1339
@elispiuselias1339 Жыл бұрын
Kanywe soda mh nitalipa 💪👍
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji Жыл бұрын
BIG UP RC SWEKA WOTE KILA ANAYELETA TAHARUKI NCHINI 😢😢😢😢😢
@deomusyebi9930
@deomusyebi9930 Жыл бұрын
Pole sana RC Chalamila baadhi ya watu wamezidi jeuri na hii inakatisha Tamara sana sasa huyo mtu Ana mtu gani nyuma yake anae mpa kiburi kamata wote tupa store washike Adabu wote
@fadhilhimid2776
@fadhilhimid2776 Жыл бұрын
Nampenda sana mkuu wa mkoa hasa akiongea
@barakasandey1980
@barakasandey1980 Жыл бұрын
Mimi Huwa namkubali sanaaa huyu mwambaaa
@thestonetown3302
@thestonetown3302 Жыл бұрын
Mungu akutangulie piga kazi…..
@josephkaunga8014
@josephkaunga8014 Жыл бұрын
Salute kwako mkuu
@user-rk5jf2lq3h
@user-rk5jf2lq3h Жыл бұрын
Wapelekee moto mkuu
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 Жыл бұрын
Sanaaaaa waaambiweeeee wanakuja pesaaaaa hao. Viongiziii MATAPELIIII watoweniiii
@iddimultano9478
@iddimultano9478 Жыл бұрын
Kama #Katiba inamruhusu Basi hana baya mwacheni apige kazi ni muhimu sana tunataka maendeleo.
@azizamvungi1871
@azizamvungi1871 Жыл бұрын
Piga kazi baba usiwasikilize wanaokuambia hufai usijali hata piga kazi ukweli,ni ukweli tu
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 Жыл бұрын
Safi sana mkuu
@ANYELWISYEMWALUKASA-zd7yl
@ANYELWISYEMWALUKASA-zd7yl Жыл бұрын
Jembe la JPM Hilo piga Kaz baba
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 4 ай бұрын
Kwani huyo dikteta JPM yupo wapi. Na kwa nini liwe jembe Lake?
@MWINYIKADHI
@MWINYIKADHI Күн бұрын
Hata ww utaondoka lkn kwenye maslahi ya wengi lazima kiongozi asimamie haki​@@MilloWamilonga-ft8ir
@fanuelmpesa3484
@fanuelmpesa3484 Жыл бұрын
Kazi iendelee mpaka kieleweke
@showejikinjekitile5942
@showejikinjekitile5942 Жыл бұрын
Sasa munakata kata nini wakati yeye katukana mbele ya wananchi acha ivo ivo
@user-oc7ju3nl2w
@user-oc7ju3nl2w Жыл бұрын
Hapo umenena
@hafidhisaidi6550
@hafidhisaidi6550 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@emanuelkamangu6500
@emanuelkamangu6500 Жыл бұрын
Kweli
@salumukimbanga2495
@salumukimbanga2495 Жыл бұрын
RC Chalamila na DC Komba pigeni kazi
@LaurentMkolea-rh8sh
@LaurentMkolea-rh8sh Жыл бұрын
Wanaomuona huyu mwamba kazingua wote was hovyo. Wabongo tunaenda kwa ubabe kidogo ndo inatakiwa hivo.wengine wanajifanya kujaza matumbo yao tu na kunyanyasa wadogo
@fadhilhimid2776
@fadhilhimid2776 Жыл бұрын
Fanya kazi yako bila hofu mh
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Жыл бұрын
Namkubali sana toka enzi za Magufuli alikuwa hana mchezo na mtu
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 4 ай бұрын
Acha kumbuka muuwaji dikteta ni sawa na kukiota kifo chako
@daudedson4520
@daudedson4520 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣za Moto ka maji ya betrii🤣🤣Hii imeenda sawa
@showejikinjekitile5942
@showejikinjekitile5942 Жыл бұрын
Aise watazania bure kabisa wao nikushangiliatu kilakitu
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 Жыл бұрын
Ukiona hivyo ujue hawakubaliani na kikundi kidogo cha wenzao kinachokwamisha ukarabati wa soko
@checkchannel3876
@checkchannel3876 Жыл бұрын
Chalamila endelea kusimama namna hiyo, watu wanapenda mzaha sana, na ndio maana nchi haiendi! Na nchi hii inataka viongozi wa aina yako. Huo ndio ukweli!
@emmykundy4273
@emmykundy4273 Жыл бұрын
Sawa, lakini jazba ya nini? Matusi ya nini?
@checkchannel3876
@checkchannel3876 Жыл бұрын
@@emmykundy4273 hakuna matusi hapo! Halafu we ulitaka aende anawabembeleza? Kwa nchi hii ilivyo yuko sawa tu!
@isabujoisabujo1214
@isabujoisabujo1214 11 ай бұрын
Yuko sawa sanaaa❤
@hassanisaimon1531
@hassanisaimon1531 Ай бұрын
Acha kiburi ww Kwan ww nani Umejiumba,nakupa muda huwez kukaa milele apo kwenye kiti Makonda is around the corner
@edwardkongo410
@edwardkongo410 Жыл бұрын
Hatariiiii hakuna kuchezeana hapa
@edwardmaguluko6541
@edwardmaguluko6541 Жыл бұрын
Huyu mwamba kachafukwa kweli
@yasinimalya4001
@yasinimalya4001 7 ай бұрын
Ayo tv safi sana!!
@RBMBAKARI-bv6wn
@RBMBAKARI-bv6wn Жыл бұрын
Huyu ndio mkuu wa mkoa tuliokua tunamtaka
@isaacndashuka5959
@isaacndashuka5959 Жыл бұрын
Hapa ndio mtajua elimu wanayopewa watz ni ziro.kila kitu wanashangilia.aibu kwa viongozi na wananchi pia
@yassinnabwera4273
@yassinnabwera4273 Жыл бұрын
Yaani ni aibu tupu,yaani kuwa mkuu wa mkoa ndio utukane watu na kuwatisha watu kwenye nchi yao,huo uongozi anaosema anauvunja leo,aliuteua yeye?Hana weledi wa kuongoza mkoa,hii ni aina ya viongozi wanaoteuliwa kutoka UVCCM,hovyo kabisa.
@emanuelayubu5021
@emanuelayubu5021 Жыл бұрын
watanzania wanatakiwa tujithimini haraka iwezekanavyo, haiwezekanini kabisa kiongozi kuporomosha matusi na kutishia watu.
@yassinnabwera4273
@yassinnabwera4273 Жыл бұрын
@@emanuelayubu5021 Halafu kuna Watanzania wenzetu wanamsupport matendo hayo ya kijinga na ya kipumbavu,ni hovyo kabisa.
@dignapetro2903
@dignapetro2903 Жыл бұрын
Umetisha sna mh nakuunga mkono kabisa hali ya hapo n mbya sana tena n muda sana nashindwa kuelewa viongozi wapo wapi kwa hili ubarikiwe sana
@user-ps7kv7lp4m
@user-ps7kv7lp4m 11 ай бұрын
Mh rais kama kuna mtu tunamkubali wakuu wamikoa rc chalamila namkubali sana anamaamuzi yake sahihi
@user-cx6xt4pm8u
@user-cx6xt4pm8u Жыл бұрын
Chalamila yupo sawa wabongo ndio tunatakiwa tupelekeshwe na kauli za kibabe ata ivyo wamemkera sana
@athumanfuko199
@athumanfuko199 Жыл бұрын
Kuna mnyororo hapo km ulivyosema ndio maana wanaleta jeuri.
@ausonjustinian4673
@ausonjustinian4673 Жыл бұрын
Uko vzr mkuu nchi hii inaitaji hivo tu. Safi:km Magu vile?? Ila punguza kidg. Bkb tunakukumbuka
@salummhina4857
@salummhina4857 10 ай бұрын
HUYU BWANA CHALAMILA AMEKOSEA SANA KUTUKANA WATU.KUTISHA WATU SIO SAWA.BILA KUJALI HAO WENGINE WALIFANYA NINI YEYE NIKIONGOZI HAPASWI KUJIBU HOJA KWA KUTUKANA .SIJA PENDA KABISA
@MWINYIKADHI
@MWINYIKADHI Күн бұрын
Upende usipemde hiyo imeisha kamanumeumia kasage chupa ubwie
@MichaelEdwrdi-jp5ve
@MichaelEdwrdi-jp5ve Жыл бұрын
Daaah hatimae soko la raia aisee ahsante mkuu wa mkoa kwa kuja
@michaelmrema5233
@michaelmrema5233 Жыл бұрын
Safi sana kuyaona hayo
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 7 ай бұрын
HII HASIRA NI KUBWA MNO MNAOSUMBUA KIMBIENI HARAKA.
@tumainikomba9008
@tumainikomba9008 Ай бұрын
Mhn.....mbona kama sio
@evancykashaga6576
@evancykashaga6576 Жыл бұрын
Mbona mnakataka maneno ya mkuu wa mkoa hamtendi haki
@alenialex6941
@alenialex6941 Жыл бұрын
Maneno mengine makali ndo misingi ya abari
@feisalseif6488
@feisalseif6488 11 ай бұрын
Ila kauli na maneno unayotumia yatabalia kuwa kumbu kumbu ndani ya vichwa na mioyo ya watu uongozi ni busara hekima na uvumilivu
@user-ds8zk6ns7t
@user-ds8zk6ns7t 26 күн бұрын
Dah Yani Mtu Anatukana watu wanashangilia dah hii ni hatali sana
@MWINYIKADHI
@MWINYIKADHI Күн бұрын
Kama umemia na ww tukana
@EliasJohn-lc8nu
@EliasJohn-lc8nu Жыл бұрын
Huyu jamaaa mtu wa kzi sanaaa nmefatilia vipande vyt nmewaelewa sanaaa na mkuu wako wa wilaya pigen kaz lindez mal zetu
@khamismtoma4902
@khamismtoma4902 Жыл бұрын
Ayo tv kuna habari huku mtahani ni muhimu Sana tofauti na hapo tunaweza poteza
@MWINYIKADHI
@MWINYIKADHI Күн бұрын
Unamaanisha nn
@MWINYIKADHI
@MWINYIKADHI Күн бұрын
Kwamba hapo Ayo tv hakuatahili kurusha habar hii
@bonabonala5559
@bonabonala5559 11 ай бұрын
huyu chalamila nikama mwanri hawafai kua viongozi huyu kweli ni mtawala kama irivyo tabia ya ccm ni watawala sio viongozi hawa ccm mtaondoka siku moja tu
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 4 ай бұрын
Bwege wewe hata kuandika kwako ni mgogoro
@MWINYIKADHI
@MWINYIKADHI Күн бұрын
Hata ww huwezi ishi milele
@emmykundy4273
@emmykundy4273 Жыл бұрын
Hali ya soko la Mabibo ni shida sana, kuna watu walijifanya ni shamba la bibi yao. Sasa wamekutana na mwehu zaidi yao, jamaa kaamua ajifanye mwehu ili apambane nao ki-wehu… Hilo soko lipo kama dampo
@MozaAly-st8fl
@MozaAly-st8fl 11 ай бұрын
Tenda kazi kuwa na hekima km magufuli. Serekali ni alla sio ww mtukanifu. Ukikata roho tu huna lolot.
@SaidihusseinAthumani-dy9kw
@SaidihusseinAthumani-dy9kw Жыл бұрын
chalamila piga kazi wa dar tuna imani na ww dar imepata mkuu sahihi
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 4 ай бұрын
Kiongozi hakupaswa kutukana hata kama mtu kakosea. Kiongozi tumoa busara kama kiongozi. Kama umekasirishwa basi tumia busara na usitukane wala usikasirike mpaka ukapotiliza mipaka.
@ElifurahaLaizer-lj7ed
@ElifurahaLaizer-lj7ed 8 ай бұрын
Unafaa Kuwa Rais wa Tanzania
@johnzege209
@johnzege209 Жыл бұрын
Mtanzania yeye Kila kitu anashangilia, ukimuuliza kimezungumzwa Nini hajui, mradi maisha yanaendelea tuu, 😂😂😂
@AsdDsa-fi5qk
@AsdDsa-fi5qk Жыл бұрын
Hhhhh
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 Жыл бұрын
Hahahaaaaaa kabisa aisee
@user-sl8bu3we1m
@user-sl8bu3we1m Жыл бұрын
Tanzania bado sana kila kitu mafi , hata mgeambiwa nyie wote mlipo hapa wapumbafu sana , mgepiga makif na vigelegele .
@AsdDsa-fi5qk
@AsdDsa-fi5qk Жыл бұрын
@@user-sl8bu3we1m jmn ww jeur duh 😃😃😃😃
@user-se3dl4sx2u
@user-se3dl4sx2u 10 ай бұрын
Huyu mwamba .ndio anafaa hapa dar..
@kassimibrahim4776
@kassimibrahim4776 Жыл бұрын
Alikuwa muimba kwaya huyo jamaa baada yakutenguliwa......huwa namkubari sana kwenye usimamizi wake wa majukumu yake
@EdesPagiel-dh4ls
@EdesPagiel-dh4ls 11 ай бұрын
Bado ujasema na utasema ( yaani anaongea kwa zarau ya hali ya juu)
@user-re5fe9si4v
@user-re5fe9si4v Жыл бұрын
Kwaiyoo mnatowa pongezi Kwa kutuita tukome kama tulivyo koma ziwa la mama yetu duuuuuh wasomi wa nchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
@frankmlinda1181
@frankmlinda1181 Жыл бұрын
Chalamila yuko sawa,wabongo ukiwaendekeza wanaleta dharau sana wasenge hao wanachukua ushuru mazingira mabovu .big up bro.
@GeofreyKalo-ot3we
@GeofreyKalo-ot3we Жыл бұрын
Mazingira ya soko la mabibo ni mabovu sana kama kiongozi ukiwachekea hawata ogopakuchukua ushuru na kula tu bila marekebisho safi sana chalamila huo ndio uongozi
@shadrackjacob800
@shadrackjacob800 Жыл бұрын
Tanzania inatawalika tuuu !
@eliannko
@eliannko Жыл бұрын
uyu afai kuwa kiongozi ana busara
@adaboychibu1659
@adaboychibu1659 Жыл бұрын
Watanzania hawaitaji busara hivi ndio safi!ukileta kauli za kishoga huta eleweka!busara kamfanyie Baba ako au Mama ako kwenu huko
@gustavompemba1781
@gustavompemba1781 Жыл бұрын
Nyie munapend busara kweli
@user-eg3fg3ic9q
@user-eg3fg3ic9q 7 ай бұрын
Yani anamatus sana hafai kuwa kiongoz so muda samia atamtumbua tu mbona mama anakauli nzuri sn
@salama1113
@salama1113 10 ай бұрын
Kwahiyo nyie mnao shangilia kama mzaziwako anatukanwa mnalidhika akili kweli mali bola ukose mali upate akili
@allyabdallah4641
@allyabdallah4641 7 ай бұрын
Mkuu wawilaya uko vizuli pamoja mkuu wamkoa mnatukumbusha laisi wetu magu
@patrickjohn4135
@patrickjohn4135 11 ай бұрын
tanzania bil kiongozi mbabebe mnazoeana viby
@michaelmrema5233
@michaelmrema5233 Жыл бұрын
Huyu nizaidi ya magufuli. Tuache ubinafsi chalamila jembee.
@kiwangasaidi6284
@kiwangasaidi6284 Жыл бұрын
Safisanaa Mkuu wa Mkowa Nakutakiya Kila Laheli Natamani Ufikembali Katika Uongozi Wako
@evamlay8997
@evamlay8997 Жыл бұрын
Kwakweli soko la mabibo limeshindikana chafu mitope
@ElisaLuisMarengula-wg9ul
@ElisaLuisMarengula-wg9ul Жыл бұрын
Hii no serikali wa Afrika wanataka
@Ibrahim-ne3in
@Ibrahim-ne3in Жыл бұрын
Cha Cha Cha chaaaaaalamilaaaaaaaaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@dynamicplatform2102
@dynamicplatform2102 Жыл бұрын
Linafaa kuwa Rais la 2030
@rhodapyuza6053
@rhodapyuza6053 Жыл бұрын
Safi
@Hapomwanzo
@Hapomwanzo 11 ай бұрын
HII NCHI NI KILA MTU ANAWEZA KUAMUA LOLOTE! MMMMM!.
@mugishamajeba9628
@mugishamajeba9628 Жыл бұрын
dah naona reo umeongea kwaasira kweri reo
@reginas1832
@reginas1832 Жыл бұрын
Hii nchi Mungu tusaidie.
@user-ow3fz2fh2w
@user-ow3fz2fh2w Ай бұрын
Majitu yanafulaia ujinga
@cosein
@cosein Жыл бұрын
Yaani huyu jamaa akiwa rais Tanzania itafika mbali
@user-eg3fg3ic9q
@user-eg3fg3ic9q 7 ай бұрын
Kuwait ma hekima
@barakanestory3521
@barakanestory3521 11 ай бұрын
Halafu kwanini umeme unakatika katika? Dar! Kama ndiyo tunapata uhuru?
@lanezboy7016
@lanezboy7016 Жыл бұрын
Daaaaaaa hii nch kuna watu wanausenge sanab
@kainimlowe9646
@kainimlowe9646 Жыл бұрын
Leo chalamila kanywa mbege nn
@josephjohn2114
@josephjohn2114 Жыл бұрын
Rais amtengue haraka sana. Chalamila hufai kuwa kiongozi. Kiongozi ana enforce sheria sio Jazba, kutukana, kudhalilish na kutisha na kutumi nguvu vibaya. Umechemka sana sana leo japo wanakushangilia. Kiongozi ata kama una hasira chagua maneno ya kuongea.
@josephmussa0625
@josephmussa0625 11 ай бұрын
Kiongozi lazima awe na sifa zote mabavu na upole Kuna mahali ukitumia upole huwez tatua changamoto. Acha apige kazi watu manyooke
@mpigadaud4180
@mpigadaud4180 Жыл бұрын
Yaani wabongo wanashangiliaga kila kitu ata angesema mavi yanariwa wangeshangilia tu
@bouzartbc5641
@bouzartbc5641 11 ай бұрын
najiona mimi nkijaa,
@mathiasmanonga3939
@mathiasmanonga3939 Жыл бұрын
Hizi kauli ni mbaya sana,
@ShabaniOnyango-gm3vz
@ShabaniOnyango-gm3vz Жыл бұрын
Huyu jamaa hafai kuwa kiongoz gan anawatukana wanachi jipime
@devotamutayoba9373
@devotamutayoba9373 Жыл бұрын
Mmm ngoja nipite tu😊😊
@bahatimaige7754
@bahatimaige7754 Жыл бұрын
sasa huyu chalamila yeye anatak nani amuogope pia anasema hakun wa kupanda kichwa chake atambue cheo ni zamana aongee kwa lugha ya staa
@frenkferecian6215
@frenkferecian6215 Жыл бұрын
Alie watuma kwenda kuzomea ndo anawambia na mkazomee Sasa hata kwenye familia baba akiwa mpole zalau waga zinazidi mm binafisi napenda viongozi wa namna hii watanzania wanamazoea Sana mmeona laisi nimpole wamesha anza kumtukana yani watu hawana jema uwe mpole nishida ukiwa mkali nishida vile vile bola iwe hivyo hivyo.
@MozaAly-st8fl
@MozaAly-st8fl 11 ай бұрын
Wewe mjinga mkubwa hatukani watu.
Comfortable 🤣 #comedy #funny
00:34
Micky Makeover
Рет қаралды 17 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:40
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 39 МЛН
Kauli za Albert Chalamila zilizowaacha watu hoi | Alipokuwa Mkuu wa Mkoa
4:32
CHINO AIBIWA GARI MAZINGIRA YA KUTATANISHA 🤣🙌  ALIA KAMA MTOTO
32:16
Comfortable 🤣 #comedy #funny
00:34
Micky Makeover
Рет қаралды 17 МЛН