Jamaa anaakili sana. Point tupu. Kunachakujifunza hapa
@saibabatz_2 ай бұрын
Atatekwa huyu
@SaraJinalangu2 ай бұрын
@@saibabatz_ yaani huyo Leo haiishi walai atatekwa yni 🇹🇿 y hovyo Sana kwa sqsq Chura kiziwi kaharibu nchi😢
@HusnaMtitiko-yt4ru2 ай бұрын
@@SaraJinalangusaa izi yupo kizimukazi anafurahia maisha
@rosekimaro384Ай бұрын
Uko vizuri kaka
@rosekimaro384Ай бұрын
Kaka pongezi zko
@HamisMghuna-fj3vz2 ай бұрын
Kamanda hili Tembo wana thamani kuliko sis Tembo ndoo wapige kura Asante sana tunashukuru kw hilo Tembo ndoo wapige kura,uko sawa baba hilo hatupingi
@charlesmakuri7922 ай бұрын
Huyu kaongea vitu vya kweli suara la elimu na matibabu ni kweli ila tatizo ni hasila iliyo tumika
@IbalanaKandole2 ай бұрын
Waliosikia stop nisiingie au x nimekufa like apa
@chusseboywcb28082 ай бұрын
Sasa uchaguzi wanguvu ndio nini why selekali gani ambayo inapanga kiongozi ambae hawajamchagua😭😭😭😭mtihani mkuu wa wilaya umelala ndani utajua matatizo ya wananchi boss umeongea madini sanaaa kijana mungu awe naww 🎉🎉🎉ningekua na uwezo ningekupa cheo kikubwa waende polini wakapigiwe Kula na wanyama😂😂
@zuchuNosha2 ай бұрын
Msema kweli ni mpenzi wa mungu unasema ukweli braza hii serekali inawatesa raia ila kenya ilianza ivo ivo
@rayisadesigns26462 ай бұрын
Serikali inahusikaje hapo?! Wanyofoa viungo wapo mnaishi nao majumbani taarifa hamtoi likitokea tatizo mnaijia juu serikali!!
@@rayisadesigns2646acha kutetea ujinga ww umeskia alichoongea uyo jamaa wa kwanza hayo niyakweli kabisa au kwakuwa unafanya serikalini ee😢
@deniccgabriel61532 ай бұрын
😂@@rayisadesigns2646 weinaonekana ni mmoja wawatekaji watoto kundu wwe
@zuchuNosha2 ай бұрын
@@rayisadesigns2646 mjomba ngoja yakukute kwenye família Yako ndo utaamini hii selekar wanahusika sabu raia wanasema washatoa taarifa kituoni si Mara moja, Mara kibao but wanazarau na kauli ya serekali wanasema hizo ni drama kwamba wanajiteka wenyewe Sá kiakili inakuja MTU ujiteke mwenyewe? Watu Kila kukicha wanatekwa tekwa ovyo ovyo tu, na serekali IPO
@neemanziku5403Ай бұрын
Huyu jamaa mpen ubunge
@YohanaPetro-xv9tp2 ай бұрын
Ccm Hivi Munaona Malalamiko Ayo Mumeshindwa Kazi Vilaza Nyinyi
@StellaKaluwa2 ай бұрын
Polisi wangewalinda TU HAO wanawake mandama o Yao sio kiwapogaimi HATA shule sijanda nisimgewapiga na kuwakamata ningewasaidia kumfikisha ujumbe Kwa Amani ila kwasanabu polisi wa nchi hii niwababe ndio hivyoo wanatesa watu na kuwauw
@lukomanomaliki54422 ай бұрын
Mama,Samia popote ulipo kama unasikia kilio Cha wananchi wako,naomba uingilie kati kukomesha matatizo haya.Watanzania wana uchungu Sana wanavyoona serikali haingilii kati Kwa mkakati imara wa kutokomeza suala la upotevu wa watoto.
@stephenrwaich10782 ай бұрын
@@lukomanomaliki5442na si watoto tu hadi watu wa makamo wanatekwa pasipo sababu
@victorernest77022 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉umeongea point zote kaka hakuna Aman swala la elim bure hakuna wala matibabu
@juliusjaliwa98872 ай бұрын
Sauti ili sikika ikisema< ipo siku mta nikumbuka tena sio kwa ubaya> kwakweli tuna yaona nchi ilikua ilisha sifika sana na kila watu walikua walishakua na ham ya kurudi kuishi tz lakini kwa hiii hali duuuuu.
@RugakiMsingo2 ай бұрын
Safi sana unaongea pont sana saivi wanya wana samani kuliko binadam.
@MagdalenaMagere2 ай бұрын
Kijana uko vizuri sana. Umesema ukweli mtupu. Mungu akulinde na kukuongoza.
@piuschacha43592 ай бұрын
hongera sana kamanda unaongea point za kweli
@FilipoJastin2 ай бұрын
Kaka kaongea vizuri Sana
@HamisMghuna-fj3vz2 ай бұрын
Asante hii y kupigwa mabom+Mt w 6 kua w kwanza kutangazwa, viongozi wanakamata bangi,mirungi,nyamapori, mkuu wanakula bata Asante jembe wenye marisasi wamevamia wamekunywa hii ya Amani+uhuru wa kwenye mihuri, Asante jembe tunataka majembe,hii Tembo ana thamani Tembo ndio wa pige kura Asante jembe kw hilo Tembo kupiga kura Asante sana, Mzee baba,tunata majembe ka ww7000000,hp Tz,
@dallasmusic64652 ай бұрын
Maji huanza na vugu vugu kisha huchemka... Sasa viongozi endeleeni tu kutojali maisha ya watu Tanzania inahitaji mabadliko makubwa mno
@adamhashim33522 ай бұрын
Nami kuna kitu nakiona mbele TZ kinakuja.
@AgnesShumaАй бұрын
Yes 👍👍👍👍 kaka sapot Mama samia nawenzako wote nendeni mwituni mkafanye kampeni huko nawanyama nampigiwe kura nawa kina tembo
@barakamwamasage-hy2jo2 ай бұрын
Uko sawa kaka Mungu akubariki
@StellaKaluwa2 ай бұрын
Polisi ndio wauaji wakubwa wa watotowetu Mimi siogopi KUFA mwanangu amekufa wakunisaidia nipotaari KUTOA ushahidi popote nawaniue TU namimi KULIKO kuumia naunga MKONO MAANDAMA no huyo mkuu wawilaya ndie anaratibu majaji ndiomaana hanatarifa polisi ma mkuu wa wila laomoja wamekamtwa watu katibu mia Tano yeye anasema mia mianne anawapeleka wapi?
@deonicemollel42052 ай бұрын
Alafu mbwa mmoja bado anasema mama mitano Tena shatap😢😢
@saibabatz_2 ай бұрын
Anae sema mama mitano tena ni mbwa kabisa
@justardzelphine65262 ай бұрын
Ovyo kabisa, wanalazimisha kweli
@magabimagabiАй бұрын
wakina dotto magari na wajinga wengine wenyewe kusifia tu
@majutoomari74452 ай бұрын
Hongera kwa point
@allybernad1744Ай бұрын
Kweli mkuu sawa uko vizuri
@joshuakasemelo16752 ай бұрын
Safiì moyo wangu umefurahi sana kwa maneno haya mazuri
@KubiluTabuАй бұрын
Daaah ila hiii nchi one day's will be yes mung hakika yupo nasi wakati wote
@JacobJoel-cb3ni2 ай бұрын
Duuhh Mungu akulinde usipotee
@TitoNgomuo2 ай бұрын
Wewe ni super,,tembo wa Africa
@maryamhannif8972 ай бұрын
Yaaani uki vizuri sana kaka
@JoyceKabula-in1sh2 ай бұрын
Mpo sawa
@robsonlotyloy56782 ай бұрын
Safi sana kwa maelezo mazuri. Mungu akulinde
@leokamil62842 ай бұрын
Mungu amlinde huyo kijana maana hao wasiojulikana hawataki kuona mtanzania kama huyu wanataka machawa tu 🚮
@neemanziku5403Ай бұрын
Kweli kabisa tunaambiwa tulipie masomo ya ziada sh 5000 shule ya msingi Mlimani ipo Tunduma
@rashidsaid60152 ай бұрын
Jamaa kanyoosha maelezo wallah ntampa dadaangu wa kizaramo yani Yuko sawa kabisa
@DudddyWhyCant2 ай бұрын
Mara hiyo.
@jumakisailo84962 ай бұрын
@@DudddyWhyCantakina Mura huwa hawapindishi maneno nampa 5, amenifurahisha sana..
@jonasmbala13262 ай бұрын
huyu jamaa ameongea vzr sana tena mkuu wa wiyala ha po ajiongezeeee ya tarime nawakubali saana
@ngungiwathiongo2 ай бұрын
Piga kwenye mshono baba 😁😁
@AlouiseNgenDanDumwe2 ай бұрын
Samia noma atawakaliza hata wamasayi wanaonewa poleni sana mungu yupo nani kama mama samia kwanini asiende kwao zanzibar
@alimau79392 ай бұрын
Tatizo ni mfumo wa Chama cha Majambazi ccm
@naqiahmad262 ай бұрын
ila hili jamaa noma
@allymohamed27242 ай бұрын
ALLAH AMRAHM. MZEE ÀLIJIULIZU. ASKARI WALIPEKWA KUWANUSURI DHDI YA HAO, MATOKEA YAKE WAZIRI ALIJUUZULU
@storytownTv2 ай бұрын
Ila kwa sasa Millard Ayo umeanza kupost habari, sababu mtaan yapo mengi mtaan ,mambo ya kutupostia Ajali ,mara zuchu na mwijaku sio sawa kabx ,nchi inaelekea pabaya😢
@rithaurassa2 ай бұрын
Polen sana wanaharakati .hakuna lisilowezekana kwa Mungu iko ck.
@revells_7.0.76Ай бұрын
Oooh God hawana Amani ninoma jamani 😢😢😢 nchi haina Amani vijana hawawezi kutafuta hata riziki Mungu wangu
@Patriotism-x3v2 ай бұрын
Taarifa nzuri, yaibueni hivo hivo zijulikane mbichi na mbivu
@EmmanuelThomas-c9s2 ай бұрын
Kweli kaka imetisha sana
@phare_tz2 ай бұрын
Umeongea kamanda umeongea safi aisee
@DouglasMkude2 ай бұрын
Kaka nimekupenda umeongea point sana kaka
@greysondavid64452 ай бұрын
Taifa lina angamia kwa viongozi wake kukosa maarifa ya kiubunifu.Tunasoma kwa faida gani.
@AbisinaRashidi-c8d2 ай бұрын
Mm nashauli kwa watu kutekwa na polisi mala hivi kubakwa na maaskari kufanyiwa ukatiri na wanajeshi kikubwa wananchi uchaguzi ujao tusichague viongozi hawatufai hii tanzania mbona uongozi wa nyuma hayakuepo
@mjukuuhotelitv77362 ай бұрын
Huyu Jamaa ameongea point kabisaaa
@DottoMagesaАй бұрын
Aisee daah
@ElyotKyando2 ай бұрын
Good kijana💯☑️
@neemanziku5403Ай бұрын
Mi naona hapatanzania haki imeanza kupotea
@AnnaFelix-p1z2 ай бұрын
Nikweli tunateseka sisi wanawake na tunaumia kweli ivi Samia aujazaa wewe kama una watoto mungu alitendee kazi
@LusajoKabuka2 ай бұрын
Mungu hachelewi Hawaii ipo one day yataisha mungu hamwangalii mtu kwa namna yoyote angalia machozi ya watu wako jehova
@LindaMbilinyi-n3n2 ай бұрын
Yaan hii serikal ya ccm haina hofu ya Mungu hta kidg yaan😢😢😢😢😢dah,,,,bdo tusipowwchagua wanajitokeza kina nape wanasema tutashinda kwa namna yoyote ile Mungu baba saidia watu wsko 🤲🤲
@GetrudaSeif2 ай бұрын
👍uko vizuri sana brother
@salimumohammedsalimu17202 ай бұрын
Nakukubali point
@SelemanCharles-y7m2 ай бұрын
Ila kweli hivi huko Nako kunaupoteaji Kama bara
@RizikiMlela2 ай бұрын
Daa kaka nikweri kabisa hakuna kituchabure kiriniki 10000 ukiuriza unaambiwa uondoke shureni hukousisema kilasiku mtoto aende na 1500 kilasiku harafu unaambiwa erimu minute niuongo kabisa
@leokamil62842 ай бұрын
Tanzania watanzania tuungane tuitoe CCM bila kuitoa tutakoma
@AgnesShumaАй бұрын
Tz tunakwisha Mungu tuokoe
@pilishagata61522 ай бұрын
Mnacheka nn sasa na upuuz wenu...au yanachekesha?
@frankwilson6422 ай бұрын
Watanzania yeah wanaanza kupata ujasiri
@AsiaKhamis-hn2dd2 ай бұрын
Aweeeee wew balaaa
@HassanAhmed-gp5jt2 ай бұрын
Sasa kama kwelii watu kuandamana mbona mmevunja maduka ya watu nyinyi lengo lenu halikuwa Hilo wezi tu acheni kuiga
@greysondavid64452 ай бұрын
Taifa lina angamia kwa viongozi wake kukosa maarifa na kutokuyajua majukumu yao .Tufike hatua tukubali kukosolewa na kuyakubali madhsifu yetu,hapo ndipo tutakapi liokoa Taifafa letu.
@AlexMkwama2 ай бұрын
Yesu ponya TANZANIA
@edgahendi1949Ай бұрын
Jamaa awekewe ulinzi mzito jamani
@aronijuma19132 ай бұрын
tell them the truth ,
@gwejonoah19002 ай бұрын
anafaa kabisa kuwa mkuu wa wilaya hiyo😂
@RamadhanMbwana-o1j2 ай бұрын
Mama anaangalia mpira tu ukishinda goli m5
@babawawiltegamaso43672 ай бұрын
Hawa ndio watanzania wanaojitambua anaongea pont kubwa sana ila hii serikali nihakuna kitu
@DottoMagesaАй бұрын
Vingoz hawana uchungu kweli tuamkani
@BakariIssa-nx3yf2 ай бұрын
Kwaiyo laia wanadai watu wanapotezwa alaf polisi wanauwalaiatena ccm jamani?
@imanlwitiko3570Ай бұрын
My country my bad
@josephassey34502 ай бұрын
kaka nakukubali serikali yetu inatutesa sana mungu achukue nafasi
@leokamil62842 ай бұрын
Tuitoe madarakani kwa nguvu moja
@RomanMwinyi2 ай бұрын
Aya ccm ame pigwa lisasi m2 leo wana uwa wa2 kilaa sikuuu
@SelemanCharles-y7m2 ай бұрын
Watatuelewa tu.
@RIZIKIABASI2 ай бұрын
Mungu akubariki kwakusema ukweri
@PNoni-m6o2 ай бұрын
ipo siku mjinga ata pata akiri!
@RubenKasomo2 ай бұрын
Alie kuwa wakwanz kuongea aweke namba apa❤❤❤❤
@AnatoriaRwabatwa2 ай бұрын
Pole
@kasilimasunga27282 ай бұрын
Ongea kijana unahakiri sana
@amotvtz13022 ай бұрын
Ccm wamefanya ufisadi sasa wamehamia kwenye kuua wananchi wake wasiokuwa na hatia
@snipershort69882 ай бұрын
Uyo msema kweli awekewe ulinzi🎉
@tumainichanya3268Ай бұрын
Yani wanyonge ndo wananguvu ya kuutafuta pesa ya haki na welevu ndo wamekuwa dhaifu hata mishahara Yao haiwatoshi hawaridhiki
@HaulSidney2 ай бұрын
Pigeni chini hiyo CCM
@ngotosilasi20992 ай бұрын
Umeonge kwahisia kubwa sana mwamba
@rubensaitoti68392 ай бұрын
😂😂😂😂😂mambo ya ngoshaaa
@AbisinaRashidi-c8d2 ай бұрын
Huyo mdada kanyoa nini sasa jamani ovyo
@allyshaban4062 ай бұрын
Hivi hayo mnayochekea ni ya kuchekea kweli? Acheni kuchekea maumivu.
@gowekogoweko58032 ай бұрын
Msiwe mnacheka kwenye mambo muhimu. Amenikera anaecheka This is serious case men
@antipasjohn622 ай бұрын
Samia must go
@MkamaIssac2 ай бұрын
Aaa kweli lamad yangu
@IsayaMngaza2 ай бұрын
Kuna siku itafika hao hao vijana watakuja kuwapokonya hao askari na kuwaweka chini ya ulinzi kwasababu ya kuchoshwa na matukio ya hovyo hovyo kutoka serikalini,,. Yani unamdhulumu raia wa hali ya chini unaenda kumuongezea mla rushwa.
@PhilipoMwita-b2x2 ай бұрын
Mitano tena kwasamia
@hamadmakame60402 ай бұрын
Hahaha eti tembo wakapige kura
@Frank255-e5g2 ай бұрын
Kuwaongoza watu sio elimu tunawambia kila siku mtu aliepitia shida anawaongoza kuliko hizo elimu yenyewe
@simonchristian63192 ай бұрын
Nimempenda huyo dada wa nyuma alivyonyoa
@salama11132 ай бұрын
Hao wanahabari ndo vibaraka wakubwa mungu atawahukumu
@LuhobeFashion2 ай бұрын
Safi sana kaka
@leokamil62842 ай бұрын
Alafu Serekali inasema Elimu bure sijui hawaoni hao Mawaziri
@NassourJuma2 ай бұрын
hongera san umeongea zaid y pwent
@vero572 ай бұрын
Viongozi wote wa hiyo sehemu hiyo wako wapii ????? Hiii ni mbaya sana umeongea vizuri sana kaka
@IreneMacha-g8o2 ай бұрын
Nipate msukuma wangu sasa niolewe . Nimegahiri siolew tena Kenya