kumanina mpaka kieleweke hakuna usenge asante kenyaaa bora kujipaka mavi kichwani ,kuliko kuvaa kofia ya ccm
@mwanyongamama440720 күн бұрын
Ooooooo MUNGU Mwema Tusaidie liishe salama
@Worldunite20 күн бұрын
Soko lilikuwa na wafanyabiashara 1,600+ likiwa dogo, sasa limekuwa kubwa zaidi lkn walioorodheshwa ni 800???????? 10:23
@user-jx5ze9wz8e20 күн бұрын
Hiv kwanini watanzania hawana akili shida nini wanateswa kama mbwa tu alafu hawataki kudai haki yao
@itanzaniaAS20 күн бұрын
WATAJIWE VIGEZO ILI WAJIENGUE WENYEWE.. ALAFU WAWASAIDIE WALAU WAPATE MAENEO YA KUENDELEZA BIASHARA ZAO😢
@XxhamxyyxShha20 күн бұрын
Huyu samia kwanini asije kwanza kariako anawatuma watu ana delay sana
@komandowainjiliyayesu20 күн бұрын
Yaani kuongoza watu wakizaz hizi nishida sana Tunakaribia nyumbani Yesu anarudi amini ninachokuambia Yesu anarudi Jesus is coming soon.
@israelkisaila840120 күн бұрын
Siku hizi MTU anayenga'ang'ana na uongozi namuona huruma😂😂
@ashamkesa97920 күн бұрын
Huyo yesu anahusika nini na maandamano ya wana soko la kariakoo
@amossamson895520 күн бұрын
Hii noma Kwakweli hata mimi nilikuwepo jaman nilisha rudishwa nyuma saana cjui kama ntapata hata kasehem nilikuwepo mkunguni na nyamwez
@spendjulius-qz9mt20 күн бұрын
Pesa walizo jengea soko ni pesa za wananchi na ni ushuru wetu kwanini Deni??? HARUFU YA RUSWA TUU😢
@faustinedeogratias433720 күн бұрын
Wale ambao majina yao wanajisikia furaha na kujiona wao ni bora kuliko wengine ambao majina yamekatwa, hii ni kwakua ni Tanzania
@spendjulius-qz9mt20 күн бұрын
CCM NI NANII AISEEE
@Tyughcdrbdt20 күн бұрын
Mi naona ni sahihi kabisaaaa
@rehemakarafuu-xi1py20 күн бұрын
acheni uchoko serikali sikivu ndo nini mbona hamjasikilizwa kama serikali sikivu
@kaaakwakutuliaa517920 күн бұрын
wafanya biashara kwanini msiseme mnahamia chadema wote ili wajitafakari hivi mna mtekenya kambare
@mufaddalmoawalla852219 күн бұрын
Lipeni kodi zote acheni kuliqlia
@swaibushemdoe214320 күн бұрын
Magufuli tunakuomba hata ufufuke dk moja tu ili uwone wananchi wako wanavyo lia
@EricaFrancis-kb5el20 күн бұрын
Hii upumbavu kipind cha magufuli havikuepo kbs
@jumakapilima729519 күн бұрын
Hakikuwepo kitu gani?
@kaaakwakutuliaa517920 күн бұрын
kwanini msiitishiee ccm mnaipiga chini ili wajipangee
@MRASISKA20 күн бұрын
𝗛𝘂𝘆𝗼 𝗺𝗻𝗮𝘆𝗲𝗺𝘂𝗼𝗺𝗯𝗮 𝗵𝗮𝗻𝗮 𝗺𝘀𝗮𝗮𝗱𝗮 𝗻𝗮 𝗻𝗶𝗻𝘆𝗶
@israelkisaila840120 күн бұрын
Wala hawezi kufanya chochote Kwa mgogoro WA kariakoo
@barakarobert102920 күн бұрын
Ila kwel rushwa bongo aiwez kuisha@@israelkisaila8401
@spendjulius-qz9mt20 күн бұрын
POROJO TUUU😅
@israelkisaila840120 күн бұрын
@@spendjulius-qz9mt Kwanza anavyowasikiliza tu,ukimuangalia usoni,ni kama Hana hata muda wa kuwasikiliza
@caesar774520 күн бұрын
Kuna tajiri kachukua maduka 10 alafu anapangisha nae
@knight675720 күн бұрын
🇹🇿💪
@spendjulius-qz9mt20 күн бұрын
Kweli yako
@knight675720 күн бұрын
@@caesar7745 amepewa vipi? 🤑🤑
@tibaasiligreatmoment885019 күн бұрын
Kabla ya soko hilo kujengwa yupo mmoja katika mfanya biashara ktk soko moja ya hapa dar nilimuuliza kwann masoko hakijengwa mara nyingi biashara zinazorota kabla ya hapo awali akanambia sababu mara nyingi huwa wenye kumiliki baada ya hapo ni wale maboss wananunua sehem za masoko na wao wanawapangisha watu kwa bei ya juu hivyo ndivyo inavyokuwa.