Tanzania 🇹🇿 mjifunze kumkumbatia mtoto akiwa na uchungu kama huu hug 🫂
@SafiniaMbarouk5 күн бұрын
Wastara nadhani huyo mtoto umlee ktka maadili ya wema na kumjua Mungu zaidi kuliko maisha ya kisanii msaidie kua mtoto mwema ili amuombee babake na ata wewe endapo utatangulia mbele za hakki,kifo cha mtu unaempenda kinaumiza zaidi ni mnoooo 😢haielezeki tuombeane dua tuendako ni mbaali na kunahitaji amali njema t
@mohamedbakari825311 күн бұрын
Mungu amkuzee katikaa maadili memaa cz huoo uchunguu hauelezekii hapo nimejikutaa naliaa duuu mungu tupe mwisho mwema
@DerickNgowi-mf5pe11 күн бұрын
Yan huyu dad ni mtu wakujionea huruma mda wote angejua ss tumekutwa na maswahinu gan magum kuliko yake angeacha kujitilia huruma
@ZamratZuberi11 күн бұрын
Kila mtu ana ustahimivu wake na namna yake yakuumia
@TEDY-MTEMY2411 күн бұрын
Tunatofautiana sana katika kubeba mambo haswa maumivu ya kuondokewa na unayempenda zaidi zaidi alikuwa kijana mdogo, ulimwengu na familia ilikuwa inamuhitaji bado
@zabubamudy12611 күн бұрын
mhhh usiongee hivyo mwenyewe anamauvimu sana
@patisondidas672011 күн бұрын
@@TEDY-MTEMY24kabisa
@SadatTesha11 күн бұрын
Sasa naww c uumie utie huruma sasa jmn
@Mariam-fm8vq10 күн бұрын
Allah awatie nguvu 😢😢😢 Allah awalaze penye waja wema walio tangulia
@nasra95kings439 күн бұрын
Amiin
@rafiaahmad16811 күн бұрын
Naelewa hayo maumivu wallah 😢
@anastaziamoses410011 күн бұрын
Nimejikuta nalia tu😢😢
@aishajuma670611 күн бұрын
Afanana na Bababke.sajuki.mashallah
@ZuhuraBilal2 күн бұрын
Pole San wastra mungu awatie nguvu
@zuweinaalhabsya877311 күн бұрын
Pole mtoto mzuri Allah atawapa subra
@MagdalenaMwambapa10 күн бұрын
Msiba haujawahi isha jamani poleni sana😢
@SaraRobert-io8xv11 күн бұрын
Mungu akutie uvumilivu mama
@aminrashid99110 күн бұрын
😢😢😢binti ameshindwa kujizuia ni uchungu kupoteza baba na umjue leo unatajiwa unalia pole sana
@aishaomar22879 күн бұрын
Mola Atupe Wallah,kuondokewa kuskie tu na watu ila kukikufika ka mm utaelewa😢
@SharifuChala-iz4xj10 күн бұрын
Sijawai ona mdada kama wastara mungu akutie nguvu
@jemimabakari11 күн бұрын
Sajuki kaacha copy MashaAllah 😢
@SethJohn-x9f11 күн бұрын
Inauma sana
@farahali604111 күн бұрын
Mm pia nimelia
@HanifaRamadhan-v2t7 күн бұрын
Pole sana mama kwa uchunvu❤❤
@Hgd-jk6lh11 күн бұрын
Anaitwa stev nyerere sio nyelele😢😢
@OMARIMSANA11 күн бұрын
Ndio ulichosikia tuu hicho au sio???
@salomewandya725711 күн бұрын
Uzuri ujumbe umefika
@janepherjamson416611 күн бұрын
Nimejikuta na nalia pole tunajua maumivu unayopitia
@IreneMwanaa-zo2wz11 күн бұрын
Mungu awakumbuke wastara na mwanao
@AyshaSalumu9 күн бұрын
Hv uyu dada ataacha lini kuumia jaman mbona mada wote mungu msimamie sasa ni mda mlefu sana jamn
@nasra95kings439 күн бұрын
Yakikukuta utaelewa maumivu yake hayaelezeki😢
@jamilabakari12836 күн бұрын
pamoja na yale aloyapitia bila kusahau hapo alipo anamguu mmoja huo mwingine niwa bandia.
@AyshaSalumu6 күн бұрын
@@nasra95kings43 me nikimsikilizaga uwaga nalia maana uwaga anaongea kwa hisia Kali sana yan
Tena hakupow haswa mda mwengine nakaa namuwaza baba yangu walezi wangu dada zangu yani machoz yananitok lakin ndo kazi ya Mungu Haina makosa muhimu kuwaombea dua maan hata ukilia hawarudi
@hanifaa148711 күн бұрын
Yani alhamdulillah
@BahatiKasembe-bw9hd11 күн бұрын
Mama mungu akusaidie
@gladnesswazir-zz9lk11 күн бұрын
Mungu azid kuwa faraja kwenu
@aishajuma670611 күн бұрын
Mbona daa.wanikumbusha sajuki
@MakameMufadhil9 күн бұрын
Wacheni kukumbushia machungu kama hivyoo waombeyeni dua tu
@khadjamhozya11 күн бұрын
Siteve kwakwer anafanya mambo mazuri japo wanamshamburia
@ReginaManyangu8 күн бұрын
Kwakweli lkn avunjiki moyo.Ana uthubutu
@jenyyusuph497311 күн бұрын
Tuanche utani mtu akifa kijana anauma sana
@zebedayokatamaduni967611 күн бұрын
Ni kweli
@MalaikaJadeni4 күн бұрын
Kiukweli inauma sana
@KudraEliasa11 күн бұрын
Pole san
@khadjamhozya11 күн бұрын
Wabongo wambea sasa hao mambo ya mifano ya umbire amekujaje kama sio domo rakishamba ndo maana wakenya hawataishi kuwatukana
@AshuraMnubi-qe4vy11 күн бұрын
😢😢
@SleepyCello-tb4lk8 күн бұрын
Pole sana ila jipe moyo
@ZinabAlzinab9 күн бұрын
Hapendezi
@itanzaniaAS11 күн бұрын
MASKINI DAH😢😢😢
@mariajames55589 күн бұрын
Mi mwenyewe nimelia mno
@rahoumkhatry375810 күн бұрын
Yaani we si muislam unashindwa na mtoto anajua kusalimia kiislam
@Farajahelene2303111 күн бұрын
So sad
@ZinabAlzinab9 күн бұрын
Huo dada anapenda kullmika
@OmOmabs11 күн бұрын
M sijaelea uyo ni mama yake ai😢
@user-sj9ob8vb3s11 күн бұрын
mtu ana zungumza utazani sio live
@victoriagasper447810 күн бұрын
Yani huyu binti ni Sajuki mtupu daaa kifo
@halimamndeme69089 күн бұрын
Machozi yamenitoka kwa wastara
@KhalidNa-bn4gp10 күн бұрын
Watu woote walio kufa hawahitaj tamasha wanahitaji duaaa sidhanu kama lnauluimu
@joynessmichael182411 күн бұрын
😅
@ScopionScopion-zj9cd11 күн бұрын
sasa kaja hapo mbele ya camera ili aonekane akilia au
@NunuKupela11 күн бұрын
Kama hujafiwa huwezi kujua hiyo situation kufiwa kunaumiza sana Mimi ni mtu mzima na nina watoto 3 nimefiwa na baba nikiwa na watoto 2 lakin pengo la kutoweka Kwa baba angu bado naliona na naumia pia ni kitu kapanga Mungu wallah binadam hatupendi hatuzoei na hatuna uvumilivu kwenye hili hata ukiona miaka mingi imepita lakin ndani ya nyumba husika kiumbe hicho hawakisahau hasa baba babaaa husahau kamwe