Mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde amelieleza Bunge kuwa miongoni mwa Wabunge wa Upinzani wenye uzalendo mkubw ani pamoja na Mbunge wa Kigoma mjini kupitia chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe
Пікірлер: 345
@TheOne-fi6cs6 жыл бұрын
Jamaa yuko vizuri, to a boliti kwenye hicho lako kabla hujaangalia la mwenzako! like apa chini km umemuelewa! 💯📩❗❗👏👏👏
@mbonireamina64975 жыл бұрын
Katika mbunge chizi na mjinga ni huyu Lusinde. Unapokuwa kiongozi sio lazima usimame mara kwa mara kudhalilisha wenzako hata kama mtu amekosea. Sijasikia hata siku moja mbunge wa CCM akikosoa chama chake na kina mapungufu makubwa sana. Manunuzi ya ndege na matumizi mpaka leo hatujui ni shillingi ngapi. CHADEMA wako safi sana ila kwa kuwa kimekuwa ni chama mbadala CCM lazima wawabane sana. Hakuna chama chenye kugawa Watanzania kama CCM. Serekali nzima ya Magufuli imejaa WASU - KUMA. Kuma nyie.
@lucyamosi65495 жыл бұрын
Jins madn yalivyoshkwa kenya
@lucyamosi65495 жыл бұрын
Jns madn yavy Shkwa kenya
@baruanindume86956 жыл бұрын
Huo ndio utofauti kati ya msomi na mpiga kelele, Msomi anatumia maandishi kama mifano na mpiga kelele anatumia maneno ya dharau, kejeli, matusi na mifano ya kutunga, Hongera mzee wangu.
@onesmokitwange97836 жыл бұрын
Asanteee... L. Lusinde.
@emmanuelmohammed12946 жыл бұрын
lusinde braza we nomaaaaa!! dawa chungu hiyo kwa nyumbu
@mazotamagayane49104 жыл бұрын
Hii ndio tanzania yetu
@mangegervas96514 жыл бұрын
Gud saana Mkuu lisinde... Gud jpm
@lucasmugoma28704 жыл бұрын
Sio Gud, ni good
@abdallahkitwana84716 жыл бұрын
ahsante comrade Lusinde
@franciscomohamedjumanne11366 жыл бұрын
Mwenyekiti wa kudumu
@festondile20396 жыл бұрын
Kwa kua ni CAG kasema naomba CHADEMA wajitathimini na kutafakari sana,Maneno ya Lusinde sio ya kuyadharau kwani kuna wakati hata saa mbovu huwa inaongea ukweli,Hili la Democrasia ndani ya chama pia ni la muhimu...Mulika nyoka mguuni pako kwanza.
@charleskazimoto69685 жыл бұрын
Wakisemwa CHADEMA mnashangilia, wakisemwa CCM mnanuna. Mafisadi walioko CCM na mali walizoiba hazihesabiki. Kibajaji mbwa tu. Watu wa mtera hawajasoma na ndio maana kila kukicha Mbunge ni Lusinde. Mipasho kama mwanamke.
@lexisavage17704 жыл бұрын
asante sana baba umewaeeleza ukweli Chadema hongera sana sana
Kibajaji wapeleke haomajizi hao tuliwaambia ikulu wataiona kwenye Tv
@abunajash19856 жыл бұрын
Ni kweli
@anordntungwely48106 жыл бұрын
Chadema toeni ufafanuzi kuhusu taarifa zenu za CAG, maana inaleta sintofaham kwa wananchi.
@ancomagu85316 жыл бұрын
Ndiomaana nakupenda sana mweshimiwa lusinde
@susanekuyi29886 жыл бұрын
Safi sanaaa wape wape hao.
@johnthobius65436 жыл бұрын
Huyu Lusinde ni nomaa, huyu jamaa ana fact hatare
@martinemifuko716 жыл бұрын
Safi waambie hao waelewe, Ukweli hata mimi zitto ni big up
@thomasmtereko4426 жыл бұрын
msukuma and lusinde big up
@machaggechacha34224 жыл бұрын
Muulize mbowe. Hela zote kala yeye.
@elibaricksangaulimile6 жыл бұрын
big chama CCM waache waandamane waisome namba
@mbwanaomary75376 жыл бұрын
Hahahahahaaaaa mwenyeki wa kudumu nimeipenda hiyo. Kweli hawa chaga boy hawaachi hata cent
@leonardclaudi35995 жыл бұрын
hongera Lusinde
@oswardmwambete47524 жыл бұрын
Huyu Lusinde Aisee ni Noma sana nimtu hatariiiii sana
@goodluckmrosso4866 жыл бұрын
Upo vzr
@holdenngeze26526 жыл бұрын
Lusinde wewe ni kiboko ya CHADEMA!
@rajaburajabu17636 жыл бұрын
Hongera lusinde
@paulmsilanga39176 жыл бұрын
safi Lusinde uko vzr
@naimaseleman68684 жыл бұрын
Point POINT POINT POINT
@fredyjohnwaifakaratz24736 жыл бұрын
SAFII UMEONGEA POINT SANA MAANA WANAKAZANIA MAANDAMANO TU PUMBAVU
@anozacha6115 жыл бұрын
😲😲😲😲😲😲😲😲
@hamdanisalumu73445 жыл бұрын
Fredy John Waifakara Tz wew nikuma
@belathomgaya48036 жыл бұрын
Point 100%
@kingally78164 жыл бұрын
Kweli watanzania hawapendi ukweli Zitto ni 🔥 By King Ally from mahembe kigoma.
@255mkwakshi_tv56 жыл бұрын
Safi
@yakomoifakala55046 жыл бұрын
safi kibajajii
@shabihasaid51116 жыл бұрын
Uko. vizuri. Mheshimiwa.
@mathiasbuyobe35126 жыл бұрын
Lusinde uko sawa
@ambokileosward88506 жыл бұрын
Kheri James M/kiti Uvccm taifa hoyeeee
@jamesngundateresia26006 жыл бұрын
NAKUPENDA KWA KUWA WEWE NI MZEE WA MIJIWE WAPE WAPE HAO NYALU WEWE NOMA
@abdalahfarida20744 жыл бұрын
Jimbo lake msomi ni yeye tu na ndio maana kila uchaguzi mshindi ni yeye. Mtera hakuna wasomi ndio maana wanatuma mtu wa mipasho.
@omariwazirikibao19324 жыл бұрын
Serekali mkae makini na hawa wapinzani kwakweli wataipeleka nch pabaya
@adamamos75085 жыл бұрын
Safi sana kaka
@ambrosngahoma85974 жыл бұрын
Yanaitwa mawe hayo huyakwepi
@ramadhanmasenga87306 жыл бұрын
Lusinde kichwa sana
@mr.sangaellies51104 жыл бұрын
Daaaah hivi kumbe chadema hapo haya
@kaundasutikaunda77696 жыл бұрын
ukweli mchungu
@leonardmrope95286 жыл бұрын
hahahahaha,,Lusinde we nikiboko yao mzee,,daah
@edwardedward25206 жыл бұрын
Umeongea ukweli Mh. Lusinde wape wape baba! Taifa limepata hasara kusomesha watu kama akina zirto kabwe hawana faida kwa vijana wala akina mama! Zitto saidia vijana wenzako outoka kimaisha sio kila siku lawama kwa serikali!
@juliussanga93336 жыл бұрын
Edward Edward we ni zaidi ya mbwa..
@empirialmdudj38646 жыл бұрын
kichwan mwako 0
@gilbrtmaganga54716 жыл бұрын
Edward Edward ukweli Gani majizi yako ccm yeye anatetea tumbo lake
@kariakooagrei8576 жыл бұрын
Edward Edward ila atakapokuwa ssm atakuwa na faida
@juliusdeus33066 жыл бұрын
Acha ujnga unataka akusomeshe au aujui mana ya maendeleo ww mandaz kwel
@ancomagu85316 жыл бұрын
WAJIGA NDIO WALIWAO WACHANE BROTHER MAANA WAO KUHANDAMANA
@julianamasunga41476 жыл бұрын
safi
@wilsonniwagila96325 жыл бұрын
Ndugu Lusinde nilipenda ulivyonukuu kuhusu Kobani na kijiti kwenye jicho kiukweli jicho halina starehe likiingiliwa na kijiti au kibanzi vyote ni adui wa jicho. Tumesikia kibanzi cha Chadema lakini kijiti cha CCM hakikutajwa VIPI???
@mtanzaniamzalendo70014 жыл бұрын
Point Sanaa,km haya ya kweli basi hawana hski ya kuhoji hao
@boazimbwaga87716 жыл бұрын
Nakukubal rusinde
@godfreydaniel61676 жыл бұрын
Nilikua cjui kumbe chadema imeoza hivi ...daah
@vickybwire40496 жыл бұрын
😂😂😂 hatari sana
@yamunguathumani2346 жыл бұрын
Chagadema Haooo Pumbavu zao
@omegagomano78624 жыл бұрын
Nwewe hujitambui unaweza ukawa mjinga
@kaminyogemwachelwa98846 жыл бұрын
Kama cag kasema kwakweli chadema wajitathimin na kujibu kama kweli ama hujuma. ..maana ccm always hawawatakii mema ndugu zao hawa
@frankjoseph62136 жыл бұрын
sawa sawa sawa Mkubwa
@ugullumsaidi15366 жыл бұрын
Asante mh lusinde waambie tu
@yohabumlelwa23166 жыл бұрын
Kweli kazi ipo chezea mchaga weye
@emanuelgaddafi76516 жыл бұрын
WAPI? NZANIIIIIIIIIIIIIII! SIJI KWENUUUUUUUUUUUUUUU MNA NIFANYA NISHINDWE KUWAAMINI KWAKILA POINT MUISEMAYO HATAKAMA INAMASHIKO KWETU MWIZI AKIONGEA UKWELTUNASEMAGA NIMUUONGO TU.
@stellaanthony40926 жыл бұрын
safi sana
@wahazaben79646 жыл бұрын
Kweli itaishi milele
@yohanakidugala13326 жыл бұрын
mmh Leo umeongea vizuri
@voicatiliotv23096 жыл бұрын
Mzeeeee wa mawe , ameamua kuyaachia bungeni
@allymohamedmkiwa2846 жыл бұрын
Upinzani ni majizi makubwa, Wape mapande yao.
@yekutielgoldstein97124 жыл бұрын
Hongera
@charlesmakuri7924 жыл бұрын
Nilikuwa najiuliza kibajaji lusinde yuko wapi wape nondo vimtu kazi ni matusi kukashifu vitawaza sangapi mambo mazuri,at ukifanya mazuri vinakutusi,kasilika sasa huu upinzani wahuni kama Roma mpiga mziki
@neemafanuel45835 жыл бұрын
VP Ccm wamezidi chadema bil 2 Ila ccm til1.5 ni ndogo kwa bil 2?
Mwambien asome na ripot ya cag upande wa serikali kma yy mkweli?
@amaniromeoswadiq91556 жыл бұрын
Eeee ni kidume
@samuelmwambashi41686 жыл бұрын
Wape Wape kaka.
@wilsonchallange44206 жыл бұрын
Kibajaji Anatisha
@jiatv_tz6 жыл бұрын
Kama pesa hizo hazikukaguliwa na CAG inakuwaje CAG atoe taarifa hizo kazipata wapi?
@ahmedmtani94286 жыл бұрын
leo umejitaid
@yassiniferuzi28674 жыл бұрын
Majizi hayo ndio yashike dola yatakaa sana 2020 Sacoss yao ya Chagga Devlopment Mannfesto CHADEMA kiko(ICU) kinapumulia mashine kurudi mjengoni sawa na ZZK auTAL kuingia Ikulu
@amanhassan74604 жыл бұрын
Acheni kuzingua mafisiem
@lupetamhagama21456 жыл бұрын
Haaaaa
@bahatimasawe90915 жыл бұрын
Huyu ni mbunge wa mkoa gan inaelekea wananchi wake wanapata shida kweli
@mkalimwanza77266 жыл бұрын
wabie tu ukweli
@zullaicamatola34315 жыл бұрын
Hajui kazi ya upinzani,pia hajui wajibu wake kama Mbunge
@ibrahimally77354 жыл бұрын
Zitoo ana uzalendo wq kwenye mitqndao cyo kwa taifa lakin
@abuyizedon6 жыл бұрын
😂😂😂nimecheka kweli kweli mpaka naiogopa Siasa
@tumahamza89726 жыл бұрын
Wape haoooooooo
@zuberikupaza14504 жыл бұрын
Mmh! Utabiri haukuwa sahihi mheshimiwa lusinde!
@mecksonsamwel26664 жыл бұрын
Ikulu wataiona kweny tv
@ivomalenge14526 жыл бұрын
Ukweli ni huo tu mh, uko saws kbs ubalikiwe
@alanusrespicius17965 жыл бұрын
UKO VIZURI SANA. WAMEKAZANA KUKOSOA TU HARAFU WAMESAHAU KUWA NAO NI WABOVU TENA MARA MIA ZAIDI.
@alphamaninga82375 жыл бұрын
afu kama limelewa vile ivi anae waibia wana nchi ni chama tawala au chama pinzani
@xhaibsalim87976 жыл бұрын
sawa umengea vizur sana lakin je hzo ztajenga barabara au madaraja kweli wao kama wamepga watatoa ufafanuz kama hawajoa wizi ila tilion 1.5 za kod tinataka
@nurukwawote47166 жыл бұрын
Museveni aliwai sema jogoo mkubwa ndie alimfundsha mdogo kunya kwenye kichanja chedema ni mdogo sanaaaa kwa zinazo pigwa upande wa pili ni sawa na dimbwi na Baali.
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Kwahiyo unakiri kuwa chadema ni wapigaji????
@godwinmgunda10026 жыл бұрын
Unajipya ww na hilo jimbo utalikosa 2020
@getajo11536 жыл бұрын
😂😂"WAJINGA NDO WALIOWAWO"..... MMENG'ANG'ANIA MAANDAMANO MAANDAMANO, MMEWAACHA WENZENU WANAPIGA HELA.....😂😂😂😂😂 .... Lusinde bana, inabidi nikupende tu kwa kweli...
@moshialois54994 жыл бұрын
Kwa akili yako kikinuka Lusinde c atajificha, ukoo wake jé atauficha nani? Tatizo anajiwaza yeye badala ya wanaomzunguka. Kwa mfano Kiongozi akisumbua una-deal na family yake tu yeye c anajiona analindwa
@shodristvtv61216 жыл бұрын
Wejamaa nikiboko coz unafata nyayo zamusiba
@richard.rkilonzo75386 жыл бұрын
Hatujawatuma Bungeni kupeana mipasho tunataka mumsaidie Rais kutupatia maendeleo. Tunataka makusanyo yasimamiwe vizuru kupunguza ukosefu wa ajira. Hivi nani mkaguzi wa Mahesabu ya Serekali Lusunde au CAG.
@babalily45166 жыл бұрын
CHADEMA IMEZAA SAU NA ACT, HUJUI KAMA HIVYO VYAMA VYOTE VIMEZALISHWA NA CCM, @#ZeroBrain
@ismailkidongo93844 жыл бұрын
Kwani chadema inakusanya Kodi zetu inauza lasilimali za nchi hachakupotosha
@tumahamza89726 жыл бұрын
Majizi hayoooooo
@promisecobra50715 жыл бұрын
chadema wanapenda kukaza ubongo
@abrahamkibona7038 Жыл бұрын
Mzalendo wa wapi?
@jisamjose21846 жыл бұрын
Kundi la mateperi hao... Kama vpi hajitokeze wapinge
@aloycemwakatala26344 жыл бұрын
LUKA 6-41 umesahau kuisoma na waliyogawana kwenye kikao watu zaidi ya 200×10,000,000/= milion kila mmoja sijui ni chama gani kile hivi?
@allymsuya66554 жыл бұрын
Hivi wakati tunachangia serikali tulikuwa tukikichangia chama cha Mapinduzi?
@teddykanondo57534 жыл бұрын
WATU WA MTERA MNAMPENDEA NINI HUYU MBUNGE WA MIPASHO. CHADEMA CHUKUENI JIMBO.