Sikiliza Hekima na Busara za Riziki Shahari na Zitto Kabwe Bungeni

  Рет қаралды 359,835

Global TV  Online

Global TV Online

7 жыл бұрын

Mbunge wa Viti Maalum CUF, Riziki Shahari, ametema cheche bungeni kuhusu kuwasilishwa kwa muswada wa mabadiliko ya sheria za maliasili, akilalamika kwamba uamuzi wa mheshimiwa rais wa kuwasilisha muswada huo bungeni kwa hati ya dharura, haupo sahihi kwa sababu muda uliotolewa kujadili ni mfupi.
Mbunge huyo aliendelea kuhoji, iweje nchi ambayo ina wasomi, wanasheria na wataalamu, ikubali kupumbazwa na wajanja wachache kwa kutumia mikataba ambayo imepitishwa na bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
#Global TV Online, kwa kushirikiana na TBC 1, wanakuletea taarifa ya habari iliyosheheni matukio mbalimbali nchi nzima.
Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
WEBSITE: globalpublishers.co.tz/
FACEBOOK: / globalpublishers
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpublishers

Пікірлер: 192
@user-de7nf8pp3w
@user-de7nf8pp3w 7 жыл бұрын
Mashaallah mam upo bungen lkn umejistir vzr allah akuongoze useme ukwl daima bila uoga
@sangararawarioba3016
@sangararawarioba3016 7 жыл бұрын
Mashallah, very nice mama. U real know what you are doing. May Allah bless you.
@mamysalem8791
@mamysalem8791 7 жыл бұрын
upo vizuri sana mama hapo bungeni kama wangepatika 5 tuu kama huyu mama bunge lingekua zuri
@epafrangweshemi5967
@epafrangweshemi5967 6 жыл бұрын
Tuwe wazalendo baada ya kukubali kufisadiwa kwa muda mrefu! Tutafute tulikopotezwa turudi ktk njia sahihi aliyotuelekeza BB wa Taifa mwlm J.K.Nyerere. Wanaotuwakilisha wanyonge ni nyie wabunge. Maendeleo hayana chama!
@anithangao5950
@anithangao5950 6 жыл бұрын
upo vizuri sana mama yangu
@hassanimlacha8479
@hassanimlacha8479 5 жыл бұрын
mamy Salem wabunge wà chama tàwàla hàwawezi kuikaba serikali
@revjohnlyimo7299
@revjohnlyimo7299 7 жыл бұрын
Jamani huyu mama nimemkubali siyo wa kawaida hekima ya wabunge wamama kama huyu ni chache sana hapo bungeni.
@victorernest7702
@victorernest7702 5 жыл бұрын
rev john lyimo kaka wakina wapo lkn wanaminywa ko wanakua waoga Sana,,, lakin kwasasa hivi nchi ilipofikia acha walijilipue tu
@millitarybattalion7515
@millitarybattalion7515 7 жыл бұрын
da.. huyu mama yupo nondo ... ametisha. sana... nice one
@victorernest7702
@victorernest7702 5 жыл бұрын
victor yohana ndio tunataka hvyo sio ndioooo namikofi yakinafki,,,,,,mama muache ateme cheche
@dahabshiiltz3306
@dahabshiiltz3306 5 жыл бұрын
upo vizuri mama Asha Ali...masha Allah ..proud of you ..
@dullykibinda5091
@dullykibinda5091 7 жыл бұрын
yuko vizuri.....namuelewaga sana huyu Mh
@frankmbonde1703
@frankmbonde1703 6 жыл бұрын
Kutoonekana kwa Bunge live kunatufanya tukose mambo mengi sana yenye umuhimu juu ya mustakabali wa nchi yetu. Mpaka leo nashangaa katika masuala muhimu ya nchi baadhi ya wabunge wanaleta uchama. Kuendelea itakuwa ngumu sana kwa mtindo huu. Kama Bunge likikosa nguvu serikali itafanya inachojisikia tu na matokeo yake ni ukiukwaji wa sheria
@sifasanga7866
@sifasanga7866 6 жыл бұрын
MWANAMKE umenikosha moyo wangu....I love you...Safi akiri kubwa tu inaweza kusema serikar....Asante dada angu. Language safi massage inaderiver kiulaini
@daudimkwela
@daudimkwela 7 жыл бұрын
Huyu Mama yupo njema sana. "Anauliza tunakubali vipi kujificha nyuma ya Technicalities". Huyu Mama Jamani hana Twitter account nahitaji kum follow.
@luckysanga4554
@luckysanga4554 6 жыл бұрын
Zito kabwe you are man of vision
@markkayuni9775
@markkayuni9775 7 жыл бұрын
huyu Mama namkubali
@athonyfrancis8889
@athonyfrancis8889 7 жыл бұрын
mama shaa penda sana wewe,uko vizur
@samwelinangolem7264
@samwelinangolem7264 6 жыл бұрын
uko vizuri mam
@alexmakundi5006
@alexmakundi5006 7 жыл бұрын
Mama Mungu akubariki
@irenepeter8702
@irenepeter8702 4 жыл бұрын
Kamanda Safi sana Wewe unahekima Sana
@pascarmwatosya5855
@pascarmwatosya5855 5 жыл бұрын
Safi sana Fanya kazi yko mungu akujariee mama
@peterbayo4677
@peterbayo4677 6 жыл бұрын
Huyu mama ni shida. Ni ukweli mtupu hata kama watabisha. Lakini siku zinaenda zinakaribia kufikia ukweli muda utatoa jibu.
@humphreycned4056
@humphreycned4056 6 жыл бұрын
Safi sana mama yetu Mungu akupe maisha marefu
@benjaminmwakyeja7081
@benjaminmwakyeja7081 7 жыл бұрын
anachoongea zitto ni kutoa mikataba ya madini kutoka kwenye concession contract kuja katika production sharing contracts/agreements, tukifanya ivo tutakuwa vizuri. angalizo . serikali iwe inaoa pesa zote na kwa wakati katika uwekezaj
@hechechacha4032
@hechechacha4032 7 жыл бұрын
mtu kama Msukuma Anasema hajui kingereza anataka Nani amfundishe kwA nini asiende kwA wananchi wake wamfundishe
@ceciliajimmy5652
@ceciliajimmy5652 6 жыл бұрын
Heche Chacha si ndio faida ya kujua kusoma na kuandika? Haya mikataba yote in English what do you expect!!! Msukuma hoyee bora ungekuwa Mbarabaig. Nampa pole .
@jazimsaid6862
@jazimsaid6862 6 жыл бұрын
Heche Chacha kk lugha kuu n kiswahili
@johnsonzuma4932
@johnsonzuma4932 6 жыл бұрын
Hasante sana mama yangu good points
@amedeusfrancis6645
@amedeusfrancis6645 6 жыл бұрын
Namshukuru Mungu ,wasimamizi wote wanawapa wabunge wote nafasi huru wakutoa hoja zao kwauhuru,
@marufubaruani3806
@marufubaruani3806 4 жыл бұрын
Mashaallah mama Allah akulipe kwa kuwatetea wapiga kula wako.
@paulmafuru7283
@paulmafuru7283 6 жыл бұрын
nimekuelewa Mama, Unajua unachokiongea hongera sana
@meshackemmanuelmasawe3282
@meshackemmanuelmasawe3282 4 жыл бұрын
Tisha sana mama
@innocentleoni8454
@innocentleoni8454 Жыл бұрын
Aliyewaondoa Bungeni hawa kwa hila Mungu amlaani. Ndomaana tunateseka kwasababu za ujinga wa walio wengi walioshirikiana na kutuletea mjinga mwenzao atuongoze.
@francisdamas2597
@francisdamas2597 6 жыл бұрын
mashallah mama angu upo vizuri sana
@shadiluck9015
@shadiluck9015 7 жыл бұрын
mama anajua
@selemanteketeke6911
@selemanteketeke6911 6 жыл бұрын
maashaallah! mama respect kwako.
@listasimfukwe3979
@listasimfukwe3979 6 жыл бұрын
hongera kwa kazi
@gracesisso9971
@gracesisso9971 6 жыл бұрын
Big up mamy nakukubali uko juu tuko pamoja
@ricksonmrema1693
@ricksonmrema1693 4 жыл бұрын
Ubarikiwe mama mungu akulinde sana
@hechechacha4032
@hechechacha4032 7 жыл бұрын
mama riziki big up
@luthermushi9699
@luthermushi9699 5 жыл бұрын
,
@mhlegusekambona2818
@mhlegusekambona2818 6 жыл бұрын
Mibunge ya CCM ikisikia hoja inayowabana na kuonesha weakness zao yanakimbilia neno 'TAARIFA' au MUONGOZO ili kumpoteza mchangiaji asisimame kwenye hoja zake
@victorernest7702
@victorernest7702 5 жыл бұрын
Mhleguse Kambona kaka nchi hii bila waheshimiwa kama hao hatutafika ,,,nahuyo naibu wako amekaa kukosoa hatar vitu vya maana ,,,amin kwamba mbuge wa upinzan mmoja,,sawa wabunge mia wa fisiem
@iddkupaza1329
@iddkupaza1329 6 жыл бұрын
Daaa huyu mama anafaa nimefurai
@adijahomar7987
@adijahomar7987 3 жыл бұрын
I love mum sema ukweli
@shekhahamed7625
@shekhahamed7625 6 жыл бұрын
Mwenyekiti upo vizuri
@godfreymagoso5235
@godfreymagoso5235 6 жыл бұрын
Shikamoo mama,,,,
@gibsonartisan1848
@gibsonartisan1848 6 жыл бұрын
Asante mama na Ndiyo maana ukaitwa mama
@allyngoda761
@allyngoda761 5 жыл бұрын
Namuombea mungu Sana Zito Chama chake kisipate nafasi ya Urais, kwani tutakosa mengi Sana, ingekua idhini yangu huyu Jamaa angekua mbunge Maishani mwake tena wa upinzani, kwani hivi vitu alivyonavyo huwezi kuvipata kwenye Chama kinachotawala
@sauidrashid3304
@sauidrashid3304 6 жыл бұрын
Good sana mama nimekusoma
@shabanmkenga3154
@shabanmkenga3154 6 жыл бұрын
Huyu mama anafaa sana katika matumizi ya kujenga rasilimal nchi yupo vizuri sana
@wrghkjdghklljg3819
@wrghkjdghklljg3819 6 жыл бұрын
mungu akuzidishie hekima mama
@jephshadrack8102
@jephshadrack8102 6 жыл бұрын
Mama Shahari maneno yako yana maana kwa watu wenye akili timamu tu!! Vinginevyo nikumpigia mbuzi gitaa, hata hivyo endelea kupaza sauti mama huenda iko siku utaeleweka.
@gastobruno8779
@gastobruno8779 6 жыл бұрын
Shida moja mama hata uongeee vipi points Kunawatu wagumu vichwa kaa vya kambare
@victorernest7702
@victorernest7702 5 жыл бұрын
Gasto Bruno tena mikambare matope ya shamba lampunga
@ismailkidongo9384
@ismailkidongo9384 4 жыл бұрын
Kweli kabisa hasa wabunge wa ccm
@tunumlokoz1002
@tunumlokoz1002 6 жыл бұрын
Mungu akubariki mama na mungu anatuasa tuseme ukweli hakama unama
@juliuselias7301
@juliuselias7301 7 жыл бұрын
yeah
@hechechacha4032
@hechechacha4032 7 жыл бұрын
ccm hawasikii kabisa Wanasema saSa hivi kuwa wananchi wamewateka kazi yao ni kudhalilisha watu
@ahmadishaibu1977
@ahmadishaibu1977 6 жыл бұрын
Mama upo vzr unaongea point
@speciozakisukuli3029
@speciozakisukuli3029 6 жыл бұрын
Big up mama MWANAMKE KUJENGA HOJA
@estaakili8728
@estaakili8728 7 жыл бұрын
mama ni mzuri,zíto sijamwelewa anachoongea
@DM-cv3kc
@DM-cv3kc 6 жыл бұрын
Esta Akili Zitto ameongea mkato, ila ya maana sana, anachosema ni kwamba kubadili sheria ya umiliki haitoshi, tubadili mfumo wa uzalishaji tutumie ukandarasi badala ya hisa
@thadeymodaha9082
@thadeymodaha9082 6 жыл бұрын
Esta Akili hujamwelewa maana una kichwa kigumu
@johnsonjerome9837
@johnsonjerome9837 4 жыл бұрын
@@DM-cv3kc x
@sifuelinyaki3341
@sifuelinyaki3341 4 жыл бұрын
Nimemuelewa san mhe: riziki shahari kama wabunge wanekuwa wanaenda bungeni kwa matatizo ya wananchi kam huyu mama hakika wangelifikisha taifa hili mbali
@jonesgeorge3152
@jonesgeorge3152 5 жыл бұрын
Bunge live.jamani tunakosa mengi,nape mungu anakuona
@gastordominic410
@gastordominic410 6 жыл бұрын
Live longer mama hadi mwsho wa bunge
@marcomwaimu3979
@marcomwaimu3979 6 жыл бұрын
Mama yupo vizuri aiseee wape wape hao wanaofumba macho
@jaziraomary6501
@jaziraomary6501 6 жыл бұрын
hongera mama.
@musikulamuhaya9384
@musikulamuhaya9384 6 жыл бұрын
mama uko vizuri kwa kusema hukweli.
@suzandeus7713
@suzandeus7713 6 жыл бұрын
love you mama
@gaudenciamallya9779
@gaudenciamallya9779 4 жыл бұрын
Watanzania kama huyu mama ni adimu sana Jamani (wabunge wote angekuwa hivi! Nchi yetu ingenyooka Mbona? Sheria zinatungwa kingereza wasiojua kingereza wanasindikiza or? Wapi msukuma!
@georgebulege6320
@georgebulege6320 7 жыл бұрын
msukuma ndo walewale wanaoletewa mikataba ya kiingeleza wanakubalitu ndioooo pumbavu sana mwambie baba yako hakurudishe shule ukasome
@erasmusnzibonela5151
@erasmusnzibonela5151 6 жыл бұрын
George Bulege akapimwe mkojo
@kennethjohny4854
@kennethjohny4854 6 жыл бұрын
😂😂😂😂
@anafikamugisha8834
@anafikamugisha8834 5 жыл бұрын
Nakukubali sana Zitto unajiamini sana,unajielewa&unaweza kujenga hoja
@mjukuuwakaswaga1808
@mjukuuwakaswaga1808 4 жыл бұрын
Hahahahahaaa
@ceciliajimmy5652
@ceciliajimmy5652 5 жыл бұрын
Mama yangu, bila kujali itikadi za vyama, umenena, Mungu akubariki. Ila angekuwa mpinzani angeishakamatwa na kuwekwa rumande bila dhamana. Sasa wajinga watakuona mwiba kama Bashe. Tunaomba miiba iwe mingi ili tusaidie wanyonge. Kwani tunaposema " samaki mmoja akioza wote wameoza " Je, ukiangalia kwenye tenga wote watakuwa wote wameoza kweli? Big-up sanaa mama.
@asiamwinuka6655
@asiamwinuka6655 5 жыл бұрын
Safi Sana mama
@nabasonsanga8593
@nabasonsanga8593 5 жыл бұрын
Nawachukia Sana mbunge anayetuwakirisha bungen kwa lugha ya kiingereza na kiarabu huwa nawaona kama walevi hiv hawajui kuwa hata baba yake anafuatiria bunge hata wa St vii bunge ni muhimu kwake
@ibrahimzuberi1029
@ibrahimzuberi1029 6 жыл бұрын
maaashaaallah uyu bimkubwa ni fundi
@davidemanuel8044
@davidemanuel8044 6 жыл бұрын
huyu mama hata kuwa raisi anafaa kabisa
@shabanibakari1760
@shabanibakari1760 6 жыл бұрын
David Emanuel african merod taharabu
@mlowegodfrey5980
@mlowegodfrey5980 4 жыл бұрын
Nimekuelewa mama hongera
@stevenarthur3537
@stevenarthur3537 6 жыл бұрын
Mam Mungu akujalie kwa kuongea ukweli bila hofu
@daudhenry913
@daudhenry913 6 жыл бұрын
Mama yupo vizuri
@gastordominic410
@gastordominic410 6 жыл бұрын
Keep it up mama
@hassandito6728
@hassandito6728 5 жыл бұрын
Safi sana mama
@emanuelimbise496
@emanuelimbise496 6 жыл бұрын
vizuri sana mama
@paschalnarri8322
@paschalnarri8322 6 жыл бұрын
uko vizuri sana kwa busara jmn
@hamisiharuna3099
@hamisiharuna3099 4 жыл бұрын
Huyo naye msukuma kama kingereza shida miaka yote anafanya nini kwanini asijifunze hicho kingereza, akina diamond awali hawakkukijua lkn leo wanakiongea yeyey anabweteka
@abdulseif4093
@abdulseif4093 7 жыл бұрын
special 1 mjengoni
@mariokilyenyi4995
@mariokilyenyi4995 5 жыл бұрын
mama" yupo vizur
@dutchsirbugo5996
@dutchsirbugo5996 4 жыл бұрын
Santee mama ang uko vzur
@sunrishmussan7929
@sunrishmussan7929 6 жыл бұрын
Hakika Zito na bibi ye2 ni wa2 wnye hekma na buxara wnye kjua maslah ya nchi kwaujumla wapnzani mko vzur xana ila huu upnde mwngne wao kila hoja ndio tyuuuuuu duuu shda kwel nchi hii.
@missagatha1756
@missagatha1756 6 жыл бұрын
dah mama ww nomaaa mpaka raha
@rashidayoub7784
@rashidayoub7784 6 жыл бұрын
Ahsante Sana Zito zuber kabwe kwa nasaha zako adhimu kabisa
@charlesmangasin4774
@charlesmangasin4774 6 жыл бұрын
mama we nimtanzania naunamachungu na Tanzania mpaka imeniuma mtu anaenda shabikia vtu vyakujal tumbo lake pacna kujua ye ndo kawekwa na kura za wananchi😢😢😢😢
@edwinekaboyoka2917
@edwinekaboyoka2917 5 жыл бұрын
Msukuma go back to school,usipoteze mda wa waliotumia wakati wao stahiki kwenda shule,pia mliompa ridhaa ya kuwawakilisha mjitathimini kwenye maamuzi yenu.
@mickmsigwa3492
@mickmsigwa3492 6 жыл бұрын
nice
@frankmailu943
@frankmailu943 6 жыл бұрын
Shikamoo mama shahari
@juliusntandu9232
@juliusntandu9232 7 жыл бұрын
zitto kabwe is a leader
@mganakitandu8195
@mganakitandu8195 6 жыл бұрын
Jamani serikali waeleweni sana waapizani bungeni wapo sawa sana
@gastobruno8779
@gastobruno8779 6 жыл бұрын
Big up mama 👏👏👏👏
@abdulrahimzuberi2697
@abdulrahimzuberi2697 5 жыл бұрын
Gasto Bruno mashallah mama ni Mama asante kazi nzuri mbunge anaejitambua
@loner_wolf
@loner_wolf 4 жыл бұрын
NITAPIGA KURA MBILI TU , dawani na rais TU .
@charleschoma9555
@charleschoma9555 5 жыл бұрын
Mama huyu msomi anajua mengi
@tabiakadondoro1693
@tabiakadondoro1693 6 жыл бұрын
Nimekuelewa mama
@babanuraty3165
@babanuraty3165 6 жыл бұрын
DAAAH HIII HATAREEEEEEEEEEEE KUTOJUA KIINGEREZA KWA HIYOOO SASA IWEJE LUGHA MLIZOPITISHA KUTUMIKA BUNGENI NI MBILI KISWAHILI NA ENGLISH JAMAN MMH WAHESHIMIWA TUNAOMBA MTUTENDEEE HAKI JAMANI
@janethurio2453
@janethurio2453 6 жыл бұрын
lait tungepata wamama kumi bungeni kama ww. Nchi yetu ingepata uelekeo. Mungu akulinde mm yangu kwa kucmamia ukweli.
@bakarimngazija6672
@bakarimngazija6672 6 жыл бұрын
CCM hawezi kufanya kitu katika nchi hii kwaajili ya wananchi .Mifano iliyotolewa ni kwaajili ya matokeo yalivyokuwa katika nchi tofauti ambazo zimeingia katika machafuko ambayo yaliweza kuepukikwa kama CCM mnafikiria nchi hii ni milki yenu iko siku mtakuja kujutia. Ushabiki wa CCM hauna macho.
@user-ig5yn4zp2u
@user-ig5yn4zp2u 2 ай бұрын
Kachuni unampotezea mda mama tetu
@makalanimau4649
@makalanimau4649 6 жыл бұрын
mama usikose kugombea mwaka2020 tutakupigia,mama were unatisha sanaa
@danielgasaya6720
@danielgasaya6720 6 жыл бұрын
Duh sijui kingereza, duh msukuma anampotezea mada mama kiaina
@mugemainyas5241
@mugemainyas5241 6 жыл бұрын
Hilo neno la mnaharibu inawezekana hata nyinyi mnaoongea mnaharibu lakini hata nyinyi wenyewe mnasema mnatengeneza
@zakaboy1305
@zakaboy1305 5 жыл бұрын
daah ana hekima
@madibamadiba1553
@madibamadiba1553 4 жыл бұрын
Mama Yuko vzr
@stanleymfikwa8237
@stanleymfikwa8237 6 жыл бұрын
Pole msukuma! Kusoma kunafaida.
@nyamshanyawaryoba8998
@nyamshanyawaryoba8998 4 жыл бұрын
Jaman wabunge kwel wanatukosea capita kula tukisha wapakula hao dar wakitaka kula ndowanarud nihaki kwel wadau
@patrickKitambo
@patrickKitambo 5 жыл бұрын
Zitto ni asset serikal mtumien
@swamadujumanne795
@swamadujumanne795 5 жыл бұрын
mama mungu atakulipa
@patrickKitambo
@patrickKitambo 5 жыл бұрын
Mwanazuoni malidadi katika tasnia nzima ya lugha adhimu ya Kiswahili na kingereza
Zitto Kabwe 'ACHARUKA' Bungeni "Tusije Kulaumiana, Siasa Itakuwa Ngumu"
15:02
Vazi la Mnyika Laleta Kizaazaa Bungeni, Awatemea Mbovu Wabunge wa CCM
7:53
路飞被小孩吓到了#海贼王#路飞
00:41
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 83 МЛН
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 9 МЛН
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 78 МЛН
ZITTO KABWE: "Tulieni Niwapige Nondo, Hamna Pesa Nyinyi"
8:01
Global TV Online
Рет қаралды 661 М.
Msukuma Awakomalia Chenge, Ngeleja Sakata la Makinikia
10:31
Global TV Online
Рет қаралды 184 М.
Lissu afunguka kuhusu madini 'Mungu anasikia.. mtaniambia'
17:29
Millard Ayo
Рет қаралды 373 М.
Godbless Lema Aliamsha Dude Bungeni, Hali ya Hewa Yatibuka
15:51
Global TV Online
Рет қаралды 573 М.
Dakika 10 za Zitto Kabwe bungeni wiki hii
10:17
Millard Ayo
Рет қаралды 256 М.
Zitto Kabwe VS Dk Tulia Ackson, Full package
19:34
Mwananchi Digital
Рет қаралды 320 М.
ZITTO KABWE Alivyowasha MOTO Bungeni, SAKATA la KOROSHO
17:08
Global TV Online
Рет қаралды 553 М.
"Tusinunue Ndege Kama Tunanunua Machungwa" - JOHN HECHE
4:51
Global TV Online
Рет қаралды 278 М.
SUGU: "Please Don't Shut Me! Tubishane kwa Hoja na Siyo Bunduki"
11:24
Global TV Online
Рет қаралды 466 М.