Dah! Nimeipenda sana hiyo shule.Ina mazingira mazuri, halafu safi kinoma.Big up mkurugenzi wa shule, mkuu wa shule na walimu wote pamoja na wafanyakazi wengine wa shule hiyo.👏👏👏👏
@cineplus-tv2552 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/aXjcdaptqM2JqaM
@josephkisibijr.42612 жыл бұрын
Just love the part of supplementaries😂😂🔥🔥. It's a great idea,,,, I think I need a job in KEMEBOS. This is not just investment but also a great blessing to the founder of KEMEBOS,,, pure heart,, a man of development,,we need more of him in TANZANIA 🔥🔥.
@victoriaishengoma56342 жыл бұрын
Shule Ni nzuri Mwanangu amesoma hapa amepata Div 1.7 F4 Hongereni sana sana. Mambo ya kuboresha: -Wekeni muda wa watoto kucheza -Wekeni Extra curricular training activities ili Kuibua na kukuza vipawa ; Kama Music, Arts etc -Punguzeni kuchapa watoto tumieni positive Discipline. Non Teachers staff wasipige watoto. All ni all kazi yenu nzuri sana.
@andrewmachage91022 жыл бұрын
Dah wanapiga hao mdg wang kidg wamuue
@christinagideon9612 жыл бұрын
Mbona kasema hawachapi bila kibali
@andrewmachage91022 жыл бұрын
@@christinagideon961 muongo huyo hyo shule kwnz kuna waganda wengi xn ndo waalimu wa hapo na unawajua vzr wajukuu wa iddi Amin dadaa
@sweetbertrwiza59822 жыл бұрын
Shida inawezekana hopo kuna watoto wa matajiri ndio maana wanaogopa kuchapwa wamezoea kudekezwa, na usipowachapa wanakuwa legelege wacha wanyukwe
@hadijamandanje61892 жыл бұрын
@@christinagideon961 hawwzi kusema tunachapa Sana Ila kwa maelezo ya anaetafuta viboko anavipata jibu tosha
@kamalaeditha58642 жыл бұрын
Hongera Sana mmiliki na walimu kweli kazi yenu ni njema Sana. Mungu awabariki sana. 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@verdianrweyemamu63672 жыл бұрын
Kazi nzuri Sana kaizilege na kemebos, Pia Asante Sana Millard Ayo kwa makala hii nimejifunza mengi🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@kassimibrahim47762 жыл бұрын
Amazing man.....i do booking for my son in next 3years to come
@francisshake80162 жыл бұрын
This is very impressive for a school director hongera Sana bazuu
@silverman69302 жыл бұрын
Well the school is doing great … but this is the problem of Tanzanian education we all focus on divisions one two or three extra … having general skills will be more important cos the sad part is there is not enough jobs out there at the min unless you can employ yourself… the whole education system needs looking completely
@khamisshee51312 жыл бұрын
MASHAALLAH MUNGU ambariki sana AMIN AMIN AMIN 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@OnlyRuky2 жыл бұрын
Wawooooo....Mashaalah. Serikali njooni mjifunzee hapa
@fakihdarusi43852 жыл бұрын
Mmmh! Mbona izo mikakati ya kawaida tu
@clintonkhan49612 жыл бұрын
Niko Kenya ila natamani Sana mwanangu asomee hiyo shule. Hongera Sana Mzee mkurugenzi💪💪💪.
@frankbangimoto34622 жыл бұрын
Hongereni sana mkuu. Ni mfano wa kuigwa na wawekezaji wengine.
@geophreymlewa38632 жыл бұрын
Aiseeee inashawishi , inavutia, inakufanya ufikirie juu ya haya kazi nzuri kaka hongeraa sanaaa hizi shule big up sanaaaaaaaaaa kwa mmiliki na walimu wa ujumla
@tunkuh6612 жыл бұрын
Kuna cha kujifunza hapa... hongeraa sana Mkurugenzi na team yako.
@justinendizeye7142 жыл бұрын
Amazing protols, kama juli ughaibuni 👏👏👏👏👏
@linamacha76862 жыл бұрын
👏👏👏👏Duuuuuuu hongereni sana pamoja na yote kuwa mazuri nimependa sana hilo la kutokuchapa watoto maana walimu wengi wanapiga sana watoto jamani mimi mwakani namleta mwanangu kwa nyeupe kabisaaaaaa
@rosemarysulle92882 жыл бұрын
Wana chapa mnooo km mtt haelewi.mm ninawatt hpo na nimekuwa na kesi mara nyingi ya kuchapiwa wtt kikatili.baadhi ya waalimu cjui ni mijaluo?
@jamesobedy39402 жыл бұрын
@@rosemarysulle9288 😳😳😳😳
@emes6022 жыл бұрын
@@rosemarysulle9288 watoto wako hawaelewi?
@jovinathasavoie80182 жыл бұрын
Wow that is a good strategy.,hii shule haipo mbali na nyumbani, nafurahi kuona hizo mbinu nyingine zipo kama za huku nje.Asante millard Ayo,iam your big fun.greetings toka USA.
@hajimusa98102 жыл бұрын
Aisee hongereni sana Mungu awabariki sana na huu uwe mfano kwa shule zingine
@robertkimaryo71782 жыл бұрын
Safi sana, kweli hakuna mtoto mjinga. Muhimu ni Malezi tu! Shukrani sana Ayo TV, hii interview ina kiwango cha Hali ya juu.👌
@sarahgaula22202 жыл бұрын
Hii makubaliana nayo nimewahi.kuwa na mtoto WA wifi yangu alifiwa na mama akabaki na wa kambo alipata zero nikakaa naye akamaliza na 2 form 6
@JoshuaShoo6 ай бұрын
MUNGU AKUBARIKI
@Mubarak5522 жыл бұрын
Hongera Sana shule ya Kaizirege, kweli kazi inafanyika
@MwantumRashidi8 ай бұрын
Hahahaha😂😂😂hata mie tuu ningekaza butiii aisee nan asiependa zawad nchii hiii anyooshe mkono nimwoneee nimeipenda sana
@mastajabudekula48282 жыл бұрын
If you had a best school this is the one.best of the best
@victormajariwa84842 жыл бұрын
Nime fanya kazi apo namkubali sana mkurugenzi ukiwa na shida anaga kinyongo anakupa zaid ata ya mshala wako
@fremwamedia19762 жыл бұрын
Ila shule zingne Kila cku vitisho Kwa wafanyakazi
@abubakarihamisikawambwa2465 Жыл бұрын
Naomba mawasiliano ya hapo shule namba zao
@lylyanaloyce28582 жыл бұрын
Yaan amna mbinu nyingne za ufaulishaji zaidi computation kwa wanafunzi wenyewe na fimbo juu .I really love that school ndo imenifanya nisimame hapa nilipo
@peterlujuo16402 жыл бұрын
Mwamba kaishia std 7 tu. Kaajili watu wenye masters, kama hakuna ulichojifunza apo bas tena
@wazirihamisi64842 жыл бұрын
Hahahahahahah Kaka P
@zuleikhakhamis33032 жыл бұрын
kabisa apo utumie akili tuu sio kusoma ili uje kuajiriwa na serikali
@nestoemanuel17682 жыл бұрын
Brother millard Ayo tunashukuru kwa habari mzuri💥💥
@yusufmohamed88742 жыл бұрын
Dah! Amegusa moyo wangu. Keep it up mwamba
@naomistanslaus21112 жыл бұрын
Hongera sana mzee Kaizirege Wagila mayo
@DrFatmaKhanPanAfrikan2 жыл бұрын
UBaarikiwe sana Mzee Kaizerege. Hongera sana
@azizamvungi64092 жыл бұрын
kusoma sio ishu ishu maisha kwakweli unaweza ukasoma na usiwe na plani kwakweli nimejifunza kitu..hapa
@justinendizeye7142 жыл бұрын
Muonekano wa shule, usafi yani baba huyu Big Salut 🤠🤠🤠
@AinekishaRwiza Жыл бұрын
Big up kwa wahaya🙌
@wazirihamisi64842 жыл бұрын
Mwalimu huyu yuko vzr big sana teacher
@Mpakauseme2 жыл бұрын
Mtu mwema sana ni tajiri wa asili ana mbwembwe na huyo mwanalimu mkuu ni mtu poa sana pahala hapo lazima pawe na bless
@halfankallah71732 жыл бұрын
Hapo Kwenye suala la Ada nmewakubaliiiii Huwa inatuaribu Sana kisaikolojiaaa kweny suala la kudaiwa
@yuliahenry33832 жыл бұрын
Shule Ina mazingira mazuri ya usomaji . Hiki ni kigezo Cha kwanza. Conducive environment. Kudos 🔥🔥🔥🔥🔥
@iffahbahet14992 жыл бұрын
Mkuu wa shule anafafanua vizuri Sana Hadi raha
@mussachief10242 жыл бұрын
Na matokeo ya form 6 bado mmeshikilia nafas ya kwanza kitaifa hongeren sana
@robertabel69842 жыл бұрын
Millardayo:Kun walimu wenye masters hapa? Mwalim mkuu: Ndiyo ikiwemo na mimi mwenyewe tunao walimu 9 wenye masters😆😆😆😆😆😆😆😆😆💪💪💪
@gilbertkasikila52942 жыл бұрын
😂😂😂 noma sana. Watu wengi wanadhani ualimu ni kazi ya waliofeli kumbe ni tofauti sana
@bellerlynx61222 жыл бұрын
Appreciate Kemebos
@mbwanamtessa86072 жыл бұрын
Daaaah...... nimeipenda sana hii shule aisee
@avitusmichael52 жыл бұрын
Shule nzuri sana hiyo, hongereni
@lulusimba75262 жыл бұрын
Kuna cha kujifunza hapa hongera sana mkurugenzi pamoja na team yako
@efraimobadia49442 жыл бұрын
Mungu ambariki huyo mwekezaji
@jeromekabogo94562 жыл бұрын
Hayoo ni mkulugenzi mwenye utu wa kipekee mungu amlinde palikiwa babaa
@evancerwamugata10642 жыл бұрын
Our school 🔥🔥@class of 2019
@brayanjames99532 жыл бұрын
Yani feza ni wasenge tu kwa kaizilege mahana ada ya feza ni kubwa zaidi ya m10 kwa mwaka na ya kaizilege ni ndogo sana m3.5 lakini ina kuwa ya kwanza kitaifa duuuu
@consolatarwabuganda71872 жыл бұрын
Yusto nimempenda sana, mwenyezi mungu amlinde😭😭
@brysonuronu58622 жыл бұрын
Mungu akubariki sana sana ... Nimefurahi mno
@eliezerhokororo17492 жыл бұрын
Hongera kwa mwl mkuu, anajua kujieleza kwakweli na kueleweka. Ila rafudhi yake sasa
@ikosawatv2 жыл бұрын
🤣🤣🤣rafudhi
@humphreykamuhungiraobenets99482 жыл бұрын
Lafudhi bhn sio rafudhi
@faysasalax55512 жыл бұрын
Hongera kwa mmiliki wa shule mungu azikumuongoza
@winniewairimu38222 жыл бұрын
Ila hii chanel naipenda sana Millardy ayo Mungu akubariki Sana,ipo siku nitawaita mje muone mafunzo nilojifunza kwenu, maana nanijenga mno
@maroasamson62192 жыл бұрын
Nimependa mazingira rafiki yenye madhari na miundombinu ya kutia hamasa ya kusoma, hongera kaisare
@pudensiamhina64782 жыл бұрын
Kwa kweli
@KakaDanny2 жыл бұрын
Hongeresa sana kwa mmiliki na wafanyakazi. ILA CCTV vyumbani SIO sawa. Wangeweka kuzunguka mabweni na wangeona nani kaingia na kutoka saa ngapi. SIO ndani ya mabweni !
@rosemarysulle92882 жыл бұрын
Siyo sawa kwann?kama kuna watoto wanatabia mbaya si watawaharibu wengine?tena afunge mpk vyooni
@rosemarysulle92882 жыл бұрын
Hiyo shule ni nr sana ila wtt wetu watabasti vichwaa jmn.wanasoma hao ni hatari.
@KakaDanny2 жыл бұрын
@@rosemarysulle9288Siyo utaratibu. Kuna mipaka ya usiri ( "Privacy") na ndio maana ya kuwa na mlezi ( Matron mfano ) kufuatilia watoto kwa karibu na siyo Kazi ya CCTV !
@chiefchacha29922 жыл бұрын
Waweke tu had choon coz kuna matukio mengi sana ya uchomaji wa shule
@geofray01322 жыл бұрын
Yaaani kuna mijitu inajifanyaga inajua kuliko mwanzilishi
@paulinacherement25342 жыл бұрын
Work hard as a slave and ...you will live like king.
@mgcs20762 жыл бұрын
Perfect
@stanslausmteme8455 Жыл бұрын
Iv ndivyo walimu wanatakiwa wawe handled hongera sana mkurugenzi ni mfano bora wa kuigwa
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
Duh congratulations 🔥🔨
@hildadaudi61092 жыл бұрын
Amazing ❤️❤️
@kabwelasutiviraka47652 жыл бұрын
Mfumo wa elimu Tanzania ulitakiwa wote ufumuliwe na usukwe upya , mitihani na elimu ya Tanzania haijengi na kuchochea udadisi na ufikiriaji yakinifu. Ni mfumo wa kukalili ili kufauli mtihani ndio maana nchi haizalishi wanasayansi wengi na wabunifu na wagunduzi
@lovenessandrew91212 жыл бұрын
Yaani ni maumivu ya mawazo yangu kila siku....huu ni mfumo wa kikoloni ambao walifanyia kazi wakajua kabisa kuwa Africa itaendelea kuwa tegemezi,mfumo ambao tumeurithi toka Kwa wazungu viongozi hawajawahi kuwaza kubadirisha mfumo huu ambao bado unaendelea kufunga ufahamu wa akili zetu..... Hii serikali yetu Bwana
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
@@lovenessandrew9121 Kiukweli hilo nalo ni janga kwa Taifa.
@sweetbertrwiza59822 жыл бұрын
Halafu mtu anasoma anafaulu vizuri mwisho wa siku anaanza kutafuta kuajiajiliwa!!
@lovenessandrew91212 жыл бұрын
@@sweetbertrwiza5982 ndo uwaze hapo sasa,mtaji anautoa wapi na kasomeshwa Kwa kuungaunga na wazazi wake,wameuza pombe mpaka akili zimeingia ganzi,wakiamini kuwa mtoto atakuja kupata kazi apunguze umaskini nyumbani...... Haya maisha sio jaman tutaishia kuteseka kwakweli
@emmanuelmasanja60402 жыл бұрын
Huyu mzee ajengewe sanamu
@joevang46859 ай бұрын
motivesheni kwa mwalimu muhimu sana
@ilovejesus93032 жыл бұрын
Twaba shobokelwa❤️❤️❤️
@winstonmutafungwa88952 жыл бұрын
THE BEST STRATEGY FOR A SUCCESSFUL SCHOOL!! PROUD TO KNOW THERE'S A TANZANIAN DOING AN AMAZING JOB IN CHAMPIONING A NO.1 SCHOOL IN TZ
@maxwellfamily37724 ай бұрын
Daaaaah mwalimu ka feli sio jamaa hana elimu kubwa ila hapa elimu kubwa ya darasani, na anaelimu kubwa ya mtaani,. Formal and informal education inamaanisha mwalimu kasahau.
@jamuhurisalumu35142 жыл бұрын
Hongora sana kaizilege shule iyo nimeikubari sana Mungu akubariki sana