EXCLUSIVE: MMILIKI WA SHULE ZA KAIZEREGE/KEMEBOS, KAISHIA LA 7, KANUNUA SCANIA MARCOPOLO 7

  Рет қаралды 282,842

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 676
@gladnessrwegalurila3843
@gladnessrwegalurila3843 2 жыл бұрын
Dah! Nimeipenda sana hiyo shule.Ina mazingira mazuri, halafu safi kinoma.Big up mkurugenzi wa shule, mkuu wa shule na walimu wote pamoja na wafanyakazi wengine wa shule hiyo.👏👏👏👏
@cineplus-tv255
@cineplus-tv255 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/aXjcdaptqM2JqaM
@josephkisibijr.4261
@josephkisibijr.4261 2 жыл бұрын
Just love the part of supplementaries😂😂🔥🔥. It's a great idea,,,, I think I need a job in KEMEBOS. This is not just investment but also a great blessing to the founder of KEMEBOS,,, pure heart,, a man of development,,we need more of him in TANZANIA 🔥🔥.
@victoriaishengoma5634
@victoriaishengoma5634 2 жыл бұрын
Shule Ni nzuri Mwanangu amesoma hapa amepata Div 1.7 F4 Hongereni sana sana. Mambo ya kuboresha: -Wekeni muda wa watoto kucheza -Wekeni Extra curricular training activities ili Kuibua na kukuza vipawa ; Kama Music, Arts etc -Punguzeni kuchapa watoto tumieni positive Discipline. Non Teachers staff wasipige watoto. All ni all kazi yenu nzuri sana.
@andrewmachage9102
@andrewmachage9102 2 жыл бұрын
Dah wanapiga hao mdg wang kidg wamuue
@christinagideon961
@christinagideon961 2 жыл бұрын
Mbona kasema hawachapi bila kibali
@andrewmachage9102
@andrewmachage9102 2 жыл бұрын
@@christinagideon961 muongo huyo hyo shule kwnz kuna waganda wengi xn ndo waalimu wa hapo na unawajua vzr wajukuu wa iddi Amin dadaa
@sweetbertrwiza5982
@sweetbertrwiza5982 2 жыл бұрын
Shida inawezekana hopo kuna watoto wa matajiri ndio maana wanaogopa kuchapwa wamezoea kudekezwa, na usipowachapa wanakuwa legelege wacha wanyukwe
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 2 жыл бұрын
@@christinagideon961 hawwzi kusema tunachapa Sana Ila kwa maelezo ya anaetafuta viboko anavipata jibu tosha
@kamalaeditha5864
@kamalaeditha5864 2 жыл бұрын
Hongera Sana mmiliki na walimu kweli kazi yenu ni njema Sana. Mungu awabariki sana. 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@verdianrweyemamu6367
@verdianrweyemamu6367 2 жыл бұрын
Kazi nzuri Sana kaizilege na kemebos, Pia Asante Sana Millard Ayo kwa makala hii nimejifunza mengi🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@kassimibrahim4776
@kassimibrahim4776 2 жыл бұрын
Amazing man.....i do booking for my son in next 3years to come
@francisshake8016
@francisshake8016 2 жыл бұрын
This is very impressive for a school director hongera Sana bazuu
@silverman6930
@silverman6930 2 жыл бұрын
Well the school is doing great … but this is the problem of Tanzanian education we all focus on divisions one two or three extra … having general skills will be more important cos the sad part is there is not enough jobs out there at the min unless you can employ yourself… the whole education system needs looking completely
@khamisshee5131
@khamisshee5131 2 жыл бұрын
MASHAALLAH MUNGU ambariki sana AMIN AMIN AMIN 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@OnlyRuky
@OnlyRuky 2 жыл бұрын
Wawooooo....Mashaalah. Serikali njooni mjifunzee hapa
@fakihdarusi4385
@fakihdarusi4385 2 жыл бұрын
Mmmh! Mbona izo mikakati ya kawaida tu
@clintonkhan4961
@clintonkhan4961 2 жыл бұрын
Niko Kenya ila natamani Sana mwanangu asomee hiyo shule. Hongera Sana Mzee mkurugenzi💪💪💪.
@frankbangimoto3462
@frankbangimoto3462 2 жыл бұрын
Hongereni sana mkuu. Ni mfano wa kuigwa na wawekezaji wengine.
@geophreymlewa3863
@geophreymlewa3863 2 жыл бұрын
Aiseeee inashawishi , inavutia, inakufanya ufikirie juu ya haya kazi nzuri kaka hongeraa sanaaa hizi shule big up sanaaaaaaaaaa kwa mmiliki na walimu wa ujumla
@tunkuh661
@tunkuh661 2 жыл бұрын
Kuna cha kujifunza hapa... hongeraa sana Mkurugenzi na team yako.
@justinendizeye714
@justinendizeye714 2 жыл бұрын
Amazing protols, kama juli ughaibuni 👏👏👏👏👏
@linamacha7686
@linamacha7686 2 жыл бұрын
👏👏👏👏Duuuuuuu hongereni sana pamoja na yote kuwa mazuri nimependa sana hilo la kutokuchapa watoto maana walimu wengi wanapiga sana watoto jamani mimi mwakani namleta mwanangu kwa nyeupe kabisaaaaaa
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 2 жыл бұрын
Wana chapa mnooo km mtt haelewi.mm ninawatt hpo na nimekuwa na kesi mara nyingi ya kuchapiwa wtt kikatili.baadhi ya waalimu cjui ni mijaluo?
@jamesobedy3940
@jamesobedy3940 2 жыл бұрын
@@rosemarysulle9288 😳😳😳😳
@emes602
@emes602 2 жыл бұрын
@@rosemarysulle9288 watoto wako hawaelewi?
@jovinathasavoie8018
@jovinathasavoie8018 2 жыл бұрын
Wow that is a good strategy.,hii shule haipo mbali na nyumbani, nafurahi kuona hizo mbinu nyingine zipo kama za huku nje.Asante millard Ayo,iam your big fun.greetings toka USA.
@hajimusa9810
@hajimusa9810 2 жыл бұрын
Aisee hongereni sana Mungu awabariki sana na huu uwe mfano kwa shule zingine
@robertkimaryo7178
@robertkimaryo7178 2 жыл бұрын
Safi sana, kweli hakuna mtoto mjinga. Muhimu ni Malezi tu! Shukrani sana Ayo TV, hii interview ina kiwango cha Hali ya juu.👌
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 2 жыл бұрын
Hii makubaliana nayo nimewahi.kuwa na mtoto WA wifi yangu alifiwa na mama akabaki na wa kambo alipata zero nikakaa naye akamaliza na 2 form 6
@JoshuaShoo
@JoshuaShoo 6 ай бұрын
MUNGU AKUBARIKI
@Mubarak552
@Mubarak552 2 жыл бұрын
Hongera Sana shule ya Kaizirege, kweli kazi inafanyika
@MwantumRashidi
@MwantumRashidi 8 ай бұрын
Hahahaha😂😂😂hata mie tuu ningekaza butiii aisee nan asiependa zawad nchii hiii anyooshe mkono nimwoneee nimeipenda sana
@mastajabudekula4828
@mastajabudekula4828 2 жыл бұрын
If you had a best school this is the one.best of the best
@victormajariwa8484
@victormajariwa8484 2 жыл бұрын
Nime fanya kazi apo namkubali sana mkurugenzi ukiwa na shida anaga kinyongo anakupa zaid ata ya mshala wako
@fremwamedia1976
@fremwamedia1976 2 жыл бұрын
Ila shule zingne Kila cku vitisho Kwa wafanyakazi
@abubakarihamisikawambwa2465
@abubakarihamisikawambwa2465 Жыл бұрын
Naomba mawasiliano ya hapo shule namba zao
@lylyanaloyce2858
@lylyanaloyce2858 2 жыл бұрын
Yaan amna mbinu nyingne za ufaulishaji zaidi computation kwa wanafunzi wenyewe na fimbo juu .I really love that school ndo imenifanya nisimame hapa nilipo
@peterlujuo1640
@peterlujuo1640 2 жыл бұрын
Mwamba kaishia std 7 tu. Kaajili watu wenye masters, kama hakuna ulichojifunza apo bas tena
@wazirihamisi6484
@wazirihamisi6484 2 жыл бұрын
Hahahahahahah Kaka P
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 2 жыл бұрын
kabisa apo utumie akili tuu sio kusoma ili uje kuajiriwa na serikali
@nestoemanuel1768
@nestoemanuel1768 2 жыл бұрын
Brother millard Ayo tunashukuru kwa habari mzuri💥💥
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 2 жыл бұрын
Dah! Amegusa moyo wangu. Keep it up mwamba
@naomistanslaus2111
@naomistanslaus2111 2 жыл бұрын
Hongera sana mzee Kaizirege Wagila mayo
@DrFatmaKhanPanAfrikan
@DrFatmaKhanPanAfrikan 2 жыл бұрын
UBaarikiwe sana Mzee Kaizerege. Hongera sana
@azizamvungi6409
@azizamvungi6409 2 жыл бұрын
kusoma sio ishu ishu maisha kwakweli unaweza ukasoma na usiwe na plani kwakweli nimejifunza kitu..hapa
@justinendizeye714
@justinendizeye714 2 жыл бұрын
Muonekano wa shule, usafi yani baba huyu Big Salut 🤠🤠🤠
@AinekishaRwiza
@AinekishaRwiza Жыл бұрын
Big up kwa wahaya🙌
@wazirihamisi6484
@wazirihamisi6484 2 жыл бұрын
Mwalimu huyu yuko vzr big sana teacher
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
Mtu mwema sana ni tajiri wa asili ana mbwembwe na huyo mwanalimu mkuu ni mtu poa sana pahala hapo lazima pawe na bless
@halfankallah7173
@halfankallah7173 2 жыл бұрын
Hapo Kwenye suala la Ada nmewakubaliiiii Huwa inatuaribu Sana kisaikolojiaaa kweny suala la kudaiwa
@yuliahenry3383
@yuliahenry3383 2 жыл бұрын
Shule Ina mazingira mazuri ya usomaji . Hiki ni kigezo Cha kwanza. Conducive environment. Kudos 🔥🔥🔥🔥🔥
@iffahbahet1499
@iffahbahet1499 2 жыл бұрын
Mkuu wa shule anafafanua vizuri Sana Hadi raha
@mussachief1024
@mussachief1024 2 жыл бұрын
Na matokeo ya form 6 bado mmeshikilia nafas ya kwanza kitaifa hongeren sana
@robertabel6984
@robertabel6984 2 жыл бұрын
Millardayo:Kun walimu wenye masters hapa? Mwalim mkuu: Ndiyo ikiwemo na mimi mwenyewe tunao walimu 9 wenye masters😆😆😆😆😆😆😆😆😆💪💪💪
@gilbertkasikila5294
@gilbertkasikila5294 2 жыл бұрын
😂😂😂 noma sana. Watu wengi wanadhani ualimu ni kazi ya waliofeli kumbe ni tofauti sana
@bellerlynx6122
@bellerlynx6122 2 жыл бұрын
Appreciate Kemebos
@mbwanamtessa8607
@mbwanamtessa8607 2 жыл бұрын
Daaaah...... nimeipenda sana hii shule aisee
@avitusmichael5
@avitusmichael5 2 жыл бұрын
Shule nzuri sana hiyo, hongereni
@lulusimba7526
@lulusimba7526 2 жыл бұрын
Kuna cha kujifunza hapa hongera sana mkurugenzi pamoja na team yako
@efraimobadia4944
@efraimobadia4944 2 жыл бұрын
Mungu ambariki huyo mwekezaji
@jeromekabogo9456
@jeromekabogo9456 2 жыл бұрын
Hayoo ni mkulugenzi mwenye utu wa kipekee mungu amlinde palikiwa babaa
@evancerwamugata1064
@evancerwamugata1064 2 жыл бұрын
Our school 🔥🔥@class of 2019
@brayanjames9953
@brayanjames9953 2 жыл бұрын
Yani feza ni wasenge tu kwa kaizilege mahana ada ya feza ni kubwa zaidi ya m10 kwa mwaka na ya kaizilege ni ndogo sana m3.5 lakini ina kuwa ya kwanza kitaifa duuuu
@consolatarwabuganda7187
@consolatarwabuganda7187 2 жыл бұрын
Yusto nimempenda sana, mwenyezi mungu amlinde😭😭
@brysonuronu5862
@brysonuronu5862 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana sana ... Nimefurahi mno
@eliezerhokororo1749
@eliezerhokororo1749 2 жыл бұрын
Hongera kwa mwl mkuu, anajua kujieleza kwakweli na kueleweka. Ila rafudhi yake sasa
@ikosawatv
@ikosawatv 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣rafudhi
@humphreykamuhungiraobenets9948
@humphreykamuhungiraobenets9948 2 жыл бұрын
Lafudhi bhn sio rafudhi
@faysasalax5551
@faysasalax5551 2 жыл бұрын
Hongera kwa mmiliki wa shule mungu azikumuongoza
@winniewairimu3822
@winniewairimu3822 2 жыл бұрын
Ila hii chanel naipenda sana Millardy ayo Mungu akubariki Sana,ipo siku nitawaita mje muone mafunzo nilojifunza kwenu, maana nanijenga mno
@maroasamson6219
@maroasamson6219 2 жыл бұрын
Nimependa mazingira rafiki yenye madhari na miundombinu ya kutia hamasa ya kusoma, hongera kaisare
@pudensiamhina6478
@pudensiamhina6478 2 жыл бұрын
Kwa kweli
@KakaDanny
@KakaDanny 2 жыл бұрын
Hongeresa sana kwa mmiliki na wafanyakazi. ILA CCTV vyumbani SIO sawa. Wangeweka kuzunguka mabweni na wangeona nani kaingia na kutoka saa ngapi. SIO ndani ya mabweni !
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 2 жыл бұрын
Siyo sawa kwann?kama kuna watoto wanatabia mbaya si watawaharibu wengine?tena afunge mpk vyooni
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 2 жыл бұрын
Hiyo shule ni nr sana ila wtt wetu watabasti vichwaa jmn.wanasoma hao ni hatari.
@KakaDanny
@KakaDanny 2 жыл бұрын
@@rosemarysulle9288Siyo utaratibu. Kuna mipaka ya usiri ( "Privacy") na ndio maana ya kuwa na mlezi ( Matron mfano ) kufuatilia watoto kwa karibu na siyo Kazi ya CCTV !
@chiefchacha2992
@chiefchacha2992 2 жыл бұрын
Waweke tu had choon coz kuna matukio mengi sana ya uchomaji wa shule
@geofray0132
@geofray0132 2 жыл бұрын
Yaaani kuna mijitu inajifanyaga inajua kuliko mwanzilishi
@paulinacherement2534
@paulinacherement2534 2 жыл бұрын
Work hard as a slave and ...you will live like king.
@mgcs2076
@mgcs2076 2 жыл бұрын
Perfect
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 Жыл бұрын
Iv ndivyo walimu wanatakiwa wawe handled hongera sana mkurugenzi ni mfano bora wa kuigwa
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 жыл бұрын
Duh congratulations 🔥🔨
@hildadaudi6109
@hildadaudi6109 2 жыл бұрын
Amazing ❤️❤️
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 2 жыл бұрын
Mfumo wa elimu Tanzania ulitakiwa wote ufumuliwe na usukwe upya , mitihani na elimu ya Tanzania haijengi na kuchochea udadisi na ufikiriaji yakinifu. Ni mfumo wa kukalili ili kufauli mtihani ndio maana nchi haizalishi wanasayansi wengi na wabunifu na wagunduzi
@lovenessandrew9121
@lovenessandrew9121 2 жыл бұрын
Yaani ni maumivu ya mawazo yangu kila siku....huu ni mfumo wa kikoloni ambao walifanyia kazi wakajua kabisa kuwa Africa itaendelea kuwa tegemezi,mfumo ambao tumeurithi toka Kwa wazungu viongozi hawajawahi kuwaza kubadirisha mfumo huu ambao bado unaendelea kufunga ufahamu wa akili zetu..... Hii serikali yetu Bwana
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
@@lovenessandrew9121 Kiukweli hilo nalo ni janga kwa Taifa.
@sweetbertrwiza5982
@sweetbertrwiza5982 2 жыл бұрын
Halafu mtu anasoma anafaulu vizuri mwisho wa siku anaanza kutafuta kuajiajiliwa!!
@lovenessandrew9121
@lovenessandrew9121 2 жыл бұрын
@@sweetbertrwiza5982 ndo uwaze hapo sasa,mtaji anautoa wapi na kasomeshwa Kwa kuungaunga na wazazi wake,wameuza pombe mpaka akili zimeingia ganzi,wakiamini kuwa mtoto atakuja kupata kazi apunguze umaskini nyumbani...... Haya maisha sio jaman tutaishia kuteseka kwakweli
@emmanuelmasanja6040
@emmanuelmasanja6040 2 жыл бұрын
Huyu mzee ajengewe sanamu
@joevang4685
@joevang4685 9 ай бұрын
motivesheni kwa mwalimu muhimu sana
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 2 жыл бұрын
Twaba shobokelwa❤️❤️❤️
@winstonmutafungwa8895
@winstonmutafungwa8895 2 жыл бұрын
THE BEST STRATEGY FOR A SUCCESSFUL SCHOOL!! PROUD TO KNOW THERE'S A TANZANIAN DOING AN AMAZING JOB IN CHAMPIONING A NO.1 SCHOOL IN TZ
@maxwellfamily3772
@maxwellfamily3772 4 ай бұрын
Daaaaah mwalimu ka feli sio jamaa hana elimu kubwa ila hapa elimu kubwa ya darasani, na anaelimu kubwa ya mtaani,. Formal and informal education inamaanisha mwalimu kasahau.
@jamuhurisalumu3514
@jamuhurisalumu3514 2 жыл бұрын
Hongora sana kaizilege shule iyo nimeikubari sana Mungu akubariki sana
@felickfelix8600
@felickfelix8600 2 жыл бұрын
Hii ya ada! Dah! Imenigusa
@colemanhenry5019
@colemanhenry5019 2 жыл бұрын
Mungu awabaliki walimu
@paulinacherement2534
@paulinacherement2534 2 жыл бұрын
Mashallah ALLAH barik am on the way..
@chrispinrafael3831
@chrispinrafael3831 3 ай бұрын
Namjua vizuri alikua dereva gari yake alikua anaendesha gari kwende lzimbya
@justinendizeye714
@justinendizeye714 2 жыл бұрын
Wauw, big up baba kaizerege 👏👏👏💪
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 2 жыл бұрын
Safi sana Kaizirege, kwenye viboko na ada nimeelewa sana
@salumsamesame1741
@salumsamesame1741 2 жыл бұрын
KWA KWELI NI SMART SMART SANA🤝🤝🤝
@ronaldchambasi7493
@ronaldchambasi7493 2 жыл бұрын
Inspired 💪🙏🏼
@josephjila957
@josephjila957 2 жыл бұрын
Hii shule usisimuliwe binafsi nimefurahi sana Sana
@donardmsomi8451
@donardmsomi8451 2 жыл бұрын
Duuuhhh..!! Nimependa life style ya Boss kwa wafanyakazi wake
@jeskakahangwa4692
@jeskakahangwa4692 6 ай бұрын
Mnafanya vizuri sana ila naomba uwekeze pia iwe university ndo habari nzuri na siyo vyuo vya kati
@khamixilotwa5665
@khamixilotwa5665 2 жыл бұрын
Serikali nayenyewe ijitahidi maana wanafunzi wa shule za serikali majanga tu.
@azaiyayassin1627
@azaiyayassin1627 2 жыл бұрын
Millard ni kweli kabisaa Amna mda wa michezo kabsaa
@brunodemarx9198
@brunodemarx9198 2 жыл бұрын
Very smart
@Omushonga
@Omushonga 2 жыл бұрын
Nshomile njooni hapa. Huyu mzee anatuinua Abahaya.
@unclepwechnov1381
@unclepwechnov1381 2 жыл бұрын
Muno munonga, let's keep the ball rolling.
@deegrotv3215
@deegrotv3215 2 жыл бұрын
Imenichallange kiakili bigup kwa kipindi cha leo..
@salmasalim6055
@salmasalim6055 2 жыл бұрын
Wow mashallah
@miriamngosha6856
@miriamngosha6856 2 жыл бұрын
Milion tatu😳🤔 mi nilifikiria itakuwa labda mamilion kum na kuendelea uko 🙆‍♀️ aise wapo vizur sana mungu ampe umri mrefu uyu baba
@margarethlushiku9063
@margarethlushiku9063 2 жыл бұрын
Hongera sana mkuu wa shule kwa uongozi wako bora akiwemo mwenye shule.Naomba namba ya simu.
@leecy016
@leecy016 2 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥 My best school 👏👏👏
@evankya1955
@evankya1955 2 жыл бұрын
Perfect!
@emmanuelburchard3153
@emmanuelburchard3153 2 жыл бұрын
Kaizirege wagira mayo. Shule hii iwe ni mfano wa kuigwa Tanzania.Wizara iamie pale ijifunze.
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Kwakweli brother
@kalumbugideon4159
@kalumbugideon4159 2 жыл бұрын
Serikali iliisha enda pale kwa Siku 7 za Kazi ukiondoa Siku za mapumziko,pia wamepeleka wabobezi wa usimamizi wa mitihani Taifa mara kadhaa.
@AlAl-sd9pl
@AlAl-sd9pl 2 жыл бұрын
Manshalah manshalah manshalah mungu azid kuipa sifa shule hiyo
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 2 жыл бұрын
Mashalla tabaraka llah
@Sppah697
@Sppah697 2 жыл бұрын
Ana akili zakuzaliwa na siyo za darasani! Hiyo ni very mportant!
@henryruta995
@henryruta995 2 жыл бұрын
Mtembelee na mmiliki wa chuo cha Mbalizi polytechnic (mbeya) aliishia darasa la nne.
@madamgtv73
@madamgtv73 2 жыл бұрын
Daah kwakweli hata zawadi zinashawishi kusoma na kufundisha vizur
@africanafrican2797
@africanafrican2797 2 жыл бұрын
The proprietor is a good man
@malikzafarani172
@malikzafarani172 2 жыл бұрын
Woow safi saana nimependa shule yenyewe 🇶🇦🇹🇿
@frolencekiiza8102
@frolencekiiza8102 2 жыл бұрын
Congratulations
@bensonbenezeth
@bensonbenezeth 2 жыл бұрын
Kaizirege ikikosa top 10 ni ajabu. Wahaya oyeee
@angelberthakatundu9475
@angelberthakatundu9475 2 жыл бұрын
Oyeeeeeeh😂
@rojasmukizamukiza935
@rojasmukizamukiza935 2 жыл бұрын
Nakubali kakaaaa 🤣
@bensonbenezeth
@bensonbenezeth 2 жыл бұрын
Aisee kwa Wafanyakazi ameweza Safi Sana.
@elvismaisi5172
@elvismaisi5172 2 жыл бұрын
Legends we passed there 🙌
@wvink_1885
@wvink_1885 2 жыл бұрын
😂
@mokhimji
@mokhimji 2 жыл бұрын
God Bless Mzee Kaizerege
小蚂蚁会选到什么呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:47
火影忍者一家
Рет қаралды 115 МЛН
MY HEIGHT vs MrBEAST CREW 🙈📏
00:22
Celine Dept
Рет қаралды 46 МЛН
Seja Gentil com os Pequenos Animais 😿
00:20
Los Wagners
Рет қаралды 27 МЛН
TAJIRI WA MABUS  SUPER FEO ATOA SIRI YA KUWA BILIONEA
10:36
Wasafi Media
Рет қаралды 146 М.
MPIGA DEBE ANAYEMILIKI SHULE YA SEKONDARI MBEYA
18:18
Millard Ayo
Рет қаралды 185 М.
JINSI YA KUCHAMBUA KAMPUNI KABLA YA KUNUNUA HISA Na Emilian Busara
1:39:30
小蚂蚁会选到什么呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:47
火影忍者一家
Рет қаралды 115 МЛН