No video

SPIKA NDUGAI AMFUKUZA MBUNGE WA CHADEMA, AGOMA, ASKARI WABUNGE WAMTOA KWA NGUVU

  Рет қаралды 359,756

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 820
@kingmroboto4984
@kingmroboto4984 4 жыл бұрын
Kama nawe hujapendezwa na alicho kifanya Spika usiogipe pita na like yako hapa coz sio haki kilicho fanyika
@chayogasperi9783
@chayogasperi9783 4 жыл бұрын
Tumependezwaaaaaaaaaaaa !!!!!!!!!!!
@yirgayemyirgah7820
@yirgayemyirgah7820 4 жыл бұрын
Daaaah nlkua sijaangalia mpka mwisho kiukweli ndugai kazngua asee yn upendeleo wa wazi kabisa
@csato9415
@csato9415 4 жыл бұрын
@@yirgayemyirgah7820 Hicho ndicho kinachafanyika mara kwa mara kwa kuwapa nafasi ya kusikika zaidi wabunge wa CCM, kuliko wa upinziani hasa CDM ambao ndio hofu ya kuu. Huu ni upendeleo wa wazi.
@khatibabdi
@khatibabdi 4 жыл бұрын
kwa hili spika amekosea
@gwakisaphilipo7000
@gwakisaphilipo7000 4 жыл бұрын
King Mroboto tunako end a kila mtu atamiliki wakizingua pa kichwani
@ramadhanimahongole8764
@ramadhanimahongole8764 4 жыл бұрын
Yan ndugai kamwacha mbunge wa ccm aliekuwa anamzalilisha mwenzie kamtoa anaezalilishwa bila kosa Kwakuwa ni mbunge wa chadema!? kwel hii sio sawa chadema wanaonewa sana ndan ya bunge
@anthonymosha1992
@anthonymosha1992 4 жыл бұрын
Hkuna spika haliye endesha bunge la Tanzania hvo kwanzia nchi hhi ipate uhuru kama spika ndugai hakika broo ipo sku utalipwa na kila goti litapigwa Mungu akusaidie sana uko juu y sheria umevunja katiba dhaaa yajayo ynafurahisha pipzzzzzzz power
@godifreypaul9409
@godifreypaul9409 4 жыл бұрын
Pole sana,Dada uliyetolewa nje,mwite Yesu,aingie ndani yako,akupe nguvu,malipizi ni hapa hapa duniani.Usiweke kinyongo kwa mtu ye yote maana Mungu atashindwa kufanya kazi yake.Mpende huyo Dada,wala usimchukie.wala kumuwazia mawazo mabaya.Amini tu,Yupo mkuu kuliko yeye.
@ibrahimmasanja9097
@ibrahimmasanja9097 4 жыл бұрын
Ndo maana kesi za mitandaoni haziishi hapa huwezi shindwa kumwaga tusi Kali kwa spika ingawa mwenyewe ni namfagiliaga magufuri daaaah spk
@dullymsafi9030
@dullymsafi9030 4 жыл бұрын
Aiseeee bunge la sasaiv. Ukija kulisikiliza unachoambulia n mauzi mbona chadema mnakifanyia hvyo jaman da! Mungu anawaona
@hamadiayossy
@hamadiayossy 6 ай бұрын
Matumizi mabaya ya u spika,,sijapenda kwakweli,
@khamisnassor5833
@khamisnassor5833 4 жыл бұрын
Duhh kweli professor mussa asaad aliliona hili bunge kuna jina alilisema kumbe kweli ndio maana wakapitisha sheria ya kuwakinga spika ndio tanzania tunayoitaka tutaelewana tu
@kumulwa
@kumulwa 4 жыл бұрын
Kweli nithaifu kabisaa
@hapatv2991
@hapatv2991 3 жыл бұрын
Nidha inahitajika unamungilia je m2 hajamaliza punda nyie msio nauelewa
@charzwilson9494
@charzwilson9494 4 жыл бұрын
Mr to ndugai no sio sawa unacho kufanya uchunguzi wa udhalilishaji unafanyika na vyombo vihusika bunge nimahara pa kwelekeza nakushauri unapo ruhusu majina ya watu yanatajwakua ulifanyiwa ukatiri wakijinsia bira kuwashauri waende policy na mahakamani unjishusha kwa kushabikia siasa unayobitaka my broooo unafel Sana bunge unalo liongoza nila kupashana pole umefel kaka
@momocadabra8611
@momocadabra8611 4 жыл бұрын
Job Ndugai uwo ni uzalilishaji na sio haki
@rosekweka2044
@rosekweka2044 4 жыл бұрын
Spika hajatenda haki yy angewasikiliza mpk mwisho angejua ukweli wa Mambo?
@wirfredrukoo7830
@wirfredrukoo7830 3 жыл бұрын
Ukweri ni gharama acheni mama afunguke ili watu wajue yaliyo sirini ndani ya vyama vya siasa na amezungumza pia kama mzazi kikubwa sio kuzalilisha je? Ni kweli anayo sema sio kuchangia kwa mihemuko ya kisiasa au upendeleo spika uko vizuri sana songa mbele
@onesmopaulmwacha566
@onesmopaulmwacha566 4 жыл бұрын
Hakuna anayewaweza mmeshika makali ..lakini Mungu anawaweza .Ee Mwenyezi Mungu tuepushe na udhalimu .tutee mwenyewe
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 4 жыл бұрын
mtafaulu tu gawa wa ccm ni kama rimoti tu wanapelekwa pelekwa hawa hakuna sıasa ccm amin uciamin ila hutumıa mguvu zao za kıdoşaaaaaaa
@nehemiahparadox8488
@nehemiahparadox8488 4 жыл бұрын
Kwakweli
@fredrickmartin995
@fredrickmartin995 3 жыл бұрын
Aliyewapa kiburi kasepa bado zamu yenu
@edibilisalum3292
@edibilisalum3292 4 жыл бұрын
Ndugai ndugai Tambua yapomaisha nje ya bunge Muogope mungu
@gilbertvicent4229
@gilbertvicent4229 4 жыл бұрын
Aache kuogopa kupoteza kiti chake na hela amuogope Mungu? Hawa watu Mungu ndiye atakaewaweza kwa kuchezea kodi zetu na kutumia madaraka yao vibaya... Spika ubabe wako Mungu muogope sana
@anuaryally6177
@anuaryally6177 4 жыл бұрын
@@gilbertvicent4229 kiongozi wenu anaalalisha mashoga lisu je aogopi mungu
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 4 жыл бұрын
Buckle up and enjoy your ride.
@ntindatv815
@ntindatv815 4 жыл бұрын
hakika
@allyabdallah446
@allyabdallah446 4 жыл бұрын
Iman ya chama nikubwa kulikon Iman ya dini yake? Je huyu Ana Iman ya dini kweli, jee a Akiongozi wa dini, jee Imani yake na dini yake anaamin kwamba ataulizwe cheo chake aliwatendea haki wote?
@dedanmwasongwe1675
@dedanmwasongwe1675 4 жыл бұрын
Spika unaalibu bunge kwa kushabikia mambo yakipumbavu kabisa, wakisema bunge ni dhaifu unachukia
@allychacha2698
@allychacha2698 4 жыл бұрын
Kiukweli.sio.sio.kiongozi.hupaswi.kua.hivyo.hata.kama.nisiasa
@ashamwamba9088
@ashamwamba9088 3 жыл бұрын
Ijamaaniiiii.utopoloooi
@emanuelsarakikya9398
@emanuelsarakikya9398 4 жыл бұрын
Bunge la Mzee wetu Sita lilikuwa Bunge. Mama Makinda naye Alifanya Kazi iliyotukuka. Ila ili sasa Mungu ndiye anajua.
@ronaldsariah8760
@ronaldsariah8760 4 жыл бұрын
Hakika
@thelivingwordchannel9027
@thelivingwordchannel9027 4 жыл бұрын
Mbona mlikuwa mnamlaumu spika sita? Na ndugai ipo siku mtaanza kumkumbuka.
@neyousingo7616
@neyousingo7616 3 жыл бұрын
Ndugai Baba fanya kazi huyo dada ni mtovu wa nidhamu
@subirapaul8127
@subirapaul8127 4 жыл бұрын
Hizi kumbukumbuku za unfair ipo siku zitakumbukwa jamani msichee utu namna hyo mambo yanabadilika one day yesi imenikera kwa hili ase
@rehemapeter253
@rehemapeter253 3 жыл бұрын
Bunge ovyo kabisa
@lamecktheonest225
@lamecktheonest225 4 жыл бұрын
Mwana kulitafuta mwana kulipata, kazi kwako
@profgeofreysevelinenyalale9454
@profgeofreysevelinenyalale9454 4 жыл бұрын
Ndugai hufai kuwa kiongozi hata wa nyumba kumi maana uongozi ni busara wewe umekosa hata hekima ya kuiga kwa walio kutangulia.kuna siku utasimama kujibu kwa Mungu
@mohammedshaaban9509
@mohammedshaaban9509 4 жыл бұрын
Daaah,huu ni udhalilishaji kabisa huyo ni mama wa mtu au dada wa mtu au pia ni binti wa mtu kwa kitendo hiki hajatendewa haki
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 4 жыл бұрын
Wacha ukweli usemwe tuu
@benjaminmtambo4868
@benjaminmtambo4868 4 жыл бұрын
Haya mi cina La kusema ila tutakutana mbingun duniani tunapita
@msafirimwenyemvua6997
@msafirimwenyemvua6997 4 жыл бұрын
Tanzania kweli hakuna bunge tena! Kwa sasa bunge limegeuka kikundi cha taarab na mipasho tu
@yohanaobeth1558
@yohanaobeth1558 4 жыл бұрын
MUNGU lirehemu Bunge la Tanzania, kwa kutoka nje ya jukumu lake la msingi, wasamehe viongozi wetu na uwape hekima katika kuchagua cha kuongea, namna ya kuongea na kufanya maamuzi. MUNGU unayerehemu na kuwapa Viongozi hekima tunakusihi usiwache viongozi wetu bila kunena nao.
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 4 жыл бұрын
Aaah ! wewe ccm songa mbele . You get love it
@justinagabriel3176
@justinagabriel3176 3 жыл бұрын
🤣🤣
@SaikoMsongo
@SaikoMsongo 4 жыл бұрын
Mm sina chama Ila nashangaa kwann wanamzalilisha huyu dada
@bongotvonline4883
@bongotvonline4883 4 жыл бұрын
Nawakumbusha tu waheshimiwa wabunge na kiti chao kuwa sisi raia sio wajinga, tuna akili za kutosha sana.... tunajua ipi haki ipi si haki. Kumbukumbu hizi zimehifadhiwa hapa ili watoto na vijana wa kesho wajionee wenyewe, siku moja haki itashika hatam. InshaAllah....!
@fortunatuskapinga5250
@fortunatuskapinga5250 3 жыл бұрын
Hakuna haliyekzalilosha bali yeye mwenyewe Mbunge mwenzie kaelezea kilochotokea sasa sioni huzalilishaji
@ELIAMbise-sy5ue
@ELIAMbise-sy5ue 27 күн бұрын
Ivi uyo jamaa apo jirani na uyo Jacklin kavaa kibarakashee Huwa ninani make ananyodo balaa,, nakumbuka sikumoja anamchamba Mbunge wa nkaskaskazini. Iyo bench wanakaza wenyesifa za like inaonekana 😊
@ditrammwanaharakatimike1492
@ditrammwanaharakatimike1492 4 жыл бұрын
Huyu ndo ndugai masta HAPA KAZI TU
@muhidinihassani520
@muhidinihassani520 4 жыл бұрын
Kazi ya kipumbavu kupitiliza
@abdulykiliga4791
@abdulykiliga4791 4 жыл бұрын
Anazingua kinyamaa
@kahugentobi9734
@kahugentobi9734 4 жыл бұрын
Kwaiy unaona yuko sawa fara mwenzio
@felistasswai4735
@felistasswai4735 4 жыл бұрын
Spika.umekosea.sana.pamoja.na.wabunge.uonevu.mtupu.mumefanya.kunge.kua.chombo.cha.majungu
@ronnie1425
@ronnie1425 3 жыл бұрын
Mbona sipika boya sana. Mtu anamdharirisha mwenzie
@chazzymediatv5075
@chazzymediatv5075 4 жыл бұрын
Ndio chamsingi sasa tupanze sauti zetu maana hapa hatuna bunge tena bali kuna kikundi cha ccm ndo kinachojadili kila kitu bungeni now ila ndugai tambua kuna maisha baada ya usupika wako na one day mungu atajibu kilio cha watanzania in god we trust
@tumabhay8576
@tumabhay8576 4 жыл бұрын
Very good mh spika. Tunaanagalia mwengine anoitaka kuelekea huko huko.. Hahahahaaa hahaaaaaa nimeipenda iyo.
@mahyorokalokola4012
@mahyorokalokola4012 4 жыл бұрын
Inaonekana Spika hajui tofauti ya kodi na michango
@zrazanzibarrespectiveacade9056
@zrazanzibarrespectiveacade9056 4 жыл бұрын
Dah hyi cio hki na kma unakubali cio hki bc gonga like
@abrahamkibona7038
@abrahamkibona7038 4 жыл бұрын
Hapo sipika hajatenda haki kabisa 😭
@erickrichard4292
@erickrichard4292 4 жыл бұрын
Spika hajatenda haki tena amempendelea huyo mama anaeongea visivyonamaana
@mohamedkashindi7689
@mohamedkashindi7689 4 жыл бұрын
Yaani wapinzani wanaonewa kiwaziwazi bila huruma hinauma sana
@evansm8802
@evansm8802 4 жыл бұрын
This speaker is partisan.
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 4 жыл бұрын
Uonevu mkubwa sana
@zuberikamote2078
@zuberikamote2078 4 жыл бұрын
@@erickrichard4292 katenda haki we hela yko unaipata kwajasho lko halafu uwwkeze kwenye chama wkt chama kinatakiwa kikulipe ww
@JohnWilson-uk7om
@JohnWilson-uk7om 4 жыл бұрын
Spika nimchonganishi alafu ana roho ya kikatili sana duh,,, haijapedeza aisee
@habibashabanigonji1915
@habibashabanigonji1915 3 жыл бұрын
Mbunge anasukumwa kama kibaka heshima iko wapi ama kweli nchi ya wanyonge mtanyongwa sana
@aetiusaugustine395
@aetiusaugustine395 3 жыл бұрын
siyo vizuri inamaana ili bunge ni la chama si la wananchi
@likimaro6
@likimaro6 4 жыл бұрын
Yaani kuna watu wamejimilikisha bunge. Huyu dada kadhalilishwa kwa kweli. Yaani napata hasira kali
@lutufyojason2598
@lutufyojason2598 4 жыл бұрын
The history is being written for the first time our country .And this is the speaker of the National Assembly( the national think tank)
@lifeisgood4242
@lifeisgood4242 4 жыл бұрын
Ikiwa umetenda haki Mh. Spika basi Mungu akupe haki.
@magakalutema3790
@magakalutema3790 3 жыл бұрын
Siyo sana bunge hli
@khamisabeid3365
@khamisabeid3365 4 жыл бұрын
Hakuna mwazo usio kua na mwisho unamzalilisha mwanamke mwezio hivo inauma sana naona kama kazalilishwa mama yangu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@mohamedkashindi7689
@mohamedkashindi7689 4 жыл бұрын
Hili sio bunge kabisa ni usani
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 4 жыл бұрын
Pole sana , akini ukweli wa utasemwa
@adamumuki1242
@adamumuki1242 3 жыл бұрын
Anajidai sana uyu jamaa km nchi yake Inshaaallah Allah ndio mwenye maalipo na maamuzi ya haki anajiona km mtume
@kasiankillo6949
@kasiankillo6949 3 жыл бұрын
Cjawai kuona mzigo Kama spika na Mungu mwenye mamla na utawala wote wa duniani na mbinguni pokea maombi ya wanyonge wote tusaidie kuondoka watu Kama awa wenye kutumia mamlaka Yao vibaya ewe mwenyezi Mungu tusaidie
@charlesbaba8820
@charlesbaba8820 4 жыл бұрын
Speak er ukosahihi sana unaendasawa na tunavyotaka
@justinmkwanda4143
@justinmkwanda4143 4 жыл бұрын
Bunge letu ni aibu sana spika analeta majungu bungeni hafai jumla
@lucyjoseph5178
@lucyjoseph5178 3 жыл бұрын
Kushughulikiwa bila ridhaaa hahahahaha oyooooo
@fahdihasnuu9034
@fahdihasnuu9034 3 жыл бұрын
Huyu ndugai msenge sana huyu jamaa
@emmanuelsimon545
@emmanuelsimon545 4 жыл бұрын
Mnalaumu sipika bure ila huyu dada angetulia ingempa heshima zaidi
@dubledublecepte8680
@dubledublecepte8680 4 жыл бұрын
Duniani hakuna utawala uliokuwa na nguvu kama utawala wa mfalme Nebukadreza lakini ulianguka 🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗
@sophiamosoi4369
@sophiamosoi4369 4 жыл бұрын
Ndungai ajafanya vizuri kabisa uzalilishaji wa hali ya juu anatumia madaraka vibaya
@frankjingu5763
@frankjingu5763 4 жыл бұрын
Huyu sio spika ni sabufa la kichina
@samirarsan2024
@samirarsan2024 4 жыл бұрын
😂😂😂
@zachaaaamosy8320
@zachaaaamosy8320 4 жыл бұрын
Naipenda sana ccm la kwa hili mheshimiwa as jafulaishwa kabsa nyie ndio wale mnaomchafua RAIS wetu nyie Ndugai wewe umeweka uchama mbele kuliko majukumu yako mzee wangu
@khaalidcheo5383
@khaalidcheo5383 4 жыл бұрын
Dh! ...R.I.P....CHADEMA...masikini ndio basi tena..tunaenda kukizika jumla hooooh.......😭😭😭😭😭😭😭
@danielekisinza537
@danielekisinza537 4 жыл бұрын
Hahahahaaha
@perfecttz2690
@perfecttz2690 4 жыл бұрын
We mkundu kwl
@ramathedon4001
@ramathedon4001 4 жыл бұрын
sasa kwa hoja gani apo ndugu yangu spika anaonekana kabisa nimpendeleo ndugai mungu anamuona
@msemwaasha6244
@msemwaasha6244 3 жыл бұрын
Na ndo walichokua wanataka wabaki wenyeny wapige mabenj kwakukubaliana na ujinga
@abubakarzamir6276
@abubakarzamir6276 4 жыл бұрын
Duh kweli nchi ya democracy mtu anadhalilishwa anataka kujitetea anatolewa
@johnmitti3201
@johnmitti3201 4 жыл бұрын
Huo ni upuuzi haki iko wap hapo si mseme 2 kuwa hamtaki vyama vingi kaeni mkjua mtavuna mnachokipanda
@erickrichard4292
@erickrichard4292 4 жыл бұрын
There is no democracy there
@erickrichard4292
@erickrichard4292 4 жыл бұрын
@@johnmitti3201 yeah, kweli kabisa bora waseme hamna vyama vingi kuliko haya yanayoendelea
@rajabhamis4384
@rajabhamis4384 4 жыл бұрын
@@erickrichard4292 there there mbona zimeongozana hivyo. 🙄
@anuaryally6177
@anuaryally6177 4 жыл бұрын
@@johnmitti3201 mbona mama yako ataki baba yako aongeze mke
@salimnangawe6984
@salimnangawe6984 3 жыл бұрын
🙄 anazalilisha sasa siyo pow alicho kifanya mi imeniuma sana tena sana udhalilishaji huu dah this is Tanzania 😭
@remawetumi8916
@remawetumi8916 3 жыл бұрын
Napita tu kumwirika Mh Ndugai.
@jerikorojas4317
@jerikorojas4317 4 жыл бұрын
Bunge la Bajeti Wabunge wanajadili Majungu! Aibu kubwa kwa Taifa la Tz
@erickrichard4292
@erickrichard4292 4 жыл бұрын
Mwenyew najiuliza mbona kuna mambo mengi ya msingi ya kujadili wala sio hayo
@jojolee382
@jojolee382 4 жыл бұрын
Nawewe c ugombee ukajadili hiyo bajeti..! Mfeeeeeew..!!!
@tam8951
@tam8951 4 жыл бұрын
Sio sawa,Ndugai jirekebishe
@gracejohn886
@gracejohn886 4 жыл бұрын
Namkumbuka mama mpole sn ana hekima ya kutosha jaman mama Anna makinda
@gibsoncharles9555
@gibsoncharles9555 4 жыл бұрын
Ongelea chama chako na katiba yako kila chama na katiba yake maana vyama vya upinzani ni vichanga unafikiri vingejiendeshaje??? Mnatumika vibaya sana
@nemecymsanya3191
@nemecymsanya3191 4 жыл бұрын
Umeongea point ndugu yangu ingawa hatufamiani aisee
@youngloyclassic3173
@youngloyclassic3173 4 жыл бұрын
Wanaongea pumba hawajui kuongoza chama
@gilbertvicent4229
@gilbertvicent4229 4 жыл бұрын
Umetoa mawazo ya kisomi japo sikufaham lkn nyie ndio wananchi mnaoweza kuishaur serkali na kuivusha katika suala zima la maendeleo
@anuaryally6177
@anuaryally6177 4 жыл бұрын
Mbona chauma akidai kodi na kichanga pia au tlp wacha ukada katika maendeleo fala wewe
@kazembally6032
@kazembally6032 4 жыл бұрын
watanzania wenzangu kwa mawazo yangu kwa spika uyu akuna maana ya kuwa na Bunge kama mtu anadhalilishwa Bungen na spika anasapot.wakat vyombo vya usalama vpo kama kweli walifanyi wangeenda kwenye vyombo husika
@bishopmosesmagadula7572
@bishopmosesmagadula7572 4 жыл бұрын
Spika Ni mnafiki SANA
@saidibakarimakota9400
@saidibakarimakota9400 4 жыл бұрын
Hivyo ndio itakuwa bunge lijayo wakichakaa wenyewe hawana hoja za msingi za kulijenga taifa ni vichekesho tu
@ahmedysaidy7937
@ahmedysaidy7937 4 жыл бұрын
Spika tambua kunamaisha mengine nje ya bunge pia tambua bunge lilikuwepo kabla ww ujazaliwa haya maisha tu bro
@victoryngilangwa2671
@victoryngilangwa2671 3 жыл бұрын
Wewe spika hufai hata kidogo ungekuwa unachaguliwa na wananchi usingepata hata kula mmoja
@AbuwNibras926
@AbuwNibras926 4 жыл бұрын
Sipika apo umezengua sanaa
@ndugaimwakyembe9692
@ndugaimwakyembe9692 4 жыл бұрын
Job Ndugai wewe ni ndugu yangu, Bunge lijaro hautakuepo humo ndani. Umekua jeuri usietambua wajibu wako. Uongozi wako umepimwa na kuonekana kukandamiza.
@kimchi-91
@kimchi-91 4 жыл бұрын
spika yuko sahihi,maana huyo bunge wa chadema kaenda kinyume na taratibu za bunge,hajaruhusiwa kuongea yy kashaanza kuongea kisa kadhalilishwa ,hata kama unahisi umedhalilishwa ndani ya bunge jitahidi kuji-control na hasira ikiwemo kuheshimu taratibu za bunge
@nuru.simkoko
@nuru.simkoko 4 жыл бұрын
Malipo ni hapa hapa
@msemwaasha6244
@msemwaasha6244 3 жыл бұрын
Kwanza mwanaume mzm tena spik wa bunge kushabikia mambo ya wamama hata haya huna
@fidericashirima5579
@fidericashirima5579 3 жыл бұрын
Mmmmm makubwa haya
@rachelelias1923
@rachelelias1923 4 жыл бұрын
Yaan jaman.. mama makinda alikuwa anaongoza bunge vizur... huyu ndugai kafanya mbunge chekechea ..
@anthonymosha1992
@anthonymosha1992 4 жыл бұрын
Huo ni uonevu dhidi ya vyama pizani ila kwenye nchi hh ni yetu sote na Kuna watu wanaishi kama vile wataishi milele hawafahamu kuwa haya maisha wamekopeshwa na mwenyezi Mungu ila tutafka tu hakuna chenye mwanzo kisicho kuwa na mwisho.
@mossesraphael1073
@mossesraphael1073 4 жыл бұрын
Nimeumia sana lkn MUNGU yupo na ndugai hataishi milele hapa duniani dah kama vile hajazaliwa na mwanamke afu kuna wanawake wengine wasiojielewa nao wanacheka dah MUNGU tazama watu wako ukatende haki
@alphamassawe6029
@alphamassawe6029 4 жыл бұрын
Ndio ukiona wenzetu wanaendelea usishangae wwe badala ya kuongelea maendeleo unaenda kudhalilisha wanawake its shame na spika yupo tena Anatilia mkazo Huyo mama alievaa miwani hana busara hata kidogo nimpongeze sana Mhe, Yosefa kwa uvumilivu wa kudhalilishwa lakini spika hakutumia busara wala hekima. Hafai kuwa kiongozi
@geofreyemanuel8939
@geofreyemanuel8939 4 жыл бұрын
Huyu spika hovyo sana anamatumizi mabovu sana ya akili yake sasa hapo kafanya maamuzi gan!
@sr.january7141
@sr.january7141 4 жыл бұрын
Daaah ila sio fair kabisa huyu jamaa anajiona sana
@petermushy9883
@petermushy9883 4 жыл бұрын
Kweli ni spika ya sabufa
@gracejohn886
@gracejohn886 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😂
@missmoona4497
@missmoona4497 4 жыл бұрын
Asilimia kubwa za comments zimeumizwa na huyo dada alichofanyiwa, nami ni miongon mwao why hakupewa nafas ya kujitetea kwa kilicho semwa kweli au uongo? Maana ukweli anaujua yy watu tulikuwa na hop ya majibu yake ya tuhuma aliopewa, kama nawe umeliona hilo like tuwe pamoja kifikra
@suleimanbakar1271
@suleimanbakar1271 4 жыл бұрын
huyu spika mjinga sana hafai hata kuwa kibarua wa kukata mkonge
@tuwajafar5687
@tuwajafar5687 4 жыл бұрын
Khaaaa . Yaani spika nae kachemka. Mie nadhani hiki kiti kilimfa samuel sita pekeyake
@aliebrahim9423
@aliebrahim9423 4 жыл бұрын
"Hebu msinipigie kelele ninapotaka kufanya maamuzi yangu".Mwisho wa kunukuu.
@emanweljohn1240
@emanweljohn1240 4 жыл бұрын
ukweli kun upendeleo min ccm lakin Ktk hili Luna upendeleo san kwanin kuhoj mipango yamtumwingine huko ccm mbon hawahojiwi huu siosawa
@jacobmigera2626
@jacobmigera2626 4 жыл бұрын
Kesho yetu si nzuri;Watu wana tamani vyama vya siasa vifutike kuwepo na chama kimoja: ili ,CCm waongoze kimabavu; Ndugai haongozi bunge Kwa hekima; Wanayo yapanda leo wataya vuna kesho;
@jojolee382
@jojolee382 4 жыл бұрын
Chadema ni chama cha hovyo sana..!!!!
@kahugentobi9734
@kahugentobi9734 4 жыл бұрын
Kuma ww amna unacho kiongea kaa kimy
@jojolee382
@jojolee382 4 жыл бұрын
@@kahugentobi9734 we mkundu funga kuma hiyo ntaitomba gademit.
@mgeniali941
@mgeniali941 3 жыл бұрын
Nyinyi ccm mshalaniwa unijifanya ipo ciku mtaondoka kwenye madaraka utacheka sana moto unawasubiri
@twalibolomy6102
@twalibolomy6102 4 жыл бұрын
Hapa kazi tu100%.
@husseinibnuhassan1272
@husseinibnuhassan1272 4 жыл бұрын
Bunge anafungua na maombi mwisho anamkosea Mungu na anadhalilisha watu dah inaskitisha sana bas tufanye nchi hii iwe ya chama kimoja.ile radi itayompiga spika bado inapiga pushap
@josephsasa7497
@josephsasa7497 3 жыл бұрын
Mara zote huwa nawaambia kuwa Itumie vizuri sana nafasi uliyopewa na Mungu, bila kuonea au upendeleo kwani kuna Maisha mengine baada ya haya duniani. huwezi ukawa Spika wa bunge kwa kupendelea watu.
@josephatmathayo2355
@josephatmathayo2355 3 жыл бұрын
Hapa spika ulichemka sana. Maamuzi yako ovyoooooo
@Loftyattorneys
@Loftyattorneys 4 жыл бұрын
Am speechless but all in all malipo ni hapa hapa duniani naipenda CCM but not for this
@gredatv554
@gredatv554 4 жыл бұрын
Nimekuwa wa kwanza kukoment naombeni like jamani
@frankkataraiha607
@frankkataraiha607 4 жыл бұрын
hv like zna msaada gan au kwann huwa mnaomba likes leo nimeona bora niulize sina maana mbaya kama hutojal nifahamishe
@subirapaul8127
@subirapaul8127 4 жыл бұрын
Mimi ni Ccm blood tena sana lakini kwa hili limenikera kwann mnatumia madaraka vbaya wakati raisi anafanya vyema nyie mnabomoa???????
@hassanmalamla3485
@hassanmalamla3485 4 жыл бұрын
Utaratibu ndo kila kitu...
@mtaninjegere6060
@mtaninjegere6060 4 жыл бұрын
Anafanya vyema wapi ndugu ndo amempa huyu hiki kibri? Hakika Mungu aliyetuumba wote yupo na hajalala. Yeye hatupimi kwa vyama vyetu
@subirapaul8127
@subirapaul8127 4 жыл бұрын
@@mtaninjegere6060 utakuwa cyo mtanzania ndg yangu na cyo lazima mumpende wote jamn
@abakuryatv2119
@abakuryatv2119 4 жыл бұрын
Chama cha kisenge Sana hichi Wanaminya Sana demokrasia nasikitika Sana kuona kuwa Mungu mtu ndiye anaye wapa hicho kiburi 😢 😢 😢 Haya mambo yana mwisho...na msisahau kuwa hayo Yote mnafanya Hapo bungeni ni kwa ajili ya nchi moja.. Tanzania 😔 😔 😢 imeniuma Sana hayakuwa maamuzi sahh kwakeli
@benjaminjacob7897
@benjaminjacob7897 4 жыл бұрын
Wewe hayo ya ndani ya Chama chao yanakuhusu nini , kabla hawajawa wabunge walijua kuna utaratibu huo , hakika uonevu huwa haudumu .
@sarahtaste2876
@sarahtaste2876 4 жыл бұрын
Kwakweli bora nibaki na kitambulisho cha taifa hicho cha mpiga kura hakinifai so kwa bunge hili inaskitisha sijui tunaenda wap ni Mungu tu anajua
@jonakajigili6991
@jonakajigili6991 4 жыл бұрын
Hii sio Sawa
@miagielangoi3272
@miagielangoi3272 4 жыл бұрын
Asante sana Ndugai kwa kazi nzuri
@chayogasperi9783
@chayogasperi9783 4 жыл бұрын
🤜🤛
@frbm1729
@frbm1729 4 жыл бұрын
Kwenye hili spika leo hapana umekosea.
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 4 жыл бұрын
Akini sio aliambiwa asubiri akalete kichwa maji jamani
@denismapunda8854
@denismapunda8854 4 жыл бұрын
Ndugayi yan hutendi haki jicho lako limeelekeza upande mmoja
@Denispeter1738
@Denispeter1738 4 жыл бұрын
Imeniuma sana baada angewashauri. Ila malipo ni hapa hapa duniani. Huyo dada asikate moyo one day yes.
@justinlulu216
@justinlulu216 3 жыл бұрын
This is not fair serious spika, from Kenya naona unamchukia huyu mtu kwa kusema ukweli kuna kitu ndani yako
@issakapemba6115
@issakapemba6115 4 жыл бұрын
Duh wapinzani hawana haki kwenye nchi yao kabisa yaan lakini yatafikia mwisho tuu yaan
@emmyjuma6329
@emmyjuma6329 3 жыл бұрын
Ndugai kuma la mama ako yaani daah ridiki angekua anatoa binadamu sijui ingekuwaje
@barakathadeus9229
@barakathadeus9229 4 жыл бұрын
Lait ningekua bungeni ningeanza na spika mwenyew kisha walinz wakee huwez kumdhalilisha m2 hiv alafu spika anashadadiaaa tuu vitu vya kipuuuziii
MWANZO-MWISHO: Mbunge Mnyika alivyotolewa Bungeni na Askari
10:23
Millard Ayo
Рет қаралды 356 М.
SILINDE Atema CHECHE, Amlipua HALIMA MDEE - "HUJASOMA UCHUMI WEWE, TULIA"
9:35
Prank vs Prank #shorts
00:28
Mr DegrEE
Рет қаралды 9 МЛН
Before VS during the CONCERT 🔥 "Aliby" | Andra Gogan
00:13
Andra Gogan
Рет қаралды 8 МЛН
Кадр сыртындағы қызықтар | Келінжан
00:16
ISSEI & yellow girl 💛
00:33
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 23 МЛН
SPIKA NDUGAI ALIVYOMTOA NJE MBUNGE CONDESTER - "NENDA KAVAE VIZURI"..
4:50
"UMEPATA UBUNGE TU, UKAMUACHA MUMEO, TULIA NIKUPASHE WEWE" - MBUNGE KEISSY
6:07
MBUNGE BWEGE ALIVYOZUA BALAA BUNGENI LEO
13:38
Millard Ayo
Рет қаралды 734 М.
VITUKO vya MBUNGE BWEGE,  AMEANZA UPYAAAA, SPIKA Hoi, Awalipua CCM..
13:52
Global TV Online
Рет қаралды 487 М.
"HUYU NDIYE MKUU WA USALAMA TANZANIA, WALA SIMFICHI" - JPM
4:07
Global TV Online
Рет қаралды 410 М.
Godbless Lema VS Waziri Simbachawene bungeni leo
9:52
Millard Ayo
Рет қаралды 1,3 МЛН
Prank vs Prank #shorts
00:28
Mr DegrEE
Рет қаралды 9 МЛН