SPIKA NDUGAI ALIVYOMTOA NJE MBUNGE CONDESTER - "NENDA KAVAE VIZURI"..

  Рет қаралды 52,692

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

SPIKA NDUGAI ALIVYOMTOA NJE MBUNGE CONDESTER - "NENDA KAVAE VIZURI"..
Spika wa Bunge, Job Ndugai amemtoa katika ukumbi wa Bunge mbunge wa Momba (CCM) Condester Sichwale, kutokana na kuvaa suruali iliyombana.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Пікірлер: 115
@GeofreyKalo-ot3we
@GeofreyKalo-ot3we 3 ай бұрын
Vizur
@JohnMashamba
@JohnMashamba 2 ай бұрын
Na maandiko ya Mungu yanabaki vile vile na IMEANDIKWA
@mohamedkutwambi
@mohamedkutwambi 3 жыл бұрын
Kwa nini msianze na utaratibu wa Wabunge wote kuvaa majoho wakati wakiwa kwenye vikao?
@charlesmwisera7175
@charlesmwisera7175 3 жыл бұрын
Wanaonyesha matako yao.
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 3 жыл бұрын
Nyie waislam msitulazimishe tuvae kama nyie, hamtutendei haki, sisi wakristo, watu milioni zote tuvae utakavyo wewe haitawezekana ,
@suleimaniamadi1441
@suleimaniamadi1441 3 жыл бұрын
Sasa Dada yangu ukristo umewaambia mvae nusu uchi mbona mnajitoa ufaham hata kristo atawashagaa
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 3 жыл бұрын
Kwahiyo Wakristo ndio wakaa uchi
@rmaryp6269
@rmaryp6269 3 жыл бұрын
Walio wa Kristo org. Wanaliangalia Neno la Mungu na kulifuata. Neno la Mungu ktt Kumbukumbu la Torati 22:5 limeandikwa:- "Mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyae mambo hayo ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako.
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 3 жыл бұрын
@@rmaryp6269 afadhali umetukumbusha maana mambumbumbu na mazwazwa mengi yanahisi ukristo ndio kimbilio Za uchenzi
@shabanimohamedi3680
@shabanimohamedi3680 3 жыл бұрын
hatupo KANISANI apa BUNGENI kanuni na Shelia kuzingatiwe. asubili akienda KANISANI akaonyeshe DUDE.
@rahmaabdallah4514
@rahmaabdallah4514 3 жыл бұрын
Ni kweli wanawake tunaenda uchi sana tunawapa shida wanaume wao wameumbwa na hisia za karibu sana
@binrashid8671
@binrashid8671 3 жыл бұрын
Waambie
@ramadhanmasiku4105
@ramadhanmasiku4105 3 жыл бұрын
Islam religion--ililiona hili kitambo
@emanuelisraelmandi5891
@emanuelisraelmandi5891 3 жыл бұрын
Hawa wazee wanawachukulia vijana kama watt wao ni sawa lkn mambo ya kuaibishana kama watt hayana maana nadhan hekima imempungua mheshimiwa Omar angetumia namna nzur tu kumjulisha huyo mbunge , amenikera sana anataka avae baibui au kwann nahc analeta udini tu
@frankmakomba378
@frankmakomba378 3 жыл бұрын
Mfumo dume vazi ni zuri kabisa. Pia alichaguliwa na wanawake huko jimboni kwake. Msilete mambo ya jinsia na dini bungeni.
@jumaramadhani5214
@jumaramadhani5214 3 жыл бұрын
Ww nimtu wa aina gani hapo sio bich ujue
@hamzanasry8011
@hamzanasry8011 3 жыл бұрын
Kweli arudishiwe hukohuko getini asiingie
@papafikiri
@papafikiri 4 ай бұрын
Maisha yanaenda kasi
@zainarashid1024
@zainarashid1024 3 жыл бұрын
Na avae kwake au nyumbani sio kazini nawe vaa sio waislam heshima haiuzwi
@mohamediazizi3658
@mohamediazizi3658 3 жыл бұрын
Na kwann mruhusu mavazi hayo ikiwa nyie ndio kioo cha jamii!!!!? Inashangaza sn kwa mtanzania kufanya vitu vya kuiga ninaimani hiyo sio asiliyetu jamani yani sipendi mwanamke anaevaa suruali yaaani mtihani sn nampenda kwa kujiridhishatu kwa tamanio lake lakini nikizungumkuti tumcheni mungu tuepukane na mitihani ya mungu ogopeni sn
@rogatianmtenga7265
@rogatianmtenga7265 3 жыл бұрын
Huu ulikua ushamba wa spika. Shame on him.
@jaffarabdullah4011
@jaffarabdullah4011 3 жыл бұрын
Huyo mzee yuko sawa baadhi ya wanna wake mnapend kuvaa uchi mkiambia mnasema mnadhalilishwa wacheni kuvaa uchi
@mwanaidhaji7985
@mwanaidhaji7985 3 жыл бұрын
Sahihi
@solomonsamson1907
@solomonsamson1907 3 жыл бұрын
Yeye huyo Mbunge mbona amevaa kofia ya Msikitini kwani mule Msikitini, Mule Bungeni siyo msikitini Dada yupo vizuri..
@Muhammad-wu1om
@Muhammad-wu1om 3 жыл бұрын
Mbona wakristo wanaingia na misalaba, kwan kanisani?
@solomonsamson1907
@solomonsamson1907 3 жыл бұрын
Nimesema huyo Mbunge amevaa kofia, Sijasema waislam soma vizuri .
@Muhammad-wu1om
@Muhammad-wu1om 3 жыл бұрын
kwan wanaoingia misiktin nan ww?
@faridaltamimi7454
@faridaltamimi7454 3 жыл бұрын
Wapi ime andikwa kofia ya msikitini? Kwani kofia kama hizo wazee mikoani wanavaa tena nyekundu au chuki zako binasfi ? We zuzu mbuzi we tumia akili usitumie matako kufikiria! Kofia haina jina ni ya wapi.
@coyancodavao6891
@coyancodavao6891 3 жыл бұрын
Kofia hiyo unavaa popote wee zuzu, ttzo lako hata sheria za nchi huzijui
@tumainielmaruwa3148
@tumainielmaruwa3148 3 жыл бұрын
Pasipo maono taifa huangamia
@shebizo4769
@shebizo4769 3 жыл бұрын
Hii iwe muendelezo Adi mtaan uku
@noelbryson7840
@noelbryson7840 Жыл бұрын
Tulikuwaga na lispika la ajabu sana miaka hiyo, na majitu mashamba sana
@verostaherman4952
@verostaherman4952 3 жыл бұрын
Duuu sawa lakini udhalilishaji huo angepewa onyo kipekee
@ibnually7648
@ibnually7648 3 жыл бұрын
Kwan sheria hazijui
@binrashid8671
@binrashid8671 3 жыл бұрын
@@ibnually7648 nashangaa
@coyancodavao6891
@coyancodavao6891 3 жыл бұрын
Yaani wanawake kwa kuteteana utafkiri wanapendana kumbe maadui
@verostaherman4952
@verostaherman4952 3 жыл бұрын
Haya hilo bwangwa lina tatizo gani siyo kuteteana
@coyancodavao6891
@coyancodavao6891 3 жыл бұрын
Kwani lazima mvae suruali?
@magrethmtengie5133
@magrethmtengie5133 3 жыл бұрын
Mm sijaona kama kavaa vibaya labda muwawekee majoho wakifika hapo muwavishe
@floranyambominja5797
@floranyambominja5797 3 жыл бұрын
Bungee liwekwe bango la dress code nje linaloonyesha mivao isiyokubalika. Kwani huko ndani si kuna wengi na wanaume waliovaa suruali mninginizo!
@faridaltamimi7454
@faridaltamimi7454 3 жыл бұрын
Nadhani kimtindo umekasirika kiambiwa ukweli ! Wewe ushawahi kuona mbunge wa kiume kavaa matako nje acha unazi kichwani mmezidi kutuonesha makalio na mishepu yenu ! Nawewe katoe mfano bunguni .
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 3 жыл бұрын
Hao ndio wabeba maono napeleka kelo za wananchi jamani
@salomemchewa5187
@salomemchewa5187 3 жыл бұрын
Baada ya wapeleke shida za watu , ,ushamba Tu unawasumbua kavaa uchi ,hapo sasa ,ni ushamba ,mmezoa mavitenge.
@jmk7b947
@jmk7b947 3 жыл бұрын
Shameful for those women why are they still sitting with colonizers
@rehemamasoud3687
@rehemamasoud3687 3 жыл бұрын
Dugai uko sawa izo nguo mtavaa mkitoka bungeni
@albertremmy3479
@albertremmy3479 3 жыл бұрын
hivi unawezaje kujua kwamba huyu mtu hajavaa nguo za heshima kama hukuchukua hatua ya kumtazama.hebu tuwe makini na macho yetu sio lazima kumtazama mtu.
@frankkaduganyatindo784
@frankkaduganyatindo784 3 жыл бұрын
🤣🤣sasa tutazame wapi?
@frankkaduganyatindo784
@frankkaduganyatindo784 3 жыл бұрын
🤣🤣sasa tutazame wapi?
@albertremmy3479
@albertremmy3479 3 жыл бұрын
Ninamaana hv yani usimtazame mwanamke kwa kumtamani. sio una mtazama kwa kumtamani mambo yanakushinda unakuja kutusumbua ndani ya bunge.
@coyancodavao6891
@coyancodavao6891 3 жыл бұрын
Wee ndo mjinga wa mwisho kwani macho yana pazia? Acha kutetea upumbavu
@willymwaipaja6783
@willymwaipaja6783 3 жыл бұрын
YAANI NAONA HUJAFIKIRI, HIVI UNAMJUAJE NDUGU NA ASIYE NDUGU, MWENYE AKILI TIMAMU NA KICHAA? INA MAANA WEWE HUJAWAHI KUMWONA ALIYEVAA OVYO AU ALIYEVAA KWA HESHIMA. NA KAMA UMEWAHI KUWAONA, ULITUMIA NINI KAMA SI MACHO. KWANI KUNA SHERIA YA KUKATAZA KUONA? MIE NAJUA TUNAKATAZWA KUCHUNGULIA MTU KWENYE FARAGHA YAKE AU KUKITAZAMA KITU BILA RIDHAA YA MHUSIKA. KAMA WEWE HUTAZAMI YALIYO WAZI, BASI WEWE UNACHUNGULIA MAANA MACHO UNAYO.
@brightonkomba3200
@brightonkomba3200 3 жыл бұрын
Huo ndo msimamo, nmekuelew Ndugai
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 3 жыл бұрын
Ni kweli vazi Hilo halifai bungeni.
@dr.djshigongo4927
@dr.djshigongo4927 3 жыл бұрын
Kwa nini wasingemuita kwene kamati ya maadili ya bunge?
@hamadiseleman3677
@hamadiseleman3677 3 жыл бұрын
Ila alipendeza huyu mbunge
@rmaryp6269
@rmaryp6269 3 жыл бұрын
Hao wanawake wanaovaa hivyo, wanatangaza biashara yao.
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 3 жыл бұрын
Hakuna kitu, acheni raia wawe huru na mavazi yao, kwani hakuna aliezaliwa na nguo, na hakuna cha biashara yoyote ni fikra zenu duni.
@seifnassor3729
@seifnassor3729 3 жыл бұрын
@@mayrfrimi4759 Kama hoja ni kuzaliwa uchi kwanini unavaa nguo.
@saidichilyenga2847
@saidichilyenga2847 3 жыл бұрын
@@mayrfrimi4759 Uhuru gani wa kuvaa vibaya? Kama ni hivyo ubakaji uruhusiwe
@jumaramadhani5214
@jumaramadhani5214 3 жыл бұрын
Naaam
@juliusmartin1839
@juliusmartin1839 3 жыл бұрын
Getini hukohuko..
@faridaltamimi7454
@faridaltamimi7454 3 жыл бұрын
Wengine ni watu wazima kidogo sijui wanatafuta nini nadhani hata mtoto anaelewa
@evalineadam3233
@evalineadam3233 3 жыл бұрын
Acha kuongea san
@officialbntrasool5223
@officialbntrasool5223 3 жыл бұрын
Stara iheshimiwe mpk aib
@abdillahhussein3020
@abdillahhussein3020 3 жыл бұрын
Na hk mtaani je ?
@benedictmhina6741
@benedictmhina6741 3 жыл бұрын
Zee limeomba mzigo limekataliwa
@binrashid8671
@binrashid8671 3 жыл бұрын
Babako ama ?
@mwanajumamohammed6327
@mwanajumamohammed6327 3 жыл бұрын
😅😅😅😅kazi kwelikweli
@aishadubat8028
@aishadubat8028 3 жыл бұрын
Anakiherehere
@aishadubat8028
@aishadubat8028 3 жыл бұрын
Anakiherehere
@fidelludemwa2943
@fidelludemwa2943 3 жыл бұрын
Sawasawa
@mashaallhmkonokwakwamkonog4845
@mashaallhmkonokwakwamkonog4845 3 жыл бұрын
Uzalilishaji wangemuita pembeni
@binrashid8671
@binrashid8671 3 жыл бұрын
Wewe ndio mzalilishaji aitwe pembeni vipi kwamba hajui kua yupo uchi?
@faridaltamimi7454
@faridaltamimi7454 3 жыл бұрын
Ni kweli ilipaswa wamstiri badae wamwambie ingekuwa bora zaidi
@mussataliye7815
@mussataliye7815 3 жыл бұрын
Wana jiuza wengine humo
@charlesmwisera7175
@charlesmwisera7175 3 жыл бұрын
Wanawake mbona wanatembea uchi kila mahali.
@aishadubat8028
@aishadubat8028 3 жыл бұрын
Huyu mzee akakiherehere hatar
@binrashid8671
@binrashid8671 3 жыл бұрын
Getini huko huko
@faridaltamimi7454
@faridaltamimi7454 3 жыл бұрын
Nawewe kavae nguo za kubana kama ume kasirika
@aishadubat8028
@aishadubat8028 3 жыл бұрын
@@faridaltamimi7454 ivi umeelewa nilichoandika au umekurupuka
@nyabahailani3169
@nyabahailani3169 3 жыл бұрын
Wengine wakuja kuuza k tu kudanga kama huyu arusha magige
@skeetermasoi3068
@skeetermasoi3068 3 жыл бұрын
Angekuwa amevaa vibaya angerudishwa getini. Huyu Baba alikuwa na lake
@donjb3178
@donjb3178 3 жыл бұрын
Getini anarudishwaje wakati yupo na gari yke 😂😂😂
@skeetermasoi3068
@skeetermasoi3068 3 жыл бұрын
@@donjb3178 Wabunge huwa wanakaguliwa na usalama wa taifa kabla ya kuingia kwenye ukumbi
@donjb3178
@donjb3178 3 жыл бұрын
@@skeetermasoi3068 Sasa huyo kaingiaje humo ina maana hawakumkagua? Au hawakumuona?
@skeetermasoi3068
@skeetermasoi3068 3 жыл бұрын
@@donjb3178 Hata mimi hicho ndo nilichosema, kama walimkagua wakaona yuko sawa inakuwaje wamemtoa. Mi nahisi ameonewa
@binrashid8671
@binrashid8671 3 жыл бұрын
Wewe ndio una lako
@nishasalim2880
@nishasalim2880 3 жыл бұрын
Duh! Aibu🤭
MWANZO-MWISHO: Mbunge Mnyika alivyotolewa Bungeni na Askari
10:23
Millard Ayo
Рет қаралды 357 М.
Worst flight ever
00:55
Adam W
Рет қаралды 27 МЛН
Officer Rabbit is so bad. He made Luffy deaf. #funny #supersiblings #comedy
00:18
Funny superhero siblings
Рет қаралды 11 МЛН
MBUNGE WA MBULU VIJIJINI ARUKA SARAKASI BUNGENI, AKIDAI BUNGENI.
10:48
"Hivi nyie watu gani, haya ndio malipo kwa Spika?" - Job Ndugai
18:28
VITUKO vya MBUNGE BWEGE,  AMEANZA UPYAAAA, SPIKA Hoi, Awalipua CCM..
13:52
Global TV Online
Рет қаралды 487 М.
“POMBE ZA KIENYEJI ZIPEWE VIWANGO” CONDESTER SICHALWE
8:48