Godbless Lema VS Waziri Simbachawene bungeni leo

  Рет қаралды 1,387,456

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

April 6, 2017 mkutano wa saba wa bunge umeendelea ambapo wabunge walikuwa wakijadili mapitio ya mapato na matumizi ya fedha za ofisi ya Waziri mkuu na ofisi ya bunge kwa mwaka wa fedha 2017/2018
Kati ya Wabunge waliopata nafasi ya kusimama ni pamoja na mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema

Пікірлер: 683
@starlily07
@starlily07 7 жыл бұрын
Lema umeongea mpaka mwili wangu unasisimka ...... omg, Mungu akutunze kaka angu Lema.
@pastorbonnyphillip8945
@pastorbonnyphillip8945 4 жыл бұрын
Wow... hii mechi nimeipenda sana... bible debate
@saulomathayo
@saulomathayo 7 жыл бұрын
Very fantastic speech, I love it. May God bless you Lema.
@feisalissa3009
@feisalissa3009 4 жыл бұрын
Lema juu sana 💯👍 👍
@williamjosephat8800
@williamjosephat8800 7 жыл бұрын
My. Lema Safi Sana kwa kazi kubwa uliofanya ikiwemo ya kutetea uhuru wa watanzania na haki za misingi za wananchi kwa upande wa selikari hongera mh. Ahsante Sana ndugu
@abelmachunda9494
@abelmachunda9494 7 жыл бұрын
Aminaaaa...!!! Lema live long
@lucasjackson3019
@lucasjackson3019 7 жыл бұрын
God bless you brother
@esterkinyaiya1562
@esterkinyaiya1562 7 жыл бұрын
mh.lema Munguu akuonekanie popote na ukweliii useme cku zote...pendaaa sana Mh. lema Golbless you broo
@joshuamwambene6041
@joshuamwambene6041 2 жыл бұрын
Kama anayoongea MH Lema yanatoka moyoni. Basi tuyafanyie kazi.
@phieh
@phieh 2 жыл бұрын
Anaakli Sana uyu baba na hekma ya mungu Imemkalia
@niwaelibanda7465
@niwaelibanda7465 7 жыл бұрын
kwelu kabisa my Lema ukovzi sana
@gustaphmateru4488
@gustaphmateru4488 7 жыл бұрын
Nadhani matusi yanatokea bungeni kwa kutofuata kanuni na sheria zinasemaje mungu atuongoze jamani mweshimiwa LEMA msg umefikisha
@fridgeismybestfriendwhenit7149
@fridgeismybestfriendwhenit7149 7 жыл бұрын
😔 😔 😔 hii nchi yani..kweli tuna hasira Sio Siri LEMA umeongea ukweli tupu
@petermurro8192
@petermurro8192 7 жыл бұрын
safii sana kaka yangu lema
@fanuelngambiye1342
@fanuelngambiye1342 4 жыл бұрын
Mungu ni Mwema
@resplau7639
@resplau7639 4 жыл бұрын
Kuna watu wana mambo ya kujenga ingelikuwa kuna muunganiko wa mawazo ya pande zote mbili nadhan nchii hii ingelienda mbali sana @# Lema
@rafaelighambi2605
@rafaelighambi2605 5 жыл бұрын
EB msifananishe mungu na utawala mana imeandaikwa hakuna mfalme wala mafarisayo na watoza ushuru hawatauona ufalme wa mungu mana wanafanya vtu kwa interest zao
@mangekimambi1018
@mangekimambi1018 7 жыл бұрын
Aiseee
@frankmosha5854
@frankmosha5854 4 жыл бұрын
Lema ni moto wa kuotea mbali kabisa smba chawene VP umeanguka chari neno hata ujui limeandikwa wapi kweli nimeamini ccm mpo kwa ajili ya mtumbo yenu
@piusjaphet2760
@piusjaphet2760 7 жыл бұрын
Maombezi yao ni kutaka taifa kuangamia hivi tumewachagua kutetea nini
@josephpaschal7346
@josephpaschal7346 5 жыл бұрын
Pius Japhet niborakwahayo maombi kuliko kufanya kupakwa mafutakwamgongowachupa matapelinyie
@kismatdu7209
@kismatdu7209 4 жыл бұрын
watanzania tunaogopa kufa na ndio hatupati maendeleo tunaburuzwa ccm haiwezi kutoka kwa kura ccm inatoka kwa damu au bunduki
@aloycemwakatala2634
@aloycemwakatala2634 4 жыл бұрын
Hobo alitafutwa siku ngapi?
@julianlukinga9588
@julianlukinga9588 7 жыл бұрын
uyu jamaa n fundi hakika....
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 Жыл бұрын
Karibu nyumbani kamanda
@cosmaswilliam3805
@cosmaswilliam3805 2 жыл бұрын
Naipendaga chadema sanaaaa.
@allyngoda761
@allyngoda761 4 жыл бұрын
KWAKWELI BEST SPEECH IN 2019, NI HII YA LEMA HIVI NAJIULIZA WATANZANIA HAMUMSIKII HUYU JAMAA ANAVYOONGEA? KWANI MMEROGWA NA NANI?
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 2 жыл бұрын
Nashindwa nani kawaroga
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 2 жыл бұрын
Waulize tena kakangu
@emmanuelnasari6129
@emmanuelnasari6129 Жыл бұрын
Hata mimi najiuliza leo😅
@ceciliajimmy5652
@ceciliajimmy5652 5 жыл бұрын
Mwenye masikio na asikie. Upendeleo huleta matata!! Ccm bila upinzani, nchi imekwisha. Yaani watu hawana jeshi, wanalindwa na Mungu, hawana silaha, silaha yao ukweli mtupu kupitia ndimi zao. Hakika hakuna jiwe litakalosalia juu ya jingine!!
@neemayo4693
@neemayo4693 4 жыл бұрын
Amina mungu shughulika
@MOJAZAIDI.
@MOJAZAIDI. 7 жыл бұрын
Godbless Lema. huyu jamaa anajambo la msingi sana ila hasikilizwi....lakini kwenye mambo ya msingi tuache uchama...kibaya alichosema Lema ni kipi?Tanzania kwanza.
@stelasasala5972
@stelasasala5972 7 жыл бұрын
Kwel kbs ndugu yangu
@MOJAZAIDI.
@MOJAZAIDI. 7 жыл бұрын
uvyama unachukua nafasi kuliko maslahi ya taifa....taifa halifutiki ila vyama muda wowote vinapotea..ndio maana sisi ni wana ukawa kutokea Tanzania ndiomana sisi ni wana ccm kutokea Tanzania..so TZTZTZTZ...HAIFUTIKI...Mwenye sikio asikie...siku moja ya Lema yanawezakujitokeza.
@elianifaaluka4790
@elianifaaluka4790 4 жыл бұрын
Sio unyenyekevu wa kukubali ujinga
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 Жыл бұрын
Wish ningekuwa lema
@itazowanzagi5721
@itazowanzagi5721 4 жыл бұрын
Kati ya speech nazo zikubali ni zahuyu jamaa mungu amsaidie
@arolamuganyizi5972
@arolamuganyizi5972 Жыл бұрын
Huyu mwamba anaakili za pekee yani
@edwinboaz2628
@edwinboaz2628 4 жыл бұрын
Jembe letu chuga Mungu akulinde mno
@emanuelleopod3949
@emanuelleopod3949 4 жыл бұрын
Fact Fact Fact Fact, mimi ni Ccm nisie na kadi ya chama ila huyu mwamba leo kaongea Fact tupu aisee
@janjarovicent2055
@janjarovicent2055 7 жыл бұрын
Chin ya jua acha tunyanyasike lakn wote tutakufa.dunian hakun mungu mtu wa kumwabudu kwa kuogopa udikteta hakika lema mwanasiasa na mcha mungu ntakukumbuka sana lema hakika nmejeruhiwa moyon mwang mungu shahidi magufuli na serikali yake have to take ages
@angelinasimchimba705
@angelinasimchimba705 5 жыл бұрын
Mim ni ccm lakn huyu Lema hua wakat mwingne anaongea point sana@
@edsonsign9441
@edsonsign9441 7 жыл бұрын
tunataka wabunge wanaozungumzia taifa kama lema! leo kaongelea uzalendo cyo uvyama nadhani ameshauona upuuzi unaofanywa humo bungeni. ni kweli siasa za uvyama hazitusaidii bungeni. bg up lema.
@jacobpatrick7936
@jacobpatrick7936 3 жыл бұрын
Daah mlifanya kazi yenu vizur mmemaliza pumzikeni waachieni waongoze peke yao
@elishaalex6695
@elishaalex6695 7 жыл бұрын
Baba lema @....hata Yohana aliacha uoga na kuthubutu kumwambia Mfalime ametenda thambi kumtwaa mke wa mdogo wake ...Uoga ni thambii
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 7 ай бұрын
Nice thinking 😢
@kijanaHai
@kijanaHai 7 жыл бұрын
Alafu kuna speech nikizioma na kuzisikiliza mwili unakufa ganzi akili uchanganyikiwa na woga uniingia na mwisho nasema ee Mungu naomba kikombe hiki kiniepuke ........Leo nimeona maneno yanayopaswa kuongea na #KIJANA_HAI ambaye anapenda Taifa na watu wake hongera kijana #HAI LEMA endelea ulipoishia
@kimarojoji5340
@kimarojoji5340 6 жыл бұрын
Lema umeongea kwa hisia mimi wa darasa la saba nime kuelewa vizuri sana hao watawala wenye visomo sijui wakuelewaje ila tuzidi kumuomba mungu huku tuki utafuta utakatifu kwa bidii mungu akudumishe uzidi kuwasemea wananchi kwa jina la yesu amina.
@upendomasai331
@upendomasai331 3 жыл бұрын
Jaman lema natamani ungeendelea kuwepo bungeni miaka yote
@micamathew6433
@micamathew6433 4 жыл бұрын
Sasa, inaonekana hujui vizuri Biblia. Andiko uliosoma inatoka katika kitabu cha Ufunuo wa Yohana21:8. Ww ulisema Ufunuo kisha mstari wa nane. Sasa mtu atakuelewaje?? Hukutaja mlango, ulitaja mstari tu!! Lema soma Biblia bana.
@janetcharles4991
@janetcharles4991 7 жыл бұрын
lema nakupenda bureeeeeeeeeeeeeeeeee
@yusuphmruma1771
@yusuphmruma1771 4 жыл бұрын
asante Kaka sema ukweli utalipwa na mungu anakupenda kwaajili ya uwo ukweli wako
@husseinnyomi6120
@husseinnyomi6120 4 жыл бұрын
Hukoseagi kk mkubwa huwa nakuwelewa sana KK mungu akulinde kila ukanyagapo
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 4 жыл бұрын
Mtupu
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 7 жыл бұрын
halleluya#glory be to God#itafahamika tu#Mungu yupo na anajibu#Mungu akubariki na akusaidie#💪💪👊👊Lema#safi
@jacobpatrick7936
@jacobpatrick7936 3 жыл бұрын
Best speech ever
@godhelplatia3044
@godhelplatia3044 4 жыл бұрын
Amina Mtumishi Lema Mungu akubariki Sana
@jeviounipers
@jeviounipers 7 жыл бұрын
Duh, mpaka nimepata hasira.....well said Lema
@hanskalitus5583
@hanskalitus5583 4 жыл бұрын
Lema nakukubari Sana brother
@SarahLibogomalove
@SarahLibogomalove 7 жыл бұрын
Inackitisha Sana..... Bunge halijitambui lina nguvu kiasi gani, laiti wangeweka interest za wananchi wao mbele I bet kuwa bunge letu lingekuwa na tija Sana kwa taifa!! Thanks Hon. Godbless!!!!
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 7 жыл бұрын
asante#kumbe leo baba Mwakasege alikuwa mjengoni#ashukuriwe Mungu#Lema kuna siku watakuelewa
@irenegoodlucky1974
@irenegoodlucky1974 7 жыл бұрын
christina kaminsa baba hakuwa bungeni ila yupo huko dodoma kwa semina na anamaliza kesho dia
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 7 жыл бұрын
najua yupo ddoma kwenye semina!#najua ratiba yote# siongelei hilo, naongelea kwenda bungeni kuomba na wabunge baadhi! hata lema kaongea hapo msikilize,kuna sehemu anasema walikuwa wanaomba na mwakasege
@husseinnyomi6120
@husseinnyomi6120 4 жыл бұрын
Hivi kwa nn wabunge Wa ccm hawakuwelewi mbona
@hamisindoki9485
@hamisindoki9485 7 жыл бұрын
Lema goja. niongezee, Dunia ni sawa na nyumba kubwa. yenye miwili tutaingilia mlango Mbele na kutokea mlango Nyuma hakuna wa kubaki katika hii dunia hata hau wanaotuma kamata Yule bila kosa mungu nae ana askari wake watakamatwa poleni sana wahanga wote
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 4 жыл бұрын
Kabisaa
@tajivicchiuja2143
@tajivicchiuja2143 4 жыл бұрын
Mtaacha watu waokoke!!!😀😀😀
@happinessmwanga3633
@happinessmwanga3633 7 жыл бұрын
Nakushukuru Mungu wangu Kwa ajili ya Godbless. Lema mpandishe utukufu mpaka utukufu
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 Жыл бұрын
Kabisaa
@mastermwakyembe1093
@mastermwakyembe1093 4 жыл бұрын
Sawa kabisa Lema unastahili pongezi
@jimmysalag9820
@jimmysalag9820 5 жыл бұрын
Mhe lema Nena ukwel Mungu akusaidie Sana ktk hatua unayopita
@emmanueljuvieh4316
@emmanueljuvieh4316 7 жыл бұрын
kwa mtanzania mwenye akili timamu na anaejielewa nadhani kapata kitu ila matahira hawakosekani nimesema tyu neno langu sio sheria bt big upmh.Lema
@suzyjohn6791
@suzyjohn6791 4 жыл бұрын
mungu akubariki akutie nguvu akupe hekima ya kunena mazuri kila ihitwayo leo
@joycemichaellovelove2221
@joycemichaellovelove2221 7 жыл бұрын
duuuuuh Mungu akubarik sanaaaa, akutie nguvu na akuongezee ujasir zaid na zaid Amin
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 Жыл бұрын
Ben sio mbuzi yangu Ben ni mtoto wangu
@Views-mf8ir
@Views-mf8ir 7 жыл бұрын
Ivi kwanini Mbunge kama uyu WanaNchi waliomchagua wasijivunie nae....???
@visualservices8897
@visualservices8897 7 жыл бұрын
Thanks lema ila ni kweli tunaandamana miyooni mwetu na tupo wengi maneno kuntu sana nathani Mungu shahidi natamani kuyafanya maneno haya ring tone yangu ya simu si kwa uchungu naosikia
@kijanaHai
@kijanaHai 7 жыл бұрын
Kuna speech nikisiliza huwa zinasisimua mwili wangu na akili uchanganua yaliyomo alafu naishia kusema nashukuru Mungu kwa chakula ulichonilisha leo.
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 2 жыл бұрын
Kaka lema rudi nyumbani kapige kazi kaka
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 2 жыл бұрын
Waoga hata mbinguni wataiona kwa mbali
@ramadhanikakoree3728
@ramadhanikakoree3728 5 жыл бұрын
Daaaahhh ewe m/mungu mpe LEMA maisha marefu namtangulie kwenye harakati hizi kwn amesema ukweli mtupu
@tanzaniayetu6973
@tanzaniayetu6973 7 жыл бұрын
swala la Beni limekuwa gumzo kwa kweli,tupo kwenye taifa ambala haliruhusu watu kuhoji wala kuhojiwa,watu wanapotea kwenye mazingira ya kutatanisha na serikali ipo kimya haitoi mingozo kitu ambacho ni hatari sana kinawanyima raia Uhuru wa kuzungumza wakihofia kupotezwa hakuna anayejua hili zimwi la kuteka na kutesa watu limetoka wapi na ninani anaye ongoza hilo genge?kwa kweli inatisha sana tunataka tusikie tamko la serikali juu ya hili swala sisi ni binadamu siyo wanyama Mwenyezi MUNGU ametupa heshima kubwa sana isiyo fananishwa na kiumbe chochote kile,vyombo husika tuambie ni nn hasa kinaendelea?
@mottofoundationinc.3492
@mottofoundationinc.3492 7 жыл бұрын
Only smart brain will understand this talented guy...
@richardtungaraza7509
@richardtungaraza7509 5 жыл бұрын
Simbachawene yupo kweli
@titochungu7986
@titochungu7986 4 жыл бұрын
Amina lema
@bettymassanja881
@bettymassanja881 4 жыл бұрын
Very well said.
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 4 жыл бұрын
true
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 4 жыл бұрын
only
@babujinga5819
@babujinga5819 5 жыл бұрын
Ni kweli siasa zimejaa bungeni...lema unasema ukweli..bunge limejaa siasa ya ccm..ipo cku mungu atahukumu haki
@mickysunday2494
@mickysunday2494 7 жыл бұрын
Roma ndo hvyo hatukonae wala hautackia amepatkana watakaa kmya mwsho wa cku wanatuma FBI. Nakumbuka maneno ya roma kwamba hii ndo Tanzania nchi yenye udongo wenye dhambi nakupenda sana kaka najua hurudsha kadi ya chama kama nakaaya wema hufa mapema
@ericklibaba1198
@ericklibaba1198 5 жыл бұрын
Kuna watu wanaakili nchi hii... Nakuelewa Lema
@stelasasala5972
@stelasasala5972 7 жыл бұрын
Arusha pls Lema ni bonge la kiongozi. Anasema ukwel kwa mambo alopitia angekuwa mwingine angekaa kimya. Lakn huyu yupo kwaajili ya kutetea wanchi
@tracyjustice1600
@tracyjustice1600 7 жыл бұрын
Mh.Lema umeongea point, Tanzania imeanza kupoteza nuru ya Amani, watu wantekwa amna anayefuatilia # bring back Roma wetu
@monicasamba2557
@monicasamba2557 7 жыл бұрын
kweli kabisa mh.Lema, watu hatuandamani barabarani lakini mioyoni mwetu tuna kuna moto unawaka, tunajeruhiwa sanaaaa
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 2 жыл бұрын
Ndio ukweli job ndugai
@preciousdoreen9225
@preciousdoreen9225 7 жыл бұрын
aaaaah umenikosha mheshimiwa uuwiiiiiii..baba hyo miatar shkamoo babaa
@aybusaidi6719
@aybusaidi6719 4 жыл бұрын
Muheshimiwa Simba chawene tunaomba boda boda utusaidi Hawa wanaume washa Anza kuzikamata na tochi za jimu zinaongezeka jalibu kutetea watu Kuna bazi ya askar wameanza ymambo yazamani
@victorlutrac3667
@victorlutrac3667 5 жыл бұрын
Daaaaah Lema mungu akuzdishie miaka
@delekalxon7221
@delekalxon7221 2 жыл бұрын
This video never get old .Lema🙌🙌
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 2 жыл бұрын
Lema lema how many times ave I called you
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 2 жыл бұрын
Nabii apati heshima kwao
@titomsami4737
@titomsami4737 7 жыл бұрын
mheshimiwa Lema .hongera kwa ujasiri wa kuongea ukweli najua kuna watu wanajifanya wanaupinga ukweli wako ila mungu atatenda kenye kweli hiyo hiyo.
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 2 жыл бұрын
like this guy
@angelatarimo6900
@angelatarimo6900 4 жыл бұрын
Lema Mungu atakulinda tetea haki tetea haki Mh tunakuelewa kabisa mbunge wetu big up sana
@starchincho3667
@starchincho3667 7 жыл бұрын
mueshimiwa lema tukiwapata watu kama ww mia mbili ii nchi ingekuwa tajiri cna wala tucnge angaika ivi mungu akutangulie cna
@priscaoscar9263
@priscaoscar9263 4 жыл бұрын
Aisee Lema kaongea Sana kwa kupitia neno Amen
@SimbaM2kufu
@SimbaM2kufu 4 жыл бұрын
Kelele Lema, Beni Sanane kapotezwa na ujinga wake mwenye
@chazdenis7820
@chazdenis7820 7 жыл бұрын
mungu akubariki sana unachonena n sahihi kabsa leo watu wameendamana ndan ya mioyo yao ila ipo siku wataingia barabarani
@marathonsvunthomas76
@marathonsvunthomas76 6 жыл бұрын
chaz denis in
@amoskijangwa936
@amoskijangwa936 4 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu lema
@loner_wolf
@loner_wolf 4 жыл бұрын
Mimi naamini Hawa jamaa wa upande wa pili wamedanganyana wajiangushe ili wapate penati , yaan wanataka Sheria za bunge zifuatwe ili wainekane wanaonewa na kunyanyaswa kesho waje kwetu wananchi kutaka huruma ..... Wananchi pia tumejipanga hatutaki wakwamishamaendeleo next season wengi wenu mtabaki kushangilia TU jukwaani....... Kiufupi mpinxani atayepata Jimbo basi afanye kazi haswa ..... Hautakuwa easy kurudi mjengoni , sio kwa Kaz hii ya JPM kwa miaka hii mitano.... Trust me
@LukovaMadubo
@LukovaMadubo 2 жыл бұрын
Bado una mtazamo huu mkuu? Au nyakati zimekufunza kitu......
@loner_wolf
@loner_wolf 2 жыл бұрын
Its ah year now man...... Before last election
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 2 жыл бұрын
lakini lema kasema ukweli hapa
@aftonisudi2778
@aftonisudi2778 7 жыл бұрын
Daaah moyo unapata maumivu akili inapata joto. Tukumbuke dakika zinaenda na masaa yake basi jua uhai unapungua na kifo tunakikaribia tujiandae na huko tuendako kabla hatujafaaa
@richardjames8615
@richardjames8615 7 жыл бұрын
lema uko vizuri hawaelew mpaka waende jela.....povu hilo ni la wote...nakupenda mpaka kesho......
@esediezekieli2434
@esediezekieli2434 4 жыл бұрын
Allah tunusuru kweli dunia haina huruma
@michaeljohn690
@michaeljohn690 7 жыл бұрын
Mungu atakuvusha kwenye bonde la uvuli wa mauti kiongozi wangu.
@petermatonya1455
@petermatonya1455 4 жыл бұрын
Hakika upo vizur broo Lema
@modesttryphone4030
@modesttryphone4030 5 жыл бұрын
Barikiwa saanaa Lema kuwakumbusha wabunge kwamba kesho INAKUJA na moto wa Jehenamu unatusubiri tusipoacha utahira kiroho
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 4 жыл бұрын
the best ever speech I have ever had
@cosmaswilliam3805
@cosmaswilliam3805 2 жыл бұрын
Ameishashugulikiwa ndugai lakn bado hawajajitambua.mpaka sasa
@tinalekashu1342
@tinalekashu1342 7 жыл бұрын
nyie mnaosema lema hafanyi kitu kwake nyie ndo hamujui Arusha vzr,lema✌✌👌👌 mungu akucmamie Na akupe ujasiri ivo ivo
@mariammuhammed7021
@mariammuhammed7021 5 жыл бұрын
Tina Lekashu Marisa juma
@mariammuhammed7021
@mariammuhammed7021 5 жыл бұрын
Juma baro
@mariammuhammed7021
@mariammuhammed7021 5 жыл бұрын
Maurid juma
@godlovebruno3395
@godlovebruno3395 7 жыл бұрын
Lema umenena
@linusgid4380
@linusgid4380 4 жыл бұрын
Wambie kaka Lema.
@emillyvedastus1972
@emillyvedastus1972 7 жыл бұрын
Mungu akubariki Lema kwa hekima zako. naamini watawala hawakuelewi sababu we ni mpinzani
@emmatarimo2815
@emmatarimo2815 7 жыл бұрын
Emiliano Vedasto hekima zake na aanze kuzitumia kwanza kwa kushughulikia kero za wapiga kura wake badala ya kuhubiri kama nabii
@csato9415
@csato9415 7 жыл бұрын
Mpendwa wangu @Emiliano Vedasto, hivi ni mbunge yupi katika bunge letu ametimiza kero za wapiga kura wake? bunge letu linaumizwa na siasa ambazo hazina tija ktk kuendeleza taifa letu.
@amanimfaume7027
@amanimfaume7027 7 жыл бұрын
+Emma Tarimo njoo arusha uone acha kuongea km unakipande cha nyama
@rashidisaidi9102
@rashidisaidi9102 7 жыл бұрын
Mikumi peke yake wanafaidi matunda ya mbunge wao J
@ayubuuomaary4689
@ayubuuomaary4689 5 жыл бұрын
Emiliano Vedasto vbaya San mamuzi magumu mungu yupo
@rajabuabdallah3840
@rajabuabdallah3840 7 жыл бұрын
EEEE HPO IMEWAKAA AKLINI HTA WAKIGOMA KIMWLI KIAKILI Y IMEWAKAA TNKUOMBE MR LMA
@bahatidan4751
@bahatidan4751 7 жыл бұрын
preach brother Mh Lema
@suysoni
@suysoni 7 жыл бұрын
Well Said Lema. Umeongea kwa hekima sanaaa. Hope watakusikia tu one day.
@nicholasakeya6790
@nicholasakeya6790 2 жыл бұрын
Kabisaa bila shaka
Godbless Lema Aliamsha Dude Bungeni, Hali ya Hewa Yatibuka
15:51
Global TV Online
Рет қаралды 577 М.
Ni Tundu Lissu na Joseph Mbilinyi tena Bungeni leo May 5 2017
11:11
Millard Ayo
Рет қаралды 1,4 МЛН
Which One Is The Best - From Small To Giant #katebrush #shorts
00:17
Players vs Corner Flags 🤯
00:28
LE FOOT EN VIDÉO
Рет қаралды 72 МЛН
WORLD BEST MAGIC SECRETS
00:50
MasomkaMagic
Рет қаралды 54 МЛН
BUNGENI: Bashe na Sugu kuhusu ishu za kutekwa
11:41
Millard Ayo
Рет қаралды 666 М.
Vituko vingine vya Mbunge BWEGE bungeni leo, “tutaandamana”
13:54
'Matokeo ya Uchunguzi kuhusu kupigwa kwangu risasi bado mpaka leo'
51:24
BBC News Swahili
Рет қаралды 82 М.
BUNGENI: MBOWE VS MAJALIWA KUHUSU SHAMBULIO LA LISSU
12:23
Millard Ayo
Рет қаралды 311 М.
LEMA ALIAMSHA DUDE BUNGENI MATIBABU YA LISSU, MWENYEKITI AMTAKA AKAE
4:05
Mwananchi Digital
Рет қаралды 168 М.
“Watu wanauawa, msifikirie Watanzania hawaoni”-John Heche
9:21
MBUNGE BWEGE ALIVYOZUA BALAA BUNGENI LEO
13:38
Millard Ayo
Рет қаралды 739 М.
GOODBLES LEMA AMPIGIA OLE SABAYA NA KUMTAKA AACHE KUTESA WATU
3:14
Chadema Media TV
Рет қаралды 403 М.
Which One Is The Best - From Small To Giant #katebrush #shorts
00:17