Ngoja Umalizike Uwoo Uwanja Kuna Mbuzi Watakuja Kusema Made in Mwana Chato
@mcback4384 Жыл бұрын
Uwanja ulikua ujengwe siku nyingi ila wazungu wakigoma kutoa pesa baada ya Sakata la Barrick
@bellam.vyampi5528 Жыл бұрын
I like your comment
@erickchitumbi1308 Жыл бұрын
Jambo zuri sana.
@sylvesterf.mbonimpaye1413 Жыл бұрын
kla cku ahad ,hakuna kinachofanyika
@hijazhija316 Жыл бұрын
Kapime macho na masikio.
@NDEWARA Жыл бұрын
Pole sana. Kama huoni yanayofanyika unahitaji ukapimwe akili
@sylvesterf.mbonimpaye1413 Жыл бұрын
acha siasa,twende na reality,huu uwanja una ahadi ya miaka m3 iliyopita . Tafta video ya kucheleweshwa kwa mradi huu alohojiwa mkuu wa mkoa sio kutukana