Hizo pesa ulizojengea hapo ungekwenda kuwasaidia watoto yatimana walemavu ungepata thawabu kwa mungu kuliko hayo uliyoyafanya pole sana😊
@abelmbijima43247 ай бұрын
Hana hofu na Mungu, anampangia Mungu kwamba utafia hapo kwako!!!!
@yugemasanza10087 ай бұрын
Tangu Zama za kale watu walijiandalia makaburi . Yesu alizikwa katika kaburi la Yusufu wa Arimathaya
@mohammadoman89637 ай бұрын
😂😂😂😂😂mtihani kweli wallahi
@christophershuma6237 ай бұрын
Ndugu yangu angalia sana u sije ukaliwa na mamba ziwani.
@mitaocamilliusthegreatest90687 ай бұрын
Safi sana abarikiwe daima
@AlvanEdwine-ih4vy7 ай бұрын
Ingekua vema ungeokoka na kuishi maisha yanayompendeza Mungu,maana kaburi zuri halikupeleki mbinguni mzee
@IsayaNgoiva7 ай бұрын
Mtu ambae hajajiandaa hawezi jiwekea vitu hivi huyu amejiandaa vyema ni zaidi ya kuokoka na kibibilia yupo sahihi
@AlvanEdwine-ih4vy7 ай бұрын
@@IsayaNgoiva walewale ww pia hujaokoka sema n mshirika mmoja na yeye😁kumbuka kuongea mistar ya biblia sio kuokoka😁
@lilyrose79837 ай бұрын
Jamani huyu Mzee anajua anachokifanya anajua aliko jiunga so haina haja ya kuumiza akili
@donaldkiduko24177 ай бұрын
huyo mzee hakijui anachofanya atazikwa na kaburi ataliacha na mateso atakayoyapata kutoka kwa mwenyezi Mungu
@lilyrose79837 ай бұрын
@@donaldkiduko2417 Daah mtihani 😪
@AbasSemfuko7 ай бұрын
Nyie😂wahandishi😂mnazingua sana Kiukwel
@HawaSwabra7 ай бұрын
Kuna yule hawa anaumwa natumbo kila kukicha anarudishwa hospitali baba umeshindwa kumsaidia baba kila kitu anapanga mungu baba hebu fanya msaad wako
@eunicejohn55207 ай бұрын
Kufuru kufuru,hizo ela ungegawa kwa wahitaj mungu akusamehe
@abelimwakijungu12267 ай бұрын
Safi sana, busara kubwa sana hiyo, japo wengi hawawezi kuelewa. Tunajifunza pia.
@mohammadoman89637 ай бұрын
Mauti ni haki lkn mtu anatakiwa kuliandaa kaburi lake kwa kufanya mema kila nafsi itaonja uchungu wa mauti lkn mwenyezi mungu hatizami kaburi lako ni la aina gani hiyo ni faghari tu ya dunia tu ukitaka kaburi lako liwe na noor kuna watu hawajiwezi kwa nini usiwasaidie hizo pesa angalau ukumbukwe kwa wema na kuombewa dua 😂😂😂
@AlfredHaji7 ай бұрын
Ukibadilika Kiroho na ukimjua Yesu ipasavyo,utalivunja ilo kaburi
@angellomarcel56777 ай бұрын
Funzo..Jiandalie Makazi yako ukiwa hai
@meshackthomas13417 ай бұрын
Nikuzihak na kukufuru Mungu. inamaana hakuna wenye uhitaji au matatizo hata ndugu zako hadi unaamua hivyo? hivyo havitakusababishia hata tone la msamaha au pepo njema hata ukizikwa kwenye ndege. Hakuna kitu kama hujafanya yale Mungu kaagiza kufanya ukiwa dunian kumbuka Mungu kama angekua hana huruma. Angekuchukua hata ukiwa huna chochote bro unachokipanda kiufup nikibaya but utakipa shida kizazi chako kwa kufuru hii
@rosedohho89717 ай бұрын
Yuko sawa
@asteriashios18527 ай бұрын
Hilo nalo neno tujiandae sijaona kosa ni maendeleo pia
@prospermakela77917 ай бұрын
7 6 yupo sahihi sana,ni utaratibu mzuri kuandaa mazishi yako.Ni kama tu kuandika wosia.Wanaosema vibaya humu ndani wengi wetu hatuna hela ya ziada yaani tunaishi chini ya budget
@ShedrackHenry18 күн бұрын
Hilo ni tatizo la afya ya akila
@fay96877 ай бұрын
Jeneza na kaburi sio hoja vitendo vizuri mungu ndio anataka hujui utakufia wapi unaweza ukatekwa ukapotea
@awadhally10527 ай бұрын
Kwel kabisaa chizi huyu hajielew yy anajua ataxia wapi kama akifia kwenye maji
@romanasulley837 ай бұрын
Pengine Mungu alishamwonyesha kuwa siku zake ni karibu kufika.......
@meshackthomas13417 ай бұрын
Bro kumbuka kunawatu wapo wanahitaji faraja ya sh20000 wengine wanapoteza maisha kwa kukoswa sh 10000 tu nk natumeagizwa kusaidiana na kusaidia kwa tulichonacho tukiwa na Afya njema bro kiburi cha uzima kisikutenge mbali na Mungu 😂😂😂
@Mwanah277 ай бұрын
Makubwa....! ila pongezi kwa mzee, ikitokea kuliwa na mamba afu utafutwe usionekane itakuwaje
@swadifaabdallah49657 ай бұрын
Sio mamba tu kifo nisiri ya Mungu hakuna anaejuwa kifo kitamkuta wap unaweza kufa hata maiti yko isipatikane ila kikubwa kumuomba Mungu atupe hatma njema sio vibaya kujiwekea na kujiandaa Mapema mana hata usipotumia wew bs watatumia wengine.
@JacklineFrancis-f7b7 ай бұрын
Je akianza mke wako kufa itakuwaje?
@upendoeliya93297 ай бұрын
Mke alishakufa
@joneydomin67087 ай бұрын
Bora yeye amejiandalia maana mambo ya KUOMBA michango msibani muda MWENGINE ni fedhea Kwa familia
@ShinyangaBranchCCIL7 ай бұрын
Uko sawa
@KhalfanShaban-x4x7 ай бұрын
Ukichelewa kufa utaona mengi sana 😂😂😂😂😂
@IsayaNgoiva7 ай бұрын
Kibibilia ipo sawa kabisa vyema mzee wangu
@AlvanEdwine-ih4vy7 ай бұрын
Haiko sawa,ww biblia umejifunza lini😁
@didimeandrewngowi7 ай бұрын
Bibilia gani?? Mawazo yako sawa naye, huo ubatili mtupu chini jua, tunakujua kaka, je kama hukupata hicho kiinua mgongo kaburi la 10.0m ungejenga na nn??😮
@robertgeofrey41187 ай бұрын
@@AlvanEdwine-ih4vykwa asili ya waisraeli yupo Sahihi hata Yesu Alizikwa kwenye kaburi la Yusufu wa Arimathaya alilokuwa amejiandalia mwenyewe
@AlvanEdwine-ih4vy7 ай бұрын
@@robertgeofrey4118 kaka mm hapa nazungumzia habari ya yeye na roho yake kuokoka cjapinga kuzikwa ,angependa ata aakazikwa na magari yake.mm nlchomshauri n kuwa autafute ufalme wa Mungu kwanza then hayo mengine n ziada
@mnyongeiddi24547 ай бұрын
Hela zote hizo ungekuwa na hofu ya Mungu ungesaidia wenye uhitaji unaweza kufa kwa kumezwa na mamba na hilo sanduku usiingie😃😃
@sharafisaidi79997 ай бұрын
Kuokoka ni lazima na baada ya kuokoka unakazi ya kufanya kumletea mungu mavuno maana yake kutumika chini ya ufalme wake unataka unaharaka ya kufa unaenda kufanya Nini huko?
@donaldkiduko24177 ай бұрын
atakuja kufa nahilo kaburi hatazikwa nalo mungu mkubwa
@didimeandrewngowi7 ай бұрын
Mbona maandalizi ni kaburi moja tu mh.???
@ahmadmohd37717 ай бұрын
Hajajiandaa kufa angejenga porini
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur7 ай бұрын
ni ubatili na kujijaza upepo tu
@OnesmoEmmanuel-xr2rf7 ай бұрын
Dunia inamambo tupeni hera wengine maisha magum wengine wanatengeneza majene kweli kufa ni kufa tu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@christophertanu18807 ай бұрын
Mimi ninaona huyu Jamaa amerogwa . Wakati wa utumishi wake kuna mahala alikosea. Hizi kazi za upolisi zinamambo kweli
@faidhamyovela1797 ай бұрын
Unaakil ndog sana ww angestaaf vip hay ni maamuzi tu ya mtu alogwe kujenga kabur lake asilogwe afe
@meshackthomas13417 ай бұрын
Kwel bro au kutokua msomaji wa maandiko matakatifu ya Mungu na Amuri 10 hadi tunaingilia kazi za Mungu..😄😄😄
@goodteam78907 ай бұрын
Mi mloma ila nimependa mazishi ya rais mwinyi no makolokolo
@ramadhanimtiba8347 ай бұрын
Bro ni mtata Toka morogoro
@georgebataze66257 ай бұрын
Andaa roho, huo mwili ni useless. Ingependeza kuwambia watu habari ya kuwa tayari kufa kwakuwa roho ikosalama tungejifunza kitu hapo, lakini hii habari inakosa mashiko coz ukisafiri ukapata ajali mbaya ukaungua na moto ukabaki majivu na mko watu wengi kiasi mwili wako haujulikani ilo kaburi inakuaje?😂😂
@mohammadoman89637 ай бұрын
😂😂😂😂Subhana Allah wakristo wanafiki ndio ataishi ktk hilo kaburi zuri huko ni amali njema zinatakiwa acheni kujidanganya bora hizo pesa ungesaidia watu hiyo ndio hazina yako.😂😂😂acheni ujinga
@didimeandrewngowi7 ай бұрын
Gharama zote za nn? Aende kama wengine, ukishakufa hiyo sarvege (catrage)inastahili kufukiwa kwenye udongo ioze, au ungelipa wataalamu ukifa wakumount na mwili usioze kama mzee Harambee kule kenya😅
@nsiamasawe45787 ай бұрын
Sisi hatutaki mambo ya gharama za kaburi na jeneza. Tunataka tule nyama za kushiba kama ilviyokuwa kwa Lowasa.
@faidhamyovela1797 ай бұрын
Hiv kajenga ndani ya nyumba yake au 😂😂😂
@mohdkhalifa88287 ай бұрын
Watu saiv washazinduka na kujua kua kifo huwezi kukiepuka lazma utakufaaa tu
@Winford-f4l7 ай бұрын
Nadhani unawaelewa vizuri ndugu zako wachaga,ukifa jeneza wanauliza million 2 ,wanakuzika kwenye jeneza laki 3. 😂😂
@ahmadally24377 ай бұрын
Sabasita, ulipambana aisee na uhalifu morogoro. Ulikuwa ni mwamba kipindi chako na karate zako mzee, ulijitahid
@JackobKyaro-zi7uj7 ай бұрын
Nunua nyakula vya kutosha ,vinywaji vingi na pia usisahau kutenga bajeti ya wasanii uli kuweza kunogesha mazishi yako huku wakinywa na kula.nahisi mawazo yangu yatafanyiwa kazi na Kama Kuna lakuongezea wadau ongezeni bajeti iwe juu ndo anavyotaka.
@hotstoryndaniyabongo96287 ай бұрын
Kwenye 10M angenipa hata 1 tu ningefurah
@georgebataze66257 ай бұрын
Kwani faza unataka kufa lini?😂😂
@shakirashakira-gc2yw7 ай бұрын
Kufuru sana utakuwa uwozi na ilo janaeza
@cmoshi70147 ай бұрын
Hatujaambiwa kuandaa majeneza na makaburi ya kufukiwa kwani roho yako ikisha achana na mwili wako ni kama gogo tu limelala hapo. Andaa moyo wako. Shetani mjanja sana anawaletea watu mawazo potofu uone hilo ulilolifanya kama ni sifa vile kumbe anakusubiri. Tubu dhambi zako lasivyo moto unakusubiri huko wewe jifariji tu.
@leejems1427 ай бұрын
Wat Kam Hao Mungu hawaui mapem anaaz kuwap Adhab hap hap dunian