Kazi nzuri anafanya mtengenezaji Genesa hiyo ni bei nafuu kwa Wananchi hongera Mzee wetu Mungu akubariki akulinde pamoja na Afya njema asante
@ahmadamohamed19074 ай бұрын
Afya njema ya nn ? Unaponunuwa gari unahitaji kuilijaribu afe kwanza tuone
@JulianaMushi-nq3kc4 ай бұрын
mandalizi mema mzee kaka mungu akusaidie usiliwe na mamba uje uingie kwenye nyumba yako nzuri ✌🤣
@AnethEdward-nf6sc4 ай бұрын
Hiyo Kali sasa wanaopata mauti ktk anga na kuwa majivu,au ktk maji cjui wataandaa wapi.
@-magicstory4 ай бұрын
Huna haja ya kuogopa kifo bali huwe tayari na ujiandae ukijia mda wowote unaaondoka...safi sana mzee sabasita
@dayana5513story4 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@user-sv6zy3hc8o4 ай бұрын
Hata mim sioni ubaya mana kila nafs itaonja umauti kwaio ni Bora mtu ajiandalie
@user-ub3xh7ug6c4 ай бұрын
Shid dini zetu zimetutia hofu
@joycemkeka37694 ай бұрын
Ndio kufa kupo sasa kwanini tuogope cha msingi nikujiandaa tu
@mitaocamilliusthegreatest90684 ай бұрын
Sahihi kabisaaaa mkuu
@josiacharles27784 ай бұрын
Mzee uko sawa unawapunguzia familia mzigo, Cha maana zaidi ni wokovu Yesu ndie njia kweli na uzima, Pia umsii sana Mungu safari yako yamwisho isiwe ya taabu, Ajali ya ndege, meli, miili ukosekana, kama huna mausiano mazuri na mtoaroho iyo yote nikazi bure.
@bmdele58164 ай бұрын
Huyo mzee ameamua kujiandalia nyumba bora ya maisha yake, Pia ameamua kupunguza shida wakati wa maandalizi ya mazishi yake!.. Mungu ampe mwisho mwema
@mitaocamilliusthegreatest90684 ай бұрын
Aminaaaa
@Judith8924 ай бұрын
Mnhhhhh! Mzee amekata tamaa ya kuishi atashangaa ataishi muda mrefu Hadi Hilo jeneza liharibike lenyewe
@dayana5513story4 ай бұрын
Wote tutakufa mzee umefanya vyema 👏
@mitaocamilliusthegreatest90684 ай бұрын
Yupo vizuri sana yaani na hatuwezi kumuelewa kwa kuwa wengi tumeweka kifo kama ni kitu cha bahati mbaya siyo kitu cha lazima kutokea huyu anajua maana ya maisha na mwisho wa maisha!kiuhalisia historia iandike kwa mkono wako waachie watakaobaki siyo wao wadanganye historia yako ya maisha na mwisho wako
@vibetz99914 ай бұрын
Kifo ni Baraka kama umeishi maisha yako vizuri 100% na kwa kumpendeza mungu
@teddymwageni17634 ай бұрын
MIAKA 70 ikiongezeka hapo ni neema tu ya mwenyezi Mungu
@Fredrickwesonga-ym4rs4 ай бұрын
Waoo WangaTv KZbin channel will be life interview Atwoli cotu president of Kenya
@queenesther26394 ай бұрын
KUMBUKA kutubu NI HAPA DUNIANI baada yakifo HUKUMU Ile sala ya mweke pema peponi haitakusaidia siku hiyo utatamani kumpga huyo anayedanganya watu Kwa kumwambia MUNGU akuweke pema peponi hutaweza! Mpe BWANA YESU KRISTO maisha yako sasa
@asiashaban82834 ай бұрын
Hajakosea kabisa baba yatu Yuko sahihi mungu ampe umuri mrefu amina
@Octavinaelisa-fn6js4 ай бұрын
Hongera baba duniani kuna sherehe 3 .kuzaliwa kuoa nakufariki sherehe ya mwisho ndoyakufa unaweza usifanyiwe vizuri kwasababu unakuwa huelewi chochote .maua yako mzee🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Bmsecret4 ай бұрын
SIO SHERE SIKU KUUBWA TATU
@ashuramhandoashuramhando67984 ай бұрын
Sasa Akifa Mwili usionekane itakueje maana kuliwa na Mnyama ipo kupotea tu ipo ila siyo mbaya hakuna ajuae Mwisho wake Hongera Mzee Kazi Nzuri ❤❤
@joycemkeka37694 ай бұрын
Watazika mgomba 😂😂😂
@PacJunior-hd8ig4 ай бұрын
Safi Sana nimeipenda iyo waoga wapite kule
@user-mk5gq8ih5p4 ай бұрын
Mnao sapoti niwareware makafiri watupu je yesu ariwekwa kwenye jeneza au haya mambo mumeyato wapi au kuiga washamba nyie
@MyName-wd8cp4 ай бұрын
Mungu akupe umri mrefu usife mapema ufikie uzee wenye mateso na dhiki na shida upate uchungu na ujutie pesa ulizo zitumia vibaya.. (amin🤲)
@ClementinaHabineza4 ай бұрын
Amina kbx
@mitaocamilliusthegreatest90684 ай бұрын
Hiyo kwako na hayo maneno kwake ni dalili ya uoga kama unaogopa kufa huna haja ya kusali Kwa kuwa tunasali ili mwisho mwema utukute popote pale Sasa mbona yeye yupo sahihi au nyie Ndiyo hamumuelewi?😊
@abedamohamed27664 ай бұрын
Mungu ajalie mwisho mwema hongera kwa sherehe yako ya mwisho huu ni ushindi wa utayari.
@godsonishengoma53783 ай бұрын
Mwenye hekima hawez yafanya hayo..
@mhangwacastory87654 ай бұрын
Binafsi ninakosa cha kusema ,ila nahisi atakuja kufia mahala ambapo hata mwili wake hautaonekana,mfano atafia kwenye ndge ama meli, au hata kuungua moto na Wala majivu wasiyaone ,kifo hakija wahi kuwa na formula kuwa labda atafariki akiwa na mwili wa kuzikwa nao kama huo alio nao! Naongana na wale walio shauri akawekeze Kwa watu wenye uhitaji huko ndo kusogeza Mahusiano na Mungu,lakini pia upande wa pili tunamshukuru anajitahidi kupunguza gharama baada ya kufariki kutoka Kwa ndgu na marafiki
@mhangwacastory87654 ай бұрын
Thanks for the like I have got
@davidlyimo80794 ай бұрын
Hongera saan kwa utayariii huuu...
@ellyjacob98974 ай бұрын
Yuko sawa ndg wanawaza Mchele na matent na viti maana kila kitu kipo tayari
@frankdanford82454 ай бұрын
Nipe hongera sana marehemu mtarajiwa kwa kulibeba jeneza lake mwenyewe kabla ajafa
@user-cc7xu7gz1j4 ай бұрын
😄😄😄😄
@ZainabuOmary-nt7xf4 ай бұрын
Ata ww ni marehemu mtarajiwa tu
@emmanuelmsafi95814 ай бұрын
Yaaani ni bonge la. Bahati
@sagengejackson36234 ай бұрын
Akifa baada ya miaka 20 Hilo jeneza s linakuwa outdated , kunakuwa na design zingine nzuri Zaid
@adkajisi45364 ай бұрын
Kikubwa maiti inakaa tu
@michaelthadey4144 ай бұрын
Uyu jamaa alikuwa noma Sanaa Kwa majambaz Arusha maana Arusha kaacha jina lake maana alifanya had kina malebo walikimbilia Kenya ... alikuwa afanyi utan na jambaz
@josephlorri4314 ай бұрын
Ongeza ibada, toa zaka na sadaka;kiufupi uwe karibu zaidi muumba wako. Maandalizi yako ni mbwembwe za dunia,zaidi sana fanya toba, saidia yatima,wagonjwa na maskini wengine kwenye jamii.
@anwaryabdallah77824 ай бұрын
Sahihi kbsa
@RwegoshoraPatt-os2ik4 ай бұрын
Utajuaje kama hatimizi uyasemayo?
@Hajer-be2kh4 ай бұрын
Nadhani mpka amefikia kujiandalia hayo maandalizi ni wazi ameshayajua hayo yote na kuyafanya na anaendelea kuyafanya ndo mana hana tamaa na maisha ya duniani hadi hapo Nadhani umeshaelewa😂😂
@anwaryabdallah77824 ай бұрын
Mukumbuke kuwa Anayofanya si ktk mafundisho
@RwegoshoraPatt-os2ik4 ай бұрын
@@anwaryabdallah7782 kaburi huitwa nyumban ya milele kama unaouwezo wa kujenga ruksa kama huna uwezo nyamaza ujengewe
@jacobnorbertchenga94654 ай бұрын
Mungu alivyo wa ajabu huyu mzee anaweza kusihi mpaka hilo jeneza atagawa.
@user-ei1sj2kk1e4 ай бұрын
😂😂
@CandyVois4 ай бұрын
😂😂😂😂😂 hata kama mama yake mzazi yupo basi mama mzazi ndo ataondo nalo
@sarahwawuda51644 ай бұрын
😂😂😂😂
@mabondolawrence18124 ай бұрын
Asisahau na manemane ila Kwa ushauri mzuri asumbukie Roho yake maana kaburi haliendi na Wala jeneza haliendi. Mtafute Yesu !
@adkajisi45364 ай бұрын
kwani kasema hana Yesu
@user-mk5gq8ih5p4 ай бұрын
Ukafiri nimzigo sana mwenyezi mungu ametukataza mambo haya
@user-ub3xh7ug6c4 ай бұрын
Yap.. mbn waislam.. wanalusiw kununua sand akaifaiz... Shid mnazikurupukia amzijui.. dini.. someni mandiko na myaelew kiundan na mumche mung roh na kweer
@petermanala61384 ай бұрын
@@user-ub3xh7ug6c😂😂😂af ni mambo ya ajabu sana anamwitaje mwenzie kafir ujue neno hili ni gum hata kutamka anausafi gan ana hakika gan kama yeye atafika mbinguni😮😮
@vincentcharles43854 ай бұрын
Shida iko wapi au unawashwa,kapakatwe na babaako huko.
@meshack32664 ай бұрын
Amekataza wapi iv kabili la yesu lilikuwepo au waliandaa baada ya kufa ko msikalili bhana acha afanye kimfaacho
@user-mk5gq8ih5p4 ай бұрын
@@vincentcharles4385 kama mnamfata yesu kweri yeye arifanya hayo mkundu wa mama ako unafirwa na baba ako nasikia baba ako arifirwa utotoni fara we
@kolosii43514 ай бұрын
Mzee yupo tayari. Amewapunguzia kazi watoto wake. Sio shida. Nafikiri ndio tunakoenda siku za mbele.
@TatuHusseni-hs7mu4 ай бұрын
Mmh ujasiri huo me sina tuombe mwisho mwema to kwa Allah 🙏
@nikodemmwahangila33344 ай бұрын
Mzee amepunguza ghalama kwenye msiba kabuli na jeneza akumbuke pia kujenga makanisa hata mawili huko vijijini Mungu atambaliki sana
@mikalwila93424 ай бұрын
Sema mzee nimekuelewa umetafuta pesa jiandalie ukiwa hai unataka uzikwaje
@adriandanford2084 ай бұрын
uku ni kumkufulu mungu kakupa uhai uishi wew unaisogeza Hali ya umauti kando yako , unajuaje labda utatwaliwa bila jeneza ,, ila asilimia kubwa ya awa watu Huwa wanakuwa ni watu wa secret societies or occultic groups members
@adkajisi45364 ай бұрын
Acha uoga ndugu, utakufa tu
@user-ol2rz8jq7u4 ай бұрын
Safi sana. Hakuna mwanafamilia mwingine ambaye naye anaitaji makazi mazuri msaidiane? Maana hiyo gharama !
@CandyVois4 ай бұрын
Duuuuuuuuu sawa mzeee
@faudhiasalum72794 ай бұрын
Hongera babu
@vi3ayo16224 ай бұрын
Sawa na mim niko bize apa kuchagua 😂😂😂
@EsitaDavid2-wp1uf4 ай бұрын
AMPE YESU MAISHA KABISA,YOHANA 3:26-17.
@mitaocamilliusthegreatest90684 ай бұрын
Ameshampa Ndiyo maana anauhitaji mwisho wenye maandalizi
@EsitaDavid2-wp1uf4 ай бұрын
@@mitaocamilliusthegreatest9068 Amen.
@user-eo1iq2su5g4 ай бұрын
Watu kama hawa hawafagi mapema kwa sababu wamesha jiandaa vizuri kimani ukiwa mtu wa imani sana kuogopa kifo sio rahisi
@nicksonlyimo15624 ай бұрын
Saba SITA ,Mr Kimaro nimefurahi kukuonya kwenye shot vidio hii,nakufahamu na nimtu unakibali Sana kwa watu pia kutokana na historia yako Arusha ya kuchapa kazi vizuri na kujitoa kwa dhati nk,ushauri wangu kwako ,Okoka ndugu yangu kwani bila wokovu wa YESU KRISTO ni kazi Bure na kuishi hakutakua na faida binafsi endapo hutaingia ufalme wa Mungu ,elewa kua Dini sio njia ya uzima Wala njia ya Mbinguni bali YESU ndio njia ya kweli na uzima wa Milele,,lazima kutubu juu ya wewe binafsi na mambo ulioyafanya kwa amri au kwa kubidi yote hayo yana hukumumu mbele za MUNGU pasipo kujalisha sababu ,soma Yohana 3:16 na Yohana 1 12-13, wagalatia 5 16-21
@jonathansolomon4564 ай бұрын
Jamani huyu baba ni jasiri mno
@abdallahlugendo32214 ай бұрын
Kila heri mzee wetu
@neemareuben3114 ай бұрын
Huyu mzee ameshagundua kitu katika familia yake ndio mana ameona mbali sana kuandaaa safari yake mapemaaaa sanaaaaa asizikwe kishidaaaa shidaaaaaaa nimependa sana ni vyema mtu kujiandaa mapema sanaa nikutokuwa na uwezo tu😢😢😢😢
@user-jy4sc8gv8o4 ай бұрын
Umeshajua utakufa kifo cha Aina gani😊
@user-vy2bc6xg3i4 ай бұрын
Yuko sahihi maana hata sisi Muslims tunatakiwa ndani tusikose sanda
@vincentcharles43854 ай бұрын
Bora unaeelewa kuna vichaa humu ndani hawaelewi Hilo
@amanmaleko30854 ай бұрын
Hii kitu aijakaa sawa mzee mwombe mungu yeye ndie ajuae saa nawakati
@user-vy2bc6xg3i4 ай бұрын
Hiyo akiba yaani hapo hata akiomba bipi lazima afe tu maana ni ahadi
@tumpaleakim8254 ай бұрын
Ni kweli anaweza andaa lakn akafikia kwenye kifo hata maiti isipatikane labda kwenye maji
@moviccreativestudio4 ай бұрын
Halisakha... Daa
@teddymwageni17634 ай бұрын
Bora ugeuze chumba Cha ibada,mafungo na maombezi tu
@bahatadof55434 ай бұрын
We Mzee umechanganyikiwa Nini,mtoto mrembo Kama tunda anichongee jeneza ,hawezi hata kidogo hichi kitabaki kuwa chumba tu
@exsonmwakalobo88654 ай бұрын
Hongera sana
@Abdul-rn5zj4 ай бұрын
yupo sahihi 100%
@user-cx1xz2is5d4 ай бұрын
Kweli ww jasiri
@johnshirima68044 ай бұрын
mzee 👍
@vagashappnecy48504 ай бұрын
Baba tunda anajua hakuna haja ya kusumbua wanaobaki anajiandaa maana kifo ni sehemu ya mwanadamu.
@Boniphaceshayo54 ай бұрын
Ningefurahi kama ningeona mandalizi ya chakula pia pamoja na watao mzika
@salimmalaka2564 ай бұрын
MBONA HUJASEMA SUTI YA MILIONI NGAPI SAA YA MILIONI NGAPI VIATU VYA MILIONI NGAPI TUJE TUKUVUWE 😂😂😂😂
@GodfreyOsward4 ай бұрын
Jambo moja huyu mzee hajui. Kwamba kifo ni siri ya mungu. Hatujui kwamba wengine ufa maji na mahiti zao upotea? Wengine uungua moto, wegine upotea tu bila kuwaona, wengine wanaliwa na wanyama. Mahiti hazipatikani.
@devisshirima67804 ай бұрын
Maandalizi ya kifo chema ni kuishi maisha Matakatifu tuu, na si vinginevyo.
@cutebrown40174 ай бұрын
Angeweka hadi hammer na viti na chakula kila kitu ikuwe tayari mambo zingine nikama movie sasa atawekwa kwa stima hiyo kaburi yake mwili yake inakauchwo
@user-ov3bt3pf1b4 ай бұрын
Omba Mungu mzee Kimaro (sabasita) je ukipotelea baharini itakuwaje hilo kaburi na sanduku?
@queenesther26394 ай бұрын
Jamani sabasita mwamini BwanaYesuKristo awe BWANA na MWOKOZI WA maisha yako ndugu yangu hili li mwili la nyama halitaenda Mbinguni wala Jehanum litairudia ardhi maana NI la udongo lkn Yuko ndani sabasita ambaye ndiye ataenda Mbinguni au Jehanum! Hayo unayoyafanya yatakutupa Kuzimu kwenye Moto MAFUNZA yenye meno UTAJILAUMU MILELE
@avelinafurahaoisso54914 ай бұрын
Mmh hii ndio Dunia mie hata nisipo xikwa nifresh tu roho yangu ndio inahitaji maandalixi sio jeneza wala kaburi .
@OmaryLupange-yd3cw4 ай бұрын
Cna Cha kusema..
@angeldarlingtz29384 ай бұрын
Yuko vizuri na haf leo wala kesho ukute anajiadaa ma kiroho pia kwan mi mwenyewe nataman nijue wap nitazikwa maana kufa kupo hata tukiogopa ..
@jumamganga62364 ай бұрын
M.MUNGU hatanguliwi . Unaeza ufie kwenye ajali ya ndege isibaki hata kucha.
@ezekielshija92514 ай бұрын
Yuko sahihi, Yesu aliwekwa kwenye kaburi la yusuph. Ambalo halikuwa limeandaliwa kwa Yesu
@user-ft9xf3fe5v4 ай бұрын
Hata mbao ispoharika Kwani ND naww hutooza we mzee wa ovyo kweli
@OriginalSource14 ай бұрын
Hataki kuliwa na panya wa makabulini😂😂
@user-os5yq3pg2e4 ай бұрын
Kasi nsuri ila mm nigeshauri hizo milioni kumi na tatu, agepauwa hyo nyumba yake na bati LA maana ( mzaus)
@annatemu44884 ай бұрын
Kwahiyo kaburi na jeneza tayari,kilichobaki🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@salmamlokela19874 ай бұрын
😂😂 anamsubir mzee baba..tumuombee tu mwisho mwema asiliwe na wanyama na asifie baharini maiti ikakosa kuonekana
@SmilingElectricGuitar-wz3ij4 ай бұрын
Kufa
@ashamkesa9794 ай бұрын
Israel mtoa roho tu amalize kazi yake 😂😂😂
@Catherine-mh8sw4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@ayoubmtumishi504 ай бұрын
Hiii ni kwamba inaonyesha ameishi vibaya na watu anaogopa hawatamzika vizuri. Mi nashauri atoe na pesa za kuwalisha waombolezaji na wazikaji wajue kabisa mapena 😂😂😂
@hanifahkhamiss84854 ай бұрын
Sasa niulize hivi ukifa mungu anaenda kuangalia jeneza na kabur😂😂😂tengeza amali uchukue kw bwana mungu wako sio jeneza na kabiri hivyo vinaenda kuliwa mchwa utabaki na amali yako😢😢😢😢😢
@AlexChristopherMuhanuka-wm2jk4 ай бұрын
Huyo mzee mpumbavu hizo ml10 angeenda kuzitoa kwa watoto yatima ingekuaje kuma kwer
@ikungasyamwakitalu65404 ай бұрын
Amejiandalia maisha yake ya milele ambao wote tutakwenda uko
@jj-iv1wm4 ай бұрын
Wallah 😂 akili zingine sijui mnazitoa wapi duuh
@bakarikisuda49484 ай бұрын
Hakuna kibaya hapo coz itamfanya afanye mambo yampendezayo mungu akijua mda nasaa atakufa.
@edwintesha4 ай бұрын
Namfahamu vizuri maana aliniwinda sana
@issaramadhaniathuman4 ай бұрын
Hata mungu asema ujiandae na umauti ukiwa umeandaa jeneza pia sanda na kaburi kama unauwezo mungu akupe imani hiyo
@adriandanford2084 ай бұрын
kujianda na mauti siyo ivi 😂 ,maanake ni kujitakasa, kutubu na kuwa tayari mda wote ishi kila kana kwamba ni siku yako ya mwisho chini ya jua
@anastaziamathias88614 ай бұрын
@@adriandanford208mbona waislamu huwa wanajiandalia sanda kabla hajafa? Kuna tofauti gani na Hilo jeneza?
Kuandaa makazi nijambo jema kawsababu mungu alisema Kila kilicho hai kitaonja maut kahiyo kifo hakikeepeki mda wwte saa yoyote
@ramadhanishabani8074 ай бұрын
Mzee wee ni mpumbavu sana, ivi unajua utaish mpaka ln
@NeemaSamson-ti8pc4 ай бұрын
Hajui ataishi mpaka lini ndio maana ameandaa mapema
@queenesther26394 ай бұрын
Mm unanifahamu NI mama commissioner Kigondo marehemu tumekuwa nawe ukiwa kijana shupavu na ndiko lilikotokea Hilo jina sabasita,,, Hebu Acha huo upuuzi uza Mali zako ukawape maskini Kisha mfuate BwanaYesuKristo Akupatie Uzima wa Milele
@user-xc8ec5uc5e4 ай бұрын
Jenaza si kitu unawafurahisha watu je moyo wako uko wapi Mungu adhiakiwi na uo ni uaribifu wa fetha eri ungetoa sadaka kwa yatima na ombaomba kuliko kujitolea sadaka mwenyewe na angari unavyo
@marthaayuma70653 ай бұрын
😮😮😮 sikatai njia hiyakila mtu.ila huyu.mmmmh
@michaelmaziku9914 ай бұрын
Mzee umesahau kuweka soketi ya umeme uwe unachaji na simu ukiwa kaburini pindi utakapozikwa
@user-jo9gp5tb9w4 ай бұрын
Hapna aise mm siwezi japo kifo sio chakuogopa
@joejackson92824 ай бұрын
Sema tunda ndio maana anadrama😂😂
@AusiIssachimsala-pu1pf4 ай бұрын
Huyo alikuwa mafia na mkuu wa majambazi ,kaua watu wafanyabiashara wengi na kunyang'anya Mali za aliodhulum uhai wao
@user-xf4qs5ti5m4 ай бұрын
Likikutana na mchwaa utajua ujuii
@valenakomba76864 ай бұрын
BORA UMENUNUWA MWENYEWE UKISEMA USUBIRI MPAKA UFE, WANAWEZA WAKANUNUWA LA LAKI TANO WAKATI WEWE UNATAKA LA MILIONI 3. UNEWAKOMESHA.
@FatimaAli-of4gh4 ай бұрын
Hahahaaaa lakini si atafika aendako na hilo la laki 5 mln 2.5 angetuwachia tukalia ubwabwa
@oscarcharles96244 ай бұрын
hongera sana baba kifo ni njia ya yeyote mungu akupe mwisho mwema
@edithrwechungura27684 ай бұрын
Ulaya ni jambo la kawaida tunashangaa Sisi waafrica . .ulaya yapo makaburi mengi wameshajitengenezea
@marcylinekanzo87604 ай бұрын
Tanzania muko na vituko si agesaidia masikini 😢😢😢
@melanialeonard40314 ай бұрын
Ni ulafi wa mali ni vile hawezi zikwa na nyumba angetaman afukiwe nayo
@Tiagoernest_44 ай бұрын
Huyu ni muoga wa kifo😅😅
@omaryjudasymwanga71724 ай бұрын
Bado nina maswali sana mzee jee ukifia kwenye maji na usipatikane milele itakuaje au ajali ya ndege ukaungua ukawa jivu la jumla na wengine utazikwaje
@maleobustz26144 ай бұрын
😮
@user-rg5sg1xz8p4 ай бұрын
Yuko sahihi njia pekee ya kuludi tuliko toka ni kifo pekee
@cosmaslunyembeleka2514 ай бұрын
Nakumbuka ujinga wa watu wapumbavu walioandaa siraha nyingi sana za kupambana na binadamu kumbe Mungu alitaka wasiishi hata mwaka. Watu uwa wanaangaika kuwaza kufa badala uo muda wangeutumia kueneza injili. Izo eka hazina maana yeyote ile kwani kuna watu ungewasaidia kuwapeleka kusoma thiology. Kwa kweli sisi ngozi nyeusi tunashida sana kufikiria. Watu uwa tunaandaa mioyo na mahusiano na Mungu kwa ghalama kubwa na si vinginevyo. Mkristo hana njia yake ya mafundisho bali tunajifunza kutoka kwa Yesu. Ivi yesu alivyokuwa na thamani angeandaa jeneza la namna gani kwa vito vya thamani. Tunashida sana sisi wanadamu Mungu Tusaidie ktk jina la Yesu.
@ZainabuOmary-nt7xf4 ай бұрын
Kajiandalia mii sioni shida maana ata waislamu wanruhusiwa kununua sanda ww sema ss hatuna garama sanda elfu 20 unasafirishwa inshaallah Allah amuongoze na imani yake
@IdarousPossy4 ай бұрын
Wewe ndio unashinda kwasbbu hujui ulisemalo, maneno yako hayana maana wala point yyte uliozungumza