#EXCLUSIVE

  Рет қаралды 34,122

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

#EXCLUSIVE: ASKARI SABASITA ALIYEJIJENGEA KABURI afunguka "MUDA SI MREFU NITATOWEKA DUNIANI"
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 59
@ZeraGeofrey
@ZeraGeofrey 11 ай бұрын
Baba Tunda🙌
@marselojr9884
@marselojr9884 11 ай бұрын
Binafc cjaona km ni jambo baya nafikiri 2 hofu ya watu wengi ni kwamb jambo Hilo ni geni kwetu na siyo Mila na desturi zetu mtu kujichimbia kaburi mwenyew
@DanielKwezi
@DanielKwezi 6 ай бұрын
hh
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 11 ай бұрын
Hangaika na mambo ya Dunia hii lakini lazima utakufa tu.mzee upo sahihi kabisa Kwa kujipanga mapema na kuwapunguzia uchungu wale ambao watakuja kulia siku ya msiba wako manake wakiwa wanaliona Hilo kaburi pindi ukiwa hai na ukifa wataona kawaida
@rebeccajonathan6069
@rebeccajonathan6069 3 ай бұрын
akili sifur
@PanchoValentino-wh7wt
@PanchoValentino-wh7wt 11 ай бұрын
Yesss hakika kabisa
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 11 ай бұрын
Ni njia moja ya kutosababisha vita siku yake ya mwisho kwani tushaona sana familia zikizua ugomvi wa sehemu marehemu atalazwa
@juma2979
@juma2979 11 ай бұрын
Hiyo ni afya ya akili
@IzihakaFihirini
@IzihakaFihirini 11 ай бұрын
Kwahali hii lazma atakua anaishi maisha mazuri kwakua kifo kwamtu aliyeokoka nisawa kwakua mwisho wasku anaamini atafufuka katika wafu ivo nisalama kwakua kristo yesu kashinda basi tutashinda
@luganomwanjotile7575
@luganomwanjotile7575 6 ай бұрын
Amen ni faida kufa katika kristo kila nafs itaonja maut
@joshuasamson9618
@joshuasamson9618 11 ай бұрын
Vizuri jambo nzuri sana andaa makao milele roho inavyotaka
@saretachacha8637
@saretachacha8637 11 ай бұрын
Uko sawa mzee, kufa ni lazima
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 11 ай бұрын
Mmm kuwa uyaone
@Tchidymbanga
@Tchidymbanga 11 ай бұрын
Tujiandae kwa ajili ya mwisho mwema, tuandae pepo sasa ili iyo hewa nzuri ikufikie.🎉🎉🎉
@christopherjoseph8330
@christopherjoseph8330 11 ай бұрын
Jambo jema, ila tusiamini kwenye shimo la kaburi kifo ni siri kubwa huwezi jua itakukuta wapi pengine baharini mwili usionekane tena.
@user-rv8qw7do1s
@user-rv8qw7do1s 11 ай бұрын
Umewaza kama mimi
@NaomiChristopher-mt2yh
@NaomiChristopher-mt2yh 11 ай бұрын
Kama hela ipo unajiandalia mazingira ohooo!!!, Unawaacha pesa wanakuzika ovyo lazima uwe na uhakika wa utakapolala😅😅
@jostamzxkaole3113
@jostamzxkaole3113 11 ай бұрын
Iyo plani nzuri 🤣mtoto uezi kuuza iyo nyumba hatakama ela ikiishayoote::
@mathewungani9724
@mathewungani9724 11 ай бұрын
Mpuuzi we Mzee...
@hesabugabo
@hesabugabo 6 ай бұрын
Haha ha.
@wisperfect5320
@wisperfect5320 11 ай бұрын
Yupo sawa kwan mwanadam kitu pekee ambacho unauhakika nacho ni kifo tu
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 11 ай бұрын
Good!!
@godfreyjames8582
@godfreyjames8582 11 ай бұрын
Sema ukisema utakufa siku si nyingi na Mungu nae hakuchukui unaishi saaana
@paulntalima6998
@paulntalima6998 11 ай бұрын
Afya akiri ni changamoto
@Jonnibo
@Jonnibo 11 ай бұрын
Yuko sawa kabisa ni swal l kili tu all we are dying suddenly
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 11 ай бұрын
Kwakwer majambawaz walijuta kwako
@PrinceBonnyTz8
@PrinceBonnyTz8 11 ай бұрын
Mzee unazingua unatumia million 7 kujenga kaburi😅😅 hiyo ni Nyumba mzee
@user-lj2nh6tu4c
@user-lj2nh6tu4c 6 ай бұрын
Tena na kiwanja
@rashidisaidi8535
@rashidisaidi8535 11 ай бұрын
Sasa ata ukilipamba ivyo ndo utaenda pepon?? Jiandae kwa ibada hivyo vyote ni vyaanasa
@user-dk5kk4rf3v
@user-dk5kk4rf3v 10 ай бұрын
Utafanya vyote ila moto unakusubiri wewe waza kufa tu hujui kilichopo ndani yako
@njoroboihastla
@njoroboihastla 11 ай бұрын
Manyara,kiteto tunamjua vzr sana😂😂
@qaiyahdoow1257
@qaiyahdoow1257 11 ай бұрын
Kivipii... Nsimulie na mi nataman nimjue
@user-ts2oh1zo5b
@user-ts2oh1zo5b 6 ай бұрын
Mzee mi naomba nisomeshe tu maana napata tabu
@RachelBriervanity1
@RachelBriervanity1 11 ай бұрын
Kaka yangu katumia akili ya kuzaliwa hakuna cha mtu hapo hahahaa
@ip_header
@ip_header 11 ай бұрын
Kwahiyo anaogopa akifa hatozikwa? au ndio swagga za kidunia?
@issackathman850
@issackathman850 11 ай бұрын
huyu itakuea alifanya madhabi sana
@PendoCosta-ix8hi
@PendoCosta-ix8hi 11 ай бұрын
Sanaa
@leahzuu6468
@leahzuu6468 11 ай бұрын
Saaaana km tunda tu😂😂
@hamidudigogo5863
@hamidudigogo5863 6 ай бұрын
Sasa anywe sumu ili yakamilishe alivyo viandaa
@fatuma3969
@fatuma3969 11 ай бұрын
Omba msamaha kwa mungu wako hata ukifanya hivyo mungu hapendi umeumbwa kwa udongo lazima ulalie hayo ni makosa makumbwa mbele ya mwenyezi mungu huo ni msiba mkubwa kabisa
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 11 ай бұрын
Hapendi kuja kusumbuka baada ya kifo
@martinpaul1241
@martinpaul1241 6 ай бұрын
Tatizo nyumba anaifanya ionekane kama kaburi.
@salehwaziri5062
@salehwaziri5062 11 ай бұрын
Huyu ndioyule alikuwaga morogoro miakaya nyuma auwanafanana majina
@godwinmwakibibi274
@godwinmwakibibi274 11 ай бұрын
Yeye
@salehwaziri5062
@salehwaziri5062 11 ай бұрын
Mwamba alisumbuasana
@husseinmassawa7186
@husseinmassawa7186 11 ай бұрын
Tuliokuwaga moro enzi zake lazima tumfahamu uyu mwamba, alikuwa kama jini yaan kwa waarifu😅😅
@Liliana-mc2su
@Liliana-mc2su 11 ай бұрын
Soon unatngulia
@Jonnibo
@Jonnibo 11 ай бұрын
Wengi tunazikwa vibaya kwa kukosa maharifa
@abdulkadirmbarouk5634
@abdulkadirmbarouk5634 11 ай бұрын
Ukifa utapelekwa kijijini ww 😂😂
@alexchamy2289
@alexchamy2289 11 ай бұрын
Hapo ndio kijijini Moji kijijini ni kama mjini
@hamzamsafiri3418
@hamzamsafiri3418 11 ай бұрын
HUYU KADATA MILIO YA RISASI ISHAMFYATUA NETWORK UKIJICHANGANYA TU HATA RISASI ANAKUWEKA, NA HILO KABURI LITAKUWA LINAMUITA HANA SIKU SI NYINGI ATAONDOKA HUYOO
@leahzuu6468
@leahzuu6468 11 ай бұрын
Yani kajenga geto
@NaomiChristopher-mt2yh
@NaomiChristopher-mt2yh 11 ай бұрын
​@@leahzuu6468😂😂😂😂
@pendomarco8928
@pendomarco8928 11 ай бұрын
Baba akili nyingi naamini unajiandaa ata njia zako
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 11 ай бұрын
Linapaipuuu ya kupitishaaa hewa au kututoleaaa unuko wako ukesha ozaaa
@leahzuu6468
@leahzuu6468 11 ай бұрын
😂😂😂😂
@lelaiddy6856
@lelaiddy6856 11 ай бұрын
Baba Tunda Whozu
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 11 ай бұрын
Wote mnao judge vibaya huyu mzee nyie sio watoa hukumu mwacheni mzee wawatu.... Mungu ndio finally judge binadamu mnapiga kelele tu.. Nmefurah kusikia kuwa amemrudia mungu❤❤
@twahilimohamed2232
@twahilimohamed2232 11 ай бұрын
❤❤❤
PEDRO PEDRO INSIDEOUT
00:10
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 25 МЛН
He bought this so I can drive too🥹😭 #tiktok #elsarca
00:22
Elsa Arca
Рет қаралды 44 МЛН
MDOGO WAKE MASANJA NDIO MSIMAMIZI WA MASHAMBA/VITUKO JE?
9:29
FEEL FREE CHURCH Dar es salaam
Рет қаралды 509 М.
PEDRO PEDRO INSIDEOUT
00:10
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 25 МЛН