BANDARI YA MTWARA YENYE GATI YA UKUBWA MITA 300, MELI KUBWA ZATIA NANGA

  Рет қаралды 10,463

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 14
@sabbob574
@sabbob574 2 жыл бұрын
Hivi hawa viongozi wametishwa kumtaja JPM. Wananchi hawajamsahu na bado ni kipenzi. Mambo aliyofanya hakuna yeyeto aliyethubutu kufanya kwa miaka mingi. RIP JPM
@raffeiystar2870
@raffeiystar2870 2 жыл бұрын
Sasa mtu ameshakufa, unataka atajwe na kusifiwa wakat sasa hv tuna uongozi mwengine?? Mbona hufikiriii?? Ina maana marekan Biden aanze kumsifia Trump kwa aliyofanya muda wote?? Muda wote Trump, Trump 🤣🤣🤣 nyie vip
@jofreymsigwa85
@jofreymsigwa85 2 жыл бұрын
Magu babalao baba la baba mungu amrehem😭😭😭😭😭😭😭😭
@sallababawill404
@sallababawill404 2 жыл бұрын
R. I. P jpm kwa maono ya inchi yako
@gesambamaisori8781
@gesambamaisori8781 2 жыл бұрын
Wapiga dili walitaka wajenge bandari bagamoyo, na hizi bandari zungine wasiziebdeleze zife, sasa tunasubiri reli toka mtwara hadi mbambabay,na kuboresha bandari ya mbamba Bay ili ihudumie nhi jirani kikamilifu. Daima tutakukumbuka shujaa wetu, JPM...rip.
@fransicmushenyera9302
@fransicmushenyera9302 2 жыл бұрын
E.I.P.JPM
@fransicmushenyera9302
@fransicmushenyera9302 2 жыл бұрын
E.I.P.JPM
@michaeleustach3989
@michaeleustach3989 2 жыл бұрын
R.i.p jembe magu
@jeffkonki8279
@jeffkonki8279 2 жыл бұрын
JPM ulikuwa genius umekufa ila mawazo yako yanaishia na yanafanya kazi
@hatibuyusufu4668
@hatibuyusufu4668 2 жыл бұрын
Ishu apo ni kujiuliza sisi lini tutatumia makaa ya mawe
@salumbujjo2320
@salumbujjo2320 2 жыл бұрын
Nashangaa walikuwa wanataka kuanzisha mpya ilitakiwa kubolesha mtwara na bandari ya tanga kwa viwango vya kimataifa ila bado unaona uboleshwaji ni wa ujanja ujanja tuu .ni sawa mtu kujiibia mwenyewe wangeboresha hivi bandari zote kwa kiwango kibubwa wangepata manufaa makubwa sana na kuacha kufikilia kukopa
@selemani.matendo4091
@selemani.matendo4091 Жыл бұрын
Hayo. Yote. WA. KupongezwA. Ni. Jpm. Wala. Sio.. Mtu. Mwingine.. Muache. Unafiki
@salumjrsaidjr7150
@salumjrsaidjr7150 Жыл бұрын
Ki ki zitaanza kuja ili kuwazima wana halakati kupinga Bandari zetu kuuzwa??
@salumjrsaidjr7150
@salumjrsaidjr7150 Жыл бұрын
Bandari kuu Mna binafshisha Mnatanua za mikoani nnn?? Utumwa Una ludi tena tz
BANDARI ya TANGA ILIVYONOGA BAADA ya MABORESHO MAKUBWA
11:55
Global TV Online
Рет қаралды 2,8 М.
Kaya 105 zaathirika na mafuriko Mtwara
4:17
DW Kiswahili
Рет қаралды 2,7 М.
JISOO - ‘꽃(FLOWER)’ M/V
3:05
BLACKPINK
Рет қаралды 137 МЛН
Хаги Ваги говорит разными голосами
0:22
Фани Хани
Рет қаралды 2,2 МЛН
MELI kubwa Duniani Hii hapa, Ni Mji Unaoelea, Inatembea milele bila kusimama,Utashangaa ubunifu wake
2:38
Kona ya Teknolojia - Habari na Maujanja
Рет қаралды 740 М.