MKE WA DR. MWAKA ANADAI TALAKA BAKWATA, AELEZEA KUKAMATWA NA POLISI, MWANASHERIA WAKE AZUNGUMZA

  Рет қаралды 256,313

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 1 400
@zaytunimkwata6949
@zaytunimkwata6949 Жыл бұрын
Daah nimejiskia vibaya, Nampenda sana huyu dada, Be strong my dear.. Mwenyezimungu asaidie mufikie muafaka kila mtu apate haki yake...
@Awatee
@Awatee Жыл бұрын
In shaa ALLAH
@maryamm7765
@maryamm7765 Жыл бұрын
Mtihan sana Mungu akufanyie wepes! Mwanamke akisema basi ujue kachoka sana
@aminakibwana8343
@aminakibwana8343 Жыл бұрын
Dah jamani 🙌 pole Sana queen wng, Allah atakufanyie wepes
@wilbatnyato4679
@wilbatnyato4679 Жыл бұрын
Duhhh kwa kweli maneno sio kutenda Dr Mwaka nimekuwa nakusikiliza sn kwny mijadala yako unaonakana mshauri mzuri na unajua ndoa vzr Sasa leo na mimi nakushauri hivi 1.Km mwanamke umezaa nae na hana tatizo kubwa basi kaeni chini muyamalize kiungwana tu kuliko kuja on public huku mnajiaibisha 2.Km nyumba kaamua kujimilikisha kwa kuiba nyaraka basi mkubaliane kuwa iwe ya watoto wenu basi isiwe ya yyte na mama asikae hapo akaishi huko atakakoenda 3.Kwa ajili ya watoto nakushauri wachukue watoto waweke boarding shule nzuri kuliko kushuhudia hii migogoro yenu 4.Licha ya ugomvi wenu basi tunza wanao km ni kweli hutoi huduma basi wachukue ukae nao na hyo mkeo mwingine 5.Katika mambo yenu yote achaneni kwa amani km mmeshindwana kabisa kila mtu asepe na alichojitafutia ili aendelee na maisha yke sio mtu hela yake awekeze saloon na mwingine anajenga hlf mwishoni wa kuwekeza saloon atake nyumba hyo hapana kila mtu abebe chake cha halali alichotafuta Note: Achaneni in peace tu
@danielmwamahonje9852
@danielmwamahonje9852 Жыл бұрын
Mapenzi yanatutesa sana tena sana mungu tu wewe ndo jibu kamili 🙏🙏
@ednaJF1028
@ednaJF1028 Жыл бұрын
Ni uonevu tu kwasabu kama imeshindikana kuishi pamoja kubari na yaishe
@rashid1860
@rashid1860 Жыл бұрын
siyo mapenz iz zingine ni njaa tu na tamaa ya ella
@letisiamakonda3873
@letisiamakonda3873 Жыл бұрын
Ila😆👐
@saidmajeba9791
@saidmajeba9791 Жыл бұрын
Bro amka kumekucha,hao wote wanafuata pësa na maisha Hakuna mapenzi hapo
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 Жыл бұрын
Mm ni mwanamme ila ss wanaume hatuko imara ktk ndoa zetu hatuwapi upendo na heshima ipasavyo wake zetu tunapenda kutongoza tongoza ovyo halafu tunawalaumu wanawake ss ndo tunowaharibu wanawake tusipowatongoza na tukatulia ktk ndoa zetu na wao wasingeharibika nasema tena ss ndo wachafuzi
@marthagabriel3417
@marthagabriel3417 Жыл бұрын
Mungu akutunze maana umeongea ukweli mtupu
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Maashaallah kwakujuaukweri
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx Жыл бұрын
Kaka umeongea ukweli ila sio wote alhmdullah mumewng ni mume bora kwa familia yng na kwake na watoto alhmdullah
@nassorowaziri3076
@nassorowaziri3076 Жыл бұрын
Duuu mkuu nimekupata Ila sio wote ni baadhi yetu Tu
@daud405
@daud405 Жыл бұрын
acha usenge ... ndo nini umeongea bila shaka utakuwa mwanamke. haijakukuta
@hellenngwilla550
@hellenngwilla550 Жыл бұрын
Mungu akusaidie mwanamke mwenzangu upate haki yako jaman
@rahimaaaaa5682
@rahimaaaaa5682 Жыл бұрын
Amiin
@RashidAli-ft2om
@RashidAli-ft2om Жыл бұрын
Haki gani?
@fatumajeneby5449
@fatumajeneby5449 Жыл бұрын
1) MWANAMKE KABADILI DINI YAK.. 2) KAKUBALI UKE WENZA, 3) MWAKA HUTOWI HUDUMA! 4) POLE YAKO, MYANYASAJI🙏
@HalimaHalima-id2cb
@HalimaHalima-id2cb Жыл бұрын
Pole sana my ule ukewenza uloukumbatia nakulala namume wenu pamoja ilikuwa khatwari ile.... nayule alokuchukulia mumeo ukamfanya pachaako nlijuwa mwisho wake ndohuu ajuwa alichokifanya bimdogo mmmh pole sana dadangu mtihani inshallah wepesi utapatikana aameen yarabbi
@halimafaber3685
@halimafaber3685 Жыл бұрын
P]ppp]
@siaammo1104
@siaammo1104 Жыл бұрын
Huyu siyo yule huyu ni bimkubwa wale niwake wadogo
@fatmaabeid1155
@fatmaabeid1155 Жыл бұрын
@@siaammo1104 unamuona kavaa stara ndio maana umeshindwa kumtambua huyu ni queen mke wa pili ni wale wawili wanaopendana sio bi mkubwa
@benedictarweyemamu9531
@benedictarweyemamu9531 Жыл бұрын
huyu ni mmoja wao wale wa masare walikuwa wanapendana madai yao mdudu kaingia
@lucykapinga369
@lucykapinga369 Жыл бұрын
@@benedictarweyemamu9531 eeh kwerr wamefanania na huyuuu
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын
Subhannallah, mtihani kwakweli, Allah akusimamie katika kila hatua unayosonga inshallah 🙏
@hasnamustapha7774
@hasnamustapha7774 Жыл бұрын
Dada poleee sana Ktk hyo point mwanamke ukiamua kujivua ndoani unaonekana hauko sawa,unatakiwa uwe stable Ktk hili na haswaaa ukiwa na divorce na mwanaume wa aina hyo. Mwanaume siku zote huwa anapenda Aache yy na syo aachwe na mke Queen stay strong Maa. #Ndoa si kifungo#
@feezdidthis2220
@feezdidthis2220 Жыл бұрын
mtt wa kiislam ndo unakaa kusema hvo.. Subhanallah 🙉
@mishikikoti2948
@mishikikoti2948 Жыл бұрын
@@feezdidthis2220 😂😂si kwasbb hayaja kufika.
@carolinemariki4029
@carolinemariki4029 Жыл бұрын
Wakati wakristo tukijiuliza imani yetu Iko wapi Kwa sakati la Mchungaji wetu Kimaro ... Sasa huku Kwa wenzetu Nako Kuna shida tena.. naombeni mwenyi jibu atusaidie🙏🙏🙏🙏🙏
@mankacharles4559
@mankacharles4559 Жыл бұрын
Jibu ninaliyetuumba,dini zenu hazina MUNGU wa kwelibzinaongozwa na taratibu za watu na wanadamu aziongozwi na muumba wa yote
@zayumar2955
@zayumar2955 Жыл бұрын
SubhanaaAllah Allah Allah ni Mwenye haki atamlipa Kila Moja Kwa Haki pole dada sie hatuyajui yaliyopo ndani ya mioyo yenu ila tumtangulize Allah Kwa Kila jambo Amiin yarrab 🤲
@mohammedsalum3502
@mohammedsalum3502 Жыл бұрын
Mnaomba talaka mkiishaona mmepata mali au mwanaume akiwa ana kitu ndio maana mnaomba taraka
@zayumar2955
@zayumar2955 Жыл бұрын
@@mohammedsalum3502 sio kweli jmn talaka inatokea kunapokosekana maelewano baina ya wà2 wa2 ktk ndoa Mali si kigezo
@NDEWARA
@NDEWARA Жыл бұрын
Pole sana Queen. Huyo ndiye tapeli "Dr" Mwaka😭😭
@rumemerumeme8659
@rumemerumeme8659 Жыл бұрын
Pole ya nn hata huyo queen nae nitapeli njaa ndio inamsumbua
@rukiaissa5225
@rukiaissa5225 Жыл бұрын
Manara na Dk.Mwaka,Hakuna ufundi kwa hili.
@tatotato506
@tatotato506 Жыл бұрын
@@rumemerumeme8659 njaa gan inamsumbua yeye anadaitalaka yake
@rabsonchisumo6640
@rabsonchisumo6640 Жыл бұрын
Tapeli ni dada mwenyewe
@kamikazisalma5209
@kamikazisalma5209 Жыл бұрын
Polesana dada hakiyamtu haiyendagi ivi ivi Allah atakupa lako fungu insha Allah 🙏
@kassimali2273
@kassimali2273 Жыл бұрын
Haki gani unayo ongelea ww
@kamikazisalma5209
@kamikazisalma5209 Жыл бұрын
@@kassimali2273 ukaye unajuwa uyo ni mke na sihawara
@kassimali2273
@kassimali2273 Жыл бұрын
@@kamikazisalma5209 ni mke ndio uantaka haki gani apewe labda na mumewe au Bakwata tafadhali nieleweshe
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 Жыл бұрын
Mapenzi shikamoo 🙏 ha! Ila wanaume zetu asilimia kubwa ndivyo walivyo inafika muda sisi wengine hatutaki kuvutana na mtu tuna Kaa kinywa na kutabika mwisho wake unazoea na unaendesha maisha peke yako, ila ukisha sahau maumivu mungu ndio ana muwazibu Sasa mara una sikia apepata mitihani hii mara hii? Mungu ndio kila kitu na hukumu ni hapa hapa Duniani amini Hilo jamani
@habibaomary3834
@habibaomary3834 Жыл бұрын
Kwakweli wanaume shikamoo wengine tumesamehe kila kitu nini wewe mwaka mmoja wengine 3 years pole dada
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 Жыл бұрын
Kama kadhi ana presha basi hafai kua kadhi ateuliwe mwengine
@aminimushi6945
@aminimushi6945 Жыл бұрын
Kadhi hana baraza,vikao vya vitu kama hivi anakaa peke yake?kama ndivyo hivi,kutakuwa na kwsoro nyingi ktk kusimamia ndoa zetu kiislamu,na kwa usumbufu huu,matatizo ya ndoa yatakuwa yanapelekwa kusiko sahihi.Allah atusimamie kwa haya.
@idrissamohamed1100
@idrissamohamed1100 Жыл бұрын
KWANI BAKWATA WANASEMAJE?
@himidijenga535
@himidijenga535 Жыл бұрын
Kulikuwa Kuna haja Gani ya kuoa wake wengi angali huyu dada ni mrembo haswa. Very very nice woman.
@shaluuanthony1836
@shaluuanthony1836 Жыл бұрын
Ila wewe lini mwanaume akaangalia urembo? Yan wanaume tamaa tu wanataka tu kummiliki kila mwanamke wanaemuona
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi Жыл бұрын
Alitaka na mwingine ambaye sio mrembo😂
@sophiaommy8343
@sophiaommy8343 Жыл бұрын
Yaani kweli Ni mrembo kingine inaonyesha kweli kavumilia mengi
@shaluuanthony1836
@shaluuanthony1836 Жыл бұрын
@@TM.Sullusi hatari sana
@softena100
@softena100 Жыл бұрын
Huyu ni mke wa 3,wengine 2 walimtanngulia,nyumayake huyu yupo mke mmoja wa mwisho
@profs.a5412
@profs.a5412 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂kweli mganga hajigangi 😂 Yani dr.mwaka,SI ndio mshauri wa mambo ndoa na mahusianooooo🤣🤣🤣
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si Жыл бұрын
Ni malaya balaa bado monalisa nae
@rashidyally8715
@rashidyally8715 Жыл бұрын
Kishaumana hapo kungwi kaachwa ,askali wa usalama barabarani kagonga ,hakimu kahukumiwa ,askali magereza kawamfungwa 😄😄😄😄😄
@beautyibrahim8428
@beautyibrahim8428 Жыл бұрын
@@MohammedAli-rh5si monalisa gani
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 Жыл бұрын
@@rashidyally8715 hhhh
@barakamanga5502
@barakamanga5502 Жыл бұрын
Hahahahahaha Dr anapiga bia,
@godwinkileo7702
@godwinkileo7702 Жыл бұрын
Mungu bariki ndoa zetu zidumu milele, aminaa
@maryjkiosa3380
@maryjkiosa3380 Жыл бұрын
Dada mzuri Sana mrembo aswaa ,,daah, Mwenyezi mungu atakusaidia dear
@abdallahabdulaziz3683
@abdallahabdulaziz3683 Жыл бұрын
Aje nimuoe.mie
@Sheba4651
@Sheba4651 Жыл бұрын
Uzuri wake aende akaolewe na malaika basi, si hataki kuishi na mwanadam mwenziwe.
@mariamjuma4136
@mariamjuma4136 Жыл бұрын
@@Sheba4651 🤣🤣🤣ila wanaume mnafanyaga matukia. Mwanamke akichoka anataka kuondoka hamtaki
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
@@abdallahabdulaziz3683 🤣🤣🤣
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
Saana
@fatmamrihani6828
@fatmamrihani6828 Жыл бұрын
Mungu akusaidie mwanamke mwezetu
@saidhamza5318
@saidhamza5318 Жыл бұрын
Mi ndomana kwenye swala la ndoa, sisikilizi mtu sijuw mwanasaikolojia, pastor au sheikh. Natumia akili yangu tuuu.
@mudhihirissa274
@mudhihirissa274 Жыл бұрын
Wewe kama mimi
@aishachambo8663
@aishachambo8663 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi Жыл бұрын
Mwanasaikolojia kazi yake sio kukurudisha kwa mpenzi wako, anaweza kukusaidia hata tiba ya akili uishije huko baada ya kuachana na huyo mpenzi wako. Usichukulie negative in general brother.
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 Жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 Kabisa
@husna34562
@husna34562 Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@rubbymusa1971
@rubbymusa1971 Жыл бұрын
Pole sana Allah atakujalia ulee wanao peke yako watoto 2 sio wengi ukipata kazi utaweza endesha maisha yako unless otherwise atakutesa sana sana trust me .
@zuhrazuuvenus3705
@zuhrazuuvenus3705 Жыл бұрын
Nikukumbuka ile roho yako nzuri na ucheshi wako wala hustahili haya Allah karimu rahimu utapata haki yako inshallah
@motomototv5301
@motomototv5301 Жыл бұрын
Dhambi Huzaa Dhambi na dhambi ikikomaa Huzaa Mauti na huu Ndiyo Mwisho wa Dhambi Mungu Hakushindwa kuumba Amina Eva Wawili Wala akina Adami Wawili Mungu Atuwezeshe Kuzishinda Dhambi Tuishi Maisha Matakatifu
@leymanleyman7426
@leymanleyman7426 Жыл бұрын
Mmmmh. Sasa hapa ndio najua kweli mapenzi sio hela. Shikamoo mahaba.
@priscamlyuka5531
@priscamlyuka5531 Жыл бұрын
Marahabaaa
@rayanaabdallah6580
@rayanaabdallah6580 Жыл бұрын
Mtihani Wallahi, walio nje ya ndoa watamani kuingia kwenye ndoa na walio kwenye ndoa watakani kutoka nje ya ndoa. Mungu atuongoze jamani
@happinessmtalika16
@happinessmtalika16 Жыл бұрын
Pole sana dada wanawake wengi tumeyapita hayo.lkn kikubwa uzima tu kama Mungu amepanga utapata vingi kuliko hivyo
@saadomar2480
@saadomar2480 Жыл бұрын
Hayo mmeyasikia niyamwaka, Sasa namwaka akija akasema mapungufuyake huyomama mtasemaje? Punguzeni lunwa ninyi wamama ninyi!
@saadomar2480
@saadomar2480 Жыл бұрын
Mambo yandani yamajumba nimagumu umdhaniae siye kumbe ndiye
@madinamahuba
@madinamahuba Жыл бұрын
@@saadomar2480 kwann aombe talaka alafu amfungulie kesi nyingine na amletee polis waje wamkamate anaamana.anamkomoa mkewe kisa kuombwa talaka haliyakuwa hana huduma yoyote na mkewe na watoto .kama unadada na akawa anapitia changamoto kama hizi ungejiongeza
@madinamahuba
@madinamahuba Жыл бұрын
@@saadomar2480 kuachana ndio amwambie arudishe kilakitu bado kesi juu ok anamnyanganya hiyo nyumba haliyakuwa anawatoto wataenda kukaa wapi usimtetee kwakua nimwanaume mwenzio ila angalia hoja nahaki
@newvoicetutorial2131
@newvoicetutorial2131 Жыл бұрын
Allah akukhifadhi dada yangu na akujaze sublla kwani hayo c mapito madhulli na in'shaallah utafanikiwa
@thresherjordan6829
@thresherjordan6829 Жыл бұрын
Queen mzur jamn aiiiiiiiiiiiiiiiiii
@mariamumariamu5737
@mariamumariamu5737 Жыл бұрын
pole sana Tonka kabisa logo wangu uishi maisha yako mwaka ninini Toka waisilam niwabaya sana wanagandamiza kisa dini
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 Жыл бұрын
Kesi yako sawa sawa na ya kwangu. BAKWATA hupati haki. Hayo mashiroka ya haki za wanawake ndio watakupa njia yabkushinda. Nilisaidiwa kisheria na SUWATA nimeshinda
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Жыл бұрын
Bakwata gelesha tu
@missclementsemizigimisscle7458
@missclementsemizigimisscle7458 Жыл бұрын
Ndo mana hskupost Pole Mungu atakulipia inshallah❤️❤️❤️❤️🤲🤲🙏
@messiahfeatures3994
@messiahfeatures3994 Жыл бұрын
M/Mungu ampe subira na kusimamia ktk suala lake inshallah
@annajulius9940
@annajulius9940 Жыл бұрын
Kwanza umependeza Masha Allah uko kwenye taraka dada 🤗🙄🤔🤐🤐
@mansurmohamed5752
@mansurmohamed5752 Жыл бұрын
Be strong Queen.
@saraenock7600
@saraenock7600 Жыл бұрын
Mmmmh pole Mungu akutie nguvu
@neemasanare3474
@neemasanare3474 Жыл бұрын
Mungu akusaidie
@hawahabibu3881
@hawahabibu3881 Жыл бұрын
Mdada mzur MashaAllah kushinda wake zake wote
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
Allah atampa haki yake Insh'Allah
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx Жыл бұрын
Ndio maaan hataki kuitoa talaka eti ana wake zke wale sura za jeshi anaona mh tabu kumuacha uyu mwanamke
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 Жыл бұрын
Maa Shaa Allah Mzuri Anaongea kwa kituo Na akili ipo kichwani! Mke mkubwa
@madinamahuba
@madinamahuba Жыл бұрын
@@malak-lz6kx Kwani sianao wake 3
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx Жыл бұрын
@@madinamahuba kabaki mmoja tu yule sura ya babu yke
@mbagaherbal4796
@mbagaherbal4796 Жыл бұрын
Kiukweli Ndugu zangu Swala la kuwaonyesha wanawake zetu mitandaoni sio jambo zuri na kiwasifia mitandaoni sio jambo zuri. Ndo yanawakuta hayooooo, Allah atuongoze sote Inshaallahu taala
@ngoiedward4176
@ngoiedward4176 Жыл бұрын
Naunga mkono hoja kwa 100%
@Iman_films
@Iman_films Жыл бұрын
Daaah pole sana Mama yangu, haki ya mtu aipotei na kila lenye mwanzo alikosi mwisho hilo litaisha kwa uwezo wa Mungu Inshaallah
@davidcurtis175
@davidcurtis175 Жыл бұрын
Mwaka mshamba sana eti rudisha kila kitu halfu ukaanze maisha mapya na mwengine utakae anza nae, huwa kila siku nasemaga watu wanaongea sanaaaaa huwa wana vitu wanaficha ni wasanii sana. Sasa mtu mzima umemtumia bint watu kwa zaidi ya miaka kumi halafu ukampikonye kila kitu na kumshitaki juu, kujigamba kote kumbe bure kabisa
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 Жыл бұрын
Hujui sheria za kiislam wewe. Ukimuacha mwenzako unaondoka kama ilivyo ndugu. Tena wanawatoto ndio kabisa
@faustinirichard8645
@faustinirichard8645 Жыл бұрын
Pole sana mwana mama
@kassimmanaramalika8592
@kassimmanaramalika8592 Жыл бұрын
Kadhi hajisikiii kuongea 🤔 Subhaana Allah Mtihani ,kwelii Mtihani Sasa kadhi kama hajisikiii kuongea si ajiudhuru hiyo KAZI awaachie watu ambao watakaojisikia kufanya izo KAZI waweze kusaidia watu?
@Emedroadtocanada
@Emedroadtocanada Жыл бұрын
Kwel ni queen maashallah
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
Mzuri sana
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 Жыл бұрын
Mtoto mzuri , kazi kukushanya wanawake lakini hawayawezi kazi kutaka umaarufu tu achia ngazi Dr mwaka tuchukue mama huyo
@jeremiahkilato295
@jeremiahkilato295 Жыл бұрын
Mara kadhaa kesi ambazo wanawake hukurupuka kuwahi kwenye vyombo vya habari kulia lia huwa zinakula kwao.. Huyu anajua alichofanya, Dr. Mwaka ni mtu smart sana sio mjinga asijue anachofanya..Huyu mwanamke amezingua
@merinaemmanuel3593
@merinaemmanuel3593 Жыл бұрын
Pole sana dada yetu, MUNGU akusimamie sana.
@abdulbandidu119
@abdulbandidu119 Жыл бұрын
Hawa wanaojiita watetezi wa haki za wanawake ndio wanaoharibu hao wanawake. Dr Mwaka ni muislam na mkew ni muislam,iangaliwe dini inasemaje katika haya,wanawake wa kiislam wa siku hizi mnapotoshwa na ufeminist,na hiyo itawapeleka Jahannam
@hodgebukaya5112
@hodgebukaya5112 Жыл бұрын
Muongopeni mungu katika sheria. Hiyo nifisi ya Dini kazi unatakiwa ulimalize hili jambo kidini na kisheria.
@abdallahabdulaziz3683
@abdallahabdulaziz3683 Жыл бұрын
Bakwata wanatutia aibu watatusababisha hata jitihada zetu za KULETA MAHAKAMA ya kadhi kushindikana kutokana na njaa zao, wallahi tukipata MAHAKAMA ya kadhi NI lazima makadhi easier wa kuchaguliwa Bali wa ku apply na awe amesoma degree ya kiislamu sio Hawa makadhi njaa njaa.
@mdimifrank
@mdimifrank Жыл бұрын
Pole sana mke wa Dkt Mwaka. Mahusiano hayalazimishwi. Mamlaka zifuatilie suala hilo ili ndoa hii iweze kuhitimishwa kwa amank kwa mujibu wa Sheria za nchi, maana upande mmoja unakwepa wajibu wa msingi kisheria. Waziri Gwajima na Waziri wa Katiba na Sheria ingilieni kati kumpatia haki huyu mama.
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 Жыл бұрын
Mbona iko wazi. Anaondoka kimyakimya kama alivyokuja.
@jazilambaji2789
@jazilambaji2789 Жыл бұрын
Queen mzri MaashaAllah,,anafanana na Zari
@Maggie-yx8pw
@Maggie-yx8pw Жыл бұрын
Mhhhhh sasa huyo Kadhi kama ana Pressure amekuja Kazini kufanya nini Duhhh sasa tuende kutafuta haki zetu wapi kama Vitengo vya Dini nao ni Ubabaishaji. Mwenyezi Mungu akusimamie Upate haki yako Queen.
@kinyamal8201
@kinyamal8201 Жыл бұрын
"Fika sasa Foreplan clinic matokeo utayapata naamini utanipenda." Sasa zaidi ya suluhisho amefanyaje tena?😊😊
@jebellwallace3509
@jebellwallace3509 Жыл бұрын
Sister umefanya vizuri sana kuwaumbua bakwata.
@jemimahaule1519
@jemimahaule1519 Жыл бұрын
Dada atakukumbu huyo wanawake wainayako niwachache Pomoja nayote umeongea kwasta sana allah akulipe
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 Жыл бұрын
Allah amlipe nini huyo. Wenzake wamemzidi kete. Mara nyingi wanaokimbia ni mabiwadogo na si bimkubwa.
@kaitabaamin7175
@kaitabaamin7175 Жыл бұрын
Hivi mpaka ofisi ya Khaadh ambayo Qur an imeiidhinisha kusuluhisha masuala Ya jamii ya KIISLAM ndo inafanya uhuni kama huu?kweli UISLAM UMEANZA KANAJISIWA NA BAADHI YA WATENDAJI, pole sana bibie mungu atawawekea wepesi mtayamaliza kadri alivyopanga.INSHAALAH.
@anoldpotentin2446
@anoldpotentin2446 Жыл бұрын
Kinachowaponza wanawake wengi wa hichi kizazi tamaa ya maisha mazuri kirahisi. Kuolewa na mwanaume mwenye pesa kuna gharama sana sio kazi rahisi kama mnavyochukulia.
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 Жыл бұрын
Wanaume konyo aiseee yani dada mzuri ivi na kaachwa vipi kuhusu Mimi Ashura mwenye sura ya baba 😫😫🙌🏻
@rhodachristopher4398
@rhodachristopher4398 Жыл бұрын
Mwanamke ndio kachoka kasema
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 Жыл бұрын
@@rhodachristopher4398 ni Sawa lakini inaonesha mwanaume ndo alianza vituko ndo mana mwanamke akachoka
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 Жыл бұрын
@@ashurajengela3926 Hakuna vituko huyo mwanamke kazidiwa kete na wake wenza wale 2. Aliamua eti kuishi na watoto wa wake wenza ili apate kupitia watoto nao wakakauka Sasa kawarudisha na anamba taraka ili agawiwe mali. Dr. Mwaka anaakili Sana kamkaukia na kesi ya swizi juu.
@winfridapeter9455
@winfridapeter9455 Жыл бұрын
Mambo yamechachamaa sasa,mkunga nae ndoa yamyumbisha😂🤣😂🤣
@shaphaina9941
@shaphaina9941 Жыл бұрын
Hahahaha kazi yake kukaa na kufunda wenziwe ila yeye yake inamshinda .kweli mganga hajigangi
@joeldallas6491
@joeldallas6491 Жыл бұрын
Yawezekana dct mwaka Hana nguvu za kuwatbu hao viumbe
@shaphaina9941
@shaphaina9941 Жыл бұрын
@@joeldallas6491 nalo neno
@aishamrisho6860
@aishamrisho6860 Жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 Жыл бұрын
Jaman had wewe dk. Mwaka. 🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️ Aiseee maisha yana usiri. Sna.
@halimakuju6076
@halimakuju6076 Жыл бұрын
Jamani ndoa nongum sana kwetu wanawake ningum sanawanawake tunaonewa sana miaka nenda rud mwanamke unaambiwa vumilia to inaumixa sana mie huyu dada hapa alipo fiakia nimaamux magum sana kwake ila ameona bola hiyo kuliko ndoa
@abduomar8438
@abduomar8438 Жыл бұрын
Sio ngumu tatizo waliiharibu toka mwanzo mitandaoni
@zuberiismail2972
@zuberiismail2972 Жыл бұрын
We dada mwanasheria ni mzuri lkn kinguo chako mtihani
@mariamusaulo4429
@mariamusaulo4429 Жыл бұрын
Dr Mwaka nakufuatilia sana, ila kwa hili umeniangusha
@frankngoloka2589
@frankngoloka2589 Жыл бұрын
Dr Mwaka hapo umefeli
@mkohoexperience7322
@mkohoexperience7322 Жыл бұрын
Nyie mnasikiliza upande wa mlina asali, na kusema ameumia kwa kung'atwa na nyuki lakin hakuna aliyeongelea upande wa nyuki, kizazi cha nyuki waliopotea Don't drop into conclusions alaf hayo n mambo ya ndoa
@abdallahabdulaziz3683
@abdallahabdulaziz3683 Жыл бұрын
@@mkohoexperience7322 mwaka alisema KUINGIA kanisani sio koa sijalisahau hilo Yule kanjanja mbahatishaji tu.
@ellymaz2187
@ellymaz2187 Жыл бұрын
Hapa tumesikia upande mmoja tu. Ukisikia upande wa pili, utachanganyikiwa.
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 Жыл бұрын
@@mkohoexperience7322 Nikweli, ila kwa asilimia 99 wanawake tunaumizwa sana, na tunayo yavumilia kwa waume, waume hawayavumilii kwa wake.
@harrysonfidelis500
@harrysonfidelis500 Жыл бұрын
daah hawa viumbe ogopa sana, pole sana dr mwaka nikikumbuka enzi zile kwenye mahojiano yako kuhusu kutunza mwanamke zako na leo yalio kukuta ninakupa pole sana dr
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 Жыл бұрын
Mungu akikupa neema jitaidi kuificha kama ikiwa kuna uwezekano wa kuificha. Mtu anakuhusudu mtandaoni na inakupata.
@egospeltz9486
@egospeltz9486 Жыл бұрын
Pole sana, maana na wewe ulichangia kuwaaminisha wanawake vijana kuwa kulala kitanda kimoja na mumeo wanawake wote wawili ni sawa? Haya ni matokeo ya maigizo. Ila uzuri una support nyuma yako Mungu akusaidie.
@johnsonbagambi1908
@johnsonbagambi1908 Жыл бұрын
Maji yamezid unga hapo ni mkanyagano tu mimi nasema hiv mwanamke ni mmoja tu
@ibrahimsalmin6884
@ibrahimsalmin6884 Жыл бұрын
Usilete hayo na hata mmoja matatizo yanatokea
@shaluuanthony1836
@shaluuanthony1836 Жыл бұрын
Mnaweza sasa
@Sheba4651
@Sheba4651 Жыл бұрын
Mwanamke mmoja anakua mama yako tu aliyekuzaa, hawa wengineo hata kama unao mia moja na imani yako kidini inaruhusu tatizo liko wapi. Hata Seleman, Daudi, Ibrahim hawakua na mmoja, ukiwa huna nguvu za kiume hapo shida ni juu yako, akisimbua huyu anaongeza mpya.
@williammgalla7774
@williammgalla7774 Жыл бұрын
Zakia Msangi@my class mate. Big up sana
@nunuuali5316
@nunuuali5316 Жыл бұрын
Dr yupo zake marekani anazurura na bi mdogo wanakula maisha,ila hii dunia jaman
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 Жыл бұрын
Dr mwaka atakua kaenda kuizima kesi yeye sianajifanya boss KUBWA Yani Boss wa Dunia.Dada unajielewa na mungu atakusimamia ktk hili. Ila AJUE kaacha Mwanamke jembe ☑️☑️
@ngowibeatrice1701
@ngowibeatrice1701 Жыл бұрын
Jamani tatizo la wanawake wanafiki sana amuwezi wanawake watatu wakaolewa na mwanaume moja mapenzi ayagawanyiki lazima utaegemea upande moja tu
@welcometoeat165
@welcometoeat165 Жыл бұрын
Mie spend watu wanooa wake wengi japo mie n muislam ila jambo hilo kwakwel huwa silikubal hata kdogo! Wanawake wanaumizwa Sana katka hili 😢😢😢😢
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 Жыл бұрын
Kwani waisilam wanaume walivyoamrishwa kuoa wake zaidi ya mmoja kwa mwenye uwezo waliambiwa wagawane penzi sawa kwa wote? Hakuna jambo hilo hata Mtume s.a.w hakueza kugawanya sawa kwa wote. Kilichoamrishwa ni uadilifu wa kuwahudumikia kwenye mavazi, malazi, chakula na usiwanyanyase.
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 Жыл бұрын
Kwa style hizi za maisha!!!, tegemeeni asilimia kubwa ya watoto watakosa malezi mazuri kwa wazazi🏃‍♂️🏃‍♂️, hakuna mwanaume ambaye anaweza kushindwa kuhudumia familia yake pasipo sababu yeyote. Hapo kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia.
@hafswaabubakary
@hafswaabubakary Жыл бұрын
Tunaambiwa hata km mneachana kukaa eda n lazma lkn mume anatakiwa amuhudumie kwa nahtaj muhimu km chakula ,mavaz,naakiumwa amuuguze hyo n talaka Ss huyu wamegombana u asusa familia yako mpaka WATOTO mwaka mzma hujui wanakula nn WANASOMA au la na he hawaumwa Hawa KUNA SHIDA MAHALA
@kellyngogo3319
@kellyngogo3319 Жыл бұрын
Huyu dada Mzuri sana. Akipewa divorce saa 4 asubuhi saa 4:30 Anapata Milionea South Africa Anamuoa
@sumiegeeb2111
@sumiegeeb2111 Жыл бұрын
Na ndo mana wanaume wanakuaga wagumu kutoa talaka wakifikirikia hivyo
@anoldpotentin2446
@anoldpotentin2446 Жыл бұрын
Millionea aoe mwanamke aliekaa kwa mwanaume miaka 10, kwan hakuna mabinti wadogo wazuri?
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Жыл бұрын
@@anoldpotentin2446 hata angekaa miaka 20
@akinyindege7178
@akinyindege7178 Жыл бұрын
@@anoldpotentin2446 hovyo kweli wewe
@anoldpotentin2446
@anoldpotentin2446 Жыл бұрын
@@lifeinmiddleeast8179 Hakuna mwanaume mwenye akili tena hana hela, aoe mwanamke alieshindikana kwa mme wake. Nile makombo ya mwanaume mwenzangu na hela ipo😂nachukua binti mbichi
@jumannekombo7430
@jumannekombo7430 Жыл бұрын
Pole best njoo nikuoa mm
@kashinjepius4096
@kashinjepius4096 Жыл бұрын
Maswala ya kuoa wake wengi haya... haya bhana na imani zenu... nachoamini hamna nafsi ya mwanamke ikafurahi mmewe kuoa tena
@ibrahimsalmin6884
@ibrahimsalmin6884 Жыл бұрын
Huo ndio ubinaadam hawa kukamilika
@vincentauxerbius7554
@vincentauxerbius7554 Жыл бұрын
Dokta unashida gan mbona jiko nzuri sana hilo duuh😄😄😀😀pole mama
@mariamali1887
@mariamali1887 Жыл бұрын
Umeongea point mwanamke mwenzangu dai haki yako na utapata haki zako zote. Napenda sana wanawake wenye kujiamini
@malikeyndotopopote
@malikeyndotopopote Жыл бұрын
Dr Mwaka nae msenge tu. Uislamu unasema ukiachana na mke kila kiru ulichompa mwanamke si chako unamuachia
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
Subhanallah Yani ni mtihani baadhi ya wanaume wanalilia kuongeza wake haliyakuwa majukumu hawayawezi Allah atustiri kwakwel 😰
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Ameen
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
@@khadijahali4837 wew hukosagi 😁👋
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
@@khadidjasuleiman8006 😁😁 sy kila pahala
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
@@khadijahali4837 Hmh 😸 wew
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
@@khadidjasuleiman8006 😁😁
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 Жыл бұрын
Loh mwaka ukisikia unyanyasaji ndo huo mungu atakulipa unachofanyia wtt wa watu.mwanammke keshakua hakutaki sasa kwa nini hutaki kumwacha .hilo linaonesha umsumbufu sana docta.
@sein.208
@sein.208 Жыл бұрын
Allah ni mjuzi zaidi kwa yalifichikana na yaliyo dhahiri
@mohamedmussa7121
@mohamedmussa7121 Жыл бұрын
Hamna kitu hapa, ujanja ujanja wa wanawake. Yaani kumkusanyia team yote hiyo kutengeneza attention. Wanawake; ukimkuta mwanaume anamafanyikio ya kidunia anaushawishi na anaakili kubwa never play hii michezo utajutaa. Mpaka kufika hapo kakwepa mishale mingi usihisi unaweza kumuangusha au kuchukua chochote kutoka kwa mwanaume pasina ridhaa yake kama yupo hai...
@kandurumedia8220
@kandurumedia8220 Жыл бұрын
Angalau kaka umezungumza. Simtetei doctor Mwaka Wala huyo dada. Wanawake Wana vitimbi kama huna Imani unaweza ingia motoni chaaaap. Allah atunusuru wanaume wote.
@ayoublupande3007
@ayoublupande3007 Жыл бұрын
Hahaha 😂 mapenzi ya mitandaoni hayadum jmn eti wanapendana mmnooo hahaha 😂 Mungu ameturuhusu kuowa zaid ya mmoja lkn kuishi tuishi nao kwa akili San🤫Sasa utawaambiaje walimwengu
@rosetenga6979
@rosetenga6979 Жыл бұрын
Pole Sana dada
@hellenrichard6528
@hellenrichard6528 Жыл бұрын
Mmmh kazi kweli
@zaitunjuma870
@zaitunjuma870 Жыл бұрын
mtihan sn jaman Ee mungu wangu
@issarashidi4898
@issarashidi4898 Жыл бұрын
Kisheria huyo mwana mke anaomba talaka Sasa Kuna vigezo vya kadhi kumpa talaka lazima kadhi aongee nao wote Ili ajiridhishe lakini huyo mwana Sheria amesha wai kuolewa asiende na ushabiki ndoa ina mambo makubwa sana huezi kujua Dr huenda ana tengeneza subira , watu wangine wakiwa na kipato jeuri ina zidi haya Allah atunusuru pia atupe mwisho mwema inshallah
@morogorodoll397
@morogorodoll397 Жыл бұрын
Maisha haya jamani mkiona mtu Anadai taraka mmuache hayupo anayependa kuona watoto wake wakae tofauti na baba au mama ndoa mtihani sana cku izi
@Sheba4651
@Sheba4651 Жыл бұрын
###
@King_186
@King_186 Жыл бұрын
Daah Dr Mwaka usimuache huyu Mama,unless km kuna jambo kubwa sana please
@subirakakwela727
@subirakakwela727 Жыл бұрын
Kwa ajili Allah doctor amrejee kweli Allah atekeleze aliyoamlisha Kwan pumz c kitu Cha kujidai nacho akichelew kukatka
@tatubadi9010
@tatubadi9010 Жыл бұрын
Mke mzuur mashallah..Kwan Kavurugwa na nini jmn yule mbaba..
@jasiminjasimin7694
@jasiminjasimin7694 Жыл бұрын
Duuu mungu tusimamie wanawake
@mariamjuma4136
@mariamjuma4136 Жыл бұрын
Dr Mwaka atoe taraka tu mwenzie aoliwe. Riziki kwake imeshaisha Ao wake aliobaki nao wanamtosha
@ahmadzubeir3363
@ahmadzubeir3363 Жыл бұрын
Kadhi inawezekana kuna Intrest na huyo Dr Mwaka hatuwezi kujua labda pengine ni Presure tu.
@majaliwawilson9372
@majaliwawilson9372 Жыл бұрын
Tunataka kuiona nadokter mwaka nae ahojiwe ili tujuwe wanawake wengi Sana sikuiz unatafuta Mali nabaada yakupatikana mwanamke anaaza kutaka talaka Sasa bakwata inesema Kama niwewe umeamuwa haya wasalimie Sasa ugovi wanini
@jeunajuatv817
@jeunajuatv817 Жыл бұрын
Tatizo ni kusumbuana na tajiri
@f2abooksuppliers122
@f2abooksuppliers122 Жыл бұрын
Sasa kama umeshindwa kuendana na baadhi ya vitu kwenye ndoa, ukadai talaka sidhan kama mumeo anakosa hapo, na sio urudishe nyumba tu, rudisha hadi nusu mahari maana umepata wakuendana nae huko maana hukufukuzwa kwa mumeo umejifukuza.
@ummuadam2423
@ummuadam2423 Жыл бұрын
Kweli njanuary hii
@dottohami
@dottohami Жыл бұрын
Ndoa zenyewe hivi bas bola Nitafute pesa💸
@mgofumaster6628
@mgofumaster6628 Жыл бұрын
Mahakama hii bado sanaa tz
@ahmedysaidy9874
@ahmedysaidy9874 Жыл бұрын
Huyu mke kwel amemvumilia sana maana huyu Dr mwaka alikuwa anawaleta Malaya ktk nyumba yake pale ilala maana na anafanya nao mambo machafu kwenye kitanda kimoja anacholala huyu mke kila jambo Lina mwisho wake.
@simonrusigwa3024
@simonrusigwa3024 Жыл бұрын
Ww jirani yake au?
@hafidhyakoub8369
@hafidhyakoub8369 Жыл бұрын
Yani office hizo ndio zilivyo kawaida Dada angu
@alimuhamed1830
@alimuhamed1830 Жыл бұрын
Allah atamsaidia koz kama allah aliyo ahidi hakika penyeuzito nawepesi upo
@mudriqahmed3666
@mudriqahmed3666 Жыл бұрын
Mama nenda mahakamani ao wanakuzungusha wanafkii ao bakwata mana mana hawawezi kulazimisha riskii kwa kupewa hongoo
Do you choose Inside Out 2 or The Amazing World of Gumball? 🤔
00:19
Ozoda - Lada ( Official Music Video 2024 )
06:07
Ozoda
Рет қаралды 23 МЛН
GIANT Gummy Worm Pt.6 #shorts
00:46
Mr DegrEE
Рет қаралды 124 МЛН
DP Rigathi Gachagua Addresses the Nation
2:00:02
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 40 М.
MUDA scam, Modi in USA, Trump vs Harris | Hafta 504 FULL EPISODE
2:06:21
Do you choose Inside Out 2 or The Amazing World of Gumball? 🤔
00:19