iam proud that Tanzania start to recognize architecture🇹🇿
@kelvinivan68449 ай бұрын
Expecting yours soon
@misschagga80429 ай бұрын
Huu mtanange wa kenya na Tanzania naupenda sana Dar and NRB sky scraper competition unaleta faida ya uwekezaji na uchapa kazi.Pia watu wanapata pesa na ajira.Hongera sana engeneer Mringo hili ni bomu la herishima.
@fidelfidel-jz4iw9 ай бұрын
Hongera sanaa lakini Dar inatakiwa kuwa na magorofa kama ishilini kama hayo uwezo upo serikali yetu inauwezo .
@section8ight1749 ай бұрын
*IshiRini
@Chettymlambalipsi-lb9km9 ай бұрын
Mwandishi hujatuambia Hilo ghorofa litakuwa na floor ngapi? But KENYA MPOOOOO AU MMMELALAAAAA😂😂😂
@BagramenshZuma9 ай бұрын
tunamuomba rais wetu na kamishina mkuu tra jengo hili liwe more than 50 floors Mungu ibariki tz Mungu mbariki rais wetu Samia tunakupend tunaomba ujenzi uanze soon
@idrisaseiph34999 ай бұрын
Hilo jengo lisiende kutupiwa huko ndani ya mji likae pale pale city centre kama majengo yale mengine
@mbonimanakisenya41782 ай бұрын
lipelekwe sinza kalibu na lenzake maana ipo day sunami ikija hapo tunaanza upya
@goodluckmsoka36609 ай бұрын
Mm naona majengo yote hayo yajengwe
@JohnUegene-bs5bv9 ай бұрын
Wakenya tuendeleeni na bifu letu,baada ya treni ya umeme sasa jengo refu kwa kufupi hatuwaachi mpumue na mji wenu wa kikoloni
@Toothlessthedragon-qo5ij4 ай бұрын
tafadhali nyamaza
@husnamfuko49389 ай бұрын
Napenda kusikia Habari kama hizi za miradi mkubwa hongeren sana 👏 👏
@ikulunimahalipatakatifu76428 ай бұрын
Wimbo wetu ule wa ''Tanzania nakupenda kwa moyo wote'' .. , Tumeanza kujali wasomi wetu na wataharamu wetu ongera Tanzania .. Tunasogea Mdogo mdogo..
@CivilEngineeringWorks-d7b9 ай бұрын
Nimefirahi kusikia Architect ni mzawa na tunaweza kuonyesha ubunifu tulio nao Nice Competition this it will make Our cities better more than the last session
@jafarikideghesho65099 ай бұрын
Hongera sana sana Arch Yasin Mringo
@rashidalihamad72289 ай бұрын
😂 KENYA utawasikia eti pesa yao inathamani, 😂 thamani wakati njaa tupu sisi yetu haina thamani lakni tunakidhi mahitaji na maisha ya kwetu Tz sio magumu kama ya kwao Ky
@Chettymlambalipsi-lb9km9 ай бұрын
😂😂😂👌👌
@SigwejoJoseph-im9ye9 ай бұрын
Umeogea poit san
@shinipapaya8469 ай бұрын
😂😂😊😊 imepenya hiyo
@domymerinyo81659 ай бұрын
Hongera Tra kwa kazi nzuri na maendeleo kwa taifa letu,endelea kuchapa pamoja tunajenga taifa
@adamkapolo88179 ай бұрын
Bertin yupo wapi
@gibsonmwamakula64079 ай бұрын
Nairobi ni ndogo sana kwa dsm hata nusu haifiki labda inafanana na Kigali in term of majengo na ukubwa wa mji......so Kenya imebakia historia tu na hawatugusi......viva TRA
@daviddeus419 ай бұрын
Sure bro Yan Nairobi 3 ni dar 1😂 🤟
@modenasayi9 ай бұрын
I am a Kenyan what you said is totally true
@manenomlawa73479 ай бұрын
Kweli kabisa Nairobi ni historia na wawashukuru wakoloni waliojenga huo mji. Sisi tumepambana Wenyewe 2:26 Dar na punde tu tutapindua meza.
@SelemaniMeena-oo3os9 ай бұрын
Tufanye yetu masuala ya Nairobi tuachane nayo
@daviddeus419 ай бұрын
@@SelemaniMeena-oo3os Acha tuwanyooshe siku zote maisha ua n mashindano na wameyataka wao tangu kpndi Cha JPM wakatufungia na mipaka so let it be
@kiddyadams9 ай бұрын
Its nice to see local architectures giving the priority to build our modern city buildings, BUT!! my questions to all Tanzanians architectures and engineers, why are we copying and paste the western or Asians styles ?????? aren`t we have creativity and do it in our own identity..??? @millardAyo fikisha swali kwa wasomi wetu hao tafadhali
@imaniLameck-fd4eb9 ай бұрын
Hilo jengo kujengwa hapo hapo TAP patapendeza mno yajengwe hata ishirini patapendeza mno nayakawe karibu karibu DAR ooyeeeeeeeeeeeeeee MUNGU IBARIKI TANZANIA
@michaelrweyemamu10689 ай бұрын
Proud to be Tanzanian 🇹🇿
@faridapetro9 ай бұрын
What makes you proud to be Tz
@peternassari76349 ай бұрын
@@faridapetrobest country ever, friendly people, peaceful, best foods, vibes. Natural attractions such as Kilimanjaro, Serengeti and Zanzibar 🇹🇿 ❤
@section8ight1749 ай бұрын
@@faridapetroyou must be special needs!!
@edsonsilayo76598 ай бұрын
Bado san hilo haliwez kuwa Icon ya Tz tunahitaji ubunifu wa tofauti utakao beba historia yetu na litadumu kwa miaka mingi kam iliyvo KICC Nairobi,miaka 50 tangu kujengwa kwake mpka leo ni Icon ya kenya
@aoloathumani109 ай бұрын
Sasa majengo kama hayo marefu yanatakiwa yakae sehemu moja kule posta ili kuketa madhari nzuri ya jiji, sio kama lile jengo la pale mliman city, ni jengo zuri lakin lipo katika location mbaya yaan limekaa peke yake sas huo sio mpango mji mzuri 😠😠😠
@modenasayi9 ай бұрын
Yes
@blackyonkou60049 ай бұрын
Nadhani yawepo mengi na yasiwe sehemu moja kupendezesha mji kila sehemu kupunguza foleni
@EmanuelyMbagalla-rt2vm7 ай бұрын
La Mlimani City litafutiwe mengine kama matano karibu yake, patapendeza zaidi. Kuwe na vifunguvifungu vya majengo marefu.
@augustinomshangila89249 ай бұрын
Kazi nzuri sana Architecture
@LORDRICKNKYA9 ай бұрын
Mbona kenya kwenye majengo marefu tumewazidi lile jengo la vioo liloloandikwa PSPF KAMA SIO PSSF ndio gorifa refu East Africa kama sio na Central Africa
@BagramenshZuma9 ай бұрын
Hongera rais wetu mama samia watanzania tunakupenda pia hongera kamishina mkuu tra kwa ubunifu hilo jengo ni zuri sanaaaa tunaomba utekelezaji tu Mungu awasimamie nampend san rais wetu nan kama mama
@imaniLameck-fd4eb9 ай бұрын
Hutu Anaye plan majengo ya TAP namkubali sana Haya majengo yameibadilisha DAR sana majengo marefu Yakiwa pamoja yanapendeza mno lile jengo lilioko mwenge nalo lihamishieni post linavutia mno na aliyeshauri lijengwe kule hakuwa vizuri kichwani
@MubarakaCloud9 ай бұрын
@@imaniLameck-fd4eblile ni lonely tower sasa litaamishwaje 🤣🤣
@PanchoValentino-wh7wt9 ай бұрын
Wow vzur saana 💯🔥💥🌟🖐🏽
@manase_fast_courier9 ай бұрын
hongereni sana maarchitecturers wetu ila ubunifu wa gorofa za vioo za blue umekua changamoto na kuboa sana...mje na idea nzurinzuri zingne kama za makumbusho mpaka morocco
@MichaelMathew-j3f9 ай бұрын
Piga floor 70 hapa
@IssaHirsy9 ай бұрын
Tuna hitaji majengo Kama hayo mengi d s m
@alanalexanderntuule62629 ай бұрын
Ivi kweli hapa cha kushangilia ni urefu? Ama shughuli madhubuti zitakazokwenda kufanyika humo?
@pascojm68169 ай бұрын
Urefu pia
@vaghoghontweki98275 ай бұрын
Safi.....Good sana kama nchi flani hivi kazi yao kubwa ni kusifu sifu tu hata kitu hakielewi..Kwa hili Good sana Tunaongoza sasa kwa kua na jengo refu na zuri ulimwenguni😂 na sisi pia
@raphaelkessy73605 ай бұрын
T R A Jengeni haraka Mimi nna mpango waku jenga Jengo lenye Gorofa 103 hapa Dar es salaam
@josephambrose22159 күн бұрын
Mbona mnadizaini majengo yanayofanana?
@BagramenshZuma9 ай бұрын
Matokeo ya kodi zetu sisi wananch tunahitaj mirad mikubwa kama hii asant rais wetu Samia na kamishina mkuu Kidata hii ni historia kwenu na tz kwa ujumla
@hanifa91539 ай бұрын
Mama Samia Oyeee kazi iendelee mama yetu wengi tunkpendaga tu wachache ndo hawakpendi wakafilie mbali wanawake Oyeee💞💞💞💞💞💞💞💞🙏
@barakamikidadi46695 ай бұрын
Acha ujinga saw kama ukipnda xio kila mtu atafata unachopnda bhana ni vp
@aloycekiwia86139 ай бұрын
Hilo Jengo litapendezesha sana Tanzania.!
@rkcomercialenterprises32095 ай бұрын
Serikali imehamia Dodoma,mbona taasisi hii ya serikali inajenga Dar na siyo Dodoma. Majengo mengi ya serikali yako wazi, hapa Dar so it does not make sense taasisi za serikali kuendelea kujenga tena ofisi. Wauziane zilizopo like PSSSF building along Samu Mjoma Road near Mlimani City
@raphaelkessy73605 ай бұрын
Hujui T R A Wana biashara gani 😂😂😂😂😂😂
@daviddeus419 ай бұрын
Kenya kaeni mkao wa kula 🤣 soon tunapindua meza
@SophlaJackson-nt1nc9 ай бұрын
acha ujinga NRA kuchapa sasaivi tulisha wameza muda tuu sasa Tunamalizia Ku wameza niombe msamaha kaka ako umenikosea 🤣🤣🤣🤣👍🤝
@officialjasonraider9 ай бұрын
Huu mgogoro hautaishaga!! Africa tuta unite as one nation ila Tanzania na Kenya bado tutakua na huu mgogoro, milele 🤣🤣
@daviddeus419 ай бұрын
@@officialjasonraider Hii ndo inaitwa Skyscrapers construction war btn Nairobi vs Dar er salaam 😂🙌
@daviddeus419 ай бұрын
@@SophlaJackson-nt1nc kwa Sasa mechi ni 50 kwa 50 na mtanange bado unaendelea😂😂 Nairobi vs Dar
@officialjasonraider9 ай бұрын
@@daviddeus41 we keep each other sharp, huu ushindani uendelee 🤣
@user-js2ck8xu5s5 ай бұрын
Eneo lipi Dar usikute kwa mtogole
@zolongOne5 ай бұрын
Serikali si imehamia Dodoma kwahio hilo jengo linatakiwa kujengwa Dodoma
@zolongOne4 ай бұрын
Ujenzi utaanza lini?
@neshamringo68109 ай бұрын
Good
@oxygentv68809 ай бұрын
Tanzania
@jamesmwita29958 ай бұрын
Jengo lenyewe halijajengwa wtz walishatoa mapovu
@christophermsrwiza34077 ай бұрын
LITAjengwa wapi , eneo gani?
@ramadhanikassimu9 ай бұрын
Mama kiriochangu umekisikia
@FadhiliMesha-pd2th8 ай бұрын
rinagorofa ngapi mbona hasemi
@user-js2ck8xu5s9 ай бұрын
Linajengwa wapi na ni ghorofa ngapi story haijakamilika
@jumakapilima72959 ай бұрын
Dar
@DenisiDenisi-w7p9 ай бұрын
Mi naona Lijengwe moshi
@utopolo5439 ай бұрын
Lile uchumi complex liko empty na majengo kibao Moshi hayajaisha mji unazidi kuwa magofu...sijui Moshi imekumbwa na Nini aisee...mji unazidi kuchoka na kukimbiwa... Mji umerudi nyuma vibajaji kibao na boda kibao...hakuna mradi wa maana unaendelea Moshi...Tumeanza kuzidiwa na iringa na bukoba watani wetu..mji kama bukoba wanajenga barabara ya njia nne km 5, stendi mbili, campus ya UDSm na Mandela, Bandari yao bukoba inapanuliwa na kujengewa terminal ya kisasa, airport inawekwa control tower...sisi Moshi tupo tupo tu
@archbordygodfrey26149 ай бұрын
Liende dodoma
@georgesolos3449 ай бұрын
Dodoma earthquake
@haroldtarimo-wj9lw9 ай бұрын
Wewe mbumbumbu hujui dodoma kuna matetemeko na water table iko juu sana
@archbordygodfrey26149 ай бұрын
@@haroldtarimo-wj9lw duh sasa umbumbumbu unatoka wapi tena kama ushauri wangu haufai,duh haya bana kila la kheri msomi, asante.
@section8ight1749 ай бұрын
Earthquake doesn’t matter if structural integrity is solid, see Tokyo Japan the earthquake capital of the world, it’s dotted with skyscrapers
@isackmbade31819 ай бұрын
Gorofa ngap
@MujuniKamugisha9 ай бұрын
Labda useme mita ngapi ? Maana linaweza kuwa na idadi sawa ya ghorofa kama majengo mengine marefu tz Ila likawa na mita nyingi kuliko ayo kulingana na design wanakadiria litakuwa na mita 180
@LuckyMusyki9 ай бұрын
Wajenge Dodoma ,ama Pia wakajenge lingine huko tofauti na Hilo na refu zaidi
@lydialaurian47349 ай бұрын
Dododma??? Dododma majengo marefu ni hatari... Earthquake Kama zote alaf jengo potential Kama hili ukalitelekeze Dodoma kweli??
@section8ight1749 ай бұрын
@@lydialaurian4734Tokyo is Earthquake capital of the world, have you seen the amount of sky scrappers in that city?
@jumakapilima72959 ай бұрын
@@section8ight174do you compare developed and developing?
@section8ight1749 ай бұрын
@@jumakapilima7295 They only have to make sure each and every building over a certain height has to be vetted and built to quality standard, structural integrity is of the utmost importance.
@alfinmbilinyi59859 ай бұрын
Hilo jengo la TRA nashauri lijengwe mbezi jirani na stand ya Magufuli au mawasiliano jirani na fly over ya kijazi au makumbusho
@husseinhkitambi17019 ай бұрын
Lijengwe makambako
@LORDRICKNKYA9 ай бұрын
Hapana sio sehemu sahihi wao wameshapanga kila kitu wakaona wapi ni sahihi zaidi
@adamdaudi61919 ай бұрын
@@husseinhkitambi1701😂
@imaniLameck-fd4eb8 ай бұрын
DAR NDIO MJI WA KIBIASHARA MAMA SAMIA RAIS WETU JENGA MIJENGO MAREFU HATA ZAIDI OROFA 80 NA MUNGU ASIMAME NASI TUTAITIISHA AFRIKA NA MUNGU AKUBARIKI
@alfinmbilinyi59855 ай бұрын
Kule posta kujenga sawa lakini mvua ikinyesha na mabadiliko ya hali ya hewa ya dunia nashauri majengo haya ya gharama ya serikali yajengwe sehemu salama pia .Nilipita siku moja barabara ya mnazi mmoja kuja Chang'ombe maji ya mvua ilikuwa balaa gari ilitaka kuanza kuelea.kule mbezi stand ya jpm,siyo kubaya Tanzania tujenge miji mipya kama pale makumbusho safi kabisa au ubungo Manzese vunja nyumba taka zote lipa watu fidia nzuri jenga majengo mazuri ya nchi nzuri ya mzee Nyerere.mgeni akitoka tz akubali tz si mchezo katika bara la Afrika.pia uwekwe utaratibu kila mkoa taasisi ya serikali marufuku kujenga majengo ya aina ya mabehewa.iwe shule iwe tra,iwe,crdb ,iwe trc majengo yote yawe ya ghorofa kuhifadhi ardhi na mazingira pia.Angalizo majengo haya yawe bora na mvuto wa kutosha kupendezesha miji ya Tanzania.
@martinstarford62099 ай бұрын
jengo kubwa Tanzania sio africa wala africa mashariki
@aoloathumani109 ай бұрын
Sas likisha kuwa refu Tanzania, maan yake ni east Africa yote, sababu tuliyo nayo sas ni Marefu Zaid Africa mashariki, na Hili likiwa Zaid ya hayo unafikir nin kitatokea
@mbwizax879 ай бұрын
@@aoloathumani10Nairobi kuna majengo zaidi ya matano marefu kuliko haya yote ya Bongo
@jumakapilima72959 ай бұрын
@@mbwizax87unateseka ukiwa wapi?
@jumakapilima72959 ай бұрын
Unateseka ukiwa wapi?
@pastorgodwinchengula78489 ай бұрын
Nataka nihoji TRA kwa biashara gani wanazofanya kujenga jengo la gharama kiasi hiki? Pili mji mkuu ni Dodoma ndiko marehemu Magufulii alitaka taasisi zote za Serikali zikajenge makao yao Makuu huko Sasa Kwa hili TRA mnarudi Dsm Sasa?
@LORDRICKNKYA9 ай бұрын
Kodi inazokusanya ni sababu tosha maana wanajngiza matilioni ya pesa kwahiyo ni taasisi au shirika kubwa linalopaswa kuwa na Jango kubwa lense hadhi maana TRA inavitengo vingi ndani yako kuliko unavyojua na inahitaji mifumo ya kisasa ya technolojia ambayo ni ya usiri haipaswi kuwekwa kwenye majengo ya kukodi ya watu
@justinecleophas29509 ай бұрын
Sio lazima walitumie lote pekeyao, watatumia nafasi inayo watosha itakayo baki itumike kurent ili waweze kujiongezea kipatoo
@mjeshimsofe97309 ай бұрын
Hilo n la tra mkoa wa Dar na dom lipo la nchi...nb dar ndy pesa ilipo
@hassantandiko19439 ай бұрын
Ni hivi chanzo kikuu cha mapato nchii Na dar maana hata Bandar kuu ni dar Dodoma ofic.zipo lakin.wanalazimika kuweka kambi kubwa zaid dar kulingana Na ufatiliaji Na ukusanyaaj mapato.bila dar tuna yumba
@IssaHirsy9 ай бұрын
Kumbuka DSM ni Jiji la biashara
@nasibugunda79279 ай бұрын
Mijengo mizito hii mji wetu utatitia bhana Dar yenyewe mashamba ya mpunga mitope kama yote Ila zuri😂