MZEE SAID| TUKIFUNGWA NA YANGA TU USAJILI WOTE UTAKUWA MBOVU |TUTATUKANA VIONGOZI WATU WAMEKULA PESA

  Рет қаралды 129,434

Finest Online

Finest Online

16 күн бұрын

Пікірлер: 548
@Finestonline
@Finestonline 14 күн бұрын
FAMILIA KUIPATA CONTENT YA MZEE SAID NI KAZI NGUMU MNOO......MSAADA KOKOTE UTAKAKOKUTA MTU AMEIBA HII CONTENT AKAIPOST KWAKE NITUMIE LINK YAKE 0782100162 HUYO ALIEPOST UTAKUWA UMENISAIDIA SANA FAMILIA🙏
@RukhayyahMtutuma
@RukhayyahMtutuma 14 күн бұрын
pamoja familia
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 14 күн бұрын
Chagamba zipo nyingi yu mbona..hata hii ukimaliza tu itapostiwa pahala.
@DM_15
@DM_15 14 күн бұрын
Ondoa shaka familia
@Finestonline
@Finestonline 14 күн бұрын
@@femidayahaya4882 msaada wako ndugu yangu nipate link zake tu familia wanaua sana nguvu kazi yangu 🙏
@salimkadenge3231
@salimkadenge3231 14 күн бұрын
Poa gamba
@stevenobure8241
@stevenobure8241 14 күн бұрын
Tunamuombea Maisha marefu sana Mzee Saidi ili tuweze kumfaidi maana anatupa raha sana Nawe Changamba hongera kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@rosenamilia4140
@rosenamilia4140 14 күн бұрын
Kwa muda wa nusu saa watazamaji wanaomfuatilia Mzee Saidi 1.2k🎉🎉🎉🎉❤❤.Shikilia hapo hapo Chagamba kwa kumhoji Mzee Saidi kula siku.
@user-ho1jq3ut2w
@user-ho1jq3ut2w 12 күн бұрын
🎉Yjistyuyyyuu98888😮
@christophermbuga9623
@christophermbuga9623 14 күн бұрын
Mzee Saidi nampenda sina maelezo kwa nn!! Ninaongeza mb kila mara ili nimsikie Mzee Saidi!! Udumu Mzee. Unatupa raha. Mwaga madini Mzee!! Nakukubali mnooo
@Shuu_mwak
@Shuu_mwak 12 күн бұрын
An uyu mzee awekewe ulinz kwa kweeel an me ananimalizia bando langu😂😂😂😂
@Shadia544
@Shadia544 14 күн бұрын
Jamaniii jamaniii jamaniii 😂Chagamba na mzee saidi jamaniii nilikuwa namsubili mzee saidi 😂Chagamba anainjoi sanaaaaaa LIKE 10 😂
@mjumbemwanda9666
@mjumbemwanda9666 14 күн бұрын
Hadi wanawake mnapenda mpira? ❤
@abasikusaga6132
@abasikusaga6132 14 күн бұрын
❤ kumbe na wewe umoo
@MwanzoNyedeche
@MwanzoNyedeche 14 күн бұрын
Mambo mrembi
@Shadia544
@Shadia544 14 күн бұрын
​@@MwanzoNyedechepoa kipenzi changu
@Shadia544
@Shadia544 14 күн бұрын
​@@mjumbemwanda9666ndiyo tena miee yangaaaa 😂😂😂😂
@GeradinaJohn-xh8pw
@GeradinaJohn-xh8pw 14 күн бұрын
Napenda hii make haina matusi bali inafurahisha sana👌👌👌👌
@OmanAlkamil-nl2zw
@OmanAlkamil-nl2zw 14 күн бұрын
Nimekuwa wa Kwanza jmn,, from Oman 🇴🇲🇴🇲🇴🇲 nilikumic Mzee saidi
@GeradinaJohn-xh8pw
@GeradinaJohn-xh8pw 14 күн бұрын
Sawa Oman wa Tz😂😂
@gidanoagustino9056
@gidanoagustino9056 14 күн бұрын
😂😂😂
@BaruaniBakari
@BaruaniBakari 14 күн бұрын
Mzee saidi ww.wachekesha kweli jamani mungu akuweke
@salimalaquimane3077
@salimalaquimane3077 14 күн бұрын
Yanga binwa msimu huu Asante MUNGU 🙏♥️
@MpembaMayunga
@MpembaMayunga 13 күн бұрын
Kama unamkubal Mzee said gong like🎉🎉🎉🎉🎉
@YusuphMayunga-z8l
@YusuphMayunga-z8l 14 күн бұрын
Mm shabiki wa yanga mzee saidi anaujua mpira kweli nampenda sana
@alikawinga2289
@alikawinga2289 14 күн бұрын
Mzee saidi niko ujerumani wanifuraisha sana mimi ni Yanga
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 14 күн бұрын
Nipo USA 🇺🇸 Nipe number yako
@derimkongwa5965
@derimkongwa5965 14 күн бұрын
Kaka nipe namba yako nashida nawewe
@derimkongwa5965
@derimkongwa5965 14 күн бұрын
​@@Kuminamoja1995kaka nipe namba yako nashida naww
@derimkongwa5965
@derimkongwa5965 14 күн бұрын
Nipe namba yako kaka nashida naww
@user-we3cm7db2h
@user-we3cm7db2h 14 күн бұрын
Mungu akupe maisha marefu mzee SAID nakupnda sana mm napenda sana kukuckiliza wewe MB zangu naeka kwa sabb yako ila mm ni YANGAAAAAAAAAAAAAAAAAA ila mzee SAID AZIZ bado yupe sana YANGAAAAAAAAAA.
@BADILIJUSTUS-fs3oo
@BADILIJUSTUS-fs3oo 14 күн бұрын
Chagamba kazi Yako unaitenda vizuri aise
@ChenchiKing
@ChenchiKing 14 күн бұрын
Yan Bato La Mzee Said Akunag Wakulimaliza🔥🔥🔥
@GodblessMushi-e6y
@GodblessMushi-e6y 14 күн бұрын
Maze Said ni msema kweli, big up Chagamba, big up Mzee Said, big up Miraji a.k.a Mara moja
@lumistarboy8499
@lumistarboy8499 14 күн бұрын
😂😂 Mzee Said na Gamba hii perfect combo
@michaelmduba5931
@michaelmduba5931 14 күн бұрын
Kumekucha kumekucha na mzee Said
@user-ch2it3qt5z
@user-ch2it3qt5z 14 күн бұрын
Yan mzee Said ukwl unamzid jemedar KABSA Mungu akupe Maisha marefu mzee Wangu❤ ishi miaka 💯 tuenjoi burudan
@user-vi7ly9zh1q
@user-vi7ly9zh1q 14 күн бұрын
Nimecheka jamani 😂😂 mzee said
@Mary-fs4mc
@Mary-fs4mc 14 күн бұрын
Kumekucha kumekucha 😂😂 Baba yangu mzee Said, Gamba tuwekee no.ya mzee Said jamni. 😂😂
@abelimaganga417
@abelimaganga417 14 күн бұрын
Chagamba nilikuwa nimechoka Sanaa nimetoka kazin lakin baada ya kumwona huyu mzeee nimefurah Sanaa ahsant sana
@MichaelMwambango
@MichaelMwambango 14 күн бұрын
Ila Mzee Saidi bhana 🔥🔥🔥
@BADAWY575
@BADAWY575 14 күн бұрын
Mzee Said mzee wa mpira anajua sana mpira na anajua kumtambua mchezaji kila la kheri mzee saidi wachezaji wako kwa mtazamo wanaonekana wanaujua
@shefatiakeleye897
@shefatiakeleye897 13 күн бұрын
Mhuuuu😂😂
@emaculatemakoi8226
@emaculatemakoi8226 14 күн бұрын
Huyu mzee nampendaaa sanaaaa
@JANE-jv4eq
@JANE-jv4eq 14 күн бұрын
Ngendembe imeanza lini tena mzee saidi 😂😂😂😂😂😂😂
@user-ff1it9og8y
@user-ff1it9og8y 14 күн бұрын
Mmm h ni kweriii Mzee Said maneno yake yana maaana Tz bila uchawiii wachezaji hawatobowiii wazeee wa Simba kaeni mapema mtafakari ni wapi mmekosea hizo gori 5 mchezo ulikuwaje e uwanjani wachezaji wa Yanga waliingilua Mlango ganisiku ya mchezo hiyo ni Vita ya kisasiiiiiii Simba kurudisha ufalume❤❤❤❤❤
@trice_yanga
@trice_yanga 13 күн бұрын
nakuona mchawi umetoaa maoni😂
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 13 күн бұрын
Hapa kama simba wanataka ushindi watengeneze timu na wakinunua wachezaji wanunue wachezaji wa viwango na si wachezaji wa mafungu.
@minazsaid2470
@minazsaid2470 14 күн бұрын
Mzee Said bado hujasema 😂😂
@deogratiaspmwolo1942
@deogratiaspmwolo1942 14 күн бұрын
Mzee said kipenzi cha wana yanga . Yanga tunakupenda sana mzee said. Wewe ni kipenzi chetu
@evansmoshi1923
@evansmoshi1923 14 күн бұрын
Wana yanga chawa wenu huyu ntunzeni sana?
@VedastinaVedarian
@VedastinaVedarian 13 күн бұрын
Tupo na mzee said mpka wamfukuze ahamie kwetu 😅
@zakayomgaya2758
@zakayomgaya2758 14 күн бұрын
😂😂,😂 chagamba mwambie mzee saidi tunafulahi sana kumskia mwanasimba wenzie tupo nyuma yake
@user-eh6wn9qf4b
@user-eh6wn9qf4b 14 күн бұрын
Tulikumiss sanaaaa xema saiz chagamba anazingua 😂😂😂😂😂😂
@leoncengabo5799
@leoncengabo5799 14 күн бұрын
Kkkkkkk Mzee Saidi nakupata vizurii nikiwa Kampala. Wazingue team!!! Makoe,kutunguluka,juijuijuii!!!! Kkkkkkkkkkk,misemo Yako,kweli nimeingia kamsi nimepotea...
@WilliamStanley-m8u
@WilliamStanley-m8u 14 күн бұрын
Nakuelewa sana mzee said
@kelvinkumila4708
@kelvinkumila4708 14 күн бұрын
BOKA TENA?? WAMELETA MWINGINE?? JANA?? ANAITWA BOKA!! KATOKA WAPI??? EEEH!😢😢
@BarnabaJaphet
@BarnabaJaphet 14 күн бұрын
Daaah ebana hapo sasa afadhar nimepata furaha ya moyo.pamoja sana gamba mpe salam mzee said
@Sadick-vb5gg
@Sadick-vb5gg 14 күн бұрын
Uwa nasubiri interview ya mzee Said,Hao wengine wakina kisugu siasa nyingi mara mama mara nyoko
@user-ls2pp5hi6m
@user-ls2pp5hi6m 14 күн бұрын
Mzee wetu said tunampenda sanaa
@rashadymuhamad6293
@rashadymuhamad6293 10 күн бұрын
Yaani tunampenda vibaya mnoooo!!!
@GIFT37tv
@GIFT37tv 13 күн бұрын
IMENIUMA SANA KUMUACHA SAIDOO NTOMBANDOKIZA
@MpembaMayunga
@MpembaMayunga 13 күн бұрын
😂😂😂😂 xhenzi zako
@user-hp5zf2fw4o
@user-hp5zf2fw4o 14 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅mzee unateseka sana poleee
@christophermbuga9623
@christophermbuga9623 14 күн бұрын
Mzee wa ngendembwe!! Mzee Said uko vizuri
@chumaramadhani.7581
@chumaramadhani.7581 14 күн бұрын
Mzee Said umetoa SMG kwa YANGA, wewe umebaki GOBOLE, Pole Sana.
@MariamMbonde-v1e
@MariamMbonde-v1e 14 күн бұрын
😅😅😅 mzee side angalia usije mpiga vibaoooo huyo chagamba aisee jaman nmecheka sanaaa😂😂
@cleophasmkungu623
@cleophasmkungu623 14 күн бұрын
Huhuuuu! Mzee Said utauaa, eti hamna cha Mkwara wala Mkwaraaaa😃😃
@PeterTelemka
@PeterTelemka 14 күн бұрын
Nimemsubiri Sana mzee said hivi viongozi wa kaole Sanaa wako wapi kipaji hiki jamani kwenye maigizo
@Hgd-jk6lh
@Hgd-jk6lh 13 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂mezee said jamani nampendaa saan😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅mwenye nambar yake naombeni ninavocha yake laki 1chagamba nicheki mwanagu mie ni yanga ila nampendaa saan mzee Saidi😂😂😂like za mzee said ♥️
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 14 күн бұрын
Mambo yashaaanza uku😂😂😂
@PlanetLeo721
@PlanetLeo721 13 күн бұрын
Mimi ni mwananch ! ila I like Mzee Said. He also makes me to be happy when I’m very stressful.
@lumistarboy8499
@lumistarboy8499 14 күн бұрын
Gamba Augustine ni namba 6 Gambaaaaa unampoteza Mzee ila hapo kwa Deborah nimecheka sana😅😅😅😅
@ElizabethLukosya-lv2vf
@ElizabethLukosya-lv2vf 14 күн бұрын
Pamoja sana mzee wetu saidi 🤗
@user-pw4hw5sx6e
@user-pw4hw5sx6e 14 күн бұрын
Nilitaka kushangaa bila kumtaja saidoo
@nelsonlugaimukamu6611
@nelsonlugaimukamu6611 14 күн бұрын
Hongereni sana kwa kipindi kizuri,mzee saidi namkubali sana....msema ukweli
@mwanaidimtengo8151
@mwanaidimtengo8151 14 күн бұрын
Jaman Nampenda sana Mzee Saidi,Deboraaaaaaah Hahahaaaaaaaaaaa
@westonyjob1747
@westonyjob1747 13 күн бұрын
Nimejikuta nimecheka kwa sauti ety nyooo😂😂
@user-tk5wi3gi5o
@user-tk5wi3gi5o 14 күн бұрын
Mzee saidiiiìii unanichekesha mpaka basi,nawapata kutokea mascat Oman,
@trice_yanga
@trice_yanga 14 күн бұрын
Mzeee said kwann wakuite Deborah 😂😂😂
@musamwakalibule3383
@musamwakalibule3383 14 күн бұрын
Sasa😂😂😂😅 jamani mzee said, huyo chagamba kakosea nini? Usimpige huyo
@user-lr6kf6bf9l
@user-lr6kf6bf9l 14 күн бұрын
Chagamba hapa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tunakupata vilivyo....😂😂
@shabanihaji3896
@shabanihaji3896 14 күн бұрын
Ila mzee saidii 😂😂😂
@jofreymsomba4652
@jofreymsomba4652 14 күн бұрын
Noma sana mkuu mzee saidi huyu
@MohammedIsmail-fw9vn
@MohammedIsmail-fw9vn 14 күн бұрын
Mzee Said muwe mnamlipa hela kama hamuwezi wekani namba
@KaujuMwakajumba
@KaujuMwakajumba 14 күн бұрын
Kweli bwana mzee hata fridge Hana
@halidijuma1884
@halidijuma1884 14 күн бұрын
Mimi yanga ila mzee Saidi na ENJOY kumsikiliza,,
@MusaDadi-pd3jd
@MusaDadi-pd3jd 13 күн бұрын
Mzee said ni 🔥🔥🔥
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 14 күн бұрын
mzee saidi ni shidaa sana mjini
@EdsonMdagachule
@EdsonMdagachule 14 күн бұрын
Mzee Said upo sasa kabisa
@taufiqis-haq536
@taufiqis-haq536 14 күн бұрын
Mzee said umeongea point Sana viongozi wa Simba wachukue Huu ushauri
@tamariamisi3540
@tamariamisi3540 8 күн бұрын
Nikiwa from uganda I love said o
@EmmanuliM.lugembe
@EmmanuliM.lugembe 14 күн бұрын
Mi mwemyewe mzee sis nimemc sana
@Mary-fs4mc
@Mary-fs4mc 14 күн бұрын
Gamba kwanini malizia ukuta wa yeriko😂😂😂😂😂
@mrrockboy9508
@mrrockboy9508 14 күн бұрын
😂😂😂😂 Mzee Saidi bana😅😅😅😅
@jabalimikechi7750
@jabalimikechi7750 14 күн бұрын
Mzee wangu Said 🇨🇩🇨🇩🇿🇦🇿🇦mimi ni shabiki yako kindakindaki, ila mimi YANGA 😂😂😂😂😂
@HanafyTuwa
@HanafyTuwa 13 күн бұрын
Chagamba yupo kama kunguni vile anang'ata huku anapuliza taratibu 😂😂😂😂🙌🙌🙌
@rashadymuhamad6293
@rashadymuhamad6293 10 күн бұрын
Kwa kweli, hivyo hivyo yaaaniii.
@idybwoytz8485
@idybwoytz8485 14 күн бұрын
Gambaaa una enjoy San 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 sem mzee Saidy
@EliasMyeya
@EliasMyeya 14 күн бұрын
Mzee saidi unatufurahisha san wanayanga,......najua ndo tumejazana apa
@gideonchipepo8405
@gideonchipepo8405 14 күн бұрын
Hongera sana Mzee saidi wewe ni mkweli siku zotee
@geraldndosi2083
@geraldndosi2083 14 күн бұрын
😂😂😂 mzee wetu saidi leo anaongea kwa uchungu sana
@witnessgeorge1976
@witnessgeorge1976 14 күн бұрын
😂😂😂nilikumc mzee said😂😂😂
@nacetsiringa1334
@nacetsiringa1334 13 күн бұрын
Chagamba unatukosea weka namba tuchangie hela ya maji kwa mzee said na miraji mahojiano mazuri sana 🎉🎉
@rosenamilia4140
@rosenamilia4140 14 күн бұрын
Chagamba jitahidi kila siku ukutane na Mzee Saidi mi MSURE mbaya.Wanafamilia tunampenda sana ,hasa kwa ukweli wake,vichekesho na lugha yake ya utani.Mie nacheka tu huku na kuongeza uhai wangu😂😂😂
@assumedprivacy3940
@assumedprivacy3940 14 күн бұрын
Nasema tena, Mzee Saidi hamia Yanga roho yako itulie mzee wangu
@user-zq2tj9gr6r
@user-zq2tj9gr6r 14 күн бұрын
Mzee saidi saidiya simba yako
@LinuslusianLinuslusian
@LinuslusianLinuslusian 14 күн бұрын
Mzee Said yuko safi mbona Jobe haongelewi?
@mustaphawelder7022
@mustaphawelder7022 14 күн бұрын
Watakuwa wanaijua daby Kwan hata kwao kuna daby
@MuammaryAbdalla
@MuammaryAbdalla 14 күн бұрын
wakikuita debora na wew waite joicy
@phiddeschacha3143
@phiddeschacha3143 14 күн бұрын
Yaani Mzee Saidi wenye kukuelewa wamekuelewa
@nasibumuya4504
@nasibumuya4504 13 күн бұрын
mzee saidi mm nakukubali sana hata kama nimevugwa nikikusikia bavu sina🤣🤣🤩
@chrispinallan3683
@chrispinallan3683 14 күн бұрын
Wee mzeee saidi noma sn Nina zawadi yk nitafute mzee wang
@clementmmbaga3052
@clementmmbaga3052 14 күн бұрын
Hatarii mzee said
@jamesmakaranga1170
@jamesmakaranga1170 14 күн бұрын
Mzee said bn nakukubali sna
@kingslove7772
@kingslove7772 14 күн бұрын
Mzee said bana we leo umeamua je
@WilliamStanley-m8u
@WilliamStanley-m8u 14 күн бұрын
Nakuelewa mzee said
@gaspermathayo5204
@gaspermathayo5204 13 күн бұрын
Ndomana watoto wayanga wananita debora😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@tamariamisi3540
@tamariamisi3540 8 күн бұрын
Thank you so much said I love you me I live from yuganda
@moseshaji1177
@moseshaji1177 14 күн бұрын
Mzee Said nakufatilia vyema sana kila utupiapo interview mpya Nipo Bin Umran Doha Qatar hapa
@hyy4114
@hyy4114 13 күн бұрын
Upo umran mm nipo Umqan
@rozamabagala6242
@rozamabagala6242 4 күн бұрын
Saido mzee kukimbia hadi ajikusanye kama tairi za scania😂😂😂
@AllyMaketa
@AllyMaketa 14 күн бұрын
Chagamba ww yanga mzee said nakuelewa sana
@HassanHassan-vh6pc
@HassanHassan-vh6pc 14 күн бұрын
Mzee said x hii tunakubandikia bango mlangoni kwako
@harunimsangi7770
@harunimsangi7770 13 күн бұрын
Mzee saidi bwana mungu akupe maisha marefu
@ramadhankombe2643
@ramadhankombe2643 14 күн бұрын
Kwa sasa hv hawawez kumuelewa mzee Said.lkn ngoja ligi ikianza ndio watamuelewa vzr anachomaanisha huyo mzee.hahahaaaaa walah mzee said unanifurahisha sanaaa.na ww chagamba unachombeza kiunafki km vile huelewi simba watavyodhalilishwa na yanga😅😅😅
@godwingobe1887
@godwingobe1887 14 күн бұрын
Mzee saidi unasema ukweli utupu
@claragodfrey2985
@claragodfrey2985 14 күн бұрын
Mzee saidi unanipa burudani jamaniii ata kula sijala sababu ya maneno yako
@EmmanuliM.lugembe
@EmmanuliM.lugembe 14 күн бұрын
Changaba unakuwa unamcheleweaha sana Mzee saidi
Nastya and SeanDoesMagic
00:16
Nastya
Рет қаралды 13 МЛН
Cat Corn?! 🙀 #cat #cute #catlover
00:54
Stocat
Рет қаралды 16 МЛН
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,5 МЛН
MAMA KARUME ATEMA NYONGO | NITAMUADABISHA MZEE MAGOMA
9:09
MATOLE TV
Рет қаралды 93 М.
Nastya and SeanDoesMagic
00:16
Nastya
Рет қаралды 13 МЛН