FAMILIA KUIPATA CONTENT YA MZEE SAID NI KAZI NGUMU MNOO......MSAADA KOKOTE UTAKAKOKUTA MTU AMEIBA HII CONTENT AKAIPOST KWAKE NITUMIE LINK YAKE 0782100162 HUYO ALIEPOST UTAKUWA UMENISAIDIA SANA FAMILIA🙏
@RukhayyahMtutuma14 күн бұрын
pamoja familia
@femidayahaya488214 күн бұрын
Chagamba zipo nyingi yu mbona..hata hii ukimaliza tu itapostiwa pahala.
@DM_1514 күн бұрын
Ondoa shaka familia
@Finestonline14 күн бұрын
@@femidayahaya4882 msaada wako ndugu yangu nipate link zake tu familia wanaua sana nguvu kazi yangu 🙏
@salimkadenge323114 күн бұрын
Poa gamba
@stevenobure824114 күн бұрын
Tunamuombea Maisha marefu sana Mzee Saidi ili tuweze kumfaidi maana anatupa raha sana Nawe Changamba hongera kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@rosenamilia414014 күн бұрын
Kwa muda wa nusu saa watazamaji wanaomfuatilia Mzee Saidi 1.2k🎉🎉🎉🎉❤❤.Shikilia hapo hapo Chagamba kwa kumhoji Mzee Saidi kula siku.
@user-ho1jq3ut2w12 күн бұрын
🎉Yjistyuyyyuu98888😮
@christophermbuga962314 күн бұрын
Mzee Saidi nampenda sina maelezo kwa nn!! Ninaongeza mb kila mara ili nimsikie Mzee Saidi!! Udumu Mzee. Unatupa raha. Mwaga madini Mzee!! Nakukubali mnooo
@Shuu_mwak12 күн бұрын
An uyu mzee awekewe ulinz kwa kweeel an me ananimalizia bando langu😂😂😂😂
@Shadia54414 күн бұрын
Jamaniii jamaniii jamaniii 😂Chagamba na mzee saidi jamaniii nilikuwa namsubili mzee saidi 😂Chagamba anainjoi sanaaaaaa LIKE 10 😂
@mjumbemwanda966614 күн бұрын
Hadi wanawake mnapenda mpira? ❤
@abasikusaga613214 күн бұрын
❤ kumbe na wewe umoo
@MwanzoNyedeche14 күн бұрын
Mambo mrembi
@Shadia54414 күн бұрын
@@MwanzoNyedechepoa kipenzi changu
@Shadia54414 күн бұрын
@@mjumbemwanda9666ndiyo tena miee yangaaaa 😂😂😂😂
@GeradinaJohn-xh8pw14 күн бұрын
Napenda hii make haina matusi bali inafurahisha sana👌👌👌👌
@OmanAlkamil-nl2zw14 күн бұрын
Nimekuwa wa Kwanza jmn,, from Oman 🇴🇲🇴🇲🇴🇲 nilikumic Mzee saidi
@GeradinaJohn-xh8pw14 күн бұрын
Sawa Oman wa Tz😂😂
@gidanoagustino905614 күн бұрын
😂😂😂
@BaruaniBakari14 күн бұрын
Mzee saidi ww.wachekesha kweli jamani mungu akuweke
@salimalaquimane307714 күн бұрын
Yanga binwa msimu huu Asante MUNGU 🙏♥️
@MpembaMayunga13 күн бұрын
Kama unamkubal Mzee said gong like🎉🎉🎉🎉🎉
@YusuphMayunga-z8l14 күн бұрын
Mm shabiki wa yanga mzee saidi anaujua mpira kweli nampenda sana
@alikawinga228914 күн бұрын
Mzee saidi niko ujerumani wanifuraisha sana mimi ni Yanga
Mungu akupe maisha marefu mzee SAID nakupnda sana mm napenda sana kukuckiliza wewe MB zangu naeka kwa sabb yako ila mm ni YANGAAAAAAAAAAAAAAAAAA ila mzee SAID AZIZ bado yupe sana YANGAAAAAAAAAA.
@BADILIJUSTUS-fs3oo14 күн бұрын
Chagamba kazi Yako unaitenda vizuri aise
@ChenchiKing14 күн бұрын
Yan Bato La Mzee Said Akunag Wakulimaliza🔥🔥🔥
@GodblessMushi-e6y14 күн бұрын
Maze Said ni msema kweli, big up Chagamba, big up Mzee Said, big up Miraji a.k.a Mara moja
@lumistarboy849914 күн бұрын
😂😂 Mzee Said na Gamba hii perfect combo
@michaelmduba593114 күн бұрын
Kumekucha kumekucha na mzee Said
@user-ch2it3qt5z14 күн бұрын
Yan mzee Said ukwl unamzid jemedar KABSA Mungu akupe Maisha marefu mzee Wangu❤ ishi miaka 💯 tuenjoi burudan
@user-vi7ly9zh1q14 күн бұрын
Nimecheka jamani 😂😂 mzee said
@Mary-fs4mc14 күн бұрын
Kumekucha kumekucha 😂😂 Baba yangu mzee Said, Gamba tuwekee no.ya mzee Said jamni. 😂😂
@abelimaganga41714 күн бұрын
Chagamba nilikuwa nimechoka Sanaa nimetoka kazin lakin baada ya kumwona huyu mzeee nimefurah Sanaa ahsant sana
@MichaelMwambango14 күн бұрын
Ila Mzee Saidi bhana 🔥🔥🔥
@BADAWY57514 күн бұрын
Mzee Said mzee wa mpira anajua sana mpira na anajua kumtambua mchezaji kila la kheri mzee saidi wachezaji wako kwa mtazamo wanaonekana wanaujua
@shefatiakeleye89713 күн бұрын
Mhuuuu😂😂
@emaculatemakoi822614 күн бұрын
Huyu mzee nampendaaa sanaaaa
@JANE-jv4eq14 күн бұрын
Ngendembe imeanza lini tena mzee saidi 😂😂😂😂😂😂😂
@user-ff1it9og8y14 күн бұрын
Mmm h ni kweriii Mzee Said maneno yake yana maaana Tz bila uchawiii wachezaji hawatobowiii wazeee wa Simba kaeni mapema mtafakari ni wapi mmekosea hizo gori 5 mchezo ulikuwaje e uwanjani wachezaji wa Yanga waliingilua Mlango ganisiku ya mchezo hiyo ni Vita ya kisasiiiiiii Simba kurudisha ufalume❤❤❤❤❤
@trice_yanga13 күн бұрын
nakuona mchawi umetoaa maoni😂
@mohdkhatib22313 күн бұрын
Hapa kama simba wanataka ushindi watengeneze timu na wakinunua wachezaji wanunue wachezaji wa viwango na si wachezaji wa mafungu.
@minazsaid247014 күн бұрын
Mzee Said bado hujasema 😂😂
@deogratiaspmwolo194214 күн бұрын
Mzee said kipenzi cha wana yanga . Yanga tunakupenda sana mzee said. Wewe ni kipenzi chetu
@evansmoshi192314 күн бұрын
Wana yanga chawa wenu huyu ntunzeni sana?
@VedastinaVedarian13 күн бұрын
Tupo na mzee said mpka wamfukuze ahamie kwetu 😅
@zakayomgaya275814 күн бұрын
😂😂,😂 chagamba mwambie mzee saidi tunafulahi sana kumskia mwanasimba wenzie tupo nyuma yake
Daaah ebana hapo sasa afadhar nimepata furaha ya moyo.pamoja sana gamba mpe salam mzee said
@Sadick-vb5gg14 күн бұрын
Uwa nasubiri interview ya mzee Said,Hao wengine wakina kisugu siasa nyingi mara mama mara nyoko
@user-ls2pp5hi6m14 күн бұрын
Mzee wetu said tunampenda sanaa
@rashadymuhamad629310 күн бұрын
Yaani tunampenda vibaya mnoooo!!!
@GIFT37tv13 күн бұрын
IMENIUMA SANA KUMUACHA SAIDOO NTOMBANDOKIZA
@MpembaMayunga13 күн бұрын
😂😂😂😂 xhenzi zako
@user-hp5zf2fw4o14 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅mzee unateseka sana poleee
@christophermbuga962314 күн бұрын
Mzee wa ngendembwe!! Mzee Said uko vizuri
@chumaramadhani.758114 күн бұрын
Mzee Said umetoa SMG kwa YANGA, wewe umebaki GOBOLE, Pole Sana.
@MariamMbonde-v1e14 күн бұрын
😅😅😅 mzee side angalia usije mpiga vibaoooo huyo chagamba aisee jaman nmecheka sanaaa😂😂
@cleophasmkungu62314 күн бұрын
Huhuuuu! Mzee Said utauaa, eti hamna cha Mkwara wala Mkwaraaaa😃😃
@PeterTelemka14 күн бұрын
Nimemsubiri Sana mzee said hivi viongozi wa kaole Sanaa wako wapi kipaji hiki jamani kwenye maigizo
@Hgd-jk6lh13 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂mezee said jamani nampendaa saan😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅mwenye nambar yake naombeni ninavocha yake laki 1chagamba nicheki mwanagu mie ni yanga ila nampendaa saan mzee Saidi😂😂😂like za mzee said ♥️
@salmamlokela198714 күн бұрын
Mambo yashaaanza uku😂😂😂
@PlanetLeo72113 күн бұрын
Mimi ni mwananch ! ila I like Mzee Said. He also makes me to be happy when I’m very stressful.
@lumistarboy849914 күн бұрын
Gamba Augustine ni namba 6 Gambaaaaa unampoteza Mzee ila hapo kwa Deborah nimecheka sana😅😅😅😅
@ElizabethLukosya-lv2vf14 күн бұрын
Pamoja sana mzee wetu saidi 🤗
@user-pw4hw5sx6e14 күн бұрын
Nilitaka kushangaa bila kumtaja saidoo
@nelsonlugaimukamu661114 күн бұрын
Hongereni sana kwa kipindi kizuri,mzee saidi namkubali sana....msema ukweli
@mwanaidimtengo815114 күн бұрын
Jaman Nampenda sana Mzee Saidi,Deboraaaaaaah Hahahaaaaaaaaaaa
@westonyjob174713 күн бұрын
Nimejikuta nimecheka kwa sauti ety nyooo😂😂
@user-tk5wi3gi5o14 күн бұрын
Mzee saidiiiìii unanichekesha mpaka basi,nawapata kutokea mascat Oman,
Chagamba hapa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tunakupata vilivyo....😂😂
@shabanihaji389614 күн бұрын
Ila mzee saidii 😂😂😂
@jofreymsomba465214 күн бұрын
Noma sana mkuu mzee saidi huyu
@MohammedIsmail-fw9vn14 күн бұрын
Mzee Said muwe mnamlipa hela kama hamuwezi wekani namba
@KaujuMwakajumba14 күн бұрын
Kweli bwana mzee hata fridge Hana
@halidijuma188414 күн бұрын
Mimi yanga ila mzee Saidi na ENJOY kumsikiliza,,
@MusaDadi-pd3jd13 күн бұрын
Mzee said ni 🔥🔥🔥
@allymwashambwa592014 күн бұрын
mzee saidi ni shidaa sana mjini
@EdsonMdagachule14 күн бұрын
Mzee Said upo sasa kabisa
@taufiqis-haq53614 күн бұрын
Mzee said umeongea point Sana viongozi wa Simba wachukue Huu ushauri
@tamariamisi35408 күн бұрын
Nikiwa from uganda I love said o
@EmmanuliM.lugembe14 күн бұрын
Mi mwemyewe mzee sis nimemc sana
@Mary-fs4mc14 күн бұрын
Gamba kwanini malizia ukuta wa yeriko😂😂😂😂😂
@mrrockboy950814 күн бұрын
😂😂😂😂 Mzee Saidi bana😅😅😅😅
@jabalimikechi775014 күн бұрын
Mzee wangu Said 🇨🇩🇨🇩🇿🇦🇿🇦mimi ni shabiki yako kindakindaki, ila mimi YANGA 😂😂😂😂😂
@HanafyTuwa13 күн бұрын
Chagamba yupo kama kunguni vile anang'ata huku anapuliza taratibu 😂😂😂😂🙌🙌🙌
@rashadymuhamad629310 күн бұрын
Kwa kweli, hivyo hivyo yaaaniii.
@idybwoytz848514 күн бұрын
Gambaaa una enjoy San 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 sem mzee Saidy
@EliasMyeya14 күн бұрын
Mzee saidi unatufurahisha san wanayanga,......najua ndo tumejazana apa
@gideonchipepo840514 күн бұрын
Hongera sana Mzee saidi wewe ni mkweli siku zotee
@geraldndosi208314 күн бұрын
😂😂😂 mzee wetu saidi leo anaongea kwa uchungu sana
@witnessgeorge197614 күн бұрын
😂😂😂nilikumc mzee said😂😂😂
@nacetsiringa133413 күн бұрын
Chagamba unatukosea weka namba tuchangie hela ya maji kwa mzee said na miraji mahojiano mazuri sana 🎉🎉
@rosenamilia414014 күн бұрын
Chagamba jitahidi kila siku ukutane na Mzee Saidi mi MSURE mbaya.Wanafamilia tunampenda sana ,hasa kwa ukweli wake,vichekesho na lugha yake ya utani.Mie nacheka tu huku na kuongeza uhai wangu😂😂😂
mzee saidi mm nakukubali sana hata kama nimevugwa nikikusikia bavu sina🤣🤣🤩
@chrispinallan368314 күн бұрын
Wee mzeee saidi noma sn Nina zawadi yk nitafute mzee wang
@clementmmbaga305214 күн бұрын
Hatarii mzee said
@jamesmakaranga117014 күн бұрын
Mzee said bn nakukubali sna
@kingslove777214 күн бұрын
Mzee said bana we leo umeamua je
@WilliamStanley-m8u14 күн бұрын
Nakuelewa mzee said
@gaspermathayo520413 күн бұрын
Ndomana watoto wayanga wananita debora😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@tamariamisi35408 күн бұрын
Thank you so much said I love you me I live from yuganda
@moseshaji117714 күн бұрын
Mzee Said nakufatilia vyema sana kila utupiapo interview mpya Nipo Bin Umran Doha Qatar hapa
@hyy411413 күн бұрын
Upo umran mm nipo Umqan
@rozamabagala62424 күн бұрын
Saido mzee kukimbia hadi ajikusanye kama tairi za scania😂😂😂
@AllyMaketa14 күн бұрын
Chagamba ww yanga mzee said nakuelewa sana
@HassanHassan-vh6pc14 күн бұрын
Mzee said x hii tunakubandikia bango mlangoni kwako
@harunimsangi777013 күн бұрын
Mzee saidi bwana mungu akupe maisha marefu
@ramadhankombe264314 күн бұрын
Kwa sasa hv hawawez kumuelewa mzee Said.lkn ngoja ligi ikianza ndio watamuelewa vzr anachomaanisha huyo mzee.hahahaaaaa walah mzee said unanifurahisha sanaaa.na ww chagamba unachombeza kiunafki km vile huelewi simba watavyodhalilishwa na yanga😅😅😅
@godwingobe188714 күн бұрын
Mzee saidi unasema ukweli utupu
@claragodfrey298514 күн бұрын
Mzee saidi unanipa burudani jamaniii ata kula sijala sababu ya maneno yako