Mm ni Muslim ☪️ lakini namsikilizagaa sana huyu mbabaa anaongea ukweli sana ❤❤
@phelesiawerimo2493 Жыл бұрын
Be blessed pastor point taken
@florencebyanyuma21776 жыл бұрын
Barikiwa Mtumishi, najifunza vitu vingi kwenye masomo yako.
@johngibson30893 жыл бұрын
Mungu akuweke pema peponi -Amina
@barakalaiser37655 жыл бұрын
Mafundisho yako ni mazuri sana paster. Be blesaed more and more.
@mwitasamwel79726 жыл бұрын
Unayosema mtumishi 100% n ya kweli kbsa haki sawa inawasumbua
@periswarish70226 жыл бұрын
Nimefurahi kwakunielimisha pst show iko poa sana
@NeroForte_Ай бұрын
Rest in peace Professor.
@karegakisimbo68084 жыл бұрын
Asante sana kwa elimu yako baba kuna baadhi ya wanawake wanasababisha waume zao kutoroka nyumbani lakini pia wanaume wapo ambao matendo yao ni magumu na mabovu
@hangiroetincelle81672 жыл бұрын
Hakuna mwanamme mkolofi kwa mwanamke mnyenyekevu
@judithnjunwa66685 жыл бұрын
jamani pastor unaniacha hoi huku.MUNGU AKUBARIKI
@edwardmwala51374 жыл бұрын
Kaka umelala mauti kazi Zako zitaishi milele
@magrethsimtenda9265 жыл бұрын
MUNGU akutunze baba ujumbe mzuri san
@philiswanyonyi93315 жыл бұрын
Mutumishi ubarikiwe Sana
@danfordmwingira85127 жыл бұрын
Nice lesson aisee... always naenjoy somo lako thanks!!! Be blessed
@mitimingionlinetv98967 жыл бұрын
Danford Mwingira Amen, be blessed
@patrickkatana8823 Жыл бұрын
Continue resting in peace PSTR
@irenemacha74574 жыл бұрын
Jamn arz inakula hii R I P MWLM WETU
@mathayowilson15253 жыл бұрын
LA! ALIKUWA MAKINI SANA KUFUNDISHA MASWALA YA NDOA... ASANTE MUNGU KWA KUMLETA NA KUMTWAAA...
@augustinokorondi8856 жыл бұрын
Asante saana
@bakarikisimbo39196 жыл бұрын
Thank for training
@benardkihonge63396 жыл бұрын
Deep training i have got something
@hangiroetincelle81672 жыл бұрын
Hakuna ingine funguo ya Amani,ni unyenyekevu
@MariamObotte Жыл бұрын
Inawezeka naww pastor ni miongoni mwa wanaume wazinzi kwa mkeo mafundisho gani unapotosha dunia?
@jescalutegonsombnambyakoda67193 жыл бұрын
Ahhhhhhhhh et unatoka kipara🤣🤣🤣🤣
@mwanashagladys45812 жыл бұрын
Amen
@happyholm17614 жыл бұрын
Wanapenda tenda km hizo za uzinzi
@hellenjonson92476 жыл бұрын
Hahaha!nshamnyoa Mume wangu
@peacembabazi10565 жыл бұрын
Nipo nyumbani mwenyewe ila nimecheka kama nipo na mwenzangu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mariamnamwa1884 жыл бұрын
Continue rip Dad
@hellenjonson92476 жыл бұрын
Hahaha nmecheka
@focustz44085 жыл бұрын
amani
@marinyasaxistv81214 жыл бұрын
R.I.P mchungaji
@sagulesalehe63937 жыл бұрын
Mmmmh mke wangu kaninyoa
@evonabekam66506 жыл бұрын
Sagule Salehe haaaaaa
@bakarikisimbo39196 жыл бұрын
The lesson is nice
@tumainkwai26714 жыл бұрын
Mama jusi
@hangiroetincelle81672 жыл бұрын
I did not know he was died. He was died May /3/2020 , l know right now Jan/03/2022 is dead. Pombe Magufuli is dead May/2/2020
@suleimanmwanaidiaziz8593 жыл бұрын
Y
@noahdickson17745 жыл бұрын
💯
@happyholm17614 жыл бұрын
Huwezi kuwa mwanamke tu, ndo wakubembeleza, yeye atabembeleza mkewe lini? Mafundisho mengine bwana
@anoldpotentin24462 жыл бұрын
Mwanaume anakuhudumia, anakutunza, anakulinda alaf unashindwa kuwa mnyenyekevu? Alaf soma bible inasema wanawake mtutii sisi