MITIMINGI # 664 MAMA UKIFANYA HAYA UTAISHI NA MUMEO KWA MUDA MREFU SANA

  Рет қаралды 81,071

MITIMINGI ONLINE TV

MITIMINGI ONLINE TV

Күн бұрын

Ukitaka kudumu katika ndoa usimfokee mmeo hata kama amekosea. Tafuta namna nzuri ya kumuelezea tatizo lake.
Mch na Mwl. Dr. MITIMINGI p. Senior Pastor #WCC +255 713 18 39 39

Пікірлер: 60
@avitrujweka2113
@avitrujweka2113 5 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na mafundisho yako Pastor, Mungu azidi kukubariki... 🙏🏽
@ngooaggie8471
@ngooaggie8471 5 жыл бұрын
Whoow!!nimependa,mafundisho,kweli kabisa
@pasianuspatrick9967
@pasianuspatrick9967 Ай бұрын
namiss mafundisho yako mwalim na mchungaji
@leontinebinlydi9459
@leontinebinlydi9459 2 жыл бұрын
baba asante sana kwa mashauri mazuri ,huko ambapo ulipo Mungu akulaze mahali pema peponi🙏🙏🙏👏👏🙏👏🙏🙇‍♀️
@ModesteAsukulu-gh6bf
@ModesteAsukulu-gh6bf Жыл бұрын
Ubarikiwe mchungaji Kwa mahubiri Yako mazuri ya ndoa pia ushauri Kwa wanandoa
@zawadiruby6880
@zawadiruby6880 2 жыл бұрын
Baba asante sana kwa mashauri mazuri sana kweli 🙏🙏🙏🙏 huko ambapo ulipo Mungu akulaze mahali pema peponi🙏🙏👏👏👏
@apostlemc3102
@apostlemc3102 5 жыл бұрын
I hear you man of God
@ModesteAsukulu-gh6bf
@ModesteAsukulu-gh6bf Жыл бұрын
Hayo mahubiri Yako mazuri yananikosha sana mchungaji wetu Tunakufata sana uku
@abigaelsousana4417
@abigaelsousana4417 2 жыл бұрын
asante sana Mwalimu kwa mafundisho mazuri matamu kwasisi wamama Mungu akubariki
@witnessmwilongo9937
@witnessmwilongo9937 5 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@janemwaibanje3993
@janemwaibanje3993 5 жыл бұрын
Upo vizur sana kwa mafundisho mtumishi
@mwafrikalydia3286
@mwafrikalydia3286 5 жыл бұрын
Mtumishi WA mungu umetubariki sana.
@aishahamisi5025
@aishahamisi5025 5 жыл бұрын
mchungai nashukuru kwa mafundisho mazuri ila fundisho LA chombo chambaba niliwahi kufanya hivyo nikaweka kikombe sahani bakuri ngras na hotipoti kwa ajili ya mume wangu lakini kitendo chakuja mama mkwe kutoka kijijini alidai kua niushirikina namfanyia mwanae na siku zilivyo zidikwenda vile vyombo vilivunjwa kimoja baada ya kingine kwa sasa nimerudia tena sasa nahawa mamazetu wakwe wapewe somo
@raurentkanjemartha
@raurentkanjemartha Жыл бұрын
Mitimingi
@jaredmutego6884
@jaredmutego6884 5 жыл бұрын
ni kweli mchunga unabari maisha ya wengi nasi tunakuombea sana tunabarikiwa
@agathamilanzi3287
@agathamilanzi3287 5 жыл бұрын
jaman maandamano tena! yote hayo ya baba mie kuchoka kbs
@aishamaulid2358
@aishamaulid2358 4 жыл бұрын
Wallai i wish ungekuwa mwislamu...uko juu sana...waweza kuwa sheikh mzuri sana Wallai...Allah Akupe Afya siku zote.
@restitutachiwaga769
@restitutachiwaga769 5 жыл бұрын
Nimejifunza kitu kizuri mtumishi mungu akupe maisha marefu
@nyangusimollel324
@nyangusimollel324 5 жыл бұрын
kwasunda
@happynescostat7420
@happynescostat7420 3 жыл бұрын
Umelala baba usingizi wa milele! Umeacha waya mweusi,utowai kusaaulika,
@rhinakiza
@rhinakiza 4 жыл бұрын
Amen
@judymartin1128
@judymartin1128 5 жыл бұрын
Mungu akubark mchungaji nmejifunza kitu
@mealemalika7565
@mealemalika7565 5 жыл бұрын
Nashukuru mchungaji nimejifunza vitu vya maana sana leo ubarikiwe zaidi
@seurykaaya1089
@seurykaaya1089 5 жыл бұрын
Uko sahihi mtumishi
@user-no5iy4fx2t
@user-no5iy4fx2t 5 жыл бұрын
Asante muchungaji nina jifunza kitu
@theonlyonebeautiful3726
@theonlyonebeautiful3726 5 жыл бұрын
Mengine sikubaliani nayo ila ndio hivyo yangu nachukua yasiyo yangu naacha.
@tulivuevethatemba7628
@tulivuevethatemba7628 5 жыл бұрын
wooou tnx papaa
@hafsahcletty5968
@hafsahcletty5968 5 жыл бұрын
Shukran
@lilianomlia8851
@lilianomlia8851 3 жыл бұрын
Very true. Be blessed always man of God
@catenzeki678
@catenzeki678 5 жыл бұрын
Nmebarikiwa kwa kweli na haya mafundisho.GOD BLESS U MAN OF GOD
@mitimingionlinetv9896
@mitimingionlinetv9896 5 жыл бұрын
Amina Catherine Mungu akubariki sana sana
@boniventuremarrirey6930
@boniventuremarrirey6930 5 жыл бұрын
Sure
@phinalandmichael5066
@phinalandmichael5066 5 жыл бұрын
hapo mchungaji umeongea vizur sana
@niceladeus1697
@niceladeus1697 5 жыл бұрын
barkiwaaaaa baba
@aboubilaly810
@aboubilaly810 5 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana mtumishi mungu akubariki saaaana
@rehemapeter8692
@rehemapeter8692 5 жыл бұрын
Hahahaha nimejifunza ubarikiwe Pastor
@josephinekirenga7863
@josephinekirenga7863 5 жыл бұрын
Mchg sema tupone kweli nimebarikiwa sana na mafundisho yako barikiwa sana
@dieudonyamugali9429
@dieudonyamugali9429 2 жыл бұрын
Mbali huku tuko vijijini DRC tunakufwata 💯 %,na kweli tunabarikiwa kabisa.Mafundisho hayo yanaokowa jozi chungu nzima na kweli mungu akubariki na akuzidishiye elimu,hekima,ujuzi,afya,uchumi,na kila kitu kya mafaa kwako.
@fredwanyama837
@fredwanyama837 5 жыл бұрын
ubarikiwe sana
@mwafrikalydia3286
@mwafrikalydia3286 5 жыл бұрын
Well done servant of god
@mauadumba3144
@mauadumba3144 2 жыл бұрын
🙏🙏🙌
@rhodahnyambu5847
@rhodahnyambu5847 4 жыл бұрын
Be blessed man of God. Im richly blessed by your teachings
@miriamogada5097
@miriamogada5097 3 жыл бұрын
Jamani mbona uko na mafundisho matamu,ndoa yangu itaimarika🙋
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 5 жыл бұрын
hahaha maandamano tena mchungaji,nimefurahi sana ntafanya hivyo
@hamidakassim4
@hamidakassim4 5 жыл бұрын
hapohapo mtumushi! japo baathi ya waumee hukwepa majukum! ndo hata mke washindwa heshma ampe nani jamani! raha nda hamna
@gwikileambakisye7793
@gwikileambakisye7793 5 жыл бұрын
mwanaume mwingine amelishwa madawa na mama yake hadi mke anakuona ufai kabisa muda wote yuko bize na mambo yake hana muda kujua umefanyia nini mwanaume mwenye hofu ya mungu ndiye anajua samani yamke
@wacmber2131
@wacmber2131 5 жыл бұрын
Leo ndio nmejua kwann baba huekewa bakuli zima la nyama then cc wengine twashkishwa vipanda viwili viwili😁😁😁😁😁😁
@benfrancis8288
@benfrancis8288 5 жыл бұрын
Hahahaaaa umenichesha
@emakulatamagongo9649
@emakulatamagongo9649 5 жыл бұрын
@@benfrancis8288 hats Mimi nimecheka kweli
@eliasmatalamototv2850
@eliasmatalamototv2850 5 жыл бұрын
Nataman siku moja nikuone
@teachersose1972
@teachersose1972 4 жыл бұрын
Pole sana
@antusawences1956
@antusawences1956 5 жыл бұрын
Hahaha aiseee haha dah
@dianamalingumu4516
@dianamalingumu4516 5 жыл бұрын
hapo Kwa maandamano
@mankonlentv7776
@mankonlentv7776 5 жыл бұрын
ko ww hutaki kuandaman hahahah
@johnstoneodinga4186
@johnstoneodinga4186 3 жыл бұрын
Kongole ... WCC
@jovinajovin4637
@jovinajovin4637 5 жыл бұрын
siku izi mbona huweki vipindi KZbin Mtumishi,😒😒
@31tv57
@31tv57 5 жыл бұрын
mzee mitimingi anatema madini sana hiv kanisa lake lipo wapi nimemfwatilia sana anakitu cha pekee
@fredjohn8244
@fredjohn8244 4 жыл бұрын
Huyu jamaa ananipa madini
@fredjohn8244
@fredjohn8244 4 жыл бұрын
Mchungaji anatoa vitu vizuri mi na mke wangu
@jeanettegloria6244
@jeanettegloria6244 5 жыл бұрын
Amen Amen
MITIMINGI # 742 UTAJUAJE MCHUMBA HUYO HAKUFAI
19:11
MITIMINGI ONLINE TV
Рет қаралды 80 М.
Will A Guitar Boat Hold My Weight?
00:20
MrBeast
Рет қаралды 119 МЛН
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 1 Серия
40:47
Inter Production
Рет қаралды 1,3 МЛН
MITIMINGI # 485 USIKIMBIE MAJARIBU, PAMBANA MANA NDIO MTAJI PEKEE ULIONAO
30:57
#KANUNI SABA ZAKUIFANYA NDOA YAKO IWE NA FURAHAPR.DAVID MMBAGA
35:53
MITIMINGI # 130 SUMU 3 ZA KUMUIBA MKE WA MTU WANAUME WA MICHEPUKO WANAZOZITUMIA
17:59
MITIMINGI # 554 VITA YA MAWAZO
30:20
MITIMINGI ONLINE TV
Рет қаралды 98 М.
MITIMINGI # 657 JEURI YA PESA KWA WANAWAKE WANAPOFANIKIWA KIUCHUMI
27:07
MITIMINGI ONLINE TV
Рет қаралды 18 М.
Will A Guitar Boat Hold My Weight?
00:20
MrBeast
Рет қаралды 119 МЛН