Рет қаралды 7,485
Mjadala kuhusu hoja ya kuwa muundo wa serikali tatu ni gharama na mzigo kwa taifa. Gobless Lema, Wakili Awadh Ali Said na wachangiaji wengine wengi kutoka pande mbili za muungano wa Tanganyika na Zanzibar wanajadili hoja hiyo. Wasikilize.