Huyu sheikh ni chemchem ya elimu Allah atuwekee tufaidike na elimu Allah alomjaalia.
@abdulbandari155129 күн бұрын
Wanakataa technology na swala wanatumia saa..
@muhidinally3753Ай бұрын
Sheikh Mselem Ali Allah akuweke tupate faida ya dini ya Allah. You are very eloquent. Hakika hili halina ubishi. Yaani kwa mtazamo wa watu wengine ina maana mwaka mmoja kuna sehemu una siku nyingi na sehemu nyingine una siku chache very impossible. Turejee kwenye Quran miezi 12 imewekwa ili tupate ufahamu wa tareikh, matukio na tuongozwe kwenye ibadat za msimu. Tunakushukuru Sheikh. Allah akupe jazaa
@braqutourssafaris4672Ай бұрын
Sasa Kwan Saudia anaangilia mwez au wana kalenda yao?tayr Wana ijua idy had ya elfu 2030 kisha halafu kat yenu nyie na wakina ibn baz na ibn taimia Bora ni wap yaan wao Wana sema Kila watu Wana muandamo wao ila nyie Ndio mpinge.
@BIGBOSS-hl3buАй бұрын
Huyu sheikh ni genius sio lavel ya mashekh wapenda Dunia ,Basi shekh utakuta mwakani hawa hawa wanaanza kubishana Hilo Hilo tena ,wekeni kwenye vitabu na app maalumu ambazo mtu akiuliza mwambie NENDA karejee kitabu flani au app
@Khatib-xp6fpАй бұрын
Tofauti ya shehe huy na wengin ni kwamba wengin hawana geography kichwan
@Abdullatifkilupy-tn6iiАй бұрын
😂Asante sana. Ni hakika usemalo
@SaidMasoud-cs8kpАй бұрын
Shekh mselem kwa hoja ya mwezi hawamuwezi kwa sababu yeye mashallah methodologies 🤲🤲🤲🤲allah amzidishie
@saidsoudamiri4054Ай бұрын
mambo ya kisheria ni dalili na sio akili yako binafsi. Dunia hatuwezi kuwa na terehe moja hiyo geography ya wapi na level gani? Shekhe kasoma geography level ipi ? University au form four. Acheni kuona watu hawana akili na akili mnazo nyinyi tu. Basi tuseme maswahaba wote walikosea kufunga Arafa na kufunga Ramadhani.
@TuhabarishaneTvАй бұрын
Wew unaijua hyo geography au unababaika2 mana geography form one tena mada ya pili2 the solar system ndio inaeleza mambo hayo kapitie na wew
@fatmaZakiyaАй бұрын
Allah akupe umri mrefu sheikh uzidi kutuelimisha, amiin
@abuuaisha6110Ай бұрын
Amiin yaarabal aalamiin
@chiamamy816729 күн бұрын
Amiin
@user-lm3lt7xx6lАй бұрын
Shekhe mselem fundi ALLAH akuhifadhi
@abuuaisha6110Ай бұрын
Nimefurahi sana kwa bayana yako sheikh kuhusu siku ya arafa
@khamismussa6258Ай бұрын
Masha Allah, ipo haja masheikh wasome elimu za kidunia pia
@ismailsoud3634Ай бұрын
Sheikh wewe unajitahidi kuweka sawa, lakini wengine wanafanya fitina kuufitini ukweli. Allah akuzidishie u fasaha.
@Allyrumhy-ji2voАй бұрын
اللهم علمنا ما لا نفهم،،وفهمنا ما علمتنا،،،بارك الله فيك.
@SaidshariffShariffАй бұрын
Masha-Allah ndugu zangu tuketi chini tusome zaidi. Shukran sheikh Msellem
@user-ih5vr6lf3fАй бұрын
JAZAAKALLAH KHEIR SHEIKH ……clear and concise
@mwajumaabdallah108729 күн бұрын
Nampenda sana kwaajil ya Allah hyu shekh jmn,nataman angekuw ht mjomba wangu
@anwarabdallah7095Ай бұрын
MashaAllah shk mselem uko vizuri.
@abdulhamidisiraja493020 күн бұрын
Mashaallah, shukran shekh msselem allah akulipe
@OmarSaid-nt2xdАй бұрын
Mwenye masikio nasikiee
@AhmedSaid-hg5ujАй бұрын
Allahu Akbar allahu Akbar allahu Akbar
@riyadhalamukenya9557Ай бұрын
( ذَٰلِكَ فَضْلُ اللَّهِ يُؤْتِيهِ مَن يَشَاءُ ۚ وَاللَّهُ ذُو الْفَضْلِ الْعَظِيمِ ) الجمعة (4) Al-Jumu'a Hiyo ni fadhila ya Mwenyezi Mungu anayo mpa amtakaye. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye fadhila kubwa.
@user-vc3fo8el1h23 күн бұрын
Mjadala haujamaliza na wala haumalizi, jambo la kuzingatia ni kufuata haki na ndipo unapopatikana ujira kutoka kwa ALLAAH. Tunamuomaba Allaah atuongoze katika haki anyoiridhia.
@Aamadu-vc2vv17 күн бұрын
Maashaa Allah inapendeza sana Allah akufanyie wepes ktk kueneza ukwell katika dini yetu
@TalibKombo18 күн бұрын
Allwah akupe maisha marefu tuzidi kufaifika inshaallwah
@SARAHKATAGIRAАй бұрын
Shekhe uko vzr sn Allah akulipe usiwe kama amir Farid au shekhe faridi anatpotsha
@swafiirbulbul819Ай бұрын
Baarakallaahu Fykum.. 🎉🎉🎉
@abdisalim7900Ай бұрын
Sote hatuwezi kuwa wahanga wa Saudia,ambao mmeshaamua hvyo endeleeni kufuata mkondo
@user-jp8lf7dy5zАй бұрын
Weye muhanga wawapi? mn ndounafahamishwa ila ndohayo una yako tu basi ila uelewa ndohuo
@KhalfanJuma-lm4jeАй бұрын
Allah akubarik shekh mselem nadhani asofahamu kapata faida
@mustymasoud5214Ай бұрын
Apo kwenye Lailatul qadir.. maelzo yake. Kma hujaelew bas huez elew tena. Allah akubark sheikh wetu.
@user-un2je2uc9j29 күн бұрын
Nimefurahi sana , bayana itaendelea kuwepo kwasababu Allah anayaona yote haya. Masha-allah
@ramadhanichampunga930426 күн бұрын
Lailatul-qadr haiwezi kutumwa tofauti ,kwa hoja ya mfano huu aliotoa , lailatul-qadr ni siri ya Allah kama ikitokea kwa tareh 23 basi wengine itakuwa tareh 22 na wengine tareh 21,
@ZamilHussein27 күн бұрын
Mashaallah Jazaakaallahu khayr. Allah akhfadhi Shekhe wetu tunakupenda sana KwA ajili ya Allah
@khairatkheir7776Ай бұрын
Jazzakallah kheir sheikh
@FahmiAl-mauly18 күн бұрын
Allah ampe umri mrefu tupate faida zaidi inshaAllh
@user-sj5zj8nc2y28 күн бұрын
ما شاء الله تبارك الرحمن رب يحفظك يا شيخنا ويطيل عمرك في طاعته ويرزقك حسن الختام
@ismailfarah3463Ай бұрын
MashaAllah Tabarakalah barakalafikum!!!
@allyjuma9669Ай бұрын
Mashaallah
@user-un2je2uc9j29 күн бұрын
Jambo la kuhuzunisha zaidi ,ni kwamba kuna mtu atasikiliza haya na bado atapinga. Allah atuongoze insha-allah sote.
@AliChwaya29 күн бұрын
Mimi na kalendar ya dunia iliyoandaliwa mpaka mwisho wa dunia ilhal hatujafika tena bas umeniokoa sana sheikh mselem
@user-ic2cb9gm2jАй бұрын
Allah akuzidishie umri uzidi kutuelimishaa jazzakallahu kheri
@MrJuma-in5io27 күн бұрын
MashaAllah
@KhayratMansourАй бұрын
Maashaa Allaah, mwenye moyo wa ufahamu na afahamu .
@ZamilHussein27 күн бұрын
Mashaallah Jazaakaallahu khayr
@abdulazizshadau8082Ай бұрын
Mashallah
@user-ug8hc4yh5k28 күн бұрын
Shukran sana sheikh wetu
@allyabubakari5940Ай бұрын
Masha allah sheikh allah akuifadhi
@SelemaneArabeArabe-wd8fbАй бұрын
Asipo mwelewa check nselemo ntu uyo ni kiziwi.
@user-ye3fy9kk6rАй бұрын
Baaraka llahu fik
@muhammadiabassi65629 күн бұрын
ماشاء الله انت تمام الله يبارك فيك
@takdirmahmoudАй бұрын
Mashallah,, Sheikh Msselem mm nakuelewa sanaaa,, uko fasaha sana,, Allah akuzidishie kheir
@jamilabadru8087Ай бұрын
Mashaalh
@salummbarouk421629 күн бұрын
Mashallah waliokuteuwa kuwa bingwa wa tafsiri qur an Africa mashariki walipatia mashallah Allah akuhifadhi
@user-wk5ju8kd3uАй бұрын
Masha Allah
@RamadhanRamadhan-cx3tjАй бұрын
Allah bless Mselem
@AsiaMariam-tk8lkАй бұрын
Mashallah upo vizury sana
@muhammadiabassi65629 күн бұрын
حفظك الله ورعاك
@KhamisJuma-mu4rmАй бұрын
Nlikua nawafuata mashekhe wa kisufi kwenye hizi funga lakini tutakomana hapa inshaa a llah
@ahmadSeif86029 күн бұрын
Soma kwanza ndo muhimu sio kufuatafuata tu
@ABDULLATIFHAJIALIАй бұрын
maashaallah mungu akuhifadhi ila tuelimiahe kidini zaidii
@JumaHamad-pe7he26 күн бұрын
MaashaaAllah
@OthmanJuma-nw5kmАй бұрын
Allaah akuzidishie kheri
@hassani-dj3pt28 күн бұрын
Mashaallah sheikh wetu mselem Allah akuhifadhi
@abdulbandari155129 күн бұрын
New year for example
@Mohamed-oo8qjАй бұрын
Mashallah allha azid kukuweka nawat waeukimike
@yasinsuleiman2402Ай бұрын
Allah akujaze kheri nyingi sana
@MaulidFadhil-qi2dhАй бұрын
dah! sijui km umenielewa vizuri? bin alliy uko sawa allah akuhifadhi maalim
@munirajuma1270Ай бұрын
Sina la kusema zaidi. Allah akulipe Kila la kheri
@AthumanFamauАй бұрын
Allah atuifadhi sherk Kwa elmu unayoitoa mashaallah
@IssaJuma-rk5qb29 күн бұрын
Mungu ampe maisha marefu
@MvuoniJuma29 күн бұрын
Nashukuru shehe kwa taaluma hiyo masshhallh
@MshamHemedАй бұрын
maashaAllah
@yahfatmudswiddiq227129 күн бұрын
shekh shekh shekh baarakalhahu fyika
@MawazoPembe27 күн бұрын
Mwenyezimungu akuifadhi sheee
@user-to4jw7tm1jАй бұрын
Allah akbar
@hajjiomary2383Ай бұрын
Allah akupe afya na na aendelee kukupa msimamo
@latifahali822828 күн бұрын
Masha Allah sheikh umesema ukweli
@user-ox2iu7rm7eАй бұрын
Asalam alaikum shehk nakupenda kwa ajili tá alha na nakuelewa sana unapi tafsir kitabu sua alha wewe ni nfassa
@allymusira215326 күн бұрын
Allah akulipe kila la kheri sheikh msellem ally
@shahamzanda5857Ай бұрын
Shida ni bado hatujaulewa usuhuba baina ya Allah na Mtume wake. yaani sisi hujitia umma wa Rasulullah s.a.w kwa muonekano tu ila hatumtaki Mtume wa Allah. mambo yako wazi tunajadiliana kila mwaka, watu hawaswali, wake zetu, watoto wetu, mama zetu, baba zetu, dada na kaka zetu marafiki zetu kibao hawaswali sisi tunajadili kile tunachokijua kila mwaka.
@saidkhatib9146Ай бұрын
Allah akulipe ujumbe umefika
@husseintaib230728 күн бұрын
Uniformity si hoja hapa. Inakuwaje killa mwaka mwezi unaonekana Saudia pekee, na sisi huku nchi zote Afrika ya Mashariki tunashindwa kuuona. Mtume SAW angekuwepo, tusingepata mgawanyo huu, kwa sababu tungelikua tukifuata Muandamo wa uhakika sio bandia.
@mwaminihassanhassan92215 күн бұрын
Mgawanyo ulikua tangia enzi za mtume s.a.w na nisehemu ya kujifunza
@samuelmuthui469929 күн бұрын
❤
@Ibunmaulanashirazy-sn5uiАй бұрын
Huijui Dunia vizuli shekhe Allah akuongezee ufahamu
@SaeedMohammad-sw7jqАй бұрын
Tuelezee wewe sheikh
@SaidMasoud-cs8kpАй бұрын
Mtu methodology alafu unasema hajuwi dunia unawenge ya ni huyu nishekhe alafu methodology alafu unasmea hajuwi dunia 😂😂😂😂
@user-un2je2uc9j29 күн бұрын
Geography haidanganyi rejelea kwa Qur'an
@masoud748629 күн бұрын
Mimi na swali je uislam una myaka 1445 je katika myaka 1000 wakislamu walijuwa vipi kama ni arafa . Ao eid kwa wale hawa kuwepo makkah
@seifabdi924829 күн бұрын
Na Mimi ni swali, mwaka 1000 uliopita waislamu walikuwa Wanapanda kwenye minara wakiadhini na sasa mnatumia speaker 🔊 ni mini imebadilika? Miaka 1000 usafiri kwenda Makaa ulikuwa mnatumia ngamia kwa mamiezi kufika na miaka 1000 baadaye unasafiri pia kwa kutumia ndege ✈️mini imebadilika. Saa hizi miaka 1000 baadaye mawasiliano iko mkononi mwako kokote dunia I ukitaka kuona na kujua habari yoyote unaipata kupitia simu 📱 yako kwa sekundi chache, je unaweza kulinganisha na miaka 1000 uliopita? Uislamu inafungamana na mwendo na wakati uliopo. Na vipi Mambo yatakavyo kuwapo miaka 1000 ijayo wakati Mimi na wewe hatutakuwapo duniani?
@suleimanali6939Ай бұрын
SASA SHEKH MSELEM TAREHE ZA KIKAFIRI WANAFUATA KALEDA
@binseif2216Ай бұрын
Shida mawahaby mpka saudia awatangazie lkn ukionekana kenya au uganda hawawezi kufunga wala kula eid mpka wawasikie wa saudia
@lmdos438218 күн бұрын
ndipo hoja yako ilipioshia hapa?
@salummbarouk421629 күн бұрын
Kabisa hii chemchem Allah amuifadhi
@Abuurayyan-rg2lj29 күн бұрын
Allah amuongoze katika haki
@HalimaFarahnuru-nj1ei27 күн бұрын
Huyu shekhe yupo vizuri sana waislam tunakwama wapi kwa nini tusifuate tarehe za kiislam
@HusseinPaulaАй бұрын
Ushahidi wa kalenda upo maana tarehe ya idi na arafa ili tangazwa hata kabla ya muandamo wa dhulhijjah
@user-nh2wt4yd7wАй бұрын
Swadakta
@habiybothman328624 күн бұрын
Sijamuelewa bhdo kwa maana tarehe ya uislam inabadilika baada ya maghrib je hapo pakoje kwa Dunia kufata tarehe moja
@ibrahimirakoze86Ай бұрын
Kwa kweli majibu yak sheikh yanaelewek saaana Allah atuelimishe pale ambapo tutakapoanguka
@fadhilyassin5772Ай бұрын
Allah akuhifadhi sheikh yaan umeongea fact na ina make sence kabisaaa
@elallymoussa298029 күн бұрын
Mpk sasa mwaka 2024 mtu kama hajaelewa masuala Haya sifkirii km ataelewa tena zaidi ya kubishana tu . Ahsante sheikh msellem kwa Elimu ya ziada najua yashaelezwa Haya ila wafuasi ni kawaida kuyaanzisha upya na kuona mijadala inaendelea.
@latifahali822828 күн бұрын
Bora umesema mana siku zote hao nasheik wetu lzm wawe na eid yao. Saiv dunia kila mtu anakuwa mjuwaji na kupotesha watu tu
@maahadishifaakivungetv2471Ай бұрын
He maajabu
@MuhammadAbdalla-pq1bz28 күн бұрын
mashallah maneno mazuri lkn....pia kuna hadith ya qurayb.,.هكذا أمرنا رسول الله ...hiyo nayo tutaiweka wapi twaomba faida zaidi
@allysaleh7249Ай бұрын
Hakika ni mwalimu wangu
@user-zi4ux9bt7cАй бұрын
Umechemka
@user-qe5ky6kp1cАй бұрын
Allah AKULIPE KILA LA KHEIR
@mudinhomeshack9041Ай бұрын
Mwalimu umemaliza
@allykhalfan9513Ай бұрын
شكرً يا شيخ ومعلمنا بفتوى المتميز برك الله فيك
@MdUsman-nz6sdАй бұрын
Allah ampe umri mlefu maana kaniwekea sawa wabishi