Sh. Mziwanda ALLAH AKUPE REHMA NYINGI SANA SANA KWA KUTUELIMISHA
@abdulbandari15512 ай бұрын
Mashallah
@kijazkijaz87812 ай бұрын
Mashaallah...al akhy mziwanda allah amuongoze aingie kwenye sunna AMIIN
@tbm7tv2572 ай бұрын
Amin
@hansimassirhassan81542 ай бұрын
Maasha Allah sheikh muharam mziwanda umefafanua vizuri kabisa Allah ukuzidishie kheiri
@AbuuMussa-pd1xo2 ай бұрын
Allah azidi kukuonngoza akutoe Hadi kwenye maulid in shaa allah naomba sote tuitikie dua kwa ndugu yetu atoke kwenye Uzushi
@awadhally10522 ай бұрын
Amiin
@kijazkijaz87812 ай бұрын
Ameen
@mupenzikassim1272 ай бұрын
Ameen
@AshrafBunu2 ай бұрын
Ameen
@omaryissa25622 ай бұрын
amiiin
@kitosio2 ай бұрын
Sh. Mziwanda Tunakuomba uitowe Kwa lugha ya kiarabu ili waelimike wingi. Sisi A. Mashariki Tayari ishatosha sanaaaaa. Na Mufti WA Misri pia yupo hapo2 ulipopagusa. ALLAH AKUJAALIE ELIMU YA JUU ZAIDI.
@yusufmwinjuma54252 ай бұрын
Dah kwahili sh mziwanda umenena vizuri mno allah akulipe kheri
@HusseinMohammed-kk9ts2 ай бұрын
Mashallah sheikh Allah akupe kila la kheri inshallah
@abdulhamidhaji50562 ай бұрын
Dah ! Leo sheikh mziwanda umeniosha Allah akuzidishie na wasioitaka siku hiyo waitake inshaallah
@mkude2 ай бұрын
Maashaallah ALAAH AKUHIFADHI sheikh mziwanda
@user-sk7im6yz3u2 ай бұрын
Hongera sana shehe mziwanda kwa kuwa mkweli
@Khalidniya3802 ай бұрын
Sheikh Mziwanda ndio Sheikh wa Sufi ambae huwa namkubali ntamuombea dua In Sha ALLAH atoke kwenye mambo ya Bid'a Mimi nampenda kwajili ya ALLAH
@mohammedsaid30452 ай бұрын
Km yy sheikh wa sufi ww sheikh wa pamba?
@user-ps7kv7lp4m2 ай бұрын
Mashaalah, Allah akulipe ishaalah ,wewe ni chuma
@Twalibmringo-tz3ed2 ай бұрын
Yes,the best explanations
@SalminiAmur2 ай бұрын
MashaALLAH shekhe muharami mziwanda ALLAH akuifhathi kwa kutuwelewesha
@salimtz62 ай бұрын
Mungu ampe Kheir atoke kwenye chaka la ahlu bida'a na masufi wenzake
@awadhally10522 ай бұрын
Amiin
@kijazkijaz87812 ай бұрын
Ameen
@ramadhanichampunga93042 ай бұрын
Hmmmm
@HanifaOman-oo4pl2 ай бұрын
Maashaallah tabarakallah shehemxiwanda Mdogomdogo Allah akulete kwenye suna. Kwahurumawake nawengine maahehewabidaa Allah awaokoe...Amyn
@khamisswalehe2 ай бұрын
hivi nyie masalaf Allah ndio kawaongoa dunian kuliko watu wengine toeni jibu
Shehe vizuri Ila swali langu kwako ni kwamba arafa ilikuwepo ksbla ya mtume
@abdallahmkali32512 ай бұрын
Sheikh Mziwanda Allah akuhifadhi hakika umetoa elimu nzito
@rajabumuyumbu45862 ай бұрын
Allah Akuhifadhi mziwanda
@yahyadenny43682 ай бұрын
Mziwanda uko vizuri chapa mwendo
@swafiaismail-ji1op2 ай бұрын
Mashallah ya sheykh wallai hpo hkna tena mjadala watakao kataa n kibri tu kukataa ukweli allah akuhifadhi sheykh
@MusaHaruni2 ай бұрын
Masha Allah si masha allah
@jumaothman44112 ай бұрын
Mashallah haki umeisema mwalimu
@aliissahaji332 ай бұрын
Jee inakuwa mwezi ngapi hiyo siku, hakuna siku isiyokuwa na tareikh, jee ni tarehe ngapi..... Ahsante
@WakaliFashionTz2 ай бұрын
Tareh 9 dhul hijja
@HusseinOmary-xx6rx2 ай бұрын
Amakwli mawahabi wanaufaham mdogo yani anavyozungumz shekh nitofauti n wanavyoelewa
@hassankichondo77182 ай бұрын
Manshaallah naomba na mufiti aisikie huyo kripu jaman ili waislam wa tanzania tuwe kitu kimoja inshaallah
@mandanokibwana68972 ай бұрын
Maa shaa Allah, maelezo mazuri Sanaa,, jazaakallahu kheiran
@AlIrshaad-j2 ай бұрын
Maa shaa Allah hayyaakallah
@geofreyidebe12162 ай бұрын
Allaah, akubarik na akulpe kher, wewe n mwalim fasaha, umeeleweka vyema kabsaa!!!
@MusaDadi-pd3jd2 ай бұрын
Mashallah Jazakallahu khaira
@abdullahyahaya70922 ай бұрын
Mashaallah
@khalidally35882 ай бұрын
Mashaallah tabarakallah
@BakariBinuri2 ай бұрын
Shekhe Allah akulipe
@JUMAKANYEBWE-hy7ge2 ай бұрын
Mwisho watajuwa Laila tul kadir ni moja tofauti masaa
@nassorsuleiman4512 ай бұрын
Ikiyondok alfajir ya nchi husik wengine hawatoipata
@KassimMohamedMussa2 ай бұрын
assalamu alaykum shekh Allah akubari tumekuelewa vizuri
@TwalibHaji-nd7gd2 ай бұрын
بارك الله فيك
@LuqmanAndrew-nu9rx2 ай бұрын
Kwaio Arafa watu wafunge kwakuangalia mahujajj kisha warud kwenye tarehe zao, hii haipo sawa
@HamzaShomari-cs7cj2 ай бұрын
Allah akulipe sheikh
@amazoneissa99402 ай бұрын
mashallah
@Allyjumaally-ex9vg2 ай бұрын
Umemalinza utata shekhe anayebisha aendelee naubishiwake lakini ukweli upo waz alhamdulillah
@hamsohamso96342 ай бұрын
Well explained
@faridaally-jp1gx2 ай бұрын
Ma shaa Allaah
@masudiabdallah2642 ай бұрын
Mziwanda hajui kama siku ya Arafa ilikuweko kabla ya watu kusimama viwanja vya arafa
@jamilabadru80872 ай бұрын
Maa sha Allah
@sophiamtego78872 ай бұрын
Mashallah
@NuurulHudaa2 ай бұрын
We umekosa kuelewa Arafah ni sehemu na wakati Sehemu ndo ni moja peke yake ama wakati ndo funga yatekelezwa.....na kila mmoja atafunga na wakati wake
@user-mg9fg6vc9w2 ай бұрын
Hii Dini Tunako Elekea Naona Wazi Kabsa Wazungu Wanakaribia kuitoa Mikononi Mwao Wallah Tena Tusipokua Makini Tayari Mbengele mbengele!!😢😢😢
@khamisswalehe2 ай бұрын
we dini ya Allah ina answari wake acha kelele wajua nini kuhus siri za Allah ww ...
@HakimRamadan-kl1hx2 ай бұрын
Maansha Allah
@JUMAKANYEBWE-hy7ge2 ай бұрын
Ata mwezi nihivyo nisikumoja tu tofauti masaa
@mustafahkapopwa-bi7yb2 ай бұрын
sasa kama mwezi ni umoja kwa nini tufuate mpaka uyo wa Makkah ? imeisha tokea Yemen wame uona qabla ya hao ma wahabi wa makkah hawa kufunga ,
@AbuuwoozaAbbakar-ru8tg2 ай бұрын
ألله أكبر.....جاء الحق وزحق البطل....
@yahyadenny43682 ай бұрын
Mziwanda nakukubali lkn siyo swaum ya rmdhn, hiyo ina hukumu yake tofauti na hiyo ya arafa.ahsanta.
@h.alshidhani89712 ай бұрын
Watu wanaofuata Saudia imekula kwao... Fuateni muandamo ktk nchi ZENU na sio nchi zingine. Halafu Kila nchi Ina mufti. Ni kwa nini tunakuwa na wasi wasi?
@hajikaoneka28272 ай бұрын
Shekh mziwanda Allah akilipe umewafahamisha wenzako wa bidaaa
@MwamvuaMwamvuaАй бұрын
Australia wanatanguli masaa kama manane wao vipi.
@user-zf2zg2ps5j2 ай бұрын
ALLAH akuongoze uache bida'a
@makinibwika14272 ай бұрын
Sheikh Mziwanda ushamaliza utata na ambaye bado analeta ubishi kwahili tujue alishika namba ngapi shule na madrasa
@user-yj5on8cz3e2 ай бұрын
Jibu la mziwanda sahihhi kabisa. Jibu la. Mttume lipo wazi waislmu leoo hawataki ukwellii tunfta matamannio. Ya naffsi ttuu.
@ramadhanichampunga93042 ай бұрын
Haya mambo yana khilafu
@husseinshamte71292 ай бұрын
Hapa hakuna majibu kuna ujanja ujanja mwingi tu wa Lugha ya Kiarabu ila Fat'wa hakuna
@AhmadSalim-dm4uk2 ай бұрын
Tupe fat'wa yko shekhe
@elallymoussa29802 ай бұрын
Aliekuwa hakufaham hapa atakuwa ni mbishani tu
@yahyadenny43682 ай бұрын
Ulimwengu wote siku ni moja yaani masaa 24
@AishaMsumi-ft1yf2 ай бұрын
Ukop sana
@muhammadal-bimani81202 ай бұрын
Shekhe sasa watu hao waliofunga miaka mia mbili nyuma walijuaje kuwa mwezi umeandama huko Makkah? Jibu suali kabla kupoteza watu
@khamisswalehe2 ай бұрын
mwalimu hawa mashekh wanapuyanga sana ila mim nasubir siku ya qiama ndio nitWajua washekh na wanafiq na mayahud wala sina haraka
@husseinshamte71292 ай бұрын
Hio يوم yenyewe ni تاسع ذى الحجة mbona jambo lipo wazi hilo 😂😂😂
@answaryhussein2562 ай бұрын
Huyu ni mlenda huwa unavutika popote alipo mvutaji
@mustafapandu51892 ай бұрын
Mziwanda hapa unesema kweli umeamua kutoendekeza ushabiki wa makundi hapa umeamuwa kuwa mkweli na muwazi japo wenzako wa kundi lako watakutukana.
@asiabaruani2802 ай бұрын
Umechemsha Sheikh mziwandaa
@fatumasaidimmependezamjeng89942 ай бұрын
❤
@aliissahaji332 ай бұрын
Hiyo siku ni mwezi/tarehe ngapi?
@ahmadiomari69132 ай бұрын
Sufi leo umenena sana Hahahahhaha. Masufi tatizo ucha Mungu umewatoka sana masilahi mbele
@khamisswalehe2 ай бұрын
Masalaf wanajidai watu wa Allah tutawaona nyie siku ya kiama mimi wala sina lakusema tutawaona masalafi wote siku hyo watakavyoingia pepon bila ya hesabu
@khamisswalehe2 ай бұрын
masalaf tutawaona siku ya kiama mkiingia pepon bila ya hesabu
@answaryhussein2562 ай бұрын
Funga ya arafa inahusiana na mwezi Tisa wa mwandamo wa mwezi wa nchi Gani?
@zaichande34122 ай бұрын
Ok
@user-sv3yx6ne2x2 ай бұрын
Hii video niyazamani na ishajibiwa kitambo
@IsmailiIdarusi2 ай бұрын
Nani kaijibu ndugu
@SofySJalina2 ай бұрын
Shekhe vip kuusu suna ya ndevu
@AhmadSalim-dm4uk2 ай бұрын
Hizi ndio elimu sasa sio ubabaishaji anae pinga akapimwe akili
@abasimwinyibovu30902 ай бұрын
Shekh mziwanda mimi hujanishawishi naona kama unalazimisha kila miji ina miandamo yao
@Atw0ka735g2 ай бұрын
Kila Elmu ina mjuzi wake. Sheikh ww huo ndio uwezo wake wa kielmu kutokana na uelewa wake na mafundisho yake. Maswala ya kielmu yajibiwe kielmu si kibubusa na mchezo mchezo, na kuona ikhtilafu zilizoko hazina mashiko.
@awadhally10522 ай бұрын
Shehe anajibu kielem lkn nyie masufi ni majitu wa bidaa
@babuallyabdallah29642 ай бұрын
Hata wewe ni bida'aa kwa sababu wakati wa mtume hukuwepo. @@awadhally1052
@aminaaidarus23872 ай бұрын
Shekhe suali langu ni. Kuna nchi saudia iko nyuma wao wako mbele watafuata vipi. Wao ndio wametangulia tarehe 9 na saudia watafuata sasa wafanyeje
@aminaaidarus23872 ай бұрын
Saudia kutangulia ni suala lengine lakini nchi ambazo ziko mbele wafanyeje
@user-hr9kb7ev1i2 ай бұрын
Aslm Alykm, nyinyi munao comment hamuja muelewa Sheikh mziwanda yupo sawa na masufi C na mawahabi
@elallymoussa29802 ай бұрын
100%
@Yahya-rb5pi2 ай бұрын
Shekhe apo umeishwa maneno sio taaluma yako
@husseinomary27682 ай бұрын
Sheikh huo ndio ukweli umemaliza
@Rijaal-xj7yd2 ай бұрын
Arafa ni eneo. Kwa hiyo ukienda kusimama siku yeyote haitokua siku ya arafa. Ni lazima iwe tarehe 9 dhul hijja. Yaum arafa ni tarehe 9. Sio jumanosi au jumatatu nk. Shekhe amekwepa tarehe akasimama kwenye siku ya wiki.
@highhigh74762 ай бұрын
Masaa?
@RidhiwaniWaziri-wt6pwАй бұрын
Kweli kabisa
@masoud74862 ай бұрын
Mimi naona hawa washke wote taka kupoteza watu elimu ya dini hamna na ya duniya je Fiji wata funa arafa nadu duwa cama muna fuata siku za ukimwi ao xm basi siku yenu ya arafa yenu ime wekwa na pope.
@AlkadoNkundwe-wb3of2 ай бұрын
Madhehebu ni ukafir,, watu wa madhehebu ni makafiri
@muhammadal-bimani81202 ай бұрын
Mtume hakusema tufunge kwa sababu ya kisimamo. Kwa sababu haiwezekani tumia akili kidogo tu. 1. Watu wa nyuma huko walijuaje kama huko Makkah umeandama? 2. Zile nchi matlai yao wakati watu wako hapo katika kisimamo wao ni usiku wafunge vipi? Hayo maelezo yako hayana kichwa wala miguu. Jibu hayo masuali mawili kati ya mengi
@OmmyMabele2 ай бұрын
Allah akulipe shehe nyookeni hivyo hivyo maana dini ya Allah haitaki konakona
Sheikh Mziwanda nimekuelewa Mashallah. ila umeegemea kwa nchi zinazochelewa, jee na miji inayo itangulia Suudia kama miji ya mashariki mwa Russia na china???
@signtv98482 ай бұрын
hakuna mji unaotangulia saudi
@signtv98482 ай бұрын
we upo dunia gani
@mkude2 ай бұрын
Hiyo miji inatotangulia watafunga kulingana na hiyo siku watakayoamka nayo Saudi wakichelewa lakini ndo siku hiyo hiyo.
@abdallahsaid49972 ай бұрын
Vichekesho eti hakuna mji unaotangulia Saudia yaani waislamu tumedidima kisayansi namna hii
@jumafaki28912 ай бұрын
ni kweli funga inafuatana na siku sehemu za china huko ndio siku zinatangulia je tufuate huko au tusubiri saudia
@salumrashidabdullashmely25582 ай бұрын
Sasa siku yenyewe ya Arafa ndio ile wanayosimama makkah??? Waliuona mwezi au waliutangaza tu
@JUMAKANYEBWE-hy7ge2 ай бұрын
Hivyo hivyo pia ramadhan
@yahyarashid80382 ай бұрын
Sh ww ni mzur ila umezungukwa na masufi na hao ndio marafiki zako na mtu huuliziwa rafiki yake ndio jibu hupatikana kuhusu yeye wallahu aghalamu